-
Mafunzo Katika Qur'an:
DuniaIli Kuokoka na Majuto ya Siku ya Kiyama Tufanye Nini?
Hawza/ Kila wakati unaopita bila kumkumbuka Mwenyezi Mungu, huacha majuto marefu; na kumbukumbu hii si kwa ulimi pekee, bali lazima ionekane na idhihirike pia katika vitendo.
-
DuniaKwa Nini Safari ya Kamanda wa Jeshi la Lebanon Kuelekea Marekani Ilifutwa?
Hawza/ Gazeti la “An-Nahar” liliripoti kuwa moja ya sababu za kufutwa kwa safari ya Kamanda wa Jeshi la Lebanon kwenda Marekani ilikuwa ni kupinga kwake kushiriki mkutano uliokuwa umepangwa kufanyika…
-
DuniaMbinu Yenye Ufanisi ya Ayatollah Bahjat kwa Ajili ya Kupata Unyenyekevu Moyoni Wakati Unaswali
Hawza/ Kushikamana na kuswali Swala mwanzo wa wakati huleta unyenyekevu moyoni bila kipingamizi. Kufungamana tu na wakati wa Swala ni mazoezi ya kupata unyenyekevu moyoni ndani ya Swala, na kwa…
-
DuniaKipi Kilijiri Katika Mazungumzo Kati ya Sheikh Al-Khatib na Papa Laon?
Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Waislamu wa Kishia wa Lebanon alisema katika mazungumzo yake na Papa: Utamaduni wetu wa kiroho umejengwa juu ya undugu wa kibinadamu; nasi…
-
Mjumbe wa Kambi ya Muqawama:
DuniaUtawala wa Kizayuni Umeshindwa Kufikia Malengo yake Nchini Lebanon
Hawza/ Ihaab Hamade alisema: Asipatikane yeyote wa kuwahadaa kwa vitisho na kuvunja mori; muqawama wetu ni imara na una nguvu.
-
DuniaJenerali mstaafu wa Israel: Jeshi Linakabiliwa na Mgogoro Mkubwa Zaidi wa Rasilimali Watu Katika Historia Yake
Hawza/ Ya‘qub Brick, katika makala iliyochapishwa kwenye gazeti la Kizayuni la Maariv, ametangaza kwamba katika miezi ya hivi karibuni maelfu ya maafisa na sajenti wamekataa kuendelea na huduma…
-
DuniaIsrael Yatumia vyombo vya Habari Kama Nyenzo Dhidi ya Waislamu Ufaransa
Hawza/ Hivi karibuni kura ya maoni ilichapishwa nchini Ufaransa ambayo iliandaliwa kwa kuungwa mkono na Mayahudi na hatimaye Israel dhidi ya Waislamu wa Ufaransa, lakini nyaraka zilizopatikana…
-
DuniaMashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu Yafanyika Nchini Pakistan
Hawza/ Mashindano ya kimataifa ya usomaji mzuri wa Qur’ani Tukufu yamefanyika mjini Islamabad, Pakistan, kwa ushiriki wa wawakilishi kutoka nchi 37 za Kiislamu duniani.
-
DuniaUtawala wa Kizayuni Waendeleza Mashambulizi Huko Dhahiya ya Kusini sambamba na safari ya Papa Lebanon
Hawza/ Utawala wa Kizayuni uliendelea na mashambulizi yake dhidi ya maeneo ya kusini mwa Lebanon; mashambulizi haya yalifanyika sambamba na safari ya Papa Leon wa Kumi na Nne kuelekea Lebanon.
-
DuniaUdharura wa kuimarisha mawasiliano ya kielimu kati ya Hawza za Iran na Iraq kwenye makongamano ya kimataifa
Hawza/ Mhadhiri wa Hawza ya Khorasan, akirejea nafasi adhimu ya Allama Naini na mchango wake katika kulea mara'ji na walimu mashuhuri, ametaka kuimarishwa na kuendelezwa kwa mawasiliano ya kielimu…
-
DuniaWaislamu wa Uzbekistan Waswali Swala ya Kuomba Mvua
Hawza/ Waislamu wa Uzbekistan, huku nchi hiyo ikiwa mwaka huu imekumbwa na ukame mkali na uhaba mkubwa wa mvua unaohusishwa na mabadiliko ya tabianchi, wamefanya Swala ya Kuomba Mvua kwa pamoja.
-
DuniaOmbi la Hamas kwa Watu Wote Duniani ili Kuwaunga Mkono Wapalestina
Hawza/ Harakati ya Hamas katika taarifa yake ya hivi karibuni imewaomba watu wote duniani kuandaa maandamano na mikusanyiko zaidi ya kimataifa kupinga dhulma, uvamizi wa kikoloni, pamoja na vitendo…
-
DuniaZiara ya Kwanza ya Papa Leo Katika Msikiti Maarufu wa Istanbul
Hawza/ Papa Leo pamoja na ujumbe wake wametembelea kwa mara ya kwanza Msikiti maarufu nchini Uturuki unaojulikana kwa jina la Msikiti wa Bluu.
-
Mjumbe wa Kambi ya Muqawama:
DuniaSisi na washirika wetu tunawakilisha zaidi ya nusu ya taifa la Lebanon, na hili litaonekana katika uchaguzi ujao
Hawza/ Hassan Fadhlallah amesema kuwa hadi sasa hakuna mpango wowote halisi wa kisiasa uliowasilishwa ili kusimamisha uvamizi wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon, na kwamba Lebanon kwa sasa…
-
Ayatollah Udhma Nuri Hamadani:
DuniaKupuuza Wosia wa Mashahidi ni Kuisaliti Damu ya Mashahidi
Hawza/ Ayatollah Nuri Hamadani, katika ujumbe wake kuelekea kumbukizi ya mashahidi 892 wa kikosi cha Basiji wa mkoa wa Markazi, amesisitiza kuwa: “Yeyote yule, katika cheo na nafasi yoyote aliyo…
-
DuniaRais wa Jumuiya ya Imamiya ya Baltistan, Pakistan, Ahuisha Ahadi Yake kwa Kiongozi wa Mapinduzi
Hawza/ Tunampelekea salamu za heshima kiongozi huyu mwenye hekima na busara; kiongozi ambaye kwa ujasiri, baswira na tadbiri yake ya Kiungu, ameipatia dunia ya Kiislamu heshima. Ewe Kiongozi…
-
DiniHaya Ndiyo Matendo Yanayo Mpendeza Mwenyezi Mungu
Hawza/ Mwenyezi Mungu kama vile ambavyo amemuumba mwanadamu, kuna matendo ambayo anapenda kuyaona yakifanywa na mja wake na yale ambayo huchukia kuyaona yakifanywa na mja wake huyo.
-
Ayatullah A‘arafi katika mkusanyiko wa wanafunzi na wanazuoni wa Kiirani wanaoishi Najaf:
HawzaHawza inahitaji kulinda fiqhi ya jadi na kwa wakati huohuo kupanua fiqhi ya kisasa / Dunia inayokuja ni tata, hakuna nafasi ya kughafilika
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza za Elimu za Kiislamu, akiwahutubia wanafunzi vijana, alisema: Hawza inahitaji kulinda fiqhi ya jadi sambamba na kupanua mijadala ya fiqhi ya kisasa, kuilinganisha na…
-
DuniaMwanamichezo wa Kickboxing wa Misri Akataa Kupambana na Mwakilishi wa Utawala wa kizayuni
Hawza/ “Rawhda Mustafa Saad Muhammad”, mwanamichezo wa Misri, katika mashindano ya dunia ya kickboxing, alikataa kupambana na mwanamichezo wa nchi hiyo “Yulia Sashkov” kwa kupinga uhalifu wa…
-
Afisa wa Hizbullah katika eneo la Beqaa:
DuniaMuqawama ni Msimamo Endelevu na Utayari Wake Unasalia Thabiti
Hawza/ Hussein al-Nimr alisema kuwa; maadhimisho ya Siku ya Uhamasishaji ni tukio la kurejea na kuhuisha misingi, pamoja na kuanzisha upya mkusanyiko mpana wa shughuli mbalimbali.
