shirika la habari (1256)
-
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Lebanon:
DuniaUelewa wa Sulhu ya Imam Hasan (a.s.) na Mapambano ya Imam Hussein (a.s.) ni Njia Mbili Zinazotegemeana Kwenye Muqāwama wa Kiislamu
Hawza/ Bi. Dalal Abbas amesema: Sulhu Imam Hasan (a.s.) na mapambano ya Imam Hussein (a.s.) ni njia mbili zinazokamilishana katika muqāwama wa Kiislamu, na zinachukuliwa kuwa dira ya kukabiliana…
-
Msimamizi wa jalada la wafungwa wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu (Hamas):
DuniaIrani ni Uti wa Mgongo wa Mhimili wa Muqāwama Dhidi ya Utawala wa Kizayuni
Hawza/ Sheikh Abdulrahman amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, tangia siku za mwanzo za ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, imeliweka suala la Palestina kuwa ni mhimili usioweza kufanyiwa mazungumzo…
-
Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon walaani kudharauliwa Qur’ani Tukufu:
DuniaKuitukana Qur’ani ni Sawa na Kuwashambulia Waislamu Wote
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon, katika taarifa rasmi, umelaani vikali kitendo cha “Jake Lang”, mgombea wa Chama cha Republican cha Marekani, cha kuidharau Qur’ani Tukufu.
-
DuniaUshiriki wa Iran katika Maonesho ya Kitabu ya Burkina Faso
Hawza/ Maonesho ya Kitabu yalifanyika mjini Ouagadougou, mji mkuu wa Burkina Faso, kwa muda wa siku sita, huku yakishirikisha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Johannesburg, Afrika Kusini:
DuniaKaulimbiu za Mapinduzi ya Kiislamu zilikuwa ni Muhimili wa Muqāwama kwa Waislamu Afrika Kusini
Hawza/ Farid Is-haq amesema: Tajriba ya Afrika Kusini inaonesha kuwa hotuba ya Mapinduzi ya Kiislamu, kwa kurejea upya na kufasiri upya dhana za Qur’ani Tukufu, zilichukua nafasi muhimu katika…
-
Ayatullah Al-Udhma Subhani katika ufunguzi wa Taasisi ya Utafiti wa Ilmu ya Kalamu ya Imam Ja‘far Sadiq (a.s):
DuniaLazima tuwe na uhuru wa kifikra na kielimu / Fikra za Magharibi Hazipaswi Kuathiri Jamii
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Subhani alionya kwamba: Ni lazima tuingie katika uwanja wa elimu kupitia njia sahihi, wala hatupaswi kuvutiwa na kuathiriwa na Magharibi. Sisi wenyewe tuna misingi sahihi…
-
DuniaKiongozi wa Harakati ya Kiislamu Nigeria, Sheikh Ibraheem Zakzaky, Atunukiwa Tuzo ya Dunia ya Imam Khomeini + Picha
Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, Sheikh Ibraheem Zakzaky, ametunukiwa Tuzo ya Dunia ya Imam Khomeini (ra), kutokana na kutambua mchango wake mkubwa katika kuhudumia Ummah…
-
DuniaKurejea Shughuli za “Daesh” Kwenye Maeneo Yaliyo Chini ya Udhibiti wa Serikali ya Damascus; Ni Jambo Linalo Tishia Usalama
Hawza/ Kuongezeka kwa operesheni zilizotekelezwa hivi karibuni na kundi la Daesh nchini Syria kunatoa tahadhari ya kurejea kwa shughuli za kundi hili; jambo hili linatokea katika kipindi nyeti…
-
DuniaSheikh Al-Rifa‘i: Kuhalalisha mahusiano si tu ni Usaliti kwa Umma, Bali Kunahatarisha Uwepo Wetu
Hawza/ Sheikh Mu’min al-Rifa‘i, mshauri wa masuala ya uhusiano wa kidiplomasia wa Lebanon, katika taarifa yake alisisitiza kuwa kuweka kawaida mahusiano si tu usaliti kwa Umma, bali ni usaliti…
-
Waziri Mkuu wa Hispania:
DuniaMsimamo Wetu Kuhusu Palestina Uko Wazi na Dhahiri
Hawza/ Pedro Sánchez, Waziri Mkuu wa Uhispania, alitetea msimamo wa wazi wa nchi yake dhidi ya uhalifu wa Israel. Katika hotuba yake ya kupitia tathmini ya utendaji wa mwaka mzima, alisema: msimamo…
-
DuniaKauli za Chuki Dhidi ya Uislamu Zalaaniwa Vikali Nchini Marekani
Hawza/ Kauli za chuki dhidi ya Waislamu zilizotolewa na maafisa wawili wa chama cha Republican cha Marekani, ikiwemo wito wa kupiga marufuku kuingia kwa Waislamu na hata kuwafukuza Waislamu,…
-
DuniaToronto Kanada, Yaandaa Mkutano wa Kuvutia wa Kiislamu
Hawza/ mkutano wa kila mwaka wa kuhuisha Uislamu halisi (RIS) utafanyika kuanzia tarehe 19 hadi 21 Desemba 2025 huko Toronto.
-
Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia wa Lebanon:
DuniaAdui Muisraeli Hataki Utulivu Upatikane Katika Ukanda Huu
Hawza/ Sheikh Ali al-Khatib, Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia wa Lebanon, alisisitiza: Tunaupa umuhimu uthabiti katika nchi zote za eneo hili, lakini adui Mzayuni haachi nafasi…
-
DuniaKongamano la Sita la “Mafunzo ya Muqawama wa Palestina” Mjini Beirut Limesisitiza Umoja na Mbinu za Kukabiliana na Wavamizi
Hawza/ Kwa ushirikiano na Chuo Kikuu cha Lebanon, mkutano wa sita wa kila mwaka wa Jumuiya ya Kiarabu ya Elimu ya Siasa, wenye anuani “Harakati za ukombozi na uhuru katika dunia ya tatu na mafunzo…
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuhuisha Turathi za Wanazuoni Lebanon:
DuniaMuqawama ni Njia ya Heshima na Hadhi kwa Umma wa Kiislamu / Viongozi wa Muqawama Wanaendeleza Njia ya Imam Khomeini (ra)
Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh Al-Baghdadi, huku akisisitiza nafasi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuunga mkono mataifa yaliyodhulumiwa na mhimili wa muqawama, alisema: Muqawama ni njia…
-
DuniaKikao Kilicho na Anuani Isemayo: “Sitisheni Mauaji ya Kimbari Dhidi ya Wapalestina” Chafanyika Nchini India
Hawza/ Kikao chenye anuani isemayi “Sitisheni mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina, ikomboleni Palestina” kilifanyika katika mji wa Hyderabad, India, kwa lengo la kutangaza mshikamano na taifa…
-
DuniaTaasisi ya Kawthar Yafanya Hafla ya “Siku ya Kimataifa ya Wanawake Wakiislamu” Nchini Uturuki
Hawza/ Kituo cha Kitamaduni cha Kawthar, kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuzaliwa Bibi Fatima Zahra (a.s.) na Siku ya Kimataifa ya Wanawake Wakiislamu, kiliandaa hafla ya kiroho iliyowakutanisha…
-
Ayatullah Al-Udhma Subhani:
DuniaWakaaji wa Itikafu Waombe Dua Kwa Ajili ya Kuwaokoa Waislamu Kutoka Katika Hali Ngumu
Hawza/ Ayatullah Subhani amesisitiza kuwa: mambo yanayowakumba Waislamu leo hayajawahi kushuhudiwa kwa kiwango kikubwa kama hiki katika historia, na kutokana na dunia kutojali kuhusu maafa haya…
-
Ayatullah Al-Udhma Nouri Hamadani:
DuniaKukuza Utamaduni wa Swala Hakufanyiki Kulingana na Amri
Hawza/ Ayatullah Nouri Hamadani, akisisitiza juu ya umuhimu wa kujenga utamaduni kuanzia katika mazingira ya elimu na familia, amesema wazi kuwa: kukuza utamaduni wa Swala hakutapatikana kwa…
-
DuniaWito wa Tarehe 18 Desemba; Hasira za Wafanyakazi Dhidi ya Sera Kali za Serikali ya Ufaransa
Hawza/ Zaidi ya mashirika na vyama 400 nchini Ufaransa vimewaita wananchi kushiriki maandamano ya tarehe 18 Desemba dhidi ya ubaguzi wa rangi na kwa ajili ya kuhalalishwa kisheria kwa watu wasiokuwa…
-
DuniaTuwe Wapinga-Uzayuni, si Wapinga-Uyahudi
Hawza/ Harakati ya kuunga mkono Palestina nchini Scotland ililaani tukio la ufyatuaji risasi uliosababisha vifo katika hafla ya Wayahudi nchini Australia, na ikasisitiza kuwa hakuna uhalali wowote…
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya 'Kuhuisha Turathi za Wanazuoni' wa Lebanon, Katika Kongamano la kimataifa la “Muqawama”:
DuniaMuqawama ni Jibu la Kihistoria kwa Uislamu Dhidi ya Uvamizi na Ubeberu
Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh Baghdadi, huku akisisitiza kuwa; muqawama una mizizi yake katika mafundisho halisi ya Uislamu, alisema wazi kuwa: Muqawama ni jibu la kihistoria na la kimkakati la…
-
Waziri wa Zamani wa Lebanon:
DuniaHakuna Nafasi ya Kujisalimisha Katika Kamusi Yetu, Muqawama ni Utamaduni wa Maisha
Hawza/ Mustafa Bairam alisisitiza kuwa muqawama nchini Lebanon, sambamba na watu wake, umefikia viwango vya juu kabisa vya wajibu wa kibinadamu na kitaifa katika kusimama upande wa wanyonge,…
-
Mwakilishi wa Hizbullah:
DuniaLicha ya Mashinikizo Yote, Muqawama Utaendelea Kumiliki Silaha
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Faisal Shukr alisisitiza kuwa; bendera ya muqawama itaendelea kuinuliwa, na silaha zake, licha ya mashinikizo yote, silaha zitaendelea kubakia mikononi mwa wapiganaji…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi Iran, Katika Kikao na Waandaaji wa Kongamano la Kitaifa la Kuadhimisha Mashahidi wa Mkoa wa Alborz Nchini Humo:
DuniaNi lazima Thamani na Motisha za Mashahidi Zihamishiwe kizazi kijacho/ Umuhimu wa Kufafanua kwa Ubunifu wa Kisanaa Maadili ya Ulinzi Mtakatifu
Hawzah/ Ayatollah Sayyid Ali Khamenei amesisitiza: kuhamisha thamani na motisha za kipindi cha Ulinzi Mtakatifu kukielekea kizazi kipya kunahitaji kazi ya kisanaa na ufuatiliaji usiokatika.
-
Ayatollah A‘rafi Katika Kikao na Wakurugenzi na Manaibu wa Utafiti wa Hawza ya Qom Iran:
HawzaUtafiti ndani ya Hawza una Jukumu la Kuongoza/ Leo tuko Katikati ya Mapambano Makubwa ya Kiakili na Kimaendeleo
Hawza/ Ayatollah A‘rafi, akielezea nafasi ya kipekee ya Hawza, alisema: “Leo katika ulimwengu mzima, nguzo kuu ya uzalishaji wa fikra kwa ajili ya Mapinduzi ya Kiislamu na katika kujibu mahitaji…
-
Mafunzo Katika Qur'an:
DuniaNjia Isiyo na Kifani ya Mwenyezi Mungu kwa Ajili ya Kumlea Mwanadamu
Hawza/ Mwenyezi Mungu katika aya ya 90 ya Surah An-Nahl, badala ya kutumia amri na katazo kali, anatumia lugha ya mafundisho: «يَعِظُكُمْ لَعَلَّكُمْ تَذَكَّــرُونَ». Huu ni mtindo wa kipekee…
-
Mwanzuoni Mashuhuri kwa Kishia Nchini Pakistan:
DuniaMwanazuoni wa Dini Lazima Daima Awe Kwenye Njia ya Kutafuta Elimu na Kuhifadhi Kazi za Kielimu
Hawza/ Ayatollah Hafiz Sayyid Riyaadh Hussain Najafi katika hotuba yake alisisitiza umuhimu wa kutafuta elimu mara kwa mara, kuhifadhi kazi za kisayansi za wataalimu, na kufundisha Qur'an na…
-
DuniaRadi Amali ya Kamati ya Uongozi wa Michezo ya Hawza Nchini Iran, Kuhusu “Mechi ya Kifahari ya Mashoga”
Hawza/ Kufuatia kuitwa kwa mchezo wa timu ya taifa ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Jamhuri ya Kiarabu ya Misri kwa jina la “Mechi ya Fahari” (Pride Match) na FIFA pamoja na Kamati ya Maandalizi…
-
Ayatollah A‘arafi Katika Hotuba Yake Kwenye Chuo Kikuu cha Qum Iran:
HawzaSayansi ya Kibinadamu ya Kiislamu Ndio Msingi na Roho ya Tamko la Hatua ya Pili ya Mapinduzi ya Iran/ Nashangaa Baadhi Wanasema Hakuna Sayansi ya Kibinadamu ya Kiislamu
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, huku akisisitiza kwamba sayansi ya kibinadamu ya Kiislamu ndio msingi na roho ya Tamko la Hatua ya Pili ya Mapinduzi, alisema: Kila kinachopuuzwa kuhusu…