Hawza/ Hujatul-Islam wal-Muslimin Muhsen Qara’ati amesema kuwa “taffaquh katika dini na uhubiri” ni majukumu mawili makuu ya wanafunzi na wanazuoni wa Hawzah, akisisitiza kwamba lengo la Hawza…
Hawza/ Waislamu ni nguvu inayochipuka mjini New York, na Palestina ina umuhimu mkubwa kwao; jambo ambalo linachukuliwa kuwa kengele ya tahadhari kwa matajiri na Wazayuni.
Hawza/ Hatua ya mpinzani wa dini katika mitandao ya kijamii katika jiji la Reggio Emilia nchini Italia ya kuirarua na kisha kuichoma nakala ya Qur’ani Tukufu imekabiliwa na radi amali ya kisiasa…
Hawza/ Hujatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sa'jid Ali Naqvi, katika ujumbe wake wa kuikosoa jumuiya ya kimataifa kwa kunyamazia jinai za utawala wa Kizayuni huko Ghaza, amesisitiza kwamba: Siku…
Hawza/ Muhammad Al-Farah, mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Ansarullah, amesema kuwa; wananchi wa Yemen hawakuchagua vita wala hawakuvifuata, bali walilazimishwa kuingia katika vita hivyo kutokana…
Hawza/ Uongozi wa Husseiniya nchini Bahrain umelaani hatua iliyotolewa na taasisi rasmi inayowataka makhatibu, waimbaji na waombolezaji kupata vibali vya awali kabla ya kushiriki katika shughuli…
Hawza/ Chuo Kikuu cha Marekani cha New York, katika tawi lake la kampasi ya Lebanon, hivi karibuni kimewapiga marufuku wanafunzi wake wakiislamu kuswali.
Hawza/ Tawi la Al-Mustafa nchini Iraq limendaa kwa wanafunzi vijana wa masomo ya Hawzah mashindano ya utafiti wa kielimu kwa vijana, yenye kaulimbiu isemayo “Shahidi Sayyid Ali Khamenei.”
Hawzah/ Mkuu wa Ujumbe wa Kitaifa wa Mazungumzo wa Yemen amesema: “Sana’a inawakaribisha wananchi wote, na milango yake iko wazi kwa watu wote ili warejee.”
Hawzah/ Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Wahamiaji wa Yemen amesisitiza msimamo thabiti wa Yemen katika juhudi za kufikia amani ya haki na kukomesha uvamizi pamoja na mzingiro uliowekwa dhidi…
Hawzah/ Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, amesisitiza umuhimu wa umoja miongoni mwa Waislamu na kurejea katika mafundisho halisi ya Uislamu, akisema: “Maadui…
Hawzah/ Chama cha Ustawi wa Taifa Afghanistan, kimekemea vikali kuvamiwa Hawzah ya Khatam al-Nabiyyin (saww) mjini Kabul na kundi la Taliban, huku kikitaja hatua hiyo kuwa ni dharau kwa wananchi…
Hawzah/ Mjumbe wa Kamati ya Kitaifa ya Masuala ya Wafungwa wa Yemen amesisitiza kwamba Vikosi vya Wanajeshi vya Yemen vimefanikiwa kuwaachilia huru baadhi ya wafungwa wa Yemen ambao walikuwa…