Ijumaa 2 Januari 2026
  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Mwanadamu yatakikana awe chemchemi katika jamii/ Msisitizo juu ya umuhimu wa itikafu katika mwezi wa Rajabu

    Ayatullah Al-‘Udhma Jawadi Amoli:

    HawzaMwanadamu yatakikana awe chemchemi katika jamii/ Msisitizo juu ya umuhimu wa itikafu katika mwezi wa Rajabu

    Hawza/ Mtukufu Ayatullah Al-‘Udhma Jawadi Amoli, katika kipindi cha darsa ya maadili kilichofanyika katika Msikiti Mkuu wa Qum Iran, kwa kufafanua “njia ya tatu ya dini” katika kukabiliana na…

    2026-01-02 02:00
  • Vijana waibadilishe mitandao ya kijamii liwe jukwaa la elimu na mazungumzo yenye kujenga

    Rais wa Harakati ya Minha'j-ul-Qur’an Pakistan:

    DuniaVijana waibadilishe mitandao ya kijamii liwe jukwaa la elimu na mazungumzo yenye kujenga

    Hawza/ Dkt. Muhammad Tahir-ul-Qadri, katika hotuba yake huku akisisitiza nafasi kubwa na yenye athari ya mitandao ya kijamii, amewataka vijana kwa kuzingatia maadili na kuwajibika, kuibadili…

    2026-01-02 01:00
  • Kuwaheshimu wanazuoni na wasomi ni wajibu wa kimaadili

    Ayatullah Al-‘Udhma Subhani:

    DuniaKuwaheshimu wanazuoni na wasomi ni wajibu wa kimaadili

    Hawza/ Ayatullah Al-‘Udhma Ja‘far Subhani, katika ujumbe wake kwenye hafla ya kumuenzi Profesa Muhammad Ali Mahdavi-Rad, ameeleza kuwa; kuwaheshimu wanazuoni na wasomi ni wajibu wa kimaadili.

    2026-01-02 00:00
  • Maisha ya kielimu na kushikamana na maadili ni miongoni mwa misingi muhimu ya kuwa mwanahawza

    Katika ujumbe wa Ayatullah A‘rafi kwenye hafla ya kumuenzi Profesa Mahdavi-Rad ilielezwa:

    HawzaMaisha ya kielimu na kushikamana na maadili ni miongoni mwa misingi muhimu ya kuwa mwanahawza

    Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza, katika ujumbe wa video alioutoa kwenye hafla ya kumuenzi Profesa Muhammad Ali Mahdavi-Rad, pamoja na kuitukuza hadhi yake ya kielimu na juhudi zake zenye thamani,…

    2026-01-01 23:00
  • Mwanazuoni Mashuhuri Nchini Tanzania Afariki Dunia

    DuniaMwanazuoni Mashuhuri Nchini Tanzania Afariki Dunia

    Hawza/ Innā lillāhi wa inna ilayhi rājiuun, Jamii ya Kiislamu nchini Tanzania imekumbwa na pigo kubwa kufuatia kufariki dunia kwa Mwanazuoni mashuhuri, mtetezi mahiri wa Madhehebu ya Ahlulbayt…

    2026-01-01 22:47
  • Tunasimama pamoja na harakati zote za muqawama dhidi ya udikteta wa Kizayuni–Marekani

    Sheikh Ahmad Al-Qattan:

    DuniaTunasimama pamoja na harakati zote za muqawama dhidi ya udikteta wa Kizayuni–Marekani

    Hawza/ Kiongozi wa kidini wa Kisunni kutoka Lebanon amesisitiza kuwa, Harakati ya Hamas itaendelea kusimama imara, kama zilivyo harakati nyingine zote za muqawama, maadamu bado kuna uvamizi na…

    2026-01-01 22:00
  • Kuuawa kishahidi Abu Ubaida na makamanda wa Al-Qassam hakutabadilisha mwelekeo wa muqawama

    Rais wa Muungano wa Wanazuoni wa Muqawama:

    DuniaKuuawa kishahidi Abu Ubaida na makamanda wa Al-Qassam hakutabadilisha mwelekeo wa muqawama

    Hawza/ Sheikh Maher Hammoud amesisitiza kuwa; tangazo la kuuawa kishahidi kundi la makamanda wa Vikosi vya Izzuddin Al-Qassam linathibitisha kwamba njia ya muqawama haitasimama.

    2026-01-01 21:00
  • Pakistan yakataa vikali hatua ya utawala wa Kizayuni kuhusu Somaliland

    DuniaPakistan yakataa vikali hatua ya utawala wa Kizayuni kuhusu Somaliland

    Hawza/ Tahir Hussein Andarabi, msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Pakistan, katika taarifa rasmi, huku akilaani vikali juhudi zozote za kudhoofisha mamlaka na umoja wa ardhi ya Somalia, alitangaza…

    2026-01-01 20:00
  • Hijabu ni miongoni mwa vielelezo vya kujitolea kufuata amri za Mwenyezi Mungu

    Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Beirut:

    DuniaHijabu ni miongoni mwa vielelezo vya kujitolea kufuata amri za Mwenyezi Mungu

    Hawza/ Jumuiya ya Kheri ya Al-Mabarrat iliandaa hafla katika Ukumbi wa Zahraa, uliopo ndani ya Jumuia ya Imamain Hasanayn (amani iwe juu yao) huko Haret Hreik, kwa ajili ya zaidi ya wasichana…

    2026-01-01 19:00
  • Korea Kusini yaandaa chakula cha halali kwa ajili ya watalii waislamu

    DuniaKorea Kusini yaandaa chakula cha halali kwa ajili ya watalii waislamu

    Hawza/ Mgahawa unaoandaa vyakula vya halali kwa Waislamu ulipokelewa kwa shauku kubwa na wanafunzi wanaoishi Korea Kusini, na baadaye ukapata umaarufu pia miongoni mwa watalii Waislamu. Kwa sasa,…

    2026-01-01 18:44
  • Mjumbe wa Hizbullah: Kuondoa nguzo kuu ya Lebanon ni ndoto tu

    DuniaMjumbe wa Hizbullah: Kuondoa nguzo kuu ya Lebanon ni ndoto tu

    Hawza/ Sheikh Muhammad Amrū alisisitiza kuwa mashinikizo ya kisiasa dhidi ya Lebanon hayatakuwa na matokeo yoyote maadamu mshikamano wa kitaifa unabaki kuwa nguzo kuu na tegemeo la nchi.

    2026-01-01 06:00
  • Palestina yalaani mswada wa Israel kuhusu kuzuia adhana misikitini

    DuniaPalestina yalaani mswada wa Israel kuhusu kuzuia adhana misikitini

    Hawza / Baraza Kuu la Fatwa nchini Palestina limelaani muswada uliowasilishwa na utawala haramu wa Israel unaolenga kuweka vikwazo vikali kuhusu kuadhiniwa misikitini.

    2026-01-01 02:00
  • Tadhari kutoka kwa mtafiti wa siasa kuhusiana na hali ya kutisha inayotawala Syria; wachache wanazidi kumalizwa taratibu

    DuniaTadhari kutoka kwa mtafiti wa siasa kuhusiana na hali ya kutisha inayotawala Syria; wachache wanazidi kumalizwa taratibu

    Hawza/ Iyas Al-Khatib alisisitiza kuwa kile kinachoonekana leo, maandamano na madai ya haki ya kujitawala na kulinda heshima katika miji ya Tartus na Latakia ni matokeo ya kiasili.

    2026-01-01 01:28
  • Itikafu yapaswa kusalia kuwa kitovu cha kuimarisha maarifa ya kizazi cha vijana

    HawzaItikafu yapaswa kusalia kuwa kitovu cha kuimarisha maarifa ya kizazi cha vijana

    Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, kwa kusisitiza umuhimu wa kulinda harakati ya Itikafu, ameielezea ibada hii kuwa ni uwezo wa kimkakati kwa ajili ya kuimarisha maarifa ya kidini, kuilinda…

    2026-01-01 00:40
  • Sanaa takatifu, ni sanaa inayotokana na nuru ya akili na wahyi

    Ayatollah Arafi katika hafla ya kumalizia tamasha la Sanaa ya Mbingu:

    HawzaSanaa takatifu, ni sanaa inayotokana na nuru ya akili na wahyi

    Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza akisisitiza jukumu la msingi la sanaa katika kumuimarisha binadamu na ujenzi wa ustaarabu wa Kiislamu alisema: Sanaa ya hali ya juu, inayotokana na dua, Qur'an na maarifa…

    2025-12-31 03:29
  • Trump na Netanyahu wanapaswa kukamatwa kama magaidi wa kwanza duniani

    Ayatullah Khatami:

