Hawza/ Mwanadamu anapaswa kuyaona matendo yake kuwa yako mbele ya Mwenyezi Mungu, ajiepushe na kusengenya na kutuhumu, aingie katika Mwezi wa Ramadhani akiwa na moyo safi, adiriki makosa ya zamani…
Hawza/ Naibu huyo, akirejelea kisa cha Mayahudi wa Bani Nadhir, alilielezea tukio hilo kuwa ni mfano wa kuvunja ahadi na jaribio la mapinduzi dhidi ya utawala wa Uislamu, na akasisitiza kuwa…
Hawza/ Kauli za balozi wa Marekani huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu zinaweka wazi motisha halisi ya mzozo kati ya Waarabu na Wazayuni, ambapo yeye anathibitisha kuwa inatokana na mafundisho…
Hawza/ Juzuu ya nne ya Qur’ani Tukufu inajumuisha Surat Aal-Imran (kuanzia aya ya 93 hadi mwisho) na Sura An-Nisaa (aya ya 1–24). Surat An-Nisaa ina aya 176, imeteremshwa Madina, na inasisitiza…
Hawza/ Waandaaji wa hafla ya Swala ya Jamaa na Iftari walisema kuwa karibu milo 2000 ya bure imeandaliwa kwa ajili ya Waislamu kufuturu, na kila mwenye uhitaji anaweza kushiriki katika meza hii…
Hawza/ Nadhir Ayyad, Mufti wa Jamhuri ya Misri, amewataka wananchi wa Misri na Umma wa Kiislamu kuupokea mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa roho ya toba ya kweli na kurejea kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu,…
Hawza/ Kwa mnasaba wa kuwasili kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani na kuongezeka kwa vikao vya tafsiri ya Qur’ani Tukufu katika maeneo mbalimbali ya Nigeria, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria,…
Hawza/ Mjumbe wa Jumuia ya Walimu wa Hawza ya Qom, kwa kutegemea ushahidi wa kihistoria, alikanusha shubha zilizoenezwa na baadhi ya wenye nia mbaya dhidi ya uhalisi wa Nahj al-Balagha na madai…
Hawza/ Juzuu ya tatu ya Qur’ani Tukufu inajumuisha Surat Al-Baqara kuanzia aya ya 253 hadi mwisho wa sura, na Sura Aal-Imran hadi aya ya 93. Sura Aal-Imran, kwa kusisitiza umoja wa neno (tawhidi…
Hawza/ Mamia ya watu walifanya maandamano huko Stockholm, mji mkuu wa Sweden, na kulaani hatua za karibuni za Israel zenye lengo la kuunganisha (kuambatanisha) Ukingo wa Magharibi na ardhi zinazokaliw…
Hawza/ Takribani Wapalestina 80,000, licha ya hatua za kuzuia na masharti makali ya utawala wa kinyama wa Israel kwa lengo la kupunguza upatikanaji — hasa kwa waumini kutoka Ukingo wa Magharibi…
Hawza/ Ayatullah Sayyid Yasin Mousawi, Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad, huku akisisitiza kwamba; uhuru wa Iraq ni kipaumbele cha kitaifa, alionya kuhusu uelekezaji wa kimakusudi wa vyombo…
Hawza/ Jalada la Jeffrey Epstein haliwezi kupunguzwa na kuwekewa mipaka ya kashfa ya kimaadili au upotovu wa mtu binafsi, kwa sababu jalada hili kwa hakika ni miongoni mwa mifano iliyo wazi zaidi…
Hawza/ Mwanzoni mwa Surat Al-Baqarah zimeelezwa sifa za wachamungu (muttaqīn), makafiri na wanafiki. Mwenyezi Mungu anawataja wanafiki kuwa ni wabaya zaidi kuliko makafiri; yule anayeiuza nchi…
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Nouri Hamedani, akisisitiza umuhimu wa kuimarisha uhusiano kati ya wafuasi wa dini mbalimbali na kutumia fursa za pamoja katika kujenga na kuimarisha hari ya kiroho katika…