Dini
لیستی صفحه سرویس
-
Operesheni ya Kuanguka Tehran! Filamu ya uhuishaji ya Kijapani (Anime) kuhusu matukio ya hivi karibuni nchini Iran
Hawza/ Siku hizi watu wengi katika sehemu mbalimbali duniani wanataka kujua kilichotokea nchini Iran katika siku za hivi karibuni. Kwa kuenezwa filamu hii ya uhuishaji, muhtasari wa yaliyotokea…
-
Msimamizi wa Madrasa ya Ahlul-Bayt (a.s) Shibirghan, Afghanistan:
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesimama dhidi ya dhulma ya kimataifa kwa kutegemea wito wa Mahdawiyya
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Ziyaei amesisitiza kuwa; leo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kama mbeba-bendera wa kudai uadilifu na kuwatetea waliodhulumiwa, inapata msaada wa Mwenyezi Mungu…
-
Mjukuu wa Imam Khomeini (r.a) katika mahojiano na Al-Mayadeen:
Israeli inalenga tu kuivunja Iran/ Leo mtu maarufu zaidi Iran ni Ayatullah Khamenei
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Ali Khomeini, katika mahojiano na mtandao wa habari wa Al-Mayadeen, pamoja na kusifu shakhsia ya Kiongozi wa Mapinduzi, alisema kuwa Israeli inalenga…
-
Baraza la Wanazuoni wa Kishia nchini India, latangaza tamko la kumuunga mkono Ayatullah Khamenei
Hawz/ Baraza la Wanazuoni wa Kishia India, limetoa tamko rasmi kulaani vikali vitisho vya hivi karibuni vya Donald Trump dhidi ya Ayatullah Sayyid Ali Husayni Khamenei (Mola amlinde), kiongozi…
-
Kutunukiwa kwa Tuzo ya Benki ya Kiislamu ya mwaka 2026 kwa mwanazuoni wa Kishia
Hawza/ Kwa kuthamini miaka mingi ya huduma zenye athari katika maendeleo ya benki na fedha za Kiislamu, Tuzo ya Benki ya Kiislamu ya mwaka 2026 imetolewa kwa Hujjatul-Islam wal-Muslimin Shabbir…
-
Mjumbe wa Kundi la Muqawama:
Nguvu ya muqawama hutokana na nguvu ya watu, na si jambo la kufanyiwa majaribio au kujadiliwa
Hawza/ Hassan Fadlullah amesisitiza kuwa; nguvu ya muqawama nchini Lebanon hutokana na nguvu ya watu wetu. Sote tulisikia sauti ya kitaifa na ya muqawama iliyopazwa na wananchi wa Kusini.
-
Hizbullah yafanya hafla ya kumbukumbu ya baba yake shahidi Sayyid Hassan Nasrallah huko Dhahiya Kusini
Hawza/ Kutokana na mnasaba wa kufariki dunia Sayyid Abdulkarim Nasrallah, baba yake shahidi Sayyid Hassan Nasrallah, Hizbullah imefanya hafla ya kumbukumbu katika Majma‘ Imam Mujtaba (amani iwe…
-
Uzinduzi wa mradi mkubwa zaidi wa kielimu kuhusu Nahju al-Balagha
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Abdulmahdi Karbalai amesisitiza kwamba; Nahju al-Balagha si kitabu cha fasaha na balagha pekee, bali ni ensaiklopidia pana ya maarifa ya Kiislamu na…
-
Ayatullah Kaabi:
Mapinduzi ya Kiislamu ni Kuzaliwa upya Ustaarabu wa Kimataifa wa Mahdawiya/ Naibu wa Imam wa Zama (a.j) ndie Nahodha wa Mapinduzi
Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qum amesisitiza kuwa; Mapinduzi ya Kiislamu yaliundwa juu ya misingi ya Ghadir, Ashura na Subira ya Kungoja (Intidhār), na kwa msingi…
-
Katibu Mkuu wa Hizbullah Lebanon Atangazwa kuwa “Msaidizi wa Mahdi wa Mwaka”
Hawza/ Sheikh Naim Qassem, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, ametangazwa rasmi kuwa “Msaidizi wa Mahdi wa Mwaka wa Haram Tukufu ya Msikiti wa Jamkaran.”
-
Ayatullah al-Udhma Jawadi Amoli:
Idd ya Nusu ya Shaaban ni “mahali pa ibada”/ Tuijue kwa kina zaidi hadhi ya Imam
Hawza/ Ayatullah al-Udhma Jawadi Amoli amesisitiza kuwa; matukio kama vile maadhimisho ya kuzaliwa kwa Heri Hadhrat Walii wa Zama (a.j) yanapaswa kuadhimishwa ipasavyo. Alieleza kuwa ni lazima…
-
Sheikh Mkuu wa TIC Ashiriki Upandishaji wa Bendera ya Imam Mahdi (a.s) Bilal Comprehensive School
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemedi Jalala, ameshiriki katika zoezi la upandishaji wa Bendera ya Imam Mahdi (a.s), lililofanyika katika Shule ya Bilal…

