-
Ayatullah Shab-Zendadar:
DuniaTablighi na ufafanuzi ni kiungo cha kukamilisha malengo ya Qiyamu ya Sayyid al-Shuhadaa (a.s)
Hawza/ Katibu wa Baraza Kuu la Hawza, huku kufafanua jukumu la kiasili la hawza katika uwanja wa tablighi, amebainisha kuwa, kuwatuma wahubiri katika minasaba ya kidini ni mfano halisi wa kutekeleza…
-
DuniaTuzo ya Kumi na Moja ya Kimataifa ya Arbaeen yatamatika huko Karbala Tukufu
Hawza/ Tuzo ya Kumi na Moja ya Kimataifa ya Arbaeen, kwa kuwatunuku washindi na kusisitiza nafasi kuu ya sanaa na vyombo vya habari katika kusambaza ujumbe wa Ashura duniani, imehitimisha shughuli…
-
Ukiukwaji wa haki za Waislamu nchini Italia:
DuniaManispaa ya Rovigo yapinga ujenzi wa makaburi ya Kiislamu kwa ajili ya Wislamu kuzikana
Hawza/ Jumuiya ya Waislamu wa Rovigo, baada ya kugharamia kikamilifu mradi huo, imeomba kuanzishwa makaburi ya Kiislamu yaliyo huru, lakini manispaa ya mji huu, licha ya kutokuwepo kiwango chochote…
-
Mufti Mkuu wa Jaafaria wa Lebanon:
DuniaSerikali ioneshe ustahiki wake wa kitaifa
Hawza/ Mufti Mkuu wa Jaafaria wa Lebanon alisema: Tupo katika wakati wa machafuko ya kimataifa yanayoongozwa na Washington, huku Ulaya ikisalimu amri, jambo ambalo linaupeleka Umoja wa Mataifa…
-
DuniaMjumbe wa kambi ya Muqawama: Kauli za Bula Ya‘qubian ni matusi kwa Uislamu na Mtume Mtukufu (s.a.w.w.)
Hawza/ Rami Abu Hamdan, mjumbe wa kambi ya “Uaminifu kwa Muqawama”, amelaani kauli chafu zilizotolewa na Bula Ya‘qubian, mbunge wa Bunge la Lebanon, ambazo ndani yake aliwatusi wanazuoni wa dini…
-
Jabha ya Amali ya Kiislamu Lebanon:
DuniaKilichotokea Venezuela ni kusambaratika mabaki ya mfumo wa dunia na kuanguka kwa maadili na utu wa kimataifa
Hawza/ “Jabha ya Amali ya Kiislamu nchini Lebanon” imetangaza kuwa uvamizi dhalimu na wa khiyana wa Marekani ni uvamizi dhidi ya mabaki ya mfumo wa kisasa wa dunia na ni dalili ya kusambaratika…
-
Vyama vya Lebanon:
DuniaUvamizi wa Marekani dhidi ya Venezuela ni jinai ya kimataifa na inahitajika Baraza la Usalama lichukue hatua ya haraka sana
Hawza/ “Mkutano wa vyama, nguvu na shakhsia za kitaifa za Lebanon” katika kuelezea uvamizi wa wazi wa Marekani dhidi ya serikali ya Venezuela, umelaani vikali hatua hiyo.
