-
DiniSomo la Akhlaq | Kwa Nini Uislamu Unalipa Umuhimu wa Pekee Swala la kuunga udugu?
Hawza/ Uislamu umetilia mkazo mkubwa juu ya sila rahm (kuunga udugu), si tu kwa maana ya kuunganisha uhusiano wa kifamilia, bali pia kwa maana ya kuyalinda mahusiano muhimu mawili ya kimaumbile…
-
DiniElon Musk amebadilisha mfumo wa akili mnemba ili iswme uongo kuhusiana na Ghaza!
Hawza/ Baada ya watumiaji kubaini kuwa akili mnemba "Grok" ilipoulizwa swali: “Je, huko Ghaza kunafanyika mauaji ya kimbari?” ilijibu: “Ndiyo, Israel na Marekani wanafanya mauaji ya kimbari huko,”…
-
DiniSerikali ya Uhispania yatangaza kufutwa marufuku iliyolenga mikusanyiko ya kidini
Hawza/ Serikali ya Uhispania imemjulisha Meya wa mji wa Jumilla kuwa marufuku iliyolenga mikusanyiko ya kidini na kitamaduni kwenye viwanja vya michezo, iliyokuwa ikitekelezwa hapo awali, imeondolewa…
-
DiniDarasa la Akhl'aq kwa wanaojiona wamekamilika
Hawza/ Utulivu wa nje wa mwanadamu katika hali ya kawaida mara nyingi huficha sura halisi ya nafsi; lakini hali zisizo za kawaida hufunua yaliyo ndani ya moyo, ni kama maji yaliyotuama ambayo…
-
DiniKumbukumbu za Maulamaa | Swalini Swala Mwanzo wa wakati, Umaskini Wenu Utaondoshwa
Hawza/ Ayatollah Bahjat amenukuu kutoka kwa Ayatollah Sayyid Abdulhadi Shirazi kwamba baada ya kufariki baba na mlezi wa familia, jukumu la maisha lilimwangukia yeye. Katika ndoto alimwona baba…
-
Ayatollah Bahjat:
DiniEndapo Mola atapenda, watakuzinduwa!
Hawza/ Ayatollah Bahjat (ra), katika kitabu chake "Dar Mahzari-ye Bahjat", akinukuu kauli ya wengi waliopata tajiriba hii, akieleza kuwa mtu akinuia kuswali Swala ya usiku (Swalat al-Layl), hufanyiwa…
-
DiniDarasa ya Akhlaq | Katika mitihani mizito ya Mwenyezi Mungu, wadhifa wetu ni upi?
Hawza/ Mitihani ya Mungu inaendelea kuwa migumu zaidi, na kila mtu, kulingana na nafasi na uwezo wake, ana wajibu mbele ya mitihani hii; jamii haiwezi kutahiniwa moja kwa moja, watu binafsi ndio…
-
DiniSiri ya Maisha Marefu na Kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu kwa mujibu wa Kauli ya Ayatullah Haqqeshenas
Hawza/ Ayatullah Haqqeshenas (ra) alisisitiza kwamba kuwahudumia watu na kuwafanyia ihsani maskini, wahitaji na yatima, hakusababishi tu kuongezeka kwa maisha, bali pia ni sharti muhimu kwa ajili…
-
DiniKwa nini tunaghafilika sisi wenyewe?
Hawza/ Allamah Hasan Zadeh (ra) ameeleza kuwa kuitambua nafsi ndilo suala muhimu zaidi la maarifa, kwa sababu maarifa ya Mwenyezi Mungu yanategemea na kujitambua, alionya kwamba kupuuza ukubwa…
-
DiniSiri ya Uhai na Umauti wa Roho kwa Mtazamo wa Allamah Hasan Zadeh Amoli
Hawza/ Allamah Hasan Zadeh (ra), kwa kurejelea maneno ya Amirul-Mu’minin (as), analinganisha hali ya mwili na roho.
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amuli:
DiniElimu ya “chumba cha baridi” haimjengi mwanadamu
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Jawadi Amuli alibainisha kuwa: “Kile kilichopo leo katika baadhi ya jamii za kielimu za vyuo vikuu ni elimu iliyokufa na ya chumba cha baridi; elimu hii ya chumba cha…
-
DiniAllama Hasan Zadeh Amoli: Maisha ya milele yapo mbele yetu; Usijisahau mwenyewe
Hawza/ Ewe kiumbe bora, usijisahaulishe; uwepo huu wa thamani kubwa ni kazi ya kipekee ya Mwenyezi Mungu, ukimsahau Mungu, utajisahau mwenyewe pia, na huo ndio mwanzo wa kuanguka, basi jihadhari,…
-
DiniMapumziko na matembezi kwa mtazamo wa Imam Khomeini (ra)
Hawza/ Ayatollah Mirza Jawad Agha Tahrani (ra), mmoja wa mauraf'a na miongoni mwa mafaqihi wa Kishia, katika kisa kimoja cha kipindi chake cha masomo katika Hawza ya kielimu ya Qom, alisimulia…
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli:
DiniKuwasamehe wengine ni sababu ya kuleta ridhaa ya Mwenyezi Mungu na humkasirisha Shetani
Hawza/ Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli, akizungumza kwa kuzingatia riwaya kutoka kwa Imam Ali (as), amesema: Muumini hajawahi kumridhisha Mola wake kwa kitu kama kuvumilia, wala hajamkasirisha…
-
DiniJibu la kipekee la Imam Baaqir (as) kutokana na dharau alizo onesha Mkristo Mmoja
Hawza/ Riwaya isiyosahaulika kuhusiana na subira na ukubwa wa moyo wa Imam Muhammad Baaqir (as), ilimgusa mno mwanamume mmoja Mkristo aliyesema kwa dhihaka na matusi kiasi cha kwamba baada ya…
-
DiniNjia yenye Athari kwa ajili ya Kupokelewa Dua
Hawza/ Katika kitabu "Bahjat al-Du‘a", pameelezwa ushauri wenye athari kubwa kutoka kwa Ayatollah Bahjat kuhusiana na kupokelewa dua.
-
Darsa la (Akhlaq) Maadili:
DiniMwisho wa kufuata matamaniwa ya Nafsi ndio Mwanzo wa ubinadamu
Hawza | Mtu ambaye haoni thamani yoyote ya kidunia kwa ajili ya nafsi yake, hufikia daraja ya utukufu wa nafsi kiasi kwamba hawezi kufikiwa kirahisi. Heshima ya nafsi si kiburi wala si udhalili,…
-
Maadili ya kiislamu:
DiniElimu isiyo ambatana na ufikiriaji, haina faida
Kuujaza ubongo wa mtu kanuni za kisayansi, mantiki na falsafa, au elimu yoyote kutakuwa na athari ndogo sana hadi hapo kutakapokuwa na misingi ya fikra sahihi, mtazamo wazi ulimwenguni na kuitambua…
-
DiniJe! Tutajuaje kuwa tupo katika njia sahihi?
Hawza/ Ayatollah Haairi Shirazi (rahimahu Allah) kwa kutumia mfano wa msafiri, anatukumbusha kuwa kuyaangalia yaliyopita na kujivunia matendo ambayo umesha yafanya ni alama ya kuwa mbali na lengo…
-
DiniWosia Maalumu wa Allama Tabatabai Kuhusiana na Mabinti (watoto wa kike)
Allama Tabatabaei (r.a), kwa heshima na mapenzi ya kipekee kwa mabinti zake, alikuwa akisisitiza juu ya utulivu, furaha, na malezi sahihi kwao, na alikuwa akiamini kuwa mwenendo huu humletea…
-
Ayatullah Bahjat:
DiniMsighafilike mkaacha kusoma Swala ya Mtume (s.a.w.w.)
Ayatullah Bahjat anasema kwamba "kumswalia Mtume" ndiyo njia bora zaidi ya kuimarisha urafiki na upendo kwa Mwenyezi Mungu. Yeye anasisitiza kuwa, kwa moyo wa mapenzi na shauku, mtu ajishughulishe…
-
DiniDhikri ya Dhahabu kutoka kwa Imam Swadiq (a.s) kwa ajili ya kupambana na Changamoto Nne za Maisha
Imam Swadiq (a.s) anastaajabishwa na watu wa aina nne, kwa nini hawakimbilii kwenye dhikri nne zilizojaribiwa na zenye tiba wakati wa matatizo na na kushikika.
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amuli:
DiniMtu ambaye ana matatizo na jamii, basi aimarishe mafungamano kati yake na Mwenyezi Mungu
Ayatollah Jawadi Amuli amesema: Mtu ambaye ana matatizo kwenye jamii na anataka kuboresha uhusiano kati yake na watu wengine, ni lazima aimarishe na kupendezesha uhusiano wake na Mwenyezi Mungu.…
-
Ayatullah al-‘Udhma Jawadi Amuli:
DiniMtu akienda makaburini kisha akarejea bila ya kujifunza chochote, hiyo ni hasara
Hadhrat Ayatullah Jawadi amesema: Je! Mtu anaena makaburini kwa ajili ya kuwaombea maghfira (msamaha) wazazi wake, au kwa ajili na yeye mwenyewe kujifunza jambo fulani?
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amuli:
DiniKwa ajili ya kuokoka na adui hatari (Shetani), hakuna njia nyingine isipokuwa dhikri ya daima
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Jawadi Amuli amesema: "Isti‘ādha ya kweli ni hii: kwamba baada ya wasiwasi wa Shetani, roho zetu zielekee kwa Mwenyezi Mungu; kama ambavyo wakati wametangaza hatari na…
-
DiniChanzo cha dhambi na Mauaji Duniani
Hawza/ Katika historia ya uumbaji, husuda imekuwa ni miongoni mwa dhambi mbili kubwa: dhambi ya kwanza ni ile ya Shetani alipokataa kumsujudia Adam (a.s), na kisha dhambi ya duniani, baada ya…
-
Ayatollah al-‘Uzma Jawadi Amoli:
DiniSiku mwanafunzi wa dini au wa sekular anaposema "Nimehitimu", hiyo ndio siku ya kuangamia kwake
Ayatollah Jawadi Amoli alisema: "Kamwe katika elimu na maarifa usiangalie watu walio chini yako, bali angalia wale walio juu yako."
-
Ayatollah Al-Udhma Jawadi Amoli:
DiniKama hatutakuwa na mvuto wa kiroho, maneno yetu hayataathiri jamii
Hadhrat Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli amesema: Mtoa mawaidha ni yule mtu ambae amekomaa kiroho, mahiri, maneno yake yana mvuto unaowafanya watu wavutiwe naye.
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli:
DiniIkiwa jamii itaishi kwa mujibu wa Qur’ani, adui hataweza kuishambulia
Hawza/ Hadhrat Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli amesisitiza kwamba Qur’ani inapaswa kuwa sehemu hai ya maisha ya Waislamu, na kusema kuwa: "Umma wa kiislamu unapaswa kuwa imara kiasi cha kwamba…
-
DiniWosia wa Ayatollah al-Udhma Bahjat kwa ajili ya kuutakasha moyo dhidi ya Riaa
Je, unateseka kutokana na ria na majivuno? Kuna dhikri rahisi lakini yenye nguvu inayoweza kukuokoa dhidi ya sifa hizi mbaya.