Jumanne 9 Desemba 2025
  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Rafiki Mwenye Hekima kwa Mtazamo wa Ayatullah al-‘Udhma Jawadi Amoli

    DiniRafiki Mwenye Hekima kwa Mtazamo wa Ayatullah al-‘Udhma Jawadi Amoli

    Hawza/ Ayatullah al-‘Udhma Jawadi Amoli amesema: uhusiano wa kindugu kwa kiwango cha jumla si jambo baya, na ni vyema kila Mwislamu awe na uhusiano mwema na Mwislamu mwenzake; lakini inapofikia…

    2025-12-08 17:45
  • Makumbusho ya Lincolnshire Nchini Uingereza Yaandaa Maonesho ya Athari za Kihistoria za Kiislamu Kutoka Makka

    DuniaMakumbusho ya Lincolnshire Nchini Uingereza Yaandaa Maonesho ya Athari za Kihistoria za Kiislamu Kutoka Makka

    Hawza/ Athari za kale za Kiislamu zilizo maalumu sana, ambazo hapo awali zilikuwa zinaoneshwa Makka pekee, hivi karibuni zimewekwa katika maonesho katika Makumbusho ya Scunthorpe mjini Lincolnshire,…

    2025-12-08 16:45
  • Sheikh Zakzaky Akutana na Wanazuoni na Wazee Kutoka Sehemu Mbalimbali Nchini Nigeria

    DuniaSheikh Zakzaky Akutana na Wanazuoni na Wazee Kutoka Sehemu Mbalimbali Nchini Nigeria

    Hawza/ Kundi la wanazuoni na wazee kutoka maeneo mbalimbali ya nchi ya Nigeria walikutana na kufanya mazungumzo na Sheikh Ibrahim Zakzaky katika makazi yake.

    2025-12-08 15:45
  • Nchi za Kiislamu Zimetoa Onyo Kuhusiana na Mpango Mchafu wa Israel Huko Rafah

    DuniaNchi za Kiislamu Zimetoa Onyo Kuhusiana na Mpango Mchafu wa Israel Huko Rafah

    Hawza/ Nchi za Qatar, Misri na nchi nyingine sita za Kiislamu zimelaani vikali hatua ya Israel ya kufungua upande mmoja wa mpaka wa Rafah kwa njia ambayo inaruhusu tu kukimbia kwa wananchi wa…

    2025-12-08 14:45
  • Hispania Inaunga Mkono Kuundwa kwa Kola ya Palestina

    DuniaHispania Inaunga Mkono Kuundwa kwa Kola ya Palestina

    Hawza/ José Manuel Álvarez, Waziri wa Mambo ya Nje wa Hispania, amekiri kwamba: ghasia za walowezi wa Kizayuni wa Israel katika Ukingo wa Magharibi zimevuka mipaka ya udhibiti. Sisi tunatambua…

    2025-12-08 13:45
  • Radi Amali ya Jumuiya ya Wanazuoni Qum Iran, Kuhusiana na Kauli za hivi karibuni zilizojaa matusi dhidi ya Ahlul-Bayt (a.s.)

    DuniaRadi Amali ya Jumuiya ya Wanazuoni Qum Iran, Kuhusiana na Kauli za hivi karibuni zilizojaa matusi dhidi ya Ahlul-Bayt (a.s.)

    Hawza/ Jumuiya ya Wanazuoni wa Chuo cha Elimu ya Dini cha Qom, kwa kutoa tamko rasmi, imeonesha msimamo wake dhidi ya kauli za matusi na dharau zilizotolewa dhidi ya Ahlul-Bayt wa Isma (a.s.)…

    2025-12-08 12:45
  • Mapinduzi kabla ya kudhihiri Imam Mahdi (a.s.)

    Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyya (58)

    DiniMapinduzi kabla ya kudhihiri Imam Mahdi (a.s.)

    Hawza/ Baadhi ya watu, wakitegemea baadhi ya riwaya, wamefikia hatua ya kudhania kwamba aina yoyote ya harakati dhidi ya watawala madhalimu kabla ya kudhihiri kwa Imam wa Zama (a.s.) ni haramu;…

    2025-12-08 11:09
  • Dalili za wazi zinaonesha kudorora kwa Marekani kwa mujibu wa hati ya hivi karibuni ya serikali ya Trump

    Imefafanuliwa katika ripoti ya habari–Uchambuzi ya Shirika la Habari la Hawza:

    DuniaDalili za wazi zinaonesha kudorora kwa Marekani kwa mujibu wa hati ya hivi karibuni ya serikali ya Trump

    Hawza/ Kuchapishwa kwa Hati ya Mkakati wa Usalama wa Taifa wa Marekani kunadhihirisha wazi kwamba, kinyume na majigambo ya viongozi wa Ikulu ya White House, Marekani katika ulimwengu wa leo haina…

    2025-12-07 15:24
  • Kamati ya Elimu ya Ataba Abbasiyya, Yaitembelea Taasisi ya Elimu na Utamaduni wa Kiislamu nchini Iran

    DuniaKamati ya Elimu ya Ataba Abbasiyya, Yaitembelea Taasisi ya Elimu na Utamaduni wa Kiislamu nchini Iran

    Hawza/ Wajumbe wa kamati ya elimu kutoka katika Ataba Tukufu Abbasiyya walihudhuria katika Taasisi ya Elimu na Utamaduni wa Kiislamu, na katika kikao cha pamoja na wakurugenzi na marais wa vitengo…

    2025-12-07 13:00
  • Venezuela: Makubaliano ya Kusitisha Vita Ghaza Kimsingi Hayana Athari

    DuniaVenezuela: Makubaliano ya Kusitisha Vita Ghaza Kimsingi Hayana Athari

    Hawza/ Serikali ya Venezuela kwa sauti isiyo ya kawaida imekemea mashambulizi ya Israel dhidi ya Palestina, Lebanon na Syria na ikakosoa vikali ukimya wa taasisi za kimataifa mbele ya “mchakato…

    2025-12-07 12:00
  • Wafanyakazi Katika Kampuni ya Ndege ya AirAsia Watavaa Hijabu

    DuniaWafanyakazi Katika Kampuni ya Ndege ya AirAsia Watavaa Hijabu

    Hawza/ kampuni ya ndege ya AirAsia ambayo inajumuisha nchi kadhaa za Asia ikiwemo Indonesia, imetangaza kwamba kuanzia mwanzoni mwa mwaka 2026 wafanyakazi wake wa kike watavaa sare inayojumuisha…

    2025-12-07 11:00
  • Wananchi wa Ujerumani, Wapinga Safari Aliyoifanya Waziri Mkuu wa Nchi Hiyo ya Kusafiri Kwenda Israel

    DuniaWananchi wa Ujerumani, Wapinga Safari Aliyoifanya Waziri Mkuu wa Nchi Hiyo ya Kusafiri Kwenda Israel

    Hawza/ Wanaharakati wanao ihami Palestina na wanachama wa kundi la Amnesty International, siku ya Ijumaa waliandaa maandamano katika kituo cha Berlin, yakiwa na lengo la kupinga safari iliyopangwa…

    2025-12-07 10:00
  • Wizara ya Mambo ya Ndani ya Palestina: Kila Msaliti Itampata yeye Hatima ya Abushabab

    DuniaWizara ya Mambo ya Ndani ya Palestina: Kila Msaliti Itampata yeye Hatima ya Abushabab

    Hawza, Wizara ya Mambo ya Ndani na Usalama wa Taifa la Palestina imethibitisha kwamba; kifo cha Yaser Abushabab ambaye alikuwa mmoja wa washirika wa utawala wa uvamizi wa Israel kinaonyesha “hatima…

    2025-12-07 09:00
  • Mradi Hatari wa “Mikataba ya Is-haq”, Mtego Mpya wa Israel kwa Agentina

    DuniaMradi Hatari wa “Mikataba ya Is-haq”, Mtego Mpya wa Israel kwa Agentina

    Hawza/ Serikali ya Javier Milei, katika mazingira yaliyojaa lawama za kimataifa dhidi ya mashambulizi ya Israel huko Ghaza, imeanzisha mpango wenye sura nyeusi unaoitwa “Mikataba ya Is-haq”.

    2025-12-07 08:00
  • Ardhi ya Mitume Imetapakaa Damu ya Waliodhulumiwa, na Dunia Imenyamaza

    Rais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan:

    DuniaArdhi ya Mitume Imetapakaa Damu ya Waliodhulumiwa, na Dunia Imenyamaza

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake, alisisitiza kuwa licha ya kuwepo kwa kile kinachoitwa makubaliano ya amani ya kulazimishwa, uvamizi na uhalifu wa…

    2025-12-07 07:00
  • Inafaa Trump Ahukuhukumiwe Kwenye mahakama za kimataifa, na si Kupewa Tuzo ya Amani ya Nobel

    Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Najaf Ashraf:

    DuniaInafaa Trump Ahukuhukumiwe Kwenye mahakama za kimataifa, na si Kupewa Tuzo ya Amani ya Nobel

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanji alisema: Miongoni mwa mambo ya kushangaza zaidi ni kwamba Trump amedai kuwa serikali ya Iraq imependekeza apewe Tuzo ya Amani ya Nobel!…

    2025-12-07 06:00
  • Sheikh Jalala Afanya Ziara ya Kushtukiza Katika Markaz ya Imam Ridhwa (a.s) Arusha Tanzania + Picha

    DuniaSheikh Jalala Afanya Ziara ya Kushtukiza Katika Markaz ya Imam Ridhwa (a.s) Arusha Tanzania + Picha

    Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, ameendelea na ziara zake mkoani Arusha ambapo leo tareh 6 December amefanya ziara ya kushtukiza…

    2025-12-06 23:10
  • Mahafali ya Pili ya shule ya Awali na Msingi ya Lady Zahraa Islamic Pre and Primary School, Yafanyika Kondoa Tanzania + Picha

    DuniaMahafali ya Pili ya shule ya Awali na Msingi ya Lady Zahraa Islamic Pre and Primary School, Yafanyika Kondoa Tanzania + Picha

    Hawza/ Shule ya awali na msingi Lady Zahraa Islamic Pre and Primary School, iliyopo katika wilaya ya Kondoa na Mkoani Dodoma, inayoendeshwa chini ya usimamizi wa Sheikh Abdulatif Swaleh, imefanya…

    2025-12-06 22:29
  • Qom: Yawakaribisha Viongozi wa Juu wa Kidini Kutoka Georgia

    DuniaQom: Yawakaribisha Viongozi wa Juu wa Kidini Kutoka Georgia

    Hawza/ Sheikh Fāiq Nabiyov, Mkuu wa Idara Kuu ya Waislamu wa Georgia, akiwa pamoja na baadhi ya Maimamu wa Kisunni wa nchi hiyo, leo wametembelea Haramu Tukufu ya Bibi Ma‘suma (a.s).

    2025-12-05 21:30
  • Mafanikio ya Wanawake katika Elimu na Teknolojia Baada ya Mapinduzi ya Iran Hayalinganishwi na Kipindi Cho chote Kingine

    Ayatullah A‘rafi:

    HawzaMafanikio ya Wanawake katika Elimu na Teknolojia Baada ya Mapinduzi ya Iran Hayalinganishwi na Kipindi Cho chote Kingine

    Hawza/ Mkurugenzi wa hawza nchini Iran amesema: Leo, kwa baraka za Mapinduzi ya Kiislamu, katika uwanja wa mwanamke na familia, kumepatikana mafanikio makubwa nchini Iran katika nyanja mbalimbali…

    2025-12-05 20:30
  • Jinsi ya Kujiepusha na Majivuno Wakati wa Mafanikio Makubwa

    Mafunzo Katika Sahifat Sajjadia:

    DiniJinsi ya Kujiepusha na Majivuno Wakati wa Mafanikio Makubwa

    Hawza/ Wakati wa kufikia daraja za kidunia au kiakhera, hatari ya majivuno hutukabili; Imam Zaynul Abidin (a.s.) anatupa mwongozo wa kujilinda na hatari hii.

    2025-12-05 15:30
  • Watu Mashuhuri Wataka "Tumaini la Palestina" Aachiliwe Huru Kutoka Gerezani

    DuniaWatu Mashuhuri Wataka "Tumaini la Palestina" Aachiliwe Huru Kutoka Gerezani

    Hawza/ zaidi ya watu mashuhuri mia mbili wametangaza kwamba wanataka kwa dhati kuachiliwa huru Marwan Barghouti, mmoja wa viongozi wa mapambano ya Palestina ambaye wataalamu wamempa jina la “Tumaini…

    2025-12-05 14:00
  • Mwenendo wa Malezi wa Ayatullah Kashmiri

    DuniaMwenendo wa Malezi wa Ayatullah Kashmiri

    Hawza/ Ayatullah Qaemi, mmoja wa wanafunzi wa Ayatullah Kashmiri, anaeleza utaratibu wake wa malezi kwa mtazamo wa Ayatullah Kashmiri, kufikia ukamilifu wa kiroho kunategemea hatua kuu mbili:…

    2025-12-05 13:42
  • Je! Ni kwa Sababu Ipi Wino wa Wanazuoni Unepewa Uzito Mkubwa Kuliko Damu ya Mashahidi?

    Mafunzo Katika Nahjul Balagha:

    DiniJe! Ni kwa Sababu Ipi Wino wa Wanazuoni Unepewa Uzito Mkubwa Kuliko Damu ya Mashahidi?

    Hawza/ Amirul-Mu’minin Ali (a.s.) anaiona elimu kuwa ni urithi wenye thamani kubwa mno; na kwa hakika, urithi huu hauwezi kulinganishwa na jambo jingine lolote katika Uislamu.

    2025-12-04 13:45
  • Je, Hazrat Ummul-Banin (s.a.) alifariki kiasili au aliuawa shahidi?

    DiniJe, Hazrat Ummul-Banin (s.a.) alifariki kiasili au aliuawa shahidi?

    Hawza/ Pamoja na kwamba vyanzo vya kale vimekaa kimya kuhusiana na namna ya kufariki kwa Hazrat Ummul-Banin (s.a.), ripoti za baadaye zimewawekea watafiti simulizi mbili tofauti: kundi moja linaamini…

    2025-12-04 12:45
  • Kaulimbiu ya Kudai Uhuru ya Magharibi ni Kisingizio cha Kuhadaa Maoni ya Walimwengu/ Uhuru wa Kweli Upo Kwenye Kumuabudu Mwenyezi Mungu

    Mjumbe wa Baraza la Uangalizi:

    HawzaKaulimbiu ya Kudai Uhuru ya Magharibi ni Kisingizio cha Kuhadaa Maoni ya Walimwengu/ Uhuru wa Kweli Upo Kwenye Kumuabudu Mwenyezi Mungu

    Hawza/ Ayatullah Modarresi, huku kukosoa vikali mienendo ya kindumakuwili inayofanywa na nchi za Magharibi katika kujitetea kwa madai ya uhuru na haki za binadamu, alisisitiza: Magharibi inayojitambul…

    2025-12-04 11:33
  • Haipaswi Kupita Siku Bila Khatibu Kuwepo Katika Maeneo Matakatifu

    Ayatollah Udhma Makarem Shirazi:

    DuniaHaipaswi Kupita Siku Bila Khatibu Kuwepo Katika Maeneo Matakatifu

    Hawza/ Ayatollah Makarem Shirazi alisema: Haipaswi kupita siku bila khatibu kuwepo katika maeneo matakatifu. Haram ni vituo vya utamaduni vyenye athari kubwa kwa watu wote, na ni hifadhi kwa…

    2025-12-04 06:15
  • Mwanamke Ndiye Msimamizi wa Nyumba, si Mtumishi/ Jamhuri ya Kiislamu imebatilisha Mantiki Potofu ya Magharibi Kuhusu Mwanamke

    Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi Irani, Katika Kikao na Maelfu ya Wanawake na Mabinti:

    DuniaMwanamke Ndiye Msimamizi wa Nyumba, si Mtumishi/ Jamhuri ya Kiislamu imebatilisha Mantiki Potofu ya Magharibi Kuhusu Mwanamke

    Hawza/ Mtukufu Ayatollah Khamenei, mbee za maelfu ya wanawake na mabinti, alielezea “kuepuka kumbebesha mwanamke mzigo wa kazi za nyumbani”, “mume kumsaidia mke katika changamoto za uzazi” na…

    2025-12-03 23:14
  • Serikali ya Ufaransa Yalegeza Kamba Kuhusiana na Marufuku ya Hijabu kwa Wasichana Walio Chini ya Umri wa Miaka 18

    DuniaSerikali ya Ufaransa Yalegeza Kamba Kuhusiana na Marufuku ya Hijabu kwa Wasichana Walio Chini ya Umri wa Miaka 18

    Hawza/ Katika siku za hivi karibuni, kumekuwepo na kampeni kubwa kwenye vyombo vya habari kuhusu pendekezo la kupiga marufuku hijabu hata kwa watoto, jambo ambalo limechochea maudhi na wasiwasi…

    2025-12-03 18:14
  • Mitandao ya Kijamii ni Uwanja Mkuu wa Vita vya Kihabari/ Habari za Shirika la Habari la Hawza ni za Kuaminika na Zenye Msingi wa Unaohitajika

    Afisa Masuala ya Utamaduni na Mitandao wa Kampuni ya Tavanir:

    HawzaMitandao ya Kijamii ni Uwanja Mkuu wa Vita vya Kihabari/ Habari za Shirika la Habari la Hawza ni za Kuaminika na Zenye Msingi wa Unaohitajika

    Hawza/ Hujjatul-Islam Kakavand, akirejelea imani ya jamii kwenye vyombo vya habari vya Hawza, alisema: Kuchapishwa kwa habari katika Shirika Rasmi la Habari la Hawza huleta utulivu katika jamii…

    2025-12-03 17:14
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • Next

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom