Hawzah/ Vikosi vya Mapinduzi ya Bahrain, katika taarifa ya pamoja, vimelaani mashauri yasiyo ya haki dhidi ya maulama wakuu wa dini pamoja na tuhuma za kubuniwa zinazowakabili.
Hawzah/ Jumuiya ya Kitaifa ya Kiislamu ya Al-Wefaq ya Bahrain imelaani uamuzi wa Wizara ya Sheria unaohusiana na kupanga upya vibali vya kutoa mawaidha, kuongoza dini, kutoa hotuba na kusoma…
Hawzah/ Maulama wa dini na viongozi wa Mapinduzi ya Kitaifa ya Bahrain wamesisitiza kwamba: Maulama wenye heshima na waumini nchini Bahrain hawajafanya kosa lolote, isipokuwa kusema: “Mola wetu…
Hawzah/ Muungano wa Mapinduzi ya Februari 14 wa Bahrain umetangaza katika taarifa yake kwamba: Wananchi wa Bahrain hawatakubali mpango wa mauaji ya kimbari na kuhalalisha uhusiano na Israel,…
Hawzah/ Kituo cha Haki za Binadamu Bahrain kimezitaka mamlaka kuchukua hatua za haraka za kuacha “kuwateka na kuwatesa watu” na kuwafikisha mbele ya sheria wale wanaohusika na uhalifu wa mateso.
Hawzah/ Mratibu Mkuu wa “Jabhatu al-‘Amal al-Islami nchini Lebanon”, amesema: Migogoro ambayo dunia inashuhudia leo haiishii tu katika nyanja za kisiasa, kiuchumi na kiusalama, bali kabla ya…
Hawzah/ Mufti Raghīb Hussein Na‘īmī, Mwenyekiti wa Baraza la Itikadi ya Kiislamu la Pakistan, amekutana na kufanya mazungumzo na Ayatullah al-Uzma Hafiz Bashir Hussein Najafi huko Najaf Ashraf.
Hawza/ Katibu wa Baraza la Walinzi amesema: Hatua madhubuti iliyochukuliwa na Vikosi vya Wanajeshi vya Iran katika kujibu uvamizi wa Marekani na kulenga maslahi pamoja na vifaa vyake, imeonesha…
Hawza/ Mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Mkoa wa Markazi, huku akilaani jinai za utawala wa Pahlavi katika tukio la tarehe 17 Shahrivar pamoja na mashambulizi ya hivi karibuni…
Kiongozi mwandamizi wa Hawza nchini Iran amesema kuwa; mifumo ya jadi ya uhubiri wa dini katika medani ya kimataifa imepitia mabadiliko makubwa, huku akipongeza uwepo wa moja kwa moja wa wanazuoni…
Hawza/ Idara ya Mahusiano ya Vyombo vya Habari ya Hizbullah imetangaza kwamba: Kauli yoyote isiyo rasmi inapaswa kuchukuliwa kuwa ni maoni binafsi; misimamo yetu hutangazwa tu kupitia Katibu…
Hawza/ Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Shia la Lebanon, baada ya ziara ya siku 11 nchini Iran na Iraq, amesisitiza utayari kamili wa viongozi wa Iran na Iraq wa kutoa msaada wa…
Tishio lolote la kumuua Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, hata ikiwa ni kwa kiwango cha maneno tu linapaswa kuchukuliwa kuwa shambulio la kiwango cha juu kabisa dhidi ya mistari miekundu…
Hawza/ Imam Hasan al-Mujtaba (a.s.) katika Riwaya moja ameeleza umuhimu wa uchamungu na kuendelea kutafakari, pamoja na nafasi yake katika kuifikia kheri.
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, jana Jumatano ameongoza zoezi la kisomo cha Khitma na dua maalumu kwa ajili ya kumuombea marehemu…