-
DiniWakati mtoto anapouliza swali, ni vipi yatupasa kumjibu? + Njia saba za kimatendo
Hawza/ Watoto, kwa shauku yao ya kujua na uwezo wa kufikiria, hutaka kuielewa dunia inayowazunguka. Wazazi kwa subira, heshima, na kutumia mbinu rahisi na zinazofahamika wanaweza kujibu maswali…
-
Hukumu za kisheria:
DiniHukumu ya mvuke na kioevu kinachotokana na najisi ni ipi?
Hawza / Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu swali kuhusiana na hukumu ya mvuke wa najisi na kioevu kinachotokana na najisi hiyo.
-
DiniKumbukumbu | Mwanamke aliyeteuliwa kwa ajili ya siku ngumu
Hawza / Ni kweli kuwa binadamu ameumbwa kwa taabu; lakini baadhi ya watu ni kama kioo cha dhahiri cha uvumilivu wa Mwenyezi Mungu duniani, na bibi Zainabu (sa) alikuwa wa aina hiyo.
-
DiniMapumziko na matembezi kwa mtazamo wa Imam Khomeini (ra)
Hawza/ Ayatollah Mirza Jawad Agha Tahrani (ra), mmoja wa mauraf'a na miongoni mwa mafaqihi wa Kishia, katika kisa kimoja cha kipindi chake cha masomo katika Hawza ya kielimu ya Qom, alisimulia…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 34
DiniUwezekano wa kufuzu kuonana na kuhudhuria mbele ya Imam wa zama (aj)
Hawza/ Kufuzu baadhi ya watu kuweza kuonana na Imam huyo mtukufu ni jambo lililothibiti, na uwongo na batili ya madai ya wale wanaodai uwakala na uwakilishi maalumu baina ya Imam huyo na watu…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 33
DiniMakazi ya Imam Mahdi (as) katika Kipindi cha Ghaiba Kubwa
Hawza/ Ikiwa katika mada ya "ghaiba", mambo kama mahali alipo Imam (as), chakula chake n.k. yasibainike wazi, hilo halileti shaka wala dhana yoyote; vivyo hivyo, kubainika kwa mambo hayo hakuhusiki…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 32
DiniMfumo wa Uimamu ni mfumo wa kimungu usiokatika
Hawza/ Mfumo wa Uimamu ni mfumo wa kimungu, usiokatika, na hauna kipindi cha mapumziko (fatra); upo katika kila zama na kila wakati. Kuanzia zama za Mtume Mtukufu Muhammad (saw) hadi leo umeanzishwa,…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 31
DiniHadhi na Vyeo vya Imamu Mahdi (aj) katika Dua
Hawzah/ Kuzingatia vyeo na nafasi za Imamu wa zama (aj) katika ulimwengu kunaweza kuwa sababu ya kumkaribisha zaidi mja kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu.
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 30
DiniSifa za Imam wa zama (aj) Katika Dua
Hawza/ Kwa kuzingatia sifa na tabia za Imam wa zama (a.f) kunaweza kuongeza na kuimarisha zaidi uhusiano wa kiroho na wa ndani kati ya mja na Yeye.
-
DiniWadhifa wa Qur'ani katika vita na adui wa Kizayuni
Hawza/ Enyi watu wa imani! Wakati mnapokutana katika viwanja vya vita na kundi la mushrikina na makafiri, simameni sawa sawa, na mumkumbuke sana Mwenyezimungu ili mpate kufaulu.
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 29
DiniDua na Ziara Kuhusiana na Mahdawia
Hawza/ Moja kati ya nyenzo muhimu sana kwa wafuasi wa Imamu Mahdi (as) katika kipindi cha ghaiba yake ni dua na kuwa na mafungamano naye, ili wasimsahau, na kwa njia ya dhikri, dua na ziara,…
-
Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Imam Kadhim (a.s):
DiniImamu Kadhim (a.s): Kuwa jirani mzuri
Kuwa jirani mzuri hakuna maana ya kutomuudhi jirani, bali ujirani mwema (mzuri) ni subira yako kwa maudhi ya jirani.
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 28
DiniWadai uongo wa Mahdawiyya
Hawza / Kila Mshia mwenye ufahamu anawajibika kuwakadhibisha wale wanaodai kuwa na uhusiano au uwakilishi maalum (niyaba maaluma) na Imamu, na kufunga njia ya kupenyeza na kujinufaisha kwa watu…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 27
DiniKurudi kwa Mitume, Maimamu na Waumini wa kweli
Hawza/ Kwa mujibu wa hadithi, Mitume, Maimamu watoharifu (as), na waumini wa kweli – katika zama za "raj‘a" – watarudi tena duniani.
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli:
DiniKuwasamehe wengine ni sababu ya kuleta ridhaa ya Mwenyezi Mungu na humkasirisha Shetani
Hawza/ Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli, akizungumza kwa kuzingatia riwaya kutoka kwa Imam Ali (as), amesema: Muumini hajawahi kumridhisha Mola wake kwa kitu kama kuvumilia, wala hajamkasirisha…
-
DiniJe, Ushia ulikuwepo kabla ya Amirul-Mu’minin (as) au baada yake?
Hawza/ Kwa mujibu wa maandiko, Ushia kama mfumo wa kielimu na kifikra uliwekewa msingi sambamba na kushuka kwa Qur'ani Tukufu na kwa kupitia Mtume wa Uislamu (saw) mwenyewe. Cha kuvutia ni kwamba,…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 26
DiniBaadhi ya Sifa za Kurejea Duniani (raj'a)
Hawza/ Kwa waumini wote na wanaosubiri kwa dhati kudhihiri kwa Imam Mahdi (as), ambao wamefariki kabla ya kudhihiri kwake, kuna uwezekano wa kurudi duniani na kumsaidia Imam huyo.
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 25
DiniKurejeshwa kwa Wafu (raj'a) kwa mujibu wa Qur’ani na Riwaya
Hawza/ Kwa mujibu wa aya za Qur'ani na riwaya za Ahlulbayt as, kundi la watu waliokufa watarudi duniani katika zama za kudhihiri Imam Mahdi (as).
-
Hukumu za Kisheria:
DiniSwala na Funga kwa wanafunzi wa hawza na vyuo vikuu katika miji ya masomo
Hawza/ Ayatollah Khamenei amejibu swali la kifiqhi kuhusu “swala na funga kwa wanafunzi wa hawza na vyuo vikuu katika miji wanayosomea.”
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 24
DiniRaj‘a: Moja ya Imani Thabiti za Kishia
Hawza/ Ingawa mahali halisi pa malipo na adhabu za wanadamu ni ulimwengu wa Akhera, lakini Mwenyezi Mungu ameazimia kutekeleza sehemu ya malipo na adhabu hizo hapa hapa duniani.
-
Hadithi ya leo:
DiniDaima kuwa mtu huru
Usiwe mtumwa wa mwingine, ilihali Mwenyezi Mungu amekuumba ukiwa huru.
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 23
DiniKukubalika na umma Imam Mahdi (a.s.) pamoja na Serikali yake
Hawza/ Miongoni mwa sifa za msingi za serikali ya Imam Mahdi (a.s.) ni kuwa serikali hiyo itakubalika na watu wote na jamii zote za kibinadamu. Si tu watu wote wa ardhini, bali hata wakaazi wa…
-
DiniJibu la kipekee la Imam Baaqir (as) kutokana na dharau alizo onesha Mkristo Mmoja
Hawza/ Riwaya isiyosahaulika kuhusiana na subira na ukubwa wa moyo wa Imam Muhammad Baaqir (as), ilimgusa mno mwanamume mmoja Mkristo aliyesema kwa dhihaka na matusi kiasi cha kwamba baada ya…
-
Hadithi ya leo:
DiniKuwa katika orodha ya waja wema kabisa wa Mwenyezi Mungu
Ni wale ambao wanapofanya jema hufurahi, watendapo (jambo) baya huomba maghufira, wakipewa kitu hushukuru, na wakifikwa na majaribu (mtihani) huonyesha subira na wanapokasirika husamehe.
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 22
DiniMwenendo wa Kiserikali wa Imam Mahdi (as)
Hawza/ Mwenendo wa Imam Mahdi (as) ni ule ule wa Mtume Muhammad (saw), na jinsi ambavyo Mtume (saw) katika zama zake alipambana na ujahili kwa kila sura yake, na akausimamisha Uislamu Safi –…
-
Hadithi ya leo:
DiniKuwa hivi katika maingiliano na watu
Ingilianeni na watu kwa namna ambayo mkifa wakulilieni, na mkiwa hai (na ikawa hawajakuoneni kwa muda) wawe na shauku ya kukuoneni.
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 21
DiniEneo la Utawala wa Imam Mahdi (a.s.) na Kituo chake
Hawza/ Kuna riwaya nyingi zilizopokelewa ambazo kwa uwazi zinabainisha kwamba utawala wa Imam Mahdi (as) utakuwa wa kidunia.
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 20
DiniMuda wa kuutawala ulimwengu Imam Mahdi (a.s)
Hawza/ Mfumo wa haki na uadilifu ambao Imam Mahdi (a.s) atauanzisha utakuwa ni serikali ambayo baada yake hakutakuwa na serikali nyingine yoyote. Kwa hakika, historia mpya ya maisha ya mwanadamu…
-
Kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya siku ambayo aliuwawa kishahidi kwa Imam Jawad (a.s):
DiniKwa nini Imam Muhammad Taqi (a.s) anaitwa "Jawaad al-A’immah"?
Hawza/ kuhusu lakabu ya "Jawaad", ikimaanisha kuwa ni “mtoaji mno” au “mkarimu sana”, inafaa kufahamu kwamba jambo hili haliko tu katika mapokezi na kauli za Kishia. Watu kadhaa miongoni mwa…
-
Hadithi ya leo:
DiniIfundishe familia yako maamrisho na makatazo ya Mwenyezi Mungu
Katika kauli yake Mwenyezi Mungu ulotukuka utajo wake "ziokoeni nafsi zenu na familia zenu na moto" wakauliza: Vipi tutaokoa (tutazikinga) familia zetu? akasema: Mnawaamrisha (yale ayapendayo…