-
Kuielekea jamii Bora: Mfululizo wa Utafiti kuhusiana na Imam Mahdi (as) – 41
DuniaHuruma ya Imam wa Zama (as)
Hawza / Imam, kutokana na wingi wa huruma na mapenzi aliyo nayo kwa wafuasi wake, ana uhusiano na mawasiliano makubwa zaidi kwa wao, Na kwa sababu ya mapenzi na urafiki huu, yeye hushiriki katika…
-
Balozi wa Yemen mjini Tehran:
DuniaUshindi wa Iran katika vita vya siku 12 umechochea hamasa kwa waumini
Hawza / Balozi wa Yemen mjini Tehran ametoa pongezi kutokana na ushindi wa hivi karibuni wa Iran dhidi ya uvamizi wa utawala wa Kizayuni na akaongeza kuwa: Ushindi huu, ingawa uliambatana na…
-
DuniaMajlisi ya mwisho katika mwezi wa Safar yafanyika kwenye Markazi ya Fiqhi Aimmat At-hār huko London
Hawza / Hafla ya maombolezo ya kumbukumbu ya kufariki kwa Mtume wa Uislamu (saw) na pia kumbukumbu ya kuuwawa kishahidi Imam Hasan al-Mujtaba (as) na Imam Ridha (as) zimefanyika katika ofisi…
-
DuniaSheikh Ali Yasin: Kukabidhi mfungwa wa Kizayuni bila ya masharti yoyote kunaonesha udhaifu wa watawala
Hawza / Sheikh Ali Yasin al-‘Amili, Rais wa Jumuiya ya Wanazuoni wa mji wa Sur na maeneo yake, amesema kuwa karatasi ya “ushindi” inayodaiwa na Marekani ni hati ya kujisalimisha ambayo haipaswi…
-
DuniaJopo la Wanazuoni wa Kiislamu Lebanon: Muda wa kuwa Ardhi zilizokaliwa kimabavu hazijakombolewa na uvamizi haujakoma, silaha za muqawama haziwezi kujadiliwa
Hawza/ Jopo la Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon limesema: Serikali ya Lebanon inaendelea kung’ang’ania, kuendeleza maneno ya kisiasa yenye uchochezi na vitisho visivyo na maana kuhusiana na suala…
-
DuniaRaisi wa Umoja wa Maulama wa Muqawama: Msimamo wa Muqawama na Uaminifu Wake kwa Silaha Ni wa Kutosheleza Zaidi Kuliko Msimamo Dhaifu wa Serekali na Unaopingana
Hawza/ Sheikh Maher Hammoud amesema: “Wakati wanataka Muqawama, pamoja na manufaa yote uliyoyaleta Lebanon, utoe silaha zake kwa ajili ya mradi wa kubuni serikali imara, ni sawa na kuuza chuma…
-
DuniaWanazuoni wa Sunni wa Lebanon Wameunga Mkono Muqawama kikamilifu
Hawza / Sheikh Ahmed Al-Qattan, kiongozi wa dini wa Sunni na Rais wa Jumuiya ya “Qoulna wa Al-Amal” nchini Lebanon, amesema: “Tunasema kwamba silaha zilizopo Lebanon na sehemu yoyote ambapo silaha…
-
DuniaMjumbe wa Kundi la Muqawama: Muda ya kuwa Uvamizi unaendelea, Muqawama nao Utaendelea Kuwepo
Hawza/ Ali Al-Miqdad alisisitiza kuwa: “Silaha za Muqawama hazitawasilishwa, zina idhaminj Lebanon dhidi ya maadui wa Kizayuni, na jitihada zote za kudhoofisha nafasi zao zitaangukia
-
DuniaAl-Khazali: Serikali ya Kisaudi ina amiliana na mahujaji wa Kiiraqi kwa kuwabagua kimadhehebu
Hawza / Mbunge wa Bunge la Iraq aliituhumu mamlaka ya Kisaudi kwa kuendelea na tabia za kibaguzi kwa mahujaji wa Kiiraqi
-
DuniaOfisi ya Ammar Hakim: Uongo Kuhusu Msimamo wa Tofauti wa Ammar Hakim Kuhusu Vikosi vya Hashd al-Shaabi Haukubaliki Kwa Njia Yoyote
Hawza/ Ofisi ya vyombo vya habari ya Rais wa Muungano wa Vikosi vya Kitaifa vya Iraq imekataa uvumi unaosema kwamba Sayyid Ammar Hakim, kiongozi wa muungano huo, ana msimamo tofauti kuhusu vikosi…
-
DuniaMjumbe Mwandamizi wa Hizbullah: Uamuzi wa Serikali wa Kutaifisha Silaha za Muqawama ni Hatari na Unaweza Kuliweka Taifa Kwenye Ukingo wa Mlipuko
Hawzah/ Sheikh Ali D’amoush amesisitiza kwamba uamuzi wa kijinga ambao serikali imechukua wa kutaifisha silaha za Muqawama si tu kwamba umekosea sehemu ya kanuni, bali pia umelikosea Taifa na…
-
DuniaJawabu la Amir wa Jumuiya ya Maulamaa wa Kiislamu Pakistan kuijibu barua ya Ayatollah A’rafi kuhusiana na Ghaza
Hawza/ Maulana Fazlur Rahman, Amir wa Jumuiya ya Maulamaa wa Kiislamu Pakistan, katika barua yake kwa Ayatollah A’rafi, aliusifu msimamo wa Iran kuhusu Ghaza na kusisitiza juu ya umoja wa Umma…
-
DuniaRais wa Baraza Kuu la Ja‘fariyya Pakistan: Mashambulizi ya kinyama yanayofanywa na Israel dhidi ya Yemen ni uvunjaji wa wazi wa sheria za kimataifa
Hawza/ Sayyid Zawar Hussein Naqawi, katika tamko lake, amelaani vikali mashambulizi ya kinyama yanayofanywa na utawala ghasibu wa Kizayuni dhidi ya Yemen
-
DuniaWito wa Kimataifa wa Taasisi ya Al-Baqi‘ kwa Ajili ya Ukarabati wa Urithi wa Kidini na Kihistoria wa Baqi‘
Hawza/ Hujjatul-Islam Aslam Rizwi katika Mkutano wa Kimataifa wa Chicago alisisitiza kwamba; kukaa kimya mbele ya uharibifu wa makaburi ya Baqi‘ ni sawa na kupuuza heshima ya Ahlul-Bayt (a.s.),…
-
DuniaMaonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani katika jiji la Nantes, Ufaransa
Hawza/ Maonyesho yenye kuzingatia Qur’ani Tukufu yalianza tarehe 17 Mei katika jiji la Nantes, Ufaransa, na yataendelea hadi mwishoni mwa mwezi Agosti
-
DuniaPicha/ Matembezi ya amani yaliyofanyika Zanzibar
Hawza/ Hawza ya Imam Ally (as) iliyopo Zanzibar nayo pia ilifanya Majlisi na baada ya majlisi hiyo wakafanya matembezi ya amani kwa ajili ya kuadhimisha kifo cha Mtume Muhammad (saw)
-
DuniaImamu wa Ijumaa Baghdad: Kuondoka kwa Marekani ni matokeo ya shinikizo la wananchi wa Iraq / Israel haina ujasiri wa kushambulia Iraq
Hawzah/ Ayatullah Sayyid Yasin Musawi alisisitiza kwamba kuondoka kwa majeshi ya Marekani kutoka Iraq ni matokeo ya “shinikizo la wananchi, bunge na muqawama” na wala si matakwa ya Washington,…
-
DuniaSaudi Arabia imewakamata waumini Wairaq kwa kosa la kupiga picha makaburi ya Baqii
Hawzah/ Haishangazi tena kwamba nchi ya Saudi Arabia, kwa sababu zisizo na mantiki na kwa kutumia vibaya ukimya wa serikali ya Iraq na kutojali kwa Wizara ya Mambo ya Nje kuhusu haki za Wairaq…
-
DuniaMmoja wa walimu wa Hawza ya Najaf Ashraf afariki dunia
Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Muhammad Ali Bahr al-Ulum, mmoja wa walimu wa Hawza ya Najaf Ashraf, ameaga dunia
-
DuniaWanajeshi wa Sweida nchini Syria wametangaza kuundwa kwa “Gadi ya Kitaifa”
Hawzah/ Makundi ya kijamii katika mkoa wa Sweida nchini Syria, makazi ya Wadrusi, katika siku za hivi karibuni wametangaza kuungana kwao katika Gadi ya Kitaifa kwa lengo la kuunganisha jitihada…
-
Kiongozi wa Mapinduzi:
DuniaNgao ya chuma ya umoja wa wananchi, viongozi na vikosi vya ulinzi isidhurike / Taifa la Iran linasimama imara mbele ya madai ya Marekani
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu leo asubuhi katika hafla ya maombolezo ya kumbukumbu ya Shahada ya Imam Ridha (a.s) akiwa pamoja na makundi mbalimbali ya wananchi, alisisitiza kuwa:…
-
Ayatollah A‘rafi katika maadhimisho ya Siku ya Madaktari:
DuniaMtume Mtukufu (s.a.w.) ni kielelezo kamili cha maadili, elimu na uimara / Shukrani kwa huduma za mfumo wa afya wa taifa
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza nchini Irani, Ayatollah Alireza A‘rafi, akizungumza kuhusu mwenendo wa kina wa Mtume Mtukufu (s.a.w.) alisema: Mtume wa Mwenyezi Mungu pamoja na elimu na jihadi katika…
-
DuniaPicha/ Matembezi ya Amani ya kuadhimisha kifo cha Mtume Muhammad (saw) yaliyofanyika katika wilaya ya Kondoa mkoa wa Dodoma nchini Tanzania
Hawza/ Waumini wa Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma nao hawakuwa nyuma katika kumuenzi Mtukufu wa Daraja, Mtume Muhammad (saw) kwa kufanya matembezi yaliyofana, chini ya usimamizi wa Sheikh Abdulatif…
-
“Kuielekea Jamii Bora” (mkusanyiko wa utafiti kuhusiana na Imam Mahdi (as) – 40
DiniImam ni kioo cha rehema isiyo na kikomo ya Mwenyezi Mungu
Hawza/ Imam zaman (as) ingawa yupo kwenye ghaiba, lakini ni wingu la rehema linaloendelea kunyesha daima na kulipa uhai na bashasha jangwa kavu la watu, na ni mwenye kunyimika yule ambaye hatanusa…
-
DiniHaya ndiyo makundi matano mabayo hayatapata shafa'a (Uombezi siku ya kiyama)
Hawza / Riwaya za Kiislamu hazijaihesabu shafa'a kwenye makundi matano: makafiri, washirikina, wanafiki, wakanushaji wa shafa'a, na wale wanaoibeza Swala. Imam Swadiq (a.s) kwa msisitizo alisema…
-
DuniaImamu wa Ijumaa Najafu Ashraf, Akosoa kuhusiana na kuenezwa baadhi ya upotovu wa kidini na kimaadili katika majlisi za Huseini
Hawza / Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanchi alisema: “Tunaamini kuwa Hashd al-Sha‘bi ni nukta ya nguvu ya Iraq na Hashd al-Sha‘bi ni alama ya heshima na fahari ya Iraq, kuvunjwa…
-
DuniaJeshi la Yemen lashambulia Uwanja wa Ndege wa Ben Gurion na malengo mawili ya adui Mwisraeli huko Yafa na Asqalan
Hawza / Jeshi la Yemen limetangaza kufanikisha operesheni tatu kwa kulenga Uwanja wa Ndege wa “Ben Gurion” ulioko katika eneo la uvamizi wa Yafa na malengo mawili ya adui Mwisraeli katika ardhi…
-
DuniaMkusanyiko mkubwa wafanyika Mumbai kwa ajili ya kuliunga mkono taifa la Palestina
Hawza / Raia wa Mumbai wakiwa pamoja na viongozi wa kisiasa, maulamaa, wanaharakati wa kijamii na wasanii, walikusanyika kwa wingi katika uwanja wa Azad wa mji huo, sambamba na kutangaza mshikamano…
-
DuniaMwanazuoni mashuhuri wa Kashmiri: Shahada ni kilele cha ubinadamu na ngome imara mbele ya dhulma na ufisadi
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Hadi Musawi, katika maelezo yake kuhusu falsafa ya shahada, alifafanua daraja tukufu la shahidi na kusisitiza umuhimu wa kujitolea, kusimama imara dhidi ya dhulma…
-
DuniaMufti wa Jaafari Lebanon: Iran ni chimbuko la heshima ya kila mwanadamu huru katika ulimwengu huu na uaminifu wetu kwa Tehran ni kama uaminifu wetu kwa Mawalii wakuu
Hawzah/ Sheikh Ahmad Qabalan amesema: Iran ndiyo iliyouangamiza mradi wa Mashariki ya Kati na ikaibatilisha matumaini ya Washington na Tel Aviv yanayotokana na ugaidi, uvamizi pamoja na uharibifu