shirika la habari (1443)
-
DuniaWaandamanaji wa Kijerumani wametaka mateka waliopo katika magereza ya Israel waachiliwe huru
Hawza/ jiji la Berlin, mji mkuu wa Ujerumani, lilishuhudia maandamano ya mamia ya watu waliopinga ukiukwaji unaoendelea wa usitishaji mapigano na utawala wa Kizayuni. Waandamanaji hao pia walitaka…
-
DuniaOnyo kuhusu ongezeko la vurugu zisizo na kifani za Israel katika vita vya kimya kimya vinavyo endelea Ukingo wa Magharibi
Hawza/ Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetoa onyo kwamba Ukingo wa Magharibi unashuhudia “vita vya kimya kimya” na kiwango cha vurugu ambacho hakijawahi…
-
DuniaAthari za Kieneo za Vita vya Marekani dhidi ya Iran; kuanzia kufungwa kwa Mlango wa Hormuz hadi Yemen kuwa karata ya ushindi mikononi mwa Jihadi ya Muqawama
Hawza/ Mwandishi wa Kilebanoni ameandika katika tahariri kwamba, endapo vita kati ya Marekani na Iran vitatokea, kwa mtazamo wa kikanda moto wa vita utaenea kwa kasi; Ghuba ya Uajemi itawekwa…
-
DuniaHizbullah katika eneo la Biqaa yatoa shukrani kwa Balozi wa Iran
Hawza/ Hizbullah katika eneo la Biqaa ilimuenzi Mojtaba Amani, Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Lebanon, kwa mnasaba wa kumalizika kwa jukumu lake katika nchi hiyo, katika hafla iliyofanyi…
-
DuniaUandishi wa Qur’ani Tukufu kwa hati ya kisanaa wakamilika baada ya miaka 6
Hawza/ Ali Zaman, msanii mashuhuri na mtaalamu wa khati (calligraphy) kutoka Iraq, amekamilisha uandishi wa Qur’ani Tukufu kwa mwandiko wa kisanaa (kaligrafia) baada ya miaka sita ya juhudi endelevu.
-
Ayatullah A‘rafi mbele ya walimu wa taaluma ya tablighi (da‘wa):
HawzaFani za kielimu Hawza zimeongezeka kutoka 10–15 hadi zaidi ya fani 100 za utekelezaji/ Kubuni ramani ya njia (roadmap) na hati 100 za kimkakati za Hawza
Hawza/ Ayatullah A‘rafi alirejelea uandaaji wa “hati mia (100) za kimkakati za Hawza za kielimu” kama mojawapo ya programu za msingi, na akasema: miaka miwili iliyopita huko Mashhad Iran, katika…
-
Tamko la pamoja la wafuasi wa dini mbalimbali na watu huru duniani kumhusu Kiongozi wa Mapinduzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran:
DuniaMaaskofu, mapadre na wanafikiria huru wa kimataifa: ujasiri na mtazamo wa kistaarabu wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran vinastahili heshima
Hawza/ Kundi la wafuasi wa dini mbalimbali na watu huru duniani, katika tamko lao, limetangaza kumuunga mkono Kiongizi Mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Ayatullah al-‘Udhmaa Jawadi Amoli:
DiniUsiku wa nusu ya Sha‘ban ni “Laylatul Qadr”
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Jawadi Amoli wamesema: Imam al-Baqir (a.s.) amesema kuwa usiku wenye fadhila kubwa zaidi baada ya Laylatul Qadr ni usiku wa nusu ya Sha‘ban, usiku ambao Mwenyezi Mungu…
-
DuniaMsimamo thabiti wa wahamiaji wa Afghanistan sambamba na Iran na Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu dhidi ya vitisho vya Marekani na utawala wa Kizayuni
Hawza/ Jamii ya wahamiaji wa Afghanistan wanaoishi katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kupitia tamko rasmi, sambamba na kulaani vikali vitendo na vitisho vya Marekani na utawala muovu wa Kizayuni…
-
HawzaKwa unyenyekevu tumwombe Mwenyezi Mungu atujalie taufiki ya kuuthamini na kuutumia vyema Mwezi wa Sha‘ban
Hawza/ Mwezi huu ni fursa ya kipekee ya kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu, na kughafilika ndani ya mwezi huu husababisha majuto makubwa. Katika Dua za Sha‘ban (Mun'ajat Sha‘baniyya) pia zimeashiriwa…
-
DuniaMpango unaojirudia wa Israel kwa kuishambulia Palestina
Hawza/ Msemaji wa harakati ya Hamas, huku akikanusha madai ya utawala wa Kizayuni kuhusu kukiukwa kwa makubaliano ya kusitisha mapigano na harakati hiyo, alisisitiza kuwa madai hayo ni ya uongo…
-
DuniaMjumbe wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon: Shambulio lolote dhidi ya Iran ni kuvuka mipaka myekundu
Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh Hussein Ghabris, katika ujumbe wake uliolenga kudhihirisha mshikamano na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, alisema: Amani iwe juu yenu, enyi taifa la Kiislamu la Iran,…
-
Ayatullah udhm'a Makarem Shirazi:
DuniaFikra ya Mahdawiyya na imani juu ya Uimamu ndiyo sifa kuu ya Ushia
Hawza/ Mtukufu Ayatullah udhm'a Makarem Shirazi amesisitiza kuwa: fikra ya Mahdawiyya na umuhimu wa haja ya kuwepo Mwokozi, ni mwendelezo wa nafasi ya Uimamu na ulazima wa kuwepo kwake katika…
-
DuniaWaingereza walijitokeza mitaani kupinga ukiukaji wa sitisho la mapigano unaofanywa na Israel
Hawza/ Maandamano makubwa yalifanyika jijini London kupinga uuzaji wa silaha unofanywa na utawala wa Uingereza kwa Israel, na pia kupinga ukiukaji usio wa kibinadamu wa sitisho la mapigano unaofanywa…
-
Ayatullah Modarresi:
DuniaHawza ni sehemu hai na niuti wa mgongo wa Umma wa Kiislamu
Hawza/ Ayatullah Modarresi, huku akisisitiza kwamba; hawza ya kielimu ni “sehemu hai na yenye mwendo wa uti wa mgongo wa Umma wa Kiislamu”, alibainisha kuwa: utambulisho na uimara wa hawza unatokana…
-
Ayatullah Shab Zendeh-Dar katika darsa ya juu ya fiqhi (Dars-e Kharij):
HawzaWanaoliita Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi kundi la kigaidi, wao wenyewe ndio magaidi
Hawza/ Katibu wa Baraza Kuu la Hawza za Kielimu, mwanzoni mwa darsa yake ya juu ya fiqhi, alisema: Watu waovu wanaoliita Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi (Sepah) kundi la kigaidi, wao wenyewe ni…
-
Tamko la zaidi ya wahadhiri 850 wa vyuo vikuu nchini Iran:
DuniaKumtii Kiongozi wa Mapinduzi ya Iran, ni jukumu la kisheria la lazima na la kihistoria
Hawza/ Zaidi ya wahadhiri 850 wa vyuo vikuu nchini Iran, katika tamko lao, wametangaza: Kuunga mkono uongozi huu leo kuwa ni jukumu la kisheria, la lazima na la kihistoria.
-
DuniaMwaka 2026 umeshuhudia ongezeko la uungaji mkono kwa watu wa Palestina duniani
Hawza/ Tangia kuanza kwa mauaji ya halaiki yanayofanywa na Israel wamwagaji damu huko Ghaza, maandamano ya wananchi ya kuunga mkono taifa hili linalodhulumiwa yameendelea kote duniani, na waungaji…
-
DuniaBaba yake Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah afariki dunia
Hawza/ Baba yake shahidi Sayyid Hassan Nasrallah amefariki dunia.
-
Ayatullah A‘raafi katika kikao na viongozi wa utafiti wa Hawza alifafanua:
HawzaMtazamo wa kimataifa wa utafiti katika Hawza/ Mahitaji ya uwepo wenye tija katika mjadala wa kielimu duniani
Hawza/ Ayatullah A‘raafi, akirejelea nafasi ya msingi ya utafiti katika Hawza za elimu ya dini, alisisitiza kuwa: utafiti unaopaswa kufuatwa ni utafiti wa kistaarabu, wa fikra ya ijtihadi, wenye…
-
DuniaJumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qum Iran, yaunga mkono Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi (IRGC)/ Utambulisho wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ni mapambano ya kudumu dhidi ya dhulma na ukafiri wa kimataifa
Hawza/ Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qum, kwa kutoa tamko rasmi, imetangaza uungaji mkono wake thabiti kwa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, na kueleza kuwa: hatua isiyo halali na yenye…
-
DuniaWaziri wa Mambo ya Nje wa Ireland: Mgogoro wa njaa huko Ghaza unatisha
Hawza/ Katika wakati ambao dunia nzima imeshughulishwa na habari za vita vya kimtandao na vya kwenye vyombo vya habari, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ireland ametahadharisha kwa uzito juu ya kuzorota…
-
Rais wa Jumuiya ya Imamiya Baltistan, Pakistan:
Dunia“Mpango wa Amani wa Ghaza ni usaliti dhidi ya Palestina na Umma wa Kiislamu”
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Baqir al-Husayni, Rais wa Jumuiya ya Imamiya ya Baltistan nchini Pakistan, katika hotuba yake aliuelezea mpango unaoitwa “Mpango wa Amani wa Ghaza” kuwa…
-
DuniaMuislamu anayeiunga mkono Palestina yupo katika hatari ya kifo
Hawza/ Muhammad Khalid, mmoja wa wafungwa walioko gerezani nchini Uingereza kwa kosa la kuiunga mkono Palestina, alikuwa ameanza mgomo wa kula akiwa gerezani. Hata hivyo, mamlaka za nchi hiyo…
-
DuniaMkusanyiko mkubwa wa kuipinga Marekani na kuiunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wafanyika huko Istanbul
Hawza/ Mamia ya raia wa Uturuki na wanaharakati wa kitamaduni wamekusanyika jioni ya Jumapili mbele ya Ubalozi Mdogo wa Marekani mjini Istanbul, kwa dhamira ya kutangaza kuiunga mkono Jamhuri…
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika mkutano na wananchi mbalimbali:
DuniaMarekani ijue kwamba ikianzisha vita, safari hii vita vitakuwa vya kikanda/ Fitna ya hivi karibuni ilikuwa na sura ya mapinduzi ya kijeshi
Hawza/ Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza: Taifa la Iran litampiga ngumi nzito yeyote atakayelishambulia au kulidhuru.
-
DuniaJumuiya ya Umoja wa Wanaharakati wa Kidini wa Ankara watahadharisha kuhusiana na harakati za Marekani na Israel katika ukanda
Hawza/ Jumuiya ya Umoja wa Wanaharakati wa Kidini mjini Ankara, kupitia tamko lake, imeonya kuhusu kile ilichokitaja kuwa ni “maandalizi ya Marekani na Israel ya kuizingira na kuishambulia Iran…
-
DuniaTamko la Wanazuoni na Maulama wa Georgia katika kumuunga mkono Ayatollah Khamenei
Hawza/ Kundi la wanazuoni na maulama wa Kishia wa Georgia, katika tamko lao, huku wakilaani vikali kauli chafu za Rais wa Marekani, walieleza kuwa: historia imeonesha kwamba; viongozi wa Mwenyezi…
-
DuniaWanazuoni na Maulama wa Afghanistan watangaza kufuata miongozo ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Hawza/ Kundi la wanazuoni, masheikh na tabaka mbalimbali za wananchi wa Afghanistan, kupitia tamko walilolitoa kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Mtukufu Ayatollah Mkuu Imam Khamenei…
-
Ayatollah Saeedi:
DuniaVitisho vya Trump dhidi ya Iran ni dalili ya kukwama kwake kimkakati
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya mji wa Qom Iran, amesema: vitisho vya Trump dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, zaidi ya kuashiria nia ya kuchukua hatua, ni ishara ya wazi ya kufungwa…