-
DuniaMtafiti kutoka India: Sira ya Mtume na Imam Ali ni Mwongozo wa Kudumu kwa Viongozi na Wanasiasa wa Leo
Hawzah/ Hujjatul-Islam Zainul Abidin, katika kusisitiza nafasi ya sira ya Mtume Muhammad (saw) na Imam Hasan al-Mujtaba (as), amesema sira hii imejaa mafundisho ya uongozi na siasa na inaweza…
-
DuniaPicha / matembezi ya amani ya kumbukumbu ya kifo cha Mtume Muhammad (saw) yafanyika nchini Tanzania
Hawza/ Hawza ya Imaam Swadiq (as) chini ya usimamizi wa Samahat Sheikh Jalala iliandaa matembezi ya amani yaliyo husiana na kumbukumbu ya kifo cha Mtume Muhammad (saw) kwa ajili ya kuadhimisha…
-
DuniaHujjatul Asr Society Of Tanzania yaadhimisha Arubaini ya Imam Husein (as)
Hawza/ Taasisi ya Hujjatul Asr Society Of Tanzania iliyopo chini ya usimamisi wa Sayyid A'rif Naqawi imeadhimisha Arubaini ya Imam Husein (as) kwa mwaka huu wa 2025 sawa na 1446 Hijria
-
DuniaNaibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Maulamaa wa Kiislamu Pakistan: Kuiharibu Ghaza kamwe hakutaifanikisha ndoto ya kibabe ya kujenga minara
Hawza/ Maulavi Amjad Khan katika hotuba yake alisema: Kuiharibu Ghaza na kujenga minara mirefu kamwe hakutazaa matunda, na ushujaa na uimara wa watu wa eneo hili umezikwamisha njama zote za adui
-
DuniaMar'asim iliyofana ya Siku ya Husseun (a.s) yafanyika katika Bunge la Victoria, Australia
Hawza/ Hafla ya pili ya Siku ya Hussein (a.s) ilifanyika kwa juhudi za mtandao wa Khayrul-ʿAmal katika Bunge la Jimbo la Victoria, Australia; hafla ambayo ilihudhuriwa na wawakilishi wa bunge,…
-
HawzaWaziri wa Kilimo wa Pakistan, amepata bahati ya kuzuru haramu ya Bibi Fatima Masuma (a.s), iliyopo Qum Iran
Hawza/ “Rana Tanveer Hussain,” Waziri wa Kilimo na Usalama wa Chakula wa Pakistan, katika safari yake mjini Qom Iran, alipata bahati ya kuzuru haramu tukufu ya Bibi Fatima Masuma (a.s)
-
Ayatullah al-Udhma Jawadi Amuli:
HawzaShia ni wajuzi wa Uislamu wa kweli
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Jawadi Amuli amesisitiza juu ya umuhimu wa nafasi ya Hawza katika kukuza elimu na maarifa kwenye jamii, na akabainisha kuwa: Vitabu kama “Maktab al-Tashayyu’” vinapaswa…
-
DiniHukmu za Kisheria | Kuungana na Imamu wa Swala ya Jamaa kupitia wanawake
Hawza / Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu istiftaa kuhusu hukmu ya kisheria ya namna ya kuungana na imamu wa swala ya jamaa kupitia wanawake
-
DuniaKuitambua Rasmi Palestina; Udanganyifu Mpya wa Magharibi na Wazayuni
Hawza/ Kuitambua dola ya Palestina na baadhi ya nchi za Magharibi na Kiarabu, si zaidi ya msaada wa kweli, bali ni maonesho ya kisiasa kwa ajili ya kupunguza shinikizo la mitazamo ya umma na…
-
DuniaSheikh Alhad Mussa: Viongozi wanatakiwa wawe kama Chumvi kwenye hii Dunia
Hawza/ Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT), Sheikh Alhad Mussa, leo hii katika mdahalo wa amani amewafananisha viongozi na chumvi kwa kusema: Viongozi wanatakiwa wawe…
-
DiniJihadharini na wezi wa itikadi
Hawzah/ Ayatullah Ṣāfī Gulpāygānī (ra) alisisitiza kwamba hakuna mali yenye thamani kubwa kuliko “lulu ya akida (itikadi)” kwa Mwenyezi Mungu, Mtume Mtukufu (saw) na Maimamu watoharifu (as).
-
DiniIkiwa kutatokea mgongano kati ya mume/mke na wazazi, tumchague yupi?
Hawzah/ Kuanza maisha ya ndoa haina maana ya kuiacha familia; bali kunahitaji kuwepo mipaka salama, ambapo heshima ya wazazi inalindwa na utulivu wa maisha ya ndoa unadumishwa
-
Mufti wa Tanzania atangaza:
DuniaMaulidi ya Kitaifa Mwaka huu kufanyikia Mkoani Tanga
Hawza/ Maulidi ya kitaifa mwaka huu wa 2025 yamepangwa kufanyika Mkoani Tanga, katika wilaya ya Korogwe kwenye viwanja vya Shule ya Mazoezi Manundu
-
DiniSomo la Akhlaq | Kwa Nini Uislamu Unalipa Umuhimu wa Pekee Swala la kuunga udugu?
Hawza/ Uislamu umetilia mkazo mkubwa juu ya sila rahm (kuunga udugu), si tu kwa maana ya kuunganisha uhusiano wa kifamilia, bali pia kwa maana ya kuyalinda mahusiano muhimu mawili ya kimaumbile…
-
DuniaKing'ora cha Hatari ya Kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu Nchini Kanada
Hawza/ Kwa mujibu wa utafiti wa moja kwa moja uliofanywa na Chuo Kikuu cha York, jinai na vitendo vinavyotokana na chuki dhidi ya Uislamu nchini Kanada katika kipindi cha miaka miwili iliyopita…
-
DuniaMshikamano kati ya Wanazuoni wa Kishia na Kisunni nchini Bangladeshi katika Kuiheshimu Arubaini ya Imam Husein (a.s.)
Hawza/ Kwa mara ya kwanza nchini Bangladeshi, wanazuoni wa Kishia na Kisunni wameungana kwa pamoja katika kugawa tabarruk za Imam Husein (a.s.) katika mji wa Khulna; hatua ambayo ni ishara ya…
-
DuniaKikao maalumu na wanafunzi wa Tanzania, Malawi na Burundi chafanyika Qum Irani, kikiwa na maudhui ya kumkuza mwanafunzi katika ngazi ya kutumia fani mbali mbali za kisasa
Hawza/ Wanafunzi wa Tanzania, Malawi na Burundi wakutana na wakili wa Jaamiatul-Mustafa pamoja na Raisi wa Taasisi ya Bayani ili kujadili jinsi ya kuweza kumkuza mwanafunzi hasa hasa katika kutumia…
-
DiniHukumu za Kisharia | Kumfuata Imamu wa Jamaa Asiyefahamika Katika Mikusanyiko ya Umma
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu swali la kifiqhi kuhusiana na hukumu ya kisheria ya kumfuata Imamu wa jamaa asiyefahamika katika mikusanyiko ya umma.
-
DuniaMwanazuoni wa Kishia kutoka Kashmir: Turekebishe maisha yetu kwa kuufuata mwenendo wa Imam Husein (a.s.)
Hawzah/ Hujjat al-Islam Sayyid Hadi Musawi, katika kikao chake kwa ajili ya maombolezo, alisema: Bibi Zaynab (s.a.) kutokana khutuba zake aliuhifadhi utajo wa Karbala, na Imam Sajjad (a.s.) kwa…
-
DuniaKampeni ya “Wakati wa Arubaini” Itaendelea Hadi Mwisho wa Mwezi wa Safar
Hawza/ Mazuwari wa Huseini kwa kushiriki katika kampeni ya “Wakati wa Arubaini” wanaweza kulishirikisha Shirika la Habari la Hawza kwa kutuma picha na video za matembezi yao ya Arubaini hadi…
-
Katika mazungumzo yetu na Rais wa Jāmi‘at al-Mustafā al-‘Ālamiyya:
DuniaAkili Mnemba na Athari Zake katika Mifumo ya Kitamaduni na Kidini
Hawza/ Mjumbe wa Baraza la Wataalamu wa Uongozi wa Kidhini (Majlis Khubragān Rahbari) amesisitiza kuwa: kulinda mipaka ya kudiriki ya kijamii dhidi ya uvamizi laini wa adui, kwa kiwango kikubwa…
-
Kwa kutegemea mfumo sahihi wa kuhesabu kielektroniki;
DuniaAtaba Tukufu ya Abulfadhil Abbasi (a.s) yatangaza idadi ya mazuwari waliohudhuria katika Ziara ya Arubaini mwaka huu
Hawza/ Ataba Tukufu ya Abulfadhil Abbasi (a.s) imetangaza uwepo wa zaidi ya mazuwari milioni 21 kwenye maadhimisho ya ziara ya Arubaini, taarifa hii imetolewa kwa kutumia mfumo sahihi wa kuhesabu…
-
HawzaHawza yatoa Shukrani za dhati kutokana na mahudhurio ya mamilioni ya watu kwenye Arubaini pamoja na Ukarimu wa Serikali na Taifa la Iraq
Hawza/ Kituo cha Usimamizi wa Hawza, sambamba na kuthamini uwepo wa mamilioni ya waty katika tukio hili kubwa la kimungu na kistaarabu la Arubaini, na pia kutoa shukrani zake kutokana na ukarimu…
-
Ayatullah Saidi katika khutba za Sala ya Ijumaa:
Dunia"Kumuitikia Imam Hussein ni sawa na kumuitikia Imam Mahdi / Mjumuiko mkubwa wa Arubaini ni fursa bora ya kubainisha na kutangaza Uislamu safi wa Muhammadi"
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom Irani, amesema: Arubaini ni harakati ya pamoja kuelekea kwa Imamu na Hujjat wa Mwenyezi Mungu, Arubaini ina uhusiano wa karibu mno na Mahdawiyya kiasi kwamba kusema…
-
Ayatollah Al-Udhma Makarim Shirazi:
DuniaArubaini ni hazina kubwa inayotokana na mapenzi, kujitolea na utu
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Makarim amesisitiza kuwa: Arubaini si matembezi tu; ni hazina kubwa inayotokana na mapenzi, kujitolea na ubinadamu ambayo haina mfano wowote duniani.
-
Ayatullah Al-Udhma Jawad Amuli:
Dunia Lengo Kuu la Sayyid al-Shuhadaa (a.s.) Lilikuwa ni Kufundisha na Kuwatakasha watu
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Al-Udhma Jawadi Amuli amesema: Ziara ya Arubaini humwondoa mwanadamu katika tabia ya kuwa na huzuni ya kupita kiasi, pupa na ubinafsi wa kuzuia mema, na lengo kuu la…
-
DuniaTaarifa ya Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom Irani [J'amiatul Mudarris'in] Kuhusiana na Kulaani Mpango wa Kuzuia na Kuuteka Kikamilifu Ukanda wa Ghaza / Aibu iliyowapata waongo wanaodai haki za Binadamu
Hawza/ Mpango dhalimu na kinyume cha ubinadamu wa kuiteka Ghaza kwa hakika utashindwa, na mapambano ya Kiislamu huko Ghaza, kwa idhini na msaada wa Mwenyezi Mungu, yatapats ushindi wa mwisho…
-
DuniaWaislamu wa Uholanzi wamemshtaki mwanasiasa mwenye chuki kali dhidi ya Uislamu, kutokana na kueneza kufanya kampeni za chuki dhidi ya Uislamu
Hawza/ Mashirika kumi na nne ya Kiislamu yamefungua mashtaka dhidi ya Geert Wilders, mwanasiasa wa mrengo wa kulia uliokithiri nchini Uholanzi, na yamethibitisha kuwa yeye ni mtu mwenye ukatili…
-
DiniElon Musk amebadilisha mfumo wa akili mnemba ili iswme uongo kuhusiana na Ghaza!
Hawza/ Baada ya watumiaji kubaini kuwa akili mnemba "Grok" ilipoulizwa swali: “Je, huko Ghaza kunafanyika mauaji ya kimbari?” ilijibu: “Ndiyo, Israel na Marekani wanafanya mauaji ya kimbari huko,”…
-
DiniSerikali ya Uhispania yatangaza kufutwa marufuku iliyolenga mikusanyiko ya kidini
Hawza/ Serikali ya Uhispania imemjulisha Meya wa mji wa Jumilla kuwa marufuku iliyolenga mikusanyiko ya kidini na kitamaduni kwenye viwanja vya michezo, iliyokuwa ikitekelezwa hapo awali, imeondolewa…