Hawza/ Ali Fayyadh amesisitiza kuwa; baada ya kumalizika kwa duru ya mazungumzo mjini Roma kati ya ujumbe wa Lebanon na adui Israel, misimamo rasmi ya serikali ya Lebanon imefichuka zaidi kuliko…
Hawza/ Taarifa zilizopokelewa zinaonesha kuwa "Rais wa Syria", Muhammad Al-Jolani (Ahmad Al-Sharaa), katika siku za hivi karibuni alipokea "ushauri" kutoka kwa serikali ya Iraq ukimtaka kutojiingiza…
Hawza/ Kutoka katika dhana ya "Shahidi" hadi "Mwenye kuuawa (Qatīl)"; Ayatullah Jawa'di Amuli, kupitia ufafanuzi wa matini ya Swala ya maiti iliyoswaliwa kwa ajili ya Kiongozi Shahidi, ameeleza…
Hawza/ Waziri Mkuu wa Malaysia ametangaza kwamba endapo raia wa Israel watabainika kuwepo nchini humo, watafukuzwa mara moja, kwa kuwa Malaysia haiutambui rasmi utawala wa Israel.
Hawza/ Hujjatul Islam wal Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanchi amesema: "Tunaitaka Serikali ya eneo la Kurdistan isiruhusu makundi ya wapinzani wa mapinduzi kufanya uvamizi na mashambulizi dhidi…
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe wa kulishukuru taifa la Iraq kwa heshima ya tukio kubwa la mazishi ya Imam Muja'hid Shahidi.
Hawza/ Mwenyekiti wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom amesema: "Baadhi ya hatua na propaganda zinazoenezwa hazitokani na huruma kwa wananchi, bali zinalenga kuzusha mifarakano, kuigawa jamii…
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: "Uvunjaji wa makubaliano kwa mara nyingine umethibitisha kutokuwa na thamani na kutokuwa na uhalali wa saini ya Rais wa Marekani."
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Mir Hussein Ziai amesema kuwa; kuwaamini madhalimu kunapingana na mafundisho ya Uislamu, ameitaja Marekani kuwa ndiyo chanzo cha utawala wa mabavu na uporaji…
Hawza/ Marufuku na waraka mbalimbali zinazotolewa na Idara ya Wakfu wa Ja'fari nchini Bahrain hazimdanganyi tena hata Muislamu mmoja wa Kishia wa nchi hiyo.
Hawza/ Jumuiya ya Al-Wefaq Al-Watani Al-Islamiyyah imefichua kuwa imepata "taarifa hatari na sahihi" kuhusu mazingira ya kuwazuia wanazuoni wa Kishia nchini Bahrain.
Hawza/ Ali Al-Emad amesisitiza kuwa; mapambano ya kuvunja mzingiro dhidi ya Yemen ni wajibu wa kitaifa na jukumu lisiloweza kuachwa, wala si hatua ya kisiasa au chombo cha shinikizo la kijeshi.
Hawza/ Imamu wa Swala ya Ijumaa wa mji wa Qum amesema: Baadhi wanapaswa kujinasua kutoka katika dhana potofu ya kushikamana na mazungumzo yasiyo na manufaa na yenye madhara, kwa kuwa kufanya…
Hawza/ Mmoja wa viongozi wa Harakati ya Kusini mwa Yemen (Al-Harak al-Janubi) amelaani shambulio la Saudi Arabia dhidi ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sana'a, akilitaja kuwa ni uhalifu kamili…