Dini
لیستی صفحه سرویس
-
Raisi Mwinyi: Kipaumbele chetu kiwe ni Madrasa pamoja na kuwasaidia Masheikh na Walimu
Hawza/ Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewasisitiza Waislamu, wahisani na wafadhili kuelekeza nguvu zao katika kuziimarisha Madrassa pamoja…
-
Tamasha la kimataifa la Qur'ani kufanyika nchini Tanzania
Hawza/ Tamasha la kimataifa la Qur'ani limepangwa kufanyika nchini Tanzania huku likishirikisha Taasisi nne mashuhuri nchini humo.
-
Njaa na ukame huko Ghaza ni ishara ya ukosefu wa maadili ya kibinadamu duniani
Hawza/ Mgogoro wa Ghaza ni janga la kibinadamu ambalo athari zake mbaya zinawakumba watu wa tabaka lote, lakini mzigo mkubwa zaidi unabebwa na watoto. Mzigo huu unavunja mifupa yao, kwa hakika,…
-
Hijabu nchini Nigeria yateka vyombo vya Habari
Hawza/ Bi Hamda Adenike alishindwa kushiriki katika kikao cha mtihani wa taasisi ya kielimu kwa sababu ya kuwa na hijabu.
-
Rais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan: Israeli ni utawala wa kimabavu, usio halali na ni tishio kwa amani ya dunia
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake kwenye mnasaba wa Siku ya Nakba (15 Mei), amelieleza utawala wa Kizayuni kuwa ni utawala wa kunyang’anya kwa nguvu…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi: Kusimama Imara Mbele ya Madhalimu Ndio Sababu ya Uadui Wao Dhidi Yetu
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: Tatizo kuu la mabeberu wa Magharibi ni kuwa Jamhuri ya Kiislamu inakataa utamaduni wao batili.
-
Wasanii Mashuhuri Duniani watia saini kwenye Waraka mmoja
Hawza/ Zaidi ya watu mashuhuri 350 katika ulimwengu wa sinema na nyota wa Cannes na Hollywood, wakiwemo mastaa kama Richard Gere na Susan Sarandon, wamelaani “mauaji ya halaiki” yanayoendelea…
-
Trump Anakusudia Kufanya Biashara kwa Kutumia Utajiri na Damu ya Watu wa Ukanda huu/ Washington Inajaza Mifuko Yake kutokana na Pesa za Nchi za Kiarabu
Hawza/ Nchi za Kiarabu katika mwezi Machi zitakuwa wenyeji wa rais wa Marekani anayependa kamari na kufanya biashara, ambaye hana umuhimu wowote na damu, maisha, wala mali za watu wa eneo hili,…
-
New York Times: Ghuba ya Uajemi Kamwe Haitapewa Jina Bandia
Hawza/ Umoja wa Mataifa nao unatumia istilahi ya “Ghuba ya Uajemi”. Makala moja iliyochapishwa mwaka 2006 nchini Marekani imebainisha kuwa katika nyaraka za kihistoria, jina la “Ghuba ya Uajemi”…
-
Muqtada Sadr akutana na Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli katika mji mtukufu wa Najaf
Hawza/ Kiongozi wa harakati ya Sadr amemtembelea Ayatollah Abdullah Jawadi Amoli sehemu aliyo fikia huko mjini Najaf al-Ashraf na kufanya naye mazungumzo.
-
Ushirikiano wa Kimataifa kwenye Taasisi za Kiislamu ni jambo la ulazima kwa ajili ya Kuimarisha Uislamu na Maendeleo katika Jamii
Hawza/ Mkuu wa Taasisi ya Kielimu na Kitaaluma ya Bilal ya Tanzania amesisitiza juu ya nafasi muhimu ya ushirikiano wa kimataifa katika kusambaza ujumbe sahihi wa Uislamu, na kwa kubainisha shughuli…
-
Watalii kutoka Poland wahudhuria Haram ya Bibi Mtukufu mwenye Karama
Hawza/ Watalii 40 kutoka nchi ya Poland, wamehudhuria katika haram takatifu ya Bibi Fatima Maasuma Salamullahi ‘Alayha, kutokana na kuhudhuria kwao waliweza kuifahamu shakhsia na hadhi ya Bibi…