Hawza/ Ayatullah A‘rafi alirejelea uandaaji wa “hati mia (100) za kimkakati za Hawza za kielimu” kama mojawapo ya programu za msingi, na akasema: miaka miwili iliyopita huko Mashhad Iran, katika…
Hawza/ Kundi la wafuasi wa dini mbalimbali na watu huru duniani, katika tamko lao, limetangaza kumuunga mkono Kiongizi Mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Jawadi Amoli wamesema: Imam al-Baqir (a.s.) amesema kuwa usiku wenye fadhila kubwa zaidi baada ya Laylatul Qadr ni usiku wa nusu ya Sha‘ban, usiku ambao Mwenyezi Mungu…
Hawza/ Jamii ya wahamiaji wa Afghanistan wanaoishi katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kupitia tamko rasmi, sambamba na kulaani vikali vitendo na vitisho vya Marekani na utawala muovu wa Kizayuni…
Hawza/ Mwezi huu ni fursa ya kipekee ya kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu, na kughafilika ndani ya mwezi huu husababisha majuto makubwa. Katika Dua za Sha‘ban (Mun'ajat Sha‘baniyya) pia zimeashiriwa…
Hawza/ Msemaji wa harakati ya Hamas, huku akikanusha madai ya utawala wa Kizayuni kuhusu kukiukwa kwa makubaliano ya kusitisha mapigano na harakati hiyo, alisisitiza kuwa madai hayo ni ya uongo…
Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh Hussein Ghabris, katika ujumbe wake uliolenga kudhihirisha mshikamano na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, alisema: Amani iwe juu yenu, enyi taifa la Kiislamu la Iran,…
Hawza/ Mtukufu Ayatullah udhm'a Makarem Shirazi amesisitiza kuwa: fikra ya Mahdawiyya na umuhimu wa haja ya kuwepo Mwokozi, ni mwendelezo wa nafasi ya Uimamu na ulazima wa kuwepo kwake katika…
Hawza/ Maandamano makubwa yalifanyika jijini London kupinga uuzaji wa silaha unofanywa na utawala wa Uingereza kwa Israel, na pia kupinga ukiukaji usio wa kibinadamu wa sitisho la mapigano unaofanywa…
Hawza/ Ayatullah Modarresi, huku akisisitiza kwamba; hawza ya kielimu ni “sehemu hai na yenye mwendo wa uti wa mgongo wa Umma wa Kiislamu”, alibainisha kuwa: utambulisho na uimara wa hawza unatokana…
Hawza/ Katibu wa Baraza Kuu la Hawza za Kielimu, mwanzoni mwa darsa yake ya juu ya fiqhi, alisema: Watu waovu wanaoliita Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi (Sepah) kundi la kigaidi, wao wenyewe ni…
Hawza/ Zaidi ya wahadhiri 850 wa vyuo vikuu nchini Iran, katika tamko lao, wametangaza: Kuunga mkono uongozi huu leo kuwa ni jukumu la kisheria, la lazima na la kihistoria.
Hawza/ Tangia kuanza kwa mauaji ya halaiki yanayofanywa na Israel wamwagaji damu huko Ghaza, maandamano ya wananchi ya kuunga mkono taifa hili linalodhulumiwa yameendelea kote duniani, na waungaji…
Hawza/ Ayatullah A‘raafi, akirejelea nafasi ya msingi ya utafiti katika Hawza za elimu ya dini, alisisitiza kuwa: utafiti unaopaswa kufuatwa ni utafiti wa kistaarabu, wa fikra ya ijtihadi, wenye…
Hawza/ Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qum, kwa kutoa tamko rasmi, imetangaza uungaji mkono wake thabiti kwa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, na kueleza kuwa: hatua isiyo halali na yenye…