-
DuniaMji wa Ghubairi nchini Lebanon wafanya hafla ya kumbukizi ya shahada ya kamanda Haj Qassim Suleimani
Hawza/ Mji wa Ghubairi uliopo katika mji wa Baabda nchini Lebanon uliadhimisha kumbukumbu ya shahada ya kamanda Shahidi Haj Qassim Suleimani kupitia hafla iliyofanyika karibu na mnara wa kumbukumbu…
-
DuniaHafla ya “Kuwakumbuka Mashahidi wa Muqawama” yafanyika huko Karachi, Pakistan
Hawza/ Hafla tukufu ya “Kuwakumbuka Mashahidi wa Muqawama” ilifanyika kwa juhudi za Ubalozi Mdogo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Karachi, Pakistan, huku ikihudhuriwa na kundi la wanazuoni…
-
Rais wa Baraza la Umoja wa Waislamu Pakistan:
DuniaUvamizi wa kijeshi uliofanywa na Marekani dhidi ya Venezuela na kuitishia Iran ni ukiukwaji wa wazi wa sheria za kimataifa
Hawza/ Seneta Raja Nasir Abbas Ja‘fari, Rais wa Baraza la Umoja wa Waislamu Pakistan, katika taarifa yake amelaani vikali hatua za kijeshi za Donald Trump dhidi ya Venezuela pamoja na vitisho…
-
Ayatullah Al-udhma Nouri Hamedani:
HawzaMadai ya haki yapitie njia sahihi/ Kiongozi wa Mapinduzi ametetea kwa uthabiti haki za wananchi
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Nouri Hamedani katika kikao chake na Hujjatul-Islam wal-Muslimin Haj Ali Akbari, walisisitiza kwamba Maimamu wa Swala za Ijumaa ni kiungo kati ya wananchi na mfumo wa…
-
DuniaBibi Zaynab (sa): Shujaa alie okoa maisha ya Imam Sajjad (as) dhidi ya Yazidi
Hawza/ Bibi Zaynab (sa) alikuwa mwanamke mwenye akili, ujasiri na subira ya kipekee; kwa ufahamu kamili wa misukosuko, aliandamana na Imam Hussein (as), na kwa hotuba zake pamoja na uongozi wake…
-
DuniaSifa tatu muhimu za serikali ya Amirul-Mu’minin (a.s.) kwa mtazamo wa mtafiti wa Ahlus-Sunna
Hawza/ Maulavi Ruhul-Amin katika hotuba zake alisisitiza kuwa; mwenendo na sera za Amirul-Mu’minin, Mtukufu Ali bin Abi Talib (a.s.), ni zaidi ya historia; ni mfano hai wa vitendo wa haki, uwajibikaji…
-
HawzaAyatullah al-‘Udhma Nouri Hamadani apongeza utendaji kazi wa Ayatullah A‘raafi
Mtukufu Ayatullah Nouri Hamedani, akirejelea utendaji kazi wenye thamani kubwa wa Ayatullah A‘raafi kwenye uongozi wa Hawza, ametoa pongezi kwa kuandaliwa kwa kongamano kubwa la kumuadhimisha…
-
DuniaMaandamano ya Uturuki kwenye Mwaka Mpya wa Miladia kwa ajili ya kuiunga mkono Ghaza; wanasoka wa Uturuki nao waliingia uwanjani
Hawza/ Vilabu vya soka nchini Uturuki viliunga mkono maandamano ya Istanbul yaliyoandaliwa kupinga mauaji ya kimbari yanayoendelea nchini Palestina.
-
DuniaWaislamu wa Uingereza wapata nafasi ya kwanza katika kujitolea misaada ya kibinadamu nchini humo
Hawza/ Waislamu wa Uingereza hutumia takribani pauni bilioni 2.2 kila mwaka katika shughuli za misaada ya kheri, kiasi ambacho ni karibu mara nne zaidi ya wastani wa kile ambacho watu wazima…
-
DuniaKatibu Mkuu wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia wa Pakistan ashiriki katika Kongamano la Dunia la Dini, Bangkok – Thailand
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Shabbir Hassan Meethami alishiriki katika Kongamano la Kimataifa la Dini huko Bangkok, Thailand, ambapo alikutana na viongozi wa dini mbalimbali na akasisitiza…
-
Mwakilishi wa Harakati ya Hamas nchini Iran:
DuniaShahidi Soleimani alikuwa shujaa wa ubinadamu na mbeba-bendera ya umoja wa Umma katika kuitetea Palestina
Hamas/ Khaled Qaddoumi alisisitiza: Lau asingekuwapo Haj Qassem Soleimani, haijulikani msimamo mkali wa Kizayuni na ugaidi wa takfiri vingesababisha janga kubwa kiasi gani kwenye dini na makabila…
-
DuniaSheikh Ahmad Qablan aikosoa vikali Serikali ya Lebanon
Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh Ahmad Qablan, Mufti Mkuu wa Jaafari wa Lebanon, amesema: “Tumejikuta katikati ya nchi ambayo inaendelea kuporomoka kila siku.”
-
DuniaHamas: Uhalifu wa Israel dhidi ya wanahabari hautaweza kunyamazisha sauti ya ukweli
Hawza/ Hamas ilisema: “Baada ya miaka miwili ya vita na mauaji ya kimbari yaliyojaa umwagaji damu katika Ukanda wa Ghaza tangia tarehe 7 Oktoba 2023 hadi sasa, wanahabari na waandishi wa habari…
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa ya Najaf Ashraf:
DuniaMashahidi Sulaimani na al-Muhandis ni mfano halisi wa Aya Tukufu isemayo: Watu walio timiza waliyo ahidiana na Mwenyezi Mungu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanchi alisema: “Leo tunaishi katika neema ya usalama kwa baraka ya damu za mashahidi; hakuna kurudi nyuma katika njia hii, wala hakuna hofu…
-
DuniaMwaka Mpya wa Miladia si kituo cha kumalizika muqawama
Hawza/ Abu Alaa al-Walaei, Katibu Mkuu wa Kataib Sayyid al-Shuhada wa Iraq, katika kipindi cha kuelekea Mwaka Mpya wa Miladia, kupitia taarifa aliyotoa, alisisitiza kuwa kuingia mwaka mpya hakutoi…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Iran:
DuniaAnae Pinga kwa Hoja Tunajadiliana nae, Ama Muhuni na Mfanya Vurugu, Yafaa Awekwe Panapostahiki
Hawza/ Sambamba na maadhimisho ya heri ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa baraka Amirul-Muuminina, Bwana Ali (a.s), maelfu ya familia tukufu za mashahidi wa vita vya siku 12 (Mashahidi wa Uthabiti),…
-
DuniaAmali za Usiku wa Kumi na Tatu wa Mwezi wa Rajabu
Hawza/ Mwezi wa Rajabu una fadhila nyingi kama kufunga, kuswali swala maalumu, usiku na mchana wake, hususan siku ya kumi na tatu ambayo ina amali mahsusi na fadhila kubwa. Tarehe kumi na tatu…
-
Ayatullah Al-‘Udhma Jawadi Amoli:
HawzaMwanadamu yatakikana awe chemchemi katika jamii/ Msisitizo juu ya umuhimu wa itikafu katika mwezi wa Rajabu
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Al-‘Udhma Jawadi Amoli, katika kipindi cha darsa ya maadili kilichofanyika katika Msikiti Mkuu wa Qum Iran, kwa kufafanua “njia ya tatu ya dini” katika kukabiliana na…
-
Rais wa Harakati ya Minha'j-ul-Qur’an Pakistan:
DuniaVijana waibadilishe mitandao ya kijamii liwe jukwaa la elimu na mazungumzo yenye kujenga
Hawza/ Dkt. Muhammad Tahir-ul-Qadri, katika hotuba yake huku akisisitiza nafasi kubwa na yenye athari ya mitandao ya kijamii, amewataka vijana kwa kuzingatia maadili na kuwajibika, kuibadili…
-
Ayatullah Al-‘Udhma Subhani:
HawzaKuwaheshimu wanazuoni na wasomi ni wajibu wa kimaadili
Hawza/ Ayatullah Al-‘Udhma Ja‘far Subhani, katika ujumbe wake kwenye hafla ya kumuenzi Profesa Muhammad Ali Mahdavi-Rad, ameeleza kuwa; kuwaheshimu wanazuoni na wasomi ni wajibu wa kimaadili.
-
Katika ujumbe wa Ayatullah A‘rafi kwenye hafla ya kumuenzi Profesa Mahdavi-Rad ilielezwa:
HawzaMaisha ya kielimu na kushikamana na maadili ni miongoni mwa misingi muhimu ya kuwa mwanahawza
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza, katika ujumbe wa video alioutoa kwenye hafla ya kumuenzi Profesa Muhammad Ali Mahdavi-Rad, pamoja na kuitukuza hadhi yake ya kielimu na juhudi zake zenye thamani,…
-
DuniaMwanazuoni Mashuhuri Nchini Tanzania Afariki Dunia
Hawza/ Innā lillāhi wa inna ilayhi rājiuun, Jamii ya Kiislamu nchini Tanzania imekumbwa na pigo kubwa kufuatia kufariki dunia kwa Mwanazuoni mashuhuri, mtetezi mahiri wa Madhehebu ya Ahlulbayt…
-
Sheikh Ahmad Al-Qattan:
DuniaTunasimama pamoja na harakati zote za muqawama dhidi ya udikteta wa Kizayuni–Marekani
Hawza/ Kiongozi wa kidini wa Kisunni kutoka Lebanon amesisitiza kuwa, Harakati ya Hamas itaendelea kusimama imara, kama zilivyo harakati nyingine zote za muqawama, maadamu bado kuna uvamizi na…