Dini
لیستی صفحه سرویس
-
Mhadhiri wa Sheria ya Kimataifa katika Chuo Kikuu cha Carleton, Kanada:
Umoja wa Kiislamu Utumie Nyenzo za Kisheria Katika Kupambana Dhidi ya Utawala wa Kizayuni
Hawzah/ Dkt. Hilya Dutaqi, mhadhiri wa sheria ya kimataifa, katika semina ya nne ya kimataifa iliyokuwa na anuani isemayo “Iran ya Kiislamu; Ngome ya Heshima ya Kiislamu katika kukabiliana na…
-
Kikao cha kielimu “Kudhihiri Nuru ya Bibi Fa'timah Zahra (s.a) Katika Zama Zote” Chafanyika Nchini Senegali
Hawzah/ Sambamba na maadhimisho ya siku ya kuzaliwa Bibi Fa'timah Zahra (a.s), Jumuiya ya Wanawake wa Fatima Zahra (s.a.), inayohusishwa na Baraza la Wanazuoni wa Ahlul-Bayt (a.s.) nchini Senegal,…
-
Mwanazuoni Mashuhuri Nchini Tanzania:
Mwezi wa Rajabu ni Mwezi wa Amani, Huruma na Kufanya Ibada
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Ithnaasharia Tanzania (TIC) amesisitiza kuwa mwezi wa Rajabu ni kipindi maalum cha amani, utulivu, na kufanya ibada, aliyasema hayo wakati akihutubia kwenye…
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa ya Najaf Ashraf:
Kudharauliwa Qur’ani Tukufu na Mgombea wa Marekani ni Dalili ya Kushindwa kwa Utamaduni wa Magharibi
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanji amelaani vikali kitendo cha mmoja wa wagombea wa Bunge la Marekani cha kudharau hadhi tukufu ya Qur’ani Tukufu.
-
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Lebanon:
Uelewa wa Sulhu ya Imam Hasan (a.s.) na Mapambano ya Imam Hussein (a.s.) ni Njia Mbili Zinazotegemeana Kwenye Muqāwama wa Kiislamu
Hawza/ Bi. Dalal Abbas amesema: Sulhu Imam Hasan (a.s.) na mapambano ya Imam Hussein (a.s.) ni njia mbili zinazokamilishana katika muqāwama wa Kiislamu, na zinachukuliwa kuwa dira ya kukabiliana…
-
Msimamizi wa jalada la wafungwa wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu (Hamas):
Irani ni Uti wa Mgongo wa Mhimili wa Muqāwama Dhidi ya Utawala wa Kizayuni
Hawza/ Sheikh Abdulrahman amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, tangia siku za mwanzo za ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, imeliweka suala la Palestina kuwa ni mhimili usioweza kufanyiwa mazungumzo…
-
Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon walaani kudharauliwa Qur’ani Tukufu:
Kuitukana Qur’ani ni Sawa na Kuwashambulia Waislamu Wote
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon, katika taarifa rasmi, umelaani vikali kitendo cha “Jake Lang”, mgombea wa Chama cha Republican cha Marekani, cha kuidharau Qur’ani Tukufu.
-
Ushiriki wa Iran katika Maonesho ya Kitabu ya Burkina Faso
Hawza/ Maonesho ya Kitabu yalifanyika mjini Ouagadougou, mji mkuu wa Burkina Faso, kwa muda wa siku sita, huku yakishirikisha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Johannesburg, Afrika Kusini:
Kaulimbiu za Mapinduzi ya Kiislamu zilikuwa ni Muhimili wa Muqāwama kwa Waislamu Afrika Kusini
Hawza/ Farid Is-haq amesema: Tajriba ya Afrika Kusini inaonesha kuwa hotuba ya Mapinduzi ya Kiislamu, kwa kurejea upya na kufasiri upya dhana za Qur’ani Tukufu, zilichukua nafasi muhimu katika…
-
Ayatullah Al-Udhma Subhani katika ufunguzi wa Taasisi ya Utafiti wa Ilmu ya Kalamu ya Imam Ja‘far Sadiq (a.s):
Lazima tuwe na uhuru wa kifikra na kielimu / Fikra za Magharibi Hazipaswi Kuathiri Jamii
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Subhani alionya kwamba: Ni lazima tuingie katika uwanja wa elimu kupitia njia sahihi, wala hatupaswi kuvutiwa na kuathiriwa na Magharibi. Sisi wenyewe tuna misingi sahihi…
-
Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu Nigeria, Sheikh Ibraheem Zakzaky, Atunukiwa Tuzo ya Dunia ya Imam Khomeini + Picha
Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, Sheikh Ibraheem Zakzaky, ametunukiwa Tuzo ya Dunia ya Imam Khomeini (ra), kutokana na kutambua mchango wake mkubwa katika kuhudumia Ummah…
-
Kurejea Shughuli za “Daesh” Kwenye Maeneo Yaliyo Chini ya Udhibiti wa Serikali ya Damascus; Ni Jambo Linalo Tishia Usalama
Hawza/ Kuongezeka kwa operesheni zilizotekelezwa hivi karibuni na kundi la Daesh nchini Syria kunatoa tahadhari ya kurejea kwa shughuli za kundi hili; jambo hili linatokea katika kipindi nyeti…

