Jumanne 30 Desemba 2025
  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Kitabu cha Al-Ghadir kimeondosha uwezekano wa kukanusha Wilayah ya Amirul-Mu’minin Ali (a.s.)

    Mwalimu wa Hawza:

    DuniaKitabu cha Al-Ghadir kimeondosha uwezekano wa kukanusha Wilayah ya Amirul-Mu’minin Ali (a.s.)

    Hawza/ Hujjatul-Islam Khorrami-Arani, akirejelea kitabu “Al-Ghadir” cha Allama Amini, amekitaja kuwa ni kazi ya kipekee isiyo na mfano na ngome imara mbele ya upotoshaji wa historia.

    2025-12-29 23:00
  • Maktaba ya Shahidi Sulaimani ni ramani ya njia ya Qur’ani katika ushindi wa Muqawama

    Mwakilishi wa Kiongozi wa Waislamu wa Kishia wa Bahrain:

    DuniaMaktaba ya Shahidi Sulaimani ni ramani ya njia ya Qur’ani katika ushindi wa Muqawama

    Hawza/ Sheikh al-Daqqaq, akisisitiza misingi ya Qur’ani ya maktaba ya Muqawama, alisema: Maktaba ya Shahidi Haj Qasim Sulaimani, kwa kutegemea uchambuzi wa kimkakati, malezi ya rasilimali watu…

    2025-12-29 22:31
  • Yanayojiri Ghaza ni mauaji ya halaiki yaliyo wazi na jinai dhidi ya ubinadamu

    DuniaYanayojiri Ghaza ni mauaji ya halaiki yaliyo wazi na jinai dhidi ya ubinadamu

    Hawza/ Sheikh Sayyid Bahauddin Naqshbandi, kiongozi wa twariqa ya Naqshbandiyya, katika warsha ya tano ya kimataifa isemayo: "Iran Jukwaa la Heshima ya Kiislamu katika kukabiliana na utawala…

    2025-12-29 21:20
  • Iran ya ni mshika-bendera wa heshima na mpambanaji katika ulimwengu wa Kiislamu

    Rais wa Jumuiya ya Wahadhiri wa Vyuo vya Serikali vya Pakistan:

    DuniaIran ya ni mshika-bendera wa heshima na mpambanaji katika ulimwengu wa Kiislamu

    Hawza/ Profesa Munawar Abbas, Rais wa Jumuiya ya Wahadhiri wa Vyuo vya Serikali vya Pakistan, katika warsha ya tano ya kimataifa isemayo: "Iran; Jukwaa la Heshima ya Kiislamu katika kukabiliana…

    2025-12-29 20:20
  • Irani kuikingia kifua Palestina, kumejengeka katika msingi na imani ya Dini

    Mjumbe mwanzilishi wa Chama cha Haki Uturuki:

    DuniaIrani kuikingia kifua Palestina, kumejengeka katika msingi na imani ya Dini

    Hawza/ Bi. Dkt. Fatemeh Bostan, mjumbe mwanzilishi wa Chama cha Haki cha Uturuki, katika warsha-pepe ya tano ya kimataifa isemayo: "Iran; Jukwaa la Heshima ya Kiislamu katika kukabiliana na utawala…

    2025-12-29 19:40
  • Hatua ya awali ya mashindano ya Qur’ani Tukufu nchini Oman yakamilika

    DuniaHatua ya awali ya mashindano ya Qur’ani Tukufu nchini Oman yakamilika

    Hawza/ mashindano ya awali ya Qur’ani Tukufu yaliyoandaliwa kwa ufadhili wa Wizara ya Wakfu ya Oman na kwa ushiriki wa zaidi ya wahifadhi na wasomaji wa Qur’ani 170 yamekamilika.

    2025-12-29 19:09
  • Kunyongwa vijana 3 wa Kishia hivi karibuni huko Qatif ni jinai ya kisiasa na ukiukwaji wa wazi wa haki

    Jumuiya ya Amal ya Kiislamu ya Bahrain:

    DuniaKunyongwa vijana 3 wa Kishia hivi karibuni huko Qatif ni jinai ya kisiasa na ukiukwaji wa wazi wa haki

    Hawza/ Jumuiya ya Amal ya Kiislamu ya Bahrain katika taarifa yake imeainisha kuwa: Kunyongwa kwa Sayyid Hussein Al-Qallaf, Muhammad Ahmad Al-Hamad na Hassan Saleh Al-Salim, waliokuwa wakizuiliwa…

    2025-12-29 00:00
  • Muqawama unaendelea kwa nguvu hadi itakapotimia ahadi ya Mwenyezi Mungu / Maktaba ya Shahidi Suleimani ni nguzo ya kifikra kwa Muqawama wa Kiislamu

    Mjumbe wa Baraza Kuu la Hizbullah Lebanon:

    DuniaMuqawama unaendelea kwa nguvu hadi itakapotimia ahadi ya Mwenyezi Mungu / Maktaba ya Shahidi Suleimani ni nguzo ya kifikra kwa Muqawama wa Kiislamu

    Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh al-Baghdadi alisisitiza kuwa: Muqawama unaendelea kwa nguvu na kwa kushikamana na maktaba ya mashahidi na uongozi, katika njia ya kusimama imara na kupambana na adui…

    2025-12-28 23:30
  • Mazishi ya Mwanazuoni Sheikh Ridha Mahmoud Mahdi, yafanyika katika mji wa Khartoum nchini Lebanon

    DuniaMazishi ya Mwanazuoni Sheikh Ridha Mahmoud Mahdi, yafanyika katika mji wa Khartoum nchini Lebanon

    Hawza/ Hizbullah na watu wa Muqawama waliuaga mwili wa Mwanazuoni, Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Ridha Mahmoud Mahdi.

    2025-12-28 23:00
  • Kiongozi mwandamizi wa Hizbullah: Muqawama hautapambana na jeshi na hautaruhusu fitina ya ndani

    DuniaKiongozi mwandamizi wa Hizbullah: Muqawama hautapambana na jeshi na hautaruhusu fitina ya ndani

    Hawza/ Sheikh Ali Damoush amesema: hapo awali ilielezwa kwamba kukamilishwa kwa hatua za jeshi kusini mwa Mto Litani kulitegemea kusitishwa kwa mashambulizi na kujiondoa kwa adui “Muisraeli”…

    2025-12-28 22:00
  • Bendera iliyoandikwa “Waliidu al-Ka‘bah” yapandishwa katika Ataba Tukufu ya Imam Ali (as)

    DuniaBendera iliyoandikwa “Waliidu al-Ka‘bah” yapandishwa katika Ataba Tukufu ya Imam Ali (as)

    Hawza/ Ataba Tukufu ya Alawi, sambamba na kuwasili kwa wiki ya maadhimisho ya kumbukumbu ya kuzaliwa Imamu Ali (amani iwe juu yake), imeanza maadhimisho haya kwa kupandisha bendera iliyoandikwa…

    2025-12-28 21:30
  • Sheikh Khazali, azitaka taasisi za Kiislamu, Kiarabu na za kimataifa kutekeleza wajibu wao wa kibinadamu ili kusitisha mauaji nchini Syria

    DuniaSheikh Khazali, azitaka taasisi za Kiislamu, Kiarabu na za kimataifa kutekeleza wajibu wao wa kibinadamu ili kusitisha mauaji nchini Syria

    Hawza/ Katibu Mkuu wa Harakati ya Asaib Ahl al-Haq, amezitaka taasisi za Kiislamu, Kiarabu na za kimataifa kutekeleza wajibu wao wa kibinadamu ili kusitisha mauaji na ukiukwaji unaotishia maisha…

    2025-12-28 21:00
  • Muqtada al-Sadr alaani vikali shambulio la kigaidi katika Msikiti wa Imamu Ali (a.s.) nchini Syria

    DuniaMuqtada al-Sadr alaani vikali shambulio la kigaidi katika Msikiti wa Imamu Ali (a.s.) nchini Syria

    Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Sadr, amelaani vikali shambulio la kigaidi lililofanywa katika Msikiti wa Imamu Ali (a.s.) katika mji wa Homs nchini Syria, na kuitaka serikali ya Syria kudhibiti…

    2025-12-28 20:00
  • Umoja wa Mataifa walaani mauwaji ya kiholela dhidi ya Mashia nchini Syria

    DuniaUmoja wa Mataifa walaani mauwaji ya kiholela dhidi ya Mashia nchini Syria

    Hawza/ António Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amelaani vikali shambulio la kigaidi la hivi karibuni lililosababisha umwagaji damu, shambulio ambalo liliulenga Msikiti wa Imamu Ali…

    2025-12-28 19:00
  • Mamlaka tawala yafaa kuwajibika kutokana na mashambulizi ya kigaidi

    Baraza Kuu la Kiislamu la Alawiya nchini Syria:

    DuniaMamlaka tawala yafaa kuwajibika kutokana na mashambulizi ya kigaidi

    Hawza/ Baraza Kuu la Kiislamu la Alawiya nchini Syria na nje ya nchi, kupitia tamko lake rasmi, limeyalaani mashambulizi ya kigaidi yanayojirudia dhidi ya raia wa dhehebu la Alawi.

    2025-12-28 18:42
  • Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Najaf Ashraf atahadharisha dhidi ya minong’ono ya kuhalalisha uhusiano na Israel

    DuniaImamu wa Swala ya Ijumaa wa Najaf Ashraf atahadharisha dhidi ya minong’ono ya kuhalalisha uhusiano na Israel

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanji amesema kuwa: yaliyotajwa katika hotuba ya Sako (Askofu wa Wakristo wa Kaldani wa Iraq) kuhusiana na kuhalalisha uhusiano na Israel,…

    2025-12-28 17:10
  • Dunia ya leo inahitajia Mfumo wa haki wa Kiislamu, kitaifa na kimataifa

    Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Mkutano wa Mwaka wa Umoja wa Vyama vya Kiislamu vya Wanafunzi barani Ulaya:

    DuniaDunia ya leo inahitajia Mfumo wa haki wa Kiislamu, kitaifa na kimataifa

    Hawza/ Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika ujumbe wake kwenye mkutano wa mwaka wa Umoja wa Jumuiya za Kiislamu zaa Wanafunzi barani Ulaya amesema: Dunia ya leo inahitajia kuwepo mfumo wa…

    2025-12-28 16:10
  • Ibada tano muhimu zinazohimizwa kufanywa ndani ya Mwezi wa Rajabu

    Mwanazuoni Mashuhuri Nchini Tanzania:

    DuniaIbada tano muhimu zinazohimizwa kufanywa ndani ya Mwezi wa Rajabu

    Hawza/ Mwanazuoni mashuhuri nchini Tanzania, Maulana Sheikh Hemedi Jalala Mwakindenge, Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) na Mkurugenzi wa Hawza ya Imam Swaadiq (a.s), amesisitiza…

    2025-12-27 17:00
  • Kumsahau Mwenyezi Mungu ndio mwanzo wa mwanadamu kuanguka

    Mafunzo katika Qur'ani

    DiniKumsahau Mwenyezi Mungu ndio mwanzo wa mwanadamu kuanguka

    Hawza/ Kumsahau Mwenyezi Mungu ni mwanzo wa kuanguka kiroho kwa mwanadamu, jambo linaloishia katika kujisahau nafsi yake mwenyewe. Kwa mujibu wa Aya ya 19 ya Suratul Hashr, mwanadamu anayemsahau…

    2025-12-27 16:30
  • Wosia wa Ayatullah al-‘Udhma Bashir Hussein Najafi kwa mwakilishi wa Mashia nchini Denmark

    DuniaWosia wa Ayatullah al-‘Udhma Bashir Hussein Najafi kwa mwakilishi wa Mashia nchini Denmark

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Murid Hussein Naqvi alikutana na kufanya mazungumzo na Ayatullah al-‘Udhma Bashir Hussein Najafi hukk Najaf Ashraf.

    2025-12-27 16:00
  • Hawza ya Jabal ‘Amil yatuma ujumbe wa rambirambi kufuatia kufariki Sheikh Ridha Mahdi

    DuniaHawza ya Jabal ‘Amil yatuma ujumbe wa rambirambi kufuatia kufariki Sheikh Ridha Mahdi

    Hawza/ Hawza ya Kielimu ya Jabal ‘Amil, kwa kutoa ujumbe rasmi, imewasilisha rambirambi zake za dhati na za moyo mkunjufu pamoja na kuonesha mshikamano wake kufuatia kufariki kwa Hujjatul-Islam…

    2025-12-27 15:30
  • Ikiwa adui anaendelea kuwaua Walebanon, mazungumzo naye yana thamani gani?

    Ali Fayyadh Akiihutubia Serikali ya Lebanon:

    DuniaIkiwa adui anaendelea kuwaua Walebanon, mazungumzo naye yana thamani gani?

    Hawza/ Mjumbe wa kundi la wabunge la “Uaminifu kwa Muqāwama” katika Bunge la Lebanon alisema: Leo, damu takatifu za Jeshi shujaa la Lebanon, ambalo tunathamini misimamo na busara za uongozi wake,…

    2025-12-27 14:30
  • Kujitoa muhanga kwa mashahidi kusini kulikuwa kwa ajili ya Lebanon yote, na baadhi ya viongozi wanazungumza lugha ya adui

    Mwakilishi wa Harakati ya Amal Lebanon:

    DuniaKujitoa muhanga kwa mashahidi kusini kulikuwa kwa ajili ya Lebanon yote, na baadhi ya viongozi wanazungumza lugha ya adui

    Hawza/ Qubaisi alitangaza: Uchaguzi ujao wa Baraza la Wawakilishi ni jihadi sambamba na mashahidi na ni ulinzi wa Lebanon iliyo huru, yenye heshima na yenye kujitegemea.

    2025-12-27 14:05
  • Ongezeko la wimbi la ukandamizaji nchini Syria; magereza yamejaa tena na kukamatwa kunaendelea!

    DuniaOngezeko la wimbi la ukandamizaji nchini Syria; magereza yamejaa tena na kukamatwa kunaendelea!

    Hawza/ Mwaka mmoja umepita tangu kuanguka kwa serikali ya awali ya Syria iliyokuwa na sura na mapambo ya kiusalama na kijasusi; mfumo ambao ulitoa nafasi kwa serikali mpya yenye nyuso na watu…

    2025-12-27 12:30
  • Shahidi Ayatullah Hakim alikuwa na mchango mkubwa katika kuasisiwa demokrasia ya Iraq

    Mjumbe wa Harakati ya Hikmat ya Iraq:

    DuniaShahidi Ayatullah Hakim alikuwa na mchango mkubwa katika kuasisiwa demokrasia ya Iraq

    Hawza/ Karam al-Khaz‘ali, mjembe wa Harakati ya Hikmat ya Kitaifa ya Iraq, alisisitiza kuwa; Shahidi wa Mihrabu, Ayatullah Sayyid Muhammad Baqir al-Hakim, alitoa mchango mkubwa na wa kipekee…

    2025-12-27 11:49
  • Ayatullah Milani kwa hakika alikuwa mhuishaji wa Hawza ya Mashhad

    Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran:

    DuniaAyatullah Milani kwa hakika alikuwa mhuishaji wa Hawza ya Mashhad

    Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu alimuelezea marehemu Ayatullah Milani kuwa ni shakhsia kamili katika nyanja za kiroho, kimaadili, kielimu na kijamii na kisiasa, na akasisitiza kuwa:…

    2025-12-25 23:50
  • Ayatullah Milani alikuwa miongoni mwa watu wanaoiunga harakati ya Imam Khomeini (ra)

    Ayatullah A‘arafi katika Kongamano la Kumbukizi ya Ayatullah Al-‘Udhmaa Milani:

    HawzaAyatullah Milani alikuwa miongoni mwa watu wanaoiunga harakati ya Imam Khomeini (ra)

    Hawza/ Ayatullah A‘arafi, huku akirejea busara ya kisiasa na ya kimapinduzi ya marji' huyu mkubwa, alisisitiza: Ayatullah Milani alikuwa miongoni mwa maraji' wa kwanza kuiunga mkono harakati…

    2025-12-25 23:05
  • Utekelezaji mzuri wa diplomasia ya kielimu unahitajia uratibu na ushirikiano na aina nyingine za diplomasia

    Msaidizi wa Hawza Katika Masuala ya Kimataifa Nchini Iran:

    HawzaUtekelezaji mzuri wa diplomasia ya kielimu unahitajia uratibu na ushirikiano na aina nyingine za diplomasia

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Husseini Kouhsari amesema kuwa; kufanyiwa kazi diplomasia ya kielimu kunahitaji kutambua umuhimu na ulazima wake, pamoja na kujenga mijadala na utamaduni katika…

    2025-12-25 11:30
  • Kuzidisha masomo ya wazi (Dars-u-Kharij) ya uhakiki katika elimu ya Kalamu ni miongoni mwa dharura za haraka

    Ayatullah A‘rafi Katika Kikao Cha Pamoja na Walimu wa Somo la Kalamu:

    HawzaKuzidisha masomo ya wazi (Dars-u-Kharij) ya uhakiki katika elimu ya Kalamu ni miongoni mwa dharura za haraka

    Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, huku akisisitiza ulazima wa kuinua hadhi ya Kalamu ya Kiislamu kufikia kiwango cha ijtihadi ya fiqhi na usul, ametoa wito wa kufanyiwa marekebisho upya…

    2025-12-25 10:30
  • Kila mwaka takribani makala 2,500 za kielimu zilizo thibitishwa hutayarishwa ndani ya hawza

    Msaidizi wa Utafiti wa Hawza Nchini Iran:

    HawzaKila mwaka takribani makala 2,500 za kielimu zilizo thibitishwa hutayarishwa ndani ya hawza

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Abbasi, akisisitiza uhai na uongozi wa hawza za kielimu katika uwanja wa utafiti, amesema kuwa: kila mwaka takribani makala 2,500 za kielimu zenye ithibati…

    2025-12-25 09:27
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • Next

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom