Hawza/ Katibu Mkuu wa Hizbullah, Sheikh Naim Qassem, katika maadhimisho ya miaka 20 ya ushindi katika Vita vya Siku 33, huku akisisitiza kwamba Muqawama una uwezo wa kubadilisha mlingano wa nguvu,…
Maadhimisho ya siku ya arubaini tangia kuzikwa Kiongozi Shahidi, Ayatullah al-Udhma Imam Sayyid Ali Husseini Khamenei, yanafanyika kwa amri ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi katika miji ya Tehran,…
Hawza/ Taasisi ya Bilal Muslim imeandaa semina maalumu ya siku tano yenye lengo la kuimarisha uwezo, maarifa na ujuzi wa wahubiri wa dini ya Kiislamu, hususan walimu na wasimamizi wa vituo vya…
Hawza/ Mkuu wa Hawza nchini Iran, akisisitiza kwamba; Maimamu wawili wa Mapinduzi walitoa tafsiri hai, yenye kuleta uhai na kuchochea harakati kuhusu Uislamu, amesema kuwa Mpango wa Mfumo Kamili…
Hawza/ Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Qom alisema: Neno la Imam Khomeini la kuhamasisha mapambano dhidi ya dhuluma na ubeberu lilitoka Qom na lilitikisa majumba ya mabeberu, Sasa Ulaya, Marekani…
Hawza/ Waumini wa jijini Dar es Salaam jana tareh 28 Swafar 1448, walikusanyika katika Msikiti wa Ghadiir uliopo Kigogo Post jijini humo, ili kushiriki katika maadhimisho ya Majlisi ya kumbukizi…
Hawza/ Katika hali ya huzuni na majonzi makubwa, waumini wa Kishia jijini Tanga wamefanya matembezi ya amani kwa ajili ya kuadhimisha kumbukizi ya kifo cha Mtume Muhammad (saww), huku wakionesha…
Hawza/ Waumini Kishia wa Zanzibar siku ya jana wamejitokeza kwa wingi katika matembezi makubwa ya kuadhimisha kumbukizi ya kifo cha Mtume Muhammad (saww), huku wakihuisha kumbukumbu ya mmoja…
Hawza/ Katika hali ya huzuni, majonzi na kumbukumbu nzito ya kumpoteza Mtume Muhammad (saww), waumini wa Arusha nchini Tanzania wameadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Mtume (saww) kwa kufanya matembezi…
Hawza/ Tabora, Tanzania — Katika mazingira yaliyojaa huzuni, majonzi na kumbukumbu ya tukio kubwa katika historia ya Uislamu, waumini wa mji wa Tabora nchini Tanzania wamefanya matembezi ya amani…
Hawza/ Kwa mtazamo wa Amirul Muuminina (as), kufariki dunia Mtume Mtukufu (saww) kuliacha jeraha kubwa katika nyoyo za Umma kiasi kwamba, mbele ya ukubwa wa msiba huo misiba mingine yote hata…
Hawza/ Abuja: Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, huku akisisitiza kwamba ujumbe wa Mtume Mtukufu (saww) kwa kila zama ni ujumbe wa uongofu na njia ya wokovu,…
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Muhammad Hassan Jaafari amesema katika ujumbe wake kwamba: Sira ya Mtume (saww) na Ahlul Bayt (as) haipaswi kuishia katika kuwapenda na kuomboleza tu, bali…
Hawza/ Muhammad Al-Farah, mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Ansarullah ya Yemen, ametoa ujumbe kwa wanamgambo na mamluki wanaoiunga mkono Saudi Arabia, akiwataka wasikate njia zao za mawasiliano…
Hawza/ Jumuiya ya Haki za Binadamu ya Bahrain imeitaka Serikali ya Bahrain kusitisha mara moja hatua na vikwazo vyote vilivyowekwa dhidi ya uhuishaji wa alama za kidini na misafara ya maombolezo.
Hawza/ Katika hali ya huzuni, mapenzi na kumbukumbu ya kina juu ya Mtume Muhammad (saww), waumini wa Shia jijini Dar es Salaam wamefanya matembezi makubwa ya kuomboleza kifo cha Mtume wa Allah…