-
DuniaWakati Uvamizi Dhidi ya Taifa Unapolenga Heshima ya Kibinadamu
Hawza/ Katika siku hizi ambazo dunia inashuhudia tena matumizi makubwa ya nguvu za kijeshi katika eneo hili, picha mbili kutoka kusini mwa Iran hazipaswi kufutika katika kumbukumbu ya fikra na…
-
DuniaMtawa Mkristo Azungumzia Miaka 30 Aliyoishi na Waislamu
Hawza/ Bwana Madj, baada ya kutumikishwa kwa muda wa miaka 30 na Vatican nchini Turkmenistan, amesema: “Utamaduni wa Uislamu na Ukristo unakaribiana sana, na sasa nimefikia hitimisho kwamba mawasilian…
-
DuniaSimulizi ya Bahrain kuhusu Kushtakiwa Mashia kwa Msingi wa Itikadi Yao
Hawza/ Ripoti za hivi karibuni kutoka Bahrain zinaonesha kwamba hatua za kisheria na kiusalama dhidi ya wanazuoni wa dini, makhatibu na taasisi za kidini zimevuka hatua ya kushughulikia kesi…
-
Ayatullah al-Udhma Jawadi Amuli:
DuniaElimu Iliyopitwa na Wakati na Kuchakaa Haifai kwa Hawza na Vyuo Vikuu/ Bila Imani, Elimu Haiwezi Kujengwa
Hawza/ Ayatullah Jawadi Amuli, huku akisisitiza umuhimu wa kufikia elimu mpya na yenye afya, ameeleza kwa msisitizo: Elimu ambayo imepitwa na wakati na kuchakaa, haiwezi kuipeleka Hawza katika…
-
Naibu wa Masuala ya Kimataifa wa Hawza Nchini Iran:
DuniaKuweka Mambo ya Kimataifa katika Nguzo Zote za Hawza ni Miongoni mwa Ajenda/ Matumizi Mapana ya Teknolojia za Kisasa na Akili Mnemba
Hujjatul-Islamu wal-Muslimina Husseini-Kouhsari amebainisha kuwa, mipango ya mabadiliko ya Naibu wa Masuala ya Kimataifa wa Hawza imeandaliwa kwa lengo la kuweka mwelekeo wa kimataifa katika…
-
DuniaUbalozi wa Iran Vatican Wawataka Viongozi wa Dini Kuvunja Ukimya
Hawza/ Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Vatican, kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa kigaidi wa Marekani kusini mwa Iran, katika eneo la Sirik, umewataka wanazuoni,…
-
DuniaIdara ya Elimu na Malezi ya Texas Yaandika Upya Vitabu vya Masomo ya Kijamii kwa Mtazamo wa Kuupinga Uislamu
Hawza/ Licha ya juhudi za Waislamu za kuhakikisha kwamba Waislamu wenye ushawishi na wenye heshima wanapewa nafasi inayostahili katika masomo, Idara ya Elimu na Malezi ya Texas bado inaendelea…
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
DuniaKusini Mwa Lebanon ni Nguzo Muhimu Zaidi ya Muundo wa Mfumo wa Utawala;Serikali Isiyoilinda Imeiuza Nchi
Hawza/ Sheikh Ahmad Qabalan, Mufti Mashuhuri wa Jaafari, akimuelekea Rais wa Lebanon amesema: “Uwezekano wa mgawanyiko wa ndani umefikia kiwango cha juu kabisa, na wewe una wajibu wa kuzuia kusambarat…
-
Imam wa Ijumaa wa Baghdad:
DuniaIraq Inahitaji Serikali Itakayowaokoa Wananchi na Kulinda Utawala wa Nchi
Hawza/ Ayatullah Sayyid Yasin Al-Mousawi, Imam wa Ijumaa wa Baghdad, amekosoa sera za kiuchumi na utendaji wa kisiasa wa baadhi ya viongozi, huku akisisitiza umuhimu wa kuundwa serikali ya wananchi,…
-
DuniaSheikh Jalala Afanya Ziyara Maalumu kwa Mlezi wa Jumuiya ya Shia TIC Mwanza, Apongeza Juhudi za Kuitumikia Jamii
Hawzah/ Tarehe 05 Septemba 2026, Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, amefanya ziyara maalumu kwa Mlezi wa Jumuiya ya Shia TIC Mwanza na Mwenyekiti…
-
DuniaLondon Yaandaa Maonesho ya Kihistoria ya Sanaa Yanayohusu Historia ya Waislamu wa Ulaya
Hawza/ Maonesho ya sanaa ya Shahid Salim yanaonesha mapazia yenye rangi mbalimbali yanayoakisi nyakati muhimu za kihistoria kwa Waislamu wa Uingereza na Ulaya.
-
Naibu Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kiislamu Afrika Kusini:
DuniaMapinduzi ya Kiislamu ya Iran Yalikuwa Chanzo cha Hamasa kwa Wananchi wa Afrika Kusini
Hawza/ Naibu Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kiislamu la Afrika Kusini, huku akisisitiza kwamba Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yalikuwa chanzo cha hamasa kwa harakati za kupigania uhuru nchini…
-
DuniaHawzah ya Ayatullah Ka'dhimi Yafunguliwa Mjini Ka'dhimain; Hatua Mpya katika Kukuza Elimu za Hawza
Hawza/ Jiji takatifu la Ka'dhimain Iraq, limeshuhudia hafla ya uzinduzi wa “Hawza ya Ayatullah Sheikh Muhammad Hussein Ka'dhimi” kwa ajili ya masomo ya elimu za Hawza, iliyofanyika jirani na…
-
DuniaMaulana Sheikh Jalala Ahimiza Waislamu Kuendeleza Vikao vya Maulidi, Dua na Dhikri
Hawza/ Tarehe 04 Septemba 2026, Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, amehudhuria hafla ya Maulidi iliyofanyika jijini Mwanza, katika mwendelezo…
-
Rais wa Jumuiya ya Wifaq ya Madrsa za Kishia Pakistan:
DuniaMarjaiya, Maombolezo ya Ashura na Wilaya ni Nguzo Tatu Imara za Ushia Dhidi ya Ukoloni
Hawza/ Ayatullah Hafiz Riyadh Hussein Najafi, Mkuu wa Shirikisho la Madrasa za Kishia Pakistan (Wifaq al-Madaris al-Shia Pakistan), amesisitiza kwamba Marjaiya, maombolezo ya Ashura na Wilaya…
-
Jumuiya ya Al-Wifaq Bahrain:
DuniaAmri Mpya ya Kifalme Yaendeleza Mfumo wa Kiusalama na Kipolisi Nchini Humo
Hawza/ Kwa kutolewa kwa amri mpya ya Mfalme wa Bahrain, kwa mara nyingine tena kivuli cha sera za kipolisi kimezidi kutanda katika muundo wa kiutawala wa nchi hiyo. Jumuiya ya Al-Wifaq katika…
-
Mwaka wa Tano wa Mgomo wa Chakula:
DuniaMashirika ya Kimataifa Yataka Dkt. Abduljalil al-Singace Aachiwe Mara Moja kutoka Gerezani Bahrain
Hawza/ Shirika la “Scholars at Risk” (Wasomi Walio Hatarini) limewataka viongozi wa Bahrain kumwachilia mara moja na bila masharti mwanataaluma aliyefungwa, Dkt. Abduljalil al-Singace.
-
DuniaRipoti ya Shirika la Salaam, Kuielekea Kamati ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binadamu Kuhusu Ukiukaji Mkubwa wa Haki za Mashia Unaofanywa na Serikali ya Bahrain
Hawza/ Shirika la “Salaam” la Demokrasia na Haki za Binadamu limewasilisha malalamiko kwa Kamati ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa, likieleza kuwa Serekali ya Bahrain kwa sasa imekuwa ikikeuka…
-
DuniaSafari ya Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kishia la Lebanon Nchini Iraq na Kukutana na Viongozi wa Iraq
Hawza/ Sheikh Ali Al-Khatib, Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Kishia, amekutana na Viongozi kadhaa wa Iraq ili kuwafahamisha kuhusu maendeleo ya hali nchini Lebanon.
-
DuniaSafari ya Kielimu ya Ayatullah Karbasi Kuelekea Amerika Kusini kwa Lengo la Kufanya Mazungumzo ya Kidini na Kuimarisha Mawasiliano na Wafuasi wa Ahlulbayt (as)
Hawza/ Ayatullah Sheikh Muhammad Swa'diq Muhammad Karbasi, mwandishi wa “Ensaiklopidia ya Imam Hussein” na Mkuu wa “Kituo cha Tafiti za Imam Hussein” mjini London, amewasili katika nchi za Amerika…
-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran:
DuniaKuzingirwa Kiuchumi Kutapelekea Maadui Kushindwa
Hawza/ Ayatullah Khatami amesema: Shinikizo la kiuchumi na kuzingirwa kiuchumi vinafuatwa kwa lengo la kujenga pengo kati ya wananchi na mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu na kudhoofisha kambi ya haki,…
-
Ayatullah Araafi Katika Swala ya Ijumaa ya Qom Amefafanua:
DuniaHoja 9 za Udhaifu na Kukosa Ustahimilivu kwa Marekani na Ubeberu Dhidi ya Mapinduzi ya Kiislamu / Kusimama Imara Taifa la Iran Kumeushangaza Ulimwengu Mzima
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qom amesema: Uwezo na nguvu ya taifa la Iran pamoja na uongozi wake katika kusimama imara dhidi ya ubeberu umeushangaza ulimwengu mzima. Wao hawakudhani kwamba…
-
DuniaUnaweza Kutarajia Jambo Lolote Kutoka kwa Netanyahu na Wazayuni; Tunakabiliana na Mtazamo wa Kihalifu
Muni Ovadia, Myahudi mwenye asili ya Italia, mwigizaji, mwimbaji, mwandishi na mwanafikra, anaweka wazi tofauti kati ya Uyahudi na Uzayuni, huku akikosoa vikali itikadi na sera za utawala wa…
-
Ayatullah Saidi:
DuniaKuingia Bibi Fatima Ma’suma (s.a.) Jijini Qum Ilikuwa Mwanzo wa Harakati ya Kistaarabu ya Kueneza Maarifa ya Ahlulbayt (as)
Hawza/ Msimamizi wa Haram Tukufu ya Bibi wa Karama, huku akisisitiza nafasi ya kihistoria na kistaarabu ya kuwasili kwa Bibi Fatima Ma’suma (s.a.) katika mji huu mtukufu, amesema kuwa; tukio…
-
DuniaVituo vya Bilal Muslim Tanzania Vyaadhimisha Maulid ya Mtume Muhammad (saww) kwa Shangwe na Furaha
Hawza/ Vituo vya Bilal Muslim katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania vimeungana na Waislamu kote duniani katika kuadhimisha kwa shangwe na furaha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu Muhammad…
-
DuniaShule ya Msingi ya Kiislamu Yafunguliwa Tena Edmonton, Canada
Hawzah/ Kwa kuanza mwaka mpya wa masomo nchini Canada, shule binafsi ya Edmonton imefungua milango yake kwa wanafunzi kutoka katika makundi yote. Shule hiyo ya msingi inafuata masomo ya kawaida…
-
Mjumbe wa Baraza Kuu la Hizbullah:
DuniaImam Musa Sadr Alikuwa Mlinganiaji wa Haki na Umoja; Sisi Bado Tupo Juu ya Ahadi Ile Ile
Hawzah/ Sheikh Hassan al-Baghdadi, mjumbe wa Baraza Kuu la Hizbullah, amesema katika maadhimisho ya kutekwa kwa Imam Musa Sadr na wenzake kwamba katika kumbukumbu hii, ni lazima tufanye upya…
-
Mwanachuoni wa Kihindi:
DuniaSira ya Mtume (s.a.w.w.) Ni Kielelezo cha Umoja, Rehema na Kuishi kwa Amani Miongoni mwa Wafuasi wa Dini Mbalimbali
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Kalb Rashid amesema: Sira ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) inatufundisha kwamba; kwa kuweka kando tofauti, Shia na Sunni pamoja na wafuasi wa dini nyingine wanaweza…
-
DuniaMwanza Kuandika Historia ya Maulidi/ Hafla Kubwa ya Kumbukumbu ya Kuzaliwa Mtume (s.a.w.w.) Kufanyika Igogo
Hawza/ Wakazi wa jiji la Mwanza na maeneo ya jirani wanatarajiwa kushuhudia hafla kubwa na yenye kuleta furaha ya kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu wa Uislamu, Muhammad Mustafa…
-
Sheikh Ibrahim Zakzaky:
DuniaUmoja wa Waislamu Utarejesha Heshima na Nguvu Yao
Hawza/ Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, amesisitiza umuhimu wa umoja na mshikamano wa Umma wa Kiislamu, akisema: “Umoja wa Waislamu ndiyo njia ya kurejesha…