Jumapili 21 Desemba 2025
  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Mwezi wa Rajabu ni Mwezi wa Amani, Huruma na Kufanya Ibada

    Mwanazuoni Mashuhuri Nchini Tanzania:

    DuniaMwezi wa Rajabu ni Mwezi wa Amani, Huruma na Kufanya Ibada

    Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Ithnaasharia Tanzania (TIC) amesisitiza kuwa mwezi wa Rajabu ni kipindi maalum cha amani, utulivu, na kufanya ibada, aliyasema hayo wakati akihutubia kwenye…

    2025-12-21 11:00
  • Wanaodai Uongo Kwamba ni Manaibu wa Imamu

    Kuielekea Jamii bora: Tafiti zaa Mahdawiyya (59)

    DiniWanaodai Uongo Kwamba ni Manaibu wa Imamu

    Hawza/ Bila shaka, kila itikadi inayokaribia zaidi ukweli na kupenya kwenye nyoyo za watu, hupelekea zaidi watu wenye tamaa kujitokeza wakitafuta manufaa machafu kupitia itikadi hiyo. Mafundisho…

    2025-12-21 10:00
  • Kudharauliwa Qur’ani Tukufu na Mgombea wa Marekani ni Dalili ya Kushindwa kwa Utamaduni wa Magharibi

    Imamu wa Swala ya Ijumaa ya Najaf Ashraf:

    DuniaKudharauliwa Qur’ani Tukufu na Mgombea wa Marekani ni Dalili ya Kushindwa kwa Utamaduni wa Magharibi

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanji amelaani vikali kitendo cha mmoja wa wagombea wa Bunge la Marekani cha kudharau hadhi tukufu ya Qur’ani Tukufu.

    2025-12-21 09:00
  • Uelewa wa Sulhu ya Imam Hasan (a.s.) na Mapambano ya Imam Hussein (a.s.) ni Njia Mbili Zinazotegemeana Kwenye Muqāwama wa Kiislamu

    Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Lebanon:

    DuniaUelewa wa Sulhu ya Imam Hasan (a.s.) na Mapambano ya Imam Hussein (a.s.) ni Njia Mbili Zinazotegemeana Kwenye Muqāwama wa Kiislamu

    Hawza/ Bi. Dalal Abbas amesema: Sulhu Imam Hasan (a.s.) na mapambano ya Imam Hussein (a.s.) ni njia mbili zinazokamilishana katika muqāwama wa Kiislamu, na zinachukuliwa kuwa dira ya kukabiliana…

    2025-12-21 08:00
  • Irani ni Uti wa Mgongo wa Mhimili wa Muqāwama Dhidi ya Utawala wa Kizayuni

    Msimamizi wa jalada la wafungwa wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu (Hamas):

    DuniaIrani ni Uti wa Mgongo wa Mhimili wa Muqāwama Dhidi ya Utawala wa Kizayuni

    Hawza/ Sheikh Abdulrahman amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, tangia siku za mwanzo za ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, imeliweka suala la Palestina kuwa ni mhimili usioweza kufanyiwa mazungumzo…

    2025-12-21 07:00
  • Kuitukana Qur’ani ni Sawa na Kuwashambulia Waislamu Wote

    Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon walaani kudharauliwa Qur’ani Tukufu:

    DuniaKuitukana Qur’ani ni Sawa na Kuwashambulia Waislamu Wote

    Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon, katika taarifa rasmi, umelaani vikali kitendo cha “Jake Lang”, mgombea wa Chama cha Republican cha Marekani, cha kuidharau Qur’ani Tukufu.

    2025-12-21 06:00
  • Ushiriki wa Iran katika Maonesho ya Kitabu ya Burkina Faso

    DuniaUshiriki wa Iran katika Maonesho ya Kitabu ya Burkina Faso

    Hawza/ Maonesho ya Kitabu yalifanyika mjini Ouagadougou, mji mkuu wa Burkina Faso, kwa muda wa siku sita, huku yakishirikisha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

    2025-12-21 00:30
  • Kaulimbiu za Mapinduzi ya Kiislamu zilikuwa ni Muhimili wa Muqāwama kwa Waislamu Afrika Kusini

    Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Johannesburg, Afrika Kusini:

    DuniaKaulimbiu za Mapinduzi ya Kiislamu zilikuwa ni Muhimili wa Muqāwama kwa Waislamu Afrika Kusini

    Hawza/ Farid Is-haq amesema: Tajriba ya Afrika Kusini inaonesha kuwa hotuba ya Mapinduzi ya Kiislamu, kwa kurejea upya na kufasiri upya dhana za Qur’ani Tukufu, zilichukua nafasi muhimu katika…

    2025-12-20 23:53
  • Lazima tuwe na uhuru wa kifikra na kielimu / Fikra za Magharibi Hazipaswi Kuathiri Jamii

    Ayatullah Al-Udhma Subhani katika ufunguzi wa Taasisi ya Utafiti wa Ilmu ya Kalamu ya Imam Ja‘far Sadiq (a.s):

    DuniaLazima tuwe na uhuru wa kifikra na kielimu / Fikra za Magharibi Hazipaswi Kuathiri Jamii

    Hawza/ Mtukufu Ayatullah Subhani alionya kwamba: Ni lazima tuingie katika uwanja wa elimu kupitia njia sahihi, wala hatupaswi kuvutiwa na kuathiriwa na Magharibi. Sisi wenyewe tuna misingi sahihi…

    2025-12-20 07:59
  • Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu Nigeria, Sheikh Ibraheem Zakzaky, Atunukiwa Tuzo ya Dunia ya Imam Khomeini + Picha

    DuniaKiongozi wa Harakati ya Kiislamu Nigeria, Sheikh Ibraheem Zakzaky, Atunukiwa Tuzo ya Dunia ya Imam Khomeini + Picha

    Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, Sheikh Ibraheem Zakzaky, ametunukiwa Tuzo ya Dunia ya Imam Khomeini (ra), kutokana na kutambua mchango wake mkubwa katika kuhudumia Ummah…

    2025-12-19 23:53
  • Kurejea Shughuli za “Daesh” Kwenye Maeneo Yaliyo Chini ya Udhibiti wa Serikali ya Damascus; Ni Jambo Linalo Tishia Usalama

    DuniaKurejea Shughuli za “Daesh” Kwenye Maeneo Yaliyo Chini ya Udhibiti wa Serikali ya Damascus; Ni Jambo Linalo Tishia Usalama

    Hawza/ Kuongezeka kwa operesheni zilizotekelezwa hivi karibuni na kundi la Daesh nchini Syria kunatoa tahadhari ya kurejea kwa shughuli za kundi hili; jambo hili linatokea katika kipindi nyeti…

    2025-12-19 09:00
  • Sheikh Al-Rifa‘i: Kuhalalisha mahusiano si tu ni Usaliti kwa Umma, Bali Kunahatarisha Uwepo Wetu

    DuniaSheikh Al-Rifa‘i: Kuhalalisha mahusiano si tu ni Usaliti kwa Umma, Bali Kunahatarisha Uwepo Wetu

    Hawza/ Sheikh Mu’min al-Rifa‘i, mshauri wa masuala ya uhusiano wa kidiplomasia wa Lebanon, katika taarifa yake alisisitiza kuwa kuweka kawaida mahusiano si tu usaliti kwa Umma, bali ni usaliti…

    2025-12-19 08:00
  • Msimamo Wetu Kuhusu Palestina Uko Wazi na Dhahiri

    Waziri Mkuu wa Hispania:

    DuniaMsimamo Wetu Kuhusu Palestina Uko Wazi na Dhahiri

    Hawza/ Pedro Sánchez, Waziri Mkuu wa Uhispania, alitetea msimamo wa wazi wa nchi yake dhidi ya uhalifu wa Israel. Katika hotuba yake ya kupitia tathmini ya utendaji wa mwaka mzima, alisema: msimamo…

    2025-12-19 07:00
  • Kauli za Chuki Dhidi ya Uislamu Zalaaniwa Vikali Nchini Marekani

    DuniaKauli za Chuki Dhidi ya Uislamu Zalaaniwa Vikali Nchini Marekani

    Hawza/ Kauli za chuki dhidi ya Waislamu zilizotolewa na maafisa wawili wa chama cha Republican cha Marekani, ikiwemo wito wa kupiga marufuku kuingia kwa Waislamu na hata kuwafukuza Waislamu,…

    2025-12-19 06:00
  • Toronto Kanada, Yaandaa Mkutano wa Kuvutia wa Kiislamu

    DuniaToronto Kanada, Yaandaa Mkutano wa Kuvutia wa Kiislamu

    Hawza/ mkutano wa kila mwaka wa kuhuisha Uislamu halisi (RIS) utafanyika kuanzia tarehe 19 hadi 21 Desemba 2025 huko Toronto.

    2025-12-18 23:56
  • Adui Muisraeli Hataki Utulivu Upatikane Katika Ukanda Huu

    Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia wa Lebanon:

    DuniaAdui Muisraeli Hataki Utulivu Upatikane Katika Ukanda Huu

    Hawza/ Sheikh Ali al-Khatib, Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia wa Lebanon, alisisitiza: Tunaupa umuhimu uthabiti katika nchi zote za eneo hili, lakini adui Mzayuni haachi nafasi…

    2025-12-18 22:40
  • Kongamano la Sita la “Mafunzo ya Muqawama wa Palestina” Mjini Beirut Limesisitiza Umoja na Mbinu za Kukabiliana na Wavamizi

    DuniaKongamano la Sita la “Mafunzo ya Muqawama wa Palestina” Mjini Beirut Limesisitiza Umoja na Mbinu za Kukabiliana na Wavamizi

    Hawza/ Kwa ushirikiano na Chuo Kikuu cha Lebanon, mkutano wa sita wa kila mwaka wa Jumuiya ya Kiarabu ya Elimu ya Siasa, wenye anuani “Harakati za ukombozi na uhuru katika dunia ya tatu na mafunzo…

    2025-12-18 21:40
  • Muqawama ni Njia ya Heshima na Hadhi kwa Umma wa Kiislamu / Viongozi wa Muqawama Wanaendeleza Njia ya Imam Khomeini (ra)

    Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuhuisha Turathi za Wanazuoni Lebanon:

    DuniaMuqawama ni Njia ya Heshima na Hadhi kwa Umma wa Kiislamu / Viongozi wa Muqawama Wanaendeleza Njia ya Imam Khomeini (ra)

    Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh Al-Baghdadi, huku akisisitiza nafasi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuunga mkono mataifa yaliyodhulumiwa na mhimili wa muqawama, alisema: Muqawama ni njia…

    2025-12-18 20:40
  • Kikao Kilicho na Anuani Isemayo: “Sitisheni Mauaji ya Kimbari Dhidi ya Wapalestina” Chafanyika Nchini India

    DuniaKikao Kilicho na Anuani Isemayo: “Sitisheni Mauaji ya Kimbari Dhidi ya Wapalestina” Chafanyika Nchini India

    Hawza/ Kikao chenye anuani isemayi “Sitisheni mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina, ikomboleni Palestina” kilifanyika katika mji wa Hyderabad, India, kwa lengo la kutangaza mshikamano na taifa…

    2025-12-18 19:40
  • Taasisi ya Kawthar Yafanya Hafla ya “Siku ya Kimataifa ya Wanawake Wakiislamu” Nchini Uturuki

    DuniaTaasisi ya Kawthar Yafanya Hafla ya “Siku ya Kimataifa ya Wanawake Wakiislamu” Nchini Uturuki

    Hawza/ Kituo cha Kitamaduni cha Kawthar, kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuzaliwa Bibi Fatima Zahra (a.s.) na Siku ya Kimataifa ya Wanawake Wakiislamu, kiliandaa hafla ya kiroho iliyowakutanisha…

    2025-12-18 18:59
  • Wakaaji wa Itikafu Waombe Dua Kwa Ajili ya Kuwaokoa Waislamu Kutoka Katika Hali Ngumu

    Ayatullah Al-Udhma Subhani:

    DuniaWakaaji wa Itikafu Waombe Dua Kwa Ajili ya Kuwaokoa Waislamu Kutoka Katika Hali Ngumu

    Hawza/ Ayatullah Subhani amesisitiza kuwa: mambo yanayowakumba Waislamu leo hayajawahi kushuhudiwa kwa kiwango kikubwa kama hiki katika historia, na kutokana na dunia kutojali kuhusu maafa haya…

    2025-12-17 21:00
  • Kukuza Utamaduni wa Swala Hakufanyiki Kulingana na Amri

    Ayatullah Al-Udhma Nouri Hamadani:

    DuniaKukuza Utamaduni wa Swala Hakufanyiki Kulingana na Amri

    Hawza/ Ayatullah Nouri Hamadani, akisisitiza juu ya umuhimu wa kujenga utamaduni kuanzia katika mazingira ya elimu na familia, amesema wazi kuwa: kukuza utamaduni wa Swala hakutapatikana kwa…

    2025-12-17 20:00
  • Wito wa Tarehe 18 Desemba; Hasira za Wafanyakazi Dhidi ya Sera Kali za Serikali ya Ufaransa

    DuniaWito wa Tarehe 18 Desemba; Hasira za Wafanyakazi Dhidi ya Sera Kali za Serikali ya Ufaransa

    Hawza/ Zaidi ya mashirika na vyama 400 nchini Ufaransa vimewaita wananchi kushiriki maandamano ya tarehe 18 Desemba dhidi ya ubaguzi wa rangi na kwa ajili ya kuhalalishwa kisheria kwa watu wasiokuwa…

    2025-12-17 19:00
  • Tuwe Wapinga-Uzayuni, si Wapinga-Uyahudi

    DuniaTuwe Wapinga-Uzayuni, si Wapinga-Uyahudi

    Hawza/ Harakati ya kuunga mkono Palestina nchini Scotland ililaani tukio la ufyatuaji risasi uliosababisha vifo katika hafla ya Wayahudi nchini Australia, na ikasisitiza kuwa hakuna uhalali wowote…

    2025-12-17 18:00
  • Muqawama ni Jibu la Kihistoria kwa Uislamu Dhidi ya Uvamizi na Ubeberu

    Mkurugenzi wa Taasisi ya 'Kuhuisha Turathi za Wanazuoni' wa Lebanon, Katika Kongamano la kimataifa la “Muqawama”:

    DuniaMuqawama ni Jibu la Kihistoria kwa Uislamu Dhidi ya Uvamizi na Ubeberu

    Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh Baghdadi, huku akisisitiza kuwa; muqawama una mizizi yake katika mafundisho halisi ya Uislamu, alisema wazi kuwa: Muqawama ni jibu la kihistoria na la kimkakati la…

    2025-12-17 17:00
  • Hakuna Nafasi ya Kujisalimisha Katika Kamusi Yetu, Muqawama ni Utamaduni wa Maisha

    Waziri wa Zamani wa Lebanon:

    DuniaHakuna Nafasi ya Kujisalimisha Katika Kamusi Yetu, Muqawama ni Utamaduni wa Maisha

    Hawza/ Mustafa Bairam alisisitiza kuwa muqawama nchini Lebanon, sambamba na watu wake, umefikia viwango vya juu kabisa vya wajibu wa kibinadamu na kitaifa katika kusimama upande wa wanyonge,…

    2025-12-17 16:00
  • Licha ya Mashinikizo Yote, Muqawama Utaendelea Kumiliki Silaha

    Mwakilishi wa Hizbullah:

    DuniaLicha ya Mashinikizo Yote, Muqawama Utaendelea Kumiliki Silaha

    Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Faisal Shukr alisisitiza kuwa; bendera ya muqawama itaendelea kuinuliwa, na silaha zake, licha ya mashinikizo yote, silaha zitaendelea kubakia mikononi mwa wapiganaji…

    2025-12-17 15:03
  • Ni lazima Thamani na Motisha za Mashahidi Zihamishiwe kizazi kijacho/ Umuhimu wa Kufafanua kwa Ubunifu wa Kisanaa Maadili ya Ulinzi Mtakatifu

    Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi Iran, Katika Kikao na Waandaaji wa Kongamano la Kitaifa la Kuadhimisha Mashahidi wa Mkoa wa Alborz Nchini Humo:

    DuniaNi lazima Thamani na Motisha za Mashahidi Zihamishiwe kizazi kijacho/ Umuhimu wa Kufafanua kwa Ubunifu wa Kisanaa Maadili ya Ulinzi Mtakatifu

    Hawzah/ Ayatollah Sayyid Ali Khamenei amesisitiza: kuhamisha thamani na motisha za kipindi cha Ulinzi Mtakatifu kukielekea kizazi kipya kunahitaji kazi ya kisanaa na ufuatiliaji usiokatika.

    2025-12-17 10:22
  • Utafiti ndani ya Hawza una Jukumu la Kuongoza/ Leo tuko Katikati ya Mapambano Makubwa ya Kiakili na Kimaendeleo

    Ayatollah A‘rafi Katika Kikao na Wakurugenzi na Manaibu wa Utafiti wa Hawza ya Qom Iran:

    HawzaUtafiti ndani ya Hawza una Jukumu la Kuongoza/ Leo tuko Katikati ya Mapambano Makubwa ya Kiakili na Kimaendeleo

    Hawza/ Ayatollah A‘rafi, akielezea nafasi ya kipekee ya Hawza, alisema: “Leo katika ulimwengu mzima, nguzo kuu ya uzalishaji wa fikra kwa ajili ya Mapinduzi ya Kiislamu na katika kujibu mahitaji…

    2025-12-16 23:02
  • Ayatullah Hosseini Bushehri: Hawza Inaenda Sambamba na Mabadiliko

    HawzaAyatullah Hosseini Bushehri: Hawza Inaenda Sambamba na Mabadiliko

    Hawza/ Rais wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza alisema: Matokeo ya shughuli za vituo vyetu vya kielimu yanapaswa siku zote kuwepo juu ya meza za viongozi. Haitoshi kujitosheleza kwa kuwasilisha vitabu…

    2025-12-16 22:02
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • Next

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom