تیتر سه زیرسرویس
-
Kuielekea kwenye jamii bora; Tafiti za Mahdawiyya (65)
Nafasi na mchango wa wanawake katika kudhihiri na dola ya Imam Mahdi (a.f) – Sehemu ya Pili
Hawza / Kuhusu nafasi ya mwanamke katika jamii ya Kiislamu na utekelezaji wa malengo ya Mwenyezi Mungu, Qur’ani Tukufu imeorodhesha majukumu ya jumla kama vile kumcha Mwenyezi Mungu, kuamrisha…
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyyah (64)
Nafasi na wajibu wa wanawake katika kudhihiri na serikali ya Imam Mahdi (aj) – Sehemu ya kwanza
Hawza/ Wanawake pia, kama ilivyo kwa wanaume katika jamii, wanapaswa kutumia juhudi zao zote katika kutekeleza nafasi zao kwa ajili ya kufanikisha malengo ya Mwenyezi Mungu, bila mchango wao,…
-
Ghadir kwa mujibu wa Kauli za Imam Shahidi
Hawza/ Kwa mtazamo wa Imam na Kiongozi wetu Shahidi, Ghadir ni miongoni mwa masuala ambayo yanapita mipaka ya mtazamo wa kihistoria na huhesabiwa kuwa mojawapo ya misingi muhimu zaidi ya itikadi…
-
Tusome Qur’ani:
Je, Inawezekana Kuingia Katika Ngome ya Wilaya ya Ali (as) Bila Kuielewa Qur’ani?
Hawza/ Wilaya ya Ali bin Abi Talib ina maana ya kuwa mfuasi wa Ali katika fikra na matendo yako, na kuwa na uhusiano naye madhubuti, wenye nguvu na usiovunjika, kama Hadithi isemavyo: “Wilaya…
-
Tusome Qur’ani | Katika jamii isiyo ya Kiislamu unatamani kuwa mwema, lakini huwezi
Hawza/ Katika jamii isiyo ya Kiislamu, mwanadamu licha ya kuwa na hamu ya mwema na mwenye dini, kutokana na shinikizo la mazingira hawezi kuwa mwenye kushikamana na dini, na sababu zote humweka…
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyya (63)
Magharibi na Mahdawiyya (Sehemu ya Mwisho)
Hawza/ Kuonesha sura ya ukatili na ya kutisha kuhusu mwokozi wa mwisho wa zama katika Uislamu mbele ya watu wa dunia ni jukumu la pamoja linaloonekana katika kazi nyingi za Kimagharibi, zikiwemo…
-
Tusome Qur’ani | Kwa nini baadhi ya watu hushindwa na kujisalimisha kwa adui katika nyakati za migogoro?
Hawza/ Katika nyakati za migogoro, pale ambapo mwanadamu anakosa kabisa njia na zana zote za dhahiri, huwa na njia chache mbele yake: ima kujisalimisha kwa adui, au kujisalimisha kwa mkondo wa…
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli:
Mwenyezi Mungu ameamrisha “jihad maalum” dhidi ya wanafiki
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Jawadi Amoli amesisitiza kuwa; Mwenyezi Mungu anakosoa vikali mwenendo wa jamii ya wanafiki na ametoa amri ya “jihad maalum” dhidi yao.
-
Sifa kuu za wafungaji wa kweli katika maneno ya Ali ibn Husayn Zayn al-Abidin (a.s.)
Hawza/ Imamu Sajjad (a.s.) anautambulisha mwezi wa Ramadhani kuwa ni njia ya kufikia wema na ihsani ya Mwenyezi Mungu. Mashia wa kweli hutambuliwa kwa athari za ibada zao: matumbo yaliyodhoofika…
-
Nasaha ya Imamu Khomein (r.a):
Ni vipi utaingia katika Mwezi wa Ramadhani ukiwa na nafsi iliyotakasika
Hawza/ Mwanadamu anapaswa kuyaona matendo yake kuwa yako mbele ya Mwenyezi Mungu, ajiepushe na kusengenya na kutuhumu, aingie katika Mwezi wa Ramadhani akiwa na moyo safi, adiriki makosa ya zamani…
-
Chemli ya Ramadhani | Mafunzo Muhimu ya Haki za Wanawake katika Surat An-Nisaa
Hawza/ Juzuu ya nne ya Qur’ani Tukufu inajumuisha Surat Aal-Imran (kuanzia aya ya 93 hadi mwisho) na Sura An-Nisaa (aya ya 1–24). Surat An-Nisaa ina aya 176, imeteremshwa Madina, na inasisitiza…
-
Chemli ya Ramadhani | Surat Aal-Imran; toleo la Qur’ani katika kukabiliana na mashambulizi ya kitamaduni na kijeshi
Hawza/ Juzuu ya tatu ya Qur’ani Tukufu inajumuisha Surat Al-Baqara kuanzia aya ya 253 hadi mwisho wa sura, na Sura Aal-Imran hadi aya ya 93. Sura Aal-Imran, kwa kusisitiza umoja wa neno (tawhidi…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi atoa tahadhari kuhusiana na kulinganisha alama za kudhihiri
Hawza/ Kwa masikitiko, mojawapo ya changamoto kubwa katika suala la Mahdawiyya ni kuenea ulinganisho wa alama za kudhihiri kwa mtazamo wa kijuujuu na usio na msingi wa kielimu; mtazamo wa upotofu…
-
Ayatullah al-‘Udhmaa Jawadi Amoli:
Usiku wa nusu ya Sha‘ban ni “Laylatul Qadr”
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Jawadi Amoli wamesema: Imam al-Baqir (a.s.) amesema kuwa usiku wenye fadhila kubwa zaidi baada ya Laylatul Qadr ni usiku wa nusu ya Sha‘ban, usiku ambao Mwenyezi Mungu…
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyya (62)
Magharibi na Mahdawiyya (Sehemu ya Pili)
Hawza/ Vyombo vya habari ni miongoni mwa nyenzo zenye ushawishi mkubwa zaidi katika dunia ya leo; kwani mbali na kazi zao za moja kwa moja za kuwaathiri watu binafsi, pia vina uwezo wa kuathiri…
-
Kutokana na mnasaba wa maadhimisho ya siku ya kuzaliwa kwa Qamar Bani Hashim (a.s.):
Mtukufu Abul-Fadhl al-Abbas (a.s.) na fadhila ya kufufuliwa pamoja na Malaika
Hawza/ Fadhila ya kufufuliwa pamoja na malaika, ambayo hakuna ladha iliyo juu yake, imetajwa katika riwaya pia kwa mja mwema wa Mwenyezi Mungu, Mtukufu Abul-Fadhl al-Abbas (a.s.). Malipo ya aina…
-
Kuielekea Jamii Bora (Jamii ya Kimaadili): Tafiti za Mahdawiya (61)
Magharibi na Mahdawiya (Sehemu ya Kwanza)
Hawza/ Uhusiano uliopo kati ya kudhihiri kwa mwokozi na sifa kama vile kuenea kwa haki, kupinga dhuluma, na kadhalika, umesababisha wanadamu wa dini na itikadi zote daima kuwa na hamu na shauku…
-
Je, umesoma Munajat “Sha‘baniyah”? Isome!
Hawza/ Imam Khomeini (r.a), ambaye yeye mwenyewe alikuwa mfano wa maarifa kamili ya kiroho, na aliyeitoa nafsi yake kutoka kwenye hatari za dunia, katika vipindi mbalimbali, akikutana na makundi…
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyya (60)
Athari za Mikondo Potofu na Jinsi ya Kukabiliana Nayo
Hawza/ Licha ya uadui mwingi unaokabili mafundisho ya dini, kuzingatiwa kwa itikadi ya Mahdawiyya kunazidi kuongezeka siku baada ya siku. Kuongezeka hamu na hisia ya haja katika nyanja za kiakili…
-
Mafunzo katika Qur'ani
Kumsahau Mwenyezi Mungu ndio mwanzo wa mwanadamu kuanguka
Hawza/ Kumsahau Mwenyezi Mungu ni mwanzo wa kuanguka kiroho kwa mwanadamu, jambo linaloishia katika kujisahau nafsi yake mwenyewe. Kwa mujibu wa Aya ya 19 ya Suratul Hashr, mwanadamu anayemsahau…