Dini
لیستی صفحه سرویس
-
Vyama vya Lebanon:
Tunaunga mkono hatua za Yemen za kumaliza mzingiro wa kidhalimu na kutoa jibu la kulipiza kwa msingi wa haki
Hawza/ Kikao cha vyama, makundi na shakhsia za kitaifa za Lebanon kimesisitiza mshikamano wake na haki ya wananchi wa Yemen ya kumaliza mzingiro wa kidhalimu uliowekwa dhidi yao, pamoja na haki…
-
Haram Tukufu ya Alawi yatangaza mpango wake wa kitabibu, kiafya na huduma zake kwa ajili ya kuwahudumia mazuwari wa Arubaini
Hawza/ Kituo cha Tiba cha "Rasul al-A'dham (saww)" kilicho chini ya Haram Tukufu ya Alawi kimetangaza kukamilisha maandalizi maalumu ya kitabibu na kiafya kwa ajili ya ziara ya Arubaini ya Imam…
-
Ayatullah Saiidi katika Swala ya Ijumaa ya Qom:
Arubaini ya Imam Hussein (as), ni alama ya umoja wa Umma wa Kiislamu/ Mshikamano wa wananchi umeidhalilisha Marekani na Wazayuni
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa mjini Qom amesema kuwa; Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi alikuwa akiitazama Swala ya Ijumaa kuwa ni kiungo muhimu katika mlolongo wa nguvu laini (Soft Power) wa…
-
Watawa Wanawake wa Kikatoliki Wapinga Sheria Isiyo ya Kibinadamu Huko New York
Hawza/ Watawa wanawake wa Kanisa Katoliki mjini New York wameikosoa sheria inayohusu taasisi za utoaji wa huduma za afya kwa wagonjwa katika jimbo hilo. Kwa mujibu wa sheria hiyo, wanalazimishwa…
-
Kiongozi wa Wayahudi wa Haredi: Vita Ambavyo Jeshi la Israel Linapigana ni Kutekeleza Mauaji
Hawza/ Kauli kali za Rabbi Dov Lando, kiongozi wa kiroho wa mkondo wa Haredi wa Degel HaTorah, dhidi ya vita vinavyoendeshwa na jeshi la utawala wa Kizayuni, zimleta mgawanyiko kati ya serikali…
-
Wazalendo wa Japan Waanzisha Harakati Kubwa za Kudai Kuondolewa kwa Vikosi vya Marekani Nchini Humo
Hawza/ Rais wa Chama cha Wazalendo wa Japan (Issuikai) amesisitiza kuwa; dunia iko katika kipindi cha mpito kutoka mfumo wa dunia wa ncha moja kwenda mfumo wa ncha nyingi, na ametaka kuondolewa…
-
Mfalme wa Bahrain Aanzisha Operesheni ya Kuwafuta Mashia
Hawza/ Kitendo cha Ayatullah Sheikh Isa Qassim kuvunja ukimya wake na kutangaza kuwa hatima ya madhehebu ya Shia nchini Bahrain inakabiliwa na tishio la kuwepo kwake, kina maana kwamba sehemu…
-
Osama Hamdan:
Kuchaguliwa kwa Khalil al-Hayya ni Ujumbe wa Kuendeleza Njia ya Muqawama
Hawza/ Osama Hamdan, mmoja wa viongozi wa Harakati ya Hamas, amesisitiza kuwa; kuchaguliwa Khalil al-Hayya kuwa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya harakati hiyo ni ishara ya uhai na uimara wa Hamas,…
-
Mwandishi wa Habari Aliyemrushia Bush Kiatu: Ushirikiano wa Muqawama Kati ya Mashia na Masunni Ulishinda Uvamizi wa Marekani Nchini Iraq
Hawza/ Muntadhar al-Zaidi, mwandishi wa habari wa Iraq ambaye aligeuka kuwa alama ya kimataifa ya muqawama dhidi ya ukoloni baada ya kumrushia George Bush kiatu mwaka 2008, ameeleza undani wa…
-
Maadhimisho ya Miaka 100 Tangu Kuanzishwa kwa Msikiti Mkuu wa Paris Yafanyika
Hawza/ Msikiti Mkuu wa Paris umefanya hafla ya kuadhimisha miaka 100 tangu kuanzishwa kwake, ambapo pia ulitoa heshima kwa askari Waislamu walioshiriki katika Vita vya Kwanza vya Dunia.
-
Waislamu wa Texas Wahanga wa Ukosefu wa Usalama Kutotokana na Kampeni za Uchaguzi
Hawza/ Waislamu wa Jimbo la Texas nchini Marekani wameeleza wasiwasi mkubwa kutokana na baadhi ya wagombea wa uchaguzi kutumia hotuba zao za kampeni kueneza chuki dhidi ya Uislamu.
-
Matembezi ya Waombolezaji wa Imam Hussein (as) ya Kuikaribisha Arubaini nchini Nigeria
Hawza/ Kundi la Waislamu wa Kishia na wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria chini ya uongozi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, wamefanya matembezi ya kwanza ya Arubaini ya Imam Hussein (as) kwa…

