تیتر سه زیرسرویس
-
Kuielekea Jamii Bora: Mfululizo wa Mada Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.) – 42
Nafasi ya Intidhari (Kusubiria Faraja) katika Utamaduni wa Kishia (Sehemu ya Kwanza)
Hawza/ Kile kinachomfanya mwanadamu awe na matumaini ya kuishi na kinachorahisisha kwake hofu na huzuni, ni intidhari (kusubiri) na matumaini ya mustakabali wenye mwanga na wa kustawisha, ambapo…
-
Kuielekea jamii Bora: Mfululizo wa Utafiti kuhusiana na Imam Mahdi (as) – 41
Huruma ya Imam wa Zama (as)
Hawza / Imam, kutokana na wingi wa huruma na mapenzi aliyo nayo kwa wafuasi wake, ana uhusiano na mawasiliano makubwa zaidi kwa wao, Na kwa sababu ya mapenzi na urafiki huu, yeye hushiriki katika…
-
“Kuielekea Jamii Bora” (mkusanyiko wa utafiti kuhusiana na Imam Mahdi (as) – 40
Imam ni kioo cha rehema isiyo na kikomo ya Mwenyezi Mungu
Hawza/ Imam zaman (as) ingawa yupo kwenye ghaiba, lakini ni wingu la rehema linaloendelea kunyesha daima na kulipa uhai na bashasha jangwa kavu la watu, na ni mwenye kunyimika yule ambaye hatanusa…
-
Kuielekea Jamii Bora: (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Iamam Maha (as)- 39)
Dalili za Wiyaatul-Faqih – Dalili za Nakili/Riwaya – Sehemu ya Pili)
Hawza/ Miongoni mwa riwaya ambazo fuqah'a wamezitolea dalili kwa ajili ya kuthibitisha Wilayatul-faqih, ni riwaya ambayo ameinukuhu Omari ibn Handhalah
-
Kuielekea Jamii ya Bora (Mkusanyiko wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (as) - 38
Hoja za wilayat Faqihi (Hoja ya Kinakili)
Hawza /Wafuasi wa Imam wa zama (as) katika kipindi cha ghaiba ya huyo mtukufu wanapaswa katika masuala yanayojitokeza kumrejea mpokezi wa hadithi, ni wazi kuwa kuelewa maneno ya Ma‘sumiin (as)…
-
Katika Mazungumzo na Wataalamu Kulichambuliwa: Burudani Zenye Madhara Katika Mazingira ya Mitandao / Tuitazame Kwa Uzito Hatari ya Uraibu wa Mitandao!
Hawza/ Burudani zilizopo katika mazingira ya mitandao ingawa zinaweza kuzingatiwa kama fursa, bila shaka zina madhara na athari zisizofaa ambazo matokeo yake yanaweza hata kusababisha hatari…
-
Kama Dhulma ni Njia ya Kuandaa Mazingira ya kudhihiri Imam, Basi Kwa Nini Tunapaswa Kupambana Nayo?
Hawza/ Uhusiano kati ya kuenea kwa dhulma na kudhihiri Imam Mahdi (aj) imekuwa mada ya mjadala na maswali, je! dhulma zaidi inaandaa mazingira ya kudhihiru au ni ishara ya ulazima wa maandalizi…
-
Kuielekea Jamii Bora: Mfululizo wa Utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (as) - 37
Hoja za wilayat Faqihi (Hoja ya Kiakili)
Hawza/ Hoja ya wilayat faqihi inaweza kuchambuliwa kwa mtazamo wa kiakili na vilevile wa kinakini; yaani, akili inamuamrisha Muislamu kumtii faqihi katika zama za ghaiba, na vivyo hivyo riwaya…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 36
Kuuongoza umma katika Kipindi cha Ghayba Kubra (kubwa)
Hawza/ Baada ya ghaiba ya Imam wa kumi na mbili (as), ni nani mwenye dhamana ya uongozi na uimamu juu ya umma? Je, mtu mmoja au watu fulani wana mamlaka juu ya umma? Ikiwa kuna mamlaka, mipaka…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 35
Namna ya Ghaiba ya Imam Mahdi (as)
Hawzah/ Je, ghaiba ya Bwana wa Amri as iko vipi? Je, mwili wake mtukufu umefichika machoni mwa watu? Au kwamba mwili wake huonekana lakini hakuna anayemjua?
-
Kumbukumbu | Mwanamke aliyeteuliwa kwa ajili ya siku ngumu
Hawza / Ni kweli kuwa binadamu ameumbwa kwa taabu; lakini baadhi ya watu ni kama kioo cha dhahiri cha uvumilivu wa Mwenyezi Mungu duniani, na bibi Zainabu (sa) alikuwa wa aina hiyo.
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 34
Uwezekano wa kufuzu kuonana na kuhudhuria mbele ya Imam wa zama (aj)
Hawza/ Kufuzu baadhi ya watu kuweza kuonana na Imam huyo mtukufu ni jambo lililothibiti, na uwongo na batili ya madai ya wale wanaodai uwakala na uwakilishi maalumu baina ya Imam huyo na watu…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 33
Makazi ya Imam Mahdi (as) katika Kipindi cha Ghaiba Kubwa
Hawza/ Ikiwa katika mada ya "ghaiba", mambo kama mahali alipo Imam (as), chakula chake n.k. yasibainike wazi, hilo halileti shaka wala dhana yoyote; vivyo hivyo, kubainika kwa mambo hayo hakuhusiki…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 32
Mfumo wa Uimamu ni mfumo wa kimungu usiokatika
Hawza/ Mfumo wa Uimamu ni mfumo wa kimungu, usiokatika, na hauna kipindi cha mapumziko (fatra); upo katika kila zama na kila wakati. Kuanzia zama za Mtume Mtukufu Muhammad (saw) hadi leo umeanzishwa,…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 31
Hadhi na Vyeo vya Imamu Mahdi (aj) katika Dua
Hawzah/ Kuzingatia vyeo na nafasi za Imamu wa zama (aj) katika ulimwengu kunaweza kuwa sababu ya kumkaribisha zaidi mja kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu.
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 30
Sifa za Imam wa zama (aj) Katika Dua
Hawza/ Kwa kuzingatia sifa na tabia za Imam wa zama (a.f) kunaweza kuongeza na kuimarisha zaidi uhusiano wa kiroho na wa ndani kati ya mja na Yeye.
-
Wadhifa wa Qur'ani katika vita na adui wa Kizayuni
Hawza/ Enyi watu wa imani! Wakati mnapokutana katika viwanja vya vita na kundi la mushrikina na makafiri, simameni sawa sawa, na mumkumbuke sana Mwenyezimungu ili mpate kufaulu.
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 29
Dua na Ziara Kuhusiana na Mahdawia
Hawza/ Moja kati ya nyenzo muhimu sana kwa wafuasi wa Imamu Mahdi (as) katika kipindi cha ghaiba yake ni dua na kuwa na mafungamano naye, ili wasimsahau, na kwa njia ya dhikri, dua na ziara,…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 28
Wadai uongo wa Mahdawiyya
Hawza / Kila Mshia mwenye ufahamu anawajibika kuwakadhibisha wale wanaodai kuwa na uhusiano au uwakilishi maalum (niyaba maaluma) na Imamu, na kufunga njia ya kupenyeza na kujinufaisha kwa watu…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 27
Kurudi kwa Mitume, Maimamu na Waumini wa kweli
Hawza/ Kwa mujibu wa hadithi, Mitume, Maimamu watoharifu (as), na waumini wa kweli – katika zama za "raj‘a" – watarudi tena duniani.