Dini
لیستی صفحه سرویس
-
Mar'asim iliyofana ya Siku ya Husseun (a.s) yafanyika katika Bunge la Victoria, Australia
Hawza/ Hafla ya pili ya Siku ya Hussein (a.s) ilifanyika kwa juhudi za mtandao wa Khayrul-ʿAmal katika Bunge la Jimbo la Victoria, Australia; hafla ambayo ilihudhuriwa na wawakilishi wa bunge,…
-
Kuitambua Rasmi Palestina; Udanganyifu Mpya wa Magharibi na Wazayuni
Hawza/ Kuitambua dola ya Palestina na baadhi ya nchi za Magharibi na Kiarabu, si zaidi ya msaada wa kweli, bali ni maonesho ya kisiasa kwa ajili ya kupunguza shinikizo la mitazamo ya umma na…
-
Sheikh Alhad Mussa: Viongozi wanatakiwa wawe kama Chumvi kwenye hii Dunia
Hawza/ Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT), Sheikh Alhad Mussa, leo hii katika mdahalo wa amani amewafananisha viongozi na chumvi kwa kusema: Viongozi wanatakiwa wawe…
-
Mufti wa Tanzania atangaza:
Maulidi ya Kitaifa Mwaka huu kufanyikia Mkoani Tanga
Hawza/ Maulidi ya kitaifa mwaka huu wa 2025 yamepangwa kufanyika Mkoani Tanga, katika wilaya ya Korogwe kwenye viwanja vya Shule ya Mazoezi Manundu
-
King'ora cha Hatari ya Kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu Nchini Kanada
Hawza/ Kwa mujibu wa utafiti wa moja kwa moja uliofanywa na Chuo Kikuu cha York, jinai na vitendo vinavyotokana na chuki dhidi ya Uislamu nchini Kanada katika kipindi cha miaka miwili iliyopita…
-
Mshikamano kati ya Wanazuoni wa Kishia na Kisunni nchini Bangladeshi katika Kuiheshimu Arubaini ya Imam Husein (a.s.)
Hawza/ Kwa mara ya kwanza nchini Bangladeshi, wanazuoni wa Kishia na Kisunni wameungana kwa pamoja katika kugawa tabarruk za Imam Husein (a.s.) katika mji wa Khulna; hatua ambayo ni ishara ya…
-
Kikao maalumu na wanafunzi wa Tanzania, Malawi na Burundi chafanyika Qum Irani, kikiwa na maudhui ya kumkuza mwanafunzi katika ngazi ya kutumia fani mbali mbali za kisasa
Hawza/ Wanafunzi wa Tanzania, Malawi na Burundi wakutana na wakili wa Jaamiatul-Mustafa pamoja na Raisi wa Taasisi ya Bayani ili kujadili jinsi ya kuweza kumkuza mwanafunzi hasa hasa katika kutumia…
-
Mwanazuoni wa Kishia kutoka Kashmir: Turekebishe maisha yetu kwa kuufuata mwenendo wa Imam Husein (a.s.)
Hawzah/ Hujjat al-Islam Sayyid Hadi Musawi, katika kikao chake kwa ajili ya maombolezo, alisema: Bibi Zaynab (s.a.) kutokana khutuba zake aliuhifadhi utajo wa Karbala, na Imam Sajjad (a.s.) kwa…
-
Kampeni ya “Wakati wa Arubaini” Itaendelea Hadi Mwisho wa Mwezi wa Safar
Hawza/ Mazuwari wa Huseini kwa kushiriki katika kampeni ya “Wakati wa Arubaini” wanaweza kulishirikisha Shirika la Habari la Hawza kwa kutuma picha na video za matembezi yao ya Arubaini hadi…
-
Katika mazungumzo yetu na Rais wa Jāmi‘at al-Mustafā al-‘Ālamiyya:
Akili Mnemba na Athari Zake katika Mifumo ya Kitamaduni na Kidini
Hawza/ Mjumbe wa Baraza la Wataalamu wa Uongozi wa Kidhini (Majlis Khubragān Rahbari) amesisitiza kuwa: kulinda mipaka ya kudiriki ya kijamii dhidi ya uvamizi laini wa adui, kwa kiwango kikubwa…
-
Kwa kutegemea mfumo sahihi wa kuhesabu kielektroniki;
Ataba Tukufu ya Abulfadhil Abbasi (a.s) yatangaza idadi ya mazuwari waliohudhuria katika Ziara ya Arubaini mwaka huu
Hawza/ Ataba Tukufu ya Abulfadhil Abbasi (a.s) imetangaza uwepo wa zaidi ya mazuwari milioni 21 kwenye maadhimisho ya ziara ya Arubaini, taarifa hii imetolewa kwa kutumia mfumo sahihi wa kuhesabu…
-
Ayatullah Saidi katika khutba za Sala ya Ijumaa:
"Kumuitikia Imam Hussein ni sawa na kumuitikia Imam Mahdi / Mjumuiko mkubwa wa Arubaini ni fursa bora ya kubainisha na kutangaza Uislamu safi wa Muhammadi"
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom Irani, amesema: Arubaini ni harakati ya pamoja kuelekea kwa Imamu na Hujjat wa Mwenyezi Mungu, Arubaini ina uhusiano wa karibu mno na Mahdawiyya kiasi kwamba kusema…