Dini
لیستی صفحه سرویس
-
Ayatollah A‘rafi:
Wanazuoni wa Kiislamu na mashirika ya kimataifa wazuie uvamizi wa Ghaza
Hawza/ Ayatollah A‘rafi, katika tamko lake, sambamba na kulaani uvamizi wa kikamilifu wa Ghaza, amesema: Tunazitaka serikali zote, mataifa yote, wanazuoni, wasomi, taasisi za kisheria na mashirika…
-
Ayatollah A’rafi katika Mkutano wa Mtandaoni wa Kimataifa kuhusu Ghaza na Wanazuoni wa Umma:
Mipango ya uvamizi na uharibifu inayofanywa na utawala wa Kizayuni itashindwa na kusukumwa nyuma.
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza Irani alisema: Tuna imani ya hakika kwamba mipango ya uvamizi na uharibifu inayofanywa na utawala huu, kwa baraka ya uelewa wa umma wa Kiislamu, hatua za serikali huru…
-
Ayatollah A'rafi kwenye Swala ya Ijumaa Qom:
Wana Lebanon Wasidanganywe na Ahadi Tamu Zenye Sumu za Marekani
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qom amesema: Leo hii, serikali ya Lebanon imo kwenye nafasi ya kihistoria mbele ya ulimwengu wa Kiislamu; kamwe isidanganywe na ahadi tamu zenye sumu za Marekani,…
-
Ayatollah Kaabi:
Lengo la Shambulio la Moja kwa Moja Dhidi ya Iran Lilikuwa Kutekeleza Mradi wa “Kufutwa Ustaarabu”
Hawza/ Ayatollah Kaabi alisema: Mpango wa kusitisha vita ni dhaifu, Ikiwa utawala wa Kizayuni na Marekani wakichukua hatua tena, taifa la Iran litajibu kwa nguvu zaidi kuliko hapo awali.
-
Ujumbe wa Rambirambi wa Ayatollah Arafi kufuatia kifo cha mwandishi wa habari wa shirika la habari la Hawzah
Hawzah/ Ayatollah Arafi ametoa ujumbe wa rambirambi kufuatia kifo cha mwandishi wa habari wa shirika la habari la Hawzah
-
Mwanachama wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom: Ukimya unaofanywa na nchi za kiislamu mbele ya mauaji ya kimbari ya watu wa Ghaza ni aibu
Hawza/ Ayatullah Tabasi amesema: Hii leo ukimya mbele ya jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni muuaji wa watoto ni usaliti, ukimya unaofanywa na baadhi ya nchi za Kiislamu mbele ya mauaji…
-
Ayatollah Arafi katika uzinduzi wa bango la kongamano la Sayyid al-Shuhada wa Muqawama:
Shahidi Nasrallah ni shule ya kifikra na ya kimapinduzi yenye athari ya kiistratejia / “Umanau al-Rusul”; hatua ya kuwafahamisha vijana urithi wa kihistoria
Hawza/ Ayatollah Arafi, akisisitiza nafasi maalumu ya Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah (r.a.), amemtaja si tu kama kamanda na kiongozi mashuhuri wa muqawama, bali pia kama mmiliki wa shule ya…
-
Barua ya wazi ya Jumuiya ya Walimu wa Hawza (J'amiatul-Mudrrisin) kwa Maulamaa wa Ulimwengu wa Kiislamu:
Leo ni wajibu kwa maulamaa wa umma kupaza sauti kwa ajili ya kuwaokoa watu wa Palestina
Hawza/ Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom: Leo ni wajibu na jukumu juu ya maulamaa wa umma kuvunja ukimya dhidi ya jinai hii ya wazi na ukimya wa madola ya kisiasa ya nchi za Kiislamu, pamoja…
-
Ayatollah al-Udhma Nouri Hamedani:
Mheshimiwa Papa; Je, ikiwa Nabii Isa (as) angelikuwepo, angeweza kustahimili hali ya kutisha ya Ghaza na jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni?
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Nouri Hamedani katika barua yake kwa Papa amesema: Katika hali hii ya kutisha ya Ghaza, je, ikiwa Manabii wa Mwenyezi Mungu kama Nabii Isa (as) na Nabii Muhammad (saw)…
-
Ayatollah al-Udhma Nouri Hamedani katika tamko lake rasmi amebainisha kuwa:
Watu wote waaminifu katika Ulimwengu wa Kiislamu watimize wajibu wao wa Kiislamu na kibinadamu kwa ajili ya watu wa Ghaza / Mwamko wa Umma wa Kiislamu unahitaji kilio cha kudai haki na hatua ya pamoja
Hawza/ Ayatollah Nouri Hamedani amesisitiza kuwa: Sasa ni wakati ambapo watu wote waaminifu wa ulimwengu wa Kiislamu—wakiwemo wanazuoni, wasomi na viongozi wa serikali—waweke kando tofauti za…
-
Ayatollah A’rafi katika barua yake kuwaelekea maulamaa wakubwa wa nchi za Kiislamu:
Katika kati ya moto na njaa, tumaini la Ghaza limeelekezwa kuuelekea Umma wa Kiislamu / Hatua ya haraka kwa Umma wa Kiislamu na taasisi za kimataifa kuvunja kuzingirwa na kufikishwa misaada ya dharura
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Irani, katika barua mbalimbali amewaomba maulamaa wa ulimwengu wa Kiislamu wamkabili twaghuti wa dhulma, walie njaa ya wanyonge, wapaze sauti zao dhidi ya tawala…
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amuli:
Taifa la Iran halitaachana na heshima na akili
Hawza/ Hazrat Ayatollah Jawadi Amuli katika kikao na wanajumuiya wa kundi la Mu’talifeye Islami alisisitiza kwamba: Sisi ni warithi wa utamaduni na fikra ambazo si tu kwamba zilikuwa ni zenye…