Jumanne 21 Oktoba 2025

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Kupambana na dhuluma ni wajibu wa kimsingi kwa mwanamke/ Leo hii, kulea watoto na kuhifadhi familia ni jihadi ya kiutamaduni

    Mwalimu wa Chuo cha Jāmi‘atuz-Zahrā (a.s) Nchini Iran:

    DuniaKupambana na dhuluma ni wajibu wa kimsingi kwa mwanamke/ Leo hii, kulea watoto na kuhifadhi familia ni jihadi ya kiutamaduni

    Hawza/ Mwalimu wa Chuo cha Jāmi‘atuz-Zahrā (a.s) amesema: Kupambana na dhuluma ni wajibu wa kimsingi kwa mwanamke. Nafasi ya mwanamke katika jamii ina athari kubwa sana, na ushiriki wa wanawake…

    2025-10-21 10:08
  • Kongamano la Kimataifa linalohusisha Dini Mbali mbali lafanyika katika Mji Mkuu wa Kongo – Kinshasa

    DuniaKongamano la Kimataifa linalohusisha Dini Mbali mbali lafanyika katika Mji Mkuu wa Kongo – Kinshasa

    Hawza/ Kutokana na juhudi na ufuatiliaji endelevu wa Jumuiya ya Waislamu wa Kishia nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo – Kinshasa, mkutano mkubwa wa kimataifa kati ya dini mbalimbali uliohusishwa…

    2025-10-21 09:58
  • Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Irani, akimsemesha Rais wa Marekani: “Wewe ni nani Hasa?!”

    DuniaKiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Irani, akimsemesha Rais wa Marekani: “Wewe ni nani Hasa?!”

    Hawza/ Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, kwa kurejelea maneno ya Rais wa Marekani ambaye kwa kujigamba alisema kwamba ameibomoa sekta ya nyuklia ya Iran, alisemaa: “Hakuna tatizo, endelea kuamini…

    2025-10-20 22:54
  • Ayatullah Khaalisiy atoa onyo kali kuhusiana na muelekeo wa baadhi ya harakati za Iraq kuuelekea “mradi wa Marekani”

    DuniaAyatullah Khaalisiy atoa onyo kali kuhusiana na muelekeo wa baadhi ya harakati za Iraq kuuelekea “mradi wa Marekani”

    Hawza/ Ayatullah Sheikh Jawad Khaalisiy amezionya baadhi ya harakati za kisiasa za Iraq kujiunga na “mradi wa Marekani”, akisisitiza kuwa taasisi za kiusalama zinatawaliwa na watu wanaotumikia…

    2025-10-20 07:54
  • Kuboresha na kuongeza uwezo wa kuhudumia mazuwari wa Ataba Tukufu

    DuniaKuboresha na kuongeza uwezo wa kuhudumia mazuwari wa Ataba Tukufu

    Hawza/ Kwa mujibu wa mipango mipya ya Ataba Tukufu ya Imam Hussein (a.s), eneo la Haram linapanuliwa kwa kuchukua eneo jirani na haram hiyo, hatua ambayo inalenga kuboresha huduma kwa mazuwari…

    2025-10-20 07:51
  • Maandamano dhidi ya Trump yafanyika maeneo yote ya Marekani

    DuniaMaandamano dhidi ya Trump yafanyika maeneo yote ya Marekani

    Hawza/ Maandamano makubwa yakiwa na kaulimbiu isemayo “Hapana kwa Ufalme!” yamefanyika katika miji mikubwa kadhaa ya Marekani, ambapo wananchi wameonyesha hasira na upinzani wao dhidi ya sera…

    2025-10-20 07:47
  • Wafanyakazi na Wanafunzi Nchini Hispania wafanya Mgomo kwa ajili ya kuwakingia kifua Wapalestina

    DuniaWafanyakazi na Wanafunzi Nchini Hispania wafanya Mgomo kwa ajili ya kuwakingia kifua Wapalestina

    Hawza/ Wafanyakazi na wanafunzi wa Hispania walifanya maandamano makubwa ya kuiunga mkono Palestina tarehe 15 Oktoba, ambapo takriban maelfu ya watu walishiriki kutoka sehemu mbalimbali za Hispania.

    2025-10-20 07:44
  • Marekani na Israel lazima watoe majibu kuhusiana na damu za mashahidi wa Ghaza

    Mwanazuoni wa Pakistan:

    DuniaMarekani na Israel lazima watoe majibu kuhusiana na damu za mashahidi wa Ghaza

    Hawza/ Hujjatul-Islam Maqsood Ali Domki alisema katika hotuba yake kwamba; Marekani na Israel lazima ziwajibike kuhusiana na damu za maelfu ya Wapelestina na kwamba ni watu wa Palestina pekee…

    2025-10-20 07:38
  • Waraka mpya wafichua njama ya kuuawa kwa Eduardo Agnelli — Ni vipi aliuliwa kishahidi

    DuniaWaraka mpya wafichua njama ya kuuawa kwa Eduardo Agnelli — Ni vipi aliuliwa kishahidi

    Hawza / Baada ya kupita miaka 25, hati mpya imechapishwa ambayo inaibua maswali mengi kuhusiana na simulizi rasmi ya kifo cha Eduardo Agnelli — mwana wa familia tajiri ya Agnelli aliyeingia katika…

    2025-10-19 11:12
  • Shahada ya kamanda wa Yemen ni fahari kwa Umma wa Kiislamu

    Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Ja’fariyya Pakistan:

    DuniaShahada ya kamanda wa Yemen ni fahari kwa Umma wa Kiislamu

    Hawza / Sayyid Zawar Hussain Naqvi, Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Ja‘fariyya la Kashmir – Pakistan, ametuma slamu za rambirambi huku akielezea huzuni yake ya kina kufuatia kuuawa kishahidi kwa…

    2025-10-19 11:08
  • Sauti ya Umma wa Kiislamu katika kuliunga mkono taifa la Palestina lazima isalie ikisikika kwa nguvu

    Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Madhehebu ya Ahlul-Bayt (a.s) Pakistan:

    DuniaSauti ya Umma wa Kiislamu katika kuliunga mkono taifa la Palestina lazima isalie ikisikika kwa nguvu

    Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Hasnain Abbas Gardizi, Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Madhehebu ya Ahlul-Bayt (a.s) nchini Pakistan, amesema kuwa mkataba wa hivi karibuni wa kusitisha mapigano…

    2025-10-19 11:06
  • Picha/ Tuzo ya Amani na Heshima kutoka Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) yawaangukia Mashia

    DuniaPicha/ Tuzo ya Amani na Heshima kutoka Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) yawaangukia Mashia

    Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania TIC Maulana Sheikh Hemedi Jalala Mwakindenge Ameshiriki katika Hafla ya Maulid ya Mtume Muhammad s.a.w.w iliyofanyika Jana Masjid Majmuatul Islamiya Kwa…

    2025-10-19 00:40
  • Rais wa Colombia atenga dhahabu iliyokamatwa ili kuwsaidia watoto waliojeruhiwa Ghaza

    DuniaRais wa Colombia atenga dhahabu iliyokamatwa ili kuwsaidia watoto waliojeruhiwa Ghaza

    Hawza/ Rais wa Colombia, Gustavo Petro, ametoa agizo kwamba dhahabu ya magendi iliyokamatwa ikihusishwa na “Jumuiya ya Mali Maalumu” itumike kutoa misaada ya kitabibu na kusaidia ujenzi upya…

    2025-10-19 00:23
  • Hakuna jukumu lolote linalopaswa kumtenga mwanafunzi wa Hawza na tabligh/ Tabligh ni risala ya kimungu, si ajira

    Ayatullah Jawad Marvii:

    DuniaHakuna jukumu lolote linalopaswa kumtenga mwanafunzi wa Hawza na tabligh/ Tabligh ni risala ya kimungu, si ajira

    Hawza/ Katibu wa pili wa Baraza Kuu la Hawza, Ayatullah Jawad Marvi, amesisitiza kwamba hakuna jukumu au cheo chochote kinachopaswa kumtenga mwanafunzi wa Hawza na kazi ya tabligh, akibainisha…

    2025-10-19 00:10
  • Dua inayowakuribisha vijana na wanafunzi kwenye kumuabudu Mwenyezi Mungu

    Mafunzo katika Sahifat Sajjadia:

    DuniaDua inayowakuribisha vijana na wanafunzi kwenye kumuabudu Mwenyezi Mungu

    Hawza/ Mwanadamu katika maisha yake anakutana na njia pamoja na chaguo tofauti, lakini ni ipi kati ya hizo inayoweza kumsaidia zaidi katika safari ya kuwa mja halisi wa Mwenyezi Mungu?

    2025-10-19 00:06
  • Makubaliano na Marekani ni sawa na kukubali udhalili, fedheha na kujisalimisha bila masharti – Iran yenye nguvu inatimia kupitia uchumi thabiti

    Ayatullah Saidii katika Swala ya Ijumaa Qom Iran:

    DuniaMakubaliano na Marekani ni sawa na kukubali udhalili, fedheha na kujisalimisha bila masharti – Iran yenye nguvu inatimia kupitia uchumi thabiti

    Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom amesema: maana ya Marekani inaposema mazungumzo na makubaliano ya amani, si kitu kingine isipokuwa ni udhalili, fedheha na kujisalimisha bila masharti mbele ya…

    2025-10-18 16:22
  • Uvamizi wa Israel dhidi ya Lebanon hautabadilisha kwa vyovyote mlingano wa ustahimilivu

    Mjumbe katika Jumuiya ya Wabunge wa Muqawama:

    DuniaUvamizi wa Israel dhidi ya Lebanon hautabadilisha kwa vyovyote mlingano wa ustahimilivu

    Hawza/ Hasan ‘Izzuddin amesema kuwa: Adui wa Kizayuni katika siku za hivi karibuni amezisha mashambulizi yake dhidi ya Lebanon, kwa kuwa anaamini kwamba kupitia shinikizo la kisiasa na kiuchumi,…

    2025-10-18 16:13
  • Mkuu wa Majeshi ya Yemen auawa shahidi

    DuniaMkuu wa Majeshi ya Yemen auawa shahidi

    Hawza/ Jeshi la Yemen siku ya Alhamisi limetoa tamko rasmi likitangaza kuuawa kishahidi jenerali wa ngazi ya juu Mohammad Abdulkarim al-Ghamari, aliyekuwa Mkuu wa Majeshi ya Yemen, na kutoa salamu…

    2025-10-17 23:08
  • Wanawake ni wenye ushawishi na mchango mkubwa katika jamii/ Uislamu umechora njia iliyo wazi ya heshima na utu wa mwanamke

    Ayatullah Al-Udhma Subhani katika ujumbe wake kwenye kongamano la “Mwanamke na Familia”:

    DuniaWanawake ni wenye ushawishi na mchango mkubwa katika jamii/ Uislamu umechora njia iliyo wazi ya heshima na utu wa mwanamke

    Hawza/ hafla ya kufunga kongamano la "Mwanamke na Familia" ilifanyika leo Alhamisi, tarehe 16 Oktoba katika ukumbi wa Kituo cha Malezi ya Watoto na Vijana kilichoko kwenye Barabara ya Shahid…

    2025-10-16 23:57
  • Uchaguzi ujao ni hatua muhimu ya kuhuisha imani kwa chaguo la muqawama

    Mjumbe wa Hizbullah ya Lebanon:

    DuniaUchaguzi ujao ni hatua muhimu ya kuhuisha imani kwa chaguo la muqawama

    Hawza/ Hussein al-Nimr, kiongozi wa eneo la Biqā‘ ndani ya Hizbullah, amesema kuwa jamii ya muqawama katika kila uchaguzi imeonesha kuwa ni jamii imara, thabiti na isiyoshindwa, ambayo kamwe…

    2025-10-16 23:43
  • Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah alikuwa kiongozi mahiri na shule hai ya muqawama

    Mkuu wa kitengo cha utamaduni ya Iran mjini Quetta, Pakistan:

    DuniaShahidi Sayyid Hassan Nasrallah alikuwa kiongozi mahiri na shule hai ya muqawama

    Hawza/ Sayyid Abulhasan Miri, afisa wa kitamaduni na mkuu wa nyumba ya utamaduni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran huko Quetta, Pakistan, amemuelezea Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah kama kiongozi…

    2025-10-16 23:40
  • Kikao cha Sharm al-Sheikh hakiwezi kubadilisha njia ya muqawama

    Rais wa Umoja wa Maimamu wa Ahlulbayt (a.s) nchini Uturuki:

    DuniaKikao cha Sharm al-Sheikh hakiwezi kubadilisha njia ya muqawama

    Hawza/ Rais wa Umoja wa Maimamu wa Ahlulbayt nchini Uturuki (Ehlader), Qadir Akaras, katika mahojiano na televisheni ya Shabake Khabar ya Iran, ametoa tathmini kuhusu kikao cha hivi karibuni…

    2025-10-16 23:35
  • Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Ithnaasharia Tanzania (TIC) Ahudhuria Warasha Maalumu Mbezi Beach Daresalam

    DuniaSheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Ithnaasharia Tanzania (TIC) Ahudhuria Warasha Maalumu Mbezi Beach Daresalam

    Hawza/ Sheikh Jalala Hemedi leo hii tareh 16 Oktoba, amehudhuria kwenye warsha maalumu ambayo ilikuwa ikielezea asili ya maendeleo na tamaduni za kimagharibi, iliyofanyika katika ukumbi wa Jaamiatul…

    2025-10-16 17:07
  • Kuanza kwa sura mpya ya ushirikiano wa kitamaduni kati ya Iran na India baada kutiwa saini kwa mikataba miwili muhimu mjini Mumbai

    DuniaKuanza kwa sura mpya ya ushirikiano wa kitamaduni kati ya Iran na India baada kutiwa saini kwa mikataba miwili muhimu mjini Mumbai

    Hawza/ Tukiwa tunakaribia maadhimisho ya miaka 70 tangia kuanzishwa kwa Nyumba ya Utamaduni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Mumbai, mikataba miwili muhimu ya ushirikiano wa kielimu na kiutamaduni…

    2025-10-16 09:45
  • “Uzayuni wa kisiasa unatumia fikra ya ‘taifa teule’ kwa ajili ya maslahi yake binafsi”

    Rais wa zamani wa Kitivo cha Sheriah katika Chuo Kikuu cha Qatar:

    Dunia“Uzayuni wa kisiasa unatumia fikra ya ‘taifa teule’ kwa ajili ya maslahi yake binafsi”

    Hawza/ Rais wa zamani wa Kitivo cha Sheriah na Masomo ya Kiislamu katika Chuo Kikuu cha Qatar, akizungumza katika kikao cha kielimu kilichobeba anuani isemayo “Maisha ya Kiakhlaqi katika Uislamu…

    2025-10-16 00:03
  • Mahojiano kuhusiana na uhusiano wa pande mbili na mabadiliko katika eneo

    Kikao cha sayyid Ammar al-Hakim na balozi wa Iran mjini Baghdad:

    DuniaMahojiano kuhusiana na uhusiano wa pande mbili na mabadiliko katika eneo

    Hawza/ Sayyid Ammar al-Hakim, kiongozi wa harakati ya Hikmah al-Wataniyah ya Iraq, amekutana na Mohammad Kazem Al-Sadiq, balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Baghdad, ambapo pande hizo…

    2025-10-15 23:58
  • Uchaguzi wa Iraq waingia katika “hatua ya umwagaji damu”; mgombea mmoja auawa na athari zake zinazotarajiwa

    DuniaUchaguzi wa Iraq waingia katika “hatua ya umwagaji damu”; mgombea mmoja auawa na athari zake zinazotarajiwa

    Hawza/ Iraq imeingia katika awamu mpya na hatari ya kampeni za uchaguzi baada ya kutokea mauaji ya mgombea wa ngazi ya juu, tukio ambalo kwa mara ya kwanza katika kipindi cha zaidi ya miaka kumi…

    2025-10-15 23:54
  • Mwanasiasa Nguli Nchini Kenya Afariki Dunia Akiwa Nchini India

    DuniaMwanasiasa Nguli Nchini Kenya Afariki Dunia Akiwa Nchini India

    Hawza/ Mwanasiasa mashuhuri wa Kenya na kiongozi wa muda mrefu wa upinzani, Raila Amolo Odinga, amefariki dunia leo hii tareh 15 Oktoba 2025 akiwa nchini India ambako alikuwa akipokea matibabu.…

    2025-10-15 14:08
  • Irani yaicharaza Tanzania Bakora 2 - 0 Bila ya Huruma

    DuniaIrani yaicharaza Tanzania Bakora 2 - 0 Bila ya Huruma

    Hawza/ Mchezo wa kirafiki wa kimataifa kati ya timu ya taifa ya irani na tanzania umechezwa leo katika uwanja wa Rashid Stadium uliopo Mjini Dubai, falme za kiarabu (UAE), ambapo wenyeji Irani…

    2025-10-14 20:55
  • Maria Corina Machado ni nani?

    DuniaMaria Corina Machado ni nani?

    Hawza/ Maria Corina Machado ni mwanasiasa wa mrengo wa kulia kutoka Venezuela na moja ya sura kuu za upinzani nchini humo. Hata hivyo, licha ya kuwasilishwa kama “mgombea wa amani”, ana historia…

    2025-10-14 20:11
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • Next

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom