-
DiniHadithi ya Leo | Athari za Kujitosheleza na Mwenyezi Mungu
Hawzah/ Imam Ali (as), katika riwaya, anaeleza kuhusu athari za mwanadamu aliejitosheleza na Mwenyezi Mungu kwa kumfanya yeye kuwa tegemeo lake pekee.
-
DiniHadithi ya Leo | Ubora wa Mtume Mtukufu (saww) Juu ya Mitume Wote na Malaika
Hawzah/ Mtume Mtukufu (saww), katika riwaya anaeleza kuhusiana na nafasi yake tukufu na daraja lake la juu miongoni mwa manabii na mitume wote wa Mwenyezi Mungu.
-
DiniHadithi ya Leo | Madhara Yanayopatikana Kutokana na Kuipenda Dunia
Hawza/ Imam Musa Al-Kadhim (as), katika riwaya, anaeleza kuhusu kutotosheka mwanadamu katika kuifuata dunia, pamoja na umuhimu wa kujiepusha na kushikamana nayo kupita kiasi.
-
DiniHadithi ya Leo | Malipo Tele Kutokana na Amali Ndogo
Hawza/ Imam Jaafar Swa'diq (as) katika riwaya moja ameashiria fadhila na malipo makubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu kumuelekea mja wake ambae anafanya amali ndogo kwa ikhlasi.
-
DiniHukumu za Kisheria: Mazungumzo Kabla ya Ndoa na Faragha
Hawza/ Ayatullah Sayyid Ali Sistani amejibu swali la kisheria (istiftaa) kuhusu “mazungumzo kabla ya ndoa na faragha.”
-
DiniHadithi ya Leo | Kuwatimizia Watoto Ahadi Mnazo Waahidi
Hawzah/ Imam Musa al-Kadhim (as), katika riwaya moja, anasisitiza umuhimu wa kutimiza ahadi pamoja na kuzingatia kwa namna ya kipekee haki za watoto.
-
DiniHadithi ya Leo | Jawabu Bora Zaidi Mbele ya Mjinga
Hawza/ Amirul-Muuminina Ali (as), katika riwaya moja, anaeleza kuhusu thamani ya kunyamaza mbele ya maneno ya watu wajinga.
-
DiniHadithi ya Leo | Ubora na Thamani ya Mtoto wa Kike
Hawzah/ Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) katika hadithi moja ameeleza kuhusu nafasi yenye thamani juu ya mabinti wanao jistiri na kujihifadhi pamoja na thawabu ya kuwa nao.
-
DiniHadithi ya Leo | Kumtii Mwenyezi Mungu
Hawza/ Imam Ha'di (as) katika riwaya moja anaashiria umuhimu wa kumtii Mwenyezi Mungu na kutokujali ghadhabu za watu katika njia ya kupata ridhaa ya Mwenyezi Mungu.
-
Katika mazungumzo na mwalimu wa Hawzah ya Qom imejadiliwa:
DiniVipengele na hukumu za “Israfu” kwa mtazamo wa Qur’ani na riwaya; kuanzia kupoteza haki hadi kunyimwa uongofu
Leo, katika jamii mbalimbali, utamaduni wa matumizi bora na yenye ufanisi unaenezwa kwa kiwango kikubwa, na matumizi ya kupita kiasi katika nyanja mbalimbali yanapigwa vita. Katika dini tukufu…
-
DiniHadithi ya Leo| Je! Ni wakina nani wanaopenda kueneza aibu za watu?
Hawza/ Amirul-Muuminina, Imam Ali (as), katika riwaya amebainisha chanzo cha tabia ya kutafuta kasoro za watu na kuzieneza kwa wengine.
-
DiniHadithi ya Leo | Katazo la Kuwadharau Watu na Kuwadunisha
Hawza/ Mtume Mtukufu (saww) katika riwaya amekataza kuwadharau na kuwadunisha.
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyya (66)
DiniNafasi na hadhi ya wanawake katika kudhihiri na utawala wa Imam Mahdi (aj) – Sehemu ya mwisho
Hawza/ Historia ni kioo kinachoakisi uwepo wa wanawake ambao nafsi zao zimesafishwa kwa nuru ya imani na maarifa ya Mwenyezi Mungu; wale ambao kwa baraka ya uhusiano huo wamehesabiwa kuwa ni…
-
Darsa la Akhlaq | Kiongozi shahidi wa Mapinduzi:
DiniKukumbuka kuwa dunia inaisha humwacha mwanadamu huru kutokana na kushikamana nayo kupita kiasi
Hawza/ Kiongozi shahidi wa Mapinduzi akirejelea hadithi: «لِدْ لِلْمَوْتِ وَاجْمَعْ لِلْفَنَاءِ وَابْنِ لِلْخَرَابِ», alisisitiza kwamba; kila kitu ambacho mwanadamu hukikusanya duniani hatimaye…
-
Kuielekea kwenye jamii bora; Tafiti za Mahdawiyya (65)
DiniNafasi na mchango wa wanawake katika kudhihiri na dola ya Imam Mahdi (a.f) – Sehemu ya Pili
Hawza / Kuhusu nafasi ya mwanamke katika jamii ya Kiislamu na utekelezaji wa malengo ya Mwenyezi Mungu, Qur’ani Tukufu imeorodhesha majukumu ya jumla kama vile kumcha Mwenyezi Mungu, kuamrisha…
-
DiniUfafanuzi wa Hadithi ya Akhlaq | Subira katika mitihani, utiifu na kuacha maasi kwa mujibu wa simulizi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi
Hawza/ Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi, akirejelea hadithi: «فَإِنِ اسْتَطَعْتَ أَنْ تَعْمَلَ بِالصَّبْرِ مَعَ الْیَقِینِ فَافْعَل», alifafanua maana ya subira katika nyanja tatu: mitihani, utiifu…
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyyah (64)
DiniNafasi na wajibu wa wanawake katika kudhihiri na serikali ya Imam Mahdi (aj) – Sehemu ya kwanza
Hawza/ Wanawake pia, kama ilivyo kwa wanaume katika jamii, wanapaswa kutumia juhudi zao zote katika kutekeleza nafasi zao kwa ajili ya kufanikisha malengo ya Mwenyezi Mungu, bila mchango wao,…
-
DiniGhadir kwa mujibu wa Kauli za Imam Shahidi
Hawza/ Kwa mtazamo wa Imam na Kiongozi wetu Shahidi, Ghadir ni miongoni mwa masuala ambayo yanapita mipaka ya mtazamo wa kihistoria na huhesabiwa kuwa mojawapo ya misingi muhimu zaidi ya itikadi…
-
Tusome Qur’ani:
DiniJe, Inawezekana Kuingia Katika Ngome ya Wilaya ya Ali (as) Bila Kuielewa Qur’ani?
Hawza/ Wilaya ya Ali bin Abi Talib ina maana ya kuwa mfuasi wa Ali katika fikra na matendo yako, na kuwa na uhusiano naye madhubuti, wenye nguvu na usiovunjika, kama Hadithi isemavyo: “Wilaya…
-
DiniDarasa la Akhla'q | Watu wenye akili zaidi kwa mtazamo wa Mtume Muhammad (saww)
Hawza/ Ayatollah Sayyid Ali Khamenei katika ufafanuzi wa Hadithi kutoka kwa Mtume Mtukufu (s.a.w.w.) mwanzoni mwa darsa ya Bahthul-Kharij ya Fiqhi, aliashiria umuhimu wa kuamiliana kwa upole…
-
DiniTusome Qur’ani | Katika jamii isiyo ya Kiislamu unatamani kuwa mwema, lakini huwezi
Hawza/ Katika jamii isiyo ya Kiislamu, mwanadamu licha ya kuwa na hamu ya mwema na mwenye dini, kutokana na shinikizo la mazingira hawezi kuwa mwenye kushikamana na dini, na sababu zote humweka…
-
DiniHukumu za Kisheria | Mapato yatokanayo na michezo ya kompyuta na PlayStation
Hawza/ Ayatollah Sayyid Ali Khamenei amejibu istiftaai kuhusu “kupata mapato kutokana na michezo ya kompyuta na PlayStation”.
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyya (63)
DiniMagharibi na Mahdawiyya (Sehemu ya Mwisho)
Hawza/ Kuonesha sura ya ukatili na ya kutisha kuhusu mwokozi wa mwisho wa zama katika Uislamu mbele ya watu wa dunia ni jukumu la pamoja linaloonekana katika kazi nyingi za Kimagharibi, zikiwemo…
-
DiniTusome Qur’ani | Kwa nini baadhi ya watu hushindwa na kujisalimisha kwa adui katika nyakati za migogoro?
Hawza/ Katika nyakati za migogoro, pale ambapo mwanadamu anakosa kabisa njia na zana zote za dhahiri, huwa na njia chache mbele yake: ima kujisalimisha kwa adui, au kujisalimisha kwa mkondo wa…
-
DiniHukumu za Kisheria | Wajibu wa maamuma iwapo Imam atasoma vibaya Qur'an
Hawza/ Ayatullah Shahidi Sayyid Ali Khamenei amejibu istiftaai kuhusu “Wajibu wa maamuma iwapo Imam atasoma vibaya Qur'an”.
-
DiniMtazamo ya Ayatullah al-‘Udhma Makarim Shirazi kuhusu kwenda Hijja mwaka huu
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Makarim Shirazi alijibu swali la kifiqhi (istifta) kuhusu kufika katika Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu (Baytullah al-Haram) na safari ya Hijja kwa kuzingatia hali za…
-
DiniNeno la Walii | Tawfiki ya kushukuru: Neema kubwa katika mtazamo wa Qur’ani
Hawza/ Katika sehemu hii ya maelezo, imeashiriwa maana ya ibara ya Qur’ani «أَوْزِعْنِی» ambayo ina maana ya ilhamu na tawfiki ya kivitendo kwa ajili ya kushukuru. Kushukuru neema si tu kulipa…
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli:
DiniMwenyezi Mungu ameamrisha “jihad maalum” dhidi ya wanafiki
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Jawadi Amoli amesisitiza kuwa; Mwenyezi Mungu anakosoa vikali mwenendo wa jamii ya wanafiki na ametoa amri ya “jihad maalum” dhidi yao.
-
DiniSifa kuu za wafungaji wa kweli katika maneno ya Ali ibn Husayn Zayn al-Abidin (a.s.)
Hawza/ Imamu Sajjad (a.s.) anautambulisha mwezi wa Ramadhani kuwa ni njia ya kufikia wema na ihsani ya Mwenyezi Mungu. Mashia wa kweli hutambuliwa kwa athari za ibada zao: matumbo yaliyodhoofika…
-
Nasaha ya Imamu Khomein (r.a):
DiniNi vipi utaingia katika Mwezi wa Ramadhani ukiwa na nafsi iliyotakasika
Hawza/ Mwanadamu anapaswa kuyaona matendo yake kuwa yako mbele ya Mwenyezi Mungu, ajiepushe na kusengenya na kutuhumu, aingie katika Mwezi wa Ramadhani akiwa na moyo safi, adiriki makosa ya zamani…