Ahadi ya kuja kwa mkombozi inaweza kuonekana katika mafundisho ya dini zote, tofauti ni kwamba kwa mujibu wa imani ya Mashia, mkombozi wa ulimwengu wa wanadamu sasa hivi anaishi miongoni mwa…
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Jawadi Amuli amesema: "Isti‘ādha ya kweli ni hii: kwamba baada ya wasiwasi wa Shetani, roho zetu zielekee kwa Mwenyezi Mungu; kama ambavyo wakati wametangaza hatari na…
Ayatollah al-Jawahiri amesisitiza “nafasi isiyo na mfano ya maulamaa katika kuilinda Umma”, ameuita ushindi wa Gaza kuwa hauepukiki, na aina yoyote ya kujisalimisha mbele ya adui ni khiyana kwa…
Katika muktadha wa kuimarisha nafasi ya hawza na kuchunguza mbinu za kuinua nafasi ya maulamaa katika jamii, mkutano kwa anuani ya “Hawza Yetu Lucknow na Majukumu Yetu” umefanyika katika mji…
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Ahmad Iqbal Rizvi, katika hotuba yake aliyoitoa kwa kuashiria kuzingirwa miezi minane watu wa Parachinar, aliikosoa vikali serikali na taasisi husika kutokana…
Mwakilishi wa Harakati ya Jihad ya Kiislamu ya Palestina alisema: “Kwa kipindi cha miezi 18 tumeshuhudia dhulma, mauaji ya halaiki, mauaji ya watoto, njaa na kiu huko Gaza. Kwa siku 44 hakuna…
Baadhi ya wajumbe wa Baraza la Mawaziri, wabunge wa Bunge la Kiislamu, viongozi waandamizi wa taasisi ya mahakama, na maafisa wa baadhi ya taasisi, leo mchana walikutana na Kiongozi wa Mapinduzi…
Miongoni mwa hadithi nyingi zenye mwangaza na simulizi za kielimu, kuna hadithi ya kuvutia kuhusu kuchaguliwa kwa Nabii Adam (a.s) ambayo inaangazia umuhimu wa akili katika maisha ya mwanadamu.…
Hawza/ Katika historia ya uumbaji, husuda imekuwa ni miongoni mwa dhambi mbili kubwa: dhambi ya kwanza ni ile ya Shetani alipokataa kumsujudia Adam (a.s), na kisha dhambi ya duniani, baada ya…
Sheikh Ghazi Hanina, akieleza nafasi ya kihistoria na kidini ya Muqawama wa Kiislamu, alisisitiza kuwa: Nguvu yote ya Waislamu katika historia, hasa katika kukabiliana na wakoloni na dhulma,…
Muadilifu zaidi miongoni mwa watu ni mwenye kuwapendelea watu yale anayoyapenda kwa ajili ya nafsi yake, na mwenye kuchukia (yasiwafike) watu yale anayochukia kwa ajili ya nafsi yake.
"Hawza", kufuatia kuongezeka kwa mgogoro wa kibinadamu huko Gaza na kuendelea kwa jinai zinazo fanywa na utawala wa Kizayuni, Hafidh Naeem-ur-Rehman, kupitia barua alizowatumia viongozi wa nchi…