-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran:
DuniaAyatullah Milani kwa hakika alikuwa mhuishaji wa Hawza ya Mashhad
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu alimuelezea marehemu Ayatullah Milani kuwa ni shakhsia kamili katika nyanja za kiroho, kimaadili, kielimu na kijamii na kisiasa, na akasisitiza kuwa:…
-
Ayatullah A‘arafi katika Kongamano la Kumbukizi ya Ayatullah Al-‘Udhmaa Milani:
HawzaAyatullah Milani alikuwa miongoni mwa watu wanaoiunga harakati ya Imam Khomeini (ra)
Hawza/ Ayatullah A‘arafi, huku akirejea busara ya kisiasa na ya kimapinduzi ya marji' huyu mkubwa, alisisitiza: Ayatullah Milani alikuwa miongoni mwa maraji' wa kwanza kuiunga mkono harakati…
-
Msaidizi wa Hawza Katika Masuala ya Kimataifa Nchini Iran:
HawzaUtekelezaji mzuri wa diplomasia ya kielimu unahitajia uratibu na ushirikiano na aina nyingine za diplomasia
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Husseini Kouhsari amesema kuwa; kufanyiwa kazi diplomasia ya kielimu kunahitaji kutambua umuhimu na ulazima wake, pamoja na kujenga mijadala na utamaduni katika…
-
Ayatullah A‘rafi Katika Kikao Cha Pamoja na Walimu wa Somo la Kalamu:
HawzaKuzidisha masomo ya wazi (Dars-u-Kharij) ya uhakiki katika elimu ya Kalamu ni miongoni mwa dharura za haraka
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, huku akisisitiza ulazima wa kuinua hadhi ya Kalamu ya Kiislamu kufikia kiwango cha ijtihadi ya fiqhi na usul, ametoa wito wa kufanyiwa marekebisho upya…
-
Msaidizi wa Utafiti wa Hawza Nchini Iran:
HawzaKila mwaka takribani makala 2,500 za kielimu zilizo thibitishwa hutayarishwa ndani ya hawza
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Abbasi, akisisitiza uhai na uongozi wa hawza za kielimu katika uwanja wa utafiti, amesema kuwa: kila mwaka takribani makala 2,500 za kielimu zenye ithibati…
-
Mshauri wa Waziri Mkuu wa Iraq Katika Maswala ya Utamaduni:
DuniaKusimama imara kwa Waislamu ndio siri ya mafanikio ya Muqawama
Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh Nouri, katika kongamano la kimataifa la “Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah; Siri ya Muqawama na Umahiri wa Uongozi”, alisisitiza kuwa: kusimama imara kwa pande zote…
-
Mwenyekiti wa Kitengo cha Vijana cha Harakati ya Hamas – Ghaza:
DuniaMuqawama wa Kiislamu hautarudi nyuma mbele ya mashambulizi ya adui/ Ujasiri wa Shahidi Nasrullah ulijengwa juu ya elimu na busara
Hawza/ Al-Koumi, akisisitiza kuwa muqawama wa Kiislamu kamwe hautarejea nyuma mbele ya vitisho, vikwazo na mashinikizo ya kila aina, alisema: ujasiri wa Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah ulitokana…
-
Rais wa Chuo Kikuu cha Ilya cha Iraq:
DuniaNjia ya mapambano ya Kiislamu inawezekana kwa kufuata mafundisho ya Qur’ani na Sunna
Hawza/ Rais wa Chuo Kikuu cha Ilya cha Iraq, katika kongamano la kimataifa la “Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah”, alisisitiza kuwa njia ya mapambano ya Kiislamu inawezekana tu kwa kushikamana…
-
DuniaDoria zilizofanywa na wanajeshi wavamizi wa Israel zaingia Quneitra na kufunga barabara
Hawza/ Vyombo vya habari vya Syria vimeripoti kuwa doria mbili zilizofanywa na jeshi la Israel zimeingia katika vijiji vya pembezoni mwa mkoa wa Quneitra, kusini mwa Syria.
-
DuniaBalozi wa Umoja wa Ulaya nchini Iraq akutana na Ayatullah Al-Udhma Sheikh Bashir Hussein Najafi
Hawza/ Clemens Simetner, Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Iraq, akiwa ameambatana na ujumbe wake, alikutana na Ayatullah Al-Udhma Sheikh Bashir Hussein Najafi katika mji mtukufu wa Najaf Ashraf.
-
Uislamu nchini Venezuela
DuniaMwelekeo wa kihistoria, muundo wa taasisi na ujumuishaji wa kijamii-kiuchumi
Hawza/ Uislamu nchini Venezuela, kinyume na dhana iliyozoeleka ya kuwa ni dini iliyoingizwa kutoka nje, ni zao la karne nyingi kutokana na uhamaji wa binadamu, ulinganifu wa kiuchumi na ujenzi…
-
Ayatullah Marwi:
HawzaMwezi wa Rajabu ni Fursa Adhimu ya Kufanya Mabadiliko na Kuijenga Nafsi
Hawza/ Ayatullah Marwī katika hitimisho la darsa yake ya fiqhi alisema: “Tuufanye mwezi wa Rajab kuwa mwanzo wa kuzijua zaidi dua za Ahlul-Bayt (a.s); ni kwa lugha gani tunaweza kusema kwamba…
-
Balozi wa Iran katika kumbukumbu ya Sheikh Abdulnaser Jabri:
DuniaNjia ya mapambano ya muqawa.a ndiyo chaguo lenye mafanikio zaidi
Hawza/ Kutokana na mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa tisa tangia kufariki Sheikh Abdulnaser Jabri, Harakati ya Umma wa Lebanon (Harakat al-Ummah) iliandaa kikao cha kielimu na kisiasa kwenye…
-
Duniakikao cha Kielimu cha Wanawake Chafanyika Nchini Myanmar
Hawza/ Kikao cha kielimu maalumu kwa wanawake, chenye lengo la kueneza usafi wa maadili na maisha mema (hayat ṭayyiba), kilifanyika katika mji wa Yangon (Rangoon) nchini Myanmar; kikao ambacho…
-
Mjumbe wa Kundi la Muqawama:
DuniaMwenendo wa Mazungumzo na Israel ni hatari kubwa kwa Lebanon
Hawza/ Ali Fayyadh ameonesha wasiwasi wake mkubwa kuhusu maendeleo ya mazungumzo ya Lebanon na Israel, akisema kuwa; kwa kuteleza Lebanon kuelekea kufanya mazungumzo na Waisraeli chini ya uongozi…
-
Hatua Nyingine Katika Diplomasia ya Kielimu:
DuniaUwepo wa Mwanazuoni Mashuhuri Duniani Katika Chuo Kikuu cha Baqir al-Ulum (a.s.)
Hawza/ Chuo Kikuu cha Baqir al-Ulum (a.s.) kilimpokea Profesa Farid Esack, mwanazuoni mashuhuri duniani na profesa wa Chuo Kikuu cha Harvard.
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaKuanzishwa kwa Mfumo wa Haki na Kudhibiti Ubeberu wa Kizayuni ni Sharti la Msingi Ili Kutimia mshikamano wa kibinadamu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake, alisisitiza kwamba kwa ajili ya kulinda ubinadamu na kuanzisha mshikamano wa kweli, ni lazima uwepo mfumo wa haki,…
-
Mwanazuoni wa Pakistan:
DuniaHaki na Uadilifu ni Dhamana ya Amani, wajibikaji na Usalama Katika Jamii
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Baqir al-Husseini, katika hotuba yake, alisisitiza kwamba kuzingatia misingi ya haki na uadilifu si tu kunadhamini uhifadhi wa amani na usalama katika…
-
Kiongozi wa Kidini wa Kiyahudi (Rabi):
DuniaWayahudi Waondoke Israel
Hawza/ Rabi wa Kiyahudi, David Feldman, anayehusishwa na shirika la Neturei Karta linalopinga Uzayuni, ameeleza tofauti ya kimsingi kati ya Uyahudi na Uzayuni, na kusisitiza kwamba uhalifu unaotekelez…
-
Mhadhiri wa Sheria ya Kimataifa katika Chuo Kikuu cha Carleton, Kanada:
DuniaUmoja wa Kiislamu Utumie Nyenzo za Kisheria Katika Kupambana Dhidi ya Utawala wa Kizayuni
Hawzah/ Dkt. Hilya Dutaqi, mhadhiri wa sheria ya kimataifa, katika semina ya nne ya kimataifa iliyokuwa na anuani isemayo “Iran ya Kiislamu; Ngome ya Heshima ya Kiislamu katika kukabiliana na…
-
DuniaKikao cha kielimu “Kudhihiri Nuru ya Bibi Fa'timah Zahra (s.a) Katika Zama Zote” Chafanyika Nchini Senegali
Hawzah/ Sambamba na maadhimisho ya siku ya kuzaliwa Bibi Fa'timah Zahra (a.s), Jumuiya ya Wanawake wa Fatima Zahra (s.a.), inayohusishwa na Baraza la Wanazuoni wa Ahlul-Bayt (a.s.) nchini Senegal,…
-
Mwanazuoni Mashuhuri Nchini Tanzania:
DuniaMwezi wa Rajabu ni Mwezi wa Amani, Huruma na Kufanya Ibada
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Ithnaasharia Tanzania (TIC) amesisitiza kuwa mwezi wa Rajabu ni kipindi maalum cha amani, utulivu, na kufanya ibada, aliyasema hayo wakati akihutubia kwenye…
-
Kuielekea Jamii bora: Tafiti zaa Mahdawiyya (59)
DiniWanaodai Uongo Kwamba ni Manaibu wa Imamu
Hawza/ Bila shaka, kila itikadi inayokaribia zaidi ukweli na kupenya kwenye nyoyo za watu, hupelekea zaidi watu wenye tamaa kujitokeza wakitafuta manufaa machafu kupitia itikadi hiyo. Mafundisho…
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa ya Najaf Ashraf:
DuniaKudharauliwa Qur’ani Tukufu na Mgombea wa Marekani ni Dalili ya Kushindwa kwa Utamaduni wa Magharibi
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanji amelaani vikali kitendo cha mmoja wa wagombea wa Bunge la Marekani cha kudharau hadhi tukufu ya Qur’ani Tukufu.
-
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Lebanon:
DuniaUelewa wa Sulhu ya Imam Hasan (a.s.) na Mapambano ya Imam Hussein (a.s.) ni Njia Mbili Zinazotegemeana Kwenye Muqāwama wa Kiislamu
Hawza/ Bi. Dalal Abbas amesema: Sulhu Imam Hasan (a.s.) na mapambano ya Imam Hussein (a.s.) ni njia mbili zinazokamilishana katika muqāwama wa Kiislamu, na zinachukuliwa kuwa dira ya kukabiliana…
-
Msimamizi wa jalada la wafungwa wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu (Hamas):
DuniaIrani ni Uti wa Mgongo wa Mhimili wa Muqāwama Dhidi ya Utawala wa Kizayuni
Hawza/ Sheikh Abdulrahman amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, tangia siku za mwanzo za ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, imeliweka suala la Palestina kuwa ni mhimili usioweza kufanyiwa mazungumzo…
-
Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon walaani kudharauliwa Qur’ani Tukufu:
DuniaKuitukana Qur’ani ni Sawa na Kuwashambulia Waislamu Wote
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon, katika taarifa rasmi, umelaani vikali kitendo cha “Jake Lang”, mgombea wa Chama cha Republican cha Marekani, cha kuidharau Qur’ani Tukufu.
-
DuniaUshiriki wa Iran katika Maonesho ya Kitabu ya Burkina Faso
Hawza/ Maonesho ya Kitabu yalifanyika mjini Ouagadougou, mji mkuu wa Burkina Faso, kwa muda wa siku sita, huku yakishirikisha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Johannesburg, Afrika Kusini:
DuniaKaulimbiu za Mapinduzi ya Kiislamu zilikuwa ni Muhimili wa Muqāwama kwa Waislamu Afrika Kusini
Hawza/ Farid Is-haq amesema: Tajriba ya Afrika Kusini inaonesha kuwa hotuba ya Mapinduzi ya Kiislamu, kwa kurejea upya na kufasiri upya dhana za Qur’ani Tukufu, zilichukua nafasi muhimu katika…
-
Ayatullah Al-Udhma Subhani katika ufunguzi wa Taasisi ya Utafiti wa Ilmu ya Kalamu ya Imam Ja‘far Sadiq (a.s):
DuniaLazima tuwe na uhuru wa kifikra na kielimu / Fikra za Magharibi Hazipaswi Kuathiri Jamii
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Subhani alionya kwamba: Ni lazima tuingie katika uwanja wa elimu kupitia njia sahihi, wala hatupaswi kuvutiwa na kuathiriwa na Magharibi. Sisi wenyewe tuna misingi sahihi…