-
DuniaMwanazuoni Mashuhuri Nchini Tanzania Afariki Dunia
Hawza/ Innā lillāhi wa innā ilayhi rājiʿūn, Jumuiya ya Kiislamu nchini Tanzania imekumbwa na pigo kubwa kufuatia kufariki dunia kwa Mwanazuoni mashuhuri, mtetezi mahiri wa Madhehebu ya Ahlulbayt…
-
Sheikh Ahmad Al-Qattan:
DuniaTunasimama pamoja na harakati zote za muqawama dhidi ya udikteta wa Kizayuni–Marekani
Hawza/ Kiongozi wa kidini wa Kisunni kutoka Lebanon amesisitiza kuwa, Harakati ya Hamas itaendelea kusimama imara, kama zilivyo harakati nyingine zote za muqawama, maadamu bado kuna uvamizi na…
-
Rais wa Muungano wa Wanazuoni wa Muqawama:
DuniaKuuawa kishahidi Abu Ubaida na makamanda wa Al-Qassam hakutabadilisha mwelekeo wa muqawama
Hawza/ Sheikh Maher Hammoud amesisitiza kuwa; tangazo la kuuawa kishahidi kundi la makamanda wa Vikosi vya Izzuddin Al-Qassam linathibitisha kwamba njia ya muqawama haitasimama.
-
DuniaPakistan yakataa vikali hatua ya utawala wa Kizayuni kuhusu Somaliland
Hawza/ Tahir Hussein Andarabi, msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Pakistan, katika taarifa rasmi, huku akilaani vikali juhudi zozote za kudhoofisha mamlaka na umoja wa ardhi ya Somalia, alitangaza…
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Beirut:
DuniaHijabu ni miongoni mwa vielelezo vya kujitolea kufuata amri za Mwenyezi Mungu
Hawza/ Jumuiya ya Kheri ya Al-Mabarrat iliandaa hafla katika Ukumbi wa Zahraa, uliopo ndani ya Jumuia ya Imamain Hasanayn (amani iwe juu yao) huko Haret Hreik, kwa ajili ya zaidi ya wasichana…
-
DuniaKorea Kusini yaandaa chakula cha halali kwa ajili ya watalii waislamu
Hawza/ Mgahawa unaoandaa vyakula vya halali kwa Waislamu ulipokelewa kwa shauku kubwa na wanafunzi wanaoishi Korea Kusini, na baadaye ukapata umaarufu pia miongoni mwa watalii Waislamu. Kwa sasa,…
-
DuniaMjumbe wa Hizbullah: Kuondoa nguzo kuu ya Lebanon ni ndoto tu
Hawza/ Sheikh Muhammad Amrū alisisitiza kuwa mashinikizo ya kisiasa dhidi ya Lebanon hayatakuwa na matokeo yoyote maadamu mshikamano wa kitaifa unabaki kuwa nguzo kuu na tegemeo la nchi.
-
DuniaPalestina yalaani mswada wa Israel kuhusu kuzuia adhana misikitini
Hawza / Baraza Kuu la Fatwa nchini Palestina limelaani muswada uliowasilishwa na utawala haramu wa Israel unaolenga kuweka vikwazo vikali kuhusu kuadhiniwa misikitini.
-
DuniaTadhari kutoka kwa mtafiti wa siasa kuhusiana na hali ya kutisha inayotawala Syria; wachache wanazidi kumalizwa taratibu
Hawza/ Iyas Al-Khatib alisisitiza kuwa kile kinachoonekana leo, maandamano na madai ya haki ya kujitawala na kulinda heshima katika miji ya Tartus na Latakia ni matokeo ya kiasili.
-
HawzaItikafu yapaswa kusalia kuwa kitovu cha kuimarisha maarifa ya kizazi cha vijana
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, kwa kusisitiza umuhimu wa kulinda harakati ya Itikafu, ameielezea ibada hii kuwa ni uwezo wa kimkakati kwa ajili ya kuimarisha maarifa ya kidini, kuilinda…
-
Ayatollah Arafi katika hafla ya kumalizia tamasha la Sanaa ya Mbingu:
HawzaSanaa takatifu, ni sanaa inayotokana na nuru ya akili na wahyi
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza akisisitiza jukumu la msingi la sanaa katika kumuimarisha binadamu na ujenzi wa ustaarabu wa Kiislamu alisema: Sanaa ya hali ya juu, inayotokana na dua, Qur'an na maarifa…
-
Ayatullah Khatami:
DuniaTrump na Netanyahu wanapaswa kukamatwa kama magaidi wa kwanza duniani
Hawza/ Ayatullah Khatami huku akifichua njama za maadui katika uwanja wa vita mseto na shinikizo la kiuchumi, alisisitiza kuwa maseneta wa Marekani wanatafuta kuporomosha maisha ya wananchi,…
-
Kusambazwa upya habari moja katika anga ya vyombo vya habari barani Afrika:
DuniaSheikh Zakzaky: Mpango wa kuigawa Afrika katika sura mpya unaendelea kutekelezwa
Hawza/ Hotuba yetu inaelekezwa kwa watawala wanaowaua watu wao kwa sababu ya pesa na madaraka. Jueni kwamba kazi yenu itakapokwisha, wale wale waliowatumia pia watawaua ninyi; kama walivyowatendea…
-
DuniaHafla ya kumbukizi ya miaka sita ya kuuawa shahidi Haj Qasem Soleimani na Abu Mahdi al-Muhandis yafanyika Najaf Ashraf
Hawza/ Hafla ya kuadhimisha miaka sita ya kuuawa kishahidi “Makomanda wa Ushindi”; Haj Qasem Soleimani na Abu Mahdi al-Muhandis, ilifanyika Najaf Ashraf kwa kuhudhuriwa na mwakilishi wa Kiongozi…
-
Mjumbe wa Muungano wa Uaminifu kwa Muqawama:
DuniaKinachopangwa kwa ajili ya Lebanon ni zaidi ya suala la silaha na kinaelekezwa kwenye mkondo wa kisiasa, kiusalama na kiuchumi
Hawza/ Ali Fayyadh alisema: Hizbullah ni chama kikubwa zaidi cha kisiasa kwa kuzingatia uungwaji mkono wa wananchi nchini Lebanon, na uzito pamoja na nafasi yake haviwezi kupuuzwa.
-
DuniaUhalifu wa Israel umefanya Papa aungane na wanaoiunga mkono Ghaza
Hawza/ Papa Leo wa Kumi na Nne huko Vatican alitoa wito wa kukomesha mateso na manyanyaso dhidi ya watu wa Ukanda wa Ghaza, hususan wale wanaoishi katika mahema na maeneo ya makazi ya muda chini…
-
DuniaWananchi wa Italia wafanya maandamano makubwa kwa ajili ya kuiunga mkono Palestina
Hawza/ Italia katika siku mbili zilizopita ilishuhudia migomo mikubwa ya kitaifa kwa wingi, pamoja na maandamano makubwa katika miji yake mikuu. Maandamano haya yalifanyika kwa lengo la kuonesha…
-
Kwa kuandaliwa kozi za kuhifadhi Qur’ani:
DuniaBrazil nayo yaungana na jumuiya ya wanaohifadhi Qur’ani
Hawza/ Kozi ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu kwa watoto Waislamu imeandaliwa katika mji wa São Paulo, Brazil, kwa lengo la kuimarisha utambulisho wa Kiislamu na maadili ya kielimu miongoni mwa vijana.
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyya (60)
DiniAthari za Mikondo Potofu na Jinsi ya Kukabiliana Nayo
Hawza/ Licha ya uadui mwingi unaokabili mafundisho ya dini, kuzingatiwa kwa itikadi ya Mahdawiyya kunazidi kuongezeka siku baada ya siku. Kuongezeka hamu na hisia ya haja katika nyanja za kiakili…
-
Mwalimu wa Hawza:
DuniaKitabu cha Al-Ghadir kimeondosha uwezekano wa kukanusha Wilayah ya Amirul-Mu’minin Ali (a.s.)
Hawza/ Hujjatul-Islam Khorrami-Arani, akirejelea kitabu “Al-Ghadir” cha Allama Amini, amekitaja kuwa ni kazi ya kipekee isiyo na mfano na ngome imara mbele ya upotoshaji wa historia.
-
Mwakilishi wa Kiongozi wa Waislamu wa Kishia wa Bahrain:
DuniaMaktaba ya Shahidi Sulaimani ni ramani ya njia ya Qur’ani katika ushindi wa Muqawama
Hawza/ Sheikh al-Daqqaq, akisisitiza misingi ya Qur’ani ya maktaba ya Muqawama, alisema: Maktaba ya Shahidi Haj Qasim Sulaimani, kwa kutegemea uchambuzi wa kimkakati, malezi ya rasilimali watu…
-
DuniaYanayojiri Ghaza ni mauaji ya halaiki yaliyo wazi na jinai dhidi ya ubinadamu
Hawza/ Sheikh Sayyid Bahauddin Naqshbandi, kiongozi wa twariqa ya Naqshbandiyya, katika warsha ya tano ya kimataifa isemayo: "Iran Jukwaa la Heshima ya Kiislamu katika kukabiliana na utawala…
-
Rais wa Jumuiya ya Wahadhiri wa Vyuo vya Serikali vya Pakistan:
DuniaIran ya ni mshika-bendera wa heshima na mpambanaji katika ulimwengu wa Kiislamu
Hawza/ Profesa Munawar Abbas, Rais wa Jumuiya ya Wahadhiri wa Vyuo vya Serikali vya Pakistan, katika warsha ya tano ya kimataifa isemayo: "Iran; Jukwaa la Heshima ya Kiislamu katika kukabiliana…
-
Mjumbe mwanzilishi wa Chama cha Haki Uturuki:
DuniaIrani kuikingia kifua Palestina, kumejengeka katika msingi na imani ya Dini
Hawza/ Bi. Dkt. Fatemeh Bostan, mjumbe mwanzilishi wa Chama cha Haki cha Uturuki, katika warsha-pepe ya tano ya kimataifa isemayo: "Iran; Jukwaa la Heshima ya Kiislamu katika kukabiliana na utawala…
-
DuniaHatua ya awali ya mashindano ya Qur’ani Tukufu nchini Oman yakamilika
Hawza/ mashindano ya awali ya Qur’ani Tukufu yaliyoandaliwa kwa ufadhili wa Wizara ya Wakfu ya Oman na kwa ushiriki wa zaidi ya wahifadhi na wasomaji wa Qur’ani 170 yamekamilika.
-
Jumuiya ya Amal ya Kiislamu ya Bahrain:
DuniaKunyongwa vijana 3 wa Kishia hivi karibuni huko Qatif ni jinai ya kisiasa na ukiukwaji wa wazi wa haki
Hawza/ Jumuiya ya Amal ya Kiislamu ya Bahrain katika taarifa yake imeainisha kuwa: Kunyongwa kwa Sayyid Hussein Al-Qallaf, Muhammad Ahmad Al-Hamad na Hassan Saleh Al-Salim, waliokuwa wakizuiliwa…
-
Mjumbe wa Baraza Kuu la Hizbullah Lebanon:
DuniaMuqawama unaendelea kwa nguvu hadi itakapotimia ahadi ya Mwenyezi Mungu / Maktaba ya Shahidi Suleimani ni nguzo ya kifikra kwa Muqawama wa Kiislamu
Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh al-Baghdadi alisisitiza kuwa: Muqawama unaendelea kwa nguvu na kwa kushikamana na maktaba ya mashahidi na uongozi, katika njia ya kusimama imara na kupambana na adui…
-
DuniaMazishi ya Mwanazuoni Sheikh Ridha Mahmoud Mahdi, yafanyika katika mji wa Khartoum nchini Lebanon
Hawza/ Hizbullah na watu wa Muqawama waliuaga mwili wa Mwanazuoni, Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Ridha Mahmoud Mahdi.
-
DuniaKiongozi mwandamizi wa Hizbullah: Muqawama hautapambana na jeshi na hautaruhusu fitina ya ndani
Hawza/ Sheikh Ali Damoush amesema: hapo awali ilielezwa kwamba kukamilishwa kwa hatua za jeshi kusini mwa Mto Litani kulitegemea kusitishwa kwa mashambulizi na kujiondoa kwa adui “Muisraeli”…
-
DuniaBendera iliyoandikwa “Waliidu al-Ka‘bah” yapandishwa katika Ataba Tukufu ya Imam Ali (as)
Hawza/ Ataba Tukufu ya Alawi, sambamba na kuwasili kwa wiki ya maadhimisho ya kumbukumbu ya kuzaliwa Imamu Ali (amani iwe juu yake), imeanza maadhimisho haya kwa kupandisha bendera iliyoandikwa…