-
DiniUtukufu wa ibada ya Bibi Zahraa (a.s) Kulingana na Mtazamo wa Ayatullah A-Udhma Javadi Amoli
Hawza/ Ayatullah Javadi Amoli amebainisha kuwa: Bibi Zahraa (a.s) alipokuwa akisimama kuswali alikuwa akijikita kiasi kikubwa kwenye utukufu wa Mwenyezi Mungu na kupotea kabisa katika jalali…
-
DuniaMaonesho ya Kwanza ya Sanaa ya Kiislamu nchini Korea Kusini Yawashangaza Wahudhuriaji
Hawza/ Jumba la Makumbusho la Taifa la Korea Kusini limeitenga sehemu ya ghorofa ya tatu ya jengo lake kuwa hifadha ya sanaa za Kiislamu, na imepangwa kuwa kuanzia Ijumaa sehemu hii itakuwa wazi…
-
DuniaRais wa Lebanon Alaani Vikali Shambulio la Israel huko Dhahia
Hawza/ Joseph Aoun ametangaza kuwa shambulio la Dhahia kusini mwa Beirut na Israel, na kuingiliana kwa shambulio hili na maadhimisho ya Siku ya Uhuru, ni uthibitisho mwingine kwamba Israel haiutilii…
-
DuniaSheikh Ahmad Qablan, Aikosoa Vikali Serikali ya Lebanon
Hawza/ Mwanazuoni mashuhuri wa Lebanon katika tamko lake amelaani shambulio la jinai lililofanywa na jeshi la Kizayuni huko Dhahia kusini, ambalo lililenga moyo wa uamuzi wa kitaifa wa Lebanon—yaani…
-
DuniaMjumbe Mwandamizi wa Hizbullah: Tutachukua Uamuzi Mwafaka Kuhusiana na Uvamizi wa Israel
Hawza/ Mahmoud Qomati amesisitiza kuwa shambulio la Israel dhidi ya Dhahia kusini mwa Beirut ni ujumbe wa uhasama na ni uvunjaji wa mamlaka ya Lebanon.
-
DuniaIran Yalaani Vikali Mauaji ya Kamanda Mkubwa wa Muqawama
Hawza/ Wizara ya Mambo ya Nje na Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa wamelaani vikali uhalifu wa kigaidi uliofanywa na utawala wa Kizayuni katika shambulio dhidi ya maeneo ya makazi huko…
-
DuniaSemina ya Siku Mbili Yenye Lengo la Kuimarisha Sekta ya Elimu na Utafiti Yafanyika Nchini Tanzania, Huku Ikishirikisha Nchi Mbalimbali
Hawza/ Katika jitihada za kuboresha ubora wa elimu na kukuza ushirikiano wa kikanda, Jamiat Al-Mustafa (s) – Tanzania, kupitia tawi lake la Dar es Salaam, imeandaa semina ya siku mbili iliyowakutanish…
-
DuniaImamu wa Ijumaa Baghdad: Matokeo ya Uchaguzi ni Ujumbe Bayana wa Uelewa wa Umma / Utawala wa Kizayuni Unaongoza Mradi Mpya wa Kuugawa Upya Ukanda
Hawza/ Imamu wa Ijumaa wa Baghdad ameeleza kuwa matokeo ya uchaguzi wa Iraq ni ishara ya uelewa wa wananchi na kushindwa kwa mitazamo tegemezi, na akatahadharisha kuwa utawala wa Kizayuni unalenga…
-
DuniaMoscow Yafanya Hafla ya Kumbukizi ya Shahada ya Bibi Zahraa (a.s) katika Kituo cha Kiislamu
Hawza/ Hafla ya kila wiki inayofanywa katika Kituo cha Kiislamu nchini Moscow imefanyika sambamba na kuadhimisha siku za Fatimiyya.
