-
Ayatullah Al-Udhma Subhani katika ufunguzi wa Taasisi ya Utafiti wa Ilmu ya Kalamu ya Imam Ja‘far Sadiq (a.s):
DuniaLazima tuwe na uhuru wa kifikra na kielimu / Fikra za Magharibi Hazipaswi Kuathiri Jamii
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Subhani alionya kwamba: Ni lazima tuingie katika uwanja wa elimu kupitia njia sahihi, wala hatupaswi kuvutiwa na kuathiriwa na Magharibi. Sisi wenyewe tuna misingi sahihi…
-
DuniaKiongozi wa Harakati ya Kiislamu Nigeria, Sheikh Ibraheem Zakzaky, Atunukiwa Tuzo ya Dunia ya Imam Khomeini + Picha
Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, Sheikh Ibraheem Zakzaky, ametunukiwa Tuzo ya Dunia ya Imam Khomeini (ra), kutokana na kutambua mchango wake mkubwa katika kuhudumia Ummah…
-
DuniaKurejea Shughuli za “Daesh” Kwenye Maeneo Yaliyo Chini ya Udhibiti wa Serikali ya Damascus; Ni Jambo Linalo Tishia Usalama
Hawza/ Kuongezeka kwa operesheni zilizotekelezwa hivi karibuni na kundi la Daesh nchini Syria kunatoa tahadhari ya kurejea kwa shughuli za kundi hili; jambo hili linatokea katika kipindi nyeti…
-
DuniaSheikh Al-Rifa‘i: Kuhalalisha mahusiano si tu ni Usaliti kwa Umma, Bali Kunahatarisha Uwepo Wetu
Hawza/ Sheikh Mu’min al-Rifa‘i, mshauri wa masuala ya uhusiano wa kidiplomasia wa Lebanon, katika taarifa yake alisisitiza kuwa kuweka kawaida mahusiano si tu usaliti kwa Umma, bali ni usaliti…
-
Waziri Mkuu wa Hispania:
DuniaMsimamo Wetu Kuhusu Palestina Uko Wazi na Dhahiri
Hawza/ Pedro Sánchez, Waziri Mkuu wa Uhispania, alitetea msimamo wa wazi wa nchi yake dhidi ya uhalifu wa Israel. Katika hotuba yake ya kupitia tathmini ya utendaji wa mwaka mzima, alisema: msimamo…
-
DuniaKauli za Chuki Dhidi ya Uislamu Zalaaniwa Vikali Nchini Marekani
Hawza/ Kauli za chuki dhidi ya Waislamu zilizotolewa na maafisa wawili wa chama cha Republican cha Marekani, ikiwemo wito wa kupiga marufuku kuingia kwa Waislamu na hata kuwafukuza Waislamu,…
-
DuniaToronto Kanada, Yaandaa Mkutano wa Kuvutia wa Kiislamu
Hawza/ mkutano wa kila mwaka wa kuhuisha Uislamu halisi (RIS) utafanyika kuanzia tarehe 19 hadi 21 Desemba 2025 huko Toronto.
-
Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia wa Lebanon:
DuniaAdui Mzayuni Hawezi Kujisalimisha na Kuachia Nafasi Katika Ukanda Huu
Hawza/ Sheikh Ali al-Khatib, Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia wa Lebanon, alisisitiza: Tunaupa umuhimu uthabiti katika nchi zote za eneo hili, lakini adui Mzayuni haachi nafasi…
-
DuniaKongamano la Sita la “Mafunzo ya Muqawama wa Palestina” Mjini Beirut Limesisitiza Umoja na Mbinu za Kukabiliana na Wavamizi
Hawza/ Kwa ushirikiano na Chuo Kikuu cha Lebanon, mkutano wa sita wa kila mwaka wa Jumuiya ya Kiarabu ya Elimu ya Siasa, wenye anuani “Harakati za ukombozi na uhuru katika dunia ya tatu na mafunzo…
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuhuisha Turathi za Wanazuoni Lebanon:
DuniaMuqawama ni Njia ya Heshima na Hadhi kwa Umma wa Kiislamu / Viongozi wa Muqawama Wanaendeleza Njia ya Imam Khomeini (ra)
Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh Al-Baghdadi, huku akisisitiza nafasi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuunga mkono mataifa yaliyodhulumiwa na mhimili wa muqawama, alisema: Muqawama ni njia…
-
DuniaKikao Kilicho na Anuani Isemayo: “Sitisheni Mauaji ya Kimbari Dhidi ya Wapalestina” Chafanyika Nchini India
