Jumatano 4 Februari 2026
  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Waandamanaji wa Kijerumani wametaka mateka waliopo katika magereza ya Israel waachiliwe huru

    DuniaWaandamanaji wa Kijerumani wametaka mateka waliopo katika magereza ya Israel waachiliwe huru

    Hawza/ jiji la Berlin, mji mkuu wa Ujerumani, lilishuhudia maandamano ya mamia ya watu waliopinga ukiukwaji unaoendelea wa usitishaji mapigano na utawala wa Kizayuni. Waandamanaji hao pia walitaka…

    2026-02-04 10:00
  • Onyo kuhusu ongezeko la vurugu zisizo na kifani za Israel katika vita vya kimya kimya vinavyo endelea Ukingo wa Magharibi

    DuniaOnyo kuhusu ongezeko la vurugu zisizo na kifani za Israel katika vita vya kimya kimya vinavyo endelea Ukingo wa Magharibi

    Hawza/ Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetoa onyo kwamba Ukingo wa Magharibi unashuhudia “vita vya kimya kimya” na kiwango cha vurugu ambacho hakijawahi…

    2026-02-04 09:00
  • Athari za Kieneo za Vita vya Marekani dhidi ya Iran; kuanzia kufungwa kwa Mlango wa Hormuz hadi Yemen kuwa karata ya ushindi mikononi mwa Jihadi ya Muqawama

    DuniaAthari za Kieneo za Vita vya Marekani dhidi ya Iran; kuanzia kufungwa kwa Mlango wa Hormuz hadi Yemen kuwa karata ya ushindi mikononi mwa Jihadi ya Muqawama

    Hawza/ Mwandishi wa Kilebanoni ameandika katika tahariri kwamba, endapo vita kati ya Marekani na Iran vitatokea, kwa mtazamo wa kikanda moto wa vita utaenea kwa kasi; Ghuba ya Uajemi itawekwa…

    2026-02-04 08:00
  • Hizbullah katika eneo la Biqaa yatoa shukrani kwa Balozi wa Iran

    DuniaHizbullah katika eneo la Biqaa yatoa shukrani kwa Balozi wa Iran

    Hawza/ Hizbullah katika eneo la Biqaa ilimuenzi Mojtaba Amani, Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Lebanon, kwa mnasaba wa kumalizika kwa jukumu lake katika nchi hiyo, katika hafla iliyofanyi…

    2026-02-04 07:00
  • Uandishi wa Qur’ani Tukufu kwa hati ya kisanaa wakamilika baada ya miaka 6

    DuniaUandishi wa Qur’ani Tukufu kwa hati ya kisanaa wakamilika baada ya miaka 6

    Hawza/ Ali Zaman, msanii mashuhuri na mtaalamu wa khati (calligraphy) kutoka Iraq, amekamilisha uandishi wa Qur’ani Tukufu kwa mwandiko wa kisanaa (kaligrafia) baada ya miaka sita ya juhudi endelevu.

    2026-02-04 06:00
  • Fani za kielimu Hawza zimeongezeka kutoka 10–15 hadi zaidi ya fani 100 za utekelezaji/ Kubuni ramani ya njia (roadmap) na hati 100 za kimkakati za Hawza

    Ayatullah A‘rafi mbele ya walimu wa taaluma ya tablighi (da‘wa):

    HawzaFani za kielimu Hawza zimeongezeka kutoka 10–15 hadi zaidi ya fani 100 za utekelezaji/ Kubuni ramani ya njia (roadmap) na hati 100 za kimkakati za Hawza

    Hawza/ Ayatullah A‘rafi alirejelea uandaaji wa “hati mia (100) za kimkakati za Hawza za kielimu” kama mojawapo ya programu za msingi, na akasema: miaka miwili iliyopita huko Mashhad Iran, katika…

    2026-02-04 00:30

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom