-
Mwakilishi wa Harakati ya Amal Nchini Iran:
HawzaSilaha za Muqawama wa Hizbullah ni Urithi wa Damu za Mashahidi
Hawza/ Salah Fahsi amesema: Marekani na baadhi ya nchi za Kiarabu bado wanataka kunyang'anywa silaha Jeshi la Hizbullah, lakini shambulizi la utawala wa Kizayuni dhidi ya Qatar liliwafanya wafuasi…
-
HawzaChuki Dhidi ya Uislamu Nchini Argentina; Changamoto Kubwa kwenye Jamii ya Kiislamu
Hawza/ Kuenea kwa chuki dhidi ya Uislamu nchini Argentina imegeuka kuwa tatizo pana linalowaathiri maelfu ya Waislamu wa nchi hiyo. Viongozi wa kidini na maafisa wa Kituo cha Kiislamu wanatahadharisha…
-
Ayatullah A‘rafi katika Hafla ya ufunguzi wa Mwaka wa Masomo kwa Wanafunzi wakike wa Hawza:
HawzaNahjul-Balagha ni Kitabu chenye Mageuzi na Mapinduzi / Wanafunzi wakike wa Hawza wana nafasi ya Kihistoria katika kuiongoza Dunia Mpya
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza Nchini Iran ameitaja Nahjul-Balagha kuwa ni kitabu cha mageuzi na mapinduzi, na kusisitiza: Hawza za wanawake zinapaswa kuanzisha sura maalum ya kuongeza maarifa kuhusu…
-
Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaUhalifu wa kikatili unaofanywa na utawala wa Kizayuni ni kofi la fedheha zaidi kwa nyuso za wale wanaodai kuheshimu Siku ya Kimataifa ya Demokrasia
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, kutokana na mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya Demokrasia, katika ujumbe wake amesisitiza: Wakati ambapo Ghaza inateketea chini ya moto…
-
DuniaWakazi wa New York na New Zealand wameandamana kudai vita vya Ghaza vifikie hatam
Hawza/ Watu wa New York na New Zealand katika maandamano makubwa wameitaka Israel isimamishiwe kikamilifu na kwa upana wote kuhusiana na mauzo ya silaha.
-
Kituo cha Uangalizi wa Haki za Binadamu Syria:
DuniaTangia kuanguka serikali iliyopita, watu 10,672 wameuawa nchini Syria
Hawza/ Kituo cha Uangalizi wa Haki za Binadamu Syria kimetangaza kwamba kimeorodhesha vifo vya watu 10,672, wakiwemo 3,020 waliouawa katika mauaji ya kiholela kwa kunyongwa.
-
DuniaHijra Iliyoigeuza Qum Kuwa Mji Mkuu wa Kiimani kwa Iran
Hawza/ Hijra ya Bibi Fatima al-Ma‘suma (a.s.) kwenda Qum ilikuwa mwanzo wa mageuzi makubwa katika historia ya Iran; uwepo mfupi lakini wenye athari zilizoendelea kwa karne nyingi, Qum, kwa baraka…
-
DuniaVikosi vya Al-Jaulani vyaongeza kasi ya kuhamisha koo mjini Damaskas
Hawza/ Vyanzo vya habari vya kuaminika vimeripoti kuhusu kuongezeka kwa operesheni za kuhamisha watu kwa mfumo maalumu inazofanywa na vikosi vya al-Jaulani, ambavyo vinalenga koo mbalimbali mjini…
-
DuniaSheikh al-Khatib: Tunatumaini kikao cha Doha kitaishia kwenye maamuzi muhimu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Ali al-Khatib, Makamu wa Rais wa Baraza Kuu la Kiislamu la Kishia la Lebanon, baada ya kukamilisha safari yake katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amerejea…
-
DuniaMjumbe wa Hizbullah: Hatari ya utawala wa Kizayuni imegeuka kuwa tishio kwa usalama wa ukanda mzima
Hawza/ Sheikh Muhammad Amrū alisisitiza kwamba: Lebanon inaweza kuwa salama dhidi ya hatari tu kwa kuendelea kuwa imara na kubaki kwa kujizatiti kwenye nguvu zake, hasa kwa kutumia silaha za…
-
Mbunge wa Lebanon:
DuniaKuanzisha uhusiano wa kawaida kati ya Qatar na Israel hakukulilinda taifa hili
Hawza/ Malham al-Hujayri, mbunge na mwenyekiti wa Harakati "An-Nasr Amal", ameukemea vikali unyonyaji wa kijasiri na uhalifu unaofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya uongozi wa Harakati ya…
-
Chaneli 13 ya Israeli:
DuniaIsrael inakabiliwa na “tsunami ya kisiasa” na upweke wetu baada ya kushindwa kwa shambulizi letu dhidi ya Qatar unaongezeka
Hawza/ Chaneli 13 ya Israeli imefichua kuhusu mgogoro mkubwa wa kisiasa na kidiplomasia unaoikumba Israel baada ya kushindwa kwa shambulizi dhidi ya Qatar na kuongezeka kwa upweke wa kimataifa.
-
Kuielekea Jamii Bora: Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imamu Mahdi [a.s] –44
DiniNafasi ya Intidhar (Kusubiri) katika Utamaduni wa Kishia (Sehemu ya Tatu)
Hawza/ Intidhar (kusubiri) ni kusubiri kwa hamu mustakabali wenye sifa zote za jamii ya Kimungu, ambako mfano wake wa kipekee ni kipindi cha utawala wa hazina ya mwisho ya Mwenyezi Mungu, yaani…
-
DiniHukumu za Kisheria | Kuwatazama wanawake wenye ulemavu wa akili wasiokuwa na hijabu ya kutosha
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu istiftaa kuhusiana na hukumu ya kuwatazama wanawake wenye ulemavu wa akili ambao hawana mavazi ya kutosha na kamili.
-
DuniaSemina ya uchinjaji wanyama na ndege yahitimishwa leo Daresalam Tanzania
Hawza/ Semina elekezi sheria za kiislamu kuhusiana na uchinjaji wa wanyama na ndege leo hii imefungwa rasmi na Katibu wa BAKWATA mkoa wa Daresalam.
-
Imamu wa Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaWalitaka suala la Palestina lisahaulike, lakini sasa limekuwa suala la kimataifa
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanchi amesema: Shambulizi la Israeli dhidi ya Doha na mabomu yaliyorushwa Yemen yamekabiliwa na ukimya wa dunia, isipokuwa baadhi ya matamko…
-
Harakati ya Nujabaa ikiwasemesha watawala wa Kiarabu:
DuniaJifunzeni kutokana na shambulio dhidi ya Qatar; nyinyi kwa maridhiano hamtakuwa salama kutokana na madhara ya Israeli
Hawza/ Harakati Nujabaa katika tamko lake, imelaani shambulio dhidi ya makao ya Hamas huko Doha na ikatoa onyo kwamba maridhiano na utawala wa Kizayuni hayaleti usalama kwa tawala za Kiarabu.
-
DuniaMajibu ya Watu wa Ghaza kuijibu barua ya Israeli iliyowataka kuwahamasisha kwa nguvu: Hatutaondoka Ghaza kamwe
Hawza/ Watu wa Ghaza katika kukabiliana na karatasi ambazo utawala wa kikoloni ulizimwaga kwa watu wa Ghaza nazo na kuwalazimisha kuacha nyumba na makazi yao, walikusanyika kwa ajili ya kufanya…
-
DuniaMtafiti wa Kihindi: Umoja na mshikikano kwa Waislamu utawageuza kuwa nguvu isiyoshindwa
Hawza/ Sayyid Rashadat Ali al-Qadri katika mazungumzo yake alisisitiza kwamba umoja wa Umma wa Kiislamu una umuhimu wa juu na ni fursa yenye thamani kwa ajili ya kuimarisha mshikamano na udugu…
-
Jumuiya ya Wanazuoni Waislamu:
DuniaShambulizi la adui huko Doha linadhoofisha mamlaka ya Qatar, na Jumuiya ya kimataifa lazima ilaani tendo hili la kigaidi
Hawza/ Jumuiya ya Wanazuoni Waislamu wa Lebanon imesema kuwa: adui Mzayuni anaendelea na uvamizi wake na umefikia hatua ya kutaka kuwaua viongozi wa Hamas waliokuwa na jukumu la kusimamia mazungumzo.
-
DuniaHarakati ya Umma yalaani kukengwa viongozi wa Hamas huko Doha
Hawza/ Harakati ya Umma nchini Lebanon imelaani vikali uvamizi wa Kizayuni dhidi ya kikao cha viongozi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu Hamas kilichofanyika mjini Doha, mji mkuu wa Qatar.
-
DuniaKuonyeshwa Filamu ya “Mtume wa Rehema 571” iliyoandaliwa na Shirika la Dini la Uturuki
Hawza / Filamu ya katuni ya “Mtume wa Rehema 571,” ambayo imeandaliwa na Shirika la Dini la Uturuki kwa heshima ya mwaka wa elfu moja mia tano tangu kuzaliwa Mtume Muhammad (swww), hivi karibuni…
-
Rais wa Baraza Kuu la Waislamu wa Kishia nchini Lebanon:
DuniaMshikamano wa Lebanon sasa umesimama imara zaidi kuliko zamani dhidi ya hila za maadui / Shambulizi la Israel dhidi ya Qatar ni funzo kwa tawala zote za Kiarabu na katika ukanda
Hawza/ Sheikh Ali Al-Khatib, akisisitiza juu ya ulazima wa kudumisha mshikamano baina ya mataifa ya eneo hili, amesema: Shambulizi la Israel dhidi ya Qatar ni kengele ya hatari kwa tawala zote…
-
Ayatullah A‘rafii:
HawzaShambulizi dhidi ya Qatar ni onyo la tahadhari kwa serikali za Kiislamu/ Mazungumzo yamefichua kuwa nguvu za kigeni za kibeberu ni wavunjaji wa ahadi na madhalimu
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom amesema: Serikali za Kiislamu, amkeni! Ikiwa hamtasimama, hamtapinga na mkauvua silaha muqawama, nanyi pia mtaathirika; wao wanataka kutoka kwetu eidha kujisalimisha…
-
Ayatullah Khatami katika hotuba za Swala ya Ijumaa:
DuniaNjia ya kukabiliana na utawala wa Kizayuni ni kutoa jibu thabiti
Hawzah / Khatibu wa Ijumaa wa Teheran amesema: Kama Imamu wa Ijumaa wa Teheran nasema, kwa serikali za Misri, Jodani, Bahrain na Saudi Arabia kwamba, iwapo Israeli itapata nguvu, itazishambulia…
-
DuniaUhispania yachukua kwa Hatua Kubwa ajili ya Kuuwekea Vikwazo Utawala wa Kizayuni
Hawza/ Bwana Sánchez katika hotuba yake ya hivi karibuni, sambamba na kutangaza mipango yake ya baadaye kwa ajili ya nchi ya Uhispania, pia alitangaza kuwa nchi hii inalaani jinai zinazofanywa…
-
DuniaMashabiki wa Timu ya Italia Wapinga Wimbo wa Israel
Hawza/ Mashabiki wa timu ya mpira wa miguu ya Italia, wakati unaimbwa wimbo wa utawala wa Kizayuni, katika hatua ya ishara ya kupinga jinai za kikatili zinazofanywa na utawala huo, waliupa mgongo…
-
DuniaPicha/ Maulidi ya Kitaifa yafanywa na Jumuiya ya Shia ithnaasharia Tanzania (TIC)
Hawza/ Jumuiya ya Shia ithnaasharia Tanzania (TIC), ikishirikiana na Hawza ya Imaam Sw'adiq (as), chini ya usimamizi wa Samaht Sheikh Jalala Hemedi Mwakindenge, usiku wa kuamkia leo zimeadhimisha…
-
Kuielekea Jamii Bora: Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imam Mahdi (a.s) – 43
DiniNafasi ya (Intidhar) Kusubiria faraja katika Utamaduni wa Kishia (Sehemu ya Pili)
Hawza / Katika maana hii, mafundisho ya dini yamekusudia, mbali na kubainisha fadhila ya “faraja ya kijamii” na matumaini ya siku zijazo na kuelekeza wanadamu kwenye uwanja huu, kulaani pia kukata…
-
Ayatullah A‘rafi katika Kituo cha Tablighi:
HawzaKile kinachoifanya hawza kuwa mahsusi ni “ufikishaji ulio wazi” / Mjadala wa Mapinduzi ya Kiislamu ndiyo mjadala wa Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw)
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza za kielimu, katika sherehe ya ufunguzi wa mwaka mpya wa masomo ya kituo cha kielimu na utafiti cha tablighi alisema: tablighi ni “roho ya undani” ya shughuli zote.…