Ijumaa 6 Februari 2026
  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Mapinduzi ya Kiislamu ni Kuzaliwa upya Ustaarabu wa Kimataifa wa Mahdawiya/ Naibu wa Imam wa Zama (a.j) ndie Nahodha wa Mapinduzi

    Ayatullah Kaabi:

    DuniaMapinduzi ya Kiislamu ni Kuzaliwa upya Ustaarabu wa Kimataifa wa Mahdawiya/ Naibu wa Imam wa Zama (a.j) ndie Nahodha wa Mapinduzi

    Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qum amesisitiza kuwa; Mapinduzi ya Kiislamu yaliundwa juu ya misingi ya Ghadir, Ashura na Subira ya Kungoja (Intidhār), na kwa msingi…

    2026-02-05 00:30
  • Katibu Mkuu wa Hizbullah Lebanon Atangazwa kuwa “Msaidizi wa Mahdi wa Mwaka”

    DuniaKatibu Mkuu wa Hizbullah Lebanon Atangazwa kuwa “Msaidizi wa Mahdi wa Mwaka”

    Hawza/ Sheikh Naim Qassem, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, ametangazwa rasmi kuwa “Msaidizi wa Mahdi wa Mwaka wa Haram Tukufu ya Msikiti wa Jamkaran.”

    2026-02-04 23:30
  • Idd ya Nusu ya Shaaban ni “mahali pa ibada”/ Tuijue kwa kina zaidi hadhi ya Imam

    Ayatullah al-Udhma Jawadi Amoli:

    DuniaIdd ya Nusu ya Shaaban ni “mahali pa ibada”/ Tuijue kwa kina zaidi hadhi ya Imam

    Hawza/ Ayatullah al-Udhma Jawadi Amoli amesisitiza kuwa; matukio kama vile maadhimisho ya kuzaliwa kwa Heri Hadhrat Walii wa Zama (a.j) yanapaswa kuadhimishwa ipasavyo. Alieleza kuwa ni lazima…

    2026-02-04 23:10
  • Sheikh Mkuu wa TIC Ashiriki Upandishaji wa Bendera ya Imam Mahdi (a.s) Bilal Comprehensive School

    DuniaSheikh Mkuu wa TIC Ashiriki Upandishaji wa Bendera ya Imam Mahdi (a.s) Bilal Comprehensive School

    Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemedi Jalala, ameshiriki katika zoezi la upandishaji wa Bendera ya Imam Mahdi (a.s), lililofanyika katika Shule ya Bilal…

    2026-02-04 19:17
  • Waandamanaji wa Kijerumani wametaka mateka waliopo katika magereza ya Israel waachiliwe huru

    DuniaWaandamanaji wa Kijerumani wametaka mateka waliopo katika magereza ya Israel waachiliwe huru

    Hawza/ jiji la Berlin, mji mkuu wa Ujerumani, lilishuhudia maandamano ya mamia ya watu waliopinga ukiukwaji unaoendelea wa usitishaji mapigano na utawala wa Kizayuni. Waandamanaji hao pia walitaka…

    2026-02-04 10:00
  • Onyo kuhusu ongezeko la vurugu zisizo na kifani za Israel katika vita vya kimya kimya vinavyo endelea Ukingo wa Magharibi

    DuniaOnyo kuhusu ongezeko la vurugu zisizo na kifani za Israel katika vita vya kimya kimya vinavyo endelea Ukingo wa Magharibi

    Hawza/ Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetoa onyo kwamba Ukingo wa Magharibi unashuhudia “vita vya kimya kimya” na kiwango cha vurugu ambacho hakijawahi…

    2026-02-04 09:00
  • Athari za Kieneo za Vita vya Marekani dhidi ya Iran; kuanzia kufungwa kwa Mlango wa Hormuz hadi Yemen kuwa karata ya ushindi mikononi mwa Jihadi ya Muqawama

    DuniaAthari za Kieneo za Vita vya Marekani dhidi ya Iran; kuanzia kufungwa kwa Mlango wa Hormuz hadi Yemen kuwa karata ya ushindi mikononi mwa Jihadi ya Muqawama

    Hawza/ Mwandishi wa Kilebanoni ameandika katika tahariri kwamba, endapo vita kati ya Marekani na Iran vitatokea, kwa mtazamo wa kikanda moto wa vita utaenea kwa kasi; Ghuba ya Uajemi itawekwa…

    2026-02-04 08:00
  • Hizbullah katika eneo la Biqaa yatoa shukrani kwa Balozi wa Iran

    DuniaHizbullah katika eneo la Biqaa yatoa shukrani kwa Balozi wa Iran

    Hawza/ Hizbullah katika eneo la Biqaa ilimuenzi Mojtaba Amani, Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Lebanon, kwa mnasaba wa kumalizika kwa jukumu lake katika nchi hiyo, katika hafla iliyofanyi…

    2026-02-04 07:00
  • Uandishi wa Qur’ani Tukufu kwa hati ya kisanaa wakamilika baada ya miaka 6

    DuniaUandishi wa Qur’ani Tukufu kwa hati ya kisanaa wakamilika baada ya miaka 6

    Hawza/ Ali Zaman, msanii mashuhuri na mtaalamu wa khati (calligraphy) kutoka Iraq, amekamilisha uandishi wa Qur’ani Tukufu kwa mwandiko wa kisanaa (kaligrafia) baada ya miaka sita ya juhudi endelevu.

    2026-02-04 06:00
  • Maaskofu, mapadre na wanafikiria huru wa kimataifa: ujasiri na mtazamo wa kistaarabu wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran vinastahili heshima

    Tamko la pamoja la wafuasi wa dini mbalimbali na watu huru duniani kumhusu Kiongozi wa Mapinduzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran:

    DuniaMaaskofu, mapadre na wanafikiria huru wa kimataifa: ujasiri na mtazamo wa kistaarabu wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran vinastahili heshima

    Hawza/ Kundi la wafuasi wa dini mbalimbali na watu huru duniani, katika tamko lao, limetangaza kumuunga mkono Kiongizi Mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

    2026-02-03 23:41
  • Msimamo thabiti wa wahamiaji wa Afghanistan sambamba na Iran na Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu dhidi ya vitisho vya Marekani na utawala wa Kizayuni

    DuniaMsimamo thabiti wa wahamiaji wa Afghanistan sambamba na Iran na Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu dhidi ya vitisho vya Marekani na utawala wa Kizayuni

    Hawza/ Jamii ya wahamiaji wa Afghanistan wanaoishi katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kupitia tamko rasmi, sambamba na kulaani vikali vitendo na vitisho vya Marekani na utawala muovu wa Kizayuni…

    2026-02-03 10:02
  • Mpango unaojirudia wa Israel kwa kuishambulia Palestina

    DuniaMpango unaojirudia wa Israel kwa kuishambulia Palestina

    Hawza/ Msemaji wa harakati ya Hamas, huku akikanusha madai ya utawala wa Kizayuni kuhusu kukiukwa kwa makubaliano ya kusitisha mapigano na harakati hiyo, alisisitiza kuwa madai hayo ni ya uongo…

    2026-02-02 23:30
  • Mjumbe wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon: Shambulio lolote dhidi ya Iran ni kuvuka mipaka myekundu

    DuniaMjumbe wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon: Shambulio lolote dhidi ya Iran ni kuvuka mipaka myekundu

    Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh Hussein Ghabris, katika ujumbe wake uliolenga kudhihirisha mshikamano na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, alisema: Amani iwe juu yenu, enyi taifa la Kiislamu la Iran,…

    2026-02-02 23:00
  • Fikra ya Mahdawiyya na imani juu ya Uimamu ndiyo sifa kuu ya Ushia

    Ayatullah udhm'a Makarem Shirazi:

    DuniaFikra ya Mahdawiyya na imani juu ya Uimamu ndiyo sifa kuu ya Ushia

    Hawza/ Mtukufu Ayatullah udhm'a Makarem Shirazi amesisitiza kuwa: fikra ya Mahdawiyya na umuhimu wa haja ya kuwepo Mwokozi, ni mwendelezo wa nafasi ya Uimamu na ulazima wa kuwepo kwake katika…

    2026-02-02 22:00
  • Waingereza walijitokeza mitaani kupinga ukiukaji wa sitisho la mapigano unaofanywa na Israel

    DuniaWaingereza walijitokeza mitaani kupinga ukiukaji wa sitisho la mapigano unaofanywa na Israel

    Hawza/ Maandamano makubwa yalifanyika jijini London kupinga uuzaji wa silaha unofanywa na utawala wa Uingereza kwa Israel, na pia kupinga ukiukaji usio wa kibinadamu wa sitisho la mapigano unaofanywa…

    2026-02-02 21:30
  • Hawza ni sehemu hai na niuti wa mgongo wa Umma wa Kiislamu

    Ayatullah Modarresi:

    DuniaHawza ni sehemu hai na niuti wa mgongo wa Umma wa Kiislamu

    Hawza/ Ayatullah Modarresi, huku akisisitiza kwamba; hawza ya kielimu ni “sehemu hai na yenye mwendo wa uti wa mgongo wa Umma wa Kiislamu”, alibainisha kuwa: utambulisho na uimara wa hawza unatokana…

    2026-02-02 21:00
  • Kumtii Kiongozi wa Mapinduzi ya Iran, ni jukumu la kisheria la lazima na la kihistoria

    Tamko la zaidi ya wahadhiri 850 wa vyuo vikuu nchini Iran:

    DuniaKumtii Kiongozi wa Mapinduzi ya Iran, ni jukumu la kisheria la lazima na la kihistoria

    Hawza/ Zaidi ya wahadhiri 850 wa vyuo vikuu nchini Iran, katika tamko lao, wametangaza: Kuunga mkono uongozi huu leo kuwa ni jukumu la kisheria, la lazima na la kihistoria.

    2026-02-02 17:30
  • Mwaka 2026 umeshuhudia ongezeko la uungaji mkono kwa watu wa Palestina duniani

    DuniaMwaka 2026 umeshuhudia ongezeko la uungaji mkono kwa watu wa Palestina duniani

    Hawza/ Tangia kuanza kwa mauaji ya halaiki yanayofanywa na Israel wamwagaji damu huko Ghaza, maandamano ya wananchi ya kuunga mkono taifa hili linalodhulumiwa yameendelea kote duniani, na waungaji…

    2026-02-02 16:30
  • Baba yake Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah afariki dunia

    DuniaBaba yake Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah afariki dunia

    Hawza/ Baba yake shahidi Sayyid Hassan Nasrallah amefariki dunia. 

    2026-02-02 16:10
  • Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qum Iran, yaunga mkono Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi (IRGC)/ Utambulisho wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ni mapambano ya kudumu dhidi ya dhulma na ukafiri wa kimataifa

    DuniaJumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qum Iran, yaunga mkono Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi (IRGC)/ Utambulisho wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ni mapambano ya kudumu dhidi ya dhulma na ukafiri wa kimataifa

    Hawza/ Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qum, kwa kutoa tamko rasmi, imetangaza uungaji mkono wake thabiti kwa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, na kueleza kuwa: hatua isiyo halali na yenye…

    2026-02-02 00:00
  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Ireland: Mgogoro wa njaa huko Ghaza unatisha

    DuniaWaziri wa Mambo ya Nje wa Ireland: Mgogoro wa njaa huko Ghaza unatisha

    Hawza/ Katika wakati ambao dunia nzima imeshughulishwa na habari za vita vya kimtandao na vya kwenye vyombo vya habari, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ireland ametahadharisha kwa uzito juu ya kuzorota…

    2026-02-01 23:30
  • “Mpango wa Amani wa Ghaza ni usaliti dhidi ya Palestina na Umma wa Kiislamu”

    Rais wa Jumuiya ya Imamiya Baltistan, Pakistan:

    Dunia“Mpango wa Amani wa Ghaza ni usaliti dhidi ya Palestina na Umma wa Kiislamu”

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Baqir al-Husayni, Rais wa Jumuiya ya Imamiya ya Baltistan nchini Pakistan, katika hotuba yake aliuelezea mpango unaoitwa “Mpango wa Amani wa Ghaza” kuwa…

    2026-02-01 23:00
  • Muislamu anayeiunga mkono Palestina yupo katika hatari ya kifo

    DuniaMuislamu anayeiunga mkono Palestina yupo katika hatari ya kifo

    Hawza/ Muhammad Khalid, mmoja wa wafungwa walioko gerezani nchini Uingereza kwa kosa la kuiunga mkono Palestina, alikuwa ameanza mgomo wa kula akiwa gerezani. Hata hivyo, mamlaka za nchi hiyo…

    2026-02-01 22:30
  • Mkusanyiko mkubwa wa kuipinga Marekani na kuiunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wafanyika huko Istanbul

    DuniaMkusanyiko mkubwa wa kuipinga Marekani na kuiunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wafanyika huko Istanbul

    Hawza/ Mamia ya raia wa Uturuki na wanaharakati wa kitamaduni wamekusanyika jioni ya Jumapili mbele ya Ubalozi Mdogo wa Marekani mjini Istanbul, kwa dhamira ya kutangaza kuiunga mkono Jamhuri…

    2026-02-01 22:00
  • Marekani ijue kwamba ikianzisha vita, safari hii vita vitakuwa vya kikanda/ Fitna ya hivi karibuni ilikuwa na sura ya mapinduzi ya kijeshi

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika mkutano na wananchi mbalimbali:

    DuniaMarekani ijue kwamba ikianzisha vita, safari hii vita vitakuwa vya kikanda/ Fitna ya hivi karibuni ilikuwa na sura ya mapinduzi ya kijeshi

    Hawza/ Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza: Taifa la Iran litampiga ngumi nzito yeyote atakayelishambulia au kulidhuru.

    2026-02-01 21:39
  • Jumuiya ya Umoja wa Wanaharakati wa Kidini wa Ankara watahadharisha kuhusiana na harakati za Marekani na Israel katika ukanda

    DuniaJumuiya ya Umoja wa Wanaharakati wa Kidini wa Ankara watahadharisha kuhusiana na harakati za Marekani na Israel katika ukanda

    Hawza/ Jumuiya ya Umoja wa Wanaharakati wa Kidini mjini Ankara, kupitia tamko lake, imeonya kuhusu kile ilichokitaja kuwa ni “maandalizi ya Marekani na Israel ya kuizingira na kuishambulia Iran…

    2026-02-01 10:00
  • Tamko la Wanazuoni na Maulama wa Georgia katika kumuunga mkono Ayatollah Khamenei

    DuniaTamko la Wanazuoni na Maulama wa Georgia katika kumuunga mkono Ayatollah Khamenei

    Hawza/ Kundi la wanazuoni na maulama wa Kishia wa Georgia, katika tamko lao, huku wakilaani vikali kauli chafu za Rais wa Marekani, walieleza kuwa: historia imeonesha kwamba; viongozi wa Mwenyezi…

    2026-02-01 09:00
  • Wanazuoni na Maulama wa Afghanistan watangaza kufuata miongozo ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    DuniaWanazuoni na Maulama wa Afghanistan watangaza kufuata miongozo ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Hawza/ Kundi la wanazuoni, masheikh na tabaka mbalimbali za wananchi wa Afghanistan, kupitia tamko walilolitoa kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Mtukufu Ayatollah Mkuu Imam Khamenei…

    2026-02-01 08:00
  • Vitisho vya Trump dhidi ya Iran ni dalili ya kukwama kwake kimkakati

    Ayatollah Saeedi:

    DuniaVitisho vya Trump dhidi ya Iran ni dalili ya kukwama kwake kimkakati

    Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya mji wa Qom Iran, amesema: vitisho vya Trump dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, zaidi ya kuashiria nia ya kuchukua hatua, ni ishara ya wazi ya kufungwa…

    2026-02-01 07:00
  • Kuishambulia Iran litakuwa kosa kubwa zaidi la Marekani/ Taifa la Iran na Pakistan yamesimama bega kwa bega

    Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:

    DuniaKuishambulia Iran litakuwa kosa kubwa zaidi la Marekani/ Taifa la Iran na Pakistan yamesimama bega kwa bega

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika hotuba yake huku akionesha wasiwasi kuhusu maendeleo ya hivi karibuni katika eneo, alisisitiza kuwa hatua yoyote ya kijeshi na…

    2026-02-01 06:00
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • Next

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom