Hawza/ Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), kwa kushirikiana na Hawza ya Imam Swa’diq (as), imeanza kwa hamasa maadhimisho ya Maulidi ya Mtume Mtukufu Muhammad (s.a.w.w.), kupitia hafla maalumu ya…
Hawza/ Katika kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa Mtume Mtukufu, Muhammad (s.a.w.w.) na Imam Jaafar Sadiq (as), na kwa mnasaba wa “Wiki ya Umoja wa Kiislamu,” Taasisi ya “Sadiq al-Amin” nchini…
Hawza/ “Harakati ya Utamaduni wa Kuunga Mkono Muqawama” na “Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon” zimeendesha hafla katika mji wa Baalbek kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya kuzaliwa…
Hawza/ Sheikh Naim Qassem, Katibu Mkuu wa Hizbullah, alisisitiza: Mtume wetu, Mtukufu Muhammad (s.a.w.w.), ni Mtume wa watu walio huru; watu hao walio huru ambao hufungua akili na nyoyo zao zilizo…
Hawza/ Hizbullah imeendesha katika Jengo la Mtukufu Sayyid al-Shuhadaa (as), lililopo katika eneo la Haret Sidon, hafla kwa mnasaba wa Maulid ya Mtume wa Rehema, chini ya kaulimbiu “Umoja wa…
Hawza/ “Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu ya Lebanon” imeadhimisha kumbukumbu ya kwanza ya kuuwawa Hujaatul-Islam Sayyid Abbas Ali al-Mousawi kwa kuendesha kikao kilikuwa na anuani “Mtazamo wa…
Hawza/ Ayatullah Sayyid Mujtaba Husaini Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika ujumbe wake kufuatia mnasaba wa Wiki ya Umoja, ametoa pongezi kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuzaliwa…
Hawzah/ Ahmad al-Khatib amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaendelea kwa misingi ya dhana za nguvu, uwezo na kumtegemea Mwenyezi Mungu Mtukufu; iwe katika kuendelea kujenga nguvu za kijeshi,…
Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanji amesema: Tunakaribisha njia ya amani katika kushughulikia suala la ukiritimba wa silaha, na suala hili linapaswa kutatuliwa kwa moyo…
Ayatullah Alireza Arafi amesisitiza kwamba, kwa mtazamo wa mfumo wa fikra wa Mapinduzi ya Kiislamu na fikra za Imam Khomeini, Imam aliyeondoka na Imam Shahidi, umoja wa Kiislamu haumaanishi kukataa…
Hawza/ Jumuiya ya Afrika Mashariki iliyopo katika mji mtakatifu wa Qum, nchini Iran, imefanya hafla maalumu ya kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa Mtume Muhammad (s.a.w.w.), ikiwa ni tukio lililowakuta…
Hawzah/ Ayatullah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa Wiki ya Serikali, huku akitoa shukrani kwa hatua zinazostahili…
Hawza/ Ofisi ya Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), jana ilipokea ugeni wa Hujjatul-Islam Mahdayi-Pour kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran,…
Hawza/ Kituo cha Noor Dar es Salaam nchini Tanzania kimeendesha kikao maalumu cha kielimu na kiroho kilicholenga kuwakumbusha waumini nafasi na umuhimu wa ujumbe wa Mtume Muhammad (s.a.w.w.)…
Hawzah/ Sheikh Mu’min Al-Rifa‘i, mwanazuoni wa Kisunni na mshauri wa masuala ya uhusiano wa kidiplomasia nchini Lebanon, amesisitiza kwamba; “Wiki ya Umoja wa Kiislamu,” ambayo inaambatana na…
Hawzah/ Hujaatul-Islam Sayyid Ali Fahs, akichambua uzoefu wa Umoja wa Kiislamu, alisema: “Wazo lililoasisiwa na Imam Khomeini (q.s.) halikuwa wito wa kinadharia tu wa kuwaleta Waislamu karibu…