Hawza/ Jalada la Jeffrey Epstein haliwezi kupunguzwa na kuwekewa mipaka ya kashfa ya kimaadili au upotovu wa mtu binafsi, kwa sababu jalada hili kwa hakika ni miongoni mwa mifano iliyo wazi zaidi…
Hawza/ Mwanzoni mwa Surat Al-Baqarah zimeelezwa sifa za wachamungu (muttaqīn), makafiri na wanafiki. Mwenyezi Mungu anawataja wanafiki kuwa ni wabaya zaidi kuliko makafiri; yule anayeiuza nchi…
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Nouri Hamedani, akisisitiza umuhimu wa kuimarisha uhusiano kati ya wafuasi wa dini mbalimbali na kutumia fursa za pamoja katika kujenga na kuimarisha hari ya kiroho katika…
Hawza/ Chapisho la Uongozi wa wanazuoni ni ramani ya njia ya Hawza inayolingana na Mapinduzi ya Kiislamu; Hawza ambayo haiangukii katika ukakasi na mgando wa fikra (tahajjur), wala haitegwi na…
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanji alisema: Kwa vyovyote vile si kwa manufaa ya yeyote yule kwamba eneo liwake moto wa vita. Dunia haipaswi kusahau mkono wa ghaibu ulioisaidia…
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon umetangaza kuwa; siku hizi zinalingana na kumbukumbu ya mwaka wa kuuawa kishahidi makamanda mashahidi, Sayyid Abbas Mousawi, Sheikh Ragheb…
Hawza/ Hezbullah imefanya hafla ya kumbukumbu ya makamanda mashahidi (Sayyid Abbas Mousawi, Sheikh Ragheb Harb na Hajj Imad Mughniyeh) katika Raudha ya Sheikh wa mashahidi katika mji wa Jabshit.
Hawza/ Syed Kalbe Jawad Naqvi, Katibu Mkuu wa Majlis Ulama-e-Hind, katika hotuba yake huku alizungumzia tukio la kuvunjiwa heshima Husseiniya moja wakati wa operesheni ya vikosi vya polisi mjini…
Hawza/ Akizungumzia umuhimu wa nafasi ya Qum katika historia ya elimu na dini, alisema kuwa Qom tangu zamani imejulikana kama kituo cha kielimu na kidini. Mji huu kwa zaidi ya miaka 1200 umekuwa…
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom alisema: Leo vita vya kiutambuzi na kimtazamo vimetawala akili na dhamiri ya Iran, Uislamu na mhimili wa Muqawama. Ikiwa mtu ataingia katika vita hivi na akafanya…
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanchi, katika kongamano la walinganiaji, alisisitiza kuwa: Tunahitaji kuhuisha zana zetu za tablighi. Mwanazuoni wa dini anapaswa kuwa na…
Hawza/ Zaidi ya nchi 80 pamoja na mashirika kadhaa ya kimataifa yamelaani uamuzi wa Israel wa kupanua makazi ya walowezi katika Ukingo wa Magharibi na kuutaja kuwa ni ukiukaji wa wazi wa haki…
Hawza/ Hujjatul-Islam Sheikh Ali Al-Khatib amesema: Tunawapongeza wananchi wote wa Lebanon na Waislamu wote kwa mnasaba wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, na tunamuomba Mwenyezi Mungu Atuwekee heshima…
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Sajid Ali Naqvi amesisitiza katika ujumbe wake kwamba; kwa kuendelea kutawala mifumo dhalimu ya kiuchumi na kisiasa, haiwezekani kufanikisha haki ya kijamii. Ameongeza…
Hawza/ Luninga kubwa na maarufu zaidi ya matangazo ya kidijitali barani Ulaya imewashwa na kupambwa kwa taa maalum ili kuadhimisha kuanza kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Hawza/ Ayatollah Ashrafi Shahroudi, akirejea nafasi ya kipekee ya uongozi katika kulinda mfumo wa Kiislamu, alisisitiza kuwa, maadui daima wamekuwa wakijaribu kuuangamiza utawala wa kidini, lakini…