Jumanne 28 Oktoba 2025

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Kutoka mafunzo ya biashara hadi utoaji wa mikopo midogo kwa wanawake wasio na waume

    Mtazamo juu ya programu za kujitegemea na kuwawezesha wanawake nchini Yemen:

    DuniaKutoka mafunzo ya biashara hadi utoaji wa mikopo midogo kwa wanawake wasio na waume

    Hawza/ Runinga ya Al-Masirah imeonesha uzoefu wa Taasisi ya Maendeleo Khayrat al-‘Atā’, ambayo imegeuka kutoka mpango wa kujitolea wa wanawake wachache hadi kuwa taasisi inayoongoza katika uzalishaji,…

    2025-10-28 14:13
  • Mahdawiyya katika Qur’ani (Sehemu ya Mwisho)

    Kuielekea Jamii Bora: Tafiti Kuhusiana na Mahdawiyya (53)

    DuniaMahdawiyya katika Qur’ani (Sehemu ya Mwisho)

    Hawza/ Aya za Qur’ani wakati mwengine huwa na maana nyingi: moja ni ya dhahiri na ya wazi kwa watu wote, na nyingine ni ya ndani (maana ya batini), ambayo hakuna anayejua isipokuwa Mtume (saww),…

    2025-10-28 13:19
  • Amani na Maadili Mema ndio Utambulisho halisi wa Mtanzania

    Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Ithnaasharia Tanzania (TIC):

    DuniaAmani na Maadili Mema ndio Utambulisho halisi wa Mtanzania

    Hawza/ Katika kongamano maalumu la amani lililofanyika nchini Tanzania, Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Ithnaasharia Tanzania (TIC) alitoa hotuba yenye kugusa moyo kuhusu umuhimu wa kulinda misingi…

    2025-10-28 12:45
  • Uchaguzi wa Iraq: “Mapigano Meupe” ya Taifa katika Kuilinda Dhamira ya Muqawama

    Katibu Mkuu wa Kata’ib Sayyid ash-Shuhada:

    DuniaUchaguzi wa Iraq: “Mapigano Meupe” ya Taifa katika Kuilinda Dhamira ya Muqawama

    Hawza/ Katika mwelekeo wa uchaguzi wa Iraq, Abu Alaa al-Wala’i alisema kuwa uchaguzi wa Iraq ni “mapigano meupe” ya kiwango kamili; silaha yake ni kura safi za taifa na uwanjani ni sanduku la…

    2025-10-27 22:45
  • Simulizi ya Mama Muirani Alie Sababisha Sauti ya Kujitolea Isikike Ulimwenguni

    Tafsiri ya Kituruki ya “Joto lisiloisha” Yachapishwa Nchini Uturuki:

    DuniaSimulizi ya Mama Muirani Alie Sababisha Sauti ya Kujitolea Isikike Ulimwenguni

    Hawza/ Fasihi ya kujitolea ya Iran imepiga hatua mpya kuwaelekea hadhira wa kimataifa baada ya kuchapishwa kwa tarjama ya Kituruki cha Istanbul.

    2025-10-27 22:41
  • Muhammad Hannoun Afukuzwa Milan

    DuniaMuhammad Hannoun Afukuzwa Milan

    Hawza/ Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wapalestina nchini Italia amezuiwa kuingia katika jiji la Milan kwa muda wa mwaka mmoja. Uamuzi huu umeelezwa kuwa si tu unakandamiza uhuru wa kujieleza, bali…

    2025-10-27 22:38
  • Bibi Zaynab (a.s), Sauti ya Ukweli Mbele ya Mabavu

    DiniBibi Zaynab (a.s), Sauti ya Ukweli Mbele ya Mabavu

    Hawza/ Kuzaliwa kwa Bibi Zaynab (a.s) ni hatua muhimu katika historia ya Uislamu; ni mwanamke ambaye kutokana na elimu, subira na ujasiri wake, aligeuka kuwa kielelezo cha kudumu kwa wanawake…

    2025-10-27 10:27
  • Njia ya Kukutana na Mtukufu Imam Mahdi (a.s)

    Mafunzo Katika Qur'ani:

    DiniNjia ya Kukutana na Mtukufu Imam Mahdi (a.s)

    Hawza/ Mwenyezi Mungu Mtukufu katika Hadithi ya Mi’raj anatufahamisha kipimo na kigezo ambacho kushikamana nacho kunaweza kuyaangazia macho yetu kuudiriki uzuri wa nuru ya Mtukufu Imam Mahdi…

    2025-10-26 20:24
  • Umoja wa Maulamaa na Wanafikra katika Ulimwengu wa Kiislamu ni Sharti Lisilopingika kwa Ajili ya Kuhuisha Utamaduni wa Kiislamu

    Hujjatul-Islam wal-Muslimin Muhammad Saeed Wa’idhy:

    DuniaUmoja wa Maulamaa na Wanafikra katika Ulimwengu wa Kiislamu ni Sharti Lisilopingika kwa Ajili ya Kuhuisha Utamaduni wa Kiislamu

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Muhammad Saeed Wa’idhy, mmoja wa wajumbe wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom, katika mkutano wa maulamaa na wanafikra kutoka nchi mbalimbali za Kiislamu uliofanyika…

    2025-10-26 19:16
  • Sheikh Naeem Qassem Kufanya Mzungumzo na kituo cha Al-Manar

    DuniaSheikh Naeem Qassem Kufanya Mzungumzo na kituo cha Al-Manar

    Hawza/ Sheikh Naeem Qassem, usiku wa leo, kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya kutimiza mwaka mmoja tangu achukue wadhifa wa Ukatibu Mkuu, atakuwa mgeni katika kituo cha Al-Manar.

    2025-10-26 18:50
  • Kiongozi wa Chama cha Watwan cha Uturuki Atoa Onyo kwa Ilham Aliyev

    DuniaKiongozi wa Chama cha Watwan cha Uturuki Atoa Onyo kwa Ilham Aliyev

    Hawza/ Doğu Perinçek, kiongozi wa Chama cha Watwan cha Uturuki, amemtumia barua rasmi Ilham Aliyev, Rais wa Jamhuri ya Azerbaijan, akionesha upinzani wake dhidi ya kufanyika kwa “Mkutano wa Marabi…

    2025-10-26 00:14
  • Marehemu Naini alikuwa na mchango wenye athari kubwa katika uwanja wa siasa na jamii

    Ayatullah A‘rafi katika kikao na wasomi wa Iraq:

    HawzaMarehemu Naini alikuwa na mchango wenye athari kubwa katika uwanja wa siasa na jamii

    Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza alibainisha kuwa: “Ameonesha kwamba faqihi anaweza kufuatilia masuala ya kielimu na wakati huo huo awe na nafasi yenye athari katika uwanja wa kisiasa na kijamii.”

    2025-10-26 00:10
  • Wajibu wa kuisaidia Palestina ni zaidi ya itikadi na siasa

    Ujumbe wa Kongamano la Kimataifa “Wito wa Palestina”:

    DuniaWajibu wa kuisaidia Palestina ni zaidi ya itikadi na siasa

    Hawza/ Kwa juhudi za mtandao wa “SNN”, kongamano la kimataifa liitwalo "Mwito wa Palestina" limefanyika kwa njia ya mtandao (Zoom) kutoka mji wa Lucknow, India, kwa ushiriki wa kundi la wanazuoni…

    2025-10-25 23:38
  • Mipango ya maadui ya kulivua silaha Jeshi la Hizbullah imefeli

    Mkurugenzi Mtendaji wa Jumuiya ya Kimataifa ya Wanazuoni wa Muqāwama:

    DuniaMipango ya maadui ya kulivua silaha Jeshi la Hizbullah imefeli

    Hawza/ Mkurugenzi Mtendaji wa Jumuiya ya Kimataifa ya Wanazuoni wa Muqāwama alisisitiza kuwa: “Leo Hizbullah ya Lebanon ni yenye nguvu kuliko ilivyowahi kuwa, na njama chafu za maadui za kuinyang’anya…

    2025-10-25 23:27
  • Ni Vipi Tutafahamu Kwamba Mungu  Peke Anatosha

    Mafunzo Katika Sahifat Sajjadiyah: 

    DiniNi Vipi Tutafahamu Kwamba Mungu  Peke Anatosha

    Hawza/ Wakati miangaiko ya kidunia inapomtoa mwanadamu katika njia ya uja na utumishi wa Mwenyezi Mungu, Imam Sajjad (a.s) anatupa ufunguo wa dhahabu wa ukombozi: kuomba kutoshelezwa na Mwenyezi…

    2025-10-24 12:47
  • Ijitihaidishaji wlya ubunifu na juhudi za kielimu za Mirza Nāīnī ni kielelezo kwa wanafunzi na watafiti wa Hawza

    Ayatullah al-‘Udhma Subhānī:

    HawzaIjitihaidishaji wlya ubunifu na juhudi za kielimu za Mirza Nāīnī ni kielelezo kwa wanafunzi na watafiti wa Hawza

    Hawza/ Ayatullah Subhānī alisema: Marehemu Mirza Nāīnī, kwa kutumia mbinu bunifu za kielimu katika fiqhi, kama vile kugawa kadhia katika vigawanyo vya kihakika (ḥaqīqiyyah) na vya kihalisia (khārijiyy…

    2025-10-24 12:36
  • Ubunifu wa kielimu na fikra ya kisiasa ni sifa mbili mashuhuri za Allāmah Na’ini

    Kiongozi wa Mapinduzi Irani, katika kikao na waandaaji wa Mkutano wa Kimataifa wa Mirza Na’ini (ra) alifafanua:

    HawzaUbunifu wa kielimu na fikra ya kisiasa ni sifa mbili mashuhuri za Allāmah Na’ini

    Hawza/ Hotuba ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran, katika kikao na waandaaji wa Mkutano wa Kimataifa wa Allāmah Mirza Na’ini (r.a), huko Qom Iran, katika eneo la kufanyia mkutano huo.

    2025-10-24 10:43
  • Maktaba ya Vatican yatenga sehemu kwa ajili ya Kufanya Ibada watafiti wa Kiislamu

    DuniaMaktaba ya Vatican yatenga sehemu kwa ajili ya Kufanya Ibada watafiti wa Kiislamu

    Hawza/ Maktaba ya Vatican imetenga sehemu ndogo mahsusi kwa ajili ya watafiti Waislamu ili waweze kuswali wakati wanapoenda kufaya ziara zao za kitafiti.

    2025-10-24 10:32
  • Mirza Na’ini ni alama ya akili ya jihadi katika fikra ya Kiislamu / Kufufua kazi za wakubwa ni muongozo kwa hawza na chanzo cha msukumo kwa kizazi kijacho

    Ayatullah A‘rafi katika Kongamano la Mirza Na’ini:

    HawzaMirza Na’ini ni alama ya akili ya jihadi katika fikra ya Kiislamu / Kufufua kazi za wakubwa ni muongozo kwa hawza na chanzo cha msukumo kwa kizazi kijacho

    Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza alisisitiza kwamba; kufufua kazi za wakubwa ni mwongozo kwa hawza na chanzo cha ilhamu kwa vijana, akasema: Mirza Na’ini ni mfano wa akili ya kimujahidina na kiunganishi…

    2025-10-24 10:29
  • Misingi ya usimamizi na mikakati katika upangaji na usimamizi wa Hawza

    Ayatullah A‘rafiy amebainisha:

    HawzaMisingi ya usimamizi na mikakati katika upangaji na usimamizi wa Hawza

    Hawza/ Ayatullah Alireza A‘rafiy, akiweka bayana nafasi ya kihistoria na kitamaduni ya Hawza, amesisitiza juu ya nafasi ya maulamaa katika kufufua utajo wa Mwenyezi Mungu, kulea kizazi chenye…

    2025-10-23 13:34
  • Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu Lebanon: Kauli za Imam Khamenei Zinaleta Utulivu na Fakhari

    DuniaJumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu Lebanon: Kauli za Imam Khamenei Zinaleta Utulivu na Fakhari

    Hawza/ Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon imesema kwamba maneno ya Mtukufu Ayatullah Imam Sayyid Ali Khamenei kuhusiana na matamshi ya Rais wa Marekani aliyedai kwamba alishambulia…

    2025-10-23 13:20
  • Silaha za Hizbullah ni sehemu ya nguvu ya Lebanon

    Sheikh Na‘im Qasim:

    DuniaSilaha za Hizbullah ni sehemu ya nguvu ya Lebanon

    Hawza/ Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa silaha ni sehemu ya nguvu ya Lebanon, na kwamba maadui hawataki Lebanon iwe na nguvu.

    2025-10-23 13:17
  • Sheikh al-Qattan Atoa Shukrani Zake za Dhati  kwa Walioiunga Mkono Ghaza

    DuniaSheikh al-Qattan Atoa Shukrani Zake za Dhati  kwa Walioiunga Mkono Ghaza

    Hawza/ Sheikh Ahmad al-Qattan, mwanazuoni wa Kisunni na Mwenyekiti wa Jumuiya ya “Qawluna wa al-‘Amal” nchini Lebanon, amesema: “Baada ya matukio tuliyoshuhudia Palestina – hususan huko Ghaza…

    2025-10-23 13:12
  • Ofisi ya Ayatullah al-Udhma Sistani yatangaza mwanzo wa mwezi wa Jumada al-Ula

    DuniaOfisi ya Ayatullah al-Udhma Sistani yatangaza mwanzo wa mwezi wa Jumada al-Ula

    Hawza/ Ofisi ya Ayatullah Sistani mjini Najaf Ashraf imetangaza kwamba lo ni siku ya mwisho ya mwezi wa Rabi‘ al-Thani, na kesho Ijumaa itakuwa mwanzo wa mwezi wa Jumada al-Ula.

    2025-10-23 13:08
  • Wafungwa wa Kipalestina ni nembo ya uthabiti dhidi ya watawala dhalimu

    Antonio Guerrero:

    DuniaWafungwa wa Kipalestina ni nembo ya uthabiti dhidi ya watawala dhalimu

    Hawza/ Antonio Guerrero, shujaa wa Jamhuri ya Cuba na mmoja wa wanachama wa kundi la “Mashujaa Watano wa Cuba”, katika ujumbe wake wa kibinadamu na wa kina kuwaelekea wafungwa wa Kipalestina,…

    2025-10-23 13:05
  • Mataifa Huru Duniani yamegundua uwongo na hila za Marekani na Israeli

    Mwanazuoni wa Pakistani:

    DuniaMataifa Huru Duniani yamegundua uwongo na hila za Marekani na Israeli

    Hawza/ Hujjatul-Islam Maqsood Ali Domki katika hotuba yake alisema: damu safi ya mashahidi wa muqawama imefunua uso wa udanganyifu wa Marekani na Israeli na kuonesha ukweli wa dhulma inayoyakabili…

    2025-10-23 12:59
  • Fadhila Saba za kunyamaza

    Mafunzo katika Nahjul Balagha:

    DiniFadhila Saba za kunyamaza

    Hawza News/ Imam Ṣādiq (a.s.) katika riwaya yenye maana pana, ameeleza kuwa kukaa kimya si tu njia ya watafiti, bali ni chanzo cha kupata radhi za Mwenyezi Mungu na kinga dhidi ya makosa.

    2025-10-22 20:05
  • Mahdawiyya katika Qur’ani (Sehemu ya Nne)

    Kuielekea Jamii Bora: Tafiti Kuhusiana na Mahdawiya (52)

    DiniMahdawiyya katika Qur’ani (Sehemu ya Nne)

    Hawza/ Mwenyezi Mungu amewaahidi waumini na watu wema ahadi ya utawala juu ya ardhi, utukufu wa dini ya haki, na usalama kamili. Hata hivyo, miongoni mwa wafasiri kuna mjadala kuhusiana na kuwa;…

    2025-10-22 14:43
  • Vipengele vitatu muhimu kwa ajili ya kazi ya kitamaduni / Tuwe tayari kufanya biashara na Mungu

    Ayatullah A‘rafi katika kikao na wakuu wa taasisi za Jihad-e-Daneshgahi nchini Iran:

    HawzaVipengele vitatu muhimu kwa ajili ya kazi ya kitamaduni / Tuwe tayari kufanya biashara na Mungu

    Hawza/ Mkurugenzi wa hawza Iran, Ayatullah Alireza A‘rafi, akifafanua kuhusu vipengele vitatu muhimu vya kazi ya kitamaduni, alisema: “Ikhlasi ni kipimo kinachoinua thamani ya kazi. Kufanya biashara…

    2025-10-22 07:30
  • “Ikhlasi” ndiyo ufunguo wa mafanikio katika kuhubiri dini/ Kutafuta umaarufu ni kujitenga na njia ya tauhidi

    Naibu wa Idara ya Tabliigh na Masuala ya Kitamaduni ya Hawza nchini Iran:

    Dunia“Ikhlasi” ndiyo ufunguo wa mafanikio katika kuhubiri dini/ Kutafuta umaarufu ni kujitenga na njia ya tauhidi

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimīn Rafi‘ī katika kongamano la mafunzo na maelekezo la “Karīmah Ahl al-Bayt (a.s.)” lililohusisha wawakilishi wa shule za Amin na viongozi wa masuala ya tablighi…

    2025-10-22 07:23
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • Next

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom