Ijumaa 4 Julai 2025

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Video / Utetezi wa kishujaa wa Seneta wa Pakistan kwa Ayatollah al-Udhma Khamenei

    VideoVideo / Utetezi wa kishujaa wa Seneta wa Pakistan kwa Ayatollah al-Udhma Khamenei

    Hawza / Kauli za Hujjatul-Islam wal-Muslimin Raja Nasir Jafari, Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan.

    2025-07-02 14:27
  • Lugha ya matusi ya mabeberu dhidi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu italeta majibu makali

    Mwenyekiti wa Baraza la Maulamaa wa Kishia wa Pakistan:

    DuniaLugha ya matusi ya mabeberu dhidi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu italeta majibu makali

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika taarifa aliyoitoa, amelaani vikali matamshi ya matusi ya Rais wa Marekani kumhusu Ayatollah Khamenei, alisisitiza nafasi adhimu…

    2025-07-02 14:21
  • Vita kati ya Iran na utawala wa Kizayuni ni makabiliano kati ya kambi ya Imani na kambi ya Ukafiri

    Mwanazuoni Mashuhuri wa Pakistan:

    DuniaVita kati ya Iran na utawala wa Kizayuni ni makabiliano kati ya kambi ya Imani na kambi ya Ukafiri

    Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Abid al-Husayni, katika taarifa yake kuhusu vita baina ya Iran na utawala wa Kizayuni, ameieleza vita hiyo kuwa ni makabiliano baina ya kambi ya Uislamu na kambi…

    2025-07-02 14:20
  • Maulamaa wa Uturuki watangaza kumuunga Mkono Ayatollah al-Udhma Khamenei

    DuniaMaulamaa wa Uturuki watangaza kumuunga Mkono Ayatollah al-Udhma Khamenei

    Hawza/ Maulamaa wa Ahlul Bayt wa Uturuki wametangaza kwa kusema: Sisi Waislamu wenye ghera na waumini duniani, kamwe hatutakaa kimya mbele ya vitisho na dharau za Rais wa Marekani na utawala…

    2025-07-02 14:19
  • Maandamano ya kupinga utawala wa Kizayuni yafika hadi nchini Sweden

    HawzaMaandamano ya kupinga utawala wa Kizayuni yafika hadi nchini Sweden

    Hawza/ Mamia ya Waswidi walikusanyika mjini Stockholm, mji mkuu wa Sweden, ili kulaani jinai zinazifanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.

    2025-07-01 23:41
  • Maelfu ya Wazayuni waandamana kulalamikia kushindwa kwa Netanyahu kuwaokoa mateka

    DuniaMaelfu ya Wazayuni waandamana kulalamikia kushindwa kwa Netanyahu kuwaokoa mateka

    Hawza/ Makumi ya maelfu ya Wazayuni waliandamana kupinga hali yao ya sasa na kushindwa kwa serikali yao kuwaokoa mateka walioko katika Ukanda wa Ghaza.

    2025-07-01 23:40
  • Kushamiri kwa mashambulizi dhidi ya Waislamu baada ya ushindi wa Zahran Mamdani katika uchaguzi wa umeya New York

    DuniaKushamiri kwa mashambulizi dhidi ya Waislamu baada ya ushindi wa Zahran Mamdani katika uchaguzi wa umeya New York

    Hawza/ Ushindi wa Zahran Mamdani kama Meya Mwislamu wa jiji la New York katika uchaguzi, kumezua mashambulizi na chuki nyingi dhidi ya Waislamu huko New York na Marekani kwa ujumla, kiasi cha…

    2025-07-01 23:39
  • Kupanuka kwa wigo wa maandamano dhidi ya kuvunjiwa heshima maombolezo ya Bwana wa Mashahidi (as) nchini Pakistan

    DuniaKupanuka kwa wigo wa maandamano dhidi ya kuvunjiwa heshima maombolezo ya Bwana wa Mashahidi (as) nchini Pakistan

    Hawza/ Baadhi ya maafisa wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan, katika mkutano na wanahabari uliofanyika Lahore, Pakistan, walieleza wasiwasi wao kuhusu vikwazo vinavyowekwa dhidi ya alama…

    2025-07-01 23:39
  • Makazi ya Imam Mahdi (as) katika Kipindi cha Ghaiba Kubwa

    Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 33

    DiniMakazi ya Imam Mahdi (as) katika Kipindi cha Ghaiba Kubwa

    Hawza/ Ikiwa katika mada ya "ghaiba", mambo kama mahali alipo Imam (as), chakula chake n.k. yasibainike wazi, hilo halileti shaka wala dhana yoyote; vivyo hivyo, kubainika kwa mambo hayo hakuhusiki…

    2025-07-01 00:21
  • Mtu yeyote au utawala wowote unaomtishia Kiongozi na marja'iyya hukumu yake ni sawa na muharib (Mtu mwenye kuupiga vita uislamu) / Ushirikiano kati ya serikali za Kiislamu na adui ni haramu

    Ayatollah al-Udhma Makarim Shirazi:

    HawzaMtu yeyote au utawala wowote unaomtishia Kiongozi na marja'iyya hukumu yake ni sawa na muharib (Mtu mwenye kuupiga vita uislamu) / Ushirikiano kati ya serikali za Kiislamu na adui ni haramu

    Hawza/ Ayatollah Makarim Shirazi amesema bayana kuwa: Mtu yeyote au utawala wowote unaonuia kuupiga uma wa Kiislamu na mamlaka yake kwa kuutishia uongozi na marja'iyya, au (Allah aepushe) kuuvunjia…

    2025-07-01 00:17
  • Aina yoyote ya shambulio au tishio dhidi ya Ayatollah Khamenei kutoka kwa mtu au serikali yoyote hukumu yake ni sawa na "muharib" (Mtu anae upiga vita uislamu)

    Ayatollah al-Udhma Nuri Hamedani:

    HawzaAina yoyote ya shambulio au tishio dhidi ya Ayatollah Khamenei kutoka kwa mtu au serikali yoyote hukumu yake ni sawa na "muharib" (Mtu anae upiga vita uislamu)

    Hawza/ Ayatollah Nuri Hamedani ametoa jibu kutokana na ombi la “kutoa hukumu na fatwa ya kihistoria dhidi ya kuwepo na maslahi yote ya Marekani inayofanya jinai na wazayuni wa kimataifa” kufuatia…

    2025-07-01 00:16
  • Maombolezo ya Muharram yanapaswa kubadilika kuwa uwanja wa mapambano dhidi ya dhulma

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (as) (Majm'a Jahanii):

    DuniaMaombolezo ya Muharram yanapaswa kubadilika kuwa uwanja wa mapambano dhidi ya dhulma

    Hawza/ Ustadh Ramadhanii amesema kuwa: Iwapo vikao vya Imam Hussein (as) havitahusisha matatizo ya leo ya Uislamu na masaibu ya Maimamu (as), basi havijatumika ipasavyo kwa uwezo wake kamili.

    2025-07-01 00:15
  • Mapambano ya Ayatollah al-Udhma Khamenei dhidi ya ukafiri ni ulinzi kwa Waislamu wote duniani

    Jumuiya ya Ahladar ya Uturuki:

    DuniaMapambano ya Ayatollah al-Udhma Khamenei dhidi ya ukafiri ni ulinzi kwa Waislamu wote duniani

    Hawza / Jumuiya ya Ahladar nchini Uturuki imetangaza kuwa: Mapambano haya ambayo Kiongozi wetu mpendwa, Ayatollah Khamenei, ameanzisha kwa kaulimbiu “Mhimizo wa muqawama unapendelea kufa kishujaa…

    2025-07-01 00:14
  • Hasira ya Trump kwa sababu ya Muislamu kugombea umeya katika jimbo la New York

    DuniaHasira ya Trump kwa sababu ya Muislamu kugombea umeya katika jimbo la New York

    Hawza/ Donald Trump alimtaja Zohran Mamdani, ambaye alikuwa mgombea wa umeya katika jimbo la New York, kuwa mmoja wa wafuasi wakuu wa Palestina nchini Marekani, jambo lililotokea huku idadi ya…

    2025-06-28 13:47
  • Makombora ya Iran ni sawa na jinamizi kwa Wazayuni

    Kiongozi wa Ansarullah Yemen:

    DuniaMakombora ya Iran ni sawa na jinamizi kwa Wazayuni

    Hawza/ Sayyid Abdulmalik Badruddin al-Houthi, ametoa pongezi kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kutokana na ushindi wake katika vita vilivyoanzishwa kwa kulazimishwa na utawala dhalimu wa Kizayuni,…

    2025-06-28 13:45
  • Iran imeivuka kwa nguvu njama za kimataifa na kufikia zama mpya za uimara

    Abu Alaa al-Wala'i:

    DuniaIran imeivuka kwa nguvu njama za kimataifa na kufikia zama mpya za uimara

    Hawza/ Katibu Mkuu wa Muqawama wa Kiislamu wa Kataib Sayyid al-Shuhada, amezungumzia ushindi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni na Marekani,…

    2025-06-28 13:44
  • Kuhudhuria mazishi ya mashahidi ni jawabu thabiti kwa porojo zinazotolewa na viongozi wenye kutakabari

    Ayatollah al-‘Uzma Nouri Hamedani:

    HawzaKuhudhuria mazishi ya mashahidi ni jawabu thabiti kwa porojo zinazotolewa na viongozi wenye kutakabari

    Hawza/ Hadhrat Ayatollah Nouri Hamedani, katika ujumbe wake kutokana ma mnasaba wa kuuawa kishahidi Sardar Luteni Jenerali Mujahid Ali Shadmani, alisisitiza kuwa: Kuhudhuria kwa wapendwa wote…

    2025-06-28 13:43
  • Maombolezo ya Muharram ya mwaka huu yafanyike kwa namna ya adhama zaidi kuliko miaka iliyopita / Hawza na maulamaa daima wamesimama imara juu ya ahadi yao kwa raia

    Ayatollah A‘raafi katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa mwezi wa Muharram:

    HawzaMaombolezo ya Muharram ya mwaka huu yafanyike kwa namna ya adhama zaidi kuliko miaka iliyopita / Hawza na maulamaa daima wamesimama imara juu ya ahadi yao kwa raia

    Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza amesisitiza kuwa: Maombolezo ya mwezi wa Muharram mwaka huu yanapaswa kufanyika kwa namna ya adhama zaidi kuliko zamani kwa lengo la kuimarisha hamasa ya Ashura na…

    2025-06-28 13:42
  • Rais Mwinyi azindua rasmi kamati ya kusimamia Madrasa Zanzibar

    DuniaRais Mwinyi azindua rasmi kamati ya kusimamia Madrasa Zanzibar

    Hawaza/ Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameizindua rasmi Kamati ya Kitaifa ya Kusimamia Madrasa Zanzibar.

    2025-06-28 09:21
  • Imam Hussein (as) ni kielelezo cha uhuru na haki; maombolezo ni haki ya raia na urithi wa muqawama

    Raisi wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan:

    DuniaImam Hussein (as) ni kielelezo cha uhuru na haki; maombolezo ni haki ya raia na urithi wa muqawama

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa kuwadia kwa mwezi mtukufu wa Muharram al-Haram, amesisitiza kuwa uendeshaji wa maombolezo…

    2025-06-28 09:19
  • Wazayuni waomba fidia kutoka kwa Netanyahu

    DuniaWazayuni waomba fidia kutoka kwa Netanyahu

    Hawza/ Televisheni ya Israel imeripoti kupokea maelfu ya maombi ya fidia kutoka kwa Wazayuni baada ya kumalizika kwa vita na Iran na kutokana na uharibifu mkubwa uliosalia katika maeneo ya kati…

    2025-06-28 09:19
  • Mfumo wa Uimamu ni mfumo wa kimungu usiokatika

    Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 32

    DiniMfumo wa Uimamu ni mfumo wa kimungu usiokatika

    Hawza/ Mfumo wa Uimamu ni mfumo wa kimungu, usiokatika, na hauna kipindi cha mapumziko (fatra); upo katika kila zama na kila wakati. Kuanzia zama za Mtume Mtukufu Muhammad (saw) hadi leo umeanzishwa,…

    2025-06-27 09:42
  • Mwanazuoni wa Kiislamu kutoka India: Iran imevunja kiburi cha Israel na Marekani

    DuniaMwanazuoni wa Kiislamu kutoka India: Iran imevunja kiburi cha Israel na Marekani

    Hawza/ Hujjatul-Islām wal-Muslimīn Sayyid Ahmad Ali Abidi, kufuatia ushindi wa kihistoria wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya uvamizi wa utawala wa Kizayuni na Marekani, kwa kwenye ujume…

    2025-06-26 19:41
  • Mwanazuoni wa Kidini kutoka Pakistan: Iran ni sauti ya wazi ya Karbala mbele ya ubeberu wa kimataifa

    DuniaMwanazuoni wa Kidini kutoka Pakistan: Iran ni sauti ya wazi ya Karbala mbele ya ubeberu wa kimataifa

    Hawza/ Kikao kilichoandaliwa kwa anuani ya "Ujumbe wa Karbala na sherehe ya ushindi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran" kimefanyika katika jimbo la Sindh, Pakistan.

    2025-06-26 19:40
  • Ushindi wa kujivunia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kielelezo cha heshima kwa Umma wa Kiislamu mbele ya ubeberu wa kimataifa

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kisheria ya Mashia wa Jammu na Kashmir:

    DuniaUshindi wa kujivunia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kielelezo cha heshima kwa Umma wa Kiislamu mbele ya ubeberu wa kimataifa

    Hawza/ Hujjat-ul-Islām wal-Muslimīn Sayyid Hassan Mousavi, katika ujumbe wake, ameeleza kwamba: ushindi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya Marekani na utawala wa Kizayuni ni dhihirisho la…

    2025-06-26 19:40
  • Utawala wa Kizayuni umeporomoka chini ya mapigo ya Jamhuri ya Kiislamu na kusagwasagwa / Hongera kwa taifa tukufu la Iran na vikosi vya kijeshi

    Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu:

    DuniaUtawala wa Kizayuni umeporomoka chini ya mapigo ya Jamhuri ya Kiislamu na kusagwasagwa / Hongera kwa taifa tukufu la Iran na vikosi vya kijeshi

    Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: Utawala wa Kizayuni, pamoja na makelele yote na madai yote, umeporomoka kabisa chini ya mapigo ya Jamhuri ya Kiislamu na umesagwasagwa.

    2025-06-26 19:39
  • Bunge la Kiislamu la Iran limesitisha kuendeleza ushirikiano na Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki

    DuniaBunge la Kiislamu la Iran limesitisha kuendeleza ushirikiano na Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki

    Hawza/ Wabunge wa Bunge la Kiislamu la Iran, katika kikao cha wazi cha leo Bungenj, wamepitisha vipengele vya jumla na vya kina vya mswada wa kusitisha ushirikiano na Shirika la Kimataifa la…

    2025-06-26 08:34
  • Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu mbele ya Marekani na Israel ni kofi kali usoni mwa wanafiki na wabeberu wa kimataifa

    Mwanamama Mwanasiasa wa Pakistan:

    DuniaUshindi wa Mapinduzi ya Kiislamu mbele ya Marekani na Israel ni kofi kali usoni mwa wanafiki na wabeberu wa kimataifa

    Hawza/ Mheshimiwa Saira Ibrahim, katika hotuba yake huku akiashiria ushindi wa hivi karibuni walioupata Mapinduzi ya Kiislamu dhidi ya Marekani na utawala wa Kizayuni, alisema: Hili ni tukio…

    2025-06-26 08:33
  • Watu wa Iran ni alama ya nguvu na heshima ya ulimwengu wa Kiislamu

    Imamu wa Ijumaa wa Georgia:

    DuniaWatu wa Iran ni alama ya nguvu na heshima ya ulimwengu wa Kiislamu

    Hawza/ Hujjatul-Islam Haj Rahid Karim, Imamu wa Ijumaa wa Msikiti wa Ahlul Bayt katika eneo la Soghanliq, mji wa Tbilisi, alisema: Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi anasema: "Sisi ni wenye kudhulumiwa,…

    2025-06-26 08:32
  • Ujasiri na mshikamano wa watu katika kutetea Mapinduzi na Taifa ni sababu ya kujivunia

    Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran:

    HawzaUjasiri na mshikamano wa watu katika kutetea Mapinduzi na Taifa ni sababu ya kujivunia

    Hawza/ Ayatollah Arafi, kwa kuthamini kujitolea vikosi vya ulinzi na wananchi wa Iran, ameitaja hali ya uwepo wa watu kwa namna ya fahari na kwa uangalifu katika kutetea nchi kuwa ni sehemu muhimu…

    2025-06-26 08:31
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • Next

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom