Jumatatu 5 Januari 2026
  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Sifa tatu muhimu za serikali ya Amirul-Mu’minin (a.s.) kwa mtazamo wa mtafiti wa Ahlus-Sunna

    DuniaSifa tatu muhimu za serikali ya Amirul-Mu’minin (a.s.) kwa mtazamo wa mtafiti wa Ahlus-Sunna

    Hawza/ Maulavi Ruhul-Amin katika hotuba zake alisisitiza kuwa; mwenendo na sera za Amirul-Mu’minin, Mtukufu Ali bin Abi Talib (a.s.), ni zaidi ya historia; ni mfano hai wa vitendo wa haki, uwajibikaji…

    2026-01-04 13:38
  • Ayatullah al-‘Udhma Nouri Hamadani apongeza utendaji kazi wa Ayatullah A‘raafi

    DuniaAyatullah al-‘Udhma Nouri Hamadani apongeza utendaji kazi wa Ayatullah A‘raafi

    Mtukufu Ayatullah Nouri Hamedani, akirejelea utendaji kazi wenye thamani kubwa wa Ayatullah A‘raafi kwenye uongozi wa Hawza, ametoa pongezi kwa kuandaliwa kwa kongamano kubwa la kumuadhimisha…

    2026-01-04 07:22
  • Maandamano ya Uturuki kwenye Mwaka Mpya wa Miladia kwa ajili ya kuiunga mkono Ghaza; wanasoka wa Uturuki nao waliingia uwanjani

    DuniaMaandamano ya Uturuki kwenye Mwaka Mpya wa Miladia kwa ajili ya kuiunga mkono Ghaza; wanasoka wa Uturuki nao waliingia uwanjani

    Hawza/ Vilabu vya soka nchini Uturuki viliunga mkono maandamano ya Istanbul yaliyoandaliwa kupinga mauaji ya kimbari yanayoendelea nchini Palestina.

    2026-01-04 01:00
  • Waislamu wa Uingereza wapata nafasi ya kwanza katika kujitolea misaada ya kibinadamu nchini humo

    DuniaWaislamu wa Uingereza wapata nafasi ya kwanza katika kujitolea misaada ya kibinadamu nchini humo

    Hawza/ Waislamu wa Uingereza hutumia takribani pauni bilioni 2.2 kila mwaka katika shughuli za misaada ya kheri, kiasi ambacho ni karibu mara nne zaidi ya wastani wa kile ambacho watu wazima…

    2026-01-04 00:30
  • Katibu Mkuu wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia wa Pakistan ashiriki katika Kongamano la Dunia la Dini, Bangkok – Thailand

    DuniaKatibu Mkuu wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia wa Pakistan ashiriki katika Kongamano la Dunia la Dini, Bangkok – Thailand

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Shabbir Hassan Meethami alishiriki katika Kongamano la Kimataifa la Dini huko Bangkok, Thailand, ambapo alikutana na viongozi wa dini mbalimbali na akasisitiza…

    2026-01-04 00:00
  • Shahidi Soleimani alikuwa shujaa wa ubinadamu na mbeba-bendera ya umoja wa Umma katika kuitetea Palestina

    Mwakilishi wa Harakati ya Hamas nchini Iran:

    DuniaShahidi Soleimani alikuwa shujaa wa ubinadamu na mbeba-bendera ya umoja wa Umma katika kuitetea Palestina

    Hamas/ Khaled Qaddoumi alisisitiza: Lau asingekuwapo Haj Qassem Soleimani, haijulikani msimamo mkali wa Kizayuni na ugaidi wa takfiri vingesababisha janga kubwa kiasi gani kwenye dini na makabila…

    2026-01-03 23:30
  • Sheikh Ahmad Qablan aikosoa vikali Serikali ya Lebanon

    DuniaSheikh Ahmad Qablan aikosoa vikali Serikali ya Lebanon

    Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh Ahmad Qablan, Mufti Mkuu wa Jaafari wa Lebanon, amesema: “Tumejikuta katikati ya nchi ambayo inaendelea kuporomoka kila siku.”

    2026-01-03 23:00
  • Hamas: Uhalifu wa Israel dhidi ya wanahabari hautaweza kunyamazisha sauti ya ukweli

    DuniaHamas: Uhalifu wa Israel dhidi ya wanahabari hautaweza kunyamazisha sauti ya ukweli

    Hawza/ Hamas ilisema: “Baada ya miaka miwili ya vita na mauaji ya kimbari yaliyojaa umwagaji damu katika Ukanda wa Ghaza tangia tarehe 7 Oktoba 2023 hadi sasa, wanahabari na waandishi wa habari…

    2026-01-03 22:30
  • Mashahidi Sulaimani na al-Muhandis ni mfano halisi wa Aya Tukufu isemayo: Watu walio timiza waliyo ahidiana na Mwenyezi Mungu

    Imamu wa Swala ya Ijumaa ya Najaf Ashraf:

    DuniaMashahidi Sulaimani na al-Muhandis ni mfano halisi wa Aya Tukufu isemayo: Watu walio timiza waliyo ahidiana na Mwenyezi Mungu

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanchi alisema: “Leo tunaishi katika neema ya usalama kwa baraka ya damu za mashahidi; hakuna kurudi nyuma katika njia hii, wala hakuna hofu…

    2026-01-03 22:00
  • Mwaka Mpya wa Miladia si kituo cha kumalizika muqawama

    DuniaMwaka Mpya wa Miladia si kituo cha kumalizika muqawama

    Hawza/ Abu Alaa al-Walaei, Katibu Mkuu wa Kataib Sayyid al-Shuhada wa Iraq, katika kipindi cha kuelekea Mwaka Mpya wa Miladia, kupitia taarifa aliyotoa, alisisitiza kuwa kuingia mwaka mpya hakutoi…

    2026-01-03 21:39
  • Anae Pinga kwa Hoja Tunajadiliana nae, Ama Muhuni na Mfanya Vurugu, Yafaa Awekwe Panapostahiki

    Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Iran:

    DuniaAnae Pinga kwa Hoja Tunajadiliana nae, Ama Muhuni na Mfanya Vurugu, Yafaa Awekwe Panapostahiki

    Hawza/ Sambamba na maadhimisho ya heri ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa baraka Amirul-Muuminina, Bwana Ali (a.s), maelfu ya familia tukufu za mashahidi wa vita vya siku 12 (Mashahidi wa Uthabiti),…

    2026-01-03 14:59
  • Amali za Usiku wa Kumi na Tatu wa Mwezi wa Rajabu

    DuniaAmali za Usiku wa Kumi na Tatu wa Mwezi wa Rajabu

    Hawza/ Mwezi wa Rajabu una fadhila nyingi kama kufunga, kuswali swala maalumu, usiku na mchana wake, hususan siku ya kumi na tatu ambayo ina amali mahsusi na fadhila kubwa. Tarehe kumi na tatu…

    2026-01-02 23:15
  • Mwanadamu yatakikana awe chemchemi katika jamii/ Msisitizo juu ya umuhimu wa itikafu katika mwezi wa Rajabu

    Ayatullah Al-‘Udhma Jawadi Amoli:

    HawzaMwanadamu yatakikana awe chemchemi katika jamii/ Msisitizo juu ya umuhimu wa itikafu katika mwezi wa Rajabu

    Hawza/ Mtukufu Ayatullah Al-‘Udhma Jawadi Amoli, katika kipindi cha darsa ya maadili kilichofanyika katika Msikiti Mkuu wa Qum Iran, kwa kufafanua “njia ya tatu ya dini” katika kukabiliana na…

    2026-01-02 02:00
  • Vijana waibadilishe mitandao ya kijamii liwe jukwaa la elimu na mazungumzo yenye kujenga

    Rais wa Harakati ya Minha'j-ul-Qur’an Pakistan:

    DuniaVijana waibadilishe mitandao ya kijamii liwe jukwaa la elimu na mazungumzo yenye kujenga

    Hawza/ Dkt. Muhammad Tahir-ul-Qadri, katika hotuba yake huku akisisitiza nafasi kubwa na yenye athari ya mitandao ya kijamii, amewataka vijana kwa kuzingatia maadili na kuwajibika, kuibadili…

    2026-01-02 01:00
  • Kuwaheshimu wanazuoni na wasomi ni wajibu wa kimaadili

    Ayatullah Al-‘Udhma Subhani:

    DuniaKuwaheshimu wanazuoni na wasomi ni wajibu wa kimaadili

    Hawza/ Ayatullah Al-‘Udhma Ja‘far Subhani, katika ujumbe wake kwenye hafla ya kumuenzi Profesa Muhammad Ali Mahdavi-Rad, ameeleza kuwa; kuwaheshimu wanazuoni na wasomi ni wajibu wa kimaadili.

    2026-01-02 00:00
  • Maisha ya kielimu na kushikamana na maadili ni miongoni mwa misingi muhimu ya kuwa mwanahawza

    Katika ujumbe wa Ayatullah A‘rafi kwenye hafla ya kumuenzi Profesa Mahdavi-Rad ilielezwa:

    HawzaMaisha ya kielimu na kushikamana na maadili ni miongoni mwa misingi muhimu ya kuwa mwanahawza

    Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza, katika ujumbe wa video alioutoa kwenye hafla ya kumuenzi Profesa Muhammad Ali Mahdavi-Rad, pamoja na kuitukuza hadhi yake ya kielimu na juhudi zake zenye thamani,…

    2026-01-01 23:00
  • Mwanazuoni Mashuhuri Nchini Tanzania Afariki Dunia

    DuniaMwanazuoni Mashuhuri Nchini Tanzania Afariki Dunia

    Hawza/ Innā lillāhi wa inna ilayhi rājiuun, Jamii ya Kiislamu nchini Tanzania imekumbwa na pigo kubwa kufuatia kufariki dunia kwa Mwanazuoni mashuhuri, mtetezi mahiri wa Madhehebu ya Ahlulbayt…

    2026-01-01 22:47
  • Tunasimama pamoja na harakati zote za muqawama dhidi ya udikteta wa Kizayuni–Marekani

    Sheikh Ahmad Al-Qattan:

    DuniaTunasimama pamoja na harakati zote za muqawama dhidi ya udikteta wa Kizayuni–Marekani

    Hawza/ Kiongozi wa kidini wa Kisunni kutoka Lebanon amesisitiza kuwa, Harakati ya Hamas itaendelea kusimama imara, kama zilivyo harakati nyingine zote za muqawama, maadamu bado kuna uvamizi na…

    2026-01-01 22:00
  • Kuuawa kishahidi Abu Ubaida na makamanda wa Al-Qassam hakutabadilisha mwelekeo wa muqawama

    Rais wa Muungano wa Wanazuoni wa Muqawama:

    DuniaKuuawa kishahidi Abu Ubaida na makamanda wa Al-Qassam hakutabadilisha mwelekeo wa muqawama

    Hawza/ Sheikh Maher Hammoud amesisitiza kuwa; tangazo la kuuawa kishahidi kundi la makamanda wa Vikosi vya Izzuddin Al-Qassam linathibitisha kwamba njia ya muqawama haitasimama.

    2026-01-01 21:00
  • Pakistan yakataa vikali hatua ya utawala wa Kizayuni kuhusu Somaliland

    DuniaPakistan yakataa vikali hatua ya utawala wa Kizayuni kuhusu Somaliland

    Hawza/ Tahir Hussein Andarabi, msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Pakistan, katika taarifa rasmi, huku akilaani vikali juhudi zozote za kudhoofisha mamlaka na umoja wa ardhi ya Somalia, alitangaza…

    2026-01-01 20:00
  • Hijabu ni miongoni mwa vielelezo vya kujitolea kufuata amri za Mwenyezi Mungu

    Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Beirut:

    DuniaHijabu ni miongoni mwa vielelezo vya kujitolea kufuata amri za Mwenyezi Mungu

    Hawza/ Jumuiya ya Kheri ya Al-Mabarrat iliandaa hafla katika Ukumbi wa Zahraa, uliopo ndani ya Jumuia ya Imamain Hasanayn (amani iwe juu yao) huko Haret Hreik, kwa ajili ya zaidi ya wasichana…

    2026-01-01 19:00
  • Korea Kusini yaandaa chakula cha halali kwa ajili ya watalii waislamu

    DuniaKorea Kusini yaandaa chakula cha halali kwa ajili ya watalii waislamu

    Hawza/ Mgahawa unaoandaa vyakula vya halali kwa Waislamu ulipokelewa kwa shauku kubwa na wanafunzi wanaoishi Korea Kusini, na baadaye ukapata umaarufu pia miongoni mwa watalii Waislamu. Kwa sasa,…

    2026-01-01 18:44
  • Mjumbe wa Hizbullah: Kuondoa nguzo kuu ya Lebanon ni ndoto tu

    DuniaMjumbe wa Hizbullah: Kuondoa nguzo kuu ya Lebanon ni ndoto tu

    Hawza/ Sheikh Muhammad Amrū alisisitiza kuwa mashinikizo ya kisiasa dhidi ya Lebanon hayatakuwa na matokeo yoyote maadamu mshikamano wa kitaifa unabaki kuwa nguzo kuu na tegemeo la nchi.

