Hawza/ Kutokana na mnasaba wa kufariki dunia Sayyid Abdulkarim Nasrallah, baba yake shahidi Sayyid Hassan Nasrallah, Hizbullah imefanya hafla ya kumbukumbu katika Majma‘ Imam Mujtaba (amani iwe…
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Abdulmahdi Karbalai amesisitiza kwamba; Nahju al-Balagha si kitabu cha fasaha na balagha pekee, bali ni ensaiklopidia pana ya maarifa ya Kiislamu na…
Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qum amesisitiza kuwa; Mapinduzi ya Kiislamu yaliundwa juu ya misingi ya Ghadir, Ashura na Subira ya Kungoja (Intidhār), na kwa msingi…
Hawza/ Sheikh Naim Qassem, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, ametangazwa rasmi kuwa “Msaidizi wa Mahdi wa Mwaka wa Haram Tukufu ya Msikiti wa Jamkaran.”
Hawza/ Ayatullah al-Udhma Jawadi Amoli amesisitiza kuwa; matukio kama vile maadhimisho ya kuzaliwa kwa Heri Hadhrat Walii wa Zama (a.j) yanapaswa kuadhimishwa ipasavyo. Alieleza kuwa ni lazima…
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemedi Jalala, ameshiriki katika zoezi la upandishaji wa Bendera ya Imam Mahdi (a.s), lililofanyika katika Shule ya Bilal…
Hawza/ jiji la Berlin, mji mkuu wa Ujerumani, lilishuhudia maandamano ya mamia ya watu waliopinga ukiukwaji unaoendelea wa usitishaji mapigano na utawala wa Kizayuni. Waandamanaji hao pia walitaka…
Hawza/ Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetoa onyo kwamba Ukingo wa Magharibi unashuhudia “vita vya kimya kimya” na kiwango cha vurugu ambacho hakijawahi…
Hawza/ Mwandishi wa Kilebanoni ameandika katika tahariri kwamba, endapo vita kati ya Marekani na Iran vitatokea, kwa mtazamo wa kikanda moto wa vita utaenea kwa kasi; Ghuba ya Uajemi itawekwa…
Hawza/ Hizbullah katika eneo la Biqaa ilimuenzi Mojtaba Amani, Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Lebanon, kwa mnasaba wa kumalizika kwa jukumu lake katika nchi hiyo, katika hafla iliyofanyi…
Hawza/ Ali Zaman, msanii mashuhuri na mtaalamu wa khati (calligraphy) kutoka Iraq, amekamilisha uandishi wa Qur’ani Tukufu kwa mwandiko wa kisanaa (kaligrafia) baada ya miaka sita ya juhudi endelevu.
Hawza/ Ayatullah A‘rafi alirejelea uandaaji wa “hati mia (100) za kimkakati za Hawza za kielimu” kama mojawapo ya programu za msingi, na akasema: miaka miwili iliyopita huko Mashhad Iran, katika…
Hawza/ Kundi la wafuasi wa dini mbalimbali na watu huru duniani, katika tamko lao, limetangaza kumuunga mkono Kiongizi Mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Jawadi Amoli wamesema: Imam al-Baqir (a.s.) amesema kuwa usiku wenye fadhila kubwa zaidi baada ya Laylatul Qadr ni usiku wa nusu ya Sha‘ban, usiku ambao Mwenyezi Mungu…
Hawza/ Jamii ya wahamiaji wa Afghanistan wanaoishi katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kupitia tamko rasmi, sambamba na kulaani vikali vitendo na vitisho vya Marekani na utawala muovu wa Kizayuni…
Hawza/ Mwezi huu ni fursa ya kipekee ya kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu, na kughafilika ndani ya mwezi huu husababisha majuto makubwa. Katika Dua za Sha‘ban (Mun'ajat Sha‘baniyya) pia zimeashiriwa…