Jumatano 10 Juni 2026
  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Je! Mlinzi wa eneo fulani, atawajibika kulipa mali za wakazi wa eneo hilo, iwapo wizi utatokea?

    Hukumu za Kisheria:

    DiniJe! Mlinzi wa eneo fulani, atawajibika kulipa mali za wakazi wa eneo hilo, iwapo wizi utatokea?

    Hawza/ Mtukufu Ayatullah al-Udhma Khamenei amejibu swali la kifiqhi (istifataa) kuhusiana na hukumu ya kisheria, pale ambapo wizi utatokea katika makazi ya watu na ilihali kuna walinzi katika…

    2025-10-21 10:03
  • Je, Wilayatul-Faqiih inalingana na demokrasia na uhuru?

    Jawabu kutoka kwa Ayatullah Jawadi:

    DiniJe, Wilayatul-Faqiih inalingana na demokrasia na uhuru?

    Hawza/ Wilayatul-Faqiih ni uongozi wenye hekima katika mipaka ya sheria ya Mwenyezi Mungu, na uhuru katika Uislamu unakuwa na maana tu ndani ya mipaka hiyo, uhalali wa faqihi unatokana na dini,…

    2025-08-28 15:37
  • Ikiwa kutatokea mgongano kati ya mume/mke na wazazi, tumchague yupi?

    DiniIkiwa kutatokea mgongano kati ya mume/mke na wazazi, tumchague yupi?

    Hawzah/ Kuanza maisha ya ndoa haina maana ya kuiacha familia; bali kunahitaji kuwepo mipaka salama, ambapo heshima ya wazazi inalindwa na utulivu wa maisha ya ndoa unadumishwa

    2025-08-19 15:48
  • Je, Viongozi wa Israel Wana “Heshima ya Kibinadamu”?

    DiniJe, Viongozi wa Israel Wana “Heshima ya Kibinadamu”?

    Hawza/ Heshima ya mwanadamu katika Uislamu ni neema ya Mwenyezi Mungu, lakini heshima hii hubakia pale ambapo mtu ataidumisha kutokana na mienendo yake, wahalifu wanaomwaga damu ya wasio na hatia…

    2025-08-11 07:04
  • Je, Uislamu umemwambia dhalimu tu: Ewe dhalimu! Usidhulumu?

    DiniJe, Uislamu umemwambia dhalimu tu: Ewe dhalimu! Usidhulumu?

    Hawza/ Uislamu haumkatazi dhalimu peke yake dhidi ya dhulma, bali pia kwa kumhutubia aliyedhulumiwa, huondoa mazingira ya kukubali dhulma na humwita asimame imara na kupaza sauti dhidi ya dhulma,…

    2025-08-03 01:06
  • Je! Watunzi wa vitabu vinne (Kutub al-Arba‘a) na Sahih Sitta walitokea wapi?

    DiniJe! Watunzi wa vitabu vinne (Kutub al-Arba‘a) na Sahih Sitta walitokea wapi?

    Hawza/ Iran si tu kitovu cha tamaduni za kale, bali pia imekuwa moja ya vituo vikubwa zaidi vya uzalishaji wa elimu katika ulimwengu wa Kiislamu. Wanazuoni wengi mashuhuri katika historia ya…

    2025-07-27 11:40
  • Wakati mtoto anapouliza swali, ni vipi yatupasa kumjibu? + Njia saba za kimatendo

    DiniWakati mtoto anapouliza swali, ni vipi yatupasa kumjibu? + Njia saba za kimatendo

    Hawza/ Watoto, kwa shauku yao ya kujua na uwezo wa kufikiria, hutaka kuielewa dunia inayowazunguka. Wazazi kwa subira, heshima, na kutumia mbinu rahisi na zinazofahamika wanaweza kujibu maswali…

    2025-07-18 08:43
  • Je, Ushia ulikuwepo kabla ya Amirul-Mu’minin (as) au baada yake?

    DiniJe, Ushia ulikuwepo kabla ya Amirul-Mu’minin (as) au baada yake?

    Hawza/ Kwa mujibu wa maandiko, Ushia kama mfumo wa kielimu na kifikra uliwekewa msingi sambamba na kushuka kwa Qur'ani Tukufu na kwa kupitia Mtume wa Uislamu (saw) mwenyewe. Cha kuvutia ni kwamba,…

    2025-06-12 10:25

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan
  • Italiano
  • Hausa
  • indonesia
  • 中文

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom