Dini
لیستی صفحه سرویس
-
Ayatollahil-Udhma Jawadi Amuli: “Elimu, Akili na Malezi” ni nguzo tatu za ukombozi kwa Hawza na Vyuo Vikuu
Hawza/ Ayatollahil-Udhma Jawadi Amuli ametaja nguzo tatu za ukombozi, yaani “Elimu, Akili na Malezi”, kuwa ndio njia ya ustawi wa mtu binafsi na jamii katika hawza na vyuo vikuu katika ulimwengu…
-
Ayatollah Yaqubi atoa salamu za rambirambi kufuatia kufariki kwa Ayatollah Sayyid Muhammad Baqir Musawi Kashmiri
Hawza/ Ayatollah Sheikh Muhammad Yaqubi, katika ujumbe wake, alitoa salamu za rambirambi kufuatia kufariki kwa mwanazuoni mchamungu Ayatollah Sayyid Muhammad Baqir Musawi Kashmiri, mmoja wa maulamaa…
-
Hukumu za Kisheria:
Kujibu matusi
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi alijibu swali la kifiqhi kuhusiana na"kuwajibu wanaotoa matusi".
-
Ayatollah A'rafi asema kuwa:
Hawza ya Qom imeenea katika nchi zaidi ya 100 duniani
Mkurugenzi (Mudir) wa Hawza nchini Irani alisema: Katika zaidi ya nchi 100 duniani, vijana wanaopenda maarifa ya kimungu wamejitokeza na kwa kunufaika na maarifa waliyojifunza katika Hawza ya…
-
Ayatollah al-Udhma Subhani amtembelea Ayatollah al-Udhma Nuri Hamedani kwa ajili ya kumjulia hali yake
Ayatollah al-Udhma Subhani alifika katika makaazi ya Ayatollah al-Udhma Nuri Hamedani na kumtembelea Marja’ huyu wa taqlid kwa ajili ya kumjulia hali yame.
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli akutana na Ayatollah al-Udhma Sistani huko Najaf Ashraf
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli alifanikiwa kufika katika makazi ya Ayatollah al-Udhma Sistani katika mji mtukufu wa Najaf, na kukutana na yeye kwa ajili ya kufanya mazungumzo naye.
-
Je! Kwa nini Kiongozi wa Mapinduzi aliunganisha Hawza na Historia?
Kiongozi wa Mapinduzi katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa kutimia miaka mia moja tangu kuanzishwa upya kwa Hawza ya Qom, kwa kusisitiza nafasi kuu ya historia katika uelewa wa dini, alikumbushia…
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 13
Umri wa Imamu wa zama (a.s)
Hawza | Kwa mujibu wa itikadi ya wafuasi wa dini zote za mbinguni, vitu vyote ulimwenguni viko chini ya mamlaka ya Mwenyezi Mungu, na athari zitokanazo na vitu hivyo zinategemea matakwa Yake.…
-
Radi amali ya Hawza kutokana na Upuuzi wa Kubadili Jina la Ghuba ya Uajemi / Hawza ni Ngome Imara Dhidi ya Waharibifu wa Utambulisho wa Kitaifa wa Wairani
Hawza inapinga vikali aina yoyote ya uvamizi na upuuzi kuhusiana na kubadilisha jina la "Ghuba ya Daima ya Uajemi", na inasisitiza juu ya kutetea rasilimali za kitamaduni zilizopo eneo hili pamoja…
-
Barua ya Ayatollah Arafi kumuelekea Imam Khamenei / Ahadi na Kiaga cha Wanahawza kwa Ajili ya Kutekeleza Azimio la “Hawza Inayosonga mbele na Iliyopo Kileleni”
Mkurugenzi wa Hawza nchi Irani, ametoa shukrani na pongezi kutokana ujumbe wa kihistoria na muhimu ulio tolewa na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwenye kongamano la kumbukumbu ya miaka…
-
Ayatollah al-Udhma Makarem Shirazi katika wosia wake kwa wanafunzi waliovaa rasmi vazi la kidini:
Jana yenu isifanane na leo yenu / Matarajio ya kudhihiri Imam wa zama (a.j.f) kwa wanafunzi yazingatiwe ipasavyo
Hadhrat Ayatollah Makarem Shirazi, ameelezea majukumu mapya yanayoambatana na kuvaa rasmi vazi rasmi la kidini kwa wanafunzi wa Hawza na akasisitiza kuwa: Kuanzia leo mmepata haiba mpya, na haifai…
-
Ayatollah A'arafi amesema:
Utekelezaji wa Mpango wa awamu ya pili ya Miaka Mitano ya Hawza kwa mujibu wa ujumbe wa kihistoria wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi
Mkurugenzi (Mudir) wa Hawza nchini Irani, huku akitoa shukrani kutokana na ujumbe wa kimkakati na wa kihistoria uliotelewa na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi, ametangaza kuwa mpango wa awamu ya pili…