    DuniaTrump na Netanyahu wanapaswa kukamatwa kama magaidi wa kwanza duniani

    Hawza/ Ayatullah Khatami huku akifichua njama za maadui katika uwanja wa vita mseto na shinikizo la kiuchumi, alisisitiza kuwa maseneta wa Marekani wanatafuta kuporomosha maisha ya wananchi,…

    2025-12-30 23:55
  • Sheikh Zakzaky: Mpango wa kuigawa Afrika katika sura mpya unaendelea kutekelezwa

    Kusambazwa upya habari moja katika anga ya vyombo vya habari barani Afrika:

    DuniaSheikh Zakzaky: Mpango wa kuigawa Afrika katika sura mpya unaendelea kutekelezwa

    Hawza/ Hotuba yetu inaelekezwa kwa watawala wanaowaua watu wao kwa sababu ya pesa na madaraka. Jueni kwamba kazi yenu itakapokwisha, wale wale waliowatumia pia watawaua ninyi; kama walivyowatendea…

    2025-12-30 23:30
  • Hafla ya kumbukizi ya miaka sita ya kuuawa shahidi Haj Qasem Soleimani na Abu Mahdi al-Muhandis yafanyika Najaf Ashraf

    DuniaHafla ya kumbukizi ya miaka sita ya kuuawa shahidi Haj Qasem Soleimani na Abu Mahdi al-Muhandis yafanyika Najaf Ashraf

    Hawza/ Hafla ya kuadhimisha miaka sita ya kuuawa kishahidi “Makomanda wa Ushindi”; Haj Qasem Soleimani na Abu Mahdi al-Muhandis, ilifanyika Najaf Ashraf kwa kuhudhuriwa na mwakilishi wa Kiongozi…

    2025-12-30 23:00
  • Kinachopangwa kwa ajili ya Lebanon ni zaidi ya suala la silaha na kinaelekezwa kwenye mkondo wa kisiasa, kiusalama na kiuchumi

    Mjumbe wa Muungano wa Uaminifu kwa Muqawama:

    DuniaKinachopangwa kwa ajili ya Lebanon ni zaidi ya suala la silaha na kinaelekezwa kwenye mkondo wa kisiasa, kiusalama na kiuchumi

    Hawza/ Ali Fayyadh alisema: Hizbullah ni chama kikubwa zaidi cha kisiasa kwa kuzingatia uungwaji mkono wa wananchi nchini Lebanon, na uzito pamoja na nafasi yake haviwezi kupuuzwa.

    2025-12-30 22:30
  • Uhalifu wa Israel umefanya Papa aungane na wanaoiunga mkono Ghaza

    DuniaUhalifu wa Israel umefanya Papa aungane na wanaoiunga mkono Ghaza

    Hawza/ Papa Leo wa Kumi na Nne huko Vatican alitoa wito wa kukomesha mateso na manyanyaso dhidi ya watu wa Ukanda wa Ghaza, hususan wale wanaoishi katika mahema na maeneo ya makazi ya muda chini…

    2025-12-30 22:00
  • Wananchi wa Italia wafanya maandamano makubwa kwa ajili ya kuiunga mkono Palestina

    DuniaWananchi wa Italia wafanya maandamano makubwa kwa ajili ya kuiunga mkono Palestina

    Hawza/ Italia katika siku mbili zilizopita ilishuhudia migomo mikubwa ya kitaifa kwa wingi, pamoja na maandamano makubwa katika miji yake mikuu. Maandamano haya yalifanyika kwa lengo la kuonesha…

    2025-12-30 21:30
  • Brazil nayo yaungana na jumuiya ya wanaohifadhi Qur’ani

    Kwa kuandaliwa kozi za kuhifadhi Qur’ani:

    DuniaBrazil nayo yaungana na jumuiya ya wanaohifadhi Qur’ani

    Hawza/ Kozi ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu kwa watoto Waislamu imeandaliwa katika mji wa São Paulo, Brazil, kwa lengo la kuimarisha utambulisho wa Kiislamu na maadili ya kielimu miongoni mwa vijana.

    2025-12-30 20:55
  • Athari za Mikondo Potofu na Jinsi ya Kukabiliana Nayo

    Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyya (60)

    DiniAthari za Mikondo Potofu na Jinsi ya Kukabiliana Nayo

    Hawza/ Licha ya uadui mwingi unaokabili mafundisho ya dini, kuzingatiwa kwa itikadi ya Mahdawiyya kunazidi kuongezeka siku baada ya siku. Kuongezeka hamu na hisia ya haja katika nyanja za kiakili…

    2025-12-30 18:23
  • Kitabu cha Al-Ghadir kimeondosha uwezekano wa kukanusha Wilayah ya Amirul-Mu’minin Ali (a.s.)

    Mwalimu wa Hawza:

    DuniaKitabu cha Al-Ghadir kimeondosha uwezekano wa kukanusha Wilayah ya Amirul-Mu’minin Ali (a.s.)

    Hawza/ Hujjatul-Islam Khorrami-Arani, akirejelea kitabu “Al-Ghadir” cha Allama Amini, amekitaja kuwa ni kazi ya kipekee isiyo na mfano na ngome imara mbele ya upotoshaji wa historia.

    2025-12-29 23:00
  • Maktaba ya Shahidi Sulaimani ni ramani ya njia ya Qur’ani katika ushindi wa Muqawama

    Mwakilishi wa Kiongozi wa Waislamu wa Kishia wa Bahrain:

    DuniaMaktaba ya Shahidi Sulaimani ni ramani ya njia ya Qur’ani katika ushindi wa Muqawama

    Hawza/ Sheikh al-Daqqaq, akisisitiza misingi ya Qur’ani ya maktaba ya Muqawama, alisema: Maktaba ya Shahidi Haj Qasim Sulaimani, kwa kutegemea uchambuzi wa kimkakati, malezi ya rasilimali watu…

    2025-12-29 22:31
  • Yanayojiri Ghaza ni mauaji ya halaiki yaliyo wazi na jinai dhidi ya ubinadamu

    DuniaYanayojiri Ghaza ni mauaji ya halaiki yaliyo wazi na jinai dhidi ya ubinadamu

    Hawza/ Sheikh Sayyid Bahauddin Naqshbandi, kiongozi wa twariqa ya Naqshbandiyya, katika warsha ya tano ya kimataifa isemayo: "Iran Jukwaa la Heshima ya Kiislamu katika kukabiliana na utawala…

    2025-12-29 21:20
  • Iran ya ni mshika-bendera wa heshima na mpambanaji katika ulimwengu wa Kiislamu

    Rais wa Jumuiya ya Wahadhiri wa Vyuo vya Serikali vya Pakistan:

    DuniaIran ya ni mshika-bendera wa heshima na mpambanaji katika ulimwengu wa Kiislamu

    Hawza/ Profesa Munawar Abbas, Rais wa Jumuiya ya Wahadhiri wa Vyuo vya Serikali vya Pakistan, katika warsha ya tano ya kimataifa isemayo: "Iran; Jukwaa la Heshima ya Kiislamu katika kukabiliana…

    2025-12-29 20:20
  • Irani kuikingia kifua Palestina, kumejengeka katika msingi na imani ya Dini

    Mjumbe mwanzilishi wa Chama cha Haki Uturuki:

    DuniaIrani kuikingia kifua Palestina, kumejengeka katika msingi na imani ya Dini

    Hawza/ Bi. Dkt. Fatemeh Bostan, mjumbe mwanzilishi wa Chama cha Haki cha Uturuki, katika warsha-pepe ya tano ya kimataifa isemayo: "Iran; Jukwaa la Heshima ya Kiislamu katika kukabiliana na utawala…

    2025-12-29 19:40
  • Hatua ya awali ya mashindano ya Qur’ani Tukufu nchini Oman yakamilika

    DuniaHatua ya awali ya mashindano ya Qur’ani Tukufu nchini Oman yakamilika

    Hawza/ mashindano ya awali ya Qur’ani Tukufu yaliyoandaliwa kwa ufadhili wa Wizara ya Wakfu ya Oman na kwa ushiriki wa zaidi ya wahifadhi na wasomaji wa Qur’ani 170 yamekamilika.

    2025-12-29 19:09
  • Kunyongwa vijana 3 wa Kishia hivi karibuni huko Qatif ni jinai ya kisiasa na ukiukwaji wa wazi wa haki

    Jumuiya ya Amal ya Kiislamu ya Bahrain:

    DuniaKunyongwa vijana 3 wa Kishia hivi karibuni huko Qatif ni jinai ya kisiasa na ukiukwaji wa wazi wa haki

    Hawza/ Jumuiya ya Amal ya Kiislamu ya Bahrain katika taarifa yake imeainisha kuwa: Kunyongwa kwa Sayyid Hussein Al-Qallaf, Muhammad Ahmad Al-Hamad na Hassan Saleh Al-Salim, waliokuwa wakizuiliwa…

    2025-12-29 00:00
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • Next

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom