-
DiniHukumu za Kisheria | Wajibu wa Kisheria katika kukabiliana na mali isiyojulikana mmiliki
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Khamenei amejibu swali la kidini kuhusu hukumu ya kisheria na namna ya kuchukua hatua katika kukabiliana na mali isiyojulikana mwenyewe (مجهولالمالك)
-
DiniMtazamo wa Mar'aji‘ taql'id Kuhusiana na Sherehe ya mwezi Tisa Rabi‘u al-Awwal na Kutoheshimu wanavyo vitukuza Ahlus-Sunna
Hawzah/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu na Maraji‘ wakubwa wa taql'id, kupitia tamko na fatwa zao, wanazingatia kwamba; kutusi matakatifu ya madhehebu ya Kiislamu, ni kitendo haramu, chenye…
-
Kuielekea Jamii Bora: Mfululizo wa Mada Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.) – 42
DiniNafasi ya Intidhari (Kusubiria Faraja) katika Utamaduni wa Kishia (Sehemu ya Kwanza)
Hawza/ Kile kinachomfanya mwanadamu awe na matumaini ya kuishi na kinachorahisisha kwake hofu na huzuni, ni intidhari (kusubiri) na matumaini ya mustakabali wenye mwanga na wa kustawisha, ambapo…
-
Jawabu kutoka kwa Ayatullah Jawadi:
DiniJe, Wilayatul-Faqiih inalingana na demokrasia na uhuru?
Hawza/ Wilayatul-Faqiih ni uongozi wenye hekima katika mipaka ya sheria ya Mwenyezi Mungu, na uhuru katika Uislamu unakuwa na maana tu ndani ya mipaka hiyo, uhalali wa faqihi unatokana na dini,…
-
Kuielekea jamii Bora: Mfululizo wa Utafiti kuhusiana na Imam Mahdi (as) – 41
DiniHuruma ya Imam wa Zama (as)
Hawza / Imam, kutokana na wingi wa huruma na mapenzi aliyo nayo kwa wafuasi wake, ana uhusiano na mawasiliano makubwa zaidi kwa wao, Na kwa sababu ya mapenzi na urafiki huu, yeye hushiriki katika…
-
“Kuielekea Jamii Bora” (mkusanyiko wa utafiti kuhusiana na Imam Mahdi (as) – 40
DiniImam ni kioo cha rehema isiyo na kikomo ya Mwenyezi Mungu
Hawza/ Imam zaman (as) ingawa yupo kwenye ghaiba, lakini ni wingu la rehema linaloendelea kunyesha daima na kulipa uhai na bashasha jangwa kavu la watu, na ni mwenye kunyimika yule ambaye hatanusa…
-
DiniHaya ndiyo makundi matano mabayo hayatapata shafa'a (Uombezi siku ya kiyama)
Hawza / Riwaya za Kiislamu hazijaihesabu shafa'a kwenye makundi matano: makafiri, washirikina, wanafiki, wakanushaji wa shafa'a, na wale wanaoibeza Swala. Imam Swadiq (a.s) kwa msisitizo alisema…
-
DiniHukmu za Kisheria | Kuungana na Imamu wa Swala ya Jamaa kupitia wanawake
Hawza / Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu istiftaa kuhusu hukmu ya kisheria ya namna ya kuungana na imamu wa swala ya jamaa kupitia wanawake
-
DiniJihadharini na wezi wa itikadi
Hawzah/ Ayatullah Ṣāfī Gulpāygānī (ra) alisisitiza kwamba hakuna mali yenye thamani kubwa kuliko “lulu ya akida (itikadi)” kwa Mwenyezi Mungu, Mtume Mtukufu (saw) na Maimamu watoharifu (as).
-
DiniIkiwa kutatokea mgongano kati ya mume/mke na wazazi, tumchague yupi?
Hawzah/ Kuanza maisha ya ndoa haina maana ya kuiacha familia; bali kunahitaji kuwepo mipaka salama, ambapo heshima ya wazazi inalindwa na utulivu wa maisha ya ndoa unadumishwa
-
DiniSomo la Akhlaq | Kwa Nini Uislamu Unalipa Umuhimu wa Pekee Swala la kuunga udugu?
Hawza/ Uislamu umetilia mkazo mkubwa juu ya sila rahm (kuunga udugu), si tu kwa maana ya kuunganisha uhusiano wa kifamilia, bali pia kwa maana ya kuyalinda mahusiano muhimu mawili ya kimaumbile…
-
DiniHukumu za Kisharia | Kumfuata Imamu wa Jamaa Asiyefahamika Katika Mikusanyiko ya Umma
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu swali la kifiqhi kuhusiana na hukumu ya kisheria ya kumfuata Imamu wa jamaa asiyefahamika katika mikusanyiko ya umma.
-
DiniDarasa la Akhl'aq kwa wanaojiona wamekamilika
Hawza/ Utulivu wa nje wa mwanadamu katika hali ya kawaida mara nyingi huficha sura halisi ya nafsi; lakini hali zisizo za kawaida hufunua yaliyo ndani ya moyo, ni kama maji yaliyotuama ambayo…
-
Kuielekea Jamii Bora: (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Iamam Maha (as)- 39)
DiniDalili za Wiyaatul-Faqih – Dalili za Nakili/Riwaya – Sehemu ya Pili)
Hawza/ Miongoni mwa riwaya ambazo fuqah'a wamezitolea dalili kwa ajili ya kuthibitisha Wilayatul-faqih, ni riwaya ambayo ameinukuhu Omari ibn Handhalah
-
DiniHukumu za Kisheria | Ndoa katika Miezi ya Muharram na Safar
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Khamenei amejibu istift'a kuhusiana na hukumu ya kisheria ya kufunga ndoa katika miezi ya Muharram na Safar.
-
DiniJe, Viongozi wa Israel Wana “Heshima ya Kibinadamu”?
Hawza/ Heshima ya mwanadamu katika Uislamu ni neema ya Mwenyezi Mungu, lakini heshima hii hubakia pale ambapo mtu ataidumisha kutokana na mienendo yake, wahalifu wanaomwaga damu ya wasio na hatia…
-
DiniKumbukumbu za Maulamaa | Swalini Swala Mwanzo wa wakati, Umaskini Wenu Utaondoshwa
Hawza/ Ayatollah Bahjat amenukuu kutoka kwa Ayatollah Sayyid Abdulhadi Shirazi kwamba baada ya kufariki baba na mlezi wa familia, jukumu la maisha lilimwangukia yeye. Katika ndoto alimwona baba…
-
Kuielekea Jamii ya Bora (Mkusanyiko wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (as) - 38
DiniHoja za wilayat Faqihi (Hoja ya Kinakili)
Hawza /Wafuasi wa Imam wa zama (as) katika kipindi cha ghaiba ya huyo mtukufu wanapaswa katika masuala yanayojitokeza kumrejea mpokezi wa hadithi, ni wazi kuwa kuelewa maneno ya Ma‘sumiin (as)…
-
Ayatollah Bahjat:
DiniEndapo Mola atapenda, watakuzinduwa!
Hawza/ Ayatollah Bahjat (ra), katika kitabu chake "Dar Mahzari-ye Bahjat", akinukuu kauli ya wengi waliopata tajiriba hii, akieleza kuwa mtu akinuia kuswali Swala ya usiku (Swalat al-Layl), hufanyiwa…
-
DiniDarasa ya Akhlaq | Katika mitihani mizito ya Mwenyezi Mungu, wadhifa wetu ni upi?
Hawza/ Mitihani ya Mungu inaendelea kuwa migumu zaidi, na kila mtu, kulingana na nafasi na uwezo wake, ana wajibu mbele ya mitihani hii; jamii haiwezi kutahiniwa moja kwa moja, watu binafsi ndio…
-
DiniSiri ya Maisha Marefu na Kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu kwa mujibu wa Kauli ya Ayatullah Haqqeshenas
Hawza/ Ayatullah Haqqeshenas (ra) alisisitiza kwamba kuwahudumia watu na kuwafanyia ihsani maskini, wahitaji na yatima, hakusababishi tu kuongezeka kwa maisha, bali pia ni sharti muhimu kwa ajili…
-
DiniKwa nini tunaghafilika sisi wenyewe?
Hawza/ Allamah Hasan Zadeh (ra) ameeleza kuwa kuitambua nafsi ndilo suala muhimu zaidi la maarifa, kwa sababu maarifa ya Mwenyezi Mungu yanategemea na kujitambua, alionya kwamba kupuuza ukubwa…
-
DiniKatika Mazungumzo na Wataalamu Kulichambuliwa: Burudani Zenye Madhara Katika Mazingira ya Mitandao / Tuitazame Kwa Uzito Hatari ya Uraibu wa Mitandao!
Hawza/ Burudani zilizopo katika mazingira ya mitandao ingawa zinaweza kuzingatiwa kama fursa, bila shaka zina madhara na athari zisizofaa ambazo matokeo yake yanaweza hata kusababisha hatari…
-
DiniJe, Uislamu umemwambia dhalimu tu: Ewe dhalimu! Usidhulumu?
Hawza/ Uislamu haumkatazi dhalimu peke yake dhidi ya dhulma, bali pia kwa kumhutubia aliyedhulumiwa, huondoa mazingira ya kukubali dhulma na humwita asimame imara na kupaza sauti dhidi ya dhulma,…
-
DiniSiri ya Uhai na Umauti wa Roho kwa Mtazamo wa Allamah Hasan Zadeh Amoli
Hawza/ Allamah Hasan Zadeh (ra), kwa kurejelea maneno ya Amirul-Mu’minin (as), analinganisha hali ya mwili na roho.
-
DiniKama Dhulma ni Njia ya Kuandaa Mazingira ya kudhihiri Imam, Basi Kwa Nini Tunapaswa Kupambana Nayo?
Hawza/ Uhusiano kati ya kuenea kwa dhulma na kudhihiri Imam Mahdi (aj) imekuwa mada ya mjadala na maswali, je! dhulma zaidi inaandaa mazingira ya kudhihiru au ni ishara ya ulazima wa maandalizi…
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amuli:
DiniElimu ya “chumba cha baridi” haimjengi mwanadamu
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Jawadi Amuli alibainisha kuwa: “Kile kilichopo leo katika baadhi ya jamii za kielimu za vyuo vikuu ni elimu iliyokufa na ya chumba cha baridi; elimu hii ya chumba cha…
-
Kuielekea Jamii Bora: Mfululizo wa Utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (as) - 37
DiniHoja za wilayat Faqihi (Hoja ya Kiakili)
Hawza/ Hoja ya wilayat faqihi inaweza kuchambuliwa kwa mtazamo wa kiakili na vilevile wa kinakini; yaani, akili inamuamrisha Muislamu kumtii faqihi katika zama za ghaiba, na vivyo hivyo riwaya…
-
DiniHukumu za Kisheria | Kupinga Matokeo ya Istikhara
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Sayyid Ali Husaini Sistani amejibu swali la istiftaa kuhusu kupinga matokeo ya istikhara na njia za kujiepusha na majuto baada ya kuifanya.
-
DiniAllama Hasan Zadeh Amoli: Maisha ya milele yapo mbele yetu; Usijisahau mwenyewe
Hawza/ Ewe kiumbe bora, usijisahaulishe; uwepo huu wa thamani kubwa ni kazi ya kipekee ya Mwenyezi Mungu, ukimsahau Mungu, utajisahau mwenyewe pia, na huo ndio mwanzo wa kuanguka, basi jihadhari,…