Hawza/ Mratibu wa Bunge la Kitaifa la Dini nchini India amesema: “Mapenzi yetu kwa Shahidi Ayatullah al-Udhma Khamenei (ra) yanavuka mipaka ya siasa; yanafafanuliwa kwa kuenzi ubinadamu. Alikuwa…
Hawza/ Mhadhiri na mwanaharakati wa kidini wa kutoka Bara Hindi amesema: “Dunia ya leo inahitajia zaidi kuliko wakati mwingine wowote viongozi kama Ayatullah Khamenei (ra), ambao kwa maisha yao…
Hawza/ Kikao cha vyama, makundi na shakhsia za kitaifa za Lebanon kimesisitiza mshikamano wake na haki ya wananchi wa Yemen ya kumaliza mzingiro wa kidhalimu uliowekwa dhidi yao, pamoja na haki…
Hawza/ Kituo cha Tiba cha "Rasul al-A'dham (saww)" kilicho chini ya Haram Tukufu ya Alawi kimetangaza kukamilisha maandalizi maalumu ya kitabibu na kiafya kwa ajili ya ziara ya Arubaini ya Imam…
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa mjini Qom amesema kuwa; Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi alikuwa akiitazama Swala ya Ijumaa kuwa ni kiungo muhimu katika mlolongo wa nguvu laini (Soft Power) wa…
Hawza/ Watawa wanawake wa Kanisa Katoliki mjini New York wameikosoa sheria inayohusu taasisi za utoaji wa huduma za afya kwa wagonjwa katika jimbo hilo. Kwa mujibu wa sheria hiyo, wanalazimishwa…
Hawza/ Kauli kali za Rabbi Dov Lando, kiongozi wa kiroho wa mkondo wa Haredi wa Degel HaTorah, dhidi ya vita vinavyoendeshwa na jeshi la utawala wa Kizayuni, zimleta mgawanyiko kati ya serikali…
Hawza/ Rais wa Chama cha Wazalendo wa Japan (Issuikai) amesisitiza kuwa; dunia iko katika kipindi cha mpito kutoka mfumo wa dunia wa ncha moja kwenda mfumo wa ncha nyingi, na ametaka kuondolewa…
Hawza/ Kitendo cha Ayatullah Sheikh Isa Qassim kuvunja ukimya wake na kutangaza kuwa hatima ya madhehebu ya Shia nchini Bahrain inakabiliwa na tishio la kuwepo kwake, kina maana kwamba sehemu…
Hawza/ Osama Hamdan, mmoja wa viongozi wa Harakati ya Hamas, amesisitiza kuwa; kuchaguliwa Khalil al-Hayya kuwa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya harakati hiyo ni ishara ya uhai na uimara wa Hamas,…
Hawza/ Muntadhar al-Zaidi, mwandishi wa habari wa Iraq ambaye aligeuka kuwa alama ya kimataifa ya muqawama dhidi ya ukoloni baada ya kumrushia George Bush kiatu mwaka 2008, ameeleza undani wa…
Taswira ya mfano inayowakilisha ahadi ya Ayatullah Sayyid Mujtaba Khamenei kuwahusu wahusika wa uhalifu uliotekelezwa katika vita viwili vya mwisho vilivyolazimishwa dhidi ya wananchi wa Iran,…
Hawza/ Msikiti Mkuu wa Paris umefanya hafla ya kuadhimisha miaka 100 tangu kuanzishwa kwake, ambapo pia ulitoa heshima kwa askari Waislamu walioshiriki katika Vita vya Kwanza vya Dunia.