Hawzah/ Mtume Mtukufu wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) katika riwaya moja ameeleza kuhusu fadhila na ubora wa kuswali jamaa ikilinganishwa na kuswali mtu peke yake.
Hawzah/ Naibu Katibu wa Pili wa Baraza Kuu la Hawza nchini Iran, amesema ushindi wa wananchi waliodhulumiwa na wanaopinga dhuluma nchini Yemen ni “Ushindi juu ya Ushindi”, na akasisitiza: “Kwa…
Hawzah/ Ayatullah Shahidi Sayyid Ali Khamenei amejibu swali la kisheria kuhusu “kupokea posho ya masomo na msaada wa kifedha pasi na kuzingatia ratiba ya masomo.”
Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Naba Al-Hamami, akipongeza Maonesho ya 11 ya Kitaalamu ya Vitabu vya Hawzah na Maarifa ya Kiislamu, amesisitiza umuhimu wa kuimarisha uhusiano kati…
Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanji amezungumzia uwepo wa rais wa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu nchini Syria, katika umbali wa kilomita 35 kutoka Damascus.
Hawzah/ Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon, Sheikh Ali Al-Khatib, ameeleza kuhusu mwaliko wa Rais wa Lebanon wa kuandaliwa mazungumzo mapana ya kitaifa yatakayowakutan…
Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amefafanua mikakati mikuu ya uongozi wa elimu na malezi, huku akisisitiza umuhimu wa kuhamasisha uwezo na rasilimali zote za wananchi na serikali kwa ajili ya…
Hawzah/ Katibu wa Baraza Kuu la Hawza nchini Iran, amesema kuwa; iwapo kuanzishwa kwa Mapinduzi ya Kiislamu kulifanywa na wanazuoni wa dini, basi kuendelea na kudumu kwake pia kunapaswa kuwa…
Hawzah/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, siku ya jana amefanya ziara ya Zanzibar kuelekea Kizimkazi kwa lengo la kutoa mkono wa pole kwa…
Hawzah/ Kufuatia kuongezeka kwa shughuli za watu wenye misimamo mikali nchini Sweden, ambao wanauwasilisha Uislamu kuwa ni kinyume na maadili ya kijamii, Waislamu wa Sweden wameanza kuielewesha…
Hawzah/ Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Maulamaa wa Indonesia huko Java ya Kati, Profesa Dkt. Haj Abu Hafsin, mwenye shahada ya Uzamili na Udaktari wa Falsafa, amesisitiza kuwa; umoja baina ya…
Hawzah/ Sheikh Muhammad Jawad Hafizi, amesisitiza umuhimu wa kulinda umoja wa Umma wa Kiislamu, akisema: Waislamu wanapaswa, kwa kuwa na tahadhari na uelewa mpana, kujiepusha na kuchochea mifarakano…
Hawzah/ Ayatullah Sayyid Ahmad Alam al-Huda, huku akisisitiza kwamba muqawama wa wananchi wa Iran dhidi ya mashambulizi ya adui hauna muda maalumu, amesema kuwa wapiganaji wa Iran, kwa kutegemea…
Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Abutorabi Fard amesisitiza: “Taifa lenye nguvu la Iran, mataifa ya eneo na Mhimili wa Muqawama wameuona uwezo na nguvu zao katika mashambulizi ya kijeshi ya…
Hawzah/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qom amesema kuwa; baadhi ya watu ndani ya nchi walikuwa na matumaini kwamba iwapo wangefanya mazungumzo na Marekani wangefikia matokeo fulani, lakini Marekani…