Hawza/ Daima wamekuwepo watu walioainisha wakati wa kudhihiri kwa kutumia nia za kishetani, na watu wa aina hiyo wataendelea kuwepo hata katika siku zijazo. Hivyo basi, viongozi maasumu (as)…
Hawza | Mtu ambaye haoni thamani yoyote ya kidunia kwa ajili ya nafsi yake, hufikia daraja ya utukufu wa nafsi kiasi kwamba hawezi kufikiwa kirahisi. Heshima ya nafsi si kiburi wala si udhalili,…
Muadilifu zaidi miongoni mwa watu ni mwenye kuwapendelea watu yale anayoyapenda kwa ajili ya nafsi yake, na mwenye kuchukia (yasiwafike) watu yale anayochukia kwa ajili ya nafsi yake.
Hawza/ Mkutano wa thelathini na nne wa nchi kuu za Kiarabu ulianza rasmi siku ya Jumamosi huku nchi ya Iraq wakiwa ndio wenyeji wa mkutano huo, mkutano huo ulikuwa na kaulimbiu isemayo: “Majadiliano,…
Hawza/ Katika kumbukumbu ya siku ya kukaliwa kimabavu kwa mji mtakatifu wa Quds, Seneta Raja Nasir Abbas Jafari, katika tamko alilolitoa, amelaani jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni na…
Hawza/ Sheikh Sayyid Ibrahim Zakzaky amekutana na baadhi ya watu waliokuwa wamefungwa kwa muda wa miaka sita lakini hatimaye wameachiwa huru baada ya kufutiwa mashtaka.
Hawza/ Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewasisitiza Waislamu, wahisani na wafadhili kuelekeza nguvu zao katika kuziimarisha Madrassa pamoja…
Amejidharau mwenyewe yule mwenye kuwa na tamaa, na atakuwa ameridhika na udhalili mwenye kufichua matatizo yake, na ambaye anauacha ulimi wake kuitawala roho yake ameishusha hadhi nafsi yake.
Hawza/ Kwa kuwa alama na ishara za kudhihiri Imamu Mahdi (a.s.) ni bishara ya faraja ya Mahdi ahli wa Mtume Muhammad (s.a.w), kutokea kwa kila mojawapo kati ya alama hizo huifanya nuru ya matumaini…
Hawza/ Mgogoro wa Ghaza ni janga la kibinadamu ambalo athari zake mbaya zinawakumba watu wa tabaka lote, lakini mzigo mkubwa zaidi unabebwa na watoto. Mzigo huu unavunja mifupa yao, kwa hakika,…
Hawza/ Aqil Reza Turabi, mwanafikra wa Kihindi, katika tamko lake ameielezea Hawza ya Elimu ya Qom kuwa ni mfano wa mapinduzi hai, yenye mwanga, kiroho na kiakili.
Uongozi wa hawza, sambamba na kulaani upuuzi wa Rais mwenye dhalili wa Marekani — ambao umetolewa kwa nia ya kuiunga mkono serikali ya Kizayuni na kuchochea mifarakano baina ya nchi za Kiislamu…
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake kwenye mnasaba wa Siku ya Nakba (15 Mei), amelieleza utawala wa Kizayuni kuwa ni utawala wa kunyang’anya kwa nguvu…