تیتر سه زیرسرویس
-
Hadithi ya Leo | Athari za Kujitosheleza na Mwenyezi Mungu
Hawzah/ Imam Ali (as), katika riwaya, anaeleza kuhusu athari za mwanadamu aliejitosheleza na Mwenyezi Mungu kwa kumfanya yeye kuwa tegemeo lake pekee.
-
Hadithi ya Leo | Ubora wa Mtume Mtukufu (saww) Juu ya Mitume Wote na Malaika
Hawzah/ Mtume Mtukufu (saww), katika riwaya anaeleza kuhusiana na nafasi yake tukufu na daraja lake la juu miongoni mwa manabii na mitume wote wa Mwenyezi Mungu.
-
Hadithi ya Leo | Madhara Yanayopatikana Kutokana na Kuipenda Dunia
Hawza/ Imam Musa Al-Kadhim (as), katika riwaya, anaeleza kuhusu kutotosheka mwanadamu katika kuifuata dunia, pamoja na umuhimu wa kujiepusha na kushikamana nayo kupita kiasi.
-
Hadithi ya Leo | Malipo Tele Kutokana na Amali Ndogo
Hawza/ Imam Jaafar Swa'diq (as) katika riwaya moja ameashiria fadhila na malipo makubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu kumuelekea mja wake ambae anafanya amali ndogo kwa ikhlasi.
-
Hadithi ya Leo | Kuwatimizia Watoto Ahadi Mnazo Waahidi
Hawzah/ Imam Musa al-Kadhim (as), katika riwaya moja, anasisitiza umuhimu wa kutimiza ahadi pamoja na kuzingatia kwa namna ya kipekee haki za watoto.
-
Hadithi ya Leo | Jawabu Bora Zaidi Mbele ya Mjinga
Hawza/ Amirul-Muuminina Ali (as), katika riwaya moja, anaeleza kuhusu thamani ya kunyamaza mbele ya maneno ya watu wajinga.
-
Hadithi ya Leo | Ubora na Thamani ya Mtoto wa Kike
Hawzah/ Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) katika hadithi moja ameeleza kuhusu nafasi yenye thamani juu ya mabinti wanao jistiri na kujihifadhi pamoja na thawabu ya kuwa nao.
-
Hadithi ya Leo | Kumtii Mwenyezi Mungu
Hawza/ Imam Ha'di (as) katika riwaya moja anaashiria umuhimu wa kumtii Mwenyezi Mungu na kutokujali ghadhabu za watu katika njia ya kupata ridhaa ya Mwenyezi Mungu.
-
Hadithi ya Leo| Je! Ni wakina nani wanaopenda kueneza aibu za watu?
Hawza/ Amirul-Muuminina, Imam Ali (as), katika riwaya amebainisha chanzo cha tabia ya kutafuta kasoro za watu na kuzieneza kwa wengine.
-
Hadithi ya Leo | Katazo la Kuwadharau Watu na Kuwadunisha
Hawza/ Mtume Mtukufu (saww) katika riwaya amekataza kuwadharau na kuwadunisha.
-
Haya Ndiyo Matendo Yanayo Mpendeza Mwenyezi Mungu
Hawza/ Mwenyezi Mungu kama vile ambavyo amemuumba mwanadamu, kuna matendo ambayo anapenda kuyaona yakifanywa na mja wake na yale ambayo huchukia kuyaona yakifanywa na mja wake huyo.
-
Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Imam Kadhim (a.s):
Imamu Kadhim (a.s): Kuwa jirani mzuri
Kuwa jirani mzuri hakuna maana ya kutomuudhi jirani, bali ujirani mwema (mzuri) ni subira yako kwa maudhi ya jirani.
-
Hadithi ya leo:
Daima kuwa mtu huru
Usiwe mtumwa wa mwingine, ilihali Mwenyezi Mungu amekuumba ukiwa huru.
-
Hadithi ya leo:
Kuwa katika orodha ya waja wema kabisa wa Mwenyezi Mungu
Ni wale ambao wanapofanya jema hufurahi, watendapo (jambo) baya huomba maghufira, wakipewa kitu hushukuru, na wakifikwa na majaribu (mtihani) huonyesha subira na wanapokasirika husamehe.
-
Hadithi ya leo:
Kuwa hivi katika maingiliano na watu
Ingilianeni na watu kwa namna ambayo mkifa wakulilieni, na mkiwa hai (na ikawa hawajakuoneni kwa muda) wawe na shauku ya kukuoneni.
-
Hadithi ya leo:
Ifundishe familia yako maamrisho na makatazo ya Mwenyezi Mungu
Katika kauli yake Mwenyezi Mungu ulotukuka utajo wake "ziokoeni nafsi zenu na familia zenu na moto" wakauliza: Vipi tutaokoa (tutazikinga) familia zetu? akasema: Mnawaamrisha (yale ayapendayo…
-
Hadithi ya leo:
Acha matamanio ambayo yanakusababishia udhalili
Ni ubaya na uchafu ulioje kwa Muumini kufuata matamanio ambayo yanamsababishia udhalili.
-
Hadithi ya leo:
Jipambe kwa tabia njema
Tabia njema ni; Kumsamehe aliyekudhulumu, kuunga udugu aliyekukatia (udugu), kumpa aliyekunyima na kusema haki hata kama ni kwa madhara yako.
-
Hadithi ya leo:
Kuwa mwenye kutafuta riziki ya halali
Usiache kutafuta riziki kwa njia ya halali; kwani ni auni (msaada) kwa ajili yako katika dini.
-
Hadithi ya leo:
Usichokipenda (kufanyiwa) wewe, usipende pia wafanyiwe wengine
Muadilifu zaidi miongoni mwa watu ni mwenye kuwapendelea watu yale anayoyapenda kwa ajili ya nafsi yake, na mwenye kuchukia (yasiwafike) watu yale anayochukia kwa ajili ya nafsi yake.