shirika la habari (774)
-
DuniaHijra Iliyoigeuza Qum Kuwa Mji Mkuu wa Kiimani kwa Iran
Hawza/ Hijra ya Bibi Fatima al-Ma‘suma (a.s.) kwenda Qum ilikuwa mwanzo wa mageuzi makubwa katika historia ya Iran; uwepo mfupi lakini wenye athari zilizoendelea kwa karne nyingi, Qum, kwa baraka…
-
DuniaVikosi vya Al-Jaulani vyaongeza kasi ya kuhamisha koo mjini Damaskas
Hawza/ Vyanzo vya habari vya kuaminika vimeripoti kuhusu kuongezeka kwa operesheni za kuhamisha watu kwa mfumo maalumu inazofanywa na vikosi vya al-Jaulani, ambavyo vinalenga koo mbalimbali mjini…
-
DuniaSheikh al-Khatib: Tunatumaini kikao cha Doha kitaishia kwenye maamuzi muhimu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Ali al-Khatib, Makamu wa Rais wa Baraza Kuu la Kiislamu la Kishia la Lebanon, baada ya kukamilisha safari yake katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amerejea…
-
DuniaMjumbe wa Hizbullah: Hatari ya utawala wa Kizayuni imegeuka kuwa tishio kwa usalama wa ukanda mzima
Hawza/ Sheikh Muhammad Amrū alisisitiza kwamba: Lebanon inaweza kuwa salama dhidi ya hatari tu kwa kuendelea kuwa imara na kubaki kwa kujizatiti kwenye nguvu zake, hasa kwa kutumia silaha za…
-
Mbunge wa Lebanon:
DuniaKuanzisha uhusiano wa kawaida kati ya Qatar na Israel hakukulilinda taifa hili
Hawza/ Malham al-Hujayri, mbunge na mwenyekiti wa Harakati "An-Nasr Amal", ameukemea vikali unyonyaji wa kijasiri na uhalifu unaofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya uongozi wa Harakati ya…
-
Chaneli 13 ya Israeli:
DuniaIsrael inakabiliwa na “tsunami ya kisiasa” na upweke wetu baada ya kushindwa kwa shambulizi letu dhidi ya Qatar unaongezeka
Hawza/ Chaneli 13 ya Israeli imefichua kuhusu mgogoro mkubwa wa kisiasa na kidiplomasia unaoikumba Israel baada ya kushindwa kwa shambulizi dhidi ya Qatar na kuongezeka kwa upweke wa kimataifa.
-
Kuielekea Jamii Bora: Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imamu Mahdi [a.s] –44
DiniNafasi ya Intidhar (Kusubiri) katika Utamaduni wa Kishia (Sehemu ya Tatu)
Hawza/ Intidhar (kusubiri) ni kusubiri kwa hamu mustakabali wenye sifa zote za jamii ya Kimungu, ambako mfano wake wa kipekee ni kipindi cha utawala wa hazina ya mwisho ya Mwenyezi Mungu, yaani…
-
DiniHukumu za Kisheria | Kuwatazama wanawake wenye ulemavu wa akili wasiokuwa na hijabu ya kutosha
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu istiftaa kuhusiana na hukumu ya kuwatazama wanawake wenye ulemavu wa akili ambao hawana mavazi ya kutosha na kamili.
-
DuniaSemina ya uchinjaji wanyama na ndege yahitimishwa leo Daresalam Tanzania
Hawza/ Semina elekezi sheria za kiislamu kuhusiana na uchinjaji wa wanyama na ndege leo hii imefungwa rasmi na Katibu wa BAKWATA mkoa wa Daresalam.
-
Imamu wa Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaWalitaka suala la Palestina lisahaulike, lakini sasa limekuwa suala la kimataifa
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanchi amesema: Shambulizi la Israeli dhidi ya Doha na mabomu yaliyorushwa Yemen yamekabiliwa na ukimya wa dunia, isipokuwa baadhi ya matamko…
-
Harakati ya Nujabaa ikiwasemesha watawala wa Kiarabu:
DuniaJifunzeni kutokana na shambulio dhidi ya Qatar; nyinyi kwa maridhiano hamtakuwa salama kutokana na madhara ya Israeli
Hawza/ Harakati Nujabaa katika tamko lake, imelaani shambulio dhidi ya makao ya Hamas huko Doha na ikatoa onyo kwamba maridhiano na utawala wa Kizayuni hayaleti usalama kwa tawala za Kiarabu.
-
DuniaMajibu ya Watu wa Ghaza kuijibu barua ya Israeli iliyowataka kuwahamasisha kwa nguvu: Hatutaondoka Ghaza kamwe
Hawza/ Watu wa Ghaza katika kukabiliana na karatasi ambazo utawala wa kikoloni ulizimwaga kwa watu wa Ghaza nazo na kuwalazimisha kuacha nyumba na makazi yao, walikusanyika kwa ajili ya kufanya…
-
DuniaMtafiti wa Kihindi: Umoja na mshikikano kwa Waislamu utawageuza kuwa nguvu isiyoshindwa
Hawza/ Sayyid Rashadat Ali al-Qadri katika mazungumzo yake alisisitiza kwamba umoja wa Umma wa Kiislamu una umuhimu wa juu na ni fursa yenye thamani kwa ajili ya kuimarisha mshikamano na udugu…
-
Jumuiya ya Wanazuoni Waislamu:
DuniaShambulizi la adui huko Doha linadhoofisha mamlaka ya Qatar, na Jumuiya ya kimataifa lazima ilaani tendo hili la kigaidi
Hawza/ Jumuiya ya Wanazuoni Waislamu wa Lebanon imesema kuwa: adui Mzayuni anaendelea na uvamizi wake na umefikia hatua ya kutaka kuwaua viongozi wa Hamas waliokuwa na jukumu la kusimamia mazungumzo.
-
DuniaHarakati ya Umma yalaani kukengwa viongozi wa Hamas huko Doha
Hawza/ Harakati ya Umma nchini Lebanon imelaani vikali uvamizi wa Kizayuni dhidi ya kikao cha viongozi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu Hamas kilichofanyika mjini Doha, mji mkuu wa Qatar.
-
DuniaKuonyeshwa Filamu ya “Mtume wa Rehema 571” iliyoandaliwa na Shirika la Dini la Uturuki
Hawza / Filamu ya katuni ya “Mtume wa Rehema 571,” ambayo imeandaliwa na Shirika la Dini la Uturuki kwa heshima ya mwaka wa elfu moja mia tano tangu kuzaliwa Mtume Muhammad (swww), hivi karibuni…
-
Rais wa Baraza Kuu la Waislamu wa Kishia nchini Lebanon:
DuniaMshikamano wa Lebanon sasa umesimama imara zaidi kuliko zamani dhidi ya hila za maadui / Shambulizi la Israel dhidi ya Qatar ni funzo kwa tawala zote za Kiarabu na katika ukanda
Hawza/ Sheikh Ali Al-Khatib, akisisitiza juu ya ulazima wa kudumisha mshikamano baina ya mataifa ya eneo hili, amesema: Shambulizi la Israel dhidi ya Qatar ni kengele ya hatari kwa tawala zote…
-
Ayatullah A‘rafii:
HawzaShambulizi dhidi ya Qatar ni onyo la tahadhari kwa serikali za Kiislamu/ Mazungumzo yamefichua kuwa nguvu za kigeni za kibeberu ni wavunjaji wa ahadi na madhalimu
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom amesema: Serikali za Kiislamu, amkeni! Ikiwa hamtasimama, hamtapinga na mkauvua silaha muqawama, nanyi pia mtaathirika; wao wanataka kutoka kwetu eidha kujisalimisha…
-
DuniaUhispania yachukua kwa Hatua Kubwa ajili ya Kuuwekea Vikwazo Utawala wa Kizayuni
Hawza/ Bwana Sánchez katika hotuba yake ya hivi karibuni, sambamba na kutangaza mipango yake ya baadaye kwa ajili ya nchi ya Uhispania, pia alitangaza kuwa nchi hii inalaani jinai zinazofanywa…
-
DuniaMashabiki wa Timu ya Italia Wapinga Wimbo wa Israel
Hawza/ Mashabiki wa timu ya mpira wa miguu ya Italia, wakati unaimbwa wimbo wa utawala wa Kizayuni, katika hatua ya ishara ya kupinga jinai za kikatili zinazofanywa na utawala huo, waliupa mgongo…
-
DuniaPicha/ Maulidi ya Kitaifa yafanywa na Jumuiya ya Shia ithnaasharia Tanzania (TIC)
Hawza/ Jumuiya ya Shia ithnaasharia Tanzania (TIC), ikishirikiana na Hawza ya Imaam Sw'adiq (as), chini ya usimamizi wa Samaht Sheikh Jalala Hemedi Mwakindenge, usiku wa kuamkia leo zimeadhimisha…
-
Kuielekea Jamii Bora: Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imam Mahdi (a.s) – 43
DiniNafasi ya (Intidhar) Kusubiria faraja katika Utamaduni wa Kishia (Sehemu ya Pili)
Hawza / Katika maana hii, mafundisho ya dini yamekusudia, mbali na kubainisha fadhila ya “faraja ya kijamii” na matumaini ya siku zijazo na kuelekeza wanadamu kwenye uwanja huu, kulaani pia kukata…
-
Ayatullah A‘rafi katika Kituo cha Tablighi:
HawzaKile kinachoifanya hawza kuwa mahsusi ni “ufikishaji ulio wazi” / Mjadala wa Mapinduzi ya Kiislamu ndiyo mjadala wa Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw)
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza za kielimu, katika sherehe ya ufunguzi wa mwaka mpya wa masomo ya kituo cha kielimu na utafiti cha tablighi alisema: tablighi ni “roho ya undani” ya shughuli zote.…
-
DuniaUmoja wa Kiislamu: Kinga ya Utambulisho na Heshima ya Uislamu Dhidi ya Wimbi la Mgawanyiko na Utegemezi wa Nje
Hawza / Mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti wa Kiislamu cha Ataba Husainiya, Iraq, akisisitiza umuhimu wa umoja katika zama hizi, alisema kuwa ni njia pekee ya kuhifadhi utambulisho wa umma wa Kiislamu…
-
DuniaUmoja wa Kiislamu ni Wajibu wa Kisheria na Silaha ya Muqawama, ni Rasilimali ya Uislamu Wote
Hawza/ Katibu Mkuu wa Harakati ya Ummah ya Lebanon, akisisitiza kuwa umoja wa Kiislamu si chaguo la hiari bali ni jukumu la kisheria, alisema: “Silaha ya muqawama huko Palestina, Lebanon na Yemen…
-
DuniaHarakati ya Tawhidi al-Islami: Shambulio dhidi ya Qatar ni mwendelezo wa siasa ya uhalifu ulioandaliwa na ugaidi wa kiserikali unaoungwa mkono na Marekani
Hawza / Harakati ya Tawhidi al-Islami ya Lebanon katika tamko lake imesema: “Shambulio la Israel ni mwendelezo wa siasa ya uhalifu ulioandaliwa na hatua inayoeleweka kuelekea ugaidi wa kiserikali…
-
DuniaSheikh Qabalan: Marekani ni mshirika kamili wa Israel katika uhalifu wake wote
Hawza / Sheikh Ahmad Qabalan, Mufti Mkuu wa Ja‘fari wa Lebanon, katika tamko lake amesema: “Kwa nguvu zote na kwa uthabiti, tunalaani vikali ugaidi wa Kizayuni na unyama wa Israel.”
-
DuniaHizbullah: Shambulio lililofanywa na utawala wa Kizayuni mjini Doha limeonesha dhamira yake ya kweli ya kuendeleza vita na mauaji ya kimbari
Hawza / Hizbullah ya Lebanon imelaani shambulio la ghafla na la khiyana la utawala wa Kizayuni dhidi ya ujumbe wa uongozi wa Harakati ya Muqawama ya Kiislamu (Hamas) wakati wa kikao kilichokuwa…
-
DuniaMatembezi ya kuadhimisha kuzaliwa Mtume (s.a.w.w) huko Jammu na Kashmir: yamebeba taswira ya mshikamano na umoja wa Waislamu
Hawza / Matembezi ya kuadhimisha kuzaliwa kwa Mtume wa rehema (s.a.w.w) yamefanyika Jammu na Kashmir huku kukiwa na ushiriki mkubwa wa wafuasi wa madhehebu mbalimbali, ambapo yalibeba ujumbe…
-
DuniaShambulio la droni lililofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya moja ya meli za msafara wa “Sumud”
Shambulio la droni la utawala wa Kizayuni dhidi ya moja ya meli za msafara wa “Sumud” ambayo ilikuwa imebeba watu kutoka nchi 44 duniani limezidisha wasiwasi kuhusiana na hali ya Ghaza.