تیتر سه زیرسرویس
-
Hukumu za Kisheria
Hukumu ya Mwanafunzi wa Dini Aliyevaa Vazi Rasmi (kilemba) Kumfuataa Mwanafunzi Asiyevaa Kilemba
Hadhrat Ayatullah al-‘Uẓmā Makarim Shirazi amejibu swali la kifiqhi kuhusu “hukumu ya mwanafunzi wa dini aliyevaa kilemba kumfuata mwanafunzi wa dini asiyevaa kilemba.”
-
Hukumu za Kisheria:
Kile kilichosalia katika wosia wa mali ya maiti
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi amejibu swali la kifiqhi kuhusu "kile kilichosalia katika wosia wa mali ya maiti."
-
Hukumu za Kisheria:
Khums ya mauzo ya zawadi na urithi
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi amejibu istiftaa kuhusu “Khums ya mauzo ya zawadi na urithi.”
-
Sheria za kiislamu:
Je! Ninaweza kula samaki katika mgahawa usio wa muislamu?
Kuna masharti kadhaa ili ule samaki katika mgahawa usio milikiwa na muislamu, masharti ambayo Ayatullah Sistani ameyabainisha.
-
Hukumu za kisheria:
Kugusa maandishi ya Qur'ani mtoto mdogo
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amejibu swali la kifiqhi kuhusu "mtoto mdogo kugusa Qur'ani.
-
Hukumu za Kisheria:
Masharti ya Kufidia Hasara katika mkataba wa Mudharaba
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei, amejibu swali kuhusu "sharti la kufidia hasara katika mkataba wa mudh'araba".
-
Hukumu za Kisheria:
Ununuzi na uuzaji Noti
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi alijibu swali kuhusu "Ununuzi na uuzaji wa Noti".