Hawzah/ Ayatullah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa Wiki ya Serikali, huku akitoa shukrani kwa hatua zinazostahili…
Hawza/ Ofisi ya Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), jana ilipokea ugeni wa Ayatullah Mahdayi-Pour kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika…
Hawza/ Kituo cha Noor Dar es Salaam nchini Tanzania kimeendesha kikao maalumu cha kielimu na kiroho kilicholenga kuwakumbusha waumini nafasi na umuhimu wa ujumbe wa Mtume Muhammad (s.a.w.w.)…
Hawzah/ Sheikh Mu’min Al-Rifa‘i, mwanazuoni wa Kisunni na mshauri wa masuala ya uhusiano wa kidiplomasia nchini Lebanon, amesisitiza kwamba; “Wiki ya Umoja wa Kiislamu,” ambayo inaambatana na…
Hawzah/ Hujaatul-Islam Sayyid Ali Fahs, akichambua uzoefu wa Umoja wa Kiislamu, alisema: “Wazo lililoasisiwa na Imam Khomeini (q.s.) halikuwa wito wa kinadharia tu wa kuwaleta Waislamu karibu…
Hawzah/ Hujaatul-Islam Sayyid Ali Fadhlullah, kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya kuzaliwa Mtume Mtukufu Muhammad (s.a.w.w.), amewasilisha pongezi na salamu zake za heri, hususan kwa Waislamu.
Hawzah/ Kwa mtazamo wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi, maisha ya Mtume Mtukufu (s.a.w.w) yamejaa mafundisho makubwa ya kibinadamu na kimaadili ambayo yanatosha kwa ajili ya ulimwengu wetu. Kusimama,…
Hawzah/ Umoja na mshikamano wa Umma wa Kiislamu, ambao unapita zaidi ya masuala ya kikabila, rangi na hata tofauti za kimadhehebu, ni ulazima wa kidini na kiakili; kwani Uislamu mtukufu hauruhusu…
Hawzah/ Ayatullah Al-Udhma Nouri Hamedani, huku akisisitiza kwamba kila aina ya uhusiano na utawala wa Israel na msaada wa kuuwezesha kuendelea kuwepo bila shaka unapingana na maslahi ya Umma…
Katika kikao cha waandishi wa habari cha kutambulisha “Mkusanyiko wa Mada za Utafiti za Elimu na Maarifa ya Mtume (s.a.w.w)”, ilibainishwa kuwa baada ya miaka kadhaa ya utafiti, uchunguzi na…
Hawzah/ Baraza la Maulidi limefanyika leo Jumanne likiongozwa na Mufti wa Tanzania, huku likiwakutanisha Masheikh na viongozi mbalimbali wa dini katika hafla iliyolenga kuadhimisha mazazi ya…
Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, ameongoza zoezi la upandishaji wa Bendera ya Bwana Mtume Muhammad (s.a.w.w), katika hafla iliyofanyika…
Hawzah/ Sherehe za Maulidi ya Kitaifa zimefanyika usiku wa jumanne katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, zikiwa zimewakutanisha viongozi wa dini, viongozi mbalimbali wa serikali,…
Hawzah/ Maafisa wa Mkoa wa Sumatra Kusini nchini Indonesia, wakati moto mkubwa sana ukiendelea kuteketeza misitu na maeneo oevu ya mkoa huo na kusababisha ukungu mzito katika baadhi ya maeneo…