Jumamosi 23 Agosti 2025

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Mtafiti kutoka India: Sira ya Mtume na Imam Ali ni Mwongozo wa Kudumu kwa Viongozi na Wanasiasa wa Leo

    DuniaMtafiti kutoka India: Sira ya Mtume na Imam Ali ni Mwongozo wa Kudumu kwa Viongozi na Wanasiasa wa Leo

    Hawzah/ Hujjatul-Islam Zainul Abidin, katika kusisitiza nafasi ya sira ya Mtume Muhammad (saw) na Imam Hasan al-Mujtaba (as), amesema sira hii imejaa mafundisho ya uongozi na siasa na inaweza…

    2025-08-23 01:42
  • Picha / matembezi ya amani ya kumbukumbu ya kifo cha Mtume Muhammad (saw) yafanyika nchini Tanzania

    DuniaPicha / matembezi ya amani ya kumbukumbu ya kifo cha Mtume Muhammad (saw) yafanyika nchini Tanzania

    Hawza/ Hawza ya Imaam Swadiq (as) chini ya usimamizi wa Samahat Sheikh Jalala iliandaa matembezi ya amani yaliyo husiana na kumbukumbu ya kifo cha Mtume Muhammad (saw) kwa ajili ya kuadhimisha…

    2025-08-22 18:54
  • Hujjatul Asr Society Of Tanzania yaadhimisha Arubaini ya Imam Husein (as)

    DuniaHujjatul Asr Society Of Tanzania yaadhimisha Arubaini ya Imam Husein (as)

    Hawza/ Taasisi ya Hujjatul Asr Society Of Tanzania iliyopo chini ya usimamisi wa Sayyid A'rif Naqawi imeadhimisha Arubaini ya Imam Husein (as) kwa mwaka huu wa 2025 sawa na 1446 Hijria

    2025-08-22 07:56
  • Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Maulamaa wa Kiislamu Pakistan: Kuiharibu Ghaza kamwe hakutaifanikisha ndoto ya kibabe ya kujenga minara

    DuniaNaibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Maulamaa wa Kiislamu Pakistan: Kuiharibu Ghaza kamwe hakutaifanikisha ndoto ya kibabe ya kujenga minara

    Hawza/ Maulavi Amjad Khan katika hotuba yake alisema: Kuiharibu Ghaza na kujenga minara mirefu kamwe hakutazaa matunda, na ushujaa na uimara wa watu wa eneo hili umezikwamisha njama zote za adui

    2025-08-22 00:28
  • Mar'asim iliyofana ya Siku ya Husseun (a.s) yafanyika katika Bunge la Victoria, Australia

    DuniaMar'asim iliyofana ya Siku ya Husseun (a.s) yafanyika katika Bunge la Victoria, Australia

    Hawza/ Hafla ya pili ya Siku ya Hussein (a.s) ilifanyika kwa juhudi za mtandao wa Khayrul-ʿAmal katika Bunge la Jimbo la Victoria, Australia; hafla ambayo ilihudhuriwa na wawakilishi wa bunge,…

    2025-08-21 21:29
  • Waziri wa Kilimo wa Pakistan, amepata bahati ya kuzuru haramu ya Bibi Fatima Masuma (a.s), iliyopo Qum Iran

    HawzaWaziri wa Kilimo wa Pakistan, amepata bahati ya kuzuru haramu ya Bibi Fatima Masuma (a.s), iliyopo Qum Iran

    Hawza/ “Rana Tanveer Hussain,” Waziri wa Kilimo na Usalama wa Chakula wa Pakistan, katika safari yake mjini Qom Iran, alipata bahati ya kuzuru haramu tukufu ya Bibi Fatima Masuma (a.s)

    2025-08-21 15:57
  • Shia ni wajuzi wa Uislamu wa kweli

    Ayatullah al-Udhma Jawadi Amuli:

    HawzaShia ni wajuzi wa Uislamu wa kweli

    Hawza/ Mtukufu Ayatullah Jawadi Amuli amesisitiza juu ya umuhimu wa nafasi ya Hawza katika kukuza elimu na maarifa kwenye jamii, na akabainisha kuwa: Vitabu kama “Maktab al-Tashayyu’” vinapaswa…

    2025-08-21 15:45
  • Hukmu za Kisheria | Kuungana na Imamu wa Swala ya Jamaa kupitia wanawake

    DiniHukmu za Kisheria | Kuungana na Imamu wa Swala ya Jamaa kupitia wanawake

    Hawza / Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu istiftaa kuhusu hukmu ya kisheria ya namna ya kuungana na imamu wa swala ya jamaa kupitia wanawake

    2025-08-21 11:27
  • Kuitambua Rasmi Palestina; Udanganyifu Mpya wa Magharibi na Wazayuni

    DuniaKuitambua Rasmi Palestina; Udanganyifu Mpya wa Magharibi na Wazayuni

    Hawza/ Kuitambua dola ya Palestina na baadhi ya nchi za Magharibi na Kiarabu, si zaidi ya msaada wa kweli, bali ni maonesho ya kisiasa kwa ajili ya kupunguza shinikizo la mitazamo ya umma na…

    2025-08-20 21:00
  • Sheikh Alhad Mussa: Viongozi wanatakiwa wawe kama Chumvi kwenye hii Dunia

    DuniaSheikh Alhad Mussa: Viongozi wanatakiwa wawe kama Chumvi kwenye hii Dunia

    Hawza/ Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT), Sheikh Alhad Mussa, leo hii katika mdahalo wa amani amewafananisha viongozi na chumvi kwa kusema: Viongozi wanatakiwa wawe…

    2025-08-20 20:01
  • Jihadharini na wezi wa itikadi

    DiniJihadharini na wezi wa itikadi

    Hawzah/ Ayatullah Ṣāfī Gulpāygānī (ra) alisisitiza kwamba hakuna mali yenye thamani kubwa kuliko “lulu ya akida (itikadi)” kwa Mwenyezi Mungu, Mtume Mtukufu (saw) na Maimamu watoharifu (as).

    2025-08-19 15:51
  • Ikiwa kutatokea mgongano kati ya mume/mke na wazazi, tumchague yupi?

    DiniIkiwa kutatokea mgongano kati ya mume/mke na wazazi, tumchague yupi?

    Hawzah/ Kuanza maisha ya ndoa haina maana ya kuiacha familia; bali kunahitaji kuwepo mipaka salama, ambapo heshima ya wazazi inalindwa na utulivu wa maisha ya ndoa unadumishwa

    2025-08-19 15:48
  • Maulidi ya Kitaifa Mwaka huu kufanyikia Mkoani Tanga

    Mufti wa Tanzania atangaza:

    DuniaMaulidi ya Kitaifa Mwaka huu kufanyikia Mkoani Tanga

    Hawza/ Maulidi ya kitaifa mwaka huu wa 2025 yamepangwa kufanyika Mkoani Tanga, katika wilaya ya Korogwe kwenye viwanja vya Shule ya Mazoezi Manundu

    2025-08-19 15:43
  • Somo la Akhlaq | Kwa Nini Uislamu Unalipa Umuhimu wa Pekee Swala la kuunga udugu?

    DiniSomo la Akhlaq | Kwa Nini Uislamu Unalipa Umuhimu wa Pekee Swala la kuunga udugu?

    Hawza/ Uislamu umetilia mkazo mkubwa juu ya sila rahm (kuunga udugu), si tu kwa maana ya kuunganisha uhusiano wa kifamilia, bali pia kwa maana ya kuyalinda mahusiano muhimu mawili ya kimaumbile…

    2025-08-18 16:08
  • King'ora cha Hatari ya Kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu Nchini Kanada

    DuniaKing'ora cha Hatari ya Kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu Nchini Kanada

    Hawza/ Kwa mujibu wa utafiti wa moja kwa moja uliofanywa na Chuo Kikuu cha York, jinai na vitendo vinavyotokana na chuki dhidi ya Uislamu nchini Kanada katika kipindi cha miaka miwili iliyopita…

    2025-08-18 16:03
  • Mshikamano kati ya Wanazuoni wa Kishia na Kisunni nchini Bangladeshi katika Kuiheshimu Arubaini ya Imam Husein (a.s.)

    DuniaMshikamano kati ya Wanazuoni wa Kishia na Kisunni nchini Bangladeshi katika Kuiheshimu Arubaini ya Imam Husein (a.s.)

    Hawza/ Kwa mara ya kwanza nchini Bangladeshi, wanazuoni wa Kishia na Kisunni wameungana kwa pamoja katika kugawa tabarruk za Imam Husein (a.s.) katika mji wa Khulna; hatua ambayo ni ishara ya…

    2025-08-18 16:00
  • Kikao maalumu na wanafunzi wa Tanzania, Malawi na Burundi chafanyika Qum Irani, kikiwa na maudhui ya kumkuza mwanafunzi katika ngazi ya kutumia fani mbali mbali za kisasa

    DuniaKikao maalumu na wanafunzi wa Tanzania, Malawi na Burundi chafanyika Qum Irani, kikiwa na maudhui ya kumkuza mwanafunzi katika ngazi ya kutumia fani mbali mbali za kisasa

    Hawza/ Wanafunzi wa Tanzania, Malawi na Burundi wakutana na wakili wa Jaamiatul-Mustafa pamoja na Raisi wa Taasisi ya Bayani ili kujadili jinsi ya kuweza kumkuza mwanafunzi hasa hasa katika kutumia…

    2025-08-18 11:51
  • Hukumu za Kisharia | Kumfuata Imamu wa Jamaa Asiyefahamika Katika Mikusanyiko ya Umma

    DiniHukumu za Kisharia | Kumfuata Imamu wa Jamaa Asiyefahamika Katika Mikusanyiko ya Umma

    Hawza/ Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu swali la kifiqhi kuhusiana na hukumu ya kisheria ya kumfuata Imamu wa jamaa asiyefahamika katika mikusanyiko ya umma.

    2025-08-18 01:23
  • Mwanazuoni wa Kishia kutoka Kashmir: Turekebishe maisha yetu kwa kuufuata mwenendo wa Imam Husein (a.s.)

    DuniaMwanazuoni wa Kishia kutoka Kashmir: Turekebishe maisha yetu kwa kuufuata mwenendo wa Imam Husein (a.s.)

    Hawzah/ Hujjat al-Islam Sayyid Hadi Musawi, katika kikao chake kwa ajili ya maombolezo, alisema: Bibi Zaynab (s.a.) kutokana khutuba zake aliuhifadhi utajo wa Karbala, na Imam Sajjad (a.s.) kwa…

    2025-08-18 01:19
  • Kampeni ya “Wakati wa Arubaini” Itaendelea Hadi Mwisho wa Mwezi wa Safar

    DuniaKampeni ya “Wakati wa Arubaini” Itaendelea Hadi Mwisho wa Mwezi wa Safar

    Hawza/ Mazuwari wa Huseini kwa kushiriki katika kampeni ya “Wakati wa Arubaini” wanaweza kulishirikisha Shirika la Habari la Hawza kwa kutuma picha na video za matembezi yao ya Arubaini hadi…

    2025-08-17 17:51
  • Akili Mnemba na Athari Zake katika Mifumo ya Kitamaduni na Kidini

    Katika mazungumzo yetu na Rais wa Jāmi‘at al-Mustafā al-‘Ālamiyya:

    DuniaAkili Mnemba na Athari Zake katika Mifumo ya Kitamaduni na Kidini

    Hawza/ Mjumbe wa Baraza la Wataalamu wa Uongozi wa Kidhini (Majlis Khubragān Rahbari) amesisitiza kuwa: kulinda mipaka ya kudiriki ya kijamii dhidi ya uvamizi laini wa adui, kwa kiwango kikubwa…

    2025-08-17 15:22
  • Ataba Tukufu ya Abulfadhil Abbasi (a.s) yatangaza idadi ya mazuwari waliohudhuria katika Ziara ya Arubaini mwaka huu

    Kwa kutegemea mfumo sahihi wa kuhesabu kielektroniki;

    DuniaAtaba Tukufu ya Abulfadhil Abbasi (a.s) yatangaza idadi ya mazuwari waliohudhuria katika Ziara ya Arubaini mwaka huu

    Hawza/ Ataba Tukufu ya Abulfadhil Abbasi (a.s) imetangaza uwepo wa zaidi ya mazuwari milioni 21 kwenye maadhimisho ya ziara ya Arubaini, taarifa hii imetolewa kwa kutumia mfumo sahihi wa kuhesabu…

    2025-08-17 14:47
  • Hawza yatoa Shukrani za dhati kutokana na mahudhurio ya mamilioni ya watu kwenye Arubaini pamoja na Ukarimu wa Serikali na Taifa la Iraq

    HawzaHawza yatoa Shukrani za dhati kutokana na mahudhurio ya mamilioni ya watu kwenye Arubaini pamoja na Ukarimu wa Serikali na Taifa la Iraq

    Hawza/ Kituo cha Usimamizi wa Hawza, sambamba na kuthamini uwepo wa mamilioni ya waty katika tukio hili kubwa la kimungu na kistaarabu la Arubaini, na pia kutoa shukrani zake kutokana na ukarimu…

    2025-08-17 14:22
  • "Kumuitikia Imam Hussein ni sawa na kumuitikia Imam Mahdi / Mjumuiko mkubwa wa Arubaini ni fursa bora ya kubainisha na kutangaza Uislamu safi wa Muhammadi"

    Ayatullah Saidi katika khutba za Sala ya Ijumaa:

    Dunia"Kumuitikia Imam Hussein ni sawa na kumuitikia Imam Mahdi / Mjumuiko mkubwa wa Arubaini ni fursa bora ya kubainisha na kutangaza Uislamu safi wa Muhammadi"

    Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom Irani, amesema: Arubaini ni harakati ya pamoja kuelekea kwa Imamu na Hujjat wa Mwenyezi Mungu, Arubaini ina uhusiano wa karibu mno na Mahdawiyya kiasi kwamba kusema…

    2025-08-15 22:47
  • Arubaini ni hazina kubwa inayotokana na mapenzi, kujitolea na utu

    Ayatollah Al-Udhma Makarim Shirazi:

    DuniaArubaini ni hazina kubwa inayotokana na mapenzi, kujitolea na utu

    Hawza/ Hadhrat Ayatollah Makarim amesisitiza kuwa: Arubaini si matembezi tu; ni hazina kubwa inayotokana na mapenzi, kujitolea na ubinadamu ambayo haina mfano wowote duniani.

    2025-08-15 10:26
  •  Lengo Kuu la Sayyid al-Shuhadaa (a.s.) Lilikuwa ni Kufundisha na Kuwatakasha watu

    Ayatullah Al-Udhma Jawad Amuli:

    Dunia Lengo Kuu la Sayyid al-Shuhadaa (a.s.) Lilikuwa ni Kufundisha na Kuwatakasha watu

    Hawza/ Hadhrat Ayatollah Al-Udhma Jawadi Amuli amesema: Ziara ya Arubaini humwondoa mwanadamu katika tabia ya kuwa na huzuni ya kupita kiasi, pupa na ubinafsi wa kuzuia mema, na lengo kuu la…

    2025-08-15 10:18
  • Taarifa ya Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom Irani [J'amiatul Mudarris'in] Kuhusiana na Kulaani Mpango wa Kuzuia na Kuuteka Kikamilifu Ukanda wa Ghaza / Aibu iliyowapata  waongo wanaodai haki za Binadamu

    DuniaTaarifa ya Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom Irani [J'amiatul Mudarris'in] Kuhusiana na Kulaani Mpango wa Kuzuia na Kuuteka Kikamilifu Ukanda wa Ghaza / Aibu iliyowapata  waongo wanaodai haki za Binadamu

    Hawza/ Mpango dhalimu na kinyume cha ubinadamu wa kuiteka Ghaza kwa hakika utashindwa, na mapambano ya Kiislamu huko Ghaza, kwa idhini na msaada wa Mwenyezi Mungu, yatapats ushindi wa mwisho…

    2025-08-15 10:13
  • Waislamu wa Uholanzi wamemshtaki mwanasiasa mwenye chuki kali dhidi ya Uislamu, kutokana na kueneza kufanya kampeni za chuki dhidi ya Uislamu

    DuniaWaislamu wa Uholanzi wamemshtaki mwanasiasa mwenye chuki kali dhidi ya Uislamu, kutokana na kueneza kufanya kampeni za chuki dhidi ya Uislamu

    Hawza/ Mashirika kumi na nne ya Kiislamu yamefungua mashtaka dhidi ya Geert Wilders, mwanasiasa wa mrengo wa kulia uliokithiri nchini Uholanzi, na yamethibitisha kuwa yeye ni mtu mwenye ukatili…

    2025-08-14 11:07
  • Elon Musk amebadilisha mfumo wa akili mnemba ili iswme uongo kuhusiana na Ghaza!

    DiniElon Musk amebadilisha mfumo wa akili mnemba ili iswme uongo kuhusiana na Ghaza!

    Hawza/ Baada ya watumiaji kubaini kuwa akili mnemba "Grok" ilipoulizwa swali: “Je, huko Ghaza kunafanyika mauaji ya kimbari?” ilijibu: “Ndiyo, Israel na Marekani wanafanya mauaji ya kimbari huko,”…

    2025-08-14 11:02
  • Serikali ya Uhispania yatangaza kufutwa marufuku iliyolenga mikusanyiko ya kidini

    DiniSerikali ya Uhispania yatangaza kufutwa marufuku iliyolenga mikusanyiko ya kidini

    Hawza/ Serikali ya Uhispania imemjulisha Meya wa mji wa Jumilla kuwa marufuku iliyolenga mikusanyiko ya kidini na kitamaduni kwenye viwanja vya michezo, iliyokuwa ikitekelezwa hapo awali, imeondolewa…

    2025-08-14 10:58
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • Next

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom