-
Mratibu wa Bunge la Kitaifa la Dini za Kihindi:
Dunia“Khamenei” ni jina lililowakusanya pamoja wanaoitafuta haki kutoka kila pembe ya dunia
Hawza/ Mratibu wa Bunge la Kitaifa la Dini nchini India amesema: “Mapenzi yetu kwa Shahidi Ayatullah al-Udhma Khamenei (ra) yanavuka mipaka ya siasa; yanafafanuliwa kwa kuenzi ubinadamu. Alikuwa…
-
Mhadhiri na Mwanaharakati wa Dini ya Kihindu:
DuniaDunia ya leo inawahitaji zaidi kuliko wakati mwingine wowote viongozi kama Ayatullah Khamenei (ra)
Hawza/ Mhadhiri na mwanaharakati wa kidini wa kutoka Bara Hindi amesema: “Dunia ya leo inahitajia zaidi kuliko wakati mwingine wowote viongozi kama Ayatullah Khamenei (ra), ambao kwa maisha yao…
-
Mjumbe wa Kambi ya Muqawama:
DuniaHakuna hatua yoyote ya adui ya kuondoka; Serikali ya Lebanon inatumia maonesho ya kisiasa kutengeneza ushindi wa kufikirika
Hawza/ Hassan Fadlallah amesisitiza kuwa; adui wa Kizayuni hajaondoka hata kutoka kipande kimoja cha ardhi inayokaliwa kwa mabavu kusini mwa Lebanon.
-
Vyama vya Lebanon:
DuniaTunaunga mkono hatua za Yemen za kumaliza mzingiro wa kidhalimu na kutoa jibu la kulipiza kwa msingi wa haki
Hawza/ Kikao cha vyama, makundi na shakhsia za kitaifa za Lebanon kimesisitiza mshikamano wake na haki ya wananchi wa Yemen ya kumaliza mzingiro wa kidhalimu uliowekwa dhidi yao, pamoja na haki…
-
DuniaHaram Tukufu ya Alawi yatangaza mpango wake wa kitabibu, kiafya na huduma zake kwa ajili ya kuwahudumia mazuwari wa Arubaini
Hawza/ Kituo cha Tiba cha "Rasul al-A'dham (saww)" kilicho chini ya Haram Tukufu ya Alawi kimetangaza kukamilisha maandalizi maalumu ya kitabibu na kiafya kwa ajili ya ziara ya Arubaini ya Imam…
-
DiniHadithi ya Leo| Wanaotafuta kasoro za wengine hupenda kuzieneza
Hawza/ Amirul-Muuminina, Imam Ali (as), katika riwaya amebainisha chanzo cha tabia ya kutafuta kasoro za watu na kuzieneza kwa wengine.
-
Ayatullah Saiidi katika Swala ya Ijumaa ya Qom:
DuniaArubaini ya Imam Hussein (as), ni alama ya umoja wa Umma wa Kiislamu/ Mshikamano wa wananchi umeidhalilisha Marekani na Wazayuni
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa mjini Qom amesema kuwa; Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi alikuwa akiitazama Swala ya Ijumaa kuwa ni kiungo muhimu katika mlolongo wa nguvu laini (Soft Power) wa…
-
DuniaWatawa Wanawake wa Kikatoliki Wapinga Sheria Isiyo ya Kibinadamu Huko New York
Hawza/ Watawa wanawake wa Kanisa Katoliki mjini New York wameikosoa sheria inayohusu taasisi za utoaji wa huduma za afya kwa wagonjwa katika jimbo hilo. Kwa mujibu wa sheria hiyo, wanalazimishwa…
-
DuniaKiongozi wa Wayahudi wa Haredi: Vita Ambavyo Jeshi la Israel Linapigana ni Kutekeleza Mauaji
Hawza/ Kauli kali za Rabbi Dov Lando, kiongozi wa kiroho wa mkondo wa Haredi wa Degel HaTorah, dhidi ya vita vinavyoendeshwa na jeshi la utawala wa Kizayuni, zimleta mgawanyiko kati ya serikali…
-
DuniaWazalendo wa Japan Waanzisha Harakati Kubwa za Kudai Kuondolewa kwa Vikosi vya Marekani Nchini Humo
Hawza/ Rais wa Chama cha Wazalendo wa Japan (Issuikai) amesisitiza kuwa; dunia iko katika kipindi cha mpito kutoka mfumo wa dunia wa ncha moja kwenda mfumo wa ncha nyingi, na ametaka kuondolewa…
-
DuniaMfalme wa Bahrain Aanzisha Operesheni ya Kuwafuta Mashia
Hawza/ Kitendo cha Ayatullah Sheikh Isa Qassim kuvunja ukimya wake na kutangaza kuwa hatima ya madhehebu ya Shia nchini Bahrain inakabiliwa na tishio la kuwepo kwake, kina maana kwamba sehemu…
-
Osama Hamdan:
DuniaKuchaguliwa kwa Khalil al-Hayya ni Ujumbe wa Kuendeleza Njia ya Muqawama
Hawza/ Osama Hamdan, mmoja wa viongozi wa Harakati ya Hamas, amesisitiza kuwa; kuchaguliwa Khalil al-Hayya kuwa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya harakati hiyo ni ishara ya uhai na uimara wa Hamas,…
-
DuniaMwandishi wa Habari Aliyemrushia Bush Kiatu: Ushirikiano wa Muqawama Kati ya Mashia na Masunni Ulishinda Uvamizi wa Marekani Nchini Iraq
Hawza/ Muntadhar al-Zaidi, mwandishi wa habari wa Iraq ambaye aligeuka kuwa alama ya kimataifa ya muqawama dhidi ya ukoloni baada ya kumrushia George Bush kiatu mwaka 2008, ameeleza undani wa…
-
Video ya AI:
VideoWalio asisi vita vya kulazimishwa dhidi ya Iran hawataepuka kisasi cha watu huru duniani
Taswira ya mfano inayowakilisha ahadi ya Ayatullah Sayyid Mujtaba Khamenei kuwahusu wahusika wa uhalifu uliotekelezwa katika vita viwili vya mwisho vilivyolazimishwa dhidi ya wananchi wa Iran,…
-
DiniHadithi ya Leo | Katazo la Kuwadharau Watu na Kuwadunisha
Hawza/ Mtume Mtukufu (saww) katika riwaya amekataza kuwadharau na kuwadunisha.
-
DuniaMaadhimisho ya Miaka 100 Tangu Kuanzishwa kwa Msikiti Mkuu wa Paris Yafanyika
Hawza/ Msikiti Mkuu wa Paris umefanya hafla ya kuadhimisha miaka 100 tangu kuanzishwa kwake, ambapo pia ulitoa heshima kwa askari Waislamu walioshiriki katika Vita vya Kwanza vya Dunia.
-
DuniaWaislamu wa Texas Wahanga wa Ukosefu wa Usalama Kutotokana na Kampeni za Uchaguzi
Hawza/ Waislamu wa Jimbo la Texas nchini Marekani wameeleza wasiwasi mkubwa kutokana na baadhi ya wagombea wa uchaguzi kutumia hotuba zao za kampeni kueneza chuki dhidi ya Uislamu.
-
DuniaMatembezi ya Waombolezaji wa Imam Hussein (as) ya Kuikaribisha Arubaini nchini Nigeria
Hawza/ Kundi la Waislamu wa Kishia na wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria chini ya uongozi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, wamefanya matembezi ya kwanza ya Arubaini ya Imam Hussein (as) kwa…
-
Ayatullah A'rafi:
HawzaShirika la Habari la Hawza Linapaswa Kuwa Rejea ya Kuaminika ya Vyombo vya Habari katika Nyanja za Utamaduni, Imani na Maadili Katika Dunia ya Sasa
Hawza/ Ni lazima Shirika la Habari la Hawza, kama dhihirisho la kimedia la Hawza na wanazuoni wake, kwa kufuata urithi huu mkubwa na wa thamani, liwe ni chombo kinachoakisi maadili yote, huduma…
-
Sheikh Adel Al-Shaala:
DuniaUkiukwaji wa Haki za Raia nchini Bahrain Imekuwa Sera Iliyopangwa Dhidi ya Mashia na Wanazuoni
Hawza/ Sheikh Adel Al-Shaala amesema kuwa; ukiukwaji wa mara kwa mara wa haki za raia wa Kishia unaoshuhudiwa leo nchini Bahrain haujaishia tena katika vikwazo vya kisiasa au kiusalama, bali…
-
Sheikh Ali Al-Khatib:
DuniaHatutafanya Makubaliano kwa Damu ya Mashahidi Wetu na Tumnataka Adui Aondoke Kikamilifu katika Ardhi Yetu
Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon amesisitiza: Hatukubali aina yoyote ya mapatano yanayohusu damu ya mashahidi wetu, na tunataka adui wa Kizayuni aondoke…
-
DuniaMazishi ya Sayyid Ali Khamenei Yalibeba Ujumbe Mkubwa kwa Umma; Maulana Hemed Jalala Aainisha Mafunzo Matano Muhimu Rufiji
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, jana alihudhuria na kusoma Majlisi ya kumbukumbu ya Sayyid Ali Khamenei iliyofanyika katika Husseiniyat…
-
Hizbullah:
DuniaMsimamo Wetu katika Masuala Yote ni Mmoja na Thabiti; Yaliyoripotiwa na Baadhi ya Vyombo vya Habari Si ya Kweli
Hawza/ Msimamo wetu katika masuala yote ni mmoja na thabiti, na habari zinazosambazwa na baadhi ya vyombo vya habari si za kweli.
-
Mbunge wa Kambi ya Muqawama Lebanon:
DuniaUongozi wa Nchi Umewaacha Wananchi Wake na Unasisitiza Kuikokota Lebanon Kwenye Hali Hatari Sana
Hawza/ Ali Fayyadh amesisitiza kuwa; baada ya kumalizika kwa duru ya mazungumzo mjini Roma kati ya ujumbe wa Lebanon na adui Israel, misimamo rasmi ya serikali ya Lebanon imefichuka zaidi kuliko…
-
DuniaUshauri wa Iraq kwa Al-Jolani: Jiepushe na Kujiingiza katika Masuala ya Lebanon
Hawza/ Taarifa zilizopokelewa zinaonesha kuwa "Rais wa Syria", Muhammad Al-Jolani (Ahmad Al-Sharaa), katika siku za hivi karibuni alipokea "ushauri" kutoka kwa serikali ya Iraq ukimtaka kutojiingiza…
-
Ayatullah Jawadi A'muli:
DuniaSisi Tunamuunga Mkono Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu/ Wajibu wetu ni kumuunga mkono na kumlinda Kiongozi
Hawza/ Kutoka katika dhana ya "Shahidi" hadi "Mwenye kuuawa (Qatīl)"; Ayatullah Jawa'di Amuli, kupitia ufafanuzi wa matini ya Swala ya maiti iliyoswaliwa kwa ajili ya Kiongozi Shahidi, ameeleza…
-
DuniaMalaysia Yatangaza Kuwafukuza Raia wa Israel
Hawza/ Waziri Mkuu wa Malaysia ametangaza kwamba endapo raia wa Israel watabainika kuwepo nchini humo, watafukuzwa mara moja, kwa kuwa Malaysia haiutambui rasmi utawala wa Israel.
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaTuko Pamoja na Jamhuri ya Kiislamu; Tuna Hatima Moja na Maisha Bila Wao Hayana Kheri Wala Maslahi
Hawza/ Hujjatul Islam wal Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanchi amesema: "Tunaitaka Serikali ya eneo la Kurdistan isiruhusu makundi ya wapinzani wa mapinduzi kufanya uvamizi na mashambulizi dhidi…
-
DuniaKiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu Alishukuru Taifa la Iraq kwa Heshima Yake Katika Mazishi ya Imam Shahidi
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe wa kulishukuru taifa la Iraq kwa heshima ya tukio kubwa la mazishi ya Imam Muja'hid Shahidi.
-
Ayatullah Husseini Bushehri:
DuniaRadi Amali ya Ayatullah Husseini Bushehri Katika Baadhi ya Propaganda Kuhusu Mikoa ya Kusini/ Kuwaamini Maadui Wanaovunja Ahadi ni Kosa la Kimkakati
Hawza/ Mwenyekiti wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom amesema: "Baadhi ya hatua na propaganda zinazoenezwa hazitokani na huruma kwa wananchi, bali zinalenga kuzusha mifarakano, kuigawa jamii…