Dini
لیستی صفحه سرویس
-
Wafanyakazi na Wanafunzi Nchini Hispania wafanya Mgomo kwa ajili ya kuwakingia kifua Wapalestina
Hawza/ Wafanyakazi na wanafunzi wa Hispania walifanya maandamano makubwa ya kuiunga mkono Palestina tarehe 15 Oktoba, ambapo takriban maelfu ya watu walishiriki kutoka sehemu mbalimbali za Hispania.
-
Mwanazuoni wa Pakistan:
Marekani na Israel lazima watoe majibu kuhusiana na damu za mashahidi wa Ghaza
Hawza/ Hujjatul-Islam Maqsood Ali Domki alisema katika hotuba yake kwamba; Marekani na Israel lazima ziwajibike kuhusiana na damu za maelfu ya Wapelestina na kwamba ni watu wa Palestina pekee…
-
Waraka mpya wafichua njama ya kuuawa kwa Eduardo Agnelli — Ni vipi aliuliwa kishahidi
Hawza / Baada ya kupita miaka 25, hati mpya imechapishwa ambayo inaibua maswali mengi kuhusiana na simulizi rasmi ya kifo cha Eduardo Agnelli — mwana wa familia tajiri ya Agnelli aliyeingia katika…
-
Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Ja’fariyya Pakistan:
Shahada ya kamanda wa Yemen ni fahari kwa Umma wa Kiislamu
Hawza / Sayyid Zawar Hussain Naqvi, Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Ja‘fariyya la Kashmir – Pakistan, ametuma slamu za rambirambi huku akielezea huzuni yake ya kina kufuatia kuuawa kishahidi kwa…
-
Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Madhehebu ya Ahlul-Bayt (a.s) Pakistan:
Sauti ya Umma wa Kiislamu katika kuliunga mkono taifa la Palestina lazima isalie ikisikika kwa nguvu
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Hasnain Abbas Gardizi, Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Madhehebu ya Ahlul-Bayt (a.s) nchini Pakistan, amesema kuwa mkataba wa hivi karibuni wa kusitisha mapigano…
-
Picha/ Tuzo ya Amani na Heshima kutoka Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) yawaangukia Mashia
Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania TIC Maulana Sheikh Hemedi Jalala Mwakindenge Ameshiriki katika Hafla ya Maulid ya Mtume Muhammad s.a.w.w iliyofanyika Jana Masjid Majmuatul Islamiya Kwa…
-
Rais wa Colombia atenga dhahabu iliyokamatwa ili kuwsaidia watoto waliojeruhiwa Ghaza
Hawza/ Rais wa Colombia, Gustavo Petro, ametoa agizo kwamba dhahabu ya magendi iliyokamatwa ikihusishwa na “Jumuiya ya Mali Maalumu” itumike kutoa misaada ya kitabibu na kusaidia ujenzi upya…
-
Ayatullah Jawad Marvii:
Hakuna jukumu lolote linalopaswa kumtenga mwanafunzi wa Hawza na tabligh/ Tabligh ni risala ya kimungu, si ajira
Hawza/ Katibu wa pili wa Baraza Kuu la Hawza, Ayatullah Jawad Marvi, amesisitiza kwamba hakuna jukumu au cheo chochote kinachopaswa kumtenga mwanafunzi wa Hawza na kazi ya tabligh, akibainisha…
-
Mafunzo katika Sahifat Sajjadia:
Dua inayowakuribisha vijana na wanafunzi kwenye kumuabudu Mwenyezi Mungu
Hawza/ Mwanadamu katika maisha yake anakutana na njia pamoja na chaguo tofauti, lakini ni ipi kati ya hizo inayoweza kumsaidia zaidi katika safari ya kuwa mja halisi wa Mwenyezi Mungu?
-
Ayatullah Saidii katika Swala ya Ijumaa Qom Iran:
Makubaliano na Marekani ni sawa na kukubali udhalili, fedheha na kujisalimisha bila masharti – Iran yenye nguvu inatimia kupitia uchumi thabiti
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom amesema: maana ya Marekani inaposema mazungumzo na makubaliano ya amani, si kitu kingine isipokuwa ni udhalili, fedheha na kujisalimisha bila masharti mbele ya…
-
Mjumbe katika Jumuiya ya Wabunge wa Muqawama:
Uvamizi wa Israel dhidi ya Lebanon hautabadilisha kwa vyovyote mlingano wa ustahimilivu
Hawza/ Hasan ‘Izzuddin amesema kuwa: Adui wa Kizayuni katika siku za hivi karibuni amezisha mashambulizi yake dhidi ya Lebanon, kwa kuwa anaamini kwamba kupitia shinikizo la kisiasa na kiuchumi,…
-
Mkuu wa Majeshi ya Yemen auawa shahidi
Hawza/ Jeshi la Yemen siku ya Alhamisi limetoa tamko rasmi likitangaza kuuawa kishahidi jenerali wa ngazi ya juu Mohammad Abdulkarim al-Ghamari, aliyekuwa Mkuu wa Majeshi ya Yemen, na kutoa salamu…