Dini
لیستی صفحه سرویس
-
Kiongozi wa Ansarullah Yemen:
Makombora ya Iran ni sawa na jinamizi kwa Wazayuni
Hawza/ Sayyid Abdulmalik Badruddin al-Houthi, ametoa pongezi kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kutokana na ushindi wake katika vita vilivyoanzishwa kwa kulazimishwa na utawala dhalimu wa Kizayuni,…
-
Abu Alaa al-Wala'i:
Iran imeivuka kwa nguvu njama za kimataifa na kufikia zama mpya za uimara
Hawza/ Katibu Mkuu wa Muqawama wa Kiislamu wa Kataib Sayyid al-Shuhada, amezungumzia ushindi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni na Marekani,…
-
Rais Mwinyi azindua rasmi kamati ya kusimamia Madrasa Zanzibar
Hawaza/ Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameizindua rasmi Kamati ya Kitaifa ya Kusimamia Madrasa Zanzibar.
-
Raisi wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan:
Imam Hussein (as) ni kielelezo cha uhuru na haki; maombolezo ni haki ya raia na urithi wa muqawama
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa kuwadia kwa mwezi mtukufu wa Muharram al-Haram, amesisitiza kuwa uendeshaji wa maombolezo…
-
Wazayuni waomba fidia kutoka kwa Netanyahu
Hawza/ Televisheni ya Israel imeripoti kupokea maelfu ya maombi ya fidia kutoka kwa Wazayuni baada ya kumalizika kwa vita na Iran na kutokana na uharibifu mkubwa uliosalia katika maeneo ya kati…
-
Mwanazuoni wa Kiislamu kutoka India: Iran imevunja kiburi cha Israel na Marekani
Hawza/ Hujjatul-Islām wal-Muslimīn Sayyid Ahmad Ali Abidi, kufuatia ushindi wa kihistoria wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya uvamizi wa utawala wa Kizayuni na Marekani, kwa kwenye ujume…
-
Mwanazuoni wa Kidini kutoka Pakistan: Iran ni sauti ya wazi ya Karbala mbele ya ubeberu wa kimataifa
Hawza/ Kikao kilichoandaliwa kwa anuani ya "Ujumbe wa Karbala na sherehe ya ushindi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran" kimefanyika katika jimbo la Sindh, Pakistan.
-
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kisheria ya Mashia wa Jammu na Kashmir:
Ushindi wa kujivunia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kielelezo cha heshima kwa Umma wa Kiislamu mbele ya ubeberu wa kimataifa
Hawza/ Hujjat-ul-Islām wal-Muslimīn Sayyid Hassan Mousavi, katika ujumbe wake, ameeleza kwamba: ushindi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya Marekani na utawala wa Kizayuni ni dhihirisho la…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu:
Utawala wa Kizayuni umeporomoka chini ya mapigo ya Jamhuri ya Kiislamu na kusagwasagwa / Hongera kwa taifa tukufu la Iran na vikosi vya kijeshi
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: Utawala wa Kizayuni, pamoja na makelele yote na madai yote, umeporomoka kabisa chini ya mapigo ya Jamhuri ya Kiislamu na umesagwasagwa.
-
Bunge la Kiislamu la Iran limesitisha kuendeleza ushirikiano na Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki
Hawza/ Wabunge wa Bunge la Kiislamu la Iran, katika kikao cha wazi cha leo Bungenj, wamepitisha vipengele vya jumla na vya kina vya mswada wa kusitisha ushirikiano na Shirika la Kimataifa la…
-
Mwanamama Mwanasiasa wa Pakistan:
Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu mbele ya Marekani na Israel ni kofi kali usoni mwa wanafiki na wabeberu wa kimataifa
Hawza/ Mheshimiwa Saira Ibrahim, katika hotuba yake huku akiashiria ushindi wa hivi karibuni walioupata Mapinduzi ya Kiislamu dhidi ya Marekani na utawala wa Kizayuni, alisema: Hili ni tukio…
-
Imamu wa Ijumaa wa Georgia:
Watu wa Iran ni alama ya nguvu na heshima ya ulimwengu wa Kiislamu
Hawza/ Hujjatul-Islam Haj Rahid Karim, Imamu wa Ijumaa wa Msikiti wa Ahlul Bayt katika eneo la Soghanliq, mji wa Tbilisi, alisema: Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi anasema: "Sisi ni wenye kudhulumiwa,…