Dini
لیستی صفحه سرویس
-
“Kuielekea Jamii Bora” (mkusanyiko wa utafiti kuhusiana na Imam Mahdi (as) – 40
Imam ni kioo cha rehema isiyo na kikomo ya Mwenyezi Mungu
Hawza/ Imam zaman (as) ingawa yupo kwenye ghaiba, lakini ni wingu la rehema linaloendelea kunyesha daima na kulipa uhai na bashasha jangwa kavu la watu, na ni mwenye kunyimika yule ambaye hatanusa…
-
Haya ndiyo makundi matano mabayo hayatapata shafa'a (Uombezi siku ya kiyama)
Hawza / Riwaya za Kiislamu hazijaihesabu shafa'a kwenye makundi matano: makafiri, washirikina, wanafiki, wakanushaji wa shafa'a, na wale wanaoibeza Swala. Imam Swadiq (a.s) kwa msisitizo alisema…
-
Hukmu za Kisheria | Kuungana na Imamu wa Swala ya Jamaa kupitia wanawake
Hawza / Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu istiftaa kuhusu hukmu ya kisheria ya namna ya kuungana na imamu wa swala ya jamaa kupitia wanawake
-
Jihadharini na wezi wa itikadi
Hawzah/ Ayatullah Ṣāfī Gulpāygānī (ra) alisisitiza kwamba hakuna mali yenye thamani kubwa kuliko “lulu ya akida (itikadi)” kwa Mwenyezi Mungu, Mtume Mtukufu (saw) na Maimamu watoharifu (as).
-
Ikiwa kutatokea mgongano kati ya mume/mke na wazazi, tumchague yupi?
Hawzah/ Kuanza maisha ya ndoa haina maana ya kuiacha familia; bali kunahitaji kuwepo mipaka salama, ambapo heshima ya wazazi inalindwa na utulivu wa maisha ya ndoa unadumishwa
-
Somo la Akhlaq | Kwa Nini Uislamu Unalipa Umuhimu wa Pekee Swala la kuunga udugu?
Hawza/ Uislamu umetilia mkazo mkubwa juu ya sila rahm (kuunga udugu), si tu kwa maana ya kuunganisha uhusiano wa kifamilia, bali pia kwa maana ya kuyalinda mahusiano muhimu mawili ya kimaumbile…
-
Hukumu za Kisharia | Kumfuata Imamu wa Jamaa Asiyefahamika Katika Mikusanyiko ya Umma
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu swali la kifiqhi kuhusiana na hukumu ya kisheria ya kumfuata Imamu wa jamaa asiyefahamika katika mikusanyiko ya umma.
-
Darasa la Akhl'aq kwa wanaojiona wamekamilika
Hawza/ Utulivu wa nje wa mwanadamu katika hali ya kawaida mara nyingi huficha sura halisi ya nafsi; lakini hali zisizo za kawaida hufunua yaliyo ndani ya moyo, ni kama maji yaliyotuama ambayo…
-
Kuielekea Jamii Bora: (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Iamam Maha (as)- 39)
Dalili za Wiyaatul-Faqih – Dalili za Nakili/Riwaya – Sehemu ya Pili)
Hawza/ Miongoni mwa riwaya ambazo fuqah'a wamezitolea dalili kwa ajili ya kuthibitisha Wilayatul-faqih, ni riwaya ambayo ameinukuhu Omari ibn Handhalah
-
Hukumu za Kisheria | Ndoa katika Miezi ya Muharram na Safar
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Khamenei amejibu istift'a kuhusiana na hukumu ya kisheria ya kufunga ndoa katika miezi ya Muharram na Safar.
-
Je, Viongozi wa Israel Wana “Heshima ya Kibinadamu”?
Hawza/ Heshima ya mwanadamu katika Uislamu ni neema ya Mwenyezi Mungu, lakini heshima hii hubakia pale ambapo mtu ataidumisha kutokana na mienendo yake, wahalifu wanaomwaga damu ya wasio na hatia…
-
Kumbukumbu za Maulamaa | Swalini Swala Mwanzo wa wakati, Umaskini Wenu Utaondoshwa
Hawza/ Ayatollah Bahjat amenukuu kutoka kwa Ayatollah Sayyid Abdulhadi Shirazi kwamba baada ya kufariki baba na mlezi wa familia, jukumu la maisha lilimwangukia yeye. Katika ndoto alimwona baba…