Dini
لیستی صفحه سرویس
-
Ayatullah Al-Udhma Subhani Katika Darsa la Akhlaq:
Elimu Ambayo Haiwahudumii Watu ni Sawa na Ujinga/ Mashindano ya Silaha ni Alama ya Ujinga
Hawza/ Pamoja na kutetea elimu, jihadharini; elimu inayopaswa kuenea ni ile ambayo itaiokoa jamii na kuipeleka kwenye daraja la ubinadamu. Lakini elimu inayosababisha binadamu kuwaua binadamu…
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amuli:
Wito wa kuonana na Malakuti ni heshima ya juu kabisa kwa mwanadamu/ kufunguliwa njia ya kuwa arif.
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Jawadi Amuli amesisitiza: Qur’ani ni kitabu cha adabu na kinaonesha heshima kamili kwa mwanadamu. Mwenyezi Mungu anasema: (وَمَا جَعَلَ عَلَیكم فِی ٱلدِّینِ من حَرَجࣲۚ…
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti Kuhusiana na Mahdawiyya (53)
Mahdawiyya katika Qur’ani (Sehemu ya Mwisho)
Hawza/ Aya za Qur’ani wakati mwengine huwa na maana nyingi: moja ni ya dhahiri na ya wazi kwa watu wote, na nyingine ni ya ndani (maana ya batini), ambayo hakuna anayejua isipokuwa Mtume (saww),…
-
Bibi Zaynab (a.s), Sauti ya Ukweli Mbele ya Mabavu
Hawza/ Kuzaliwa kwa Bibi Zaynab (a.s) ni hatua muhimu katika historia ya Uislamu; ni mwanamke ambaye kutokana na elimu, subira na ujasiri wake, aligeuka kuwa kielelezo cha kudumu kwa wanawake…
-
Mafunzo Katika Qur'ani:
Njia ya Kukutana na Mtukufu Imam Mahdi (a.s)
Hawza/ Mwenyezi Mungu Mtukufu katika Hadithi ya Mi’raj anatufahamisha kipimo na kigezo ambacho kushikamana nacho kunaweza kuyaangazia macho yetu kuudiriki uzuri wa nuru ya Mtukufu Imam Mahdi…
-
Mafunzo Katika Sahifat Sajjadiyah:
Ni Vipi Tutafahamu Kwamba Mungu Peke Anatosha
Hawza/ Wakati miangaiko ya kidunia inapomtoa mwanadamu katika njia ya uja na utumishi wa Mwenyezi Mungu, Imam Sajjad (a.s) anatupa ufunguo wa dhahabu wa ukombozi: kuomba kutoshelezwa na Mwenyezi…
-
Mafunzo katika Nahjul Balagha:
Fadhila Saba za kunyamaza
Hawza News/ Imam Ṣādiq (a.s.) katika riwaya yenye maana pana, ameeleza kuwa kukaa kimya si tu njia ya watafiti, bali ni chanzo cha kupata radhi za Mwenyezi Mungu na kinga dhidi ya makosa.
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti Kuhusiana na Mahdawiya (52)
Mahdawiyya katika Qur’ani (Sehemu ya Nne)
Hawza/ Mwenyezi Mungu amewaahidi waumini na watu wema ahadi ya utawala juu ya ardhi, utukufu wa dini ya haki, na usalama kamili. Hata hivyo, miongoni mwa wafasiri kuna mjadala kuhusiana na kuwa;…
-
Hukumu za Kisheria:
Je! Mlinzi wa eneo fulani, atawajibika kulipa mali za wakazi wa eneo hilo, iwapo wizi utatokea?
Hawza/ Mtukufu Ayatullah al-Udhma Khamenei amejibu swali la kifiqhi (istifataa) kuhusiana na hukumu ya kisheria, pale ambapo wizi utatokea katika makazi ya watu na ilihali kuna walinzi katika…
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyyah (51)
Mahdawiyyah katika Qur’ani (Sehemu ya Tatu)
Hawzah/ Baadhi ya aya katika Qur’ani Tukufu zinahusiana na ushindi wa wenyekudhoofishwa dhidi ya wenye nguvu, na zinabainisha kwamba hatimaye dunia itakuwa ya wale wanaostahiki — yaani wacha…
-
Mafunzo Katika Qur'an:
Kwa nini uaminifu ni muhimu zaidi kuliko swala ndefu?
Hawza/ “Msitazame mtu kwa urefu wa swala zake, bali tazameni uaminifu wake.” Kauli hii ya Imam Sadiq (as) inaonesha kwamba uaminifu ndicho kipimo cha msingi cha kumtambua mtu.
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti kusuhisana na Mahdawiyyah (50)
Mahdawiyyah katika Qur’ani (Sehemu ya Pili)
Hawzah/ “Kudhoofishwa” pekee si sababu ya ushindi dhidi ya maadui na utawala juu ya ardhi; bali kuwepo kwa imani na kujipatia sifa za ustahiki pia ni jambo la lazima. Wenye kunyongeshwa ulimwenguni…

