Habari mpya
Zilizo angaliwa sana
لیستی صفحه سرویس
-
Raisi wa Shura ya Ulama wa kishia Pakistan:
Eid al-Fitr ni kielelezo cha umoja na mshikamano kwa umma wa kiislamu
Hujjatul Islam wal Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake kwa mnasaba wa Eid al-Fitr, ameeleza kuwa siku hii siyo tu alama ya furaha na shangwe, bali pia ni fursa ya kudhihirisha…
-
Visa za wanafunzi 300 wanaoipinga Israel katika vyuo vikuu vya Marekani zafutwa
Marekani imefuta visa za wanafunzi wa kigeni 300 kwa sababu ya kushiriki maandamano ya kuunga mkono Palestina katika vyuo vikuu vya nchi hiyo.
-
Nchini Iran, siku ya jumatatu ndio itakuwa Sikukuu ya Idd-al-Fitr
Mjumbe wa kamati ya uchunguzi wa mwandamo wa mwezi katika ofisi ya kiongozi wa mapinduzi amesema kuwa: Kwa mujibu wa utabiri ulio tolewa na wataalamu, jumatatu itakuwa sikukuu ya Idd-al-Fitr.…
-
Matembezi ya Siku ya kimataifa ya Quds nchini Niger
Sambamba na Siku ya Kimataifa ya Quds, Waislamu waliokuwa wamefunga nchini Niger, katika Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani, walishiriki kwenye matembezi hayo ili kuonyesha mshikamano…
-
Katika maadhimisho ya Siku ya Quds Indonesia na Malaysia; Mahathir miongoni mwa waandamanaji
Waislamu na watetezi wa haki duniani katika nchi za Indonesia na Malaysia wameshiriki kwa maelfu katika maandamano ya kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds yanayofanyika katika Ijumaa ya mwisho…
-
Kiongozi wa Mapinduzi katika ujumbe wa televisheni alisisitiza kuwa:
Matembezi ya mwaka huu ni miongoni mwa matembezi bora zaidi, yaliyo na heshima na utukufu zaidi kuliko matembezi mengine yaliyowahi kufanyika katika Siku ya Quds
Hawaza: Kiongozi wa Mapinduzi ya kiislamu, Hadhrat Ayatollah Khamenei, alisisitiza katika ujumbe wake wa televisheni usiku huu kuwa, matembezi ya mwaka huu ya Siku ya Quds ni muhimu zaidi kuliko…
-
Watu wa Jammu na Kishmiri wahudhuria kwa wingi katika matembezi adhimu ya siku ya Qudsi
Maelfu ya waumini wa Jammu na Kashmir walihudhuria kwa wingi katika matembezi makubwa ya siku ya Quds, huku wakipiga mayowe yaliyo ashiria "Kifo kwa Israeli" na "Uhuru kwa Palestina", kuonyesha…
-
Matembezi makubwa ya Siku ya Quds yafanyika katika Mji wa Islamabad Pakistan
Shura ya Ulamaa wa Kishia na Shirika la wanafunzi wa Jafariya Islamabad Pakistan waliongoza maandamano makubwa baada ya Swala ya Ijumaa, yakilenga kupinga uvamizi haramu wa Qibla cha kwanza…
-
Katuni:
Mvua ya makombora kutoka katika utawala wa kizayuni inawanyeshea wakimbizi wa Ghaza
Makombora ya utawala wa kizayuni yanaendelea kuwamiminikia wakimbizi wa Palestina walio na njaa katika ukanda wa Ghaza.
-
Rais wa Shura ya maulama wa kishi’a Pakistan:
Kelele za Uhuru wa Quds nchini Pakistan ni umoja wa taifa katika kuunga mkono Palestina
Hujat al-Islam walmuslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika tamko lake, alisisitiza umuhimu wa siku ya Quds na aliwaomba watu wa Pakistan kushiriki kwa wingi Ijumaa ya mwisho ya mwezi wa Ramadhani…
-
Mwanazuoni wa Kidini wa kihindi: Siri ya Maendeleo ya Binadamu imejificha katika Qur'ani tukufu
Hujjat-ul-Islam Sayyid Shahwar Naqvi Amrohwi, katika hotuba aliyotoa kwenye Msikiti mkuu wa Shia Mirza Quli Khan nchini India, alieleza kuwa siri ya maendeleo na ustawi wa binadamu iko katika…
-
Ulamaa wa Yemen wamesisitiza kuhamasisha umma kukabiliana na mashambulizi mapya ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ghaza
Taasisi ya Ulamaa wa Yemen imesema: "Katika kukabiliana na kuvunjwa kwa makubaliano na adui Muisraeli na uvunjwaji wa masharti ya mkataba, kutokana na kuanza tena vita vya uharibifu na kutekeleza…