-
Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon:
DuniaMsimamo wa Serikali Haulingani na Ukubwa wa Uvamizi Dhidi ya Dhahiyah Kusini mwa Beirut
Hawza/ “Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu” imetangaza kuwa; msimamo wa serikali ya Lebanon haulingani na ukubwa wa uvamizi wa Israel dhidi ya Dahiyeh Kusini mwa Beirut, uvamizi ambao unahesabiwa…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaKusitishwa Dhuluma za Kizayuni na Kutimizwa Haki za Wapalestina ni Hitaji la Dharura Kwnye Ukanda Huu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqwi, katika hotuba yake akilaani kushindwa kwa jumuiya ya kimataifa kudhibiti hujuma za Kizayuni, alisisitiza kuwa kurejeshwa kwa haki za…
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa Baghdad:
DuniaUsalama wa Iraq Unategemea Kukomeshwa Utegemezi wa Kigeni
Hawza/ Ayatullah Sayyid Yasin Mousawi, akisisitiza kuwa usalama wa Iraq utaweza kudumu tu kwa kujinasua kutoka kwenye utegemezi wa kigeni, alitoa wito wa kuundwa kwa serikali huru na yenye uzalendo…
-
DuniaUtabiri wa Kuundwa Haraka Serikali ya Iraq ndani ya Mipaka ya Muda wa Kisheria
Hawza/ Wael Al-Rikabi, mchambuzi wa masuala ya kisiasa, ametabiri kuwa serikali mpya itaundwa ndani ya muda wa kisheria uliopangwa, kinyume na tetesi zinazoeleza kuwa mchakato huo utachelewa.
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaTukio la ufyatuaji risasi katika Ikulu ya White House linaonesha kina cha mgawanyiko wa ndani ya Marekani
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanji alisema: Ufyatuaji risasi mbele ya Ikulu ya White House na kusitishwa kwa safari za ndege katika viwanja vya ndege vya Reagan, kumeiweka…
-
DuniaJamii ya Kiislamu Ijizatiti Ili Kukabiliana na Vitisho Vinavyoikabili
Hawza/ Imam wa Swala ya Ijumaa Beirut, huku kundi la wanazuoni, walimu, wasomi wa vyuo vikuu na watu mbalimbali wenye hamu ya elimu wakihudhuria, alifungua rasmi maktaba ya umma katika mji wa…
-
Ayatullah A‘rafi katika Kongamano la Mirza Naa’ini nchini Iraq:
DuniaMaraji' wakubwa wa Najaf na Qum leo hii, kama ilivyokuwa kwa Naa’ini, ni ngome imara dhidi ya uvamizi wa madhalimu Iraq, Iran na ulimwengu wa Kiislamu
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza Iran, amesema: Mirza Naa’ini alisimama mara nyingi dhidi ya Waingereza, na kila mara uhuru wa Uislamu na heshima ya Umma ulipokuwa hatarini, wanachuoni wakuu wa Najaf,…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi Iran:
DuniaJamhuri ya Kiislamu imeonyesha kuwa ni kitovu cha azma na nguvu / Mbele ya adui wote mshikamane, kama katika vita vya siku 12
Hawza/ Ayatollah Ali Khamenei kuhusiana na masuala ya eneo na vita vya siku 12 amesema: Katika vita vya siku 12, taifa la Iran bila shaka liliwashinda Marekani na utawala wa Kizayuni. Walikuja…
-
DuniaHaram Tukufu ya Alawi yapokea Ujumbe wa Iran Unaoshiriki Kwenye Kongamano la Kimataifa la Allama Mirza Na’ini
Hawza/ Katika muktadha wa ushirikiano wa kitamaduni kati ya Iran na Iraq, Haram Tukufu ya Alawi siku ya Jumatano imeupokea ujumbe wa Iran uliokwenda kwenye Kongamano la Mirza Na’ini, ambalo linafanyik…
-
DuniaRipoti Kuhusiana na Kuanza Rasmi Kongamano la Kimataifa la Kumuenzi Ayatullah Mirza Na’ini Huko Najaf Ashraf
Hawza/ Kongamano la kimataifa la kumuenzi Allama Na’ini limefanyika kwa ushiriki wa wanazuoni na watu mashuhuri kwenye Haram Tukufu ya Alawi, na katika hafla hiyo pia kumezinduliwa mkusanyiko…