Hawza/ Katika siku hizi ambazo dunia inashuhudia tena matumizi makubwa ya nguvu za kijeshi katika eneo hili, picha mbili kutoka kusini mwa Iran hazipaswi kufutika katika kumbukumbu ya fikra na…
Hawza/ Bwana Madj, baada ya kutumikishwa kwa muda wa miaka 30 na Vatican nchini Turkmenistan, amesema: “Utamaduni wa Uislamu na Ukristo unakaribiana sana, na sasa nimefikia hitimisho kwamba mawasilian…
Hawza/ Ripoti za hivi karibuni kutoka Bahrain zinaonesha kwamba hatua za kisheria na kiusalama dhidi ya wanazuoni wa dini, makhatibu na taasisi za kidini zimevuka hatua ya kushughulikia kesi…
Hawza/ Ayatullah Jawadi Amuli, huku akisisitiza umuhimu wa kufikia elimu mpya na yenye afya, ameeleza kwa msisitizo: Elimu ambayo imepitwa na wakati na kuchakaa, haiwezi kuipeleka Hawza katika…
Hujjatul-Islamu wal-Muslimina Husseini-Kouhsari amebainisha kuwa, mipango ya mabadiliko ya Naibu wa Masuala ya Kimataifa wa Hawza imeandaliwa kwa lengo la kuweka mwelekeo wa kimataifa katika…
Hawzah/ Mtume Mtukufu (saww), katika riwaya anaeleza kuhusiana na nafasi yake tukufu na daraja lake la juu miongoni mwa manabii na mitume wote wa Mwenyezi Mungu.
Hawza/ Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Vatican, kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa kigaidi wa Marekani kusini mwa Iran, katika eneo la Sirik, umewataka wanazuoni,…
Hawza/ Licha ya juhudi za Waislamu za kuhakikisha kwamba Waislamu wenye ushawishi na wenye heshima wanapewa nafasi inayostahili katika masomo, Idara ya Elimu na Malezi ya Texas bado inaendelea…
Hawza/ Sheikh Ahmad Qabalan, Mufti Mashuhuri wa Jaafari, akimuelekea Rais wa Lebanon amesema: “Uwezekano wa mgawanyiko wa ndani umefikia kiwango cha juu kabisa, na wewe una wajibu wa kuzuia kusambarat…
Hawza/ Ayatullah Sayyid Yasin Al-Mousawi, Imam wa Ijumaa wa Baghdad, amekosoa sera za kiuchumi na utendaji wa kisiasa wa baadhi ya viongozi, huku akisisitiza umuhimu wa kuundwa serikali ya wananchi,…
Hawza/ Imam Musa Al-Kadhim (as), katika riwaya, anaeleza kuhusu kutotosheka mwanadamu katika kuifuata dunia, pamoja na umuhimu wa kujiepusha na kushikamana nayo kupita kiasi.
Hawzah/ Tarehe 05 Septemba 2026, Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, amefanya ziyara maalumu kwa Mlezi wa Jumuiya ya Shia TIC Mwanza na Mwenyekiti…
Hawza/ Maonesho ya sanaa ya Shahid Salim yanaonesha mapazia yenye rangi mbalimbali yanayoakisi nyakati muhimu za kihistoria kwa Waislamu wa Uingereza na Ulaya.
Hawza/ Naibu Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kiislamu la Afrika Kusini, huku akisisitiza kwamba Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yalikuwa chanzo cha hamasa kwa harakati za kupigania uhuru nchini…
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amesema kuwa Hawza zinapaswa kutekeleza ipasavyo jukumu lake la kihistoria kwa kutambua kwa usahihi mazingira ya zama, mahitaji ya jamii na mabadiliko…