Dini
لیستی صفحه سرویس
-
Taasisi ya juu ya hawza yamtahadharisha Trump:
Kuivunjia heshima Marjiat na nafasi kiongozi wa mapinduzi ni sawa na kutangaza vita na uma wote wa Kiislamu
Hawza/ Katika maelezo ya Pamoja yaliyo tolewa na Jaamiat Mudarisn, shura ya juu na markazi ya uongozi wa hawza yanasema kwamba; Aina yeyote ile ya vitisho na kuivunjia heshima nafasi ya Marjiat…
-
Ayatollah A'rafi katika Swala ya Ijumaa Qom:
Israel ni kambi ya kijeshi ya Magharibi
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa ya Qom, Ayatollah Alireza A'rafi, alisema kuwa maadui na wanafiki wafahamu kuwa wamepiga mahali pasipo sahihi, wamefanya makosa ya kimkakati na kutenda jinai kubwa. Baadhi…
-
Barua ya Ayatollah Arafi kwa zaidi ya shakhsia 80 za Kiislamu na dini nyengine duniani, Kufuatia uvamizi uliofanywa utawala wa Kizayuni
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza za Kiislamu nchini Irani, kufuatia uvamizi uliofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Jumhuri ya Kiislamu ya Iran, amewasiliana na zaidi ya watu 80 mashuhuri wa Kiislamu…
-
Bayana kali alio itoa Ayatollah Sistani dhidi ya utawala wa Wazayuni, na vitisho vyote dhidi ya Kiongozi muadhamu wa mapinduzi
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Udhma Sistani ametoa bayana yenye maneno makali dhidi ya uvamizi wa Wazayuni nchini, na kila aina ya vitisho dhidi ya Kiongozi wa mapinduzi ya kiislamu ya Irani
-
Ayatollah Javad Amoli:
Tunatumai ya kwamba, kiongozi muadhamu wa mapinduzi ambae ni nguzo iliyo imara atahifadhiwa na Mwenyezimungu
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Udhma Javad Amoli, katika ujumbe wake ameiombea dua nchi ya Irani, watu wote, wasomi, viongozi wa kijeshi, wanasiasa pamoja na kiongozi wa mapinduzi ya Irani, na kusema…
-
Ayatollahul - udhma Subhanii:
Kuifedhehesha Jamhuri ya Kiislamu ya Irani pamoja na Kiongozi muadhamu wa Mapinduzi ni alama ya udhaifu wa adui
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Subh'ani, katika kuelezea vitisho vya Tramp dhidi ya Kiongozi wa mapinduzi Sayyid Ali Khamenei amesema: Aina yeyote ya Kuifedhehesha Jamhuri ya Kiislamu ya Irani pamoja…
-
Ayatollah Makarrim Shirazi:
Muislamu yeyote mzima na alie huru hakubaliani na vitisho vilivyo tolewa dhidi ya kiongozi wa mapinduzi ya kiislamu
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Makarrim Shirazi ameweka wazi kuwa; Kupatikana kiongozi adhimu wa mapinduzi, kwa anuani ya kwamba ni mwenye kuhifadhi nembo ya ushia bali uma wa kiislamu, ni nukta muhimu…
-
Ayatollah arafi atoa tahadhari kwa mabeberu na Wazayuni wanaofuata njia ya Hitla:
Kuwavunjia heshima marajii kutasababisha hasira kwa umma wa kiisalamu
Hawza/ Mudiir wa hawza Qum ameeleza kuwa; Katika masiku ya karibuni viongozi wa mabeberu ulimwenguni na Mazayuni wamwaga damu, wameleta taharuki na hasira kwa waislamu baada ya kuwavunjia heshima…
-
Msimamizi katika ofisi ya Kiongozi mkuu wa Mapinduzi:
Utabiri wote wa kimakosa uliofanywa na adui ni kama umeenda na maji/ Watu wamesiamam kidete kuitetea nchi yao
Hawza/ Mfuasi wa shura ya wataalamu wa uongozi (Majlis khobregan rahbar) amesema; Adui alidhania kwamba kwa kuwapiga makamanda wetu, wananchi watakata tamaa, ilihali haikuwa hivyo.
-
Ayatollah Arafi akiliongelesha Taifa la Irani:
Mpaka mwisho wa vita tupo Pamoja nanyi/ Wapiganaji jihadi wa Hawza wapo tayari kwa ajili ya kujenga nyumba Pamoja na sehemu zilizo haribiwa
Hawza/ Ayatollah Arafi amesema; sisi tupo Pamoja nanyi situ katika ujenzi bali katika majeraha yote, kuwatia moyo na kuwakingia kifua, tunayo Imani ya kweli kwamba taifa hili tukufu litafanikiwa…
-
Wanafunzi wa kike waupongeza ushujaa wa Bibi Imami, mtangazaji wa Shirika la Habari
Hawza/ Sisi, wanafunzi wa kike wa hawza, tunatoa pongezi zetu kwa Bibi Ilham Imami, mtangazaji jasiri wa Shirika la Habari, ambaye aliweza kuuonesha ulimwengu, wanawake na wapenda uhuru wote…
-
Ayatollah Araki katika Mkutano wa Wanazuoni wa Hawza:
Kujisalimisha na kukubaliana na dhulma ni haramu juu yetu/ Sisi ni wafuasi wa Imam Hussein (a.s) na tuko tayari kujitolea maisha yetu
Hawza/ Mwanachama wa Baraza Kuu la Hawza, Ayatollah Mohsen Araki, katika mkutano mkubwa wa wanazuoni wa Hawza uliofanyika leo asubuhi katika Hawza ya Faydhiyya mjini Qom kwa ajili ya kulaani…