Hawza/ Viongozi wa Waislamu wameeleza hasira na masikitiko yao kufuatia kitendo cha polisi wa Sydney kudharau swala ya jamaa ya Waislamu, wakati waandamanaji walipokuwa wakiswali baada ya kuandamana…
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amejibu istifta (swali la kisheria) kuhusiana na mwenye “kusahau nia ya kufunga.”
Hawza/ “Widad al-Barghouthi”, mwandishi wa Kipalestina, aliandika katika makala yake: Maelfu ya wafungwa waliokuwa wakisubiri kuachiwa huru kupitia makubaliano ya kubadilishana wafungwa, pamoja…
Hawza/ Hasan Fadlallah, mwakilishi wa kambi ya “Uaminifu kwa Muqawama”, alionya kuhusu juhudi za adui kuwarudisha walowezi wake katika maeneo ya mipakani.
Hawza/ Idara ya miradi ya maendeleo ya Ataba Tukufu ya Husseini imetangaza sifa za mradi wa uwanja wa Sahn Rasul A’dham (Swalla-Llahu alayhi wa Aalihi wa sallam).
Ayatullah A’rafi alisema katika hafla ya uzinduzi wa bidhaa mahiri na zenye msingi wa elimu katika taaluma za Kiislamu: Moja ya maeneo muhimu yanayohitaji kupewa kipaumbele maalumu ni mabadiliko…
Hawza/ Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Hawza, Idara ya Kimataifa ya Hawza nchini Iran, imeanza kuchukua hatua za kivitendo kwa ajili ya kutekeleza miundombinu ya “Mpango wa Pili…
Hawza/ Wizara ya Masuala ya Kidini nchini Brunei, kwa ushirikiano na Shirika la Tablighi ya Kiislamu, imeanzisha warsha ya Qur’ani inazoitwa “Taranum” kwa lengo la kuwafundisha washiriki wa mashindano…
Hawza/ Kikao hicho cha Qur’ani katika ngazi ya serikali kiliandaliwa na Waziri Hajiji Noor na kilipokelewa kwa mwitikio mkubwa kutoka kwa wananchi wa Malaysia. Waziri huyo alieleza kuwa, hatua…
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Safi Haider Zaidi, Katibu Mkuu wa Tanzim al-Makatib Lucknow, katika taarifa rasmi amelaani kuchomwa moto kwa Husseiniya katika mji wa Farrukhabad, India,…
Hawza/ Maandamano makubwa ya kumuunga mkono Ayatollah Sayyid Ali Khamenei na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran pamoja na kulaani vikali tukio la Msikiti wa Khadijah al-Kubra mjini Islamabad, yalifanyika…
Hawza/ Licha ya kuwepo kwa usitishaji vita dhaifu katika Ukanda wa Ghaza, mashambulizi ya Israel dhidi ya raia wasio na ulinzi yanaendelea, na Wapalestina wa Ukingo wa Magharibi na Quds inayokaliwa…
Hawza/ Uongozi wa Harakati ya Amal katika eneo la Jabal Amel na Hezbollah katika eneo hilo walifanya mkutano wao wa mara kwa mara katika makao ya kieneo mjini Tyre.
Hawza/ “Jumuiya ya Vituo vya Utamaduni vya Imam Ruhollah Khomeini nchini Lebanon” kutokana na mnasaba wa maadhimisho ya miaka 47 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na katika mfumo wa…
Hawza/ Haram tukufu ya Imam Ali (a.s.) imekuwa mwenyeji wa maonyesho ya kimataifa ya sanaa za taswira yaliyochochewa na falsafa ya kusubiri faraja ya Imam wa zama katika fikra ya Kiislamu.