-
DuniaPolisi wa Australia washambulia swala ya jamaa ya watu wanaoiunga mkono Palestina
Hawza/ Viongozi wa Waislamu wameeleza hasira na masikitiko yao kufuatia kitendo cha polisi wa Sydney kudharau swala ya jamaa ya Waislamu, wakati waandamanaji walipokuwa wakiswali baada ya kuandamana…
-
Hukumu za Kisheria
DiniJe! Ukisahau nia ya kufunga, funga yako itakuwa sahihi?
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amejibu istifta (swali la kisheria) kuhusiana na mwenye “kusahau nia ya kufunga.”
-
Kumbukumbu ya mama wa Kipalestina:
DuniaHatima ya wafungwa wa Kipalestina na Walebanon walioko mikononi mwa maafisa wa “Epstein”
Hawza/ “Widad al-Barghouthi”, mwandishi wa Kipalestina, aliandika katika makala yake: Maelfu ya wafungwa waliokuwa wakisubiri kuachiwa huru kupitia makubaliano ya kubadilishana wafungwa, pamoja…
-
Hassan Fadlullah:
DuniaShinikizo na vitisho vyote dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kwa sababu ni nchi huru
Hawza/ Hasan Fadlallah, mwakilishi wa kambi ya “Uaminifu kwa Muqawama”, alionya kuhusu juhudi za adui kuwarudisha walowezi wake katika maeneo ya mipakani.
-
DuniaMradi mkubwa zaidi wa upanuzi wa Haram ya Imamu Hussein (as) wenye ukubwa wa mita za mraba 330,000 waanza
Hawza/ Idara ya miradi ya maendeleo ya Ataba Tukufu ya Husseini imetangaza sifa za mradi wa uwanja wa Sahn Rasul A’dham (Swalla-Llahu alayhi wa Aalihi wa sallam).