Dini
لیستی صفحه سرویس
-
Majibu ya Watu wa Ghaza kuijibu barua ya Israeli iliyowataka kuwahamasisha kwa nguvu: Hatutaondoka Ghaza kamwe
Hawza/ Watu wa Ghaza katika kukabiliana na karatasi ambazo utawala wa kikoloni ulizimwaga kwa watu wa Ghaza nazo na kuwalazimisha kuacha nyumba na makazi yao, walikusanyika kwa ajili ya kufanya…
-
Mtafiti wa Kihindi: Umoja na mshikikano kwa Waislamu utawageuza kuwa nguvu isiyoshindwa
Hawza/ Sayyid Rashadat Ali al-Qadri katika mazungumzo yake alisisitiza kwamba umoja wa Umma wa Kiislamu una umuhimu wa juu na ni fursa yenye thamani kwa ajili ya kuimarisha mshikamano na udugu…
-
Jumuiya ya Wanazuoni Waislamu:
Shambulizi la adui huko Doha linadhoofisha mamlaka ya Qatar, na Jumuiya ya kimataifa lazima ilaani tendo hili la kigaidi
Hawza/ Jumuiya ya Wanazuoni Waislamu wa Lebanon imesema kuwa: adui Mzayuni anaendelea na uvamizi wake na umefikia hatua ya kutaka kuwaua viongozi wa Hamas waliokuwa na jukumu la kusimamia mazungumzo.
-
Harakati ya Umma yalaani kukengwa viongozi wa Hamas huko Doha
Hawza/ Harakati ya Umma nchini Lebanon imelaani vikali uvamizi wa Kizayuni dhidi ya kikao cha viongozi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu Hamas kilichofanyika mjini Doha, mji mkuu wa Qatar.
-
Kuonyeshwa Filamu ya “Mtume wa Rehema 571” iliyoandaliwa na Shirika la Dini la Uturuki
Hawza / Filamu ya katuni ya “Mtume wa Rehema 571,” ambayo imeandaliwa na Shirika la Dini la Uturuki kwa heshima ya mwaka wa elfu moja mia tano tangu kuzaliwa Mtume Muhammad (swww), hivi karibuni…
-
Rais wa Baraza Kuu la Waislamu wa Kishia nchini Lebanon:
Mshikamano wa Lebanon sasa umesimama imara zaidi kuliko zamani dhidi ya hila za maadui / Shambulizi la Israel dhidi ya Qatar ni funzo kwa tawala zote za Kiarabu na katika ukanda
Hawza/ Sheikh Ali Al-Khatib, akisisitiza juu ya ulazima wa kudumisha mshikamano baina ya mataifa ya eneo hili, amesema: Shambulizi la Israel dhidi ya Qatar ni kengele ya hatari kwa tawala zote…
-
Ayatullah Khatami katika hotuba za Swala ya Ijumaa:
Njia ya kukabiliana na utawala wa Kizayuni ni kutoa jibu thabiti
Hawzah / Khatibu wa Ijumaa wa Teheran amesema: Kama Imamu wa Ijumaa wa Teheran nasema, kwa serikali za Misri, Jodani, Bahrain na Saudi Arabia kwamba, iwapo Israeli itapata nguvu, itazishambulia…
-
Uhispania yachukua kwa Hatua Kubwa ajili ya Kuuwekea Vikwazo Utawala wa Kizayuni
Hawza/ Bwana Sánchez katika hotuba yake ya hivi karibuni, sambamba na kutangaza mipango yake ya baadaye kwa ajili ya nchi ya Uhispania, pia alitangaza kuwa nchi hii inalaani jinai zinazofanywa…
-
Mashabiki wa Timu ya Italia Wapinga Wimbo wa Israel
Hawza/ Mashabiki wa timu ya mpira wa miguu ya Italia, wakati unaimbwa wimbo wa utawala wa Kizayuni, katika hatua ya ishara ya kupinga jinai za kikatili zinazofanywa na utawala huo, waliupa mgongo…
-
Picha/ Maulidi ya Kitaifa yafanywa na Jumuiya ya Shia ithnaasharia Tanzania (TIC)
Hawza/ Jumuiya ya Shia ithnaasharia Tanzania (TIC), ikishirikiana na Hawza ya Imaam Sw'adiq (as), chini ya usimamizi wa Samaht Sheikh Jalala Hemedi Mwakindenge, usiku wa kuamkia leo zimeadhimisha…
-
Umoja wa Kiislamu: Kinga ya Utambulisho na Heshima ya Uislamu Dhidi ya Wimbi la Mgawanyiko na Utegemezi wa Nje
Hawza / Mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti wa Kiislamu cha Ataba Husainiya, Iraq, akisisitiza umuhimu wa umoja katika zama hizi, alisema kuwa ni njia pekee ya kuhifadhi utambulisho wa umma wa Kiislamu…
-
Umoja wa Kiislamu ni Wajibu wa Kisheria na Silaha ya Muqawama, ni Rasilimali ya Uislamu Wote
Hawza/ Katibu Mkuu wa Harakati ya Ummah ya Lebanon, akisisitiza kuwa umoja wa Kiislamu si chaguo la hiari bali ni jukumu la kisheria, alisema: “Silaha ya muqawama huko Palestina, Lebanon na Yemen…