Dini
لیستی صفحه سرویس
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
Ghaza ni mtihani mkubwa kwa wanaodai kutetea demokrasia duniani
Hawza/ Hujatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sa'jid Ali Naqvi, katika ujumbe wake wa kuikosoa jumuiya ya kimataifa kwa kunyamazia jinai za utawala wa Kizayuni huko Ghaza, amesisitiza kwamba: Siku…
-
Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Ansarullah:
Juhudi za Saudi Arabia kutafuta msaada wa utawala wa Kizayuni hazitabadilisha mlingano wa vita vya Yemen
Hawza/ Muhammad Al-Farah, mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Ansarullah, amesema kuwa; wananchi wa Yemen hawakuchagua vita wala hawakuvifuata, bali walilazimishwa kuingia katika vita hivyo kutokana…
-
Uongozi wa Husseiniya za Bahrain:
Hatua za serikali zinalenga uhuru wa kutekeleza ibada za kidini za Mashia
Hawza/ Uongozi wa Husseiniya nchini Bahrain umelaani hatua iliyotolewa na taasisi rasmi inayowataka makhatibu, waimbaji na waombolezaji kupata vibali vya awali kabla ya kushiriki katika shughuli…
-
-
Chuo Kikuu cha Marekani chawapiga marufuku wanafunzi wa Kiislamu kuswali
Hawza/ Chuo Kikuu cha Marekani cha New York, katika tawi lake la kampasi ya Lebanon, hivi karibuni kimewapiga marufuku wanafunzi wake wakiislamu kuswali.
-
Viongozi wa Harakati ya Amal na Hizbullah wathibitisha umuhimu wa ushiriki wa kitaifa na ulazima wa Serikali ya Lebanon kubeba majukumu
Hawza/ Viongozi wa Hizbullah na Harakati ya Amal wamefanya mkutano ambapo walijadili maendeleo na matukio ya hivi karibuni nchini Lebanon.
-
Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani wa Iraq: Saudi Arabia inawahamishia Yemen mamluki wa Syria
Hawza/ Baqir Jabr al-Zubaidi amesisitiza kuwa wapiganaji kutoka makundi ya kigaidi ya Syria wamehamishiwa nchini Yemen.
-
Mashindano ya Utafiti kwa Vijana katika Tawi la Al-Mustafa, Iraq
Hawza/ Tawi la Al-Mustafa nchini Iraq limendaa kwa wanafunzi vijana wa masomo ya Hawzah mashindano ya utafiti wa kielimu kwa vijana, yenye kaulimbiu isemayo “Shahidi Sayyid Ali Khamenei.”
-
Muhammad Abdul-Salam:
Sana’a inawakaribisha wananchi wote na milango yake ipo wazi kwa kila mtu
Hawzah/ Mkuu wa Ujumbe wa Kitaifa wa Mazungumzo wa Yemen amesema: “Sana’a inawakaribisha wananchi wote, na milango yake iko wazi kwa watu wote ili warejee.”
-
Abu Raas:
Kushughulikia kesi kesi za watu ni ufunguo wa kutatua kesi nyingine; hali katika pwani ni thabiti na usafiri wa baharini ni salama
Hawzah/ Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Wahamiaji wa Yemen amesisitiza msimamo thabiti wa Yemen katika juhudi za kufikia amani ya haki na kukomesha uvamizi pamoja na mzingiro uliowekwa dhidi…
-
Sheikh Zakzaky:
Maadui hunufaika na migawanyiko na kukosekana umoja miongoni mwa Waislamu
Hawzah/ Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, amesisitiza umuhimu wa umoja miongoni mwa Waislamu na kurejea katika mafundisho halisi ya Uislamu, akisema: “Maadui…
-
Chama cha Ustawi wa Taifa Afghanistan:
Kuvamiwa Hawzah ya Khatam al-Nabiyyin ni dharau kwa jamii ya Mashia milioni kumi
Hawzah/ Chama cha Ustawi wa Taifa Afghanistan, kimekemea vikali kuvamiwa Hawzah ya Khatam al-Nabiyyin (saww) mjini Kabul na kundi la Taliban, huku kikitaja hatua hiyo kuwa ni dharau kwa wananchi…

