Hawzah/ Mkuu wa Ujumbe wa Kitaifa wa Mazungumzo wa Yemen amesema: “Sana’a inawakaribisha wananchi wote, na milango yake iko wazi kwa watu wote ili warejee.”
Hawzah/ Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Wahamiaji wa Yemen amesisitiza msimamo thabiti wa Yemen katika juhudi za kufikia amani ya haki na kukomesha uvamizi pamoja na mzingiro uliowekwa dhidi…
Hawzah/ Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, amesisitiza umuhimu wa umoja miongoni mwa Waislamu na kurejea katika mafundisho halisi ya Uislamu, akisema: “Maadui…
Hawzah/ Chama cha Ustawi wa Taifa Afghanistan, kimekemea vikali kuvamiwa Hawzah ya Khatam al-Nabiyyin (saww) mjini Kabul na kundi la Taliban, huku kikitaja hatua hiyo kuwa ni dharau kwa wananchi…
Hawzah/ Mjumbe wa Kamati ya Kitaifa ya Masuala ya Wafungwa wa Yemen amesisitiza kwamba Vikosi vya Wanajeshi vya Yemen vimefanikiwa kuwaachilia huru baadhi ya wafungwa wa Yemen ambao walikuwa…
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, amehudhuria dua na kisomo cha khitma kwa ajili ya kumuombea marehemu Maalim Hafidh Ameir Hassan,…
Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Malekii, huku akisisitiza umuhimu wa kujenga ari ya kielimu na kimaanawi katika madrasa za kielimu, amesema: “Hawzah inayoongoza na kuwa kielelezo” itatimia…
Hawzah/ Meja Jenerali Khalid Gharab amesema kuwa kumalizika kwa vita vya pwani ya magharibi ndani ya siku saba, kudhibiti wilaya sita na kuvunja mikusanyiko ya majeshi ya adui wa Saudi Arabia,…
Hawzah/ Rabii Soran, mjumbe wa Baraza la Mkoa wa Nineveh kutoka katika jamii ya Wakristo, amesisitiza kwamba; silaha kuwa chini ya mamlaka ya serikali hakumaanishi kwa namna yoyote kuvunjwa au…
Hawzah/ Chanzo kimoja chenye taarifa ndani ya Syria kimefichua siri ya mkutano wa ngazi ya juu na wa kiusalama uliofanyika kwa usiri, ambao ulisababisha makubaliano ya kuwafundisha na kuwahamisha…
Hawzah/ Vikosi vya Hizbullah Iraq, vimeelezea kuwa ushindi wa kimkakati wa Vikosi vya Wanajeshi na watu huru wa Yemen katika mapambano ya kuwasafisha wavamizi katika maeneo ya pwani ya magharibi…
Hawzah/ Ayatullah Sayyid Yasin al-Mousawi, Imam wa Ijumaa wa Baghdad, amesema kuwa mpango wa Marekani na Uzayuni unalenga kuigawa tena kanda na kuyadhoofisha mataifa, huku akisisitiza umuhimu…
Hawzah/ Mtume Mtukufu wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) katika riwaya moja ameeleza kuhusu fadhila na ubora wa kuswali jamaa ikilinganishwa na kuswali mtu peke yake.