Jumanne 20 Mei 2025

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Wasiliana nasi
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Siri ya kutokuwa bayana wakati wa kudhihiri Imamu wa Zama (as)

    "Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 17

    DiniSiri ya kutokuwa bayana wakati wa kudhihiri Imamu wa Zama (as)

    Hawza | Bila shaka yoyote, subira yenye tija ambayo ni miongoni mwa sababu kuu za harakati na uhai inajitokeza tu katika kivuli cha kufichika wakati wa kudhihiri Imam (as).

    2025-05-20 11:50
  • Mufti Mkuu wa Tanzania akutana na wanafunzi wa kitanzania katika ziara yake nchini Morocco

    DuniaMufti Mkuu wa Tanzania akutana na wanafunzi wa kitanzania katika ziara yake nchini Morocco

    Hawza/ Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakr bin Zuber, amekutana na wanafunzi wa kitanzania nchini Morocco na kuweza kufanya nao mazungumzo ya pamoja.

    2025-05-20 11:46
  • Kuwa mwenye kutafuta riziki ya halali

    Hadithi ya leo:

    DiniKuwa mwenye kutafuta riziki ya halali

    Usiache kutafuta riziki kwa njia ya halali; kwani ni auni (msaada) kwa ajili yako katika dini.

    2025-05-20 06:39
  • Iran, Nchi ya Tatu kwa Uzalishaji wa Dawa ya Ugonjwa wa MS Duniani

    DuniaIran, Nchi ya Tatu kwa Uzalishaji wa Dawa ya Ugonjwa wa MS Duniani

    Hawza/ Iran, kwa kufanikisha teknolojia ya uzalishaji wa dawa ya ugonjwa wa MS (Multiple Sclerosis), imetambuliwa kuwa mtengenezaji wa tatu kwa ukubwa wa dawa hii duniani. Mafanikio haya ni hatua…

    2025-05-20 06:36
  • Zakariya al-Sinwar, ndugu wa Shahidi Yahya al-Sinwar, auwawa kishahidi katika kambi ya al-Nusairat.

    DuniaZakariya al-Sinwar, ndugu wa Shahidi Yahya al-Sinwar, auwawa kishahidi katika kambi ya al-Nusairat.

    Hawza/ Zakariya al-Sinwar, ndugu yake Yahya al-Sinwar, ameuawa kishahidi pamoja na wanawe watatu katika shambulio lililo fanywa na utawala wa Kizayuni kwenye kambi ya al-Nusairat katikati mwa…

    2025-05-20 06:35
  • Maafisa wa Haram ya Imamu Husein (a.s) wafanya Ziara katika Ubalozi wa Vatikani ulioko Baghdad

    DuniaMaafisa wa Haram ya Imamu Husein (a.s) wafanya Ziara katika Ubalozi wa Vatikani ulioko Baghdad

    Hawza/ Kwa ushirikiano na Ofisi ya Ushauri ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq, Idara ya Masuala ya Kitamaduni, pamoja na Bodi ya Usimamizi ya Sekretarieti ya Haram ya Imamu Husein (a.s), walifanya…

    2025-05-20 06:34
  • Kiongozi Mpya wa Kanisa Katoliki Aapishwa

    DuniaKiongozi Mpya wa Kanisa Katoliki Aapishwa

    Hawza/ Papa Leo wa Kumi na Nne, siku ya Jumapili baada ya kuongoza ibada yake ya kwanza takatifu, alitawazwa rasmi kuwa kiongozi wa Kanisa Katoliki.

    2025-05-20 06:33
  • Kubainisha Wakati kwa ajili ya Kudhihiri

    "Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 16

    DiniKubainisha Wakati kwa ajili ya Kudhihiri

    Hawza/ Daima wamekuwepo watu walioainisha wakati wa kudhihiri kwa kutumia nia za kishetani, na watu wa aina hiyo wataendelea kuwepo hata katika siku zijazo. Hivyo basi, viongozi maasumu (as)…

    2025-05-18 14:54
  • Mwisho wa kufuata matamaniwa ya Nafsi ndio Mwanzo wa ubinadamu

    Darsa la (Akhlaq) Maadili:

    DiniMwisho wa kufuata matamaniwa ya Nafsi ndio Mwanzo wa ubinadamu

    Hawza | Mtu ambaye haoni thamani yoyote ya kidunia kwa ajili ya nafsi yake, hufikia daraja ya utukufu wa nafsi kiasi kwamba hawezi kufikiwa kirahisi. Heshima ya nafsi si kiburi wala si udhalili,…

    2025-05-18 14:49
  • Usichokipenda (kufanyiwa) wewe, usipende pia wafanyiwe wengine

    Hadithi ya leo:

    DiniUsichokipenda (kufanyiwa) wewe, usipende pia wafanyiwe wengine

    Muadilifu zaidi miongoni mwa watu ni mwenye kuwapendelea watu yale anayoyapenda kwa ajili ya nafsi yake, na mwenye kuchukia (yasiwafike) watu yale anayochukia kwa ajili ya nafsi yake.

    2025-05-18 11:39
  • António Guterres akosoa vikali kuhusiana na kutojali kwa jamii ya kimataifa dhidi ya mateso yasiyo na kikomo wanayo yapitia watu wa Ghaza

    DuniaAntónio Guterres akosoa vikali kuhusiana na kutojali kwa jamii ya kimataifa dhidi ya mateso yasiyo na kikomo wanayo yapitia watu wa Ghaza

    Hawza/ Mkutano wa thelathini na nne wa nchi kuu za Kiarabu ulianza rasmi siku ya Jumamosi huku nchi ya Iraq wakiwa ndio wenyeji wa mkutano huo, mkutano huo ulikuwa na kaulimbiu isemayo: “Majadiliano,…

    2025-05-18 08:18
  • Rais wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan: Ukombozi wa Quds ni ahadi ya Mwenyezi Mungu

    DuniaRais wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan: Ukombozi wa Quds ni ahadi ya Mwenyezi Mungu

    Hawza/ Katika kumbukumbu ya siku ya kukaliwa kimabavu kwa mji mtakatifu wa Quds, Seneta Raja Nasir Abbas Jafari, katika tamko alilolitoa, amelaani jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni na…

    2025-05-17 20:35
  • Sheikh Ibrahim Zakzaky aomba kuachiliwa huru wafungwa wa kisiasa nchini Nigeria

    DuniaSheikh Ibrahim Zakzaky aomba kuachiliwa huru wafungwa wa kisiasa nchini Nigeria

    Hawza/ Sheikh Sayyid Ibrahim Zakzaky amekutana na baadhi ya watu waliokuwa wamefungwa kwa muda wa miaka sita lakini hatimaye wameachiwa huru baada ya kufutiwa mashtaka.

    2025-05-17 20:34
  • Ayatollah Arafi atuma ujumbe wa pongezi kwa Papa mpya / Asisitiza ushirikiano wa kielimu na kitamaduni kati ya hawza ya Iran na Vatikani

    HawzaAyatollah Arafi atuma ujumbe wa pongezi kwa Papa mpya / Asisitiza ushirikiano wa kielimu na kitamaduni kati ya hawza ya Iran na Vatikani

    Hawza/ Mkurugenzi (Mudir) wa hawza nchini Iran ametuma ujumbe wa pongezi kwa kuchaguliwa Papa Leon wa kumi na nne kuwa kiongozi wa Katoliki duniani.

    2025-05-17 20:33
  • Raisi Mwinyi: Kipaumbele chetu kiwe ni Madrasa pamoja na kuwasaidia Masheikh na Walimu

    DuniaRaisi Mwinyi: Kipaumbele chetu kiwe ni Madrasa pamoja na kuwasaidia Masheikh na Walimu

    Hawza/ Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewasisitiza Waislamu, wahisani na wafadhili kuelekeza nguvu zao katika kuziimarisha Madrassa pamoja…

    2025-05-17 12:46
  • Amejidharau mwenyewe yule mwenye kuwa na tamaa

    Hadithi ya leo:

    DiniAmejidharau mwenyewe yule mwenye kuwa na tamaa

    Amejidharau mwenyewe yule mwenye kuwa na tamaa, na atakuwa ameridhika na udhalili mwenye kufichua matatizo yake, na ambaye anauacha ulimi wake kuitawala roho yake ameishusha hadhi nafsi yake.

    2025-05-16 12:01
  • Tamasha la kimataifa la Qur'ani kufanyika nchini Tanzania

    DuniaTamasha la kimataifa la Qur'ani kufanyika nchini Tanzania

    Hawza/ Tamasha la kimataifa la Qur'ani limepangwa kufanyika nchini Tanzania huku likishirikisha Taasisi nne mashuhuri nchini humo.

    2025-05-16 11:14
  • Alama za Kudhihiri Imamu Mahdi (A.S.)

    "Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 15

    DiniAlama za Kudhihiri Imamu Mahdi (A.S.)

    Hawza/ Kwa kuwa alama na ishara za kudhihiri Imamu Mahdi (a.s.) ni bishara ya faraja ya Mahdi ahli wa Mtume Muhammad (s.a.w), kutokea kwa kila mojawapo kati ya alama hizo huifanya nuru ya matumaini…

    2025-05-16 11:12
  • Njaa na ukame huko Ghaza ni ishara ya ukosefu wa maadili ya kibinadamu duniani

    DuniaNjaa na ukame huko Ghaza ni ishara ya ukosefu wa maadili ya kibinadamu duniani

    Hawza/ Mgogoro wa Ghaza ni janga la kibinadamu ambalo athari zake mbaya zinawakumba watu wa tabaka lote, lakini mzigo mkubwa zaidi unabebwa na watoto. Mzigo huu unavunja mifupa yao, kwa hakika,…

    2025-05-16 11:06
  • Hijabu nchini Nigeria yateka vyombo vya Habari

    DuniaHijabu nchini Nigeria yateka vyombo vya Habari

    Hawza/ Bi Hamda Adenike alishindwa kushiriki katika kikao cha mtihani wa taasisi ya kielimu kwa sababu ya kuwa na hijabu.

    2025-05-16 11:05
  • Mwanafikra wa Kihindi: Hawza ya Qom ndio Mshika Bendera ya Ijtihadi Dhidi ya fikra mgando

    HawzaMwanafikra wa Kihindi: Hawza ya Qom ndio Mshika Bendera ya Ijtihadi Dhidi ya fikra mgando

    Hawza/ Aqil Reza Turabi, mwanafikra wa Kihindi, katika tamko lake ameielezea Hawza ya Elimu ya Qom kuwa ni mfano wa mapinduzi hai, yenye mwanga, kiroho na kiakili.

    2025-05-16 11:04
  • Taarifa ya Hawza Kuhusiana na Kauli za dhihaka za Trump / Serikali za ukanda huu zisiingie katika mitego ya upuuzi Huo

    HawzaTaarifa ya Hawza Kuhusiana na Kauli za dhihaka za Trump / Serikali za ukanda huu zisiingie katika mitego ya upuuzi Huo

    Uongozi wa hawza, sambamba na kulaani upuuzi wa Rais mwenye dhalili wa Marekani — ambao umetolewa kwa nia ya kuiunga mkono serikali ya Kizayuni na kuchochea mifarakano baina ya nchi za Kiislamu…

    2025-05-16 11:02
  • Rais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan: Israeli ni utawala wa kimabavu, usio halali na ni tishio kwa amani ya dunia

    DuniaRais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan: Israeli ni utawala wa kimabavu, usio halali na ni tishio kwa amani ya dunia

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake kwenye mnasaba wa Siku ya Nakba (15 Mei), amelieleza utawala wa Kizayuni kuwa ni utawala wa kunyang’anya kwa nguvu…

    2025-05-16 11:01
  • Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi: Kusimama Imara Mbele ya Madhalimu Ndio Sababu ya Uadui Wao Dhidi Yetu

    DuniaKiongozi Mkuu wa Mapinduzi: Kusimama Imara Mbele ya Madhalimu Ndio Sababu ya Uadui Wao Dhidi Yetu

    Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: Tatizo kuu la mabeberu wa Magharibi ni kuwa Jamhuri ya Kiislamu inakataa utamaduni wao batili.

    2025-05-16 10:59
  • Kuwa hivyo katika fitina

    Hadithi ya leo:

    DiniKuwa hivyo katika fitina

    Katika fitina kuwa kama mwana wa ngamia; Hana mgongo wa kupandwa wala chuku ili akamuliwe maziwa.

    2025-05-15 16:50
  • Wasanii Mashuhuri Duniani watia saini kwenye Waraka mmoja

    DuniaWasanii Mashuhuri Duniani watia saini kwenye Waraka mmoja

    Hawza/ Zaidi ya watu mashuhuri 350 katika ulimwengu wa sinema na nyota wa Cannes na Hollywood, wakiwemo mastaa kama Richard Gere na Susan Sarandon, wamelaani “mauaji ya halaiki” yanayoendelea…

    2025-05-15 09:41
  • Ayatollahil-Udhma Jawadi Amuli: “Elimu, Akili na Malezi” ni nguzo tatu za ukombozi kwa Hawza na Vyuo Vikuu

    HawzaAyatollahil-Udhma Jawadi Amuli: “Elimu, Akili na Malezi” ni nguzo tatu za ukombozi kwa Hawza na Vyuo Vikuu

    Hawza/ Ayatollahil-Udhma Jawadi Amuli ametaja nguzo tatu za ukombozi, yaani “Elimu, Akili na Malezi”, kuwa ndio njia ya ustawi wa mtu binafsi na jamii katika hawza na vyuo vikuu katika ulimwengu…

    2025-05-15 09:40
  • Kwa kumfurahisha mwanao, mfurahishe pia Mwenyezi Mungu

    Hadithi ya leo:

    DiniKwa kumfurahisha mwanao, mfurahishe pia Mwenyezi Mungu

    Mwenye kumfundisha mtoto wake Qur'an, basi mtoto huyo ataitwa [Siku ya Kiyama] pamoja na wazazi wake na kuwavisha mavazi mawili ambapo nyuso za watu wa peponi zitang'aa kutokana na nuru yao.

    2025-05-14 16:19
  • Trump Anakusudia Kufanya Biashara kwa Kutumia Utajiri na Damu ya Watu wa Ukanda huu/ Washington Inajaza Mifuko Yake kutokana na Pesa za Nchi za Kiarabu

    DuniaTrump Anakusudia Kufanya Biashara kwa Kutumia Utajiri na Damu ya Watu wa Ukanda huu/ Washington Inajaza Mifuko Yake kutokana na Pesa za Nchi za Kiarabu

    Hawza/ Nchi za Kiarabu katika mwezi Machi zitakuwa wenyeji wa rais wa Marekani anayependa kamari na kufanya biashara, ambaye hana umuhimu wowote na damu, maisha, wala mali za watu wa eneo hili,…

    2025-05-14 16:12
  • New York Times: Ghuba ya Uajemi Kamwe Haitapewa Jina Bandia

    DuniaNew York Times: Ghuba ya Uajemi Kamwe Haitapewa Jina Bandia

    Hawza/ Umoja wa Mataifa nao unatumia istilahi ya “Ghuba ya Uajemi”. Makala moja iliyochapishwa mwaka 2006 nchini Marekani imebainisha kuwa katika nyaraka za kihistoria, jina la “Ghuba ya Uajemi”…

    2025-05-14 16:10
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • Next

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Wasiliana nasi
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom