Jumatano 17 Desemba 2025
  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Wakaaji wa Itikafu Waombe Dua Kwa Ajili ya Kuwaokoa Waislamu Kutoka Katika Hali Ngumu

    Ayatullah Al-Udhma Subhani:

    DuniaWakaaji wa Itikafu Waombe Dua Kwa Ajili ya Kuwaokoa Waislamu Kutoka Katika Hali Ngumu

    Hawza/ Ayatullah Subhani amesisitiza kuwa: mambo yanayowakumba Waislamu leo hayajawahi kushuhudiwa kwa kiwango kikubwa kama hiki katika historia, na kutokana na dunia kutojali kuhusu maafa haya…

    2025-12-17 21:00
  • Kukuza Utamaduni wa Swala Hakufanyiki Kulingana na Amri

    Ayatullah Al-Udhma Nouri Hamadani:

    DuniaKukuza Utamaduni wa Swala Hakufanyiki Kulingana na Amri

    Hawza/ Ayatullah Nouri Hamadani, akisisitiza juu ya umuhimu wa kujenga utamaduni kuanzia katika mazingira ya elimu na familia, amesema wazi kuwa: kukuza utamaduni wa Swala hakutapatikana kwa…

    2025-12-17 20:00
  • Wito wa Tarehe 18 Desemba; Hasira za Wafanyakazi Dhidi ya Sera Kali za Serikali ya Ufaransa

    DuniaWito wa Tarehe 18 Desemba; Hasira za Wafanyakazi Dhidi ya Sera Kali za Serikali ya Ufaransa

    Hawza/ Zaidi ya mashirika na vyama 400 nchini Ufaransa vimewaita wananchi kushiriki maandamano ya tarehe 18 Desemba dhidi ya ubaguzi wa rangi na kwa ajili ya kuhalalishwa kisheria kwa watu wasiokuwa…

    2025-12-17 19:00
  • Tuwe Wapinga-Uzayuni, si Wapinga-Uyahudi

    DuniaTuwe Wapinga-Uzayuni, si Wapinga-Uyahudi

    Hawza/ Harakati ya kuunga mkono Palestina nchini Scotland ililaani tukio la ufyatuaji risasi uliosababisha vifo katika hafla ya Wayahudi nchini Australia, na ikasisitiza kuwa hakuna uhalali wowote…

    2025-12-17 18:00
  • Muqawama ni Jibu la Kihistoria kwa Uislamu Dhidi ya Uvamizi na Ubeberu

    Mkurugenzi wa Taasisi ya 'Kuhuisha Turathi za Wanazuoni' wa Lebanon, Katika Kongamano la kimataifa la “Muqawama”:

    DuniaMuqawama ni Jibu la Kihistoria kwa Uislamu Dhidi ya Uvamizi na Ubeberu

    Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh Baghdadi, huku akisisitiza kuwa; muqawama una mizizi yake katika mafundisho halisi ya Uislamu, alisema wazi kuwa: Muqawama ni jibu la kihistoria na la kimkakati la…

    2025-12-17 17:00
  • Hakuna Nafasi ya Kujisalimisha Katika Kamusi Yetu, Muqawama ni Utamaduni wa Maisha

    Waziri wa Zamani wa Lebanon:

    DuniaHakuna Nafasi ya Kujisalimisha Katika Kamusi Yetu, Muqawama ni Utamaduni wa Maisha

    Hawza/ Mustafa Bairam alisisitiza kuwa muqawama nchini Lebanon, sambamba na watu wake, umefikia viwango vya juu kabisa vya wajibu wa kibinadamu na kitaifa katika kusimama upande wa wanyonge,…

    2025-12-17 16:00
  • Licha ya Mashinikizo Yote, Muqawama Utaendelea Kumiliki Silaha

    Mwakilishi wa Hizbullah:

    DuniaLicha ya Mashinikizo Yote, Muqawama Utaendelea Kumiliki Silaha

    Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Faisal Shukr alisisitiza kuwa; bendera ya muqawama itaendelea kuinuliwa, na silaha zake, licha ya mashinikizo yote, silaha zitaendelea kubakia mikononi mwa wapiganaji…

    2025-12-17 15:03
  • Ni lazima Thamani na Motisha za Mashahidi Zihamishiwe kizazi kijacho/ Umuhimu wa Kufafanua kwa Ubunifu wa Kisanaa Maadili ya Ulinzi Mtakatifu

    Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi Iran, Katika Kikao na Waandaaji wa Kongamano la Kitaifa la Kuadhimisha Mashahidi wa Mkoa wa Alborz Nchini Humo:

    DuniaNi lazima Thamani na Motisha za Mashahidi Zihamishiwe kizazi kijacho/ Umuhimu wa Kufafanua kwa Ubunifu wa Kisanaa Maadili ya Ulinzi Mtakatifu

    Hawzah/ Ayatollah Sayyid Ali Khamenei amesisitiza: kuhamisha thamani na motisha za kipindi cha Ulinzi Mtakatifu kukielekea kizazi kipya kunahitaji kazi ya kisanaa na ufuatiliaji usiokatika.

    2025-12-17 10:22
  • Njia Isiyo na Kifani ya Mwenyezi Mungu kwa Ajili ya Kumlea Mwanadamu

    Mafunzo Katika Qur'an:

    DuniaNjia Isiyo na Kifani ya Mwenyezi Mungu kwa Ajili ya Kumlea Mwanadamu

    Hawza/ Mwenyezi Mungu katika aya ya 90 ya Surah An-Nahl, badala ya kutumia amri na katazo kali, anatumia lugha ya mafundisho: «يَعِظُكُمْ لَعَلَّكُمْ تَذَكَّــرُونَ». Huu ni mtindo wa kipekee…

    2025-12-16 21:02
  • Mwanazuoni wa Dini Lazima Daima Awe Kwenye Njia ya Kutafuta Elimu na Kuhifadhi Kazi za Kielimu

    Mwanzuoni Mashuhuri kwa Kishia Nchini Pakistan:

    DuniaMwanazuoni wa Dini Lazima Daima Awe Kwenye Njia ya Kutafuta Elimu na Kuhifadhi Kazi za Kielimu

    Hawza/ Ayatollah Hafiz Sayyid Riyaadh Hussain Najafi katika hotuba yake alisisitiza umuhimu wa kutafuta elimu mara kwa mara, kuhifadhi kazi za kisayansi za wataalimu, na kufundisha Qur'an na…

    2025-12-16 20:01
  • Radi Amali ya Kamati ya Uongozi wa Michezo ya Hawza Nchini Iran, Kuhusu “Mechi ya Kifahari ya Mashoga”

    DuniaRadi Amali ya Kamati ya Uongozi wa Michezo ya Hawza Nchini Iran, Kuhusu “Mechi ya Kifahari ya Mashoga”

    Hawza/ Kufuatia kuitwa kwa mchezo wa timu ya taifa ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Jamhuri ya Kiarabu ya Misri kwa jina la “Mechi ya Fahari” (Pride Match) na FIFA pamoja na Kamati ya Maandalizi…

    2025-12-16 00:30
  • Kuweka Picha na Video Binafsi Kwenye Wasifu (Profile)

    Hukumu za Kisheria:

    DuniaKuweka Picha na Video Binafsi Kwenye Wasifu (Profile)

    Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi amejibu swali la kisheria (istiftaa) kuhusiana na suala la “kuweka picha na video binafsi kwenye wasifu (profile)”.

    2025-12-15 22:30
  • Chanzo cha Uadui wa Marekani ni Hofu ya “Kusimamishwa Uislamu Halisi” / Ghaza; maonyesho ya aibu ya Ustaarabu wa Magharibi

    Ayatollah Kaabi:

    DuniaChanzo cha Uadui wa Marekani ni Hofu ya “Kusimamishwa Uislamu Halisi” / Ghaza; maonyesho ya aibu ya Ustaarabu wa Magharibi

    Hawza/ Naibu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza Qum, huku akisisitiza kwamba chanzo kikuu cha uadui wa Marekani, utawala wa Kizayuni na Magharibi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, ni hofu ya…

    2025-12-15 21:30
  • Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Melbourne, Australia, Alaani Shambulio Dhidi ya Hafla ya Kidini ya Wayahudi

    DuniaImamu wa Swala ya Ijumaa wa Melbourne, Australia, Alaani Shambulio Dhidi ya Hafla ya Kidini ya Wayahudi

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Abulqasim Razavi, katika tamko alilotoa kufuatia shambulio la kutumia silaha dhidi ya hafla ya kidini ya Wayahudi huko Sydney, pamoja na kulaani vikali…

    2025-12-15 20:45
  • Historia Imethibitisha Kwamba Sisi ni Watu Wakubwa Kuliko Migawanyiko

    Sheikh Ahmad Qabalan:

    DuniaHistoria Imethibitisha Kwamba Sisi ni Watu Wakubwa Kuliko Migawanyiko

    Hawza/ Mufti Mkuu wa Jaafari wa Lebanon amesema: Mwanadamu ndiye kitu kitakatifu zaidi miongoni mwa vitakatifu vya Mwenyezi Mungu, na hakuna utakatifu wowote kwa maslahi ya mwanadamu isipokuwa…

    2025-12-15 19:30
  • Ziara ya Kihistoria: Wawakilishi wa Makabila Mbali Mbali Niger, Wakutana na Sheikh Ibraheem Zakzaky + Picha

    DuniaZiara ya Kihistoria: Wawakilishi wa Makabila Mbali Mbali Niger, Wakutana na Sheikh Ibraheem Zakzaky + Picha

    Hawza/nJumamosi, 13 Desemba 2025, baadhi ya wawakilishi wa jamii za kikabila kutoka Jamhuri ya Niger walifanya ziara ya kumtembelea kiongozi wa Harakati ya Kiislamu, Sheikh Ibraheem Zakzaky,…

    2025-12-15 10:20
  • Ufafanuzi wa Mwenendo Mtukufu na Wenye Nuru wa Bibi Fatima Zahra (a.s.)

    Kongamano la 11 la Kimataifa la Al-Kawthar, Lafanyika Huko Najaf:

    DuniaUfafanuzi wa Mwenendo Mtukufu na Wenye Nuru wa Bibi Fatima Zahra (a.s.)

    Hawza/ Kutokana na mnasaba wa maadhimisho ya kuzaliwa mwenye heri na baraka Bibi Fatima Zahra, amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake, pamoja na maadhimisho ya pili ya kufariki Ayatollah Sheikh…

    2025-12-14 19:05
  • Harakati ya Kiislamu Nchini Nigeria, Yaadhimisha Kumbukumbu ya Kuzaliwa Sayyida Fatima al-Zahra (as) + Picha

    DuniaHarakati ya Kiislamu Nchini Nigeria, Yaadhimisha Kumbukumbu ya Kuzaliwa Sayyida Fatima al-Zahra (as) + Picha

    Hawza/ harakati ya Kiislamu nchini Nigeria imeadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa Sayyida Fatima al-Zahra (as), ambae ni binti wa Mtume (saww), na mke wa Imam Ali (as), vile vile pia ni mama wa…

    2025-12-13 22:30
  • Kundi la Masheikh wa Senegal, Wakutana na Kiongozi wa Tijaniyya wa Eneo la Al-Tamasin, Algeria + Picha

    DuniaKundi la Masheikh wa Senegal, Wakutana na Kiongozi wa Tijaniyya wa Eneo la Al-Tamasin, Algeria + Picha

    Hawza / Kundi la watafiti na mashaykh wa madhehebu ya Tijaniyya kutoka nchi ya Senegal walikutana na Kiongozi wa Tariqa ya Tijaniyya katika eneo la Al-Tamasin, lililopo nchini Algeria.

    2025-12-13 21:30
  • Hashdu Shaabi Imeiokoa Iraq Dhidi ya Mifarakano

    Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad:

    DuniaHashdu Shaabi Imeiokoa Iraq Dhidi ya Mifarakano

    Hawza/ Ayatollah Sayyid Yasin Mousawi, Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad, huku akisisitiza nafasi ya kipekee na isiyopingika ya Hashdu Shaabi katika kuiokoa Iraq dhidi ya mifarakano na kusambaratika…

    2025-12-13 20:36
  • Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) Ahudhuria Hafla ya Ndoa ya Vijana 100 Jijini Tanga + Picha

    DuniaSheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) Ahudhuria Hafla ya Ndoa ya Vijana 100 Jijini Tanga + Picha

    Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania, Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, ameshiriki katika hafla maalumu ya ndoa za pamoja kwa vijana 100 iliyofanyika leo jijini Tanga.

    2025-12-12 19:00
  • Sheikh Al-Qattan Katika Kikao Chake na Jamil Hayek, Atilia Mkazo Kwenye Umoja wa Kitaifa na Kuliunga Mkono Suala la Palestina

    DuniaSheikh Al-Qattan Katika Kikao Chake na Jamil Hayek, Atilia Mkazo Kwenye Umoja wa Kitaifa na Kuliunga Mkono Suala la Palestina

    Hawza/ Rais wa Jumuiya ya “Qawluna wa Al-Amal” nchini Lebanon, alipotembelea ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Amal mjini Beirut, alifanya kikao na Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya harakati hiyo, Jamil…

    2025-12-12 00:00
  • Ulazima wa Kubadili Mpangilio wa Ufikishaji wa Kimtandao na Kimaarifa Mbele ya Juhudi Anazozifanya Adui Ili Kuvutia Nyoyo na Akili

    Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Iran, Katika Mkutano na Waimbaji wa Mashairi ya Ahlul-Bayt (a.s.):

    DuniaUlazima wa Kubadili Mpangilio wa Ufikishaji wa Kimtandao na Kimaarifa Mbele ya Juhudi Anazozifanya Adui Ili Kuvutia Nyoyo na Akili

    Hawza/ Kiongozi wa Mapinduzi alibainisha kuwa; kusimama imara dhidi ya vita vya ufikishaji wa kimtandao vinavyoongozwa na Magharibi ni jambo gumu lakini linawezekana kabisa. Alisema: Katika njia…

    2025-12-11 22:45
  • Ushauri Muhimu wa Ayatollah Udhmaa Wahid Khorasani Kuwaelekea Vijana

    DuniaUshauri Muhimu wa Ayatollah Udhmaa Wahid Khorasani Kuwaelekea Vijana

    Hawza/ Ayatollah Mkuu Wahid Khorasani amesisitiza kuwa: Ujana kwa mwanadamu ni kama msimu wa masika kwenye ulimwengu na katika mzunguko wa wakati. Katika msimu huu wa ujana, kila mbegu ya elimu…

    2025-12-11 07:00
  • Tuiwasilishe Qur’ani kwa Namna Ambayo Watu wa Wawaida Waielewe na Wasomi Wavutiwe Nayo

    Ayatullah Qaraati Katika Mkutano na Wanafunzi wa Dini:

    DuniaTuiwasilishe Qur’ani kwa Namna Ambayo Watu wa Wawaida Waielewe na Wasomi Wavutiwe Nayo

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Mohsen Qiraati, katika mkutano na wanafunzi wa dini, alikosoa baadhi ya tafiti zisizo na manufaa ya moja kwa moja, akasisitiza umuhimu wa tabligh yenye ufanisi…

    2025-12-11 06:00
  • Msimamo wa Kichochezi wa Wanaodai Kuhifadhi Uhuru wa Mamlaka, kwa Hakika ni wa Khiyana na Unaendana na Adui wa Kizayuni

    Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Lebanon:

    DuniaMsimamo wa Kichochezi wa Wanaodai Kuhifadhi Uhuru wa Mamlaka, kwa Hakika ni wa Khiyana na Unaendana na Adui wa Kizayuni

    Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon katika taarifa yake ulisema: Adui bado anaendelea na hujuma zake kwa kuvunja makubaliano ya kusitisha mapigano na Azimio namba 1701, na kwa…

    2025-12-10 19:00
  • Jihadharini na Mtego Ulio Jikita Kwenye Mazungumzo

    Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon:

    DuniaJihadharini na Mtego Ulio Jikita Kwenye Mazungumzo

    Hawza/ Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon, katika taarifa yake baada ya kikao chake cha kila mwezi, ilitoa onyo kuwa, ni lazima kujihadhari na mtego wa kile kinachoitwa “mazungumzo”.

    2025-12-10 18:00
  • Kukosa Usalama na Kutoridhika Ndani ya Mwaka Mmoja wa Utawala wa Jolani Sirya

    DuniaKukosa Usalama na Kutoridhika Ndani ya Mwaka Mmoja wa Utawala wa Jolani Sirya

    Hawza/ Katika maadhimisho ya mwaka mmoja tangia kuanguka kwa Bashar al-Assad, iwapo Jolani na timu yake hawataweza kutatua matatizo mengi ya kiuchumi, kijamii na kisiasa ya Syria na kutoa mtazamo…

    2025-12-10 17:00
  • Da‘wa (Tabligh) ni Kukumu la Kwanza la Wanazuoni wa Hawza

    Ayatullah Udhma Nouri Hamadani:

    DuniaDa‘wa (Tabligh) ni Kukumu la Kwanza la Wanazuoni wa Hawza

    Hawza/ Ayatullah Nouri Hamadani amesisitiza kuwa: jukumu la kwanza kabisa la wanazuoni wa Hawza ni kutekeleza kazi ya da‘wa (tabligh). Matunda ya juhudi zote yanajikusanya katika jukumu hili;…

    2025-12-09 19:45
  • Emilio Saba, Beki Anayevuka Mipaka ya Soka na Kuwa Chanzo cha Msukumo Katika Kombe la Kiarabu

    Kutoka Lima hadi Palestina:

    DuniaEmilio Saba, Beki Anayevuka Mipaka ya Soka na Kuwa Chanzo cha Msukumo Katika Kombe la Kiarabu

    Hawza/ Katika Kombe la Kiarabu lililofanyika Doha, Emilio Saba — mchezaji wa Peru mwenye mizizi ya Kipalestina — kwa uchezaji wake mahiri, unyenyekevu na utambulisho wake wa pande mbili, ameibuka…

    2025-12-09 18:45
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • Next

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom