-
Hukumu za Kisheria:
DiniJe! Mlinzi wa eneo fulani, atawajibika kulipa mali za wakazi wa eneo hilo, iwapo wizi utatokea?
Hawza/ Mtukufu Ayatullah al-Udhma Khamenei amejibu swali la kifiqhi (istifataa) kuhusiana na hukumu ya kisheria, pale ambapo wizi utatokea katika makazi ya watu na ilihali kuna walinzi katika…
-
Jawabu kutoka kwa Ayatullah Jawadi:
DiniJe, Wilayatul-Faqiih inalingana na demokrasia na uhuru?
Hawza/ Wilayatul-Faqiih ni uongozi wenye hekima katika mipaka ya sheria ya Mwenyezi Mungu, na uhuru katika Uislamu unakuwa na maana tu ndani ya mipaka hiyo, uhalali wa faqihi unatokana na dini,…
-
DiniIkiwa kutatokea mgongano kati ya mume/mke na wazazi, tumchague yupi?
Hawzah/ Kuanza maisha ya ndoa haina maana ya kuiacha familia; bali kunahitaji kuwepo mipaka salama, ambapo heshima ya wazazi inalindwa na utulivu wa maisha ya ndoa unadumishwa
-
DiniJe, Viongozi wa Israel Wana “Heshima ya Kibinadamu”?
Hawza/ Heshima ya mwanadamu katika Uislamu ni neema ya Mwenyezi Mungu, lakini heshima hii hubakia pale ambapo mtu ataidumisha kutokana na mienendo yake, wahalifu wanaomwaga damu ya wasio na hatia…
-
DiniJe, Uislamu umemwambia dhalimu tu: Ewe dhalimu! Usidhulumu?
Hawza/ Uislamu haumkatazi dhalimu peke yake dhidi ya dhulma, bali pia kwa kumhutubia aliyedhulumiwa, huondoa mazingira ya kukubali dhulma na humwita asimame imara na kupaza sauti dhidi ya dhulma,…
-
DiniJe! Watunzi wa vitabu vinne (Kutub al-Arba‘a) na Sahih Sitta walitokea wapi?
Hawza/ Iran si tu kitovu cha tamaduni za kale, bali pia imekuwa moja ya vituo vikubwa zaidi vya uzalishaji wa elimu katika ulimwengu wa Kiislamu. Wanazuoni wengi mashuhuri katika historia ya…
-
DiniWakati mtoto anapouliza swali, ni vipi yatupasa kumjibu? + Njia saba za kimatendo
Hawza/ Watoto, kwa shauku yao ya kujua na uwezo wa kufikiria, hutaka kuielewa dunia inayowazunguka. Wazazi kwa subira, heshima, na kutumia mbinu rahisi na zinazofahamika wanaweza kujibu maswali…
-
DiniJe, Ushia ulikuwepo kabla ya Amirul-Mu’minin (as) au baada yake?
Hawza/ Kwa mujibu wa maandiko, Ushia kama mfumo wa kielimu na kifikra uliwekewa msingi sambamba na kushuka kwa Qur'ani Tukufu na kwa kupitia Mtume wa Uislamu (saw) mwenyewe. Cha kuvutia ni kwamba,…