Ayatollah Jawadi Amuli amesema: Istikhara ni kuomba kheri, lakini ile istikhara ambayo mtu huifanya kabla ya kufikiria, kabla ya kushauriana, kabla ya kufanya tathmini, na kuamua moja kwa moja…
Wadai wa uwongo wa uhusiano na Imam wa Zama (a.t.f.s) ni jambo lililoenea katika Dini zote, ambao hujaribu kuwahadaa watu kwa kutegemea ndoto na maono, wanawapinga wanazuoni na kuendeleza uwongo…