Jumamosi 19 Julai 2025

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Wakati mtoto anapouliza swali, ni vipi yatupasa kumjibu? + Njia saba za kimatendo

    DiniWakati mtoto anapouliza swali, ni vipi yatupasa kumjibu? + Njia saba za kimatendo

    Hawza/ Watoto, kwa shauku yao ya kujua na uwezo wa kufikiria, hutaka kuielewa dunia inayowazunguka. Wazazi kwa subira, heshima, na kutumia mbinu rahisi na zinazofahamika wanaweza kujibu maswali…

    2025-07-18 08:43
  • Hukumu ya mvuke na kioevu kinachotokana na najisi ni ipi?

    Hukumu za kisheria:

    DiniHukumu ya mvuke na kioevu kinachotokana na najisi ni ipi?

    Hawza / Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu swali kuhusiana na hukumu ya mvuke wa najisi na kioevu kinachotokana na najisi hiyo.

    2025-07-18 08:36
  • Kumbukumbu | Mwanamke aliyeteuliwa kwa ajili ya siku ngumu

    DiniKumbukumbu | Mwanamke aliyeteuliwa kwa ajili ya siku ngumu

    Hawza / Ni kweli kuwa binadamu ameumbwa kwa taabu; lakini baadhi ya watu ni kama kioo cha dhahiri cha uvumilivu wa Mwenyezi Mungu duniani, na bibi Zainabu (sa) alikuwa wa aina hiyo.

    2025-07-17 11:41
  • Mapumziko na matembezi kwa mtazamo wa Imam Khomeini (ra)

    DiniMapumziko na matembezi kwa mtazamo wa Imam Khomeini (ra)

    Hawza/ Ayatollah Mirza Jawad Agha Tahrani (ra), mmoja wa mauraf'a na miongoni mwa mafaqihi wa Kishia, katika kisa kimoja cha kipindi chake cha masomo katika Hawza ya kielimu ya Qom, alisimulia…

    2025-07-17 00:15
  • Uwezekano wa kufuzu kuonana na kuhudhuria mbele ya Imam wa zama (aj)

    Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 34

    DiniUwezekano wa kufuzu kuonana na kuhudhuria mbele ya Imam wa zama (aj)

    Hawza/ Kufuzu baadhi ya watu kuweza kuonana na Imam huyo mtukufu ni jambo lililothibiti, na uwongo na batili ya madai ya wale wanaodai uwakala na uwakilishi maalumu baina ya Imam huyo na watu…

    2025-07-13 13:15
  • Makazi ya Imam Mahdi (as) katika Kipindi cha Ghaiba Kubwa

    Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 33

    DiniMakazi ya Imam Mahdi (as) katika Kipindi cha Ghaiba Kubwa

    Hawza/ Ikiwa katika mada ya "ghaiba", mambo kama mahali alipo Imam (as), chakula chake n.k. yasibainike wazi, hilo halileti shaka wala dhana yoyote; vivyo hivyo, kubainika kwa mambo hayo hakuhusiki…

    2025-07-01 00:21
  • Mfumo wa Uimamu ni mfumo wa kimungu usiokatika

    Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 32

    DiniMfumo wa Uimamu ni mfumo wa kimungu usiokatika

    Hawza/ Mfumo wa Uimamu ni mfumo wa kimungu, usiokatika, na hauna kipindi cha mapumziko (fatra); upo katika kila zama na kila wakati. Kuanzia zama za Mtume Mtukufu Muhammad (saw) hadi leo umeanzishwa,…

    2025-06-27 09:42
  • Hadhi na Vyeo vya Imamu Mahdi (aj) katika Dua

    Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 31

    DiniHadhi na Vyeo vya Imamu Mahdi (aj) katika Dua

    Hawzah/ Kuzingatia vyeo na nafasi za Imamu wa zama (aj) katika ulimwengu kunaweza kuwa sababu ya kumkaribisha zaidi mja kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu.

    2025-06-24 22:46
  • Sifa za Imam wa zama (aj) Katika Dua

    Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 30

    DiniSifa za Imam wa zama (aj) Katika Dua

    Hawza/ Kwa kuzingatia sifa na tabia za Imam wa zama (a.f) kunaweza kuongeza na kuimarisha zaidi uhusiano wa kiroho na wa ndani kati ya mja na Yeye.

    2025-06-22 23:58
  • Wadhifa wa Qur'ani katika vita na adui wa Kizayuni

    DiniWadhifa wa Qur'ani katika vita na adui wa Kizayuni

    Hawza/ Enyi watu wa imani! Wakati mnapokutana katika viwanja vya vita na kundi la mushrikina na makafiri, simameni sawa sawa, na mumkumbuke sana Mwenyezimungu ili mpate kufaulu.

    2025-06-20 08:50
  • Dua na Ziara Kuhusiana na Mahdawia

    Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 29

    DiniDua na Ziara Kuhusiana na Mahdawia

    Hawza/ Moja kati ya nyenzo muhimu sana kwa wafuasi wa Imamu Mahdi (as) katika kipindi cha ghaiba yake ni dua na kuwa na mafungamano naye, ili wasimsahau, na kwa njia ya dhikri, dua na ziara,…

    2025-06-19 00:33
  • Imamu Kadhim (a.s): Kuwa jirani mzuri

    Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Imam Kadhim (a.s):

    DiniImamu Kadhim (a.s): Kuwa jirani mzuri

    Kuwa jirani mzuri hakuna maana ya kutomuudhi jirani, bali ujirani mwema (mzuri) ni subira yako kwa maudhi ya jirani.

    2025-06-16 11:02
  • Wadai uongo wa Mahdawiyya

    Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 28

    DiniWadai uongo wa Mahdawiyya

    Hawza / Kila Mshia mwenye ufahamu anawajibika kuwakadhibisha wale wanaodai kuwa na uhusiano au uwakilishi maalum (niyaba maaluma) na Imamu, na kufunga njia ya kupenyeza na kujinufaisha kwa watu…

    2025-06-15 21:22
  • Kurudi kwa Mitume, Maimamu na Waumini wa kweli

    Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 27

    DiniKurudi kwa Mitume, Maimamu na Waumini wa kweli

    Hawza/ Kwa mujibu wa hadithi, Mitume, Maimamu watoharifu (as), na waumini wa kweli – katika zama za "raj‘a" – watarudi tena duniani.

    2025-06-13 14:53
  • Kuwasamehe wengine ni sababu ya kuleta ridhaa ya Mwenyezi Mungu na humkasirisha Shetani

    Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli:

    DiniKuwasamehe wengine ni sababu ya kuleta ridhaa ya Mwenyezi Mungu na humkasirisha Shetani

    Hawza/ Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli, akizungumza kwa kuzingatia riwaya kutoka kwa Imam Ali (as), amesema: Muumini hajawahi kumridhisha Mola wake kwa kitu kama kuvumilia, wala hajamkasirisha…

    2025-06-13 14:41
  • Je, Ushia ulikuwepo kabla ya Amirul-Mu’minin (as) au baada yake?

    DiniJe, Ushia ulikuwepo kabla ya Amirul-Mu’minin (as) au baada yake?

    Hawza/ Kwa mujibu wa maandiko, Ushia kama mfumo wa kielimu na kifikra uliwekewa msingi sambamba na kushuka kwa Qur'ani Tukufu na kwa kupitia Mtume wa Uislamu (saw) mwenyewe. Cha kuvutia ni kwamba,…

    2025-06-12 10:25
  • Baadhi ya Sifa za Kurejea Duniani (raj'a)

    Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 26

    DiniBaadhi ya Sifa za Kurejea Duniani (raj'a)

    Hawza/ Kwa waumini wote na wanaosubiri kwa dhati kudhihiri kwa Imam Mahdi (as), ambao wamefariki kabla ya kudhihiri kwake, kuna uwezekano wa kurudi duniani na kumsaidia Imam huyo.

    2025-06-10 22:02
  • Kurejeshwa kwa Wafu (raj'a) kwa mujibu wa Qur’ani na Riwaya

    Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 25

    DiniKurejeshwa kwa Wafu (raj'a) kwa mujibu wa Qur’ani na Riwaya

    Hawza/ Kwa mujibu wa aya za Qur'ani na riwaya za Ahlulbayt as, kundi la watu waliokufa watarudi duniani katika zama za kudhihiri Imam Mahdi (as).

    2025-06-08 21:39
  • Swala na Funga kwa wanafunzi wa hawza na vyuo vikuu katika miji ya masomo

    Hukumu za Kisheria:

    DiniSwala na Funga kwa wanafunzi wa hawza na vyuo vikuu katika miji ya masomo

    Hawza/ Ayatollah Khamenei amejibu swali la kifiqhi kuhusu “swala na funga kwa wanafunzi wa hawza na vyuo vikuu katika miji wanayosomea.”

    2025-06-08 21:28
  • Raj‘a: Moja ya Imani Thabiti za Kishia

    Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 24

    DiniRaj‘a: Moja ya Imani Thabiti za Kishia

    Hawza/ Ingawa mahali halisi pa malipo na adhabu za wanadamu ni ulimwengu wa Akhera, lakini Mwenyezi Mungu ameazimia kutekeleza sehemu ya malipo na adhabu hizo hapa hapa duniani.

    2025-06-05 17:25
  • Daima kuwa mtu huru

    Hadithi ya leo:

    DiniDaima kuwa mtu huru

    Usiwe mtumwa wa mwingine, ilihali Mwenyezi Mungu amekuumba ukiwa huru.

    2025-06-04 18:12
  • Kukubalika na umma Imam Mahdi (a.s.) pamoja na Serikali yake

    Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 23

    DiniKukubalika na umma Imam Mahdi (a.s.) pamoja na Serikali yake

    Hawza/ Miongoni mwa sifa za msingi za serikali ya Imam Mahdi (a.s.) ni kuwa serikali hiyo itakubalika na watu wote na jamii zote za kibinadamu. Si tu watu wote wa ardhini, bali hata wakaazi wa…

    2025-06-03 18:08
  • Jibu la kipekee la Imam Baaqir (as) kutokana na dharau alizo onesha Mkristo Mmoja

    DiniJibu la kipekee la Imam Baaqir (as) kutokana na dharau alizo onesha Mkristo Mmoja

    Hawza/ Riwaya isiyosahaulika kuhusiana na subira na ukubwa wa moyo wa Imam Muhammad Baaqir (as), ilimgusa mno mwanamume mmoja Mkristo aliyesema kwa dhihaka na matusi kiasi cha kwamba baada ya…

    2025-06-03 18:00
  • Kuwa katika orodha ya waja wema kabisa wa Mwenyezi Mungu

    Hadithi ya leo:

    DiniKuwa katika orodha ya waja wema kabisa wa Mwenyezi Mungu

    Ni wale ambao wanapofanya jema hufurahi, watendapo (jambo) baya huomba maghufira, wakipewa kitu hushukuru, na wakifikwa na majaribu (mtihani) huonyesha subira na wanapokasirika husamehe.

    2025-06-03 13:07
  • Mwenendo wa Kiserikali wa Imam Mahdi (as)

    Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 22

    DiniMwenendo wa Kiserikali wa Imam Mahdi (as)

    Hawza/ Mwenendo wa Imam Mahdi (as) ni ule ule wa Mtume Muhammad (saw), na jinsi ambavyo Mtume (saw) katika zama zake alipambana na ujahili kwa kila sura yake, na akausimamisha Uislamu Safi –…

    2025-06-01 21:54
  • Kuwa hivi katika maingiliano na watu

    Hadithi ya leo:

    DiniKuwa hivi katika maingiliano na watu

    Ingilianeni na watu kwa namna ambayo mkifa wakulilieni, na mkiwa hai (na ikawa hawajakuoneni kwa muda) wawe na shauku ya kukuoneni.

    2025-05-30 13:36
  • Eneo la Utawala wa Imam Mahdi (a.s.) na Kituo chake

    Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 21

    DiniEneo la Utawala wa Imam Mahdi (a.s.) na Kituo chake

    Hawza/ Kuna riwaya nyingi zilizopokelewa ambazo kwa uwazi zinabainisha kwamba utawala wa Imam Mahdi (as) utakuwa wa kidunia.

    2025-05-29 20:39
  • Muda wa kuutawala ulimwengu Imam Mahdi (a.s)

    "Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 20

    DiniMuda wa kuutawala ulimwengu Imam Mahdi (a.s)

    Hawza/ Mfumo wa haki na uadilifu ambao Imam Mahdi (a.s) atauanzisha utakuwa ni serikali ambayo baada yake hakutakuwa na serikali nyingine yoyote. Kwa hakika, historia mpya ya maisha ya mwanadamu…

    2025-05-27 14:23
  • Kwa nini Imam Muhammad Taqi (a.s) anaitwa "Jawaad al-A’immah"?

    Kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya siku ambayo aliuwawa kishahidi kwa Imam Jawad (a.s):

    DiniKwa nini Imam Muhammad Taqi (a.s) anaitwa "Jawaad al-A’immah"?

    Hawza/ kuhusu lakabu ya "Jawaad", ikimaanisha kuwa ni “mtoaji mno” au “mkarimu sana”, inafaa kufahamu kwamba jambo hili haliko tu katika mapokezi na kauli za Kishia. Watu kadhaa miongoni mwa…

    2025-05-27 14:15
  • Ifundishe familia yako maamrisho na makatazo ya Mwenyezi Mungu

    Hadithi ya leo:

    DiniIfundishe familia yako maamrisho na makatazo ya Mwenyezi Mungu

    Katika kauli yake Mwenyezi Mungu ulotukuka utajo wake "ziokoeni nafsi zenu na familia zenu na moto" wakauliza: Vipi tutaokoa (tutazikinga) familia zetu? akasema: Mnawaamrisha (yale ayapendayo…

    2025-05-26 10:25
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • Next

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom