Dini
لیستی صفحه سرویس
-
Jumuiya ya Shia Ithnaasharia (TIC) Mkoani Mwanza Tanzania, Yaadhimisha Hafla ya Ghadeer kwa Hamasa Kubwa + Picha
Hawza/ Katika mazingira yaliyojaa furaha, mapenzi na mshikamano wa Kiislamu, Jumuiya ya Shia Ithnaasharia (TIC) Mkoani Mwanza, Tanzania, imefanya hafla kubwa ya kuadhimisha Sikukuu ya Ghadeer,…
-
Mwimbaji Mmarekani awasilisha shairi la kiirfani la Imam Khomeini katika sherehe za Ghadir huko Jakarta
Hawza/ Sambamba na kufanyika hafla ya kumbukumbu ya miaka thelathini na saba ya kufariki kwa Mtukufu Imam Khomeini (ra) pamoja na sherehe kubwa ya Idi Tukufu ya Ghadir Khum huko Jakarta, Mustafa…
-
Wataliano walaani mauaji ya watoto yanayofanywa na Israel
Hawza/ Mamia ya watu walikusanyika mjini Milan nchini Italia ili kuenzi majina na kumbukumbu za watoto wa Palestina waliouawa, ambapo walionesha katikati ya jiji bango kubwa lililokuwa na majina…
-
Sheikh al-Khatib:
Taarifa ya mazungumzo ya Washington inafungua milango ya fitna ambayo adui ananuia kuizalisha
Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon amesema: Kukubali kwa serekali ya Lebanon kupitia wanadiplomasia wake maudhui ya taarifa ya Washington na kukubali…
-
Bahrain yaongeza hatua zake kali dhidi ya Mashia
Hawza/ Nchini Bahrain, wimbi la hivi karibuni la kukamatwa, kuvuliwa uraia na kufuatiliwa kwa misingi ya kisiasa na kidini limezua mijadala mikubwa kuhusu hali ambayo nchi hiyo inaipitia.
-
Hotuba ya afisa wa Israel katika mkutano wa kimataifa ilisimamishwa kabla ya kukamilika kutokana na upinzani wa kumpinga
Hawza / Wakati wa kikao cha Mkutano wa 114 wa Kimataifa wa Kazi mjini Geneva, hotuba ya mwanadiplomasia wa Israel ilisitishwa kutokana na upinzani mkubwa wa wawakilishi wa nchi mbalimbali na…
-
Mwanazuoni wa Ahlu Sunna wa Misri:
Kuisaidia Iran dhidi ya uvamizi ni wajibu wa kisheria
Hawza/ Sheikh Salama Abdulqawi, mwanazuoni wa Ahlu Sunna kutoka Misri na mmoja wa maafisa wa zamani wa Wizara ya Wakfu ya Misri, akisisitiza kwamba; Iran ni nchi ya Kiislamu, ameeleza kuwa kuiunga…
-
Mtangazaji wa televisheni wa Kuwait ahukumiwa kifungo cha miaka mitatu kwa tuhuma za kuiunga mkono Iran
Hawza / Mamlaka ya mahakama ya Kuwait imethibitisha hukumu iliyotolewa dhidi ya Zainab Dashti, mtangazaji wa televisheni rasmi ya Kuwait.
-
Hizbullah:
Jinai inayofanywa na adui dhidi ya jeshi la taifa imekuwa ni matokeo ya kawaida na ya kupuuzwa kwa mamlaka ya nchi
Hawza / Hizbullah katika taarifa yake imesema: Shambulio la kijinai na la woga ambalo adui Mzayuni amelifanya dhidi ya jeshi letu la taifa ni jinai ya kweli na ya makusudi.
-
Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Jabal Amil umesisitiza kushikamana na uchaguzi wa kusimama imara, Muqawama na kuimarisha umoja wa Lebanon
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Jabal Amil nchini Lebanon katika ujumbe wake kwa mnasaba wa “Eidul Ghadir” umesisitiza kwamba; Lebanon chini ya mwendelezo wa mashambulizi na vitisho vya Israel,…
-
Sheikh Qabalan amwambia Aoun: Kama kusingekuwa na Muqawama, adui Muisraeli angefika hadi Ikulu ya Rais
Hawza / Mwanazuoni mashuhuri wa Lebanon, katika ujumbe wake kwa Rais wa Lebanon, amesema: Yeyote anayehimiza Muqawama kujiondoa kusini mwa mto huku wakati huohuo asidai kuondoka kwa jeshi la…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia wa Pakistan:
Imam Khomeini (r.a), alikuwa nembo ya mwamko na mapambano dhidi ya ubeberu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi katika ujumbe wake amesema: Imam Khomeini (r.a) kupitia ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliwasilisha mfano wenye mafanikio wa serikali…

