Dini
لیستی صفحه سرویس
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 30
Sifa za Imam wa zama (aj) Katika Dua
Hawza/ Kwa kuzingatia sifa na tabia za Imam wa zama (a.f) kunaweza kuongeza na kuimarisha zaidi uhusiano wa kiroho na wa ndani kati ya mja na Yeye.
-
Wadhifa wa Qur'ani katika vita na adui wa Kizayuni
Hawza/ Enyi watu wa imani! Wakati mnapokutana katika viwanja vya vita na kundi la mushrikina na makafiri, simameni sawa sawa, na mumkumbuke sana Mwenyezimungu ili mpate kufaulu.
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 29
Dua na Ziara Kuhusiana na Mahdawia
Hawza/ Moja kati ya nyenzo muhimu sana kwa wafuasi wa Imamu Mahdi (as) katika kipindi cha ghaiba yake ni dua na kuwa na mafungamano naye, ili wasimsahau, na kwa njia ya dhikri, dua na ziara,…
-
Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Imam Kadhim (a.s):
Imamu Kadhim (a.s): Kuwa jirani mzuri
Kuwa jirani mzuri hakuna maana ya kutomuudhi jirani, bali ujirani mwema (mzuri) ni subira yako kwa maudhi ya jirani.
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 28
Wadai uongo wa Mahdawiyya
Hawza / Kila Mshia mwenye ufahamu anawajibika kuwakadhibisha wale wanaodai kuwa na uhusiano au uwakilishi maalum (niyaba maaluma) na Imamu, na kufunga njia ya kupenyeza na kujinufaisha kwa watu…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 27
Kurudi kwa Mitume, Maimamu na Waumini wa kweli
Hawza/ Kwa mujibu wa hadithi, Mitume, Maimamu watoharifu (as), na waumini wa kweli – katika zama za "raj‘a" – watarudi tena duniani.
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli:
Kuwasamehe wengine ni sababu ya kuleta ridhaa ya Mwenyezi Mungu na humkasirisha Shetani
Hawza/ Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli, akizungumza kwa kuzingatia riwaya kutoka kwa Imam Ali (as), amesema: Muumini hajawahi kumridhisha Mola wake kwa kitu kama kuvumilia, wala hajamkasirisha…
-
Je, Ushia ulikuwepo kabla ya Amirul-Mu’minin (as) au baada yake?
Hawza/ Kwa mujibu wa maandiko, Ushia kama mfumo wa kielimu na kifikra uliwekewa msingi sambamba na kushuka kwa Qur'ani Tukufu na kwa kupitia Mtume wa Uislamu (saw) mwenyewe. Cha kuvutia ni kwamba,…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 26
Baadhi ya Sifa za Kurejea Duniani (raj'a)
Hawza/ Kwa waumini wote na wanaosubiri kwa dhati kudhihiri kwa Imam Mahdi (as), ambao wamefariki kabla ya kudhihiri kwake, kuna uwezekano wa kurudi duniani na kumsaidia Imam huyo.
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 25
Kurejeshwa kwa Wafu (raj'a) kwa mujibu wa Qur’ani na Riwaya
Hawza/ Kwa mujibu wa aya za Qur'ani na riwaya za Ahlulbayt as, kundi la watu waliokufa watarudi duniani katika zama za kudhihiri Imam Mahdi (as).
-
Hukumu za Kisheria:
Swala na Funga kwa wanafunzi wa hawza na vyuo vikuu katika miji ya masomo
Hawza/ Ayatollah Khamenei amejibu swali la kifiqhi kuhusu “swala na funga kwa wanafunzi wa hawza na vyuo vikuu katika miji wanayosomea.”
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 24
Raj‘a: Moja ya Imani Thabiti za Kishia
Hawza/ Ingawa mahali halisi pa malipo na adhabu za wanadamu ni ulimwengu wa Akhera, lakini Mwenyezi Mungu ameazimia kutekeleza sehemu ya malipo na adhabu hizo hapa hapa duniani.