Dini
لیستی صفحه سرویس
-
Sheikh Mkuu wa TIC Ashiriki Upandishaji wa Bendera ya Imam Mahdi (a.s) Bilal Comprehensive School
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemedi Jalala, ameshiriki katika zoezi la upandishaji wa Bendera ya Imam Mahdi (a.s), lililofanyika katika Shule ya Bilal…
-
Waandamanaji wa Kijerumani wametaka mateka waliopo katika magereza ya Israel waachiliwe huru
Hawza/ jiji la Berlin, mji mkuu wa Ujerumani, lilishuhudia maandamano ya mamia ya watu waliopinga ukiukwaji unaoendelea wa usitishaji mapigano na utawala wa Kizayuni. Waandamanaji hao pia walitaka…
-
Onyo kuhusu ongezeko la vurugu zisizo na kifani za Israel katika vita vya kimya kimya vinavyo endelea Ukingo wa Magharibi
Hawza/ Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetoa onyo kwamba Ukingo wa Magharibi unashuhudia “vita vya kimya kimya” na kiwango cha vurugu ambacho hakijawahi…
-
Athari za Kieneo za Vita vya Marekani dhidi ya Iran; kuanzia kufungwa kwa Mlango wa Hormuz hadi Yemen kuwa karata ya ushindi mikononi mwa Jihadi ya Muqawama
Hawza/ Mwandishi wa Kilebanoni ameandika katika tahariri kwamba, endapo vita kati ya Marekani na Iran vitatokea, kwa mtazamo wa kikanda moto wa vita utaenea kwa kasi; Ghuba ya Uajemi itawekwa…
-
Hizbullah katika eneo la Biqaa yatoa shukrani kwa Balozi wa Iran
Hawza/ Hizbullah katika eneo la Biqaa ilimuenzi Mojtaba Amani, Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Lebanon, kwa mnasaba wa kumalizika kwa jukumu lake katika nchi hiyo, katika hafla iliyofanyi…
-
Uandishi wa Qur’ani Tukufu kwa hati ya kisanaa wakamilika baada ya miaka 6
Hawza/ Ali Zaman, msanii mashuhuri na mtaalamu wa khati (calligraphy) kutoka Iraq, amekamilisha uandishi wa Qur’ani Tukufu kwa mwandiko wa kisanaa (kaligrafia) baada ya miaka sita ya juhudi endelevu.
-
Tamko la pamoja la wafuasi wa dini mbalimbali na watu huru duniani kumhusu Kiongozi wa Mapinduzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran:
Maaskofu, mapadre na wanafikiria huru wa kimataifa: ujasiri na mtazamo wa kistaarabu wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran vinastahili heshima
Hawza/ Kundi la wafuasi wa dini mbalimbali na watu huru duniani, katika tamko lao, limetangaza kumuunga mkono Kiongizi Mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Msimamo thabiti wa wahamiaji wa Afghanistan sambamba na Iran na Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu dhidi ya vitisho vya Marekani na utawala wa Kizayuni
Hawza/ Jamii ya wahamiaji wa Afghanistan wanaoishi katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kupitia tamko rasmi, sambamba na kulaani vikali vitendo na vitisho vya Marekani na utawala muovu wa Kizayuni…
-
Mpango unaojirudia wa Israel kwa kuishambulia Palestina
Hawza/ Msemaji wa harakati ya Hamas, huku akikanusha madai ya utawala wa Kizayuni kuhusu kukiukwa kwa makubaliano ya kusitisha mapigano na harakati hiyo, alisisitiza kuwa madai hayo ni ya uongo…
-
Mjumbe wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon: Shambulio lolote dhidi ya Iran ni kuvuka mipaka myekundu
Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh Hussein Ghabris, katika ujumbe wake uliolenga kudhihirisha mshikamano na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, alisema: Amani iwe juu yenu, enyi taifa la Kiislamu la Iran,…
-
Ayatullah udhm'a Makarem Shirazi:
Fikra ya Mahdawiyya na imani juu ya Uimamu ndiyo sifa kuu ya Ushia
Hawza/ Mtukufu Ayatullah udhm'a Makarem Shirazi amesisitiza kuwa: fikra ya Mahdawiyya na umuhimu wa haja ya kuwepo Mwokozi, ni mwendelezo wa nafasi ya Uimamu na ulazima wa kuwepo kwake katika…
-
Waingereza walijitokeza mitaani kupinga ukiukaji wa sitisho la mapigano unaofanywa na Israel
Hawza/ Maandamano makubwa yalifanyika jijini London kupinga uuzaji wa silaha unofanywa na utawala wa Uingereza kwa Israel, na pia kupinga ukiukaji usio wa kibinadamu wa sitisho la mapigano unaofanywa…

