Dini
لیستی صفحه سرویس
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyyah (64)
Nafasi na wajibu wa wanawake katika kudhihiri na serikali ya Imam Mahdi (aj) – Sehemu ya kwanza
Hawza/ Wanawake pia, kama ilivyo kwa wanaume katika jamii, wanapaswa kutumia juhudi zao zote katika kutekeleza nafasi zao kwa ajili ya kufanikisha malengo ya Mwenyezi Mungu, bila mchango wao,…
-
Ghadir kwa mujibu wa Kauli za Imam Shahidi
Hawza/ Kwa mtazamo wa Imam na Kiongozi wetu Shahidi, Ghadir ni miongoni mwa masuala ambayo yanapita mipaka ya mtazamo wa kihistoria na huhesabiwa kuwa mojawapo ya misingi muhimu zaidi ya itikadi…
-
Tusome Qur’ani:
Je, Inawezekana Kuingia Katika Ngome ya Wilaya ya Ali (as) Bila Kuielewa Qur’ani?
Hawza/ Wilaya ya Ali bin Abi Talib ina maana ya kuwa mfuasi wa Ali katika fikra na matendo yako, na kuwa na uhusiano naye madhubuti, wenye nguvu na usiovunjika, kama Hadithi isemavyo: “Wilaya…
-
Darasa la Akhla'q | Watu wenye akili zaidi kwa mtazamo wa Mtume Muhammad (saww)
Hawza/ Ayatollah Sayyid Ali Khamenei katika ufafanuzi wa Hadithi kutoka kwa Mtume Mtukufu (s.a.w.w.) mwanzoni mwa darsa ya Bahthul-Kharij ya Fiqhi, aliashiria umuhimu wa kuamiliana kwa upole…
-
Tusome Qur’ani | Katika jamii isiyo ya Kiislamu unatamani kuwa mwema, lakini huwezi
Hawza/ Katika jamii isiyo ya Kiislamu, mwanadamu licha ya kuwa na hamu ya mwema na mwenye dini, kutokana na shinikizo la mazingira hawezi kuwa mwenye kushikamana na dini, na sababu zote humweka…
-
Hukumu za Kisheria | Mapato yatokanayo na michezo ya kompyuta na PlayStation
Hawza/ Ayatollah Sayyid Ali Khamenei amejibu istiftaai kuhusu “kupata mapato kutokana na michezo ya kompyuta na PlayStation”.
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyya (63)
Magharibi na Mahdawiyya (Sehemu ya Mwisho)
Hawza/ Kuonesha sura ya ukatili na ya kutisha kuhusu mwokozi wa mwisho wa zama katika Uislamu mbele ya watu wa dunia ni jukumu la pamoja linaloonekana katika kazi nyingi za Kimagharibi, zikiwemo…
-
Tusome Qur’ani | Kwa nini baadhi ya watu hushindwa na kujisalimisha kwa adui katika nyakati za migogoro?
Hawza/ Katika nyakati za migogoro, pale ambapo mwanadamu anakosa kabisa njia na zana zote za dhahiri, huwa na njia chache mbele yake: ima kujisalimisha kwa adui, au kujisalimisha kwa mkondo wa…
-
Hukumu za Kisheria | Wajibu wa maamuma iwapo Imam atasoma vibaya Qur'an
Hawza/ Ayatullah Shahidi Sayyid Ali Khamenei amejibu istiftaai kuhusu “Wajibu wa maamuma iwapo Imam atasoma vibaya Qur'an”.
-
Mtazamo ya Ayatullah al-‘Udhma Makarim Shirazi kuhusu kwenda Hijja mwaka huu
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Makarim Shirazi alijibu swali la kifiqhi (istifta) kuhusu kufika katika Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu (Baytullah al-Haram) na safari ya Hijja kwa kuzingatia hali za…
-
Neno la Walii | Tawfiki ya kushukuru: Neema kubwa katika mtazamo wa Qur’ani
Hawza/ Katika sehemu hii ya maelezo, imeashiriwa maana ya ibara ya Qur’ani «أَوْزِعْنِی» ambayo ina maana ya ilhamu na tawfiki ya kivitendo kwa ajili ya kushukuru. Kushukuru neema si tu kulipa…
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli:
Mwenyezi Mungu ameamrisha “jihad maalum” dhidi ya wanafiki
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Jawadi Amoli amesisitiza kuwa; Mwenyezi Mungu anakosoa vikali mwenendo wa jamii ya wanafiki na ametoa amri ya “jihad maalum” dhidi yao.

