Dini
لیستی صفحه سرویس
-
Ziara ya Kihistoria: Wawakilishi wa Makabila Mbali Mbali Niger, Wakutana na Sheikh Ibraheem Zakzaky + Picha
Hawza/nJumamosi, 13 Desemba 2025, baadhi ya wawakilishi wa jamii za kikabila kutoka Jamhuri ya Niger walifanya ziara ya kumtembelea kiongozi wa Harakati ya Kiislamu, Sheikh Ibraheem Zakzaky,…
-
Kongamano la 11 la Kimataifa la Al-Kawthar, Lafanyika Huko Najaf:
Ufafanuzi wa Mwenendo Mtukufu na Wenye Nuru wa Bibi Fatima Zahra (a.s.)
Hawza/ Kutokana na mnasaba wa maadhimisho ya kuzaliwa mwenye heri na baraka Bibi Fatima Zahra, amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake, pamoja na maadhimisho ya pili ya kufariki Ayatollah Sheikh…
-
Harakati ya Kiislamu Nchini Nigeria, Yaadhimisha Kumbukumbu ya Kuzaliwa Sayyida Fatima al-Zahra (as) + Picha
Hawza/ harakati ya Kiislamu nchini Nigeria imeadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa Sayyida Fatima al-Zahra (as), ambae ni binti wa Mtume (saww), na mke wa Imam Ali (as), vile vile pia ni mama wa…
-
Kundi la Masheikh wa Senegal, Wakutana na Kiongozi wa Tijaniyya wa Eneo la Al-Tamasin, Algeria + Picha
Hawza / Kundi la watafiti na mashaykh wa madhehebu ya Tijaniyya kutoka nchi ya Senegal walikutana na Kiongozi wa Tariqa ya Tijaniyya katika eneo la Al-Tamasin, lililopo nchini Algeria.
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad:
Hashdu Shaabi Imeiokoa Iraq Dhidi ya Mifarakano
Hawza/ Ayatollah Sayyid Yasin Mousawi, Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad, huku akisisitiza nafasi ya kipekee na isiyopingika ya Hashdu Shaabi katika kuiokoa Iraq dhidi ya mifarakano na kusambaratika…
-
Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) Ahudhuria Hafla ya Ndoa ya Vijana 100 Jijini Tanga + Picha
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania, Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, ameshiriki katika hafla maalumu ya ndoa za pamoja kwa vijana 100 iliyofanyika leo jijini Tanga.
-
Sheikh Al-Qattan Katika Kikao Chake na Jamil Hayek, Atilia Mkazo Kwenye Umoja wa Kitaifa na Kuliunga Mkono Suala la Palestina
Hawza/ Rais wa Jumuiya ya “Qawluna wa Al-Amal” nchini Lebanon, alipotembelea ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Amal mjini Beirut, alifanya kikao na Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya harakati hiyo, Jamil…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Iran, Katika Mkutano na Waimbaji wa Mashairi ya Ahlul-Bayt (a.s.):
Ulazima wa Kubadili Mpangilio wa Ufikishaji wa Kimtandao na Kimaarifa Mbele ya Juhudi Anazozifanya Adui Ili Kuvutia Nyoyo na Akili
Hawza/ Kiongozi wa Mapinduzi alibainisha kuwa; kusimama imara dhidi ya vita vya ufikishaji wa kimtandao vinavyoongozwa na Magharibi ni jambo gumu lakini linawezekana kabisa. Alisema: Katika njia…
-
Ushauri Muhimu wa Ayatollah Udhmaa Wahid Khorasani Kuwaelekea Vijana
Hawza/ Ayatollah Mkuu Wahid Khorasani amesisitiza kuwa: Ujana kwa mwanadamu ni kama msimu wa masika kwenye ulimwengu na katika mzunguko wa wakati. Katika msimu huu wa ujana, kila mbegu ya elimu…
-
Ayatullah Qaraati Katika Mkutano na Wanafunzi wa Dini:
Tuiwasilishe Qur’ani kwa Namna Ambayo Watu wa Wawaida Waielewe na Wasomi Wavutiwe Nayo
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Mohsen Qiraati, katika mkutano na wanafunzi wa dini, alikosoa baadhi ya tafiti zisizo na manufaa ya moja kwa moja, akasisitiza umuhimu wa tabligh yenye ufanisi…
-
Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Lebanon:
Msimamo wa Kichochezi wa Wanaodai Kuhifadhi Uhuru wa Mamlaka, kwa Hakika ni wa Khiyana na Unaendana na Adui wa Kizayuni
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon katika taarifa yake ulisema: Adui bado anaendelea na hujuma zake kwa kuvunja makubaliano ya kusitisha mapigano na Azimio namba 1701, na kwa…
-
Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon:
Jihadharini na Mtego Ulio Jikita Kwenye Mazungumzo
Hawza/ Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon, katika taarifa yake baada ya kikao chake cha kila mwezi, ilitoa onyo kuwa, ni lazima kujihadhari na mtego wa kile kinachoitwa “mazungumzo”.

