Jumatatu 26 Mei 2025 - 10:25
Ifundishe familia yako maamrisho na makatazo ya Mwenyezi Mungu

Katika kauli yake Mwenyezi Mungu alotukuka utajo wake "Jiokoeni nafsi zenu na familia zenu na moto" wakauliza: Vipi tutaokoa (tutazikinga) familia zetu? akasema: Mnawaamrisha (yale ayapendayo Mwenyezi Mungu) na kuwakataza (ayachukiayo Mwenyezi Mungu).

Shirika la Habari la Hawza - Imamu Swadiq (a.s) amesema:

فِي قَوْلِ اللَّهِ عَزَّ وَ جَلَّ "قُوا أَنْفُسَكُمْ وَ أَهْلِيكُمْ ناراً " كَيْفَ نَقِي أَهْلَنَا قَالَ تَأْمُرُونَهُمْ {بِما يُحِبُّ اللّه} وَ تَنْهَوْنَهُم {عَمّا يَكرَهُ اللّه}.

 Katika kauli yake Mwenyezi Mungu alotukuka utajo wake "Jiokoeni nafsi zenu na familia zenu na moto" wakauliza: Vipi tutaokoa (tutazikinga) familia zetu? akasema: Mnawaamrisha (yale ayapendayo Mwenyezi Mungu) na kuwakataza (ayachukiayo Mwenyezi Mungu).

Al-Kafi, Jz 5, uk 62

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha