Dini
لیستی صفحه سرویس
-
Hadithi ya Leo | Malipo Tele Kutokana na Amali Ndogo
Hawza/ Imam Jaafar Swa'diq (as) katika riwaya moja ameashiria fadhila na malipo makubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu kumuelekea mja wake ambae anafanya amali ndogo kwa ikhlasi.
-
Hukumu za Kisheria: Mazungumzo Kabla ya Ndoa na Faragha
Hawza/ Ayatullah Sayyid Ali Sistani amejibu swali la kisheria (istiftaa) kuhusu “mazungumzo kabla ya ndoa na faragha.”
-
Hadithi ya Leo | Kuwatimizia Watoto Ahadi Mnazo Waahidi
Hawzah/ Imam Musa al-Kadhim (as), katika riwaya moja, anasisitiza umuhimu wa kutimiza ahadi pamoja na kuzingatia kwa namna ya kipekee haki za watoto.
-
Hadithi ya Leo | Jawabu Bora Zaidi Mbele ya Mjinga
Hawza/ Amirul-Muuminina Ali (as), katika riwaya moja, anaeleza kuhusu thamani ya kunyamaza mbele ya maneno ya watu wajinga.
-
Hadithi ya Leo | Ubora na Thamani ya Mtoto wa Kike
Hawzah/ Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) katika hadithi moja ameeleza kuhusu nafasi yenye thamani juu ya mabinti wanao jistiri na kujihifadhi pamoja na thawabu ya kuwa nao.
-
Hadithi ya Leo | Kumtii Mwenyezi Mungu
Hawza/ Imam Ha'di (as) katika riwaya moja anaashiria umuhimu wa kumtii Mwenyezi Mungu na kutokujali ghadhabu za watu katika njia ya kupata ridhaa ya Mwenyezi Mungu.
-
Katika mazungumzo na mwalimu wa Hawzah ya Qom imejadiliwa:
Vipengele na hukumu za “Israfu” kwa mtazamo wa Qur’ani na riwaya; kuanzia kupoteza haki hadi kunyimwa uongofu
Leo, katika jamii mbalimbali, utamaduni wa matumizi bora na yenye ufanisi unaenezwa kwa kiwango kikubwa, na matumizi ya kupita kiasi katika nyanja mbalimbali yanapigwa vita. Katika dini tukufu…
-
Hadithi ya Leo| Je! Ni wakina nani wanaopenda kueneza aibu za watu?
Hawza/ Amirul-Muuminina, Imam Ali (as), katika riwaya amebainisha chanzo cha tabia ya kutafuta kasoro za watu na kuzieneza kwa wengine.
-
Hadithi ya Leo | Katazo la Kuwadharau Watu na Kuwadunisha
Hawza/ Mtume Mtukufu (saww) katika riwaya amekataza kuwadharau na kuwadunisha.
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyya (66)
Nafasi na hadhi ya wanawake katika kudhihiri na utawala wa Imam Mahdi (aj) – Sehemu ya mwisho
Hawza/ Historia ni kioo kinachoakisi uwepo wa wanawake ambao nafsi zao zimesafishwa kwa nuru ya imani na maarifa ya Mwenyezi Mungu; wale ambao kwa baraka ya uhusiano huo wamehesabiwa kuwa ni…
-
Darsa la Akhlaq | Kiongozi shahidi wa Mapinduzi:
Kukumbuka kuwa dunia inaisha humwacha mwanadamu huru kutokana na kushikamana nayo kupita kiasi
Hawza/ Kiongozi shahidi wa Mapinduzi akirejelea hadithi: «لِدْ لِلْمَوْتِ وَاجْمَعْ لِلْفَنَاءِ وَابْنِ لِلْخَرَابِ», alisisitiza kwamba; kila kitu ambacho mwanadamu hukikusanya duniani hatimaye…
-
Kuielekea kwenye jamii bora; Tafiti za Mahdawiyya (65)
Nafasi na mchango wa wanawake katika kudhihiri na dola ya Imam Mahdi (a.f) – Sehemu ya Pili
Hawza / Kuhusu nafasi ya mwanamke katika jamii ya Kiislamu na utekelezaji wa malengo ya Mwenyezi Mungu, Qur’ani Tukufu imeorodhesha majukumu ya jumla kama vile kumcha Mwenyezi Mungu, kuamrisha…