    2026-01-01 06:00
  • Palestina yalaani mswada wa Israel kuhusu kuzuia adhana misikitini

    DuniaPalestina yalaani mswada wa Israel kuhusu kuzuia adhana misikitini

    Hawza / Baraza Kuu la Fatwa nchini Palestina limelaani muswada uliowasilishwa na utawala haramu wa Israel unaolenga kuweka vikwazo vikali kuhusu kuadhiniwa misikitini.

    2026-01-01 02:00
  • Tadhari kutoka kwa mtafiti wa siasa kuhusiana na hali ya kutisha inayotawala Syria; wachache wanazidi kumalizwa taratibu

    DuniaTadhari kutoka kwa mtafiti wa siasa kuhusiana na hali ya kutisha inayotawala Syria; wachache wanazidi kumalizwa taratibu

    Hawza/ Iyas Al-Khatib alisisitiza kuwa kile kinachoonekana leo, maandamano na madai ya haki ya kujitawala na kulinda heshima katika miji ya Tartus na Latakia ni matokeo ya kiasili.

    2026-01-01 01:28
  • Itikafu yapaswa kusalia kuwa kitovu cha kuimarisha maarifa ya kizazi cha vijana

    HawzaItikafu yapaswa kusalia kuwa kitovu cha kuimarisha maarifa ya kizazi cha vijana

    Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, kwa kusisitiza umuhimu wa kulinda harakati ya Itikafu, ameielezea ibada hii kuwa ni uwezo wa kimkakati kwa ajili ya kuimarisha maarifa ya kidini, kuilinda…

    2026-01-01 00:40
  • Sanaa takatifu, ni sanaa inayotokana na nuru ya akili na wahyi

    Ayatollah Arafi katika hafla ya kumalizia tamasha la Sanaa ya Mbingu:

    HawzaSanaa takatifu, ni sanaa inayotokana na nuru ya akili na wahyi

    Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza akisisitiza jukumu la msingi la sanaa katika kumuimarisha binadamu na ujenzi wa ustaarabu wa Kiislamu alisema: Sanaa ya hali ya juu, inayotokana na dua, Qur'an na maarifa…

    2025-12-31 03:29
  • Trump na Netanyahu wanapaswa kukamatwa kama magaidi wa kwanza duniani

    Ayatullah Khatami:

    DuniaTrump na Netanyahu wanapaswa kukamatwa kama magaidi wa kwanza duniani

    Hawza/ Ayatullah Khatami huku akifichua njama za maadui katika uwanja wa vita mseto na shinikizo la kiuchumi, alisisitiza kuwa maseneta wa Marekani wanatafuta kuporomosha maisha ya wananchi,…

    2025-12-30 23:55
  • Sheikh Zakzaky: Mpango wa kuigawa Afrika katika sura mpya unaendelea kutekelezwa

    Kusambazwa upya habari moja katika anga ya vyombo vya habari barani Afrika:

    DuniaSheikh Zakzaky: Mpango wa kuigawa Afrika katika sura mpya unaendelea kutekelezwa

    Hawza/ Hotuba yetu inaelekezwa kwa watawala wanaowaua watu wao kwa sababu ya pesa na madaraka. Jueni kwamba kazi yenu itakapokwisha, wale wale waliowatumia pia watawaua ninyi; kama walivyowatendea…

    2025-12-30 23:30
  • Hafla ya kumbukizi ya miaka sita ya kuuawa shahidi Haj Qasem Soleimani na Abu Mahdi al-Muhandis yafanyika Najaf Ashraf

    DuniaHafla ya kumbukizi ya miaka sita ya kuuawa shahidi Haj Qasem Soleimani na Abu Mahdi al-Muhandis yafanyika Najaf Ashraf

    Hawza/ Hafla ya kuadhimisha miaka sita ya kuuawa kishahidi “Makomanda wa Ushindi”; Haj Qasem Soleimani na Abu Mahdi al-Muhandis, ilifanyika Najaf Ashraf kwa kuhudhuriwa na mwakilishi wa Kiongozi…

    2025-12-30 23:00
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • Next

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom