-
Mtazamo juu ya programu za kujitegemea na kuwawezesha wanawake nchini Yemen:
DuniaKutoka mafunzo ya biashara hadi utoaji wa mikopo midogo kwa wanawake wasio na waume
Hawza/ Runinga ya Al-Masirah imeonesha uzoefu wa Taasisi ya Maendeleo Khayrat al-‘Atā’, ambayo imegeuka kutoka mpango wa kujitolea wa wanawake wachache hadi kuwa taasisi inayoongoza katika uzalishaji,…
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti Kuhusiana na Mahdawiyya (53)
DuniaMahdawiyya katika Qur’ani (Sehemu ya Mwisho)
Hawza/ Aya za Qur’ani wakati mwengine huwa na maana nyingi: moja ni ya dhahiri na ya wazi kwa watu wote, na nyingine ni ya ndani (maana ya batini), ambayo hakuna anayejua isipokuwa Mtume (saww),…
-
Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Ithnaasharia Tanzania (TIC):
DuniaAmani na Maadili Mema ndio Utambulisho halisi wa Mtanzania
Hawza/ Katika kongamano maalumu la amani lililofanyika nchini Tanzania, Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Ithnaasharia Tanzania (TIC) alitoa hotuba yenye kugusa moyo kuhusu umuhimu wa kulinda misingi…
-
Katibu Mkuu wa Kata’ib Sayyid ash-Shuhada:
DuniaUchaguzi wa Iraq: “Mapigano Meupe” ya Taifa katika Kuilinda Dhamira ya Muqawama
Hawza/ Katika mwelekeo wa uchaguzi wa Iraq, Abu Alaa al-Wala’i alisema kuwa uchaguzi wa Iraq ni “mapigano meupe” ya kiwango kamili; silaha yake ni kura safi za taifa na uwanjani ni sanduku la…
-
Tafsiri ya Kituruki ya “Joto lisiloisha” Yachapishwa Nchini Uturuki:
DuniaSimulizi ya Mama Muirani Alie Sababisha Sauti ya Kujitolea Isikike Ulimwenguni
Hawza/ Fasihi ya kujitolea ya Iran imepiga hatua mpya kuwaelekea hadhira wa kimataifa baada ya kuchapishwa kwa tarjama ya Kituruki cha Istanbul.
-
DuniaMuhammad Hannoun Afukuzwa Milan
Hawza/ Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wapalestina nchini Italia amezuiwa kuingia katika jiji la Milan kwa muda wa mwaka mmoja. Uamuzi huu umeelezwa kuwa si tu unakandamiza uhuru wa kujieleza, bali…
-
DiniBibi Zaynab (a.s), Sauti ya Ukweli Mbele ya Mabavu
Hawza/ Kuzaliwa kwa Bibi Zaynab (a.s) ni hatua muhimu katika historia ya Uislamu; ni mwanamke ambaye kutokana na elimu, subira na ujasiri wake, aligeuka kuwa kielelezo cha kudumu kwa wanawake…
-
Mafunzo Katika Qur'ani:
DiniNjia ya Kukutana na Mtukufu Imam Mahdi (a.s)
Hawza/ Mwenyezi Mungu Mtukufu katika Hadithi ya Mi’raj anatufahamisha kipimo na kigezo ambacho kushikamana nacho kunaweza kuyaangazia macho yetu kuudiriki uzuri wa nuru ya Mtukufu Imam Mahdi…
-
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Muhammad Saeed Wa’idhy:
DuniaUmoja wa Maulamaa na Wanafikra katika Ulimwengu wa Kiislamu ni Sharti Lisilopingika kwa Ajili ya Kuhuisha Utamaduni wa Kiislamu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Muhammad Saeed Wa’idhy, mmoja wa wajumbe wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom, katika mkutano wa maulamaa na wanafikra kutoka nchi mbalimbali za Kiislamu uliofanyika…
-
DuniaSheikh Naeem Qassem Kufanya Mzungumzo na kituo cha Al-Manar
Hawza/ Sheikh Naeem Qassem, usiku wa leo, kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya kutimiza mwaka mmoja tangu achukue wadhifa wa Ukatibu Mkuu, atakuwa mgeni katika kituo cha Al-Manar.
-
DuniaKiongozi wa Chama cha Watwan cha Uturuki Atoa Onyo kwa Ilham Aliyev
Hawza/ Doğu Perinçek, kiongozi wa Chama cha Watwan cha Uturuki, amemtumia barua rasmi Ilham Aliyev, Rais wa Jamhuri ya Azerbaijan, akionesha upinzani wake dhidi ya kufanyika kwa “Mkutano wa Marabi…
-
Ayatullah A‘rafi katika kikao na wasomi wa Iraq:
HawzaMarehemu Naini alikuwa na mchango wenye athari kubwa katika uwanja wa siasa na jamii
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza alibainisha kuwa: “Ameonesha kwamba faqihi anaweza kufuatilia masuala ya kielimu na wakati huo huo awe na nafasi yenye athari katika uwanja wa kisiasa na kijamii.”
-
Ujumbe wa Kongamano la Kimataifa “Wito wa Palestina”:
DuniaWajibu wa kuisaidia Palestina ni zaidi ya itikadi na siasa
Hawza/ Kwa juhudi za mtandao wa “SNN”, kongamano la kimataifa liitwalo "Mwito wa Palestina" limefanyika kwa njia ya mtandao (Zoom) kutoka mji wa Lucknow, India, kwa ushiriki wa kundi la wanazuoni…
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Jumuiya ya Kimataifa ya Wanazuoni wa Muqāwama:
DuniaMipango ya maadui ya kulivua silaha Jeshi la Hizbullah imefeli
Hawza/ Mkurugenzi Mtendaji wa Jumuiya ya Kimataifa ya Wanazuoni wa Muqāwama alisisitiza kuwa: “Leo Hizbullah ya Lebanon ni yenye nguvu kuliko ilivyowahi kuwa, na njama chafu za maadui za kuinyang’anya…
-
Mafunzo Katika Sahifat Sajjadiyah:
DiniNi Vipi Tutafahamu Kwamba Mungu Peke Anatosha
Hawza/ Wakati miangaiko ya kidunia inapomtoa mwanadamu katika njia ya uja na utumishi wa Mwenyezi Mungu, Imam Sajjad (a.s) anatupa ufunguo wa dhahabu wa ukombozi: kuomba kutoshelezwa na Mwenyezi…
-
Ayatullah al-‘Udhma Subhānī:
HawzaIjitihaidishaji wlya ubunifu na juhudi za kielimu za Mirza Nāīnī ni kielelezo kwa wanafunzi na watafiti wa Hawza
Hawza/ Ayatullah Subhānī alisema: Marehemu Mirza Nāīnī, kwa kutumia mbinu bunifu za kielimu katika fiqhi, kama vile kugawa kadhia katika vigawanyo vya kihakika (ḥaqīqiyyah) na vya kihalisia (khārijiyy…
-
Kiongozi wa Mapinduzi Irani, katika kikao na waandaaji wa Mkutano wa Kimataifa wa Mirza Na’ini (ra) alifafanua:
HawzaUbunifu wa kielimu na fikra ya kisiasa ni sifa mbili mashuhuri za Allāmah Na’ini
Hawza/ Hotuba ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran, katika kikao na waandaaji wa Mkutano wa Kimataifa wa Allāmah Mirza Na’ini (r.a), huko Qom Iran, katika eneo la kufanyia mkutano huo.
-
DuniaMaktaba ya Vatican yatenga sehemu kwa ajili ya Kufanya Ibada watafiti wa Kiislamu
Hawza/ Maktaba ya Vatican imetenga sehemu ndogo mahsusi kwa ajili ya watafiti Waislamu ili waweze kuswali wakati wanapoenda kufaya ziara zao za kitafiti.
-
Ayatullah A‘rafi katika Kongamano la Mirza Na’ini:
HawzaMirza Na’ini ni alama ya akili ya jihadi katika fikra ya Kiislamu / Kufufua kazi za wakubwa ni muongozo kwa hawza na chanzo cha msukumo kwa kizazi kijacho
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza alisisitiza kwamba; kufufua kazi za wakubwa ni mwongozo kwa hawza na chanzo cha ilhamu kwa vijana, akasema: Mirza Na’ini ni mfano wa akili ya kimujahidina na kiunganishi…
-
Ayatullah A‘rafiy amebainisha:
HawzaMisingi ya usimamizi na mikakati katika upangaji na usimamizi wa Hawza
Hawza/ Ayatullah Alireza A‘rafiy, akiweka bayana nafasi ya kihistoria na kitamaduni ya Hawza, amesisitiza juu ya nafasi ya maulamaa katika kufufua utajo wa Mwenyezi Mungu, kulea kizazi chenye…
-
DuniaJumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu Lebanon: Kauli za Imam Khamenei Zinaleta Utulivu na Fakhari
Hawza/ Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon imesema kwamba maneno ya Mtukufu Ayatullah Imam Sayyid Ali Khamenei kuhusiana na matamshi ya Rais wa Marekani aliyedai kwamba alishambulia…
-
Sheikh Na‘im Qasim:
DuniaSilaha za Hizbullah ni sehemu ya nguvu ya Lebanon
Hawza/ Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa silaha ni sehemu ya nguvu ya Lebanon, na kwamba maadui hawataki Lebanon iwe na nguvu.
-
DuniaSheikh al-Qattan Atoa Shukrani Zake za Dhati kwa Walioiunga Mkono Ghaza
Hawza/ Sheikh Ahmad al-Qattan, mwanazuoni wa Kisunni na Mwenyekiti wa Jumuiya ya “Qawluna wa al-‘Amal” nchini Lebanon, amesema: “Baada ya matukio tuliyoshuhudia Palestina – hususan huko Ghaza…
-
DuniaOfisi ya Ayatullah al-Udhma Sistani yatangaza mwanzo wa mwezi wa Jumada al-Ula
Hawza/ Ofisi ya Ayatullah Sistani mjini Najaf Ashraf imetangaza kwamba lo ni siku ya mwisho ya mwezi wa Rabi‘ al-Thani, na kesho Ijumaa itakuwa mwanzo wa mwezi wa Jumada al-Ula.
-
Antonio Guerrero:
DuniaWafungwa wa Kipalestina ni nembo ya uthabiti dhidi ya watawala dhalimu
Hawza/ Antonio Guerrero, shujaa wa Jamhuri ya Cuba na mmoja wa wanachama wa kundi la “Mashujaa Watano wa Cuba”, katika ujumbe wake wa kibinadamu na wa kina kuwaelekea wafungwa wa Kipalestina,…
-
Mwanazuoni wa Pakistani:
DuniaMataifa Huru Duniani yamegundua uwongo na hila za Marekani na Israeli
Hawza/ Hujjatul-Islam Maqsood Ali Domki katika hotuba yake alisema: damu safi ya mashahidi wa muqawama imefunua uso wa udanganyifu wa Marekani na Israeli na kuonesha ukweli wa dhulma inayoyakabili…
-
Mafunzo katika Nahjul Balagha:
DiniFadhila Saba za kunyamaza
Hawza News/ Imam Ṣādiq (a.s.) katika riwaya yenye maana pana, ameeleza kuwa kukaa kimya si tu njia ya watafiti, bali ni chanzo cha kupata radhi za Mwenyezi Mungu na kinga dhidi ya makosa.
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti Kuhusiana na Mahdawiya (52)
DiniMahdawiyya katika Qur’ani (Sehemu ya Nne)
Hawza/ Mwenyezi Mungu amewaahidi waumini na watu wema ahadi ya utawala juu ya ardhi, utukufu wa dini ya haki, na usalama kamili. Hata hivyo, miongoni mwa wafasiri kuna mjadala kuhusiana na kuwa;…
-
Ayatullah A‘rafi katika kikao na wakuu wa taasisi za Jihad-e-Daneshgahi nchini Iran:
HawzaVipengele vitatu muhimu kwa ajili ya kazi ya kitamaduni / Tuwe tayari kufanya biashara na Mungu
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza Iran, Ayatullah Alireza A‘rafi, akifafanua kuhusu vipengele vitatu muhimu vya kazi ya kitamaduni, alisema: “Ikhlasi ni kipimo kinachoinua thamani ya kazi. Kufanya biashara…
-
Naibu wa Idara ya Tabliigh na Masuala ya Kitamaduni ya Hawza nchini Iran:
Dunia“Ikhlasi” ndiyo ufunguo wa mafanikio katika kuhubiri dini/ Kutafuta umaarufu ni kujitenga na njia ya tauhidi
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimīn Rafi‘ī katika kongamano la mafunzo na maelekezo la “Karīmah Ahl al-Bayt (a.s.)” lililohusisha wawakilishi wa shule za Amin na viongozi wa masuala ya tablighi…