Ijumaa 26 Desemba 2025
  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Ayatullah Milani kwa hakika alikuwa mhuishaji wa Hawza ya Mashhad

    Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran:

    DuniaAyatullah Milani kwa hakika alikuwa mhuishaji wa Hawza ya Mashhad

    Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu alimuelezea marehemu Ayatullah Milani kuwa ni shakhsia kamili katika nyanja za kiroho, kimaadili, kielimu na kijamii na kisiasa, na akasisitiza kuwa:…

    2025-12-25 23:50
  • Ayatullah Milani alikuwa miongoni mwa watu wanaoiunga harakati ya Imam Khomeini (ra)

    Ayatullah A‘arafi katika Kongamano la Kumbukizi ya Ayatullah Al-‘Udhmaa Milani:

    HawzaAyatullah Milani alikuwa miongoni mwa watu wanaoiunga harakati ya Imam Khomeini (ra)

    Hawza/ Ayatullah A‘arafi, huku akirejea busara ya kisiasa na ya kimapinduzi ya marji' huyu mkubwa, alisisitiza: Ayatullah Milani alikuwa miongoni mwa maraji' wa kwanza kuiunga mkono harakati…

    2025-12-25 23:05
  • Utekelezaji mzuri wa diplomasia ya kielimu unahitajia uratibu na ushirikiano na aina nyingine za diplomasia

    Msaidizi wa Hawza Katika Masuala ya Kimataifa Nchini Iran:

    HawzaUtekelezaji mzuri wa diplomasia ya kielimu unahitajia uratibu na ushirikiano na aina nyingine za diplomasia

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Husseini Kouhsari amesema kuwa; kufanyiwa kazi diplomasia ya kielimu kunahitaji kutambua umuhimu na ulazima wake, pamoja na kujenga mijadala na utamaduni katika…

    2025-12-25 11:30
  • Kuzidisha masomo ya wazi (Dars-u-Kharij) ya uhakiki katika elimu ya Kalamu ni miongoni mwa dharura za haraka

    Ayatullah A‘rafi Katika Kikao Cha Pamoja na Walimu wa Somo la Kalamu:

    HawzaKuzidisha masomo ya wazi (Dars-u-Kharij) ya uhakiki katika elimu ya Kalamu ni miongoni mwa dharura za haraka

    Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, huku akisisitiza ulazima wa kuinua hadhi ya Kalamu ya Kiislamu kufikia kiwango cha ijtihadi ya fiqhi na usul, ametoa wito wa kufanyiwa marekebisho upya…

    2025-12-25 10:30
  • Kila mwaka takribani makala 2,500 za kielimu zilizo thibitishwa hutayarishwa ndani ya hawza

    Msaidizi wa Utafiti wa Hawza Nchini Iran:

    HawzaKila mwaka takribani makala 2,500 za kielimu zilizo thibitishwa hutayarishwa ndani ya hawza

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Abbasi, akisisitiza uhai na uongozi wa hawza za kielimu katika uwanja wa utafiti, amesema kuwa: kila mwaka takribani makala 2,500 za kielimu zenye ithibati…

    2025-12-25 09:27
  • Kusimama imara kwa Waislamu ndio siri ya mafanikio ya Muqawama

    Mshauri wa Waziri Mkuu wa Iraq Katika Maswala ya Utamaduni:

    DuniaKusimama imara kwa Waislamu ndio siri ya mafanikio ya Muqawama

    Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh Nouri, katika kongamano la kimataifa la “Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah; Siri ya Muqawama na Umahiri wa Uongozi”, alisisitiza kuwa: kusimama imara kwa pande zote…

    2025-12-25 06:00
  • Muqawama wa Kiislamu hautarudi nyuma mbele ya mashambulizi ya adui/ Ujasiri wa Shahidi Nasrullah ulijengwa juu ya elimu na busara

    Mwenyekiti wa Kitengo cha Vijana cha Harakati ya Hamas – Ghaza:

    DuniaMuqawama wa Kiislamu hautarudi nyuma mbele ya mashambulizi ya adui/ Ujasiri wa Shahidi Nasrullah ulijengwa juu ya elimu na busara

    Hawza/ Al-Koumi, akisisitiza kuwa muqawama wa Kiislamu kamwe hautarejea nyuma mbele ya vitisho, vikwazo na mashinikizo ya kila aina, alisema: ujasiri wa Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah ulitokana…

    2025-12-25 00:00
  • Njia ya mapambano ya Kiislamu inawezekana kwa kufuata mafundisho ya Qur’ani na Sunna

    Rais wa Chuo Kikuu cha Ilya cha Iraq:

    DuniaNjia ya mapambano ya Kiislamu inawezekana kwa kufuata mafundisho ya Qur’ani na Sunna

    Hawza/ Rais wa Chuo Kikuu cha Ilya cha Iraq, katika kongamano la kimataifa la “Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah”, alisisitiza kuwa njia ya mapambano ya Kiislamu inawezekana tu kwa kushikamana…

    2025-12-24 23:00
  • Doria zilizofanywa na wanajeshi wavamizi wa Israel zaingia Quneitra na kufunga barabara

    DuniaDoria zilizofanywa na wanajeshi wavamizi wa Israel zaingia Quneitra na kufunga barabara

    Hawza/ Vyombo vya habari vya Syria vimeripoti kuwa doria mbili zilizofanywa na jeshi la Israel zimeingia katika vijiji vya pembezoni mwa mkoa wa Quneitra, kusini mwa Syria.

    2025-12-24 22:00
  • Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Iraq akutana na Ayatullah Al-Udhma Sheikh Bashir Hussein Najafi

    DuniaBalozi wa Umoja wa Ulaya nchini Iraq akutana na Ayatullah Al-Udhma Sheikh Bashir Hussein Najafi

    Hawza/ Clemens Simetner, Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Iraq, akiwa ameambatana na ujumbe wake, alikutana na Ayatullah Al-Udhma Sheikh Bashir Hussein Najafi katika mji mtukufu wa Najaf Ashraf.

    2025-12-24 21:00
  • Mwelekeo wa kihistoria, muundo wa taasisi na ujumuishaji wa kijamii-kiuchumi

    Uislamu nchini Venezuela

    DuniaMwelekeo wa kihistoria, muundo wa taasisi na ujumuishaji wa kijamii-kiuchumi

    Hawza/ Uislamu nchini Venezuela, kinyume na dhana iliyozoeleka ya kuwa ni dini iliyoingizwa kutoka nje, ni zao la karne nyingi kutokana na uhamaji wa binadamu, ulinganifu wa kiuchumi na ujenzi…

    2025-12-24 20:00
  • Mwezi wa Rajabu ni Fursa Adhimu ya Kufanya Mabadiliko na Kuijenga Nafsi

    Ayatullah Marwi:

    HawzaMwezi wa Rajabu ni Fursa Adhimu ya Kufanya Mabadiliko na Kuijenga Nafsi

    Hawza/ Ayatullah Marwī katika hitimisho la darsa yake ya fiqhi alisema: “Tuufanye mwezi wa Rajab kuwa mwanzo wa kuzijua zaidi dua za Ahlul-Bayt (a.s); ni kwa lugha gani tunaweza kusema kwamba…

    2025-12-23 17:30
  • Njia ya mapambano ya muqawa.a ndiyo chaguo lenye mafanikio zaidi

    Balozi wa Iran katika kumbukumbu ya Sheikh Abdulnaser Jabri:

    DuniaNjia ya mapambano ya muqawa.a ndiyo chaguo lenye mafanikio zaidi

    Hawza/ Kutokana na mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa tisa tangia kufariki Sheikh Abdulnaser Jabri, Harakati ya Umma wa Lebanon (Harakat al-Ummah) iliandaa kikao cha kielimu na kisiasa kwenye…

    2025-12-23 16:30
  • kikao cha Kielimu cha Wanawake Chafanyika Nchini Myanmar

    Duniakikao cha Kielimu cha Wanawake Chafanyika Nchini Myanmar

    Hawza/ Kikao cha kielimu maalumu kwa wanawake, chenye lengo la kueneza usafi wa maadili na maisha mema (hayat ṭayyiba), kilifanyika katika mji wa Yangon (Rangoon) nchini Myanmar; kikao ambacho…

    2025-12-23 15:30
  • Mwenendo wa Mazungumzo na Israel ni hatari kubwa kwa Lebanon

    Mjumbe wa Kundi la Muqawama:

    DuniaMwenendo wa Mazungumzo na Israel ni hatari kubwa kwa Lebanon

    Hawza/ Ali Fayyadh ameonesha wasiwasi wake mkubwa kuhusu maendeleo ya mazungumzo ya Lebanon na Israel, akisema kuwa; kwa kuteleza Lebanon kuelekea kufanya mazungumzo na Waisraeli chini ya uongozi…

    2025-12-23 14:24
  • Uwepo wa Mwanazuoni Mashuhuri Duniani Katika Chuo Kikuu cha Baqir al-Ulum (a.s.)

    Hatua Nyingine Katika Diplomasia ya Kielimu:

    DuniaUwepo wa Mwanazuoni Mashuhuri Duniani Katika Chuo Kikuu cha Baqir al-Ulum (a.s.)

    Hawza/ Chuo Kikuu cha Baqir al-Ulum (a.s.) kilimpokea Profesa Farid Esack, mwanazuoni mashuhuri duniani na profesa wa Chuo Kikuu cha Harvard.

    2025-12-22 20:36
  • Kuanzishwa kwa Mfumo wa Haki na Kudhibiti Ubeberu wa Kizayuni ni Sharti la Msingi Ili Kutimia mshikamano wa kibinadamu

    Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:

    DuniaKuanzishwa kwa Mfumo wa Haki na Kudhibiti Ubeberu wa Kizayuni ni Sharti la Msingi Ili Kutimia mshikamano wa kibinadamu

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake, alisisitiza kwamba kwa ajili ya kulinda ubinadamu na kuanzisha mshikamano wa kweli, ni lazima uwepo mfumo wa haki,…

    2025-12-22 11:30
  • Haki na Uadilifu ni Dhamana ya Amani, wajibikaji na Usalama Katika Jamii

    Mwanazuoni wa Pakistan:

    DuniaHaki na Uadilifu ni Dhamana ya Amani, wajibikaji na Usalama Katika Jamii

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Baqir al-Husseini, katika hotuba yake, alisisitiza kwamba kuzingatia misingi ya haki na uadilifu si tu kunadhamini uhifadhi wa amani na usalama katika…

    2025-12-22 10:23
  • Wayahudi Waondoke Israel

    Kiongozi wa Kidini wa Kiyahudi (Rabi):

    DuniaWayahudi Waondoke Israel

    Hawza/ Rabi wa Kiyahudi, David Feldman, anayehusishwa na shirika la Neturei Karta linalopinga Uzayuni, ameeleza tofauti ya kimsingi kati ya Uyahudi na Uzayuni, na kusisitiza kwamba uhalifu unaotekelez…

    2025-12-21 17:00
  • Umoja wa Kiislamu Utumie Nyenzo za Kisheria Katika Kupambana Dhidi ya Utawala wa Kizayuni

    Mhadhiri wa Sheria ya Kimataifa katika Chuo Kikuu cha Carleton, Kanada:

    DuniaUmoja wa Kiislamu Utumie Nyenzo za Kisheria Katika Kupambana Dhidi ya Utawala wa Kizayuni

    Hawzah/ Dkt. Hilya Dutaqi, mhadhiri wa sheria ya kimataifa, katika semina ya nne ya kimataifa iliyokuwa na anuani isemayo “Iran ya Kiislamu; Ngome ya Heshima ya Kiislamu katika kukabiliana na…

    2025-12-21 16:00
  • Kikao cha kielimu “Kudhihiri Nuru ya Bibi Fa'timah Zahra (s.a) Katika Zama Zote” Chafanyika Nchini Senegali

    DuniaKikao cha kielimu “Kudhihiri Nuru ya Bibi Fa'timah Zahra (s.a) Katika Zama Zote” Chafanyika Nchini Senegali

    Hawzah/ Sambamba na maadhimisho ya siku ya kuzaliwa Bibi Fa'timah Zahra (a.s), Jumuiya ya Wanawake wa Fatima Zahra (s.a.), inayohusishwa na Baraza la Wanazuoni wa Ahlul-Bayt (a.s.) nchini Senegal,…

    2025-12-21 15:08
  • Mwezi wa Rajabu ni Mwezi wa Amani, Huruma na Kufanya Ibada

    Mwanazuoni Mashuhuri Nchini Tanzania:

    DuniaMwezi wa Rajabu ni Mwezi wa Amani, Huruma na Kufanya Ibada

    Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Ithnaasharia Tanzania (TIC) amesisitiza kuwa mwezi wa Rajabu ni kipindi maalum cha amani, utulivu, na kufanya ibada, aliyasema hayo wakati akihutubia kwenye…

    2025-12-21 11:00
  • Wanaodai Uongo Kwamba ni Manaibu wa Imamu

    Kuielekea Jamii bora: Tafiti zaa Mahdawiyya (59)

    DiniWanaodai Uongo Kwamba ni Manaibu wa Imamu

    Hawza/ Bila shaka, kila itikadi inayokaribia zaidi ukweli na kupenya kwenye nyoyo za watu, hupelekea zaidi watu wenye tamaa kujitokeza wakitafuta manufaa machafu kupitia itikadi hiyo. Mafundisho…

    2025-12-21 10:00
  • Kudharauliwa Qur’ani Tukufu na Mgombea wa Marekani ni Dalili ya Kushindwa kwa Utamaduni wa Magharibi

    Imamu wa Swala ya Ijumaa ya Najaf Ashraf:

    DuniaKudharauliwa Qur’ani Tukufu na Mgombea wa Marekani ni Dalili ya Kushindwa kwa Utamaduni wa Magharibi

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanji amelaani vikali kitendo cha mmoja wa wagombea wa Bunge la Marekani cha kudharau hadhi tukufu ya Qur’ani Tukufu.

    2025-12-21 09:00
  • Uelewa wa Sulhu ya Imam Hasan (a.s.) na Mapambano ya Imam Hussein (a.s.) ni Njia Mbili Zinazotegemeana Kwenye Muqāwama wa Kiislamu

    Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Lebanon:

    DuniaUelewa wa Sulhu ya Imam Hasan (a.s.) na Mapambano ya Imam Hussein (a.s.) ni Njia Mbili Zinazotegemeana Kwenye Muqāwama wa Kiislamu

    Hawza/ Bi. Dalal Abbas amesema: Sulhu Imam Hasan (a.s.) na mapambano ya Imam Hussein (a.s.) ni njia mbili zinazokamilishana katika muqāwama wa Kiislamu, na zinachukuliwa kuwa dira ya kukabiliana…

    2025-12-21 08:00
  • Irani ni Uti wa Mgongo wa Mhimili wa Muqāwama Dhidi ya Utawala wa Kizayuni

    Msimamizi wa jalada la wafungwa wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu (Hamas):

    DuniaIrani ni Uti wa Mgongo wa Mhimili wa Muqāwama Dhidi ya Utawala wa Kizayuni

    Hawza/ Sheikh Abdulrahman amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, tangia siku za mwanzo za ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, imeliweka suala la Palestina kuwa ni mhimili usioweza kufanyiwa mazungumzo…

    2025-12-21 07:00
  • Kuitukana Qur’ani ni Sawa na Kuwashambulia Waislamu Wote

    Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon walaani kudharauliwa Qur’ani Tukufu:

    DuniaKuitukana Qur’ani ni Sawa na Kuwashambulia Waislamu Wote

    Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon, katika taarifa rasmi, umelaani vikali kitendo cha “Jake Lang”, mgombea wa Chama cha Republican cha Marekani, cha kuidharau Qur’ani Tukufu.

    2025-12-21 06:00
  • Ushiriki wa Iran katika Maonesho ya Kitabu ya Burkina Faso

    DuniaUshiriki wa Iran katika Maonesho ya Kitabu ya Burkina Faso

    Hawza/ Maonesho ya Kitabu yalifanyika mjini Ouagadougou, mji mkuu wa Burkina Faso, kwa muda wa siku sita, huku yakishirikisha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

    2025-12-21 00:30
  • Kaulimbiu za Mapinduzi ya Kiislamu zilikuwa ni Muhimili wa Muqāwama kwa Waislamu Afrika Kusini

    Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Johannesburg, Afrika Kusini:

    DuniaKaulimbiu za Mapinduzi ya Kiislamu zilikuwa ni Muhimili wa Muqāwama kwa Waislamu Afrika Kusini

    Hawza/ Farid Is-haq amesema: Tajriba ya Afrika Kusini inaonesha kuwa hotuba ya Mapinduzi ya Kiislamu, kwa kurejea upya na kufasiri upya dhana za Qur’ani Tukufu, zilichukua nafasi muhimu katika…

    2025-12-20 23:53
  • Lazima tuwe na uhuru wa kifikra na kielimu / Fikra za Magharibi Hazipaswi Kuathiri Jamii

    Ayatullah Al-Udhma Subhani katika ufunguzi wa Taasisi ya Utafiti wa Ilmu ya Kalamu ya Imam Ja‘far Sadiq (a.s):

    DuniaLazima tuwe na uhuru wa kifikra na kielimu / Fikra za Magharibi Hazipaswi Kuathiri Jamii

    Hawza/ Mtukufu Ayatullah Subhani alionya kwamba: Ni lazima tuingie katika uwanja wa elimu kupitia njia sahihi, wala hatupaswi kuvutiwa na kuathiriwa na Magharibi. Sisi wenyewe tuna misingi sahihi…

    2025-12-20 07:59
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • Next

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom