Jumamosi 19 Julai 2025

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
  • Wakati mtoto anapouliza swali, ni vipi yatupasa kumjibu? + Njia saba za kimatendo

    Wakati mtoto anapouliza swali, ni vipi yatupasa kumjibu? + Njia saba za kimatendo

    Hawza/ Watoto, kwa shauku yao ya kujua na uwezo wa kufikiria, hutaka kuielewa dunia inayowazunguka. Wazazi kwa subira, heshima, na kutumia mbinu…

  • Wakati mtoto anapouliza swali, ni vipi yatupasa kumjibu? + Njia saba za kimatendo

    Wakati mtoto anapouliza swali, ni vipi yatupasa kumjibu? + Njia saba za kimatendo

    Hawza/ Watoto, kwa shauku yao ya kujua na uwezo wa kufikiria, hutaka kuielewa dunia inayowazunguka. Wazazi kwa subira, heshima, na kutumia mbinu…

    2025-07-18 08:43
  • Msemaji wa Baraza la Mawasiliano la J'afariyya Kashmir atoa onyo kuhusu vitendo vya uchochezi dhidi ya Waislamu wa Kishia

    Msemaji wa Baraza la Mawasiliano la J'afariyya Kashmir atoa onyo kuhusu vitendo vya uchochezi dhidi ya Waislamu wa Kishia

    Hawza/ Sayyid Shujaʿat Ali Kazimi, katika tamko lake, amekosoa vikali kufunguliwa mashtaka yasiyo na msingi wahubiri wa Kishia wa Kashmir, na…

    2025-07-18 08:41
  • Maadhimisho ya Siku ya Husein (as) yafanyika na kufana katika Chuo Kikuu cha Karachi

    Maadhimisho ya Siku ya Husein (as) yafanyika na kufana katika Chuo Kikuu cha Karachi

    Hawza/ Hafla iliyofana ya "Siku ya Husein (as)" ilifanyika katika Chuo Kikuu cha Shirikisho cha Karachi huku wahadhiri, wahariri, wanafunzi,…

    2025-07-18 08:37
  • Hukumu ya mvuke na kioevu kinachotokana na najisi ni ipi?

    Hukumu za kisheria:

    Hukumu ya mvuke na kioevu kinachotokana na najisi ni ipi?

    Hawza / Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu swali kuhusiana na hukumu ya mvuke wa najisi na kioevu kinachotokana na najisi hiyo.

    2025-07-18 08:36
  • Kimya kinacho oneshwa na taasisi za kimataifa mbele ya vitendo vya Israel hakikubaliki

    Kiongozi wa Harakati ya Sunni Pakistan:

    Kimya kinacho oneshwa na taasisi za kimataifa mbele ya vitendo vya Israel hakikubaliki

    Hawza/ Muhammad Sarwat Ijaz Qadiri, katika hotuba yake, ameikosoa vikali Jumuiya ya Kimataifa na Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu kwa kukaa…

    2025-07-18 08:34
  • Hakujakuwa na makubaliano wala mazungumzo yoyote na magenge ya kihalifu huko Sweida

    Kiongozi wa Kabila la Wadrusi Syria:

    Hakujakuwa na makubaliano wala mazungumzo yoyote na magenge ya kihalifu huko Sweida

    Hawza/ Sheikh Hikmat Al-Hijri amekanusha vikali uwepo wowote wa makubaliano, mazungumzo au ruhusa yoyote na makundi ya kihalifu kuhusiana na…

    2025-07-18 08:32
  • Aina yoyote ya hujuma dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ni sawa na kuyaangamiza maslahi ya Marekani na washirika wake duniani kote

    Ayatollah Mohsen Araki amesema:

    Aina yoyote ya hujuma dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ni sawa na kuyaangamiza maslahi ya Marekani na washirika wake duniani kote

    Hawza/ Mjumbe wa Bodi ya Uongozi ya Baraza la Wataalamu wa Uongozi (Majlisi ya Khobregān-e Rahbari) amesema: Aina yoyote ya hujuma dhidi ya nafsi…

    2025-07-18 08:31
  • Ayatollah al-Udhma Sistani atoa pole kufuatia tukio la moto wa kutisha katika mji wa Kut, Iraq

    Ayatollah al-Udhma Sistani atoa pole kufuatia tukio la moto wa kutisha katika mji wa Kut, Iraq

    Hawza/ Ofisi ya Hadhrat Ayatollah Sayyid Ali Husseini Sistani imetoa salamu za rambirambi kufuatia kufariki kwa wahanga wa tukio la moto uliotokea…

    2025-07-18 08:30
  • Kumbukumbu | Mwanamke aliyeteuliwa kwa ajili ya siku ngumu

    Kumbukumbu | Mwanamke aliyeteuliwa kwa ajili ya siku ngumu

    Hawza / Ni kweli kuwa binadamu ameumbwa kwa taabu; lakini baadhi ya watu ni kama kioo cha dhahiri cha uvumilivu wa Mwenyezi Mungu duniani, na…

    2025-07-17 11:41
  • Mapumziko na matembezi kwa mtazamo wa Imam Khomeini (ra)

    Mapumziko na matembezi kwa mtazamo wa Imam Khomeini (ra)

    Hawza/ Ayatollah Mirza Jawad Agha Tahrani (ra), mmoja wa mauraf'a na miongoni mwa mafaqihi wa Kishia, katika kisa kimoja cha kipindi chake cha…

    2025-07-17 00:15
  • Mshindi wa Mashindano ya Quran Tukufu afariki dunia

    Mshindi wa Mashindano ya Quran Tukufu afariki dunia

    Hawza/ Ibrahim Sow raia wa Ivory Coast na mshindi wa mashindano ya Qur'ani tukufu mwaka 2024 amefariki dunia.

    2025-07-17 00:14
  • Mwanazuoni wa Ahlu-Sunnah wa Lebanon: Tunaposema tuna mafungamano na kisimamo cha Imamu Hussain (a.s), tunajihisi Heshima

    Mwanazuoni wa Ahlu-Sunnah wa Lebanon: Tunaposema tuna mafungamano na kisimamo cha Imamu Hussain (a.s), tunajihisi Heshima

    Hawza / Sheikh Ahmed Al-Qattan alisisitiza kuwa sisi Lebanon, muda wa kuwa viongozi thabiti kama Sheikh Naeem Qasim na Nabih Berri wapo, hatuogopi.

    2025-07-17 00:12
  • Wanazuoni wa Kashmir: Umoja wa Mashia na Masunni ndio dhamana pekee ya kusalia Umma wa Kiislamu

    Wanazuoni wa Kashmir: Umoja wa Mashia na Masunni ndio dhamana pekee ya kusalia Umma wa Kiislamu

    Hawza/ Maimamu wa Ijumaa wa Kashmir, katika tamko lao, wametilia mkazo ulazima wa umoja baina ya Mashia na Ahl al-Sunna, na wamewataka watu wa…

    2025-07-17 00:11
  • Marafiki na maadui wafahamu kwamba, taifa la Iran halito shiriki kwenye uwanja wowote huku likiwa liaonesha upande dhaifu / Shingo ya mhalifu haipaswi kuachwa

    Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran:

    Marafiki na maadui wafahamu kwamba, taifa la Iran halito shiriki kwenye uwanja wowote huku likiwa liaonesha upande dhaifu / Shingo ya mhalifu haipaswi kuachwa

    Hawza/ Kiongozi wa Mapinduzi amesisitiza kwamba, marafiki na maadui wote wafahamu kuwa taifa la Iran halito shiriki kwenye uwanja huku likiwa…

    2025-07-17 00:10
  • Desturi njema nchini Pakistan ikiambatana na Mwezi wa Muharram

    Desturi njema nchini Pakistan ikiambatana na Mwezi wa Muharram

    Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Nusrat Abbas Bukhari, katika hafla ya kugawa miche ya miti iliyopewa jina la "Sabil Ashjar" katika siku za Muharram,…

    2025-07-15 14:21
  • Kushikamana na Qur'ani na Ahlul-Bayt (as) ni Dhamana ya Kimungu kwa Ulinzi wa Umma dhidi ya Upotofu

    Mwanazuoni wa Kiislamu nchini Pakistan:

    Kushikamana na Qur'ani na Ahlul-Bayt (as) ni Dhamana ya Kimungu kwa Ulinzi wa Umma dhidi ya Upotofu

    Hawza/ Dkt. Muhammad Tahir al-Qadri, katika hotuba yake huku akisisitiza mafundisho ya Mtume (saw), alisema kwamba: Kushikamana na Qur'ani na…

    2025-07-15 14:21
  • Kuasisiwa Maktaba katika Kila Kituo cha Kiislamu Nchini Maldives Kabla ya Mwisho wa Mwaka Huu

    Kuasisiwa Maktaba katika Kila Kituo cha Kiislamu Nchini Maldives Kabla ya Mwisho wa Mwaka Huu

    Hawza/ Dkt. Muhammad Shaheem alisema kwamba: Tunakusudia hadi ifikapo mwisho wa mwaka huu wa Miladia, kuasisi angalau maktaba moja katika kila…

    2025-07-15 14:20
  • Golan Amshutumu Netanyahu kwa Kuzuia Mazungumzo ya Usitishaji Vita Ghaza

    Golan Amshutumu Netanyahu kwa Kuzuia Mazungumzo ya Usitishaji Vita Ghaza

    Hawza/ Yair Golan, kiongozi wa chama cha Demokrasia cha Israel, amemshutumu Benjamin Netanyahu kwa kuweka vikwazo katika usitishaji wa vita na…

    2025-07-15 14:19
  • Kesi za dhulma dhidi ya waombolezaji wa Muharram zinapaswa kufutwa mara moja

    Makamu wa Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu Pakistan:

    Kesi za dhulma dhidi ya waombolezaji wa Muharram zinapaswa kufutwa mara moja

    Hawza/ Hujjat al-Islam Sayyid Ahmad Iqbal Rizvi, katika taarifa yake, amelaani vikali kufunguliwa kwa kesi zisizo na msingi dhidi ya waombolezaji…

    2025-07-15 08:41
  • Karbala ni ufunuo wa milele wa ukweli katika kioo cha fasihi na utu

    Msomi wa Dini kutoka India:

    Karbala ni ufunuo wa milele wa ukweli katika kioo cha fasihi na utu

    Hawza/ Hujjat al-Islam Sayyid Abbas B'aqeri, katika hotuba yake, akiwa amesisitiza nafasi isiyoweza kulinganishwa ya Ashura katika dhamiri ya…

    2025-07-14 13:52
  • Kuhuisha alama za Husseini ni jukumu la kidini na njia ya kuelekea kwenye kujikurubisha na Mwenyezi Mungu

    Mkurugenzi wa Ofisi ya Ayatollah al-‘Uzma Hafidh Bashir Najafi:

    Kuhuisha alama za Husseini ni jukumu la kidini na njia ya kuelekea kwenye kujikurubisha na Mwenyezi Mungu

    Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sheikh Ali Najafi, katika hotuba yake huku akisisitiza upande wa islah (urekebishaji) wa harakati ya Imam…

    2025-07-14 13:50

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom