Hawza/ Harakati ya kitamaduni iliyoanzishwa na vijana wa Indonesia katika kuunga mkono malengo na misingi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kupitia gwaride la mfano la magari yaliyopambwa kwa picha…
Hawza/ Kufuatia matamshi makali ya Benjamin Netanyahu dhidi ya Recep Tayyip Erdoğan, Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki pamoja na baadhi ya viongozi waandamizi wa nchi hiyo wamekosoa vikali kauli…
Hawza/ Kufichuliwa kwa uhamishaji wa mamilioni ya pauni kutoka kwa baadhi ya mashirika ya hisani ya Uingereza kwenda kwa taasisi zinazohusishwa na makazi ya walowezi wa Israel kumesababisha wimbi…
Hawza / Rais wa Uturuki amekosoa vikali sera za Israel na kueleza kuwa mashambulizi ya utawala huo dhidi ya Ghaza, Lebanon na Syria ni tishio kwa eneo lote, amesisitiza kwamba; Ankara haitabaki…
Hawza/ Taifa tukufu na lenye heshima la Iran, hususan vijana wapendwa, kwa uwepo wao kwa zaidi ya siku mia moja katika viwanja na maeneo mbalimbali, wameandika ukurasa wa dhahabu katika historia…
Hawza/ Waandishi wawili wa habari kutoka Uholanzi ambao walifanikiwa kupata Tuzo ya Vyombo vya Habari ya Ulaya kwa kuandaa kumbukumbu za majeraha mabaya yaliyowaua watoto wa Ghaza, wameutaka…
Hawza/ Wakati baadhi ya nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya zinataka kuwekewa mawaziri wawili wenye misimamo mikali katika serikali ya Israel, Ujerumani imezuia kufikiwa kwa mwafaka kutokana na…
Hawza/ Abdul Bari Atwan, mchambuzi na mwandishi mashuhuri wa Kipalestina huku akirejelea upinzani wa Saudi Arabia dhidi ya matumizi ya anga yake na Marekani kwa ajili ya kushambulia Iran, alisema…
Hawza/ Kundi la “Marafiki wa Muqawama wa Uturuki” limefanya mkusanyiko wa maandamano mbele ya ubalozi mdogo wa Israel mjini Istanbul na kutangaza uungaji mkono wake kwa Ghaza na Lebanon, washiriki…
Hawza/ Hazem Qassem, msemaji wa Harakati ya Hamas, amesema kwamba: Iran imeifikishia harakati hiyo juhudi zake za kidiplomasia za kumaliza migogoro katika eneo, ikiwemo vita vya Ghaza.
Hawza/ Waziri wa Mambo ya Ndani wa Bahrain, kama ilivyo desturi yake ya kila mwaka, kabla ya kuanza kwa mwezi wa Muharram al-Haram, aliwaita viongozi wa takiya, huseinia na waandaaji wa majlisi…
Hawza/ Mjumbe wa Baraza Kuu la Hawza, akisisitiza kwamba; hatua yoyote inayosababisha kudhoofika ari ya mapambano kwa mtazamo wa kisheria ni haramu, alisema: Kushambulia maslahi ya Marekani popote…
Hawza/ Wananchi wa Lebanon walikusanyika mbele ya Ubalozi wa Iran mjini Beirut kama ishara ya kutoa shukrani kwa hatua ya Iran ya kujibu mashambulizi ya utawala wa Kizayuni na kuiunga mkono Lebanon.
Hawza/ Jumuiya ya Maulamaa wa Beirut imesisitiza kwamba; haiwezekani kuachana na muqawama ambao uliikomboa ardhi na kumzuia adui; Muqawama upo na utaendelea kuwepo maadamu hakuna mbadala unaoweza…
Hawza/ Wiki ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu imeanza katika Haram ya Imam Hussein (a.s.), ikijumuisha Tuzo ya Tano ya Kimataifa ya Karbala. Wawakilishi kutoka nchi 30 wanashiriki katika tukio hili,…