Hawza/ Jumuiya ya Ahlulbayt ya Kenya imeandaa hafla adhimu ya Maulidi ya kusherehekea kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu Muhammad (s.a.w.w.), katika mazingira yaliyojaa furaha, tafakuri…
Hawza/ Waumini wa Kiislamu nchini Burundi wameungana katika anga ya furaha, upendo na shangwe kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa Mtume Muhammad (s.a.w.w.), katika hafla maalumu iliyofanyika jana…
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Hemedi Jalala, ametoa wito kwa jamii duniani kufuata mafundisho ya Mtume Muhammad (s.a.w.w.), akisisitiza kuwa maisha na mwenendo…
Hawza/ Mkurugenzi wa Madrasa ya Ahlulbayt iliyopo jijini Arusha, Dkt. Sheikh Abdurazak Amiri, ametoa wito kwa Waislamu kutoruhusu tofauti za kimadhehebu kuwa sababu ya kutengana, akisisitiza…
Hawza/ Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania, Dk. Sheikh Alhadi Mussa Salum, amesema: Maadhimisho ya Maulidi ya Mtume Muhammad (s.a.w.w.) yamebeba ujumbe mkubwa wa umoja wa Kiislamu,…
Hawza/ Sheikh Maulidi Hussein Sombi, amesisitiza umuhimu wa kumuenzi Mtume Muhammad (s.a.w.w.) kwa kuzingatia mafundisho yake ya amani, umoja na mshikamano, huku akieleza kuwa Mtume Mtukufu ni…
Hawza/ Kituo cha Bilal Muslim kimeandaa hafla maalumu ya kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w.), katika tukio lililolenga kuenzi maisha, ujumbe na mafundisho ya Mtume…
Hawza/ Jumuiya ya Shia Ithnaashariyyah Tanzania (TIC) imeungana na Waislamu wote nchini katika kuadhimisha kwa shangwe na furaha kubwa kumbukumbu ya kuzaliwa Mtukufu wa daraja Mtume Muhammad…
Hawza/ Waumini na wananchi mbalimbali katika Jiji la Kilimanjaro Moshi, walikusanyika katika Msikiti wa Ahlulbayt tarehe 29 Agosti 2026 kwa ajili ya kushiriki hafla maalumu ya kuadhimisha Maulidi…
Hawza/ Hakuna akaunti yoyote au jukwaa lolote la habari linalounga mkono na kuhusishwa na serikali nchini Bahrain ambalo halijachapisha tena habari za kukamatwa kwa mhubiri wa Husaini, “Sheikh…
Hawza/ Ayatullah Sheikh Issa Qasim, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Bahrain, amelaani sera za Marekani na Rais wake, “Donald Trump”, za kuilazimisha dunia kujisalimisha na kuwa mtiifu kikamilifu.
Hawza/ Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), kwa kushirikiana na Hawza ya Imam Swa’diq (as), imeanza kwa hamasa maadhimisho ya Maulidi ya Mtume Mtukufu Muhammad (s.a.w.w.), kupitia hafla maalumu ya…
Hawza/ Katika kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa Mtume Mtukufu, Muhammad (s.a.w.w.) na Imam Jaafar Sadiq (as), na kwa mnasaba wa “Wiki ya Umoja wa Kiislamu,” Taasisi ya “Sadiq al-Amin” nchini…
Hawza/ “Harakati ya Utamaduni wa Kuunga Mkono Muqawama” na “Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon” zimeendesha hafla katika mji wa Baalbek kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya kuzaliwa…
Hawza/ Sheikh Naim Qassem, Katibu Mkuu wa Hizbullah, alisisitiza: Mtume wetu, Mtukufu Muhammad (s.a.w.w.), ni Mtume wa watu walio huru; watu hao walio huru ambao hufungua akili na nyoyo zao zilizo…
Hawza/ Hizbullah imeendesha katika Jengo la Mtukufu Sayyid al-Shuhadaa (as), lililopo katika eneo la Haret Sidon, hafla kwa mnasaba wa Maulid ya Mtume wa Rehema, chini ya kaulimbiu “Umoja wa…