-
DuniaWaandamanaji Wanaotaka Amani Watawanywa na Polisi Uingereza
Hawza/ Polisi wa Uingereza kwa mara nyingine imewatawanya kwa nguvu waandamanaji wapenzi wa amani na kuwakamata baadhi yao. Waandamanaji hawa walikuwa wakipinga hukumu ya mahakama iliyopiga marufuku…
-
DuniaUswisi Yawa Mwenyeji wa Mkutano wa Kimataifa wa Kujadili Nafasi ya Misikiti
Hawza/ Uswisi imekuwa mwenyeji wa mkutano wa kimataifa wa kuchunguza nafasi ya misikiti na mchango wake unaozidi kuongezeka katika maendeleo ya kijamii ya jamii za Ulaya.
-
Hukumu za Kisheria:
DiniJe, kuvaa nguo nyeusi katika siku za Fatimiyya ni makruh?
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu swali kuhusiana na hukumu ya kisheria ya kuvaa nguo nyeusi katika siku za Fatimiyya, (Siku ambazo watu wanaadhimisha kumbukizi ya kuuwawa kishahidi Bibi…
-
DiniJawabu kwa Shubha ya Kihistoria: Je, ni Kweli Nyumba ya Bibi Zahraa (a.s) Ilichomwa Moto?
Hawza/ Katika kipindi kilichoandaliwa huku akihudhuria Hujjatul-Islam Muhammadi Shahroudi, palisisitizwa juu ya kupata maarifa ya Fatimiyyah kama ufunguo wa kufumbua fumbo la historia, na kuchambua…
-
Uchambuzi na Utafiti wa Fatwimiyya Uliofanywa na Ustadh Husseini Qazwini:
HawzaDaraja na Hadhi ya Bibi Fatima Zahra (a.s) Katika Vyanzo vya Ahlus-Sunna
Hawza/ Rais wa Taasisi ya Utafiti ya Hujjat Wali al-Asr (a.t.f.s) amesema: Miongoni mwa hadithi nyingi zilizopo katika vitabu visivyo vya Kishia kuhusu daraja ya Bibi Fatima Zahra (a.s), ni hadithi…
-
Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Lebanon:
DuniaMauaji ya halaiki ya Aynu al-Hilwah hayataachwa bila jibu na adhabu
Hawza/ “Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu” Lebanon, katika tamko walilolitoa, umelaani vikali mauaji ya halaiki yaliyofanywa na adui Myahudi katika kambi ya Aynu al-Hilwah.
-
DuniaWatoto Wanaolipa Gharama za Vita
Hawza/ Mwaka huu Siku ya Kimataifa ya Mtoto imewadia huku mamilioni ya watoto katika maeneo ya migogoro wakipitia mojawapo ya nyakati ngumu zaidi katika historia ya kisasa.
-
DuniaKamanda wa Jeshi la Lebanon: Tuko Katika Hatua ya Kuamua Mustakbaki Wakati Uvamizi wa Ardhi ya Lebanon Ukiendelezwa na Israel
Hawza/ Jenerali Rudolf Haykal ametangaza kuwa Lebanon, katika mazingira ya kuendelea kwa uvamizi wa ardhi zake unaofanywa na Israel, inakabiliwa na moja ya hatua ngumu zaidi katika historia yake.
-
DuniaUNICEF: Tangia Kusitishwa mapigano, Kwa Uchache Watoto Wawili wa Kipalestina Huuwawa Kila Siku Huko Ghaza
Hawza/ Msemaji wa Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) ametangaza kuwa tangu kuanza kwa kusitishwa mapigano kati ya Hamas na Israel, watoto 67 wamepoteza maisha huko Ghaza.
-
Ayatollah Kaabi:
DuniaMapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni Mwanga Uliotokana na Nuru ya Kusimama Imara Bibi Zahraa (a.s.)
Hawza/ Mjumbe wa Uongozi wa Baraza la Wanazuoni (majlis khobregan) amesema: “Kusimama imara Bibi Zahraa (a.s.) kulikuwa na baraka; na miongoni mwa baraka hizo ni Ashura, na miongoni mwa baraka…
-
DuniaJibu la wazi la Darul-Iftaa ya Misri kwa maswali mawili yasiyo na msingi
Hawza/ Darul-Iftaa, kwa kutegemea hoja za kisheria, imeeleza kwamba madai ya kutokujuzu kuswali swala ya maiti au swala nyingine yoyote katika misikiti iliyo na kaburi ni batili na hayana msingi.
-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Qom Iran:
DuniaMaktaba ya Fātimiyya ndiyo uti wa mgongo wa harakati za kimungu katika historia
Hawza/ Ayatullah Sa’īdī alisema: Harakati kubwa za kimungu katika historia zimejengeka juu ya malezi, uongofu na mfumo wa fikra wa maktaba ya Fātimiyya.
-
DuniaMjumbe wa Kambi ya Muqawama: Wazayuni wamelijaribu taifa letu tangu 1948 hadi leo, lakini hawajavunja azma yake
Hawza/ Husein Jushi alisema: Tunaitaka serikali iitishe Kamati ya Utaratibu (Mekanizimu) ili kusitisha uvamizi dhidi ya raia na iwasilishe malalamiko kwa Baraza la Usalama.
-
Mjumbe Mwandamizi wa Muungano wa Uratibu Iraq:
DuniaKipindi cha pili cha uwaziri mkuu wa al-Sudani kinawezekana, lakini kwa masharti
Hawza/ Mu’in al-Kāzimī amesisitiza kuwa kipindi cha pili cha uwaziri mkuu wa Muhammad Shiyā‘ al-Sudānī kinawezekana, kwa sharti kwamba atoe dhamana kwa hatua ijayo.
-
Viongozi wa Kanda wa Morocco:
DuniaAzimio la Baraza la Usalama kuhusu Ghaza ni hatari zaidi kuliko azimio la kugawa Palestina
Hawza/ Azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Ghaza limezua sintofaham na mitazamo mikubwa katika ukanda wa Morocco.
-
DuniaImamu wa Ijumaa Beirut Alaani Mauaji ya Wapalestina Katika Kambi ya Ain Al-Hilweh
Hawza/ Imamu wa Ijumaa wa Beirut, katika mawasiliano ya simu, sambamba na kutoa mkono wa pole, amelaani mauaji yaliyofanywa na Israel katika kambi ya Ain al-Hilweh.
-
DiniMzizi wa Wilaya na Unabii Unaoatikana katika Uwepo Mtukufu wa Bibi Fatima Zahraa (a.s.)
Hawza/ Mzizi wa “Wilaya" wa na “Unabii” umo katika uwepo wa Bibi Fatima Zahraa (s.a). Mtume Mtukufu (s.a.w.w.) amesema: «فاطمه اُمّ أبیها» “Fatima ni mama wa baba yake”; yaani mama wa baba yake…
-
DuniaMarekani, Karayib na Kukabiliana na Venezuela
Hawza/ Mjumbe wa Baraza la Utafiti la Taasisi ya Imam Khomeini (r.a), akirejea mabadiliko ya hivi karibuni katika eneo la Karayib na uwepo wa meli za Marekani kwa kisingizio cha kupambana na…
-
Mafunzo Katika Nahjul - Balagha:
DiniHivi Ndivyo Utakavyokuwa Mpenzi wa Mungu
Hawza/ Kuwatumikia waja wa Mungu ni miongoni mwa matendo yenye kupendwa sana na Mwenyezi Mungu, na yametajwa pia kuwa ni kafara ya madhambi.
-
DuniaHotuba Kali ya Kocha wa Manchester City Dhidi ya Israel
Hawza/ Pep Guardiola, kocha wa Manchester City, kabla ya mechi ya misaada ya kibinadamu dhidi ya timu ya Palestina, alitoa hotuba kali dhidi ya jinai zinazofanywa na Israel huko Ghaza, na kuwalaumu…
-
DuniaUmoja wa Mataifa Wapitisha Mpango wa Marekani; Hamas Yakataa
Hawza/ Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha mpango wa Marekani wa kusitisha mapigano unaojumuisha uwepo wa majeshi ya uvamizi kwa jina la vikosi vya uthabiti wa kimataifa huko Gbaza,…