Alhamisi 19 Februari 2026
  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Je! Ukisahau nia ya kufunga, funga yako itakuwa sahihi?

    Hukumu za Kisheria

    DiniJe! Ukisahau nia ya kufunga, funga yako itakuwa sahihi?

    Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amejibu istifta (swali la kisheria) kuhusiana na mwenye “kusahau nia ya kufunga.”

    2026-02-19 17:24
  • Ufafanuzi wa ziada kutoka katika Ofisi ya Ayatollah al-Udhma Ja'far Subhani kuhusu hukumu ya kuendesha Pikipiki kwa wanawake

    DiniUfafanuzi wa ziada kutoka katika Ofisi ya Ayatollah al-Udhma Ja'far Subhani kuhusu hukumu ya kuendesha Pikipiki kwa wanawake

    Hawza/ Kufuatia kuchapishwa kwa istiftaa (swali la kifiqhi) kutoka kwa Mtukufu Ayatollah al-Udhma Ja‘far Subhani kuhusu uendeshaji wa baiskeli na pikipiki kwa wanawake, ofisi ya Marjaa huyo imetoa…

    2026-02-14 21:30
  • Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi atoa tahadhari kuhusiana na kulinganisha alama za kudhihiri

    DiniKiongozi Mkuu wa Mapinduzi atoa tahadhari kuhusiana na kulinganisha alama za kudhihiri

    Hawza/ Kwa masikitiko, mojawapo ya changamoto kubwa katika suala la Mahdawiyya ni kuenea ulinganisho wa alama za kudhihiri kwa mtazamo wa kijuujuu na usio na msingi wa kielimu; mtazamo wa upotofu…

    2026-02-08 19:00
  • Hukumu za kisheria | Kiwango cha kawaida cha matumizi ya mke (nafaqah)

    DiniHukumu za kisheria | Kiwango cha kawaida cha matumizi ya mke (nafaqah)

    Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amejibu istiftaa (swali la kifiqhi) kuhusu “kiasi cha matumizi ya mke na khumsi yake”.

    2026-02-07 12:00
  • Usiku wa nusu ya Sha‘ban ni “Laylatul Qadr”

    Ayatullah al-‘Udhmaa Jawadi Amoli:

    DiniUsiku wa nusu ya Sha‘ban ni “Laylatul Qadr”

    Hawza/ Mtukufu Ayatullah Jawadi Amoli wamesema: Imam al-Baqir (a.s.) amesema kuwa usiku wenye fadhila kubwa zaidi baada ya Laylatul Qadr ni usiku wa nusu ya Sha‘ban, usiku ambao Mwenyezi Mungu…

    2026-02-03 22:32
  • Magharibi na Mahdawiyya (Sehemu ya Pili)

    Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyya (62)

    DiniMagharibi na Mahdawiyya (Sehemu ya Pili)

    Hawza/ Vyombo vya habari ni miongoni mwa nyenzo zenye ushawishi mkubwa zaidi katika dunia ya leo; kwani mbali na kazi zao za moja kwa moja za kuwaathiri watu binafsi, pia vina uwezo wa kuathiri…

    2026-01-25 17:00
  • Mtukufu Abul-Fadhl al-Abbas (a.s.) na fadhila ya kufufuliwa pamoja na Malaika

    Kutokana na mnasaba wa maadhimisho ya siku ya kuzaliwa kwa Qamar Bani Hashim (a.s.):

    DiniMtukufu Abul-Fadhl al-Abbas (a.s.) na fadhila ya kufufuliwa pamoja na Malaika

    Hawza/ Fadhila ya kufufuliwa pamoja na malaika, ambayo hakuna ladha iliyo juu yake, imetajwa katika riwaya pia kwa mja mwema wa Mwenyezi Mungu, Mtukufu Abul-Fadhl al-Abbas (a.s.). Malipo ya aina…

    2026-01-25 00:31
  • Magharibi na Mahdawiya (Sehemu ya Kwanza)

    Kuielekea Jamii Bora (Jamii ya Kimaadili): Tafiti za Mahdawiya (61)

    DiniMagharibi na Mahdawiya (Sehemu ya Kwanza)

    Hawza/ Uhusiano uliopo kati ya kudhihiri kwa mwokozi na sifa kama vile kuenea kwa haki, kupinga dhuluma, na kadhalika, umesababisha wanadamu wa dini na itikadi zote daima kuwa na hamu na shauku…

    2026-01-24 15:53
  • Je, umesoma Munajat “Sha‘baniyah”? Isome!

    DiniJe, umesoma Munajat “Sha‘baniyah”? Isome!

    Hawza/ Imam Khomeini (r.a), ambaye yeye mwenyewe alikuwa mfano wa maarifa kamili ya kiroho, na aliyeitoa nafsi yake kutoka kwenye hatari za dunia, katika vipindi mbalimbali, akikutana na makundi…

    2026-01-22 07:00
  • Athari za Mikondo Potofu na Jinsi ya Kukabiliana Nayo

    Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyya (60)

    DiniAthari za Mikondo Potofu na Jinsi ya Kukabiliana Nayo

    Hawza/ Licha ya uadui mwingi unaokabili mafundisho ya dini, kuzingatiwa kwa itikadi ya Mahdawiyya kunazidi kuongezeka siku baada ya siku. Kuongezeka hamu na hisia ya haja katika nyanja za kiakili…

    2025-12-30 18:23
  • Kumsahau Mwenyezi Mungu ndio mwanzo wa mwanadamu kuanguka

    Mafunzo katika Qur'ani

    DiniKumsahau Mwenyezi Mungu ndio mwanzo wa mwanadamu kuanguka

    Hawza/ Kumsahau Mwenyezi Mungu ni mwanzo wa kuanguka kiroho kwa mwanadamu, jambo linaloishia katika kujisahau nafsi yake mwenyewe. Kwa mujibu wa Aya ya 19 ya Suratul Hashr, mwanadamu anayemsahau…

    2025-12-27 16:30
  • Wanaodai Uongo Kwamba ni Manaibu wa Imamu

    Kuielekea Jamii bora: Tafiti zaa Mahdawiyya (59)

    DiniWanaodai Uongo Kwamba ni Manaibu wa Imamu

    Hawza/ Bila shaka, kila itikadi inayokaribia zaidi ukweli na kupenya kwenye nyoyo za watu, hupelekea zaidi watu wenye tamaa kujitokeza wakitafuta manufaa machafu kupitia itikadi hiyo. Mafundisho…

    2025-12-21 10:00
  • Je! Ni Vipi Tutasalia Katika Njia ya Kuridhiwa na Mwenyezi  Mungu

    Mafunzo Katika Sahifat Sajjadia:

    DiniJe! Ni Vipi Tutasalia Katika Njia ya Kuridhiwa na Mwenyezi  Mungu

    Hawza/ Imam Zaynu al-Abidin (a.s) ndani ya Sahifa Sajadiya katika dua yenye maana ya kina, anamuomba Mungu ampe uwezo wa kuchagua njia inayomridhisha Mwenyezi Mungu, anapokutana na mitihani ya…

    2025-12-14 21:47
  • Ili Waislamu Wawe Bora, Qur'an Imetoa Sharti Hili

    Mafunzo Katika Qur'an:

    DiniIli Waislamu Wawe Bora, Qur'an Imetoa Sharti Hili

    Hawza/ Ufunguo wa heshima na ushindi kwa Waislamu upo katika imani thabiti, kusimama imara katika njia ya haki, na kushikamana na maadili ya Mwenyezi Mungu. Mwenyezi Mungu anasema katika Qur’ani…

    2025-12-13 23:30
  • Vijana na Mabinti Wawe ni Wenye Shukrani Kutokana na Jitihada Walizo Zifanya Wazazi Wao Kwao

    Ayatollah Al-Udhma Jawadi Amoli:

    DiniVijana na Mabinti Wawe ni Wenye Shukrani Kutokana na Jitihada Walizo Zifanya Wazazi Wao Kwao

    Hawza/ Hadhrat Ayatollah Jawadi Amoli aliwashauri wasichana na wavulana kuwa wenye shukrani kwa juhudi zilizofanywa na baba na mama kuwaelekea wao.

    2025-12-12 20:00
  • Kioo cha Unabii: Wakati Binti wa Mtume Alipokuwa Katika Daraja la Unabii

    DiniKioo cha Unabii: Wakati Binti wa Mtume Alipokuwa Katika Daraja la Unabii

    Hawza/ Bibi Fatima Zahra (amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake) aliishi siku sabini na tano baada ya Mtume, na katika kipindi hiki Jibril Amin alikuwa akiteremka mara kwa mara juu yake na kueleza…

    2025-12-10 23:11
  • Rafiki Mwenye Hekima kwa Mtazamo wa Ayatullah al-‘Udhma Jawadi Amoli

    DiniRafiki Mwenye Hekima kwa Mtazamo wa Ayatullah al-‘Udhma Jawadi Amoli

    Hawza/ Ayatullah al-‘Udhma Jawadi Amoli amesema: uhusiano wa kindugu kwa kiwango cha jumla si jambo baya, na ni vyema kila Mwislamu awe na uhusiano mwema na Mwislamu mwenzake; lakini inapofikia…

    2025-12-08 17:45
  • Mapinduzi kabla ya kudhihiri Imam Mahdi (a.s.)

    Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyya (58)

    DiniMapinduzi kabla ya kudhihiri Imam Mahdi (a.s.)

    Hawza/ Baadhi ya watu, wakitegemea baadhi ya riwaya, wamefikia hatua ya kudhania kwamba aina yoyote ya harakati dhidi ya watawala madhalimu kabla ya kudhihiri kwa Imam wa Zama (a.s.) ni haramu;…

    2025-12-08 11:09
  • Jinsi ya Kujiepusha na Majivuno Wakati wa Mafanikio Makubwa

    Mafunzo Katika Sahifat Sajjadia:

    DiniJinsi ya Kujiepusha na Majivuno Wakati wa Mafanikio Makubwa

    Hawza/ Wakati wa kufikia daraja za kidunia au kiakhera, hatari ya majivuno hutukabili; Imam Zaynul Abidin (a.s.) anatupa mwongozo wa kujilinda na hatari hii.

    2025-12-05 15:30
  • Je! Ni kwa Sababu Ipi Wino wa Wanazuoni Unepewa Uzito Mkubwa Kuliko Damu ya Mashahidi?

    Mafunzo Katika Nahjul Balagha:

    DiniJe! Ni kwa Sababu Ipi Wino wa Wanazuoni Unepewa Uzito Mkubwa Kuliko Damu ya Mashahidi?

    Hawza/ Amirul-Mu’minin Ali (a.s.) anaiona elimu kuwa ni urithi wenye thamani kubwa mno; na kwa hakika, urithi huu hauwezi kulinganishwa na jambo jingine lolote katika Uislamu.

    2025-12-04 13:45
  • Je, Hazrat Ummul-Banin (s.a.) alifariki kiasili au aliuawa shahidi?

    DiniJe, Hazrat Ummul-Banin (s.a.) alifariki kiasili au aliuawa shahidi?

    Hawza/ Pamoja na kwamba vyanzo vya kale vimekaa kimya kuhusiana na namna ya kufariki kwa Hazrat Ummul-Banin (s.a.), ripoti za baadaye zimewawekea watafiti simulizi mbili tofauti: kundi moja linaamini…

    2025-12-04 12:45
  • Kumswalia Mtume na Athari Zake Katika Kutimizwa Haja kwa Mtazamo wa Ayatullah Udhma Jawadi Amoli

    DiniKumswalia Mtume na Athari Zake Katika Kutimizwa Haja kwa Mtazamo wa Ayatullah Udhma Jawadi Amoli

    Hawza/ Mtukufu Ayatullah Jawadi Amoli amesema: kumswalia Mtume na thawabu zake ni miongoni mwa kheri na malipo bora na ya juu kabisa.

    2025-12-03 12:14
  • Ili Kuokoka na Majuto ya Siku ya Kiyama Tufanye Nini?

    Mafunzo Katika Qur'an:

    DiniIli Kuokoka na Majuto ya Siku ya Kiyama Tufanye Nini?

    Hawza/ Kila wakati unaopita bila kumkumbuka Mwenyezi Mungu, huacha majuto marefu; na kumbukumbu hii si kwa ulimi pekee, bali lazima ionekane na idhihirike pia katika vitendo.

    2025-12-02 14:50
  • Haya Ndiyo Matendo Yanayo Mpendeza Mwenyezi Mungu

    DiniHaya Ndiyo Matendo Yanayo Mpendeza Mwenyezi Mungu

    Hawza/ Mwenyezi Mungu kama vile ambavyo amemuumba mwanadamu, kuna matendo ambayo anapenda kuyaona yakifanywa na mja wake na yale ambayo huchukia kuyaona yakifanywa na mja wake huyo.

    2025-11-29 23:51
  • Daima Jione Kuwa ni Mwenye Mapungufu

    Mafunzo Katika Sahifa Sajjadia:

    DiniDaima Jione Kuwa ni Mwenye Mapungufu

    Hawza/ Kuona matendo mema kuwa makubwa na kuyafanya makosa na madhambi yaonekane kuwa ni madogo, kunaweza kuwa kikwazo katika njia ya ucha-Mungu wa mwanadamu; kwa hiyo, usia wa Maa’sumina (amani…

    2025-11-28 07:39
  • Tawkī‘āt za Imam Mahdi (a.s.)

    Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyya (57)

    DiniTawkī‘āt za Imam Mahdi (a.s.)

    Hawza/ Miongoni mwa njia zinazobainisha mas-ala na kuondoa shubha ni kutumia mwongozo na kunufaika na tawkī‘āt na maandiko ya mkono ambayo Imam Mahdi (a.s.) alikuwa akiyaandika kwa watu waliokuwa…

    2025-11-26 21:44
  • Utukufu wa ibada ya Bibi Zahraa (a.s) Kulingana na Mtazamo wa Ayatullah A-Udhma Javadi Amoli

    DiniUtukufu wa ibada ya Bibi Zahraa (a.s) Kulingana na Mtazamo wa Ayatullah A-Udhma Javadi Amoli

    Hawza/ Ayatullah Javadi Amoli amebainisha kuwa: Bibi Zahraa (a.s) alipokuwa akisimama kuswali alikuwa akijikita kiasi kikubwa kwenye utukufu wa Mwenyezi Mungu na kupotea kabisa katika jalali…

    2025-11-25 20:38
  • Je, kuvaa nguo nyeusi katika siku za Fatimiyya ni makruh?

    Hukumu za Kisheria:

    DiniJe, kuvaa nguo nyeusi katika siku za Fatimiyya ni makruh?

    Hawza/ Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu swali kuhusiana na hukumu ya kisheria ya kuvaa nguo nyeusi katika siku za Fatimiyya, (Siku ambazo watu wanaadhimisha kumbukizi ya kuuwawa kishahidi Bibi…

    2025-11-23 23:20
  • Jawabu kwa Shubha ya Kihistoria: Je, ni Kweli Nyumba ya Bibi Zahraa (a.s) Ilichomwa Moto?

    DiniJawabu kwa Shubha ya Kihistoria: Je, ni Kweli Nyumba ya Bibi Zahraa (a.s) Ilichomwa Moto?

    Hawza/ Katika kipindi kilichoandaliwa huku akihudhuria Hujjatul-Islam Muhammadi Shahroudi, palisisitizwa juu ya kupata maarifa ya Fatimiyyah kama ufunguo wa kufumbua fumbo la historia, na kuchambua…

    2025-11-23 23:10
  • Mzizi wa Wilaya na Unabii Unaoatikana katika Uwepo Mtukufu wa Bibi Fatima Zahraa (a.s.)

    DiniMzizi wa Wilaya na Unabii Unaoatikana katika Uwepo Mtukufu wa Bibi Fatima Zahraa (a.s.)

    Hawza/ Mzizi wa “Wilaya" wa na “Unabii” umo katika uwepo wa Bibi Fatima Zahraa (s.a). Mtume Mtukufu (s.a.w.w.) amesema: «فاطمه اُمّ أبیها» “Fatima ni mama wa baba yake”; yaani mama wa baba yake…

    2025-11-20 23:41
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • Next

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom