Muni Ovadia, Myahudi mwenye asili ya Italia, mwigizaji, mwimbaji, mwandishi na mwanafikra, anaweka wazi tofauti kati ya Uyahudi na Uzayuni, huku akikosoa vikali itikadi na sera za utawala wa…
Hawza/ Msimamizi wa Haram Tukufu ya Bibi wa Karama, huku akisisitiza nafasi ya kihistoria na kistaarabu ya kuwasili kwa Bibi Fatima Ma’suma (s.a.) katika mji huu mtukufu, amesema kuwa; tukio…
Hawza/ Vituo vya Bilal Muslim katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania vimeungana na Waislamu kote duniani katika kuadhimisha kwa shangwe na furaha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu Muhammad…
Hawzah/ Kwa kuanza mwaka mpya wa masomo nchini Canada, shule binafsi ya Edmonton imefungua milango yake kwa wanafunzi kutoka katika makundi yote. Shule hiyo ya msingi inafuata masomo ya kawaida…
Hawzah/ Sheikh Hassan al-Baghdadi, mjumbe wa Baraza Kuu la Hizbullah, amesema katika maadhimisho ya kutekwa kwa Imam Musa Sadr na wenzake kwamba katika kumbukumbu hii, ni lazima tufanye upya…
Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amelaani vikali shambulio la anga la Marekani dhidi ya maeneo ya makazi na sherehe ya harusi katika eneo la Sirik, mkoani Hormozgan, akilitaja tukio hilo kuwa…
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Kalb Rashid amesema: Sira ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) inatufundisha kwamba; kwa kuweka kando tofauti, Shia na Sunni pamoja na wafuasi wa dini nyingine wanaweza…
Hawza/ Wakazi wa jiji la Mwanza na maeneo ya jirani wanatarajiwa kushuhudia hafla kubwa na yenye kuleta furaha ya kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu wa Uislamu, Muhammad Mustafa…
Hawza/ Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, amesisitiza umuhimu wa umoja na mshikamano wa Umma wa Kiislamu, akisema: “Umoja wa Waislamu ndiyo njia ya kurejesha…
“Mkusanyiko wa Juzuu 12 zenye Mada za Utafiti wa Elimu na Maarifa ya Kimuhammadi” zenye mada 60,000 za utafiti katika nyanja 28 za kielimu, umezinduliwa mjini Qum sambamba na Wiki ya Umoja, na…
Hawza/ Jumuiya ya Ahlulbayt ya Kenya imeandaa hafla adhimu ya Maulidi ya kusherehekea kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu Muhammad (s.a.w.w.), katika mazingira yaliyojaa furaha, tafakuri…
Hawza/ Waumini wa Kiislamu nchini Burundi wameungana katika anga ya furaha, upendo na shangwe kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa Mtume Muhammad (s.a.w.w.), katika hafla maalumu iliyofanyika jana…
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Hemedi Jalala, ametoa wito kwa jamii duniani kufuata mafundisho ya Mtume Muhammad (s.a.w.w.), akisisitiza kuwa maisha na mwenendo…