-
Mwalimu wa Hawza:
DuniaKitabu cha Al-Ghadir kimeondosha uwezekano wa kukanusha Wilayah ya Amirul-Mu’minin Ali (a.s.)
Hawza/ Hujjatul-Islam Khorrami-Arani, akirejelea kitabu “Al-Ghadir” cha Allama Amini, amekitaja kuwa ni kazi ya kipekee isiyo na mfano na ngome imara mbele ya upotoshaji wa historia.
-
Mwakilishi wa Kiongozi wa Waislamu wa Kishia wa Bahrain:
DuniaMaktaba ya Shahidi Sulaimani ni ramani ya njia ya Qur’ani katika ushindi wa Muqawama
Hawza/ Sheikh al-Daqqaq, akisisitiza misingi ya Qur’ani ya maktaba ya Muqawama, alisema: Maktaba ya Shahidi Haj Qasim Sulaimani, kwa kutegemea uchambuzi wa kimkakati, malezi ya rasilimali watu…
-
DuniaYanayojiri Ghaza ni mauaji ya halaiki yaliyo wazi na jinai dhidi ya ubinadamu
Hawza/ Sheikh Sayyid Bahauddin Naqshbandi, kiongozi wa twariqa ya Naqshbandiyya, katika warsha ya tano ya kimataifa isemayo: "Iran Jukwaa la Heshima ya Kiislamu katika kukabiliana na utawala…
-
Rais wa Jumuiya ya Wahadhiri wa Vyuo vya Serikali vya Pakistan:
DuniaIran ya ni mshika-bendera wa heshima na mpambanaji katika ulimwengu wa Kiislamu
Hawza/ Profesa Munawar Abbas, Rais wa Jumuiya ya Wahadhiri wa Vyuo vya Serikali vya Pakistan, katika warsha ya tano ya kimataifa isemayo: "Iran; Jukwaa la Heshima ya Kiislamu katika kukabiliana…
-
Mjumbe mwanzilishi wa Chama cha Haki Uturuki:
DuniaIrani kuikingia kifua Palestina, kumejengeka katika msingi na imani ya Dini
Hawza/ Bi. Dkt. Fatemeh Bostan, mjumbe mwanzilishi wa Chama cha Haki cha Uturuki, katika warsha-pepe ya tano ya kimataifa isemayo: "Iran; Jukwaa la Heshima ya Kiislamu katika kukabiliana na utawala…
-
DuniaHatua ya awali ya mashindano ya Qur’ani Tukufu nchini Oman yakamilika
Hawza/ mashindano ya awali ya Qur’ani Tukufu yaliyoandaliwa kwa ufadhili wa Wizara ya Wakfu ya Oman na kwa ushiriki wa zaidi ya wahifadhi na wasomaji wa Qur’ani 170 yamekamilika.
-
Jumuiya ya Amal ya Kiislamu ya Bahrain:
DuniaKunyongwa vijana 3 wa Kishia hivi karibuni huko Qatif ni jinai ya kisiasa na ukiukwaji wa wazi wa haki
Hawza/ Jumuiya ya Amal ya Kiislamu ya Bahrain katika taarifa yake imeainisha kuwa: Kunyongwa kwa Sayyid Hussein Al-Qallaf, Muhammad Ahmad Al-Hamad na Hassan Saleh Al-Salim, waliokuwa wakizuiliwa…
-
Mjumbe wa Baraza Kuu la Hizbullah Lebanon:
DuniaMuqawama unaendelea kwa nguvu hadi itakapotimia ahadi ya Mwenyezi Mungu / Maktaba ya Shahidi Suleimani ni nguzo ya kifikra kwa Muqawama wa Kiislamu
Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh al-Baghdadi alisisitiza kuwa: Muqawama unaendelea kwa nguvu na kwa kushikamana na maktaba ya mashahidi na uongozi, katika njia ya kusimama imara na kupambana na adui…
-
DuniaMazishi ya Mwanazuoni Sheikh Ridha Mahmoud Mahdi, yafanyika katika mji wa Khartoum nchini Lebanon
Hawza/ Hizbullah na watu wa Muqawama waliuaga mwili wa Mwanazuoni, Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Ridha Mahmoud Mahdi.
-
DuniaKiongozi mwandamizi wa Hizbullah: Muqawama hautapambana na jeshi na hautaruhusu fitina ya ndani
Hawza/ Sheikh Ali Damoush amesema: hapo awali ilielezwa kwamba kukamilishwa kwa hatua za jeshi kusini mwa Mto Litani kulitegemea kusitishwa kwa mashambulizi na kujiondoa kwa adui “Muisraeli”…
-
DuniaBendera iliyoandikwa “Waliidu al-Ka‘bah” yapandishwa katika Ataba Tukufu ya Imam Ali (as)
Hawza/ Ataba Tukufu ya Alawi, sambamba na kuwasili kwa wiki ya maadhimisho ya kumbukumbu ya kuzaliwa Imamu Ali (amani iwe juu yake), imeanza maadhimisho haya kwa kupandisha bendera iliyoandikwa…
-
DuniaSheikh Khazali, azitaka taasisi za Kiislamu, Kiarabu na za kimataifa kutekeleza wajibu wao wa kibinadamu ili kusitisha mauaji nchini Syria
Hawza/ Katibu Mkuu wa Harakati ya Asaib Ahl al-Haq, amezitaka taasisi za Kiislamu, Kiarabu na za kimataifa kutekeleza wajibu wao wa kibinadamu ili kusitisha mauaji na ukiukwaji unaotishia maisha…
-
DuniaMuqtada al-Sadr alaani vikali shambulio la kigaidi katika Msikiti wa Imamu Ali (a.s.) nchini Syria
Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Sadr, amelaani vikali shambulio la kigaidi lililofanywa katika Msikiti wa Imamu Ali (a.s.) katika mji wa Homs nchini Syria, na kuitaka serikali ya Syria kudhibiti…
-
DuniaUmoja wa Mataifa walaani mauwaji ya kiholela dhidi ya Mashia nchini Syria
Hawza/ António Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amelaani vikali shambulio la kigaidi la hivi karibuni lililosababisha umwagaji damu, shambulio ambalo liliulenga Msikiti wa Imamu Ali…
-
Baraza Kuu la Kiislamu la Alawiya nchini Syria:
DuniaMamlaka tawala yafaa kuwajibika kutokana na mashambulizi ya kigaidi
Hawza/ Baraza Kuu la Kiislamu la Alawiya nchini Syria na nje ya nchi, kupitia tamko lake rasmi, limeyalaani mashambulizi ya kigaidi yanayojirudia dhidi ya raia wa dhehebu la Alawi.
-
DuniaImamu wa Swala ya Ijumaa wa Najaf Ashraf atahadharisha dhidi ya minong’ono ya kuhalalisha uhusiano na Israel
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanji amesema kuwa: yaliyotajwa katika hotuba ya Sako (Askofu wa Wakristo wa Kaldani wa Iraq) kuhusiana na kuhalalisha uhusiano na Israel,…
-
Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Mkutano wa Mwaka wa Umoja wa Vyama vya Kiislamu vya Wanafunzi barani Ulaya:
DuniaDunia ya leo inahitajia Mfumo wa haki wa Kiislamu, kitaifa na kimataifa
Hawza/ Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika ujumbe wake kwenye mkutano wa mwaka wa Umoja wa Jumuiya za Kiislamu zaa Wanafunzi barani Ulaya amesema: Dunia ya leo inahitajia kuwepo mfumo wa…
-
Mwanazuoni Mashuhuri Nchini Tanzania:
DuniaIbada tano muhimu zinazohimizwa kufanywa ndani ya Mwezi wa Rajabu
Hawza/ Mwanazuoni mashuhuri nchini Tanzania, Maulana Sheikh Hemedi Jalala Mwakindenge, Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) na Mkurugenzi wa Hawza ya Imam Swaadiq (a.s), amesisitiza…
-
Mafunzo katika Qur'ani
DiniKumsahau Mwenyezi Mungu ndio mwanzo wa mwanadamu kuanguka
Hawza/ Kumsahau Mwenyezi Mungu ni mwanzo wa kuanguka kiroho kwa mwanadamu, jambo linaloishia katika kujisahau nafsi yake mwenyewe. Kwa mujibu wa Aya ya 19 ya Suratul Hashr, mwanadamu anayemsahau…
-
DuniaWosia wa Ayatullah al-‘Udhma Bashir Hussein Najafi kwa mwakilishi wa Mashia nchini Denmark
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Murid Hussein Naqvi alikutana na kufanya mazungumzo na Ayatullah al-‘Udhma Bashir Hussein Najafi hukk Najaf Ashraf.
-
DuniaHawza ya Jabal ‘Amil yatuma ujumbe wa rambirambi kufuatia kufariki Sheikh Ridha Mahdi
Hawza/ Hawza ya Kielimu ya Jabal ‘Amil, kwa kutoa ujumbe rasmi, imewasilisha rambirambi zake za dhati na za moyo mkunjufu pamoja na kuonesha mshikamano wake kufuatia kufariki kwa Hujjatul-Islam…
-
Ali Fayyadh Akiihutubia Serikali ya Lebanon:
DuniaIkiwa adui anaendelea kuwaua Walebanon, mazungumzo naye yana thamani gani?
Hawza/ Mjumbe wa kundi la wabunge la “Uaminifu kwa Muqāwama” katika Bunge la Lebanon alisema: Leo, damu takatifu za Jeshi shujaa la Lebanon, ambalo tunathamini misimamo na busara za uongozi wake,…
-
Mwakilishi wa Harakati ya Amal Lebanon:
DuniaKujitoa muhanga kwa mashahidi kusini kulikuwa kwa ajili ya Lebanon yote, na baadhi ya viongozi wanazungumza lugha ya adui
Hawza/ Qubaisi alitangaza: Uchaguzi ujao wa Baraza la Wawakilishi ni jihadi sambamba na mashahidi na ni ulinzi wa Lebanon iliyo huru, yenye heshima na yenye kujitegemea.
-
DuniaOngezeko la wimbi la ukandamizaji nchini Syria; magereza yamejaa tena na kukamatwa kunaendelea!
Hawza/ Mwaka mmoja umepita tangu kuanguka kwa serikali ya awali ya Syria iliyokuwa na sura na mapambo ya kiusalama na kijasusi; mfumo ambao ulitoa nafasi kwa serikali mpya yenye nyuso na watu…
-
Mjumbe wa Harakati ya Hikmat ya Iraq:
DuniaShahidi Ayatullah Hakim alikuwa na mchango mkubwa katika kuasisiwa demokrasia ya Iraq
Hawza/ Karam al-Khaz‘ali, mjembe wa Harakati ya Hikmat ya Kitaifa ya Iraq, alisisitiza kuwa; Shahidi wa Mihrabu, Ayatullah Sayyid Muhammad Baqir al-Hakim, alitoa mchango mkubwa na wa kipekee…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran:
DuniaAyatullah Milani kwa hakika alikuwa mhuishaji wa Hawza ya Mashhad
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu alimuelezea marehemu Ayatullah Milani kuwa ni shakhsia kamili katika nyanja za kiroho, kimaadili, kielimu na kijamii na kisiasa, na akasisitiza kuwa:…
-
Ayatullah A‘arafi katika Kongamano la Kumbukizi ya Ayatullah Al-‘Udhmaa Milani:
HawzaAyatullah Milani alikuwa miongoni mwa watu wanaoiunga harakati ya Imam Khomeini (ra)
Hawza/ Ayatullah A‘arafi, huku akirejea busara ya kisiasa na ya kimapinduzi ya marji' huyu mkubwa, alisisitiza: Ayatullah Milani alikuwa miongoni mwa maraji' wa kwanza kuiunga mkono harakati…
-
Msaidizi wa Hawza Katika Masuala ya Kimataifa Nchini Iran:
HawzaUtekelezaji mzuri wa diplomasia ya kielimu unahitajia uratibu na ushirikiano na aina nyingine za diplomasia
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Husseini Kouhsari amesema kuwa; kufanyiwa kazi diplomasia ya kielimu kunahitaji kutambua umuhimu na ulazima wake, pamoja na kujenga mijadala na utamaduni katika…
-
Ayatullah A‘rafi Katika Kikao Cha Pamoja na Walimu wa Somo la Kalamu:
HawzaKuzidisha masomo ya wazi (Dars-u-Kharij) ya uhakiki katika elimu ya Kalamu ni miongoni mwa dharura za haraka
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, huku akisisitiza ulazima wa kuinua hadhi ya Kalamu ya Kiislamu kufikia kiwango cha ijtihadi ya fiqhi na usul, ametoa wito wa kufanyiwa marekebisho upya…
-
Msaidizi wa Utafiti wa Hawza Nchini Iran:
HawzaKila mwaka takribani makala 2,500 za kielimu zilizo thibitishwa hutayarishwa ndani ya hawza
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Abbasi, akisisitiza uhai na uongozi wa hawza za kielimu katika uwanja wa utafiti, amesema kuwa: kila mwaka takribani makala 2,500 za kielimu zenye ithibati…