Hawza/ Kikao chenye anuani isemayi “Sitisheni mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina, ikomboleni Palestina” kilifanyika katika mji wa Hyderabad, India, kwa lengo la kutangaza mshikamano na taifa…
-
DuniaTaasisi ya Kawthar Yafanya Hafla ya “Siku ya Kimataifa ya Wanawake Wakiislamu” Nchini Uturuki
Hawza/ Kituo cha Kitamaduni cha Kawthar, kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuzaliwa Bibi Fatima Zahra (a.s.) na Siku ya Kimataifa ya Wanawake Wakiislamu, kiliandaa hafla ya kiroho iliyowakutanisha…
-
Ayatullah Al-Udhma Subhani:
DuniaWakaaji wa Itikafu Waombe Dua Kwa Ajili ya Kuwaokoa Waislamu Kutoka Katika Hali Ngumu
Hawza/ Ayatullah Subhani amesisitiza kuwa: mambo yanayowakumba Waislamu leo hayajawahi kushuhudiwa kwa kiwango kikubwa kama hiki katika historia, na kutokana na dunia kutojali kuhusu maafa haya…
-
Ayatullah Al-Udhma Nouri Hamadani:
DuniaKukuza Utamaduni wa Swala Hakufanyiki Kulingana na Amri
Hawza/ Ayatullah Nouri Hamadani, akisisitiza juu ya umuhimu wa kujenga utamaduni kuanzia katika mazingira ya elimu na familia, amesema wazi kuwa: kukuza utamaduni wa Swala hakutapatikana kwa…
-
DuniaWito wa Tarehe 18 Desemba; Hasira za Wafanyakazi Dhidi ya Sera Kali za Serikali ya Ufaransa
Hawza/ Zaidi ya mashirika na vyama 400 nchini Ufaransa vimewaita wananchi kushiriki maandamano ya tarehe 18 Desemba dhidi ya ubaguzi wa rangi na kwa ajili ya kuhalalishwa kisheria kwa watu wasiokuwa…
-
DuniaTuwe Wapinga-Uzayuni, si Wapinga-Uyahudi
Hawza/ Harakati ya kuunga mkono Palestina nchini Scotland ililaani tukio la ufyatuaji risasi uliosababisha vifo katika hafla ya Wayahudi nchini Australia, na ikasisitiza kuwa hakuna uhalali wowote…
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya 'Kuhuisha Turathi za Wanazuoni' wa Lebanon, Katika Kongamano la kimataifa la “Muqawama”:
DuniaMuqawama ni Jibu la Kihistoria kwa Uislamu Dhidi ya Uvamizi na Ubeberu
Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh Baghdadi, huku akisisitiza kuwa; muqawama una mizizi yake katika mafundisho halisi ya Uislamu, alisema wazi kuwa: Muqawama ni jibu la kihistoria na la kimkakati la…
-
Waziri wa Zamani wa Lebanon:
DuniaHakuna Nafasi ya Kujisalimisha Katika Kamusi Yetu, Muqawama ni Utamaduni wa Maisha
Hawza/ Mustafa Bairam alisisitiza kuwa muqawama nchini Lebanon, sambamba na watu wake, umefikia viwango vya juu kabisa vya wajibu wa kibinadamu na kitaifa katika kusimama upande wa wanyonge,…
-
Mwakilishi wa Hizbullah:
DuniaLicha ya Mashinikizo Yote, Muqawama Utaendelea Kumiliki Silaha
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Faisal Shukr alisisitiza kuwa; bendera ya muqawama itaendelea kuinuliwa, na silaha zake, licha ya mashinikizo yote, silaha zitaendelea kubakia mikononi mwa wapiganaji…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi Iran, Katika Kikao na Waandaaji wa Kongamano la Kitaifa la Kuadhimisha Mashahidi wa Mkoa wa Alborz Nchini Humo:
DuniaNi lazima Thamani na Motisha za Mashahidi Zihamishiwe kizazi kijacho/ Umuhimu wa Kufafanua kwa Ubunifu wa Kisanaa Maadili ya Ulinzi Mtakatifu
Hawzah/ Ayatollah Sayyid Ali Khamenei amesisitiza: kuhamisha thamani na motisha za kipindi cha Ulinzi Mtakatifu kukielekea kizazi kipya kunahitaji kazi ya kisanaa na ufuatiliaji usiokatika.
-
Ayatollah A‘rafi Katika Kikao na Wakurugenzi na Manaibu wa Utafiti wa Hawza ya Qom Iran:
HawzaUtafiti ndani ya Hawza una Jukumu la Kuongoza/ Leo tuko Katikati ya Mapambano Makubwa ya Kiakili na Kimaendeleo
Hawza/ Ayatollah A‘rafi, akielezea nafasi ya kipekee ya Hawza, alisema: “Leo katika ulimwengu mzima, nguzo kuu ya uzalishaji wa fikra kwa ajili ya Mapinduzi ya Kiislamu na katika kujibu mahitaji…
-
HawzaAyatullah Hosseini Bushehri: Hawza Inaenda Sambamba na Mabadiliko
Hawza/ Rais wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza alisema: Matokeo ya shughuli za vituo vyetu vya kielimu yanapaswa siku zote kuwepo juu ya meza za viongozi. Haitoshi kujitosheleza kwa kuwasilisha vitabu…
-
Mafunzo Katika Qur'an:
DuniaNjia Isiyo na Kifani ya Mwenyezi Mungu kwa Ajili ya Kumlea Mwanadamu
Hawza/ Mwenyezi Mungu katika aya ya 90 ya Surah An-Nahl, badala ya kutumia amri na katazo kali, anatumia lugha ya mafundisho: «يَعِظُكُمْ لَعَلَّكُمْ تَذَكَّــرُونَ». Huu ni mtindo wa kipekee…
-
Mwanzuoni Mashuhuri kwa Kishia Nchini Pakistan:
DuniaMwanazuoni wa Dini Lazima Daima Awe Kwenye Njia ya Kutafuta Elimu na Kuhifadhi Kazi za Kielimu
Hawza/ Ayatollah Hafiz Sayyid Riyaadh Hussain Najafi katika hotuba yake alisisitiza umuhimu wa kutafuta elimu mara kwa mara, kuhifadhi kazi za kisayansi za wataalimu, na kufundisha Qur'an na…
-
DuniaRadi Amali ya Kamati ya Uongozi wa Michezo ya Hawza Nchini Iran, Kuhusu “Mechi ya Kifahari ya Mashoga”
Hawza/ Kufuatia kuitwa kwa mchezo wa timu ya taifa ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Jamhuri ya Kiarabu ya Misri kwa jina la “Mechi ya Fahari” (Pride Match) na FIFA pamoja na Kamati ya Maandalizi…
-
Ayatollah A‘arafi Katika Hotuba Yake Kwenye Chuo Kikuu cha Qum Iran:
HawzaSayansi ya Kibinadamu ya Kiislamu Ndio Msingi na Roho ya Tamko la Hatua ya Pili ya Mapinduzi ya Iran/ Nashangaa Baadhi Wanasema Hakuna Sayansi ya Kibinadamu ya Kiislamu
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, huku akisisitiza kwamba sayansi ya kibinadamu ya Kiislamu ndio msingi na roho ya Tamko la Hatua ya Pili ya Mapinduzi, alisema: Kila kinachopuuzwa kuhusu…
-
Hukumu za Kisheria:
DuniaKuweka Picha na Video Binafsi Kwenye Wasifu (Profile)
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi amejibu swali la kisheria (istiftaa) kuhusiana na suala la “kuweka picha na video binafsi kwenye wasifu (profile)”.
-
Ayatollah Kaabi:
DuniaChanzo cha Uadui wa Marekani ni Hofu ya “Kusimamishwa Uislamu Halisi” / Ghaza; maonyesho ya aibu ya Ustaarabu wa Magharibi
Hawza/ Naibu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza Qum, huku akisisitiza kwamba chanzo kikuu cha uadui wa Marekani, utawala wa Kizayuni na Magharibi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, ni hofu ya…
-
DuniaImamu wa Swala ya Ijumaa wa Melbourne, Australia, Alaani Shambulio Dhidi ya Hafla ya Kidini ya Wayahudi
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Abulqasim Razavi, katika tamko alilotoa kufuatia shambulio la kutumia silaha dhidi ya hafla ya kidini ya Wayahudi huko Sydney, pamoja na kulaani vikali…
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
DuniaHistoria Imethibitisha Kwamba Sisi ni Watu Wakubwa Kuliko Migawanyiko
Hawza/ Mufti Mkuu wa Jaafari wa Lebanon amesema: Mwanadamu ndiye kitu kitakatifu zaidi miongoni mwa vitakatifu vya Mwenyezi Mungu, na hakuna utakatifu wowote kwa maslahi ya mwanadamu isipokuwa…