Jumapili 26 Julai 2026
  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • “Khamenei” ni jina lililowakusanya pamoja wanaoitafuta haki kutoka kila pembe ya dunia

    Mratibu wa Bunge la Kitaifa la Dini za Kihindi: 

    Dunia“Khamenei” ni jina lililowakusanya pamoja wanaoitafuta haki kutoka kila pembe ya dunia

    Hawza/ Mratibu wa Bunge la Kitaifa la Dini nchini India amesema: “Mapenzi yetu kwa Shahidi Ayatullah al-Udhma Khamenei (ra) yanavuka mipaka ya siasa; yanafafanuliwa kwa kuenzi ubinadamu. Alikuwa…

    2026-07-25 23:43
  • Dunia ya leo inawahitaji zaidi kuliko wakati mwingine wowote viongozi kama Ayatullah Khamenei (ra)

    Mhadhiri na Mwanaharakati wa Dini ya Kihindu:

    DuniaDunia ya leo inawahitaji zaidi kuliko wakati mwingine wowote viongozi kama Ayatullah Khamenei (ra)

    Hawza/ Mhadhiri na mwanaharakati wa kidini wa kutoka Bara Hindi amesema: “Dunia ya leo inahitajia zaidi kuliko wakati mwingine wowote viongozi kama Ayatullah Khamenei (ra), ambao kwa maisha yao…

    2026-07-25 22:43
  • Hakuna hatua yoyote ya adui ya kuondoka; Serikali ya Lebanon inatumia maonesho ya kisiasa kutengeneza ushindi wa kufikirika

    Mjumbe wa Kambi ya Muqawama:

    DuniaHakuna hatua yoyote ya adui ya kuondoka; Serikali ya Lebanon inatumia maonesho ya kisiasa kutengeneza ushindi wa kufikirika

    Hawza/ Hassan Fadlallah amesisitiza kuwa; adui wa Kizayuni hajaondoka hata kutoka kipande kimoja cha ardhi inayokaliwa kwa mabavu kusini mwa Lebanon.

    2026-07-25 21:43
  • Tunaunga mkono hatua za Yemen za kumaliza mzingiro wa kidhalimu na kutoa jibu la kulipiza kwa msingi wa haki

    Vyama vya Lebanon:

    DuniaTunaunga mkono hatua za Yemen za kumaliza mzingiro wa kidhalimu na kutoa jibu la kulipiza kwa msingi wa haki

    Hawza/ Kikao cha vyama, makundi na shakhsia za kitaifa za Lebanon kimesisitiza mshikamano wake na haki ya wananchi wa Yemen ya kumaliza mzingiro wa kidhalimu uliowekwa dhidi yao, pamoja na haki…

    2026-07-25 20:43
  • Haram Tukufu ya Alawi yatangaza mpango wake wa kitabibu, kiafya na huduma zake kwa ajili ya kuwahudumia mazuwari wa Arubaini

    DuniaHaram Tukufu ya Alawi yatangaza mpango wake wa kitabibu, kiafya na huduma zake kwa ajili ya kuwahudumia mazuwari wa Arubaini

    Hawza/ Kituo cha Tiba cha "Rasul al-A'dham (saww)" kilicho chini ya Haram Tukufu ya Alawi kimetangaza kukamilisha maandalizi maalumu ya kitabibu na kiafya kwa ajili ya ziara ya Arubaini ya Imam…

    2026-07-25 17:16
  • Arubaini ya Imam Hussein (as), ni alama ya umoja wa Umma wa Kiislamu/ Mshikamano wa wananchi umeidhalilisha Marekani na Wazayuni

    Ayatullah Saiidi katika Swala ya Ijumaa ya Qom:

    DuniaArubaini ya Imam Hussein (as), ni alama ya umoja wa Umma wa Kiislamu/ Mshikamano wa wananchi umeidhalilisha Marekani na Wazayuni

    Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa mjini Qom amesema kuwa; Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi alikuwa akiitazama Swala ya Ijumaa kuwa ni kiungo muhimu katika mlolongo wa nguvu laini (Soft Power) wa…

    2026-07-25 15:14
  • Watawa Wanawake wa Kikatoliki Wapinga Sheria Isiyo ya Kibinadamu Huko New York

    DuniaWatawa Wanawake wa Kikatoliki Wapinga Sheria Isiyo ya Kibinadamu Huko New York

    Hawza/ Watawa wanawake wa Kanisa Katoliki mjini New York wameikosoa sheria inayohusu taasisi za utoaji wa huduma za afya kwa wagonjwa katika jimbo hilo. Kwa mujibu wa sheria hiyo, wanalazimishwa…

    2026-07-23 20:49
  • Kiongozi wa Wayahudi wa Haredi: Vita Ambavyo Jeshi la Israel Linapigana ni Kutekeleza Mauaji

    DuniaKiongozi wa Wayahudi wa Haredi: Vita Ambavyo Jeshi la Israel Linapigana ni Kutekeleza Mauaji

    Hawza/ Kauli kali za Rabbi Dov Lando, kiongozi wa kiroho wa mkondo wa Haredi wa Degel HaTorah, dhidi ya vita vinavyoendeshwa na jeshi la utawala wa Kizayuni, zimleta mgawanyiko kati ya serikali…

    2026-07-23 15:15
  • Wazalendo wa Japan Waanzisha Harakati Kubwa za Kudai Kuondolewa kwa Vikosi vya Marekani Nchini Humo

    DuniaWazalendo wa Japan Waanzisha Harakati Kubwa za Kudai Kuondolewa kwa Vikosi vya Marekani Nchini Humo

    Hawza/ Rais wa Chama cha Wazalendo wa Japan (Issuikai) amesisitiza kuwa; dunia iko katika kipindi cha mpito kutoka mfumo wa dunia wa ncha moja kwenda mfumo wa ncha nyingi, na ametaka kuondolewa…

    2026-07-23 14:15
  • Mfalme wa Bahrain Aanzisha Operesheni ya Kuwafuta Mashia

    DuniaMfalme wa Bahrain Aanzisha Operesheni ya Kuwafuta Mashia

    Hawza/ Kitendo cha Ayatullah Sheikh Isa Qassim kuvunja ukimya wake na kutangaza kuwa hatima ya madhehebu ya Shia nchini Bahrain inakabiliwa na tishio la kuwepo kwake, kina maana kwamba sehemu…

    2026-07-23 13:15
  • Kuchaguliwa kwa Khalil al-Hayya ni Ujumbe wa Kuendeleza Njia ya Muqawama

    Osama Hamdan:

    DuniaKuchaguliwa kwa Khalil al-Hayya ni Ujumbe wa Kuendeleza Njia ya Muqawama

    Hawza/ Osama Hamdan, mmoja wa viongozi wa Harakati ya Hamas, amesisitiza kuwa; kuchaguliwa Khalil al-Hayya kuwa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya harakati hiyo ni ishara ya uhai na uimara wa Hamas,…

    2026-07-23 12:15
  • Mwandishi wa Habari Aliyemrushia Bush Kiatu: Ushirikiano wa Muqawama Kati ya Mashia na Masunni Ulishinda Uvamizi wa Marekani Nchini Iraq

    DuniaMwandishi wa Habari Aliyemrushia Bush Kiatu: Ushirikiano wa Muqawama Kati ya Mashia na Masunni Ulishinda Uvamizi wa Marekani Nchini Iraq

    Hawza/ Muntadhar al-Zaidi, mwandishi wa habari wa Iraq ambaye aligeuka kuwa alama ya kimataifa ya muqawama dhidi ya ukoloni baada ya kumrushia George Bush kiatu mwaka 2008, ameeleza undani wa…

    2026-07-23 11:13
  • Maadhimisho ya Miaka 100 Tangu Kuanzishwa kwa Msikiti Mkuu wa Paris Yafanyika

    DuniaMaadhimisho ya Miaka 100 Tangu Kuanzishwa kwa Msikiti Mkuu wa Paris Yafanyika

    Hawza/ Msikiti Mkuu wa Paris umefanya hafla ya kuadhimisha miaka 100 tangu kuanzishwa kwake, ambapo pia ulitoa heshima kwa askari Waislamu walioshiriki katika Vita vya Kwanza vya Dunia.

    2026-07-22 12:10
  • Waislamu wa Texas Wahanga wa Ukosefu wa Usalama Kutotokana na Kampeni za Uchaguzi

    DuniaWaislamu wa Texas Wahanga wa Ukosefu wa Usalama Kutotokana na Kampeni za Uchaguzi

    Hawza/ Waislamu wa Jimbo la Texas nchini Marekani wameeleza wasiwasi mkubwa kutokana na baadhi ya wagombea wa uchaguzi kutumia hotuba zao za kampeni kueneza chuki dhidi ya Uislamu.

    2026-07-22 11:10
  • Matembezi ya Waombolezaji wa Imam Hussein (as) ya Kuikaribisha Arubaini nchini Nigeria

    DuniaMatembezi ya Waombolezaji wa Imam Hussein (as) ya Kuikaribisha Arubaini nchini Nigeria

    Hawza/ Kundi la Waislamu wa Kishia na wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria chini ya uongozi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, wamefanya matembezi ya kwanza ya Arubaini ya Imam Hussein (as) kwa…

    2026-07-22 10:10
  • Ukiukwaji wa Haki za Raia nchini Bahrain Imekuwa Sera Iliyopangwa Dhidi ya Mashia na Wanazuoni

    Sheikh Adel Al-Shaala:

    DuniaUkiukwaji wa Haki za Raia nchini Bahrain Imekuwa Sera Iliyopangwa Dhidi ya Mashia na Wanazuoni

    Hawza/ Sheikh Adel Al-Shaala amesema kuwa; ukiukwaji wa mara kwa mara wa haki za raia wa Kishia unaoshuhudiwa leo nchini Bahrain haujaishia tena katika vikwazo vya kisiasa au kiusalama, bali…

    2026-07-22 09:00
  • Hatutafanya Makubaliano kwa Damu ya Mashahidi Wetu na Tumnataka Adui Aondoke Kikamilifu katika Ardhi Yetu

    Sheikh Ali Al-Khatib:

    DuniaHatutafanya Makubaliano kwa Damu ya Mashahidi Wetu na Tumnataka Adui Aondoke Kikamilifu katika Ardhi Yetu

    Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon amesisitiza: Hatukubali aina yoyote ya mapatano yanayohusu damu ya mashahidi wetu, na tunataka adui wa Kizayuni aondoke…

    2026-07-22 08:55
  • Mazishi ya Sayyid Ali Khamenei Yalibeba Ujumbe Mkubwa kwa Umma; Maulana Hemed Jalala Aainisha Mafunzo Matano Muhimu Rufiji

    DuniaMazishi ya Sayyid Ali Khamenei Yalibeba Ujumbe Mkubwa kwa Umma; Maulana Hemed Jalala Aainisha Mafunzo Matano Muhimu Rufiji

    Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, jana alihudhuria na kusoma Majlisi ya kumbukumbu ya Sayyid Ali Khamenei iliyofanyika katika Husseiniyat…

    2026-07-21 10:10
  • Msimamo Wetu katika Masuala Yote ni Mmoja na Thabiti; Yaliyoripotiwa na Baadhi ya Vyombo vya Habari Si ya Kweli

    Hizbullah:

    DuniaMsimamo Wetu katika Masuala Yote ni Mmoja na Thabiti; Yaliyoripotiwa na Baadhi ya Vyombo vya Habari Si ya Kweli

    Hawza/ Msimamo wetu katika masuala yote ni mmoja na thabiti, na habari zinazosambazwa na baadhi ya vyombo vya habari si za kweli.

    2026-07-21 02:30
  • Uongozi wa Nchi Umewaacha Wananchi Wake na Unasisitiza Kuikokota Lebanon Kwenye Hali Hatari Sana

    Mbunge wa Kambi ya Muqawama Lebanon:

    DuniaUongozi wa Nchi Umewaacha Wananchi Wake na Unasisitiza Kuikokota Lebanon Kwenye Hali Hatari Sana

    Hawza/ Ali Fayyadh amesisitiza kuwa; baada ya kumalizika kwa duru ya mazungumzo mjini Roma kati ya ujumbe wa Lebanon na adui Israel, misimamo rasmi ya serikali ya Lebanon imefichuka zaidi kuliko…

    2026-07-21 01:30
  • Ushauri wa Iraq kwa Al-Jolani: Jiepushe na Kujiingiza katika Masuala ya Lebanon

    DuniaUshauri wa Iraq kwa Al-Jolani: Jiepushe na Kujiingiza katika Masuala ya Lebanon

    Hawza/ Taarifa zilizopokelewa zinaonesha kuwa "Rais wa Syria", Muhammad Al-Jolani (Ahmad Al-Sharaa), katika siku za hivi karibuni alipokea "ushauri" kutoka kwa serikali ya Iraq ukimtaka kutojiingiza…

    2026-07-21 00:30
  • Sisi Tunamuunga Mkono Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu/ Wajibu wetu ni kumuunga mkono na kumlinda Kiongozi

    Ayatullah Jawadi A'muli:

    DuniaSisi Tunamuunga Mkono Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu/ Wajibu wetu ni kumuunga mkono na kumlinda Kiongozi

    Hawza/ Kutoka katika dhana ya "Shahidi" hadi "Mwenye kuuawa (Qatīl)"; Ayatullah Jawa'di Amuli, kupitia ufafanuzi wa matini ya Swala ya maiti iliyoswaliwa kwa ajili ya Kiongozi Shahidi, ameeleza…

    2026-07-20 23:32
  • Malaysia Yatangaza Kuwafukuza Raia wa Israel

    DuniaMalaysia Yatangaza Kuwafukuza Raia wa Israel

    Hawza/ Waziri Mkuu wa Malaysia ametangaza kwamba endapo raia wa Israel watabainika kuwepo nchini humo, watafukuzwa mara moja, kwa kuwa Malaysia haiutambui rasmi utawala wa Israel.

    2026-07-19 14:00
  • Tuko Pamoja na Jamhuri ya Kiislamu; Tuna Hatima Moja na Maisha Bila Wao Hayana Kheri Wala Maslahi

    Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Najaf Ashraf:

    DuniaTuko Pamoja na Jamhuri ya Kiislamu; Tuna Hatima Moja na Maisha Bila Wao Hayana Kheri Wala Maslahi

    Hawza/ Hujjatul Islam wal Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanchi amesema: "Tunaitaka Serikali ya eneo la Kurdistan isiruhusu makundi ya wapinzani wa mapinduzi kufanya uvamizi na mashambulizi dhidi…

    2026-07-19 13:00
  • Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu Alishukuru Taifa la Iraq kwa Heshima Yake Katika Mazishi ya Imam Shahidi

    DuniaKiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu Alishukuru Taifa la Iraq kwa Heshima Yake Katika Mazishi ya Imam Shahidi

    Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe wa kulishukuru taifa la Iraq kwa heshima ya tukio kubwa la mazishi ya Imam Muja'hid Shahidi.

    2026-07-19 11:41
  • Radi Amali ya Ayatullah Husseini Bushehri Katika Baadhi ya Propaganda Kuhusu Mikoa ya Kusini/ Kuwaamini Maadui Wanaovunja Ahadi ni Kosa la Kimkakati

    Ayatullah Husseini Bushehri:

    DuniaRadi Amali ya Ayatullah Husseini Bushehri Katika Baadhi ya Propaganda Kuhusu Mikoa ya Kusini/ Kuwaamini Maadui Wanaovunja Ahadi ni Kosa la Kimkakati

    Hawza/ Mwenyekiti wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom amesema: "Baadhi ya hatua na propaganda zinazoenezwa hazitokani na huruma kwa wananchi, bali zinalenga kuzusha mifarakano, kuigawa jamii…

    2026-07-19 11:17
  • Taifa la Iran Lina Mafunzo Yasiyosahaulika kwa Adui wa Marekani

    Imam Sayyid Mujtaba Khamenei:

    DuniaTaifa la Iran Lina Mafunzo Yasiyosahaulika kwa Adui wa Marekani

    Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: "Uvunjaji wa makubaliano kwa mara nyingine umethibitisha kutokuwa na thamani na kutokuwa na uhalali wa saini ya Rais wa Marekani."

    2026-07-19 00:26
  • Kuwaamini madhalimu kunapingana na mafundisho ya Uislamu/ Marekani ndio chanzo cha utawala wa mabavu na uporaji wa mataifa

    Msimamizi wa Chuo cha Elimu ya Dini cha Ahlul-Bayt (as) katika mji wa Sheberghan, Mkoa wa Jawzjan, Afghanistan:

    DuniaKuwaamini madhalimu kunapingana na mafundisho ya Uislamu/ Marekani ndio chanzo cha utawala wa mabavu na uporaji wa mataifa

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Mir Hussein Ziai amesema kuwa; kuwaamini madhalimu kunapingana na mafundisho ya Uislamu, ameitaja Marekani kuwa ndiyo chanzo cha utawala wa mabavu na uporaji…

    2026-07-18 18:50
  • Alama zetu za Hussein haziko chini ya utawala wa yeyote na si jambo la kufanyiwa mazungumzo!

    Husseiniyyah za Bahrain: 

    DuniaAlama zetu za Hussein haziko chini ya utawala wa yeyote na si jambo la kufanyiwa mazungumzo!

    Hawza/ Marufuku na waraka mbalimbali zinazotolewa na Idara ya Wakfu wa Ja'fari nchini Bahrain hazimdanganyi tena hata Muislamu mmoja wa Kishia wa nchi hiyo.

    2026-07-18 17:50
  • Hadithi ya Leo | Jinsi Amirul-Muuminin Ali (as) Anavyoipenda Shahada

    DuniaHadithi ya Leo | Jinsi Amirul-Muuminin Ali (as) Anavyoipenda Shahada

    Hawza/ Amirul-Muuminin Imam Ali (as), katika riwaya moja, amesisitiza kuwa yuko juu ya haki na kuelezea mapenzi yake ya kina juu ya shahada.

    2026-07-18 16:50
  • Kabla
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • Baada

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan
  • Italiano
  • Hausa
  • indonesia
  • 中文

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom