Jumapili 14 Desemba 2025
  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Ili Waislamu Wawe Bora, Qur'an Imetoa Sharti Hili

    Mafunzo Katika Qur'an:

    DiniIli Waislamu Wawe Bora, Qur'an Imetoa Sharti Hili

    Hawza/ Ufunguo wa heshima na ushindi kwa Waislamu upo katika imani thabiti, kusimama imara katika njia ya haki, na kushikamana na maadili ya Mwenyezi Mungu. Mwenyezi Mungu anasema katika Qur’ani…

    2025-12-13 23:30
  • Harakati ya Kiislamu Nchini Nigeria, Yaadhimisha Kumbukumbu ya Kuzaliwa Sayyida Fatima al-Zahra (as) + Picha

    DuniaHarakati ya Kiislamu Nchini Nigeria, Yaadhimisha Kumbukumbu ya Kuzaliwa Sayyida Fatima al-Zahra (as) + Picha

    Hawza/ harakati ya Kiislamu nchini Nigeria imeadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa Sayyida Fatima al-Zahra (as), ambae ni binti wa Mtume (saww), na mke wa Imam Ali (as), vile vile pia ni mama wa…

    2025-12-13 22:30
  • Kundi la Masheikh wa Senegal, Wakutana na Kiongozi wa Tijaniyya wa Eneo la Al-Tamasin, Algeria + Picha

    DuniaKundi la Masheikh wa Senegal, Wakutana na Kiongozi wa Tijaniyya wa Eneo la Al-Tamasin, Algeria + Picha

    Hawza / Kundi la watafiti na mashaykh wa madhehebu ya Tijaniyya kutoka nchi ya Senegal walikutana na Kiongozi wa Tariqa ya Tijaniyya katika eneo la Al-Tamasin, lililopo nchini Algeria.

    2025-12-13 21:30
  • Hashdu Shaabi Imeiokoa Iraq Dhidi ya Mifarakano

    Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad:

    DuniaHashdu Shaabi Imeiokoa Iraq Dhidi ya Mifarakano

    Hawza/ Ayatollah Sayyid Yasin Mousawi, Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad, huku akisisitiza nafasi ya kipekee na isiyopingika ya Hashdu Shaabi katika kuiokoa Iraq dhidi ya mifarakano na kusambaratika…

    2025-12-13 20:36
  • Nahjul-Balagha ni Nakala ya Utawala wa Kiislamu / Tumfasiri Mwanamke kwa Kutumia Kigezo cha Bibi Fa'tima

    Ayatullah A‘rafi katika Khutuba ya Swala ya Ijumaa Qum Iran:

    HawzaNahjul-Balagha ni Nakala ya Utawala wa Kiislamu / Tumfasiri Mwanamke kwa Kutumia Kigezo cha Bibi Fa'tima

    Hawza/ Khatibu wa swala ya Ijumaa Qum amesema: Katika muundo wa Kiislamu, maslahi jumuishi ya mwanamke, mwanaume, watoto na jamii huzingatiwa katika kuweka kanuni. Tukikusanya mizani ya maslahi…

    2025-12-12 21:00
  • Vijana na Mabinti Wawe ni Wenye Shukrani Kutokana na Jitihada Walizo Zifanya Wazazi Wao Kwao

    Ayatollah Al-Udhma Jawadi Amoli:

    DiniVijana na Mabinti Wawe ni Wenye Shukrani Kutokana na Jitihada Walizo Zifanya Wazazi Wao Kwao

    Hawza/ Hadhrat Ayatollah Jawadi Amoli aliwashauri wasichana na wavulana kuwa wenye shukrani kwa juhudi zilizofanywa na baba na mama kuwaelekea wao.

    2025-12-12 20:00
  • Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) Ahudhuria Hafla ya Ndoa ya Vijana 100 Jijini Tanga + Picha

    DuniaSheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) Ahudhuria Hafla ya Ndoa ya Vijana 100 Jijini Tanga + Picha

    Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania, Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, ameshiriki katika hafla maalumu ya ndoa za pamoja kwa vijana 100 iliyofanyika leo jijini Tanga.

    2025-12-12 19:00
  • Lazima Kuzinduliwe Harakati ya Tafsiri ya Qur’ani

    Ayatullah Khatami Katika Kongamano la Kitaifa la Mbebabendera ya Tafsiri ya Qur'an:

    HawzaLazima Kuzinduliwe Harakati ya Tafsiri ya Qur’ani

    Hawza/ Mjumbe wa Baraza la Wataalamu wa Uongozi (Shura-ye Negahban), katika Mkutano wa Kitaifa wa "Mbebabendera ya Tafsiri", huku akisisitiza ulazima wa kuzinduliwa harakati ya tafsiri ya Qur’ani,…

    2025-12-12 08:00
  • Wafasiri wa Qur'an Wajiepushe Kukariri, Badala Yake Wajikite Kwenye Ubunifu

    Ayatullah Al-Udhma Subhani:

    HawzaWafasiri wa Qur'an Wajiepushe Kukariri, Badala Yake Wajikite Kwenye Ubunifu

    Hawza/ Mtukufu Ayatullah Subhani, katika Mkutano wa Kitaifa wa "Kuinua bendera ya Tafsiri ya Qur’ani Tukufu", aliwataka wafasiri wa Qur'an kuepuka kurudia yaliyokwisha kusemwa na kuelekea kwenye…

    2025-12-12 07:00
  • Ayatullah Yazdi (r.a.) Alikuwa Mtu wa Zama Muhimu Katika Historia/ Mfano wa Hekima Katika Utendaji

    Ayatullah A‘rafi katika hafla ya kufunga Mkutano wa Kitaifa wa Vinara wa Harakati ya Kiislamu:

    HawzaAyatullah Yazdi (r.a.) Alikuwa Mtu wa Zama Muhimu Katika Historia/ Mfano wa Hekima Katika Utendaji

    Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza katika hafla ya kufunga Mkutano wa Kitaifa wa “Vinara wa Harakati ya Kiislamu; Ayatullah Yazdi (r.a.)” alisisitiza: Mujaahid huyu wa kimapinduzi alikuwa kielelezo cha…

    2025-12-12 06:00
  • Sheikh Al-Qattan Katika Kikao Chake na Jamil Hayek, Atilia Mkazo Kwenye Umoja wa Kitaifa na Kuliunga Mkono Suala la Palestina

    DuniaSheikh Al-Qattan Katika Kikao Chake na Jamil Hayek, Atilia Mkazo Kwenye Umoja wa Kitaifa na Kuliunga Mkono Suala la Palestina

    Hawza/ Rais wa Jumuiya ya “Qawluna wa Al-Amal” nchini Lebanon, alipotembelea ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Amal mjini Beirut, alifanya kikao na Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya harakati hiyo, Jamil…

    2025-12-12 00:00
  • Ulazima wa Kubadili Mpangilio wa Ufikishaji wa Kimtandao na Kimaarifa Mbele ya Juhudi Anazozifanya Adui Ili Kuvutia Nyoyo na Akili

    Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Iran, Katika Mkutano na Waimbaji wa Mashairi ya Ahlul-Bayt (a.s.):

    DuniaUlazima wa Kubadili Mpangilio wa Ufikishaji wa Kimtandao na Kimaarifa Mbele ya Juhudi Anazozifanya Adui Ili Kuvutia Nyoyo na Akili

    Hawza/ Kiongozi wa Mapinduzi alibainisha kuwa; kusimama imara dhidi ya vita vya ufikishaji wa kimtandao vinavyoongozwa na Magharibi ni jambo gumu lakini linawezekana kabisa. Alisema: Katika njia…

    2025-12-11 22:45
  • Ushauri Muhimu wa Ayatollah Udhmaa Wahid Khorasani Kuwaelekea Vijana

    DuniaUshauri Muhimu wa Ayatollah Udhmaa Wahid Khorasani Kuwaelekea Vijana

    Hawza/ Ayatollah Mkuu Wahid Khorasani amesisitiza kuwa: Ujana kwa mwanadamu ni kama msimu wa masika kwenye ulimwengu na katika mzunguko wa wakati. Katika msimu huu wa ujana, kila mbegu ya elimu…

    2025-12-11 07:00
  • Tuiwasilishe Qur’ani kwa Namna Ambayo Watu wa Wawaida Waielewe na Wasomi Wavutiwe Nayo

    Ayatullah Qaraati Katika Mkutano na Wanafunzi wa Dini:

    DuniaTuiwasilishe Qur’ani kwa Namna Ambayo Watu wa Wawaida Waielewe na Wasomi Wavutiwe Nayo

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Mohsen Qiraati, katika mkutano na wanafunzi wa dini, alikosoa baadhi ya tafiti zisizo na manufaa ya moja kwa moja, akasisitiza umuhimu wa tabligh yenye ufanisi…

    2025-12-11 06:00
  • Kioo cha Unabii: Wakati Binti wa Mtume Alipokuwa Katika Daraja la Unabii

    DiniKioo cha Unabii: Wakati Binti wa Mtume Alipokuwa Katika Daraja la Unabii

    Hawza/ Bibi Fatima Zahra (amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake) aliishi siku sabini na tano baada ya Mtume, na katika kipindi hiki Jibril Amin alikuwa akiteremka mara kwa mara juu yake na kueleza…

    2025-12-10 23:11
  • Msimamo wa Kichochezi wa Wanaodai Kuhifadhi Uhuru wa Mamlaka, kwa Hakika ni wa Khiyana na Unaendana na Adui wa Kizayuni

    Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Lebanon:

    DuniaMsimamo wa Kichochezi wa Wanaodai Kuhifadhi Uhuru wa Mamlaka, kwa Hakika ni wa Khiyana na Unaendana na Adui wa Kizayuni

    Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon katika taarifa yake ulisema: Adui bado anaendelea na hujuma zake kwa kuvunja makubaliano ya kusitisha mapigano na Azimio namba 1701, na kwa…

    2025-12-10 19:00
  • Jihadharini na Mtego Ulio Jikita Kwenye Mazungumzo

    Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon:

    DuniaJihadharini na Mtego Ulio Jikita Kwenye Mazungumzo

    Hawza/ Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon, katika taarifa yake baada ya kikao chake cha kila mwezi, ilitoa onyo kuwa, ni lazima kujihadhari na mtego wa kile kinachoitwa “mazungumzo”.

    2025-12-10 18:00
  • Kukosa Usalama na Kutoridhika Ndani ya Mwaka Mmoja wa Utawala wa Jolani Sirya

    DuniaKukosa Usalama na Kutoridhika Ndani ya Mwaka Mmoja wa Utawala wa Jolani Sirya

    Hawza/ Katika maadhimisho ya mwaka mmoja tangia kuanguka kwa Bashar al-Assad, iwapo Jolani na timu yake hawataweza kutatua matatizo mengi ya kiuchumi, kijamii na kisiasa ya Syria na kutoa mtazamo…

    2025-12-10 17:00
  • Ushiriki Hai wa Hawza Katika Muundo wa Fikra za Kijamii na Mifumo ya Nchi ni Hitaji Lisilopingika

    Ayatullah A‘arafi Katika Kongamano la Mwaka la Wawakilishi wa Wanafunzi na wanazuoni wa Hawza:

    HawzaUshiriki Hai wa Hawza Katika Muundo wa Fikra za Kijamii na Mifumo ya Nchi ni Hitaji Lisilopingika

    Ayatullah A‘arafi alisisitiza: ushiriki hai wa Hawza katika muundo wa fikra za jamii na katika mifumo ya nchi ni hitaji lisilopingika. Japokuwa Hawza imekuwa na uwepo katika nyanja nyingi na…

    2025-12-10 15:57
  • Misingi 12 ya Shughuli za Kimkakati za Qur'ani Ndani ya Hawza:

    Ayatollah Al-Irāfi katika Kikao na Walimu wa Tafsiri ya Qur'ani Amesisitiza:

    HawzaMisingi 12 ya Shughuli za Kimkakati za Qur'ani Ndani ya Hawza:

    Hawza/ Mkuu wa Hawza nchini Iran, katika mkutano na waalimu na wafasiri wa Qur’ani, alisisitiza kwamba: Qur’ani ni maandiko pekee ya mbinguni yaliyo sahihi na hitaji la pamoja la binadamu wote.…

    2025-12-09 20:45
  • Da‘wa (Tabligh) ni Kukumu la Kwanza la Wanazuoni wa Hawza

    Ayatullah Udhma Nouri Hamadani:

    DuniaDa‘wa (Tabligh) ni Kukumu la Kwanza la Wanazuoni wa Hawza

    Hawza/ Ayatullah Nouri Hamadani amesisitiza kuwa: jukumu la kwanza kabisa la wanazuoni wa Hawza ni kutekeleza kazi ya da‘wa (tabligh). Matunda ya juhudi zote yanajikusanya katika jukumu hili;…

    2025-12-09 19:45
  • Emilio Saba, Beki Anayevuka Mipaka ya Soka na Kuwa Chanzo cha Msukumo Katika Kombe la Kiarabu

    Kutoka Lima hadi Palestina:

    DuniaEmilio Saba, Beki Anayevuka Mipaka ya Soka na Kuwa Chanzo cha Msukumo Katika Kombe la Kiarabu

    Hawza/ Katika Kombe la Kiarabu lililofanyika Doha, Emilio Saba — mchezaji wa Peru mwenye mizizi ya Kipalestina — kwa uchezaji wake mahiri, unyenyekevu na utambulisho wake wa pande mbili, ameibuka…

    2025-12-09 18:45
  • Dumisheni Sera ya Chile Iliyojengwa juu ya Misingi ya Mafungamano na Palestina Bila Kuibadili

    Jamii ya Wapalestina waishio Chile Yawahutubia Wagombea wa Urais:

    DuniaDumisheni Sera ya Chile Iliyojengwa juu ya Misingi ya Mafungamano na Palestina Bila Kuibadili

    Hawza/ Katika kipindi cha kuelekea uchaguzi wa rais wa Chile, rais wa jamii ya Wapalestina nchini humo, akisisitiza historia ndefu ya Chile katika kutetea haki za taifa la Palestina, amewataka…

    2025-12-09 17:45
  • Lebanon Kamwe Haitatolewa Zawadi Bure Kutokana na Tamaa za Wazayuni na Marekani

    Iyhab Hamadeh:

    DuniaLebanon Kamwe Haitatolewa Zawadi Bure Kutokana na Tamaa za Wazayuni na Marekani

    Hawza/ Chama cha Hizbullah kiliandaa hafla katika Husseinia ya mji wa Hlabta, kutokana na mnasaba wa kumbukizi ya mwaka wa shahada ya Sheikh Adnan Ali Saifuddin.

    2025-12-09 16:45
  • Tunaweza Kuilinda Lebanon Dhidi ya Migogoro Hatari Zaidi Kupitia Umoja wa Kitaifa

    Sheikh Ahmad Qabalan:

    DuniaTunaweza Kuilinda Lebanon Dhidi ya Migogoro Hatari Zaidi Kupitia Umoja wa Kitaifa

    Hawza/ Mufti Mkuu wa Jaafari wa Lebanon amesisitiza kuwa historia yetu, pamoja na ugumu wake wote, inaonesha wazi kwamba tunaweza kuilinda Lebanon kupitia umoja wa kitaifa na ushiriki mpana wa…

    2025-12-09 15:39
  • Rafiki Mwenye Hekima kwa Mtazamo wa Ayatullah al-‘Udhma Jawadi Amoli

    DiniRafiki Mwenye Hekima kwa Mtazamo wa Ayatullah al-‘Udhma Jawadi Amoli

    Hawza/ Ayatullah al-‘Udhma Jawadi Amoli amesema: uhusiano wa kindugu kwa kiwango cha jumla si jambo baya, na ni vyema kila Mwislamu awe na uhusiano mwema na Mwislamu mwenzake; lakini inapofikia…

    2025-12-08 17:45
  • Makumbusho ya Lincolnshire Nchini Uingereza Yaandaa Maonesho ya Athari za Kihistoria za Kiislamu Kutoka Makka

    DuniaMakumbusho ya Lincolnshire Nchini Uingereza Yaandaa Maonesho ya Athari za Kihistoria za Kiislamu Kutoka Makka

    Hawza/ Athari za kale za Kiislamu zilizo maalumu sana, ambazo hapo awali zilikuwa zinaoneshwa Makka pekee, hivi karibuni zimewekwa katika maonesho katika Makumbusho ya Scunthorpe mjini Lincolnshire,…

    2025-12-08 16:45
  • Sheikh Zakzaky Akutana na Wanazuoni na Wazee Kutoka Sehemu Mbalimbali Nchini Nigeria

    DuniaSheikh Zakzaky Akutana na Wanazuoni na Wazee Kutoka Sehemu Mbalimbali Nchini Nigeria

    Hawza/ Kundi la wanazuoni na wazee kutoka maeneo mbalimbali ya nchi ya Nigeria walikutana na kufanya mazungumzo na Sheikh Ibrahim Zakzaky katika makazi yake.

    2025-12-08 15:45
  • Nchi za Kiislamu Zimetoa Onyo Kuhusiana na Mpango Mchafu wa Israel Huko Rafah

    DuniaNchi za Kiislamu Zimetoa Onyo Kuhusiana na Mpango Mchafu wa Israel Huko Rafah

    Hawza/ Nchi za Qatar, Misri na nchi nyingine sita za Kiislamu zimelaani vikali hatua ya Israel ya kufungua upande mmoja wa mpaka wa Rafah kwa njia ambayo inaruhusu tu kukimbia kwa wananchi wa…

    2025-12-08 14:45
  • Hispania Inaunga Mkono Kuundwa kwa Kola ya Palestina

    DuniaHispania Inaunga Mkono Kuundwa kwa Kola ya Palestina

    Hawza/ José Manuel Álvarez, Waziri wa Mambo ya Nje wa Hispania, amekiri kwamba: ghasia za walowezi wa Kizayuni wa Israel katika Ukingo wa Magharibi zimevuka mipaka ya udhibiti. Sisi tunatambua…

    2025-12-08 13:45
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • Next

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom