Alhamisi 18 Desemba 2025
  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Mapinduzi kabla ya kudhihiri Imam Mahdi (a.s.)

    Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyya (58)

    DiniMapinduzi kabla ya kudhihiri Imam Mahdi (a.s.)

    Hawza/ Baadhi ya watu, wakitegemea baadhi ya riwaya, wamefikia hatua ya kudhania kwamba aina yoyote ya harakati dhidi ya watawala madhalimu kabla ya kudhihiri kwa Imam wa Zama (a.s.) ni haramu;…

    2025-12-08 11:09
  • Tawkī‘āt za Imam Mahdi (a.s.)

    Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyya (57)

    DiniTawkī‘āt za Imam Mahdi (a.s.)

    Hawza/ Miongoni mwa njia zinazobainisha mas-ala na kuondoa shubha ni kutumia mwongozo na kunufaika na tawkī‘āt na maandiko ya mkono ambayo Imam Mahdi (a.s.) alikuwa akiyaandika kwa watu waliokuwa…

    2025-11-26 21:44
  • Njia za Kumtambua Imam (a.s.)

    Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiya (56)

    DiniNjia za Kumtambua Imam (a.s.)

    Hawza/ Bila shaka mojawapo ya majukumu muhimu ya waja mbele ya Mola wao ni kumjua huyo Mwenye Hadhi Tukufu. Maarifa haya hufikia ukamilifu wakati Mitume wa Mungu – hasa hasa Mtume wa Mwisho (s.a.w.w)…

    2025-11-18 16:52
  • Mambo ya pamoja kati ya Ahlul-Sunna na Shia kuhusiana na suala la Mahdawiya

    Kuielekea jamii Bora: Tafiti za Mahdawiya (55)

    DiniMambo ya pamoja kati ya Ahlul-Sunna na Shia kuhusiana na suala la Mahdawiya

    Hawza/ Ahlul-Sunna wametaja mara nyingi katika riwaya zao ukweli wa "fikra ya Mahdawiya". Ingawa katika baadhi ya maeneo inatofautiana na imani ya Kishia, bado kuna mambo mengi ya pamoja.

    2025-11-15 21:13
  • Imamu Mahdi katika Vyanzo vya Ahlus-Sunna

    Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyat (54)

    DiniImamu Mahdi katika Vyanzo vya Ahlus-Sunna

    Hawzah/ Kwa kupitia kwa muhtasari vitabu vya riwaya vya Ahlus-Sunna, inadhihirika wazi kuwa suala la Imamu Mahdi (a.s.) limetajwa kwa wingi katika vyanzo vyao. Mbali na hadithi nyingi zilizomo…

    2025-11-04 23:22
  • Mahdawiyya katika Qur’ani (Sehemu ya Mwisho)

    Kuielekea Jamii Bora: Tafiti Kuhusiana na Mahdawiyya (53)

    DiniMahdawiyya katika Qur’ani (Sehemu ya Mwisho)

    Hawza/ Aya za Qur’ani wakati mwengine huwa na maana nyingi: moja ni ya dhahiri na ya wazi kwa watu wote, na nyingine ni ya ndani (maana ya batini), ambayo hakuna anayejua isipokuwa Mtume (saww),…

    2025-10-28 13:19
  • Mahdawiyya katika Qur’ani (Sehemu ya Nne)

    Kuielekea Jamii Bora: Tafiti Kuhusiana na Mahdawiya (52)

    DiniMahdawiyya katika Qur’ani (Sehemu ya Nne)

    Hawza/ Mwenyezi Mungu amewaahidi waumini na watu wema ahadi ya utawala juu ya ardhi, utukufu wa dini ya haki, na usalama kamili. Hata hivyo, miongoni mwa wafasiri kuna mjadala kuhusiana na kuwa;…

    2025-10-22 14:43
  • Mahdawiyyah katika Qur’ani (Sehemu ya Tatu)

    Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyyah (51)

    DiniMahdawiyyah katika Qur’ani (Sehemu ya Tatu)

    Hawzah/ Baadhi ya aya katika Qur’ani Tukufu zinahusiana na ushindi wa wenyekudhoofishwa dhidi ya wenye nguvu, na zinabainisha kwamba hatimaye dunia itakuwa ya wale wanaostahiki — yaani wacha…

    2025-10-20 07:35
  • Mahdawiyyah katika Qur’ani (Sehemu ya Pili)

    Kuielekea Jamii Bora: Tafiti kusuhisana na Mahdawiyyah (50)

    DiniMahdawiyyah katika Qur’ani (Sehemu ya Pili)

    Hawzah/ “Kudhoofishwa” pekee si sababu ya ushindi dhidi ya maadui na utawala juu ya ardhi; bali kuwepo kwa imani na kujipatia sifa za ustahiki pia ni jambo la lazima. Wenye kunyongeshwa ulimwenguni…

    2025-10-13 19:26
  • Mahdawiyyah katika Qur’ani (Sehemu ya Kwanza)

    Kuielekea Jamii ya Bora: Tafiti za Mahdawiyyah (49)

    DiniMahdawiyyah katika Qur’ani (Sehemu ya Kwanza)

    Hawza/ Qur’ani Tukufu imezungumzia kwa ujumla juu ya kudhihiri na kisimami cha Hujjat Imam Mahdi (aj), na imeonesha bishara ya kuundwa serikali yenye uadilifu kimataifa na ushindi kwa watu wema.…

    2025-10-09 14:29
  • Wajibu na Majukumu Maalum ya Wenye kusubiri

    Kuielekea Jamii Bora: Utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.) – 48

    DiniWajibu na Majukumu Maalum ya Wenye kusubiri

    Hawza / Katika zama hizi si haba watu ambao, kwa sababu mbalimbali, hawawezi kuvumilia katika kumuamini Imam aliye ghaibu na kumkumbuka yeye. Kwa kuwa moja ya mafundisho muhimu ya dini ni subira…

    2025-10-02 07:05
  • Wajibu na Majukumu ya Kawaida kwa Wanaosubiri (Al-Muntadhirīn)

    Kuielekea Jamii Bora: Mkusanyiko wa Utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (as) – 47

    DiniWajibu na Majukumu ya Kawaida kwa Wanaosubiri (Al-Muntadhirīn)

    Hawzah/ Wajibu na majukumu ya wanaosubiri hayako mahsusi kwa kipindi cha ghaiba tu; huenda kutajwa kwake miongoni mwa wajibu wa kipindi cha ghaiba ni kwa madhumuni ya kusisitiza tu.

    2025-09-29 05:41
  • Nafasi na Daraja la Wenye subira ya Kweli juu ya Imam Mahdi (aj)

    Kuielekea Jamii Bora: Mkusanyiko wa Utafiti kuhusiana na Imam Mahdi (as) - 46

    DiniNafasi na Daraja la Wenye subira ya Kweli juu ya Imam Mahdi (aj)

    Hawza/ Kwa sababu ya hali maalumu inayowakumba watu waliopo katika zama za kusubiri, iwapo watakuwa na subira ya kweli, watapata hadhi na cheo cha thamani kubwa mno.

    2025-09-26 13:33
  • Nafasi ya Intidhar (Kusubiri ) katika Utamaduni wa Kishia (Sehemu ya Nne)

    Kuielekea Jamii Bora: Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (as)– 45

    DiniNafasi ya Intidhar (Kusubiri ) katika Utamaduni wa Kishia (Sehemu ya Nne)

    Hawza/ Intidhār (kusubiri kudhihiri) hakubatilishi wajibu wala hakutoi ruhusa ya kuchelewesha utekelezaji wa matendo, uzembe katika majukumu ya dini na kutojali dini, kwa namna yoyote ile, si…

    2025-09-23 19:09
  • Nafasi ya Intidhar (Kusubiri) katika Utamaduni wa Kishia (Sehemu ya Tatu)

    Kuielekea Jamii Bora: Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imamu Mahdi [a.s] –44

    DiniNafasi ya Intidhar (Kusubiri) katika Utamaduni wa Kishia (Sehemu ya Tatu)

