Hawzah/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, siku ya jana amefanya ziara ya Zanzibar kuelekea Kizimkazi kwa lengo la kutoa mkono wa pole kwa…
Hawzah/ Kufuatia kuongezeka kwa shughuli za watu wenye misimamo mikali nchini Sweden, ambao wanauwasilisha Uislamu kuwa ni kinyume na maadili ya kijamii, Waislamu wa Sweden wameanza kuielewesha…
Hawzah/ Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Maulamaa wa Indonesia huko Java ya Kati, Profesa Dkt. Haj Abu Hafsin, mwenye shahada ya Uzamili na Udaktari wa Falsafa, amesisitiza kuwa; umoja baina ya…
Hawzah/ Sheikh Muhammad Jawad Hafizi, amesisitiza umuhimu wa kulinda umoja wa Umma wa Kiislamu, akisema: Waislamu wanapaswa, kwa kuwa na tahadhari na uelewa mpana, kujiepusha na kuchochea mifarakano…
Hawzah/ Ayatullah Sayyid Ahmad Alam al-Huda, huku akisisitiza kwamba muqawama wa wananchi wa Iran dhidi ya mashambulizi ya adui hauna muda maalumu, amesema kuwa wapiganaji wa Iran, kwa kutegemea…
Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Abutorabi Fard amesisitiza: “Taifa lenye nguvu la Iran, mataifa ya eneo na Mhimili wa Muqawama wameuona uwezo na nguvu zao katika mashambulizi ya kijeshi ya…
Hawzah/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qom amesema kuwa; baadhi ya watu ndani ya nchi walikuwa na matumaini kwamba iwapo wangefanya mazungumzo na Marekani wangefikia matokeo fulani, lakini Marekani…
Hawzah/ Vikosi vya Mapinduzi ya Bahrain, katika taarifa ya pamoja, vimelaani mashauri yasiyo ya haki dhidi ya maulama wakuu wa dini pamoja na tuhuma za kubuniwa zinazowakabili.
Hawzah/ Jumuiya ya Kitaifa ya Kiislamu ya Al-Wefaq ya Bahrain imelaani uamuzi wa Wizara ya Sheria unaohusiana na kupanga upya vibali vya kutoa mawaidha, kuongoza dini, kutoa hotuba na kusoma…
Hawzah/ Maulama wa dini na viongozi wa Mapinduzi ya Kitaifa ya Bahrain wamesisitiza kwamba: Maulama wenye heshima na waumini nchini Bahrain hawajafanya kosa lolote, isipokuwa kusema: “Mola wetu…
Hawzah/ Muungano wa Mapinduzi ya Februari 14 wa Bahrain umetangaza katika taarifa yake kwamba: Wananchi wa Bahrain hawatakubali mpango wa mauaji ya kimbari na kuhalalisha uhusiano na Israel,…
Hawzah/ Kituo cha Haki za Binadamu Bahrain kimezitaka mamlaka kuchukua hatua za haraka za kuacha “kuwateka na kuwatesa watu” na kuwafikisha mbele ya sheria wale wanaohusika na uhalifu wa mateso.
Hawzah/ Mratibu Mkuu wa “Jabhatu al-‘Amal al-Islami nchini Lebanon”, amesema: Migogoro ambayo dunia inashuhudia leo haiishii tu katika nyanja za kisiasa, kiuchumi na kiusalama, bali kabla ya…