Hawza/ Harakati ya Muqawama wa Kiislamu “Hamas” imepongeza majibu ya Iran na Yemen dhidi ya utawala wa Kizayuni na uhalifu wake dhidi ya Lebanon na wananchi wa nchi hiyo.
Hawza/ Katika mazingira yaliyojaa kumbukumbu za uaminifu na kushikamana na misingi ya Mapinduzi ya Kiislamu, Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Tunisia kiliandaa kikao cha fikra chenye anuani…
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon umeelezea matokeo ya mazungumzo yaliyofanyika kati ya Lebanon na adui Mzayuni chini ya usimamizi wa Shetani Mkuu, Marekani, kuwa ni ya kukatisha…
Imechapishwa tena/ Ayatullah Jawadi Amuli, huku akisisitiza umuhimu wa kuhifadhi umoja na mshikamano, alisema: “Kumwaga damu ya Wazayuni na Trump na mfano wa hao kwa sasa ni kauli ya Imam Mahdi…
Hawza/ Historia ni kioo kinachoakisi uwepo wa wanawake ambao nafsi zao zimesafishwa kwa nuru ya imani na maarifa ya Mwenyezi Mungu; wale ambao kwa baraka ya uhusiano huo wamehesabiwa kuwa ni…
Hawza/ Kituo cha Utamaduni cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Tanzania kiliandaa maonesho maalumu ya picha na kumbukumbu yaliyopewa anuani ya “Kutoka Ghadir hadi Minab”, yakilenga kuunganisha…
Hawza/ Katika mazingira yaliyojaa hisia za kiroho, elimu na mapenzi kwa Ahlul-Bayt (a.s), Taasisi ya Furqan nchini Tanzania imeadhimisha hafla maalumu ya Sikukuu ya Ghadeer sambamba na mnasaba…
Hawza/ Hafla ya uwekaji wa jiwe la masingi la chuo cha Afrika Mashariki cha Hikmah iliandaliwa na Jamiat Al-Mustafa huku ikihudhuriwa na Masheikh na Viongozi mbalimbali wakiongozwa na Balozi…
Hawza/ Mjumbe wa Baraza Kuu la Hawza, huku akisisitiza nafasi ya wanafunzi wa Hawza na wanazuoni katika kusimamia uwanja wa ufafanuzi wa mambo, amewataka wawahimize watu kuwa na “ustahimilivu”…
Hawza/ Katika mazingira yaliyojaa furaha, mapenzi na mshikamano wa Kiislamu, Jumuiya ya Shia Ithnaasharia (TIC) Mkoani Mwanza, Tanzania, imefanya hafla kubwa ya kuadhimisha Sikukuu ya Ghadeer,…
Hawza/ Sambamba na kufanyika hafla ya kumbukumbu ya miaka thelathini na saba ya kufariki kwa Mtukufu Imam Khomeini (ra) pamoja na sherehe kubwa ya Idi Tukufu ya Ghadir Khum huko Jakarta, Mustafa…
Hawza/ Mkutano wa kielimu na kitamaduni wenye anuani isemayo “Ghadir; Nukta ya Pamoja katika Umma wa Kiislamu”, uliokuwa na lengo la kuchunguza tukio la Ghadir kwa mtazamo wa Shia na Ahlu Sunna,…
Hawza/ Mamia ya watu walikusanyika mjini Milan nchini Italia ili kuenzi majina na kumbukumbu za watoto wa Palestina waliouawa, ambapo walionesha katikati ya jiji bango kubwa lililokuwa na majina…
Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon amesema: Kukubali kwa serekali ya Lebanon kupitia wanadiplomasia wake maudhui ya taarifa ya Washington na kukubali…
Hawza/ Baraza Kuu la Hawza limetoa ujumbe wa rambirambi kufuatia kufariki kwa Mtukufu Ayatullah Muhammad Ishaq Fayyadh, mmoja wa Marajii wa Taqlid wa Najaf Ashraf.