Hawza/ Ayatullah Sayyid Yasin Al-Mousawi, Imam wa Ijumaa wa Baghdad, amekosoa sera za kiuchumi na utendaji wa kisiasa wa baadhi ya viongozi, huku akisisitiza umuhimu wa kuundwa serikali ya wananchi,…
Hawza/ Imam Musa Al-Kadhim (as), katika riwaya, anaeleza kuhusu kutotosheka mwanadamu katika kuifuata dunia, pamoja na umuhimu wa kujiepusha na kushikamana nayo kupita kiasi.
Hawzah/ Tarehe 05 Septemba 2026, Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, amefanya ziyara maalumu kwa Mlezi wa Jumuiya ya Shia TIC Mwanza na Mwenyekiti…
Hawza/ Maonesho ya sanaa ya Shahid Salim yanaonesha mapazia yenye rangi mbalimbali yanayoakisi nyakati muhimu za kihistoria kwa Waislamu wa Uingereza na Ulaya.
Hawza/ Naibu Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kiislamu la Afrika Kusini, huku akisisitiza kwamba Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yalikuwa chanzo cha hamasa kwa harakati za kupigania uhuru nchini…
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amesema kuwa Hawza zinapaswa kutekeleza ipasavyo jukumu lake la kihistoria kwa kutambua kwa usahihi mazingira ya zama, mahitaji ya jamii na mabadiliko…
Hawza/ Jiji takatifu la Ka'dhimain Iraq, limeshuhudia hafla ya uzinduzi wa “Hawza ya Ayatullah Sheikh Muhammad Hussein Ka'dhimi” kwa ajili ya masomo ya elimu za Hawza, iliyofanyika jirani na…
Hawza/ Imam Jaafar Swa'diq (as) katika riwaya moja ameashiria fadhila na malipo makubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu kumuelekea mja wake ambae anafanya amali ndogo kwa ikhlasi.
Hawza/ Tarehe 04 Septemba 2026, Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, amehudhuria hafla ya Maulidi iliyofanyika jijini Mwanza, katika mwendelezo…
Hawza/ Ayatullah Hafiz Riyadh Hussein Najafi, Mkuu wa Shirikisho la Madrasa za Kishia Pakistan (Wifaq al-Madaris al-Shia Pakistan), amesisitiza kwamba Marjaiya, maombolezo ya Ashura na Wilaya…
Hawza/ Kwa kutolewa kwa amri mpya ya Mfalme wa Bahrain, kwa mara nyingine tena kivuli cha sera za kipolisi kimezidi kutanda katika muundo wa kiutawala wa nchi hiyo. Jumuiya ya Al-Wifaq katika…
Hawza/ Shirika la “Scholars at Risk” (Wasomi Walio Hatarini) limewataka viongozi wa Bahrain kumwachilia mara moja na bila masharti mwanataaluma aliyefungwa, Dkt. Abduljalil al-Singace.
Hawza/ Shirika la “Salaam” la Demokrasia na Haki za Binadamu limewasilisha malalamiko kwa Kamati ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa, likieleza kuwa Serekali ya Bahrain kwa sasa imekuwa ikikeuka…
Hawza/ Sheikh Ali Al-Khatib, Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Kishia, amekutana na Viongozi kadhaa wa Iraq ili kuwafahamisha kuhusu maendeleo ya hali nchini Lebanon.
Hawza/ Ayatullah Sheikh Muhammad Swa'diq Muhammad Karbasi, mwandishi wa “Ensaiklopidia ya Imam Hussein” na Mkuu wa “Kituo cha Tafiti za Imam Hussein” mjini London, amewasili katika nchi za Amerika…
Hawza/ Ayatullah Khatami amesema: Shinikizo la kiuchumi na kuzingirwa kiuchumi vinafuatwa kwa lengo la kujenga pengo kati ya wananchi na mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu na kudhoofisha kambi ya haki,…