Jumamosi 12 Julai 2025

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Kukubali mazungumzo na adui ni kutokuamini ahadi za Mwenyezi Mungu

    Ayatollah Rajabiy asema:

    HawzaKukubali mazungumzo na adui ni kutokuamini ahadi za Mwenyezi Mungu

    Hawza/ Rais wa Taasisi ya Imam Khomeini (rah) amesema: Kukubali kufanya mazungumzo na adui ni ushahidi wa wazi wa kutokuamini ahadi ya nusura ya Mwenyezi Mungu na kutokujua kwa hakika njama za…

    2025-07-12 00:23
  • Wanafunzi wa Yemeni waanza mwaka mpya wa masomo kwa maandamano ya kuiunga mkono Ghaza

    DuniaWanafunzi wa Yemeni waanza mwaka mpya wa masomo kwa maandamano ya kuiunga mkono Ghaza

    Hawza/ Wanafunzi wa Yemeni hufanya maandamano kila wiki kwa namna ya kishujaa kulaani kimya cha jumuiya ya kimataifa mbele ya mateso ya watu wa Ghaza.

    2025-07-12 00:22
  • Kufanyika kwa maandamano ya kulaani mauaji ya kigaidi dhidi ya Sheikh Shahoud huko Homs, Syria

    DuniaKufanyika kwa maandamano ya kulaani mauaji ya kigaidi dhidi ya Sheikh Shahoud huko Homs, Syria

    Hawza/ Wanaharakati wa Shirika la Uangalizi wa Haki za Binadamu la Syria wamerekodi maandamano katika vitongoji vya Homs yaliyoandaliwa kulaani mauaji ya kigaidi dhidi ya Sheikh Rasul Shahoud,…

    2025-07-12 00:21
  • Taasis za kimataifa zilaani mauaji ya maulamaa wa Kishia nchini Syria / Wahalifu na waungaji mkono wa jinai hii katika kanda hii wanapaswa kuhojiwa

    Ayatollah A’rafi katika kulaani mauaji ya Maulamaa wa Kishia nchini Syria:

    HawzaTaasis za kimataifa zilaani mauaji ya maulamaa wa Kishia nchini Syria / Wahalifu na waungaji mkono wa jinai hii katika kanda hii wanapaswa kuhojiwa

    Hawza/ Mkurugenzi wa hawza Iran amesema kwa kusisitiza: Mimi binafsi naziomba taasisi zote za kimataifa, hasa Umoja wa Mataifa, Baraza la Haki za Binadamu, Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu,…

    2025-07-12 00:20
  • Kiongozi wa Harakati ya Minhaj-ul-Qur’an ya Pakistan: Mapenzi kwa Ahlul-Bayt (as) ni sehemu isiyoepukika ya imani kwa mujibu wa Mtume Mtukufu (saw)

    DuniaKiongozi wa Harakati ya Minhaj-ul-Qur’an ya Pakistan: Mapenzi kwa Ahlul-Bayt (as) ni sehemu isiyoepukika ya imani kwa mujibu wa Mtume Mtukufu (saw)

    Hawza/ Katika kipindi cha kukaribia siku za maombolezo ya Muharram, mkutano wa “Ujumbe wa Imam Hussein (as) na Umoja wa Umma” ulifanyika katika mji wa Lahore, Pakistan kwa ushiriki mkubwa wa…

    2025-07-10 20:30
  • Haki za binadamu zinazodaiwa na Magharibi maana yake ni jinai na kuua maelfu ya wanawake na watoto

    Ayatollah al-Udhma Makarim Shirazi:

    HawzaHaki za binadamu zinazodaiwa na Magharibi maana yake ni jinai na kuua maelfu ya wanawake na watoto

    Hawaza/ Mtukufu Ayatollah Makarim Shirazi amesisitiza kuwa: Haki za binadamu zinazodaiwa na Magharibi ni dhana isiyo na maana wala maudhui ya kweli, wao hawana imani na heshima ya mwanadamu wala…

    2025-07-10 20:29
  • Umuhimu wa kutambua nyakati kwa mtazamo wa Sheikh Ibrahim Zakzaky

    HawzaUmuhimu wa kutambua nyakati kwa mtazamo wa Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Hawzah/ Ayatollah Sheikh Ibrahim Zakzaky amesema: “Hata kama chaguo la mwisho katika njia ya muqawama ni kufa kishahidi, bado hiyo ni furaha kubwa zaidi, kama alivyochagua Imam Hussein (as) katika…

    2025-07-09 21:31
  • Mahakama ya kimataifa iwahukumu Trump na Netanyahu kama wanaoupiga vita uislamu na waharibifu duniani / Mwamko wa kumuunga mkono kiongozi Ayatollah al-udhma Imam Khamenei

    Maulamaa wakubwa na mamufti wa nchi za kiislamu watoa wito:

    DuniaMahakama ya kimataifa iwahukumu Trump na Netanyahu kama wanaoupiga vita uislamu na waharibifu duniani / Mwamko wa kumuunga mkono kiongozi Ayatollah al-udhma Imam Khamenei

    Hawzah/ Maulamaa wakubwa, mumuft, wanazuoni na viongozi wa nchi za Kiislamu, huku wakitegemea aya za wazi za Qur’ani Tukufu, Sunna za Mtume Mtukufu (saw), misingi thabiti ya fiqhi ya Kiislamu…

    2025-07-09 21:31
  • Serikali ya Ufaransa Yaendelea Kuchochea Moto wa Chuki Dhidi ya Uislamu

    DuniaSerikali ya Ufaransa Yaendelea Kuchochea Moto wa Chuki Dhidi ya Uislamu

    Hawzah/ Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ufaransa, katika kipindi cha miezi mitano ya kwanza ya mwaka 2025, kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la matukio ya chuki dhidi…

    2025-07-09 21:25
  • Rais wa Brazil aitaka Jumuiya ya kimataifa iiunge mkono Palestina

    DuniaRais wa Brazil aitaka Jumuiya ya kimataifa iiunge mkono Palestina

    Hawzah/ Rais wa Brazil, Luiz Inácio Lula da Silva, ametoa wito kwa serikali duniani kuchukua hatua madhubuti na ya pamoja dhidi ya Israel, akisema kuwa dunia haiwezi kukaa kimya mbele ya mauaji…

    2025-07-09 21:24
  • Waislamu wa Uingereza hawajihisi kuwa na amani!

    DuniaWaislamu wa Uingereza hawajihisi kuwa na amani!

    Hawzah/ Kwa Waislamu wengi, wakiwemo Waislamu wa Uingereza, tukio la kulipuliwa mabomu tarehe 7 Julai mwaka 2005 linawakumbusha kumbukumbu za majonzi makubwa, na hadi leo linazidi kuwachochea…

    2025-07-09 21:23
  • Mkusanyiko wa wananchi Lisbon kwa ajili ya kuiunga mkono Palestina na amani mashariki ya kati

    DuniaMkusanyiko wa wananchi Lisbon kwa ajili ya kuiunga mkono Palestina na amani mashariki ya kati

    Hawza/ Maandamano makubwa yalifanyika katika mji mkuu wa Ureno, Lisbon yakiwa na lengo la kupinga mauaji ya halaiki yanayoendelea katika Ukanda wa Ghaza na kwa ajili ya kuwatetea wananchi wa…

    2025-07-08 22:00
  • Maombolezo yaliyofana ya Ashur'a yafanyika nchini India; Muungano wa Moyo na Karbala na Viongozi wa Mwamko wa Kiislamu

    DuniaMaombolezo yaliyofana ya Ashur'a yafanyika nchini India; Muungano wa Moyo na Karbala na Viongozi wa Mwamko wa Kiislamu

    Hawza/ Siku ya Ashur'a, wananchi wa India katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo waliendesha maombolezo ya Imam Hussein (as) na kwa kubeba bendera za Husein pamoja na picha za viongozi wa kidini…

    2025-07-08 21:59
  • Mchambuzi wa Kisiasa wa Iraq: Iran Imeshinda na Imesambaratisha Mpango mypa wa "Mashariki ya Kati"

    DuniaMchambuzi wa Kisiasa wa Iraq: Iran Imeshinda na Imesambaratisha Mpango mypa wa "Mashariki ya Kati"

    Hawza/ Ibrahim al-Sirraj, mchambuzi wa kisiasa wa Iraq, anaamini kuwa Iran imeshinda dhidi ya utawala wa Kizayuni na Marekani, na imefanikiwa kusambaratisha mradi mpya wa "Mashariki ya Kati"…

    2025-07-08 21:58
  • Waislamu wa Georgia wakiwa wamebeba picha za Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi, wametangaza mshikamano wao na Taifa la Iran

    DuniaWaislamu wa Georgia wakiwa wamebeba picha za Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi, wametangaza mshikamano wao na Taifa la Iran

    Hawza/ Imamu wa jamaa wa Msikiti wa Imam Ali (as) wa Marneuli, katika maandamano ya siku ya Tasu'a na Ashur'a ya Husein (as) ya Waislamu wa Kishia wa Georgia alisisitiza kuwa: Waislamu wa nchi…

    2025-07-08 21:57
  • Raisi wa Muungano wa Umoja wa India: Imam Khamenei si kiongozi wa Iran pekee, bali ni kiongozi wa Waislamu wote duniani

    DuniaRaisi wa Muungano wa Umoja wa India: Imam Khamenei si kiongozi wa Iran pekee, bali ni kiongozi wa Waislamu wote duniani

    Hawza/ Salman Nadwi amesema: Imam Khamenei si Kiongozi Mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran pekee, bali ulimwengu mzima wa Kiislamu na mataifa yote ya Kiislamu yameamua kwamba yeye ni kiongozi…

    2025-07-08 21:57
  • Taarifa ya Walimu 102 wa Masomo ya wazi na Masomo ya Kiwango cha Juu wa Hawza ya Qom, kwa ajili ya kumuunga mkono Imam Khamenei

    HawzaTaarifa ya Walimu 102 wa Masomo ya wazi na Masomo ya Kiwango cha Juu wa Hawza ya Qom, kwa ajili ya kumuunga mkono Imam Khamenei

    Hawza/ Kundi la walimu wa masomo ya wazi na ngazi za juu katika Hawza ya Qom wametangaza kwamba: Kwa kufuata na kuiga Marjaa wakubwa wa Taqlid na walimu wetu mashuhuri, tunatangaza kuwa tutalijibu…

    2025-07-08 21:56
  • Matembezi ya Ashura mwaka huu Arusha yavunja rekodi

    DuniaMatembezi ya Ashura mwaka huu Arusha yavunja rekodi

    Hawza/ Jiji la Arusha yamefanyika matembezi yaliyo fana mwaka huu, matembezi ambayo hayajawahi tokea katika miaka iliyopita.

    2025-07-08 11:21
  • Lushoto Tanga Tanzania, wafanya matembezi ya Ashura yaliyo fana mwaka huu

    DuniaLushoto Tanga Tanzania, wafanya matembezi ya Ashura yaliyo fana mwaka huu

    Hawza/ Wilaya ya Lushoto mkoani Tanga wamefanya matembezi ya ashura yaliyofana kupita kiasi mwaka huu.

    2025-07-08 11:20
  • Hivi ndivyo walivyo adhimisha matembezi ya Ashura mwaka huu mkoani Singida Tanzania

    DuniaHivi ndivyo walivyo adhimisha matembezi ya Ashura mwaka huu mkoani Singida Tanzania

    Hawza/ Mamia ya wafuasi wa madhehemu ya Ahlulbayt wamemiminika barabarani kwa ajili ya kuadhimisha maombolezo ya kuwawa Imam Husein (as) mkoani Singida Tanzania

    2025-07-08 11:18
  • Matembezi makubwa kwa ajili ya Imam Husein (as) yafanyika Tanzania

    DuniaMatembezi makubwa kwa ajili ya Imam Husein (as) yafanyika Tanzania

    Hawza/ Matembezi makubwa na yaliyohudhuriwa na watu wengi yamefanyika katika jiji la Daresalam nchini Tanzania

    2025-07-06 15:57
  • Karbala ni dhihirisho la kusimama imara dhidi ya nguvu dhalimu katika njia ya haki

    Katibu Mkuu wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia wa Pakistan:

    DuniaKarbala ni dhihirisho la kusimama imara dhidi ya nguvu dhalimu katika njia ya haki

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Shabbir Hassan Maithamī, katika hotuba yake akielezea ujumbe wa milele wa harakati ya Ashura, alisema: Tukio la Karbala ni alama ya upinzani dhidi ya dhulma…

    2025-07-06 15:55
  • Mashtaka dhidi ya taasisi ya utekelezaji wa sheria huko California, kwa sababu ya hatua zake dhidi ya hijabu kwa wanawake

    DuniaMashtaka dhidi ya taasisi ya utekelezaji wa sheria huko California, kwa sababu ya hatua zake dhidi ya hijabu kwa wanawake

    Hawza/ Wanafunzi wawili wa Kiislamu wamewasilisha mashtaka dhidi ya taasisi ya utekelezaji wa sheria katika moja ya maeneo ya jimbo la California.

    2025-07-06 15:54
  • Kutoridhika kwa wafungwa Waislamu katika jimbo la Oregon, Marekani kutokana na vitendo vya ubaguzi na ukosefu wa haki

    DuniaKutoridhika kwa wafungwa Waislamu katika jimbo la Oregon, Marekani kutokana na vitendo vya ubaguzi na ukosefu wa haki

    Hawza/ Baraza la Mahusiano ya Kiislamu nchini Marekani (CAIR), kwa niaba ya wafungwa watatu Waislamu walioko katika gereza la Oregon, Marekani, limewasilisha kesi dhidi ya Wizara ya Marekebisho…

    2025-07-06 15:54
  • Hafla ya maombolezo ya usiku wa Ashura ya Husseini (as) katika Husainia ya Imam Khomeini huku ikihudhuriwa na Kiongozi wa Mapinduzi

    DuniaHafla ya maombolezo ya usiku wa Ashura ya Husseini (as) katika Husainia ya Imam Khomeini huku ikihudhuriwa na Kiongozi wa Mapinduzi

    Hawza/ Wakati huo huo na usiku wa Ashura ya Husseini (as), hafla ya maombolezo ilifanyika katika Huseinia ya Imam Khomeini (ra) huku ikihudhuriwa na Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Mtukufu…

    2025-07-06 15:53
  • Wamarekani Wengi Wanaogopa radi-amali ya Iran kutokana na Mashambulizi ya Mabomu Dhidi ya Mitambo ya Nyuklia

    DuniaWamarekani Wengi Wanaogopa radi-amali ya Iran kutokana na Mashambulizi ya Mabomu Dhidi ya Mitambo ya Nyuklia

    Hawza/ Utafiti wa maoni unaonyesha kuwa kati ya kila Wamarekani wanne, watatu wao wana wasiwasi kuhusu radi-amali ya Iran kutokana na mashambulizi ya mabomu ya Marekani dhidi ya mitambo ya nyuklia…

    2025-07-06 05:00
  • Msimamizi wa Masuala ya Kimataifa wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan: Kutetea Marjaa ni Wajibu wa Kidini na wa Kila Mtu

    DuniaMsimamizi wa Masuala ya Kimataifa wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan: Kutetea Marjaa ni Wajibu wa Kidini na wa Kila Mtu

    Hawza/ Hujjatul-Islam Shafqat Hussein Shirazi, katika kujibu matamshi ya matusi ya Rais wa Marekani dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Mtukufu Ayatollah al-Udhma Khamenei (Mola…

    2025-07-06 04:59
  • Kutishwa Ayatollah Khamenei ni sawa na kuudhalilisha Umma mzima wa Kiislamu

    Ayatollah Sheikh Issa Q'asim:

    DuniaKutishwa Ayatollah Khamenei ni sawa na kuudhalilisha Umma mzima wa Kiislamu

    Hawza/ Kiongozi wa Waislamu wa Kishia nchini Bahrain amelaani vikali matusi na vitisho vya "Donald Trump", Rais wa Marekani, dhidi ya Ayatollah al-‘Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi…

    2025-07-06 04:58
  • Video / Utetezi wa kishujaa wa Seneta wa Pakistan kwa Ayatollah al-Udhma Khamenei

    VideoVideo / Utetezi wa kishujaa wa Seneta wa Pakistan kwa Ayatollah al-Udhma Khamenei

    Hawza / Kauli za Hujjatul-Islam wal-Muslimin Raja Nasir Jafari, Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan.

    2025-07-02 14:27
  • Lugha ya matusi ya mabeberu dhidi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu italeta majibu makali

    Mwenyekiti wa Baraza la Maulamaa wa Kishia wa Pakistan:

    DuniaLugha ya matusi ya mabeberu dhidi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu italeta majibu makali

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika taarifa aliyoitoa, amelaani vikali matamshi ya matusi ya Rais wa Marekani kumhusu Ayatollah Khamenei, alisisitiza nafasi adhimu…

    2025-07-02 14:21
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • Next

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom