Dini
لیستی صفحه سرویس
-
Ayatullah al-Udhma Jawadi Amuli:
Elimu Iliyopitwa na Wakati na Kuchakaa Haifai kwa Hawza na Vyuo Vikuu/ Bila Imani, Elimu Haiwezi Kujengwa
Hawza/ Ayatullah Jawadi Amuli, huku akisisitiza umuhimu wa kufikia elimu mpya na yenye afya, ameeleza kwa msisitizo: Elimu ambayo imepitwa na wakati na kuchakaa, haiwezi kuipeleka Hawza katika…
-
Naibu wa Masuala ya Kimataifa wa Hawza Nchini Iran:
Kuweka Mambo ya Kimataifa katika Nguzo Zote za Hawza ni Miongoni mwa Ajenda/ Matumizi Mapana ya Teknolojia za Kisasa na Akili Mnemba
Hujjatul-Islamu wal-Muslimina Husseini-Kouhsari amebainisha kuwa, mipango ya mabadiliko ya Naibu wa Masuala ya Kimataifa wa Hawza imeandaliwa kwa lengo la kuweka mwelekeo wa kimataifa katika…
-
Ubalozi wa Iran Vatican Wawataka Viongozi wa Dini Kuvunja Ukimya
Hawza/ Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Vatican, kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa kigaidi wa Marekani kusini mwa Iran, katika eneo la Sirik, umewataka wanazuoni,…
-
Idara ya Elimu na Malezi ya Texas Yaandika Upya Vitabu vya Masomo ya Kijamii kwa Mtazamo wa Kuupinga Uislamu
Hawza/ Licha ya juhudi za Waislamu za kuhakikisha kwamba Waislamu wenye ushawishi na wenye heshima wanapewa nafasi inayostahili katika masomo, Idara ya Elimu na Malezi ya Texas bado inaendelea…
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
Kusini Mwa Lebanon ni Nguzo Muhimu Zaidi ya Muundo wa Mfumo wa Utawala;Serikali Isiyoilinda Imeiuza Nchi
Hawza/ Sheikh Ahmad Qabalan, Mufti Mashuhuri wa Jaafari, akimuelekea Rais wa Lebanon amesema: “Uwezekano wa mgawanyiko wa ndani umefikia kiwango cha juu kabisa, na wewe una wajibu wa kuzuia kusambarat…
-
Imam wa Ijumaa wa Baghdad:
Iraq Inahitaji Serikali Itakayowaokoa Wananchi na Kulinda Utawala wa Nchi
Hawza/ Ayatullah Sayyid Yasin Al-Mousawi, Imam wa Ijumaa wa Baghdad, amekosoa sera za kiuchumi na utendaji wa kisiasa wa baadhi ya viongozi, huku akisisitiza umuhimu wa kuundwa serikali ya wananchi,…
-
Sheikh Jalala Afanya Ziyara Maalumu kwa Mlezi wa Jumuiya ya Shia TIC Mwanza, Apongeza Juhudi za Kuitumikia Jamii
Hawzah/ Tarehe 05 Septemba 2026, Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, amefanya ziyara maalumu kwa Mlezi wa Jumuiya ya Shia TIC Mwanza na Mwenyekiti…
-
London Yaandaa Maonesho ya Kihistoria ya Sanaa Yanayohusu Historia ya Waislamu wa Ulaya
Hawza/ Maonesho ya sanaa ya Shahid Salim yanaonesha mapazia yenye rangi mbalimbali yanayoakisi nyakati muhimu za kihistoria kwa Waislamu wa Uingereza na Ulaya.
-
Naibu Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kiislamu Afrika Kusini:
Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran Yalikuwa Chanzo cha Hamasa kwa Wananchi wa Afrika Kusini
Hawza/ Naibu Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kiislamu la Afrika Kusini, huku akisisitiza kwamba Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yalikuwa chanzo cha hamasa kwa harakati za kupigania uhuru nchini…
-
Hawzah ya Ayatullah Ka'dhimi Yafunguliwa Mjini Ka'dhimain; Hatua Mpya katika Kukuza Elimu za Hawza
Hawza/ Jiji takatifu la Ka'dhimain Iraq, limeshuhudia hafla ya uzinduzi wa “Hawza ya Ayatullah Sheikh Muhammad Hussein Ka'dhimi” kwa ajili ya masomo ya elimu za Hawza, iliyofanyika jirani na…
-
Maulana Sheikh Jalala Ahimiza Waislamu Kuendeleza Vikao vya Maulidi, Dua na Dhikri
Hawza/ Tarehe 04 Septemba 2026, Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, amehudhuria hafla ya Maulidi iliyofanyika jijini Mwanza, katika mwendelezo…
-
Rais wa Jumuiya ya Wifaq ya Madrsa za Kishia Pakistan:
Marjaiya, Maombolezo ya Ashura na Wilaya ni Nguzo Tatu Imara za Ushia Dhidi ya Ukoloni
Hawza/ Ayatullah Hafiz Riyadh Hussein Najafi, Mkuu wa Shirikisho la Madrasa za Kishia Pakistan (Wifaq al-Madaris al-Shia Pakistan), amesisitiza kwamba Marjaiya, maombolezo ya Ashura na Wilaya…

