shirika la habari (1459)
-
DiniHukumu za kisheria | Kiwango cha kawaida cha matumizi ya mke (nafaqah)
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amejibu istiftaa (swali la kifiqhi) kuhusu “kiasi cha matumizi ya mke na khumsi yake”.
-
Ayatullah A‘rafi katika mkutano na Rais wa Chuo Kikuu cha Walimu:
HawzaMifumo na mbinu za sasa za malezi na utamaduni hazijitoshelezi kukabiliana na changamoto na hali za kizazi kipya
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza nchini Iran, alikitaja Chuo Kikuu cha Walimu kuwa moja ya taasisi muhimu zaidi za kimkakati za nchi katika nyanja ya utamaduni, elimu na malezi, na akasisitiza umuhimu…
-
DuniaMwanafikra mashuhuri wa Indonesia: Jamhuri ya Kiislamu bado ina nguvu
Hawza/ Mwanafikra wa Kiislamu na mchambuzi wa masuala ya Mashariki ya Kati, Profesa Abdullah Baaboud, anaamini kuwa; Iran katika mazingira ya kuongezeka kwa mvutano na Marekani pamoja na washirika…
-
Baraza la Mashia nchini India:
DuniaMapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni matumaini na uimara kwa wanyonge duniani
Hawza/ Baraza la Mashia nchini India, katika ujumbe wake limesisitiza kuwa; Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran si tu alama ya uhuru na kujitawala kwa taifa la Iran, bali pia ni mjumbe wa matumaini,…
-
Ayatullah Hosseini Bushehri katika Swala ya Ijumaa ya Qum Iran:
DuniaMapinduzi ya Kiislamu Iran, yameondoa udhalili kwa watu wa Iran/ Adui ameekeza katika vita vya kisaikolojia na uzushi
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum amesema: Mapinduzi ya Kiislamu yameondoa udhalili kwa watu wa Iran na kuweka badala yake heshima na kumtegemea Mwenyezi Mungu.
-
DuniaOperesheni ya Kuanguka Tehran! Filamu ya uhuishaji ya Kijapani (Anime) kuhusu matukio ya hivi karibuni nchini Iran
Hawza/ Siku hizi watu wengi katika sehemu mbalimbali duniani wanataka kujua kilichotokea nchini Iran katika siku za hivi karibuni. Kwa kuenezwa filamu hii ya uhuishaji, muhtasari wa yaliyotokea…
-
Mjukuu wa Imam Khomeini (r.a) katika mahojiano na Al-Mayadeen:
DuniaIsraeli inalenga tu kuivunja Iran/ Leo mtu maarufu zaidi Iran ni Ayatullah Khamenei
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Ali Khomeini, katika mahojiano na mtandao wa habari wa Al-Mayadeen, pamoja na kusifu shakhsia ya Kiongozi wa Mapinduzi, alisema kuwa Israeli inalenga…
-
DuniaBaraza la Wanazuoni wa Kishia nchini India, latangaza tamko la kumuunga mkono Ayatullah Khamenei
Hawz/ Baraza la Wanazuoni wa Kishia India, limetoa tamko rasmi kulaani vikali vitisho vya hivi karibuni vya Donald Trump dhidi ya Ayatullah Sayyid Ali Husayni Khamenei (Mola amlinde), kiongozi…
-
DuniaKutunukiwa kwa Tuzo ya Benki ya Kiislamu ya mwaka 2026 kwa mwanazuoni wa Kishia
Hawza/ Kwa kuthamini miaka mingi ya huduma zenye athari katika maendeleo ya benki na fedha za Kiislamu, Tuzo ya Benki ya Kiislamu ya mwaka 2026 imetolewa kwa Hujjatul-Islam wal-Muslimin Shabbir…
-
Mjumbe wa Kundi la Muqawama:
DuniaNguvu ya muqawama hutokana na nguvu ya watu, na si jambo la kufanyiwa majaribio au kujadiliwa
Hawza/ Hassan Fadlullah amesisitiza kuwa; nguvu ya muqawama nchini Lebanon hutokana na nguvu ya watu wetu. Sote tulisikia sauti ya kitaifa na ya muqawama iliyopazwa na wananchi wa Kusini.
-
DuniaHizbullah yafanya hafla ya kumbukumbu ya baba yake shahidi Sayyid Hassan Nasrallah huko Dhahiya Kusini
Hawza/ Kutokana na mnasaba wa kufariki dunia Sayyid Abdulkarim Nasrallah, baba yake shahidi Sayyid Hassan Nasrallah, Hizbullah imefanya hafla ya kumbukumbu katika Majma‘ Imam Mujtaba (amani iwe…
-
DuniaUzinduzi wa mradi mkubwa zaidi wa kielimu kuhusu Nahju al-Balagha
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Abdulmahdi Karbalai amesisitiza kwamba; Nahju al-Balagha si kitabu cha fasaha na balagha pekee, bali ni ensaiklopidia pana ya maarifa ya Kiislamu na…
-
Ayatullah Kaabi:
DuniaMapinduzi ya Kiislamu ni Kuzaliwa upya Ustaarabu wa Kimataifa wa Mahdawiya/ Naibu wa Imam wa Zama (a.j) ndie Nahodha wa Mapinduzi
Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qum amesisitiza kuwa; Mapinduzi ya Kiislamu yaliundwa juu ya misingi ya Ghadir, Ashura na Subira ya Kungoja (Intidhār), na kwa msingi…
-
DuniaKatibu Mkuu wa Hizbullah Lebanon Atangazwa kuwa “Msaidizi wa Mahdi wa Mwaka”
Hawza/ Sheikh Naim Qassem, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, ametangazwa rasmi kuwa “Msaidizi wa Mahdi wa Mwaka wa Haram Tukufu ya Msikiti wa Jamkaran.”
-
Ayatullah al-Udhma Jawadi Amoli:
DuniaIdd ya Nusu ya Shaaban ni “mahali pa ibada”/ Tuijue kwa kina zaidi hadhi ya Imam
Hawza/ Ayatullah al-Udhma Jawadi Amoli amesisitiza kuwa; matukio kama vile maadhimisho ya kuzaliwa kwa Heri Hadhrat Walii wa Zama (a.j) yanapaswa kuadhimishwa ipasavyo. Alieleza kuwa ni lazima…
-
DuniaSheikh Mkuu wa TIC Ashiriki Upandishaji wa Bendera ya Imam Mahdi (a.s) Bilal Comprehensive School
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemedi Jalala, ameshiriki katika zoezi la upandishaji wa Bendera ya Imam Mahdi (a.s), lililofanyika katika Shule ya Bilal…
-
DuniaWaandamanaji wa Kijerumani wametaka mateka waliopo katika magereza ya Israel waachiliwe huru
Hawza/ jiji la Berlin, mji mkuu wa Ujerumani, lilishuhudia maandamano ya mamia ya watu waliopinga ukiukwaji unaoendelea wa usitishaji mapigano na utawala wa Kizayuni. Waandamanaji hao pia walitaka…
-
DuniaOnyo kuhusu ongezeko la vurugu zisizo na kifani za Israel katika vita vya kimya kimya vinavyo endelea Ukingo wa Magharibi
Hawza/ Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetoa onyo kwamba Ukingo wa Magharibi unashuhudia “vita vya kimya kimya” na kiwango cha vurugu ambacho hakijawahi…
-
DuniaAthari za Kieneo za Vita vya Marekani dhidi ya Iran; kuanzia kufungwa kwa Mlango wa Hormuz hadi Yemen kuwa karata ya ushindi mikononi mwa Jihadi ya Muqawama
Hawza/ Mwandishi wa Kilebanoni ameandika katika tahariri kwamba, endapo vita kati ya Marekani na Iran vitatokea, kwa mtazamo wa kikanda moto wa vita utaenea kwa kasi; Ghuba ya Uajemi itawekwa…
-
DuniaHizbullah katika eneo la Biqaa yatoa shukrani kwa Balozi wa Iran
Hawza/ Hizbullah katika eneo la Biqaa ilimuenzi Mojtaba Amani, Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Lebanon, kwa mnasaba wa kumalizika kwa jukumu lake katika nchi hiyo, katika hafla iliyofanyi…
-
DuniaUandishi wa Qur’ani Tukufu kwa hati ya kisanaa wakamilika baada ya miaka 6
Hawza/ Ali Zaman, msanii mashuhuri na mtaalamu wa khati (calligraphy) kutoka Iraq, amekamilisha uandishi wa Qur’ani Tukufu kwa mwandiko wa kisanaa (kaligrafia) baada ya miaka sita ya juhudi endelevu.
-
Ayatullah A‘rafi mbele ya walimu wa taaluma ya tablighi (da‘wa):
HawzaFani za kielimu Hawza zimeongezeka kutoka 10–15 hadi zaidi ya fani 100 za utekelezaji/ Kubuni ramani ya njia (roadmap) na hati 100 za kimkakati za Hawza
Hawza/ Ayatullah A‘rafi alirejelea uandaaji wa “hati mia (100) za kimkakati za Hawza za kielimu” kama mojawapo ya programu za msingi, na akasema: miaka miwili iliyopita huko Mashhad Iran, katika…
-
Tamko la pamoja la wafuasi wa dini mbalimbali na watu huru duniani kumhusu Kiongozi wa Mapinduzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran:
DuniaMaaskofu, mapadre na wanafikiria huru wa kimataifa: ujasiri na mtazamo wa kistaarabu wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran vinastahili heshima
Hawza/ Kundi la wafuasi wa dini mbalimbali na watu huru duniani, katika tamko lao, limetangaza kumuunga mkono Kiongizi Mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Ayatullah al-‘Udhmaa Jawadi Amoli:
DiniUsiku wa nusu ya Sha‘ban ni “Laylatul Qadr”
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Jawadi Amoli wamesema: Imam al-Baqir (a.s.) amesema kuwa usiku wenye fadhila kubwa zaidi baada ya Laylatul Qadr ni usiku wa nusu ya Sha‘ban, usiku ambao Mwenyezi Mungu…
-
DuniaMsimamo thabiti wa wahamiaji wa Afghanistan sambamba na Iran na Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu dhidi ya vitisho vya Marekani na utawala wa Kizayuni
Hawza/ Jamii ya wahamiaji wa Afghanistan wanaoishi katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kupitia tamko rasmi, sambamba na kulaani vikali vitendo na vitisho vya Marekani na utawala muovu wa Kizayuni…
-
HawzaKwa unyenyekevu tumwombe Mwenyezi Mungu atujalie taufiki ya kuuthamini na kuutumia vyema Mwezi wa Sha‘ban
Hawza/ Mwezi huu ni fursa ya kipekee ya kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu, na kughafilika ndani ya mwezi huu husababisha majuto makubwa. Katika Dua za Sha‘ban (Mun'ajat Sha‘baniyya) pia zimeashiriwa…
-
DuniaMpango unaojirudia wa Israel kwa kuishambulia Palestina
Hawza/ Msemaji wa harakati ya Hamas, huku akikanusha madai ya utawala wa Kizayuni kuhusu kukiukwa kwa makubaliano ya kusitisha mapigano na harakati hiyo, alisisitiza kuwa madai hayo ni ya uongo…
-
DuniaMjumbe wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon: Shambulio lolote dhidi ya Iran ni kuvuka mipaka myekundu
Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh Hussein Ghabris, katika ujumbe wake uliolenga kudhihirisha mshikamano na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, alisema: Amani iwe juu yenu, enyi taifa la Kiislamu la Iran,…
-
Ayatullah udhm'a Makarem Shirazi:
DuniaFikra ya Mahdawiyya na imani juu ya Uimamu ndiyo sifa kuu ya Ushia
Hawza/ Mtukufu Ayatullah udhm'a Makarem Shirazi amesisitiza kuwa: fikra ya Mahdawiyya na umuhimu wa haja ya kuwepo Mwokozi, ni mwendelezo wa nafasi ya Uimamu na ulazima wa kuwepo kwake katika…
-
DuniaWaingereza walijitokeza mitaani kupinga ukiukaji wa sitisho la mapigano unaofanywa na Israel
Hawza/ Maandamano makubwa yalifanyika jijini London kupinga uuzaji wa silaha unofanywa na utawala wa Uingereza kwa Israel, na pia kupinga ukiukaji usio wa kibinadamu wa sitisho la mapigano unaofanywa…