Hawza/ Katibu wa Baraza la Walinzi amesema: Hatua madhubuti iliyochukuliwa na Vikosi vya Wanajeshi vya Iran katika kujibu uvamizi wa Marekani na kulenga maslahi pamoja na vifaa vyake, imeonesha…
Hawza/ Mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Mkoa wa Markazi, huku akilaani jinai za utawala wa Pahlavi katika tukio la tarehe 17 Shahrivar pamoja na mashambulizi ya hivi karibuni…
Kiongozi mwandamizi wa Hawza nchini Iran amesema kuwa; mifumo ya jadi ya uhubiri wa dini katika medani ya kimataifa imepitia mabadiliko makubwa, huku akipongeza uwepo wa moja kwa moja wa wanazuoni…
Hawza/ Idara ya Mahusiano ya Vyombo vya Habari ya Hizbullah imetangaza kwamba: Kauli yoyote isiyo rasmi inapaswa kuchukuliwa kuwa ni maoni binafsi; misimamo yetu hutangazwa tu kupitia Katibu…
Hawza/ Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Shia la Lebanon, baada ya ziara ya siku 11 nchini Iran na Iraq, amesisitiza utayari kamili wa viongozi wa Iran na Iraq wa kutoa msaada wa…
Tishio lolote la kumuua Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, hata ikiwa ni kwa kiwango cha maneno tu linapaswa kuchukuliwa kuwa shambulio la kiwango cha juu kabisa dhidi ya mistari miekundu…
Hawza/ Imam Hasan al-Mujtaba (a.s.) katika Riwaya moja ameeleza umuhimu wa uchamungu na kuendelea kutafakari, pamoja na nafasi yake katika kuifikia kheri.
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, jana Jumatano ameongoza zoezi la kisomo cha Khitma na dua maalumu kwa ajili ya kumuombea marehemu…
Hawzah/ Hujjatul-Islamu wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqavi amesisitiza umuhimu wa malezi ya kielimu na kidini kwa kizazi cha vijana, na kusema: “Ushindani wenye afya ya kielimu baina ya shule…
Hawzah/ Mwenyekiti wa Jumuiya ya Walimu wa Hawzah ya Qom, huku akisisitiza umuhimu wa kuendelea na jihadi ya kielimu sambamba na jihadi ya ulinzi, amesema: Sheikh Ansari (ra) katika zama zake…
Hawzah/ Mkutano wa pili wa kimataifa wa viongozi wa dini umefanyika katika jiji la Saint Petersburg, nchini Urusi. Kazem Jalali, Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Urusi, na Hujjatul-Islamu…
Hawza/ Katika siku hizi ambazo dunia inashuhudia tena matumizi makubwa ya nguvu za kijeshi katika eneo hili, picha mbili kutoka kusini mwa Iran hazipaswi kufutika katika kumbukumbu ya fikra na…
Hawza/ Bwana Madj, baada ya kutumikishwa kwa muda wa miaka 30 na Vatican nchini Turkmenistan, amesema: “Utamaduni wa Uislamu na Ukristo unakaribiana sana, na sasa nimefikia hitimisho kwamba mawasilian…
Hawza/ Ripoti za hivi karibuni kutoka Bahrain zinaonesha kwamba hatua za kisheria na kiusalama dhidi ya wanazuoni wa dini, makhatibu na taasisi za kidini zimevuka hatua ya kushughulikia kesi…