Hawza/ Historia daima hutenganisha ukweli na dhana. Wanasiasa kama Lindsey Graham, kwa mahesabu yasiyo sahihi na utabiri usio na msingi, walikuwa wakiahidi kuporomoka kwa Mfumo wa Jamhuri ya…
Hawza/ Katibu wa Pili wa Baraza Kuu la Hawza nchini Iran, amesema: "Mazishi haya makubwa yanayoshuhudiwa na uwepo wa wanazuoni wakubwa, Mara'jii wakuu wa Taqlid, wasomi wa fikra, viongozi wa…
Hawza/ Sheikh Abdullah Jabri amesisitiza kuwa: "Uaminifu kwa mashahidi unapatikana kwa kushikamana na njia ya jihadi na muqawama, kuimarisha umoja wa Umma na kuendelea kujitahidi kwa ajili ya…
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanchi amesema: "Kwa kufanyika mazishi ya mwili wa Shahidi Imam Khamenei nchini Iraq na Iran, kambi ya haki ilipata ushindi katika kiwango…
Hawza/ Ayatullah al-Udhma Muzahirii amesema: "Sasa tumebaki na majonzi ya kuondokewa na Imam wetu mtukufu aliyefariki pamoja na Kiongozi wetu Shahidi mwenye cheo cha juu, na amana hii yenye thamani…
Hawza/ Mjumbe wa Maulama wa Baraza la Kulinda Katiba amesema kuwa; mazishi ya Imam Shahidi ni "tukio lisilo na mfano katika karne" na "udhihirisho wa mshikamano kati ya dini na taifa." Akiwashukuru…
Hawza/ Rais wa tano wa Indonesia amesema: "Kwa mtazamo wangu, shakhsia ya Ayatullah al-Udhma Sayyid Ali Khamenei haikuwa tu ya kiongozi wa kisiasa au mwanazuoni wa kidini kutoka taifa la Iran…
Hawza/ Ayatullah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei, katika ujumbe wake, ametoa shukrani za dhati kwa mamilioni ya wananchi wa Iran na Iraq waliohudhuria mazishi ya "Bwana Shahidi wa Iran", na…
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa wa Qum, akifafanua nukta na mafunzo yaliyotokana na ushiriki wa mamilioni ya watu katika mazishi ya kishujaa ya Imam Shahidi, alisisitiza kuwa: Umati wa mamilioni…
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania, Maulana Sheikh Hemed Jalala, amesema kuwa; maisha na mazishi ya Imam Shahidi Sayyid Ali Khamenei (ra) yamebeba mafunzo makubwa kwa Waislamu na…
Hawza/ Ofisi ya Ayatullah al-Udhma Nouri Hamedani imetoa ufafanuzi kuhusu sababu za kutokuwepo kwa Marjii huyo wa Taqlid katika hafla ya mazishi na kuuaga mwili mtukufu wa Imam Shahidi.
Hawza/ Mwili mtukufu wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi pamoja na miili ya familia yake mashahidi, baada ya kufanyika kwa ibada ya mazishi, maandamano ya kuuaga na kuswaliwa Swala ya Maiti, umepumzishwa…
Hawza/ Mamia ya waombolezaji nchini Kenya walikusanyika siku ya Jumatano tarehe 8 katika Kituo cha Utamaduni cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jijini Nairobi, kushiriki hafla maalumu ya kumuenzi…
Hawza/ Kwa mnasaba wa kaulimbiu ya kudai kisasi iliyopazwa na wananchi katika hafla ya mazishi ya Shahidi wa Iran, filamu mpya ya uhuishaji ya mtindo wa Lego imechapishwa.
Yaliyotokea nchini Iraq na katika miji ya Najaf na Karbala wakati wa kuusindikiza mwili mtukufu wa Kiongozi Shahidi na Kiongozi wa Umma, Imam Khamenei (ra), yanaonesha kina cha imani, ikhlasi,…
Hawza/ Kushuhudia umoja wa kipekee wa watu wa Iran katika kumsindikiza Imam Shahidi wao kulisababisha mshtuko mkubwa kwa maadui wa taifa hili, kiasi kwamba Trump asiyeheshimu ahadi alijikuta…