-
DuniaMufti Mkuu wa Tanzania akutana na wanafunzi wa kitanzania katika ziara yake nchini Morocco
Hawza/ Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakr bin Zuber, amekutana na wanafunzi wa kitanzania nchini Morocco na kuweza kufanya nao mazungumzo ya pamoja.
-
DuniaIran, Nchi ya Tatu kwa Uzalishaji wa Dawa ya Ugonjwa wa MS Duniani
Hawza/ Iran, kwa kufanikisha teknolojia ya uzalishaji wa dawa ya ugonjwa wa MS (Multiple Sclerosis), imetambuliwa kuwa mtengenezaji wa tatu kwa ukubwa wa dawa hii duniani. Mafanikio haya ni hatua…
-
DuniaZakariya al-Sinwar, ndugu wa Shahidi Yahya al-Sinwar, auwawa kishahidi katika kambi ya al-Nusairat.
Hawza/ Zakariya al-Sinwar, ndugu yake Yahya al-Sinwar, ameuawa kishahidi pamoja na wanawe watatu katika shambulio lililo fanywa na utawala wa Kizayuni kwenye kambi ya al-Nusairat katikati mwa…
-
DuniaMaafisa wa Haram ya Imamu Husein (a.s) wafanya Ziara katika Ubalozi wa Vatikani ulioko Baghdad
Hawza/ Kwa ushirikiano na Ofisi ya Ushauri ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq, Idara ya Masuala ya Kitamaduni, pamoja na Bodi ya Usimamizi ya Sekretarieti ya Haram ya Imamu Husein (a.s), walifanya…
-
DuniaKiongozi Mpya wa Kanisa Katoliki Aapishwa
Hawza/ Papa Leo wa Kumi na Nne, siku ya Jumapili baada ya kuongoza ibada yake ya kwanza takatifu, alitawazwa rasmi kuwa kiongozi wa Kanisa Katoliki.
-
DuniaAntónio Guterres akosoa vikali kuhusiana na kutojali kwa jamii ya kimataifa dhidi ya mateso yasiyo na kikomo wanayo yapitia watu wa Ghaza
Hawza/ Mkutano wa thelathini na nne wa nchi kuu za Kiarabu ulianza rasmi siku ya Jumamosi huku nchi ya Iraq wakiwa ndio wenyeji wa mkutano huo, mkutano huo ulikuwa na kaulimbiu isemayo: “Majadiliano,…
-
DuniaRais wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan: Ukombozi wa Quds ni ahadi ya Mwenyezi Mungu
Hawza/ Katika kumbukumbu ya siku ya kukaliwa kimabavu kwa mji mtakatifu wa Quds, Seneta Raja Nasir Abbas Jafari, katika tamko alilolitoa, amelaani jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni na…
-
DuniaSheikh Ibrahim Zakzaky aomba kuachiliwa huru wafungwa wa kisiasa nchini Nigeria
Hawza/ Sheikh Sayyid Ibrahim Zakzaky amekutana na baadhi ya watu waliokuwa wamefungwa kwa muda wa miaka sita lakini hatimaye wameachiwa huru baada ya kufutiwa mashtaka.
-
DuniaRaisi Mwinyi: Kipaumbele chetu kiwe ni Madrasa pamoja na kuwasaidia Masheikh na Walimu
Hawza/ Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewasisitiza Waislamu, wahisani na wafadhili kuelekeza nguvu zao katika kuziimarisha Madrassa pamoja…
-
DuniaTamasha la kimataifa la Qur'ani kufanyika nchini Tanzania
Hawza/ Tamasha la kimataifa la Qur'ani limepangwa kufanyika nchini Tanzania huku likishirikisha Taasisi nne mashuhuri nchini humo.
-
DuniaNjaa na ukame huko Ghaza ni ishara ya ukosefu wa maadili ya kibinadamu duniani
Hawza/ Mgogoro wa Ghaza ni janga la kibinadamu ambalo athari zake mbaya zinawakumba watu wa tabaka lote, lakini mzigo mkubwa zaidi unabebwa na watoto. Mzigo huu unavunja mifupa yao, kwa hakika,…
-
DuniaHijabu nchini Nigeria yateka vyombo vya Habari
Hawza/ Bi Hamda Adenike alishindwa kushiriki katika kikao cha mtihani wa taasisi ya kielimu kwa sababu ya kuwa na hijabu.
-
DuniaRais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan: Israeli ni utawala wa kimabavu, usio halali na ni tishio kwa amani ya dunia
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake kwenye mnasaba wa Siku ya Nakba (15 Mei), amelieleza utawala wa Kizayuni kuwa ni utawala wa kunyang’anya kwa nguvu…
-
DuniaKiongozi Mkuu wa Mapinduzi: Kusimama Imara Mbele ya Madhalimu Ndio Sababu ya Uadui Wao Dhidi Yetu
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: Tatizo kuu la mabeberu wa Magharibi ni kuwa Jamhuri ya Kiislamu inakataa utamaduni wao batili.
-
DuniaWasanii Mashuhuri Duniani watia saini kwenye Waraka mmoja
Hawza/ Zaidi ya watu mashuhuri 350 katika ulimwengu wa sinema na nyota wa Cannes na Hollywood, wakiwemo mastaa kama Richard Gere na Susan Sarandon, wamelaani “mauaji ya halaiki” yanayoendelea…
-
DuniaTrump Anakusudia Kufanya Biashara kwa Kutumia Utajiri na Damu ya Watu wa Ukanda huu/ Washington Inajaza Mifuko Yake kutokana na Pesa za Nchi za Kiarabu
Hawza/ Nchi za Kiarabu katika mwezi Machi zitakuwa wenyeji wa rais wa Marekani anayependa kamari na kufanya biashara, ambaye hana umuhimu wowote na damu, maisha, wala mali za watu wa eneo hili,…
-
DuniaNew York Times: Ghuba ya Uajemi Kamwe Haitapewa Jina Bandia
Hawza/ Umoja wa Mataifa nao unatumia istilahi ya “Ghuba ya Uajemi”. Makala moja iliyochapishwa mwaka 2006 nchini Marekani imebainisha kuwa katika nyaraka za kihistoria, jina la “Ghuba ya Uajemi”…
-
DuniaMuqtada Sadr akutana na Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli katika mji mtukufu wa Najaf
Hawza/ Kiongozi wa harakati ya Sadr amemtembelea Ayatollah Abdullah Jawadi Amoli sehemu aliyo fikia huko mjini Najaf al-Ashraf na kufanya naye mazungumzo.
-
DuniaUshirikiano wa Kimataifa kwenye Taasisi za Kiislamu ni jambo la ulazima kwa ajili ya Kuimarisha Uislamu na Maendeleo katika Jamii
Hawza/ Mkuu wa Taasisi ya Kielimu na Kitaaluma ya Bilal ya Tanzania amesisitiza juu ya nafasi muhimu ya ushirikiano wa kimataifa katika kusambaza ujumbe sahihi wa Uislamu, na kwa kubainisha shughuli…
-
DuniaWatalii kutoka Poland wahudhuria Haram ya Bibi Mtukufu mwenye Karama
Hawza/ Watalii 40 kutoka nchi ya Poland, wamehudhuria katika haram takatifu ya Bibi Fatima Maasuma Salamullahi ‘Alayha, kutokana na kuhudhuria kwao waliweza kuifahamu shakhsia na hadhi ya Bibi…
-
DuniaUvamizi wa Kikatili kwa Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Columbia uliofanywa na Polisi wa Marekani
Polisi wa New York, baada ya kuwashambulia wanafunzi waliokuwa wakiandamana kupinga vitendo vya kinyama vinavyo fanywa na utawala wa Kizayuni huko Gaza, waliwakamata wengi wao.
-
DuniaWaziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa ataka hijabu ipigwe marufuku vyuoni
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa, Bruno Retailleau, jana alitangaza kuwa ana azma ya kuzuia uvaaji wa hijabu katika vyuo vikuu.
-
Katika mkutano na maelfu ya wafanyakazi kutoka maeneo mbalimbali ya nchi imesemwa hivi:
DuniaMsaada kamili wa Kiongozi wa Mapinduzi kwa wafanyakazi / Kadhia ya Palestina haipaswi kusahaulika; Marekani na Uingereza ni waungaji mkono jinai zinazofanywa na Wazayuni
Maelfu ya wafanyakazi kutoka maeneo mbalimbali ya nchi ya Irani walikutana asubuhi ya leo Jumamosi na Ayatullah Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Sheikh Naim Qasim:
DuniaAthari kubwa za Hawza ya Qum zimeenea duniani kote
Katibu Mkuu wa Hizbullah Lebanon ameeleza athari na baraka za Hawza ya Qum zimeenea katika uwanja wa kitamaduni na kijamii, hasa katika suala la kuunda Mapinduzi ya Kiislamu na mhimili wa muqawama.
-
DuniaPingamizi kutoka kwenye Familia za Mateka wa Kizayuni dhidi ya Netanyahu: Malizeni Vita
Familia za mateka wa utawala batili wa Kizayuni kupitia maandamano, walidai kuachiliwa kwa mateka hao na kusema: "Hatuafikiani na kauli za Netanyahu zinazopendelea kuendelezwa kwa vita badala…
-
DuniaKamata kamata ya kimabavu kati ya Polisi wa Uholanzi dhidi ya waandamanaji wanaopinga Vita dhidi ya Ghaza
Waandamanaji waliokuwa wakionesha upinzani wao dhidi ya vitendo vya utawala wa Kizayuni wa Israel na waliokuwa wakitaka serikali ya Uholanzi isifungamane na utawala huo dhalimu, walikamatwa katika…
-
DuniaMufti wa Zanzibar aongoza kikao cha kamati ya amani mbele ya Raisi Mwinyi
Hawza/ Mufti wa Zanzibar ambae pia ni mwenyekiti wa kamati ya amani Zanzibar, ameongoza kikao cha kamati hiyo huku kikao hicho kikihudhuriwa na Raisi wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ally…
-
DuniaTunaihesabu Uingereza kama mshirika mkuu wa Israel/ Simamisheni uuzaji wa silaha kwa Israel!
Israel tangia tarehe 2 Machi imefunga njia zote za kuingilia Ukanda wa Ghaza, na licha ya ripoti nyingi kuhusiana na njaa kali inayosababishwa na kivuli cha vita, Israel bado imezuia kuingia…
-
Kikao maalumu Kuhusu Benki ya Kiislamu mjini Islamabad:
DuniaHatua mpya za kuunganisha Hawza na mfumo wa Fedha wa Kiislamu
Kikao maalumu kuhusu Benki ya Kiislamu kimefanyika katika "Jāmi‘at al-Kawthar", Islamabad Pakistan, kikiwa na lengo la kueneza dhana ya kifedha katika uislamu, huku kikihudhuriwa na maulamaa…
-
DuniaIsrael yaishambulia kwa mabomu meli iliyokuwa imebeba misaada ya kibinadamu kwa ajili ya watu wa Ghaza
Wanaharakati wa Kiswidi wa haki za binadamu wamethibitisha kuwa meli hiyo imeshambuliwa kwa mabomu na ndege za kivita za Israel, na kwamba akiba yote ya chakula Ghaza imekwisha kabisa, hali ya…