-
DiniKwa Nini Inatupasa Kufuata dini Maalumu?/ Je, Bila ya dini haiwezekani Mtu kuwa mwema?
Katika mfumo wa maisha, mwanadamu siku zote hutafuta nuru itakayomwonyesha njia sahihi na kumtenganisha na upotovu. Lakini je, nuru hii hupatikana tu katika taa ya dini? Au yawezekana kufikia…
-
DiniJe, kuchagua jinsia ya mtoto ni jambo lililo ndani ya uwezo wa mwanadamu?
Aya ya 49 ya Suratu Shura inaeleza kwamba; Mwenyezi Mungu ndiye mmiliki wa ulimwengu na kuwa kila neema na rehema hutoka kwake. Yeye humruzuku amtakaye mtoto wa kike au wa kiume, na huwafanya…
-
DiniJe, Qur’ani Tukufu imewataja Wayahudi kuwa ni watu bora kuliko wengine?
Qur’ani Tukufu imewapa Bani Isra’il daraja ya juu katika wakati wao kwa sababu ya neema walizopewa na Mwenyezi Mungu. Ubora huu ulikuwa wa muda maalumu na hali mahususi, na hauwahusishi Bani…
-
DiniJe! Ni kwanini Mwenyezimungu akili ameifanya kuwa ni kiumbe pendwa zaidi kwake?
Miongoni mwa hadithi nyingi zenye mwangaza na simulizi za kielimu, kuna hadithi ya kuvutia kuhusu kuchaguliwa kwa Nabii Adam (a.s) ambayo inaangazia umuhimu wa akili katika maisha ya mwanadamu.…
-
DiniNi wakati gani kiongozi wa mapinduzi ya Iran anaenda kufanya ziara katika Msikiti wa Jamkaran?
Wakati njia zote zinapofungwa, Kiongozi wa Mapinduzi huenda wapi? Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah anasimulia kuwa: Katika nyakati ngumu mno, sehem peke ya kiiimani kwa Kiongozi huyo ni Jamkaran,…
-
DiniAyatollah al-udhma Jawadi Amuli ameuliza: Je! Ziara ya Amirul mu’uminin (a.s.) ni bora zaidi au ziara Imamu Hussein (a.s.)?
Hadhrat Ayatollah al-udhma Jawadi Amuli, kwa kurejea riwaya kutoka kwa Imamu Kadhim (a.s.), ameeleza bayana: Imamu alisema, "Yeyote atakayekubali wilaya ya wa kwanza miongoni mwetu, amekubali…
-
Ayatollah Udhma Jawadi Amoli:
DiniJe! ni dhikri ipi iliyo na athari zaidi kuliko dhikri nyingine zote?
Hadhrat Ayatollah Jawadi Amoli aliweka wazi kwa kusema: Mnaweza kuwa mmewahi kusikia mara kwa mara kwamba kuna baadhi ya watu wanatafuta dhikri huku wakijiuliza: " Je! Ni dhikri ipi tuisome ili…
-
Maswali na Majibu:
DiniJe! Ni kwa nini pombe imeharamishwa?
Madhara makubwa yapatikanayo kutokana na utumiaji wa pombe katika akili ya mwanadamu yamekuwa yakitambuliwa tangia zamani, utumiaji wa kilevi unaweza kusababisha matatizo ya kiakili, tabia zisizo…
-
Ayatullah Javadi Amoli:
DiniNi muda gani yatupasa kufanya Istikhara?
Ayatollah Jawadi Amuli amesema: Istikhara ni kuomba kheri, lakini ile istikhara ambayo mtu huifanya kabla ya kufikiria, kabla ya kushauriana, kabla ya kufanya tathmini, na kuamua moja kwa moja…
-
DiniJinsi gani ya kuwatambua wato madai ya uongo wa kuwa na uhusiano na Imam wa zama (a.s)?
Wadai wa uwongo wa uhusiano na Imam wa Zama (a.t.f.s) ni jambo lililoenea katika Dini zote, ambao hujaribu kuwahadaa watu kwa kutegemea ndoto na maono, wanawapinga wanazuoni na kuendeleza uwongo…