Hawzah/ Kwa mtazamo wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi, maisha ya Mtume Mtukufu (s.a.w.w) yamejaa mafundisho makubwa ya kibinadamu na kimaadili ambayo yanatosha kwa ajili ya ulimwengu wetu. Kusimama,…
Hawzah/ Umoja na mshikamano wa Umma wa Kiislamu, ambao unapita zaidi ya masuala ya kikabila, rangi na hata tofauti za kimadhehebu, ni ulazima wa kidini na kiakili; kwani Uislamu mtukufu hauruhusu…
Hawzah/ Ayatullah Al-Udhma Nouri Hamedani, huku akisisitiza kwamba kila aina ya uhusiano na utawala wa Israel na msaada wa kuuwezesha kuendelea kuwepo bila shaka unapingana na maslahi ya Umma…
Katika kikao cha waandishi wa habari cha kutambulisha “Mkusanyiko wa Mada za Utafiti za Elimu na Maarifa ya Mtume (s.a.w.w)”, ilibainishwa kuwa baada ya miaka kadhaa ya utafiti, uchunguzi na…
Hawzah/ Baraza la Maulidi limefanyika leo Jumanne likiongozwa na Mufti wa Tanzania, huku likiwakutanisha Masheikh na viongozi mbalimbali wa dini katika hafla iliyolenga kuadhimisha mazazi ya…
Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, ameongoza zoezi la upandishaji wa Bendera ya Bwana Mtume Muhammad (s.a.w.w), katika hafla iliyofanyika…
Hawzah/ Sherehe za Maulidi ya Kitaifa zimefanyika usiku wa jumanne katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, zikiwa zimewakutanisha viongozi wa dini, viongozi mbalimbali wa serikali,…
Hawzah/ Maafisa wa Mkoa wa Sumatra Kusini nchini Indonesia, wakati moto mkubwa sana ukiendelea kuteketeza misitu na maeneo oevu ya mkoa huo na kusababisha ukungu mzito katika baadhi ya maeneo…
Hawzah/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran amesema kuwa; jumuiya ya wasomi wa udaktari ni hazina adimu ya elimu, ujuzi na maadili ya kitaaluma, ambayo jukumu lake ni kulinda uhai na afya ya binadamu.
Sheikh Adel Al-Shu'la, miongoni mwa wanazuoni wa Kishia nchini Bahrain, katika hotuba yake alitoa wito wa kuwa na kiwango cha juu kabisa cha uangalifu na tahadhari dhidi ya kile alichokiita “utawala…
Hawzah/ Adui wa Kizayuni ameendelea na mashambulizi yake dhidi ya kusini mwa Lebanon na kukiuka mamlaka na uhuru wa nchi hiyo, kupitia mashambulizi ya anga, operesheni za kulipua na kuchoma moto…
Ayatollah Rajabi amewataka viongozi na maafisa kuwajibika zaidi kuliko wakati mwingine wowote kwa nafasi yao ya kihistoria na yenye kuamua hatima katika kuangamiza kabisa “uvimbe wa saratani…
Hawzah/ Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, amesisitiza umuhimu wa kujifunza elimu yenye manufaa, na kuwataka wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kujitahidi…
Kiongozi Mkuu wa Iran anaielekeza Ghuba ya Uajemi kuwa kiini cha mustakabali wa kikanda unaojengwa juu ya utulivu, maendeleo na uhuru dhidi ya madola ya kigeni.