    Hawza/ Intidhar (kusubiri) ni kusubiri kwa hamu mustakabali wenye sifa zote za jamii ya Kimungu, ambako mfano wake wa kipekee ni kipindi cha utawala wa hazina ya mwisho ya Mwenyezi Mungu, yaani…

    2025-09-16 00:59
  • Nafasi ya (Intidhar) Kusubiria faraja katika Utamaduni wa Kishia (Sehemu ya Pili)

    Kuielekea Jamii Bora: Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imam Mahdi (a.s) – 43

    DiniNafasi ya (Intidhar) Kusubiria faraja katika Utamaduni wa Kishia (Sehemu ya Pili)

    Hawza / Katika maana hii, mafundisho ya dini yamekusudia, mbali na kubainisha fadhila ya “faraja ya kijamii” na matumaini ya siku zijazo na kuelekeza wanadamu kwenye uwanja huu, kulaani pia kukata…

    2025-09-11 14:27
  • Nafasi ya Intidhari (Kusubiria Faraja) katika Utamaduni wa Kishia (Sehemu ya Kwanza)

    Kuielekea Jamii Bora: Mfululizo wa Mada Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.) – 42

    DiniNafasi ya Intidhari (Kusubiria Faraja) katika Utamaduni wa Kishia (Sehemu ya Kwanza)

    Hawza/ Kile kinachomfanya mwanadamu awe na matumaini ya kuishi na kinachorahisisha kwake hofu na huzuni, ni intidhari (kusubiri) na matumaini ya mustakabali wenye mwanga na wa kustawisha, ambapo…

    2025-09-01 14:23
  • Huruma ya Imam wa Zama (as)

    Kuielekea jamii Bora: Mfululizo wa Utafiti kuhusiana na Imam Mahdi (as) – 41

    DiniHuruma ya Imam wa Zama (as)

    Hawza / Imam, kutokana na wingi wa huruma na mapenzi aliyo nayo kwa wafuasi wake, ana uhusiano na mawasiliano makubwa zaidi kwa wao, Na kwa sababu ya mapenzi na urafiki huu, yeye hushiriki katika…

    2025-08-26 20:16
  • Imam ni kioo cha rehema isiyo na kikomo ya Mwenyezi Mungu

    “Kuielekea Jamii Bora” (mkusanyiko wa utafiti kuhusiana na Imam Mahdi (as) – 40

    DiniImam ni kioo cha rehema isiyo na kikomo ya Mwenyezi Mungu

    Hawza/ Imam zaman (as) ingawa yupo kwenye ghaiba, lakini ni wingu la rehema linaloendelea kunyesha daima na kulipa uhai na bashasha jangwa kavu la watu, na ni mwenye kunyimika yule ambaye hatanusa…

    2025-08-24 00:53
  • Dalili za Wiyaatul-Faqih – Dalili za Nakili/Riwaya – Sehemu ya Pili)

    Kuielekea Jamii Bora: (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Iamam Maha (as)- 39)

    DiniDalili za Wiyaatul-Faqih – Dalili za Nakili/Riwaya – Sehemu ya Pili)

    Hawza/ Miongoni mwa riwaya ambazo fuqah'a wamezitolea dalili kwa ajili ya kuthibitisha Wilayatul-faqih, ni riwaya ambayo ameinukuhu Omari ibn Handhalah

    2025-08-12 10:17
  • Hoja za wilayat Faqihi (Hoja ya Kiakili)

    Kuielekea Jamii Bora: Mfululizo wa Utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (as) - 37

    DiniHoja za wilayat Faqihi (Hoja ya Kiakili)

    Hawza/ Hoja ya wilayat faqihi inaweza kuchambuliwa kwa mtazamo wa kiakili na vilevile wa kinakini; yaani, akili inamuamrisha Muislamu kumtii faqihi katika zama za ghaiba, na vivyo hivyo riwaya…

    2025-07-29 13:37
  • Kuuongoza umma katika Kipindi cha Ghayba Kubra (kubwa)

    Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 36

    DiniKuuongoza umma katika Kipindi cha Ghayba Kubra (kubwa)

    Hawza/ Baada ya ghaiba ya Imam wa kumi na mbili (as), ni nani mwenye dhamana ya uongozi na uimamu juu ya umma? Je, mtu mmoja au watu fulani wana mamlaka juu ya umma? Ikiwa kuna mamlaka, mipaka…

    2025-07-25 23:47
  • Namna ya Ghaiba ya Imam Mahdi (as)

    Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 35

    DiniNamna ya Ghaiba ya Imam Mahdi (as)

    Hawzah/ Je, ghaiba ya Bwana wa Amri as iko vipi? Je, mwili wake mtukufu umefichika machoni mwa watu? Au kwamba mwili wake huonekana lakini hakuna anayemjua?

    2025-07-19 10:14
  • Uwezekano wa kufuzu kuonana na kuhudhuria mbele ya Imam wa zama (aj)

    Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 34

    DiniUwezekano wa kufuzu kuonana na kuhudhuria mbele ya Imam wa zama (aj)

    Hawza/ Kufuzu baadhi ya watu kuweza kuonana na Imam huyo mtukufu ni jambo lililothibiti, na uwongo na batili ya madai ya wale wanaodai uwakala na uwakilishi maalumu baina ya Imam huyo na watu…

    2025-07-13 13:15
  • Makazi ya Imam Mahdi (as) katika Kipindi cha Ghaiba Kubwa

    Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 33

    DiniMakazi ya Imam Mahdi (as) katika Kipindi cha Ghaiba Kubwa

    Hawza/ Ikiwa katika mada ya "ghaiba", mambo kama mahali alipo Imam (as), chakula chake n.k. yasibainike wazi, hilo halileti shaka wala dhana yoyote; vivyo hivyo, kubainika kwa mambo hayo hakuhusiki…

    2025-07-01 00:21
  • Mfumo wa Uimamu ni mfumo wa kimungu usiokatika

    Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 32

    DiniMfumo wa Uimamu ni mfumo wa kimungu usiokatika

    Hawza/ Mfumo wa Uimamu ni mfumo wa kimungu, usiokatika, na hauna kipindi cha mapumziko (fatra); upo katika kila zama na kila wakati. Kuanzia zama za Mtume Mtukufu Muhammad (saw) hadi leo umeanzishwa,…

    2025-06-27 09:42
  • Hadhi na Vyeo vya Imamu Mahdi (aj) katika Dua

    Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 31

    DiniHadhi na Vyeo vya Imamu Mahdi (aj) katika Dua

    Hawzah/ Kuzingatia vyeo na nafasi za Imamu wa zama (aj) katika ulimwengu kunaweza kuwa sababu ya kumkaribisha zaidi mja kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu.

    2025-06-24 22:46
  • Sifa za Imam wa zama (aj) Katika Dua

    Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 30

    DiniSifa za Imam wa zama (aj) Katika Dua

    Hawza/ Kwa kuzingatia sifa na tabia za Imam wa zama (a.f) kunaweza kuongeza na kuimarisha zaidi uhusiano wa kiroho na wa ndani kati ya mja na Yeye.

    2025-06-22 23:58
  • Dua na Ziara Kuhusiana na Mahdawia

    Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 29

    DiniDua na Ziara Kuhusiana na Mahdawia

    Hawza/ Moja kati ya nyenzo muhimu sana kwa wafuasi wa Imamu Mahdi (as) katika kipindi cha ghaiba yake ni dua na kuwa na mafungamano naye, ili wasimsahau, na kwa njia ya dhikri, dua na ziara,…

    2025-06-19 00:33
  • Wadai uongo wa Mahdawiyya

    Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 28

    DiniWadai uongo wa Mahdawiyya

    Hawza / Kila Mshia mwenye ufahamu anawajibika kuwakadhibisha wale wanaodai kuwa na uhusiano au uwakilishi maalum (niyaba maaluma) na Imamu, na kufunga njia ya kupenyeza na kujinufaisha kwa watu…

    2025-06-15 21:22
  • Previous
  • 1
  • 2
  • Next

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom