Jumanne 26 Agosti 2025

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Jihadharini na wezi wa itikadi

    DiniJihadharini na wezi wa itikadi

    Hawzah/ Ayatullah Ṣāfī Gulpāygānī (ra) alisisitiza kwamba hakuna mali yenye thamani kubwa kuliko “lulu ya akida (itikadi)” kwa Mwenyezi Mungu, Mtume Mtukufu (saw) na Maimamu watoharifu (as).

    2025-08-19 15:51
  • Ikiwa kutatokea mgongano kati ya mume/mke na wazazi, tumchague yupi?

    DiniIkiwa kutatokea mgongano kati ya mume/mke na wazazi, tumchague yupi?

    Hawzah/ Kuanza maisha ya ndoa haina maana ya kuiacha familia; bali kunahitaji kuwepo mipaka salama, ambapo heshima ya wazazi inalindwa na utulivu wa maisha ya ndoa unadumishwa

    2025-08-19 15:48
  • Je, Viongozi wa Israel Wana “Heshima ya Kibinadamu”?

    DiniJe, Viongozi wa Israel Wana “Heshima ya Kibinadamu”?

    Hawza/ Heshima ya mwanadamu katika Uislamu ni neema ya Mwenyezi Mungu, lakini heshima hii hubakia pale ambapo mtu ataidumisha kutokana na mienendo yake, wahalifu wanaomwaga damu ya wasio na hatia…

    2025-08-11 07:04
  • Je, Uislamu umemwambia dhalimu tu: Ewe dhalimu! Usidhulumu?

    DiniJe, Uislamu umemwambia dhalimu tu: Ewe dhalimu! Usidhulumu?

    Hawza/ Uislamu haumkatazi dhalimu peke yake dhidi ya dhulma, bali pia kwa kumhutubia aliyedhulumiwa, huondoa mazingira ya kukubali dhulma na humwita asimame imara na kupaza sauti dhidi ya dhulma,…

    2025-08-03 01:06
  • Je! Watunzi wa vitabu vinne (Kutub al-Arba‘a) na Sahih Sitta walitokea wapi?

    DiniJe! Watunzi wa vitabu vinne (Kutub al-Arba‘a) na Sahih Sitta walitokea wapi?

    Hawza/ Iran si tu kitovu cha tamaduni za kale, bali pia imekuwa moja ya vituo vikubwa zaidi vya uzalishaji wa elimu katika ulimwengu wa Kiislamu. Wanazuoni wengi mashuhuri katika historia ya…

    2025-07-27 11:40
  • Wakati mtoto anapouliza swali, ni vipi yatupasa kumjibu? + Njia saba za kimatendo

    DiniWakati mtoto anapouliza swali, ni vipi yatupasa kumjibu? + Njia saba za kimatendo

    Hawza/ Watoto, kwa shauku yao ya kujua na uwezo wa kufikiria, hutaka kuielewa dunia inayowazunguka. Wazazi kwa subira, heshima, na kutumia mbinu rahisi na zinazofahamika wanaweza kujibu maswali…

    2025-07-18 08:43
  • Je, Ushia ulikuwepo kabla ya Amirul-Mu’minin (as) au baada yake?

    DiniJe, Ushia ulikuwepo kabla ya Amirul-Mu’minin (as) au baada yake?

    Hawza/ Kwa mujibu wa maandiko, Ushia kama mfumo wa kielimu na kifikra uliwekewa msingi sambamba na kushuka kwa Qur'ani Tukufu na kwa kupitia Mtume wa Uislamu (saw) mwenyewe. Cha kuvutia ni kwamba,…

    2025-06-12 10:25
  • Kwa nini Imam Muhammad Taqi (a.s) anaitwa "Jawaad al-A’immah"?

    Kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya siku ambayo aliuwawa kishahidi kwa Imam Jawad (a.s):

    DiniKwa nini Imam Muhammad Taqi (a.s) anaitwa "Jawaad al-A’immah"?

    Hawza/ kuhusu lakabu ya "Jawaad", ikimaanisha kuwa ni “mtoaji mno” au “mkarimu sana”, inafaa kufahamu kwamba jambo hili haliko tu katika mapokezi na kauli za Kishia. Watu kadhaa miongoni mwa…

    2025-05-27 14:15
  • Akili Mnemba na Tahaddi (Changamoto)

    Swali na Jibu

    DiniAkili Mnemba na Tahaddi (Changamoto)

    Muujiza wa Qur'ani hauishii tu katika vipengele kama maudhui, mpangilio, ufasaha na balagha, au kutokuwapo kwa hitilafu, bali una vipengele vingine vya kimiujiza kama vile muujiza wa kielimu…

    2025-05-23 00:15
  • Kwa Nini Inatupasa Kufuata dini Maalumu?/ Je, Bila ya dini haiwezekani Mtu kuwa mwema?

    DiniKwa Nini Inatupasa Kufuata dini Maalumu?/ Je, Bila ya dini haiwezekani Mtu kuwa mwema?

    Katika mfumo wa maisha, mwanadamu siku zote hutafuta nuru itakayomwonyesha njia sahihi na kumtenganisha na upotovu. Lakini je, nuru hii hupatikana tu katika taa ya dini? Au yawezekana kufikia…

    2025-04-28 19:59
  • Je, kuchagua jinsia ya mtoto ni jambo lililo ndani ya uwezo wa mwanadamu?

    DiniJe, kuchagua jinsia ya mtoto ni jambo lililo ndani ya uwezo wa mwanadamu?

    Aya ya 49 ya Suratu Shura inaeleza kwamba; Mwenyezi Mungu ndiye mmiliki wa ulimwengu na kuwa kila neema na rehema hutoka kwake. Yeye humruzuku amtakaye mtoto wa kike au wa kiume, na huwafanya…

    2025-04-27 06:48
  • Je, Qur’ani Tukufu imewataja Wayahudi kuwa ni watu bora kuliko wengine?

    DiniJe, Qur’ani Tukufu imewataja Wayahudi kuwa ni watu bora kuliko wengine?

    Qur’ani Tukufu imewapa Bani Isra’il daraja ya juu katika wakati wao kwa sababu ya neema walizopewa na Mwenyezi Mungu. Ubora huu ulikuwa wa muda maalumu na hali mahususi, na hauwahusishi Bani…

    2025-04-18 14:33
  • Je! Ni kwanini Mwenyezimungu akili ameifanya kuwa ni kiumbe pendwa zaidi kwake?

    DiniJe! Ni kwanini Mwenyezimungu akili ameifanya kuwa ni kiumbe pendwa zaidi kwake?

    Miongoni mwa hadithi nyingi zenye mwangaza na simulizi za kielimu, kuna hadithi ya kuvutia kuhusu kuchaguliwa kwa Nabii Adam (a.s) ambayo inaangazia umuhimu wa akili katika maisha ya mwanadamu.…

    2025-04-16 12:04
  • Ni wakati gani kiongozi wa mapinduzi ya Iran anaenda kufanya ziara katika Msikiti wa Jamkaran?

    DiniNi wakati gani kiongozi wa mapinduzi ya Iran anaenda kufanya ziara katika Msikiti wa Jamkaran?

    Wakati njia zote zinapofungwa, Kiongozi wa Mapinduzi huenda wapi? Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah anasimulia kuwa: Katika nyakati ngumu mno, sehem peke ya kiiimani kwa Kiongozi huyo ni Jamkaran,…

    2025-04-13 18:51
  • Ayatollah al-udhma Jawadi Amuli ameuliza: Je! Ziara ya Amirul mu’uminin (a.s.) ni bora zaidi au ziara Imamu Hussein (a.s.)?

    DiniAyatollah al-udhma Jawadi Amuli ameuliza: Je! Ziara ya Amirul mu’uminin (a.s.) ni bora zaidi au ziara Imamu Hussein (a.s.)?

    Hadhrat Ayatollah al-udhma Jawadi Amuli, kwa kurejea riwaya kutoka kwa Imamu Kadhim (a.s.), ameeleza bayana: Imamu alisema, "Yeyote atakayekubali wilaya ya wa kwanza miongoni mwetu, amekubali…

    2025-04-13 18:45
  • Je! ni dhikri ipi iliyo na athari zaidi kuliko dhikri nyingine zote?

    Ayatollah Udhma Jawadi Amoli:

    DiniJe! ni dhikri ipi iliyo na athari zaidi kuliko dhikri nyingine zote?

    Hadhrat Ayatollah Jawadi Amoli aliweka wazi kwa kusema: Mnaweza kuwa mmewahi kusikia mara kwa mara kwamba kuna baadhi ya watu wanatafuta dhikri huku wakijiuliza: " Je! Ni dhikri ipi tuisome ili…

    2025-04-06 17:56
  • Je! Ni kwa nini pombe imeharamishwa?

    Maswali na Majibu:

    DiniJe! Ni kwa nini pombe imeharamishwa?

    Madhara makubwa yapatikanayo kutokana na utumiaji wa pombe katika akili ya mwanadamu yamekuwa yakitambuliwa tangia zamani, utumiaji wa kilevi unaweza kusababisha matatizo ya kiakili, tabia zisizo…

    2025-04-04 11:16
  • Ni muda gani yatupasa kufanya Istikhara?

    Ayatullah Javadi Amoli:

    DiniNi muda gani yatupasa kufanya Istikhara?

    Ayatollah Jawadi Amuli amesema: Istikhara ni kuomba kheri, lakini ile istikhara ambayo mtu huifanya kabla ya kufikiria, kabla ya kushauriana, kabla ya kufanya tathmini, na kuamua moja kwa moja…

    2025-03-19 06:17
  • Jinsi gani ya kuwatambua wato madai ya uongo wa kuwa na uhusiano na Imam wa zama (a.s)?

    DiniJinsi gani ya kuwatambua wato madai ya uongo wa kuwa na uhusiano na Imam wa zama (a.s)?

    Wadai wa uwongo wa uhusiano na Imam wa Zama (a.t.f.s) ni jambo lililoenea katika Dini zote, ambao hujaribu kuwahadaa watu kwa kutegemea ndoto na maono, wanawapinga wanazuoni  na kuendeleza uwongo…

    2025-02-13 11:19

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom