تیتر سه زیرسرویس
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli:
Kuwasamehe wengine ni sababu ya kuleta ridhaa ya Mwenyezi Mungu na humkasirisha Shetani
Hawza/ Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli, akizungumza kwa kuzingatia riwaya kutoka kwa Imam Ali (as), amesema: Muumini hajawahi kumridhisha Mola wake kwa kitu kama kuvumilia, wala hajamkasirisha…
-
Jibu la kipekee la Imam Baaqir (as) kutokana na dharau alizo onesha Mkristo Mmoja
Hawza/ Riwaya isiyosahaulika kuhusiana na subira na ukubwa wa moyo wa Imam Muhammad Baaqir (as), ilimgusa mno mwanamume mmoja Mkristo aliyesema kwa dhihaka na matusi kiasi cha kwamba baada ya…
-
Njia yenye Athari kwa ajili ya Kupokelewa Dua
Hawza/ Katika kitabu "Bahjat al-Du‘a", pameelezwa ushauri wenye athari kubwa kutoka kwa Ayatollah Bahjat kuhusiana na kupokelewa dua.
-
Darsa la (Akhlaq) Maadili:
Mwisho wa kufuata matamaniwa ya Nafsi ndio Mwanzo wa ubinadamu
Hawza | Mtu ambaye haoni thamani yoyote ya kidunia kwa ajili ya nafsi yake, hufikia daraja ya utukufu wa nafsi kiasi kwamba hawezi kufikiwa kirahisi. Heshima ya nafsi si kiburi wala si udhalili,…
-
Maadili ya kiislamu:
Elimu isiyo ambatana na ufikiriaji, haina faida
Kuujaza ubongo wa mtu kanuni za kisayansi, mantiki na falsafa, au elimu yoyote kutakuwa na athari ndogo sana hadi hapo kutakapokuwa na misingi ya fikra sahihi, mtazamo wazi ulimwenguni na kuitambua…
-
Je! Tutajuaje kuwa tupo katika njia sahihi?
Hawza/ Ayatollah Haairi Shirazi (rahimahu Allah) kwa kutumia mfano wa msafiri, anatukumbusha kuwa kuyaangalia yaliyopita na kujivunia matendo ambayo umesha yafanya ni alama ya kuwa mbali na lengo…
-
Wosia Maalumu wa Allama Tabatabai Kuhusiana na Mabinti (watoto wa kike)
Allama Tabatabaei (r.a), kwa heshima na mapenzi ya kipekee kwa mabinti zake, alikuwa akisisitiza juu ya utulivu, furaha, na malezi sahihi kwao, na alikuwa akiamini kuwa mwenendo huu humletea…
-
Ayatullah Bahjat:
Msighafilike mkaacha kusoma Swala ya Mtume (s.a.w.w.)
Ayatullah Bahjat anasema kwamba "kumswalia Mtume" ndiyo njia bora zaidi ya kuimarisha urafiki na upendo kwa Mwenyezi Mungu. Yeye anasisitiza kuwa, kwa moyo wa mapenzi na shauku, mtu ajishughulishe…
-
Dhikri ya Dhahabu kutoka kwa Imam Swadiq (a.s) kwa ajili ya kupambana na Changamoto Nne za Maisha
Imam Swadiq (a.s) anastaajabishwa na watu wa aina nne, kwa nini hawakimbilii kwenye dhikri nne zilizojaribiwa na zenye tiba wakati wa matatizo na na kushikika.
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amuli:
Mtu ambaye ana matatizo na jamii, basi aimarishe mafungamano kati yake na Mwenyezi Mungu
Ayatollah Jawadi Amuli amesema: Mtu ambaye ana matatizo kwenye jamii na anataka kuboresha uhusiano kati yake na watu wengine, ni lazima aimarishe na kupendezesha uhusiano wake na Mwenyezi Mungu.…
-
Ayatullah al-‘Udhma Jawadi Amuli:
Mtu akienda makaburini kisha akarejea bila ya kujifunza chochote, hiyo ni hasara
Hadhrat Ayatullah Jawadi amesema: Je! Mtu anaena makaburini kwa ajili ya kuwaombea maghfira (msamaha) wazazi wake, au kwa ajili na yeye mwenyewe kujifunza jambo fulani?
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amuli:
Kwa ajili ya kuokoka na adui hatari (Shetani), hakuna njia nyingine isipokuwa dhikri ya daima
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Jawadi Amuli amesema: "Isti‘ādha ya kweli ni hii: kwamba baada ya wasiwasi wa Shetani, roho zetu zielekee kwa Mwenyezi Mungu; kama ambavyo wakati wametangaza hatari na…
-
Chanzo cha dhambi na Mauaji Duniani
Hawza/ Katika historia ya uumbaji, husuda imekuwa ni miongoni mwa dhambi mbili kubwa: dhambi ya kwanza ni ile ya Shetani alipokataa kumsujudia Adam (a.s), na kisha dhambi ya duniani, baada ya…
-
Ayatollah al-‘Uzma Jawadi Amoli:
Siku mwanafunzi wa dini au wa sekular anaposema "Nimehitimu", hiyo ndio siku ya kuangamia kwake
Ayatollah Jawadi Amoli alisema: "Kamwe katika elimu na maarifa usiangalie watu walio chini yako, bali angalia wale walio juu yako."
-
Ayatollah Al-Udhma Jawadi Amoli:
Kama hatutakuwa na mvuto wa kiroho, maneno yetu hayataathiri jamii
Hadhrat Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli amesema: Mtoa mawaidha ni yule mtu ambae amekomaa kiroho, mahiri, maneno yake yana mvuto unaowafanya watu wavutiwe naye.
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli:
Ikiwa jamii itaishi kwa mujibu wa Qur’ani, adui hataweza kuishambulia
Hawza/ Hadhrat Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli amesisitiza kwamba Qur’ani inapaswa kuwa sehemu hai ya maisha ya Waislamu, na kusema kuwa: "Umma wa kiislamu unapaswa kuwa imara kiasi cha kwamba…
-
Wosia wa Ayatollah al-Udhma Bahjat kwa ajili ya kuutakasha moyo dhidi ya Riaa
Je, unateseka kutokana na ria na majivuno? Kuna dhikri rahisi lakini yenye nguvu inayoweza kukuokoa dhidi ya sifa hizi mbaya.
-
Wosia wa kiroho wa Ayatollah Kishmiri kabla ya kulala
Hawza; Ayatollah Kishmiri usingizi anauona ni kama vile ndugu wa mauti, na anahusia mtu achukue udhu kabla ya kulala, alale akiwa ameelekea Qibla, na asome Ayat Kursii, Tasbihi za bibi Zahra…
-
Maadili ya Kiislamu:
Hakika watu watajaribiwa
Wanadamu hawatajulikana hadi wajaribiwe. Kwa sababu ni wakati wa misiba na matatizo ndipo ukweli wa watu unadhihirika.
-
Maadili ya Kiislamu:
Ayatollah Javadi Amoli: Usitoke mahali pa swala mapema baada ya swala
Sababu iliyopelekea ikasemwa kwamba usitoke kwenye chumba cha Swala haraka / mapema baada ya Swala ni hii kwamba: Dua inajibiwa baada ya Swala ya Swala ya faradhi.