Hawza/ Imam Hasan al-Mujtaba (a.s.) katika Riwaya moja ameeleza umuhimu wa uchamungu na kuendelea kutafakari, pamoja na nafasi yake katika kuifikia kheri.
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, jana Jumatano ameongoza zoezi la kisomo cha Khitma na dua maalumu kwa ajili ya kumuombea marehemu…
Hawzah/ Hujjatul-Islamu wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqavi amesisitiza umuhimu wa malezi ya kielimu na kidini kwa kizazi cha vijana, na kusema: “Ushindani wenye afya ya kielimu baina ya shule…
Hawzah/ Mwenyekiti wa Jumuiya ya Walimu wa Hawzah ya Qom, huku akisisitiza umuhimu wa kuendelea na jihadi ya kielimu sambamba na jihadi ya ulinzi, amesema: Sheikh Ansari (ra) katika zama zake…
Hawzah/ Mkutano wa pili wa kimataifa wa viongozi wa dini umefanyika katika jiji la Saint Petersburg, nchini Urusi. Kazem Jalali, Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Urusi, na Hujjatul-Islamu…
Hawza/ Katika siku hizi ambazo dunia inashuhudia tena matumizi makubwa ya nguvu za kijeshi katika eneo hili, picha mbili kutoka kusini mwa Iran hazipaswi kufutika katika kumbukumbu ya fikra na…
Hawza/ Bwana Madj, baada ya kutumikishwa kwa muda wa miaka 30 na Vatican nchini Turkmenistan, amesema: “Utamaduni wa Uislamu na Ukristo unakaribiana sana, na sasa nimefikia hitimisho kwamba mawasilian…
Hawza/ Ripoti za hivi karibuni kutoka Bahrain zinaonesha kwamba hatua za kisheria na kiusalama dhidi ya wanazuoni wa dini, makhatibu na taasisi za kidini zimevuka hatua ya kushughulikia kesi…
Hawza/ Ayatullah Jawadi Amuli, huku akisisitiza umuhimu wa kufikia elimu mpya na yenye afya, ameeleza kwa msisitizo: Elimu ambayo imepitwa na wakati na kuchakaa, haiwezi kuipeleka Hawza katika…
Hujjatul-Islamu wal-Muslimina Husseini-Kouhsari amebainisha kuwa, mipango ya mabadiliko ya Naibu wa Masuala ya Kimataifa wa Hawza imeandaliwa kwa lengo la kuweka mwelekeo wa kimataifa katika…
Hawzah/ Mtume Mtukufu (saww), katika riwaya anaeleza kuhusiana na nafasi yake tukufu na daraja lake la juu miongoni mwa manabii na mitume wote wa Mwenyezi Mungu.
Hawza/ Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Vatican, kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa kigaidi wa Marekani kusini mwa Iran, katika eneo la Sirik, umewataka wanazuoni,…
Hawza/ Licha ya juhudi za Waislamu za kuhakikisha kwamba Waislamu wenye ushawishi na wenye heshima wanapewa nafasi inayostahili katika masomo, Idara ya Elimu na Malezi ya Texas bado inaendelea…
Hawza/ Sheikh Ahmad Qabalan, Mufti Mashuhuri wa Jaafari, akimuelekea Rais wa Lebanon amesema: “Uwezekano wa mgawanyiko wa ndani umefikia kiwango cha juu kabisa, na wewe una wajibu wa kuzuia kusambarat…