Hawza/ Ofisi ya Baraza Kuu la Wakfu na Uongozi wa Kidini nchini Yemen imeandaa mkutano uliowahusisha wanazuoni, makhatibu na wahubiri kwa ajili ya kuadhimisha Maulid ya Mtume Muhammad (saww)…
Hawza/ Imam wa Ijumaa wa Msikiti wa Lansing Mashariki katika jimbo la Michigan nchini Marekani amewataka Waislamu, kwa kuzingatia hali ya propaganda za chuki dhidi ya Uislamu katika eneo hilo…
Hawza/ Jumuiya ya Kitaifa ya Kiislamu ya Al-Wifaq ya Bahrain imetaka kupitiwa makubaliano ya kijeshi na kiusalama kati ya Ufalme wa Bahrain na madola ya kigeni, pamoja na kufanyika mageuzi ya…
Hawza/ Mamluki na wanamgambo wanaohusishwa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Bahrain, kwa kuweka mzingiro mkali wa kiusalama, wamezuia kufanyika kwa Swala ya Ijumaa kwa Mashia wa Bahrain kwa wiki…
Hawza/ Taasisi ya Italia ya Uchambuzi wa Mahusiano ya Kimataifa imesema: Bahrain huenda ikaelekea kupitisha sera yenye mtazamo wa kutokuwa na upande zaidi kuielekea Iran, katika jitihada za kuendana…
Hawza/ Mamlaka za usalama za Bahrain katika wiki za hivi karibuni zimekamata makumi ya raia wa Kishia, wakiwemo baadhi ya wanazuoni na waombolezaji wa kidini.
Hawza/ Muungano wa “Wanazuoni wa Kiislamu” wa Lebanon umesema: Katika hali ya kuendelea mfululizo wa mashambulizi ya adui wa Kizayuni kupitia mashambulizi ya mizinga na ya anga dhidi ya Lebanon,…
Hawza/ Imam wa Ijumaa wa Baghdad, Ayatullah Sayyid Yasin Mousavi, akisisitiza kwamba; “silaha ya Serikali” ni kila silaha inayoilinda Iraq, ameitaja kuwa haikubaliki Marekani kuingilia katika…
Hawza/ Katibu Mkuu wa Hizbullah, Sheikh Naim Qassem, katika maadhimisho ya miaka 20 ya ushindi katika Vita vya Siku 33, huku akisisitiza kwamba Muqawama una uwezo wa kubadilisha mlingano wa nguvu,…
Maadhimisho ya siku ya arubaini tangia kuzikwa Kiongozi Shahidi, Ayatullah al-Udhma Imam Sayyid Ali Husseini Khamenei, yanafanyika kwa amri ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi katika miji ya Tehran,…
Hawza/ Taasisi ya Bilal Muslim imeandaa semina maalumu ya siku tano yenye lengo la kuimarisha uwezo, maarifa na ujuzi wa wahubiri wa dini ya Kiislamu, hususan walimu na wasimamizi wa vituo vya…
Hawza/ Mkuu wa Hawza nchini Iran, akisisitiza kwamba; Maimamu wawili wa Mapinduzi walitoa tafsiri hai, yenye kuleta uhai na kuchochea harakati kuhusu Uislamu, amesema kuwa Mpango wa Mfumo Kamili…
Hawza/ Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Qom alisema: Neno la Imam Khomeini la kuhamasisha mapambano dhidi ya dhuluma na ubeberu lilitoka Qom na lilitikisa majumba ya mabeberu, Sasa Ulaya, Marekani…
Hawza/ Waumini wa jijini Dar es Salaam jana tareh 28 Swafar 1448, walikusanyika katika Msikiti wa Ghadiir uliopo Kigogo Post jijini humo, ili kushiriki katika maadhimisho ya Majlisi ya kumbukizi…
Hawza/ Katika hali ya huzuni na majonzi makubwa, waumini wa Kishia jijini Tanga wamefanya matembezi ya amani kwa ajili ya kuadhimisha kumbukizi ya kifo cha Mtume Muhammad (saww), huku wakionesha…
Hawza/ Waumini Kishia wa Zanzibar siku ya jana wamejitokeza kwa wingi katika matembezi makubwa ya kuadhimisha kumbukizi ya kifo cha Mtume Muhammad (saww), huku wakihuisha kumbukumbu ya mmoja…