Dini
لیستی صفحه سرویس
-
Ayatullah al-‘Udhma Subhānī:
Ijitihaidishaji wlya ubunifu na juhudi za kielimu za Mirza Nāīnī ni kielelezo kwa wanafunzi na watafiti wa Hawza
Hawza/ Ayatullah Subhānī alisema: Marehemu Mirza Nāīnī, kwa kutumia mbinu bunifu za kielimu katika fiqhi, kama vile kugawa kadhia katika vigawanyo vya kihakika (ḥaqīqiyyah) na vya kihalisia (khārijiyy…
-
Kiongozi wa Mapinduzi Irani, katika kikao na waandaaji wa Mkutano wa Kimataifa wa Mirza Na’ini (ra) alifafanua:
Ubunifu wa kielimu na fikra ya kisiasa ni sifa mbili mashuhuri za Allāmah Na’ini
Hawza/ Hotuba ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran, katika kikao na waandaaji wa Mkutano wa Kimataifa wa Allāmah Mirza Na’ini (r.a), huko Qom Iran, katika eneo la kufanyia mkutano huo.
-
Ayatullah A‘rafi katika Kongamano la Mirza Na’ini:
Mirza Na’ini ni alama ya akili ya jihadi katika fikra ya Kiislamu / Kufufua kazi za wakubwa ni muongozo kwa hawza na chanzo cha msukumo kwa kizazi kijacho
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza alisisitiza kwamba; kufufua kazi za wakubwa ni mwongozo kwa hawza na chanzo cha ilhamu kwa vijana, akasema: Mirza Na’ini ni mfano wa akili ya kimujahidina na kiunganishi…
-
Ayatullah A‘rafiy amebainisha:
Misingi ya usimamizi na mikakati katika upangaji na usimamizi wa Hawza
Hawza/ Ayatullah Alireza A‘rafiy, akiweka bayana nafasi ya kihistoria na kitamaduni ya Hawza, amesisitiza juu ya nafasi ya maulamaa katika kufufua utajo wa Mwenyezi Mungu, kulea kizazi chenye…
-
Ayatullah A‘rafi katika kikao na wakuu wa taasisi za Jihad-e-Daneshgahi nchini Iran:
Vipengele vitatu muhimu kwa ajili ya kazi ya kitamaduni / Tuwe tayari kufanya biashara na Mungu
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza Iran, Ayatullah Alireza A‘rafi, akifafanua kuhusu vipengele vitatu muhimu vya kazi ya kitamaduni, alisema: “Ikhlasi ni kipimo kinachoinua thamani ya kazi. Kufanya biashara…
-
Naibu wa Kimataifa wa Hawza nchini Irani, amesema:
Muungano wa Kidini Chini ya Uongozi wa Mtume wa Uislamu (s.a.w.w)
Hawza/ Naibu wa masuala ya kimataifa wa hawza amesema kuwa; maandalizi maalumu ya maadhimisho ya miaka 1500 tangu kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w) ni fursa adhimu kwa ajili ya kuikuza fikra…
-
Ayatullah A‘rafi katika mkutano wa wasaidizi wa utafiti wa Hawza:
Tabliigh bila mchango wa utafiti haiwezi kufanikiwa/ Tusisahau umuhimu wa mtazamo wa ijtihaadi
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza, Ayatullah Alireza A‘rafi, amesisitiza kuwa kujitolea katika masuala ya utafiti ni sharti muhimu kwa mafanikio ya shughuli za kielimu na za tabligh (ulinganiaji), akibainish…
-
Ayatullah A‘rafi katika kikao cha walimu wa Taasisi ya Elimu ya Juu ya Fiqhi amezungumzia:
Misingi mitano ya maudhui katika ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi wa Iran kwa hawza / Wajibu wa kimataifa wa Hawza na maulama
Hawza/ Ayatullah Alireza A‘rafi amesisitiza kwamba “walengwa wa kwanza wa ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi katika kumbukumbu ya miaka mia moja ya kuasisiwa upya kwa Hawza ya kielimu ya Qum…
-
Ayatullah Araki akiwa pamoja na wasaidizi wa Tablegh wa Hawza ya Qum Iran
Mkutano wa Sharm al-Sheikh Ulikuwa Uwanja wa Fedheha kwa Baadhi ya Viongozi wa nchi Mbele ya Trump
Hawza/ Ayatullah Mohsen Araki, mwanachama wa Baraza Kuu la Hawza na mjumbe wa Baraza la Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu, amesema kwamba mkutano wa kilele uliofanyika mjini Sharm al-Sheikh…
-
Majukumu 14 ya kimkakati ya Hawza ya wanawake / Tofauti ya nafasi ya mwanamke katika Uislamu na Magharibi
Hawza/ Ayatollah A'rafi alieleza kuwa uongozi maalumu kwa wanawake nchini Iran na duniani ni jukumu mahsusi la Hawza ya wanawake na wanafunzi wa kike wa Hawza, na akasema: jukumu jingine ni katika…
-
Mshauri wa Mkurugenzi wa Hawza Iran, katika Masuala ya Madhehebu ya Kiislamu:
Uislamu ndio dini pekee ya kimataifa yenye uwezo wa kujibu mahitaji ya binadamu katika zama zote
Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Zamani, katika hafla ya uzinduzi wa vitabu "Fiqhul-Hukūmah na Fiqhul-Mujtama‘ al-Urūbī", alisema: “Uislamu ndio dini pekee duniani yenye uwezo wa kujibu mahitaji…
-
Ayatullah A‘rafi katika mazungumzo na Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu Pakistan:
“Pakistan itekeleze jukumu la msingi katika mabadiliko yajayo kwenye ulimwengu wa Kiislamu”
Hawzah/ Mkurugenzi wa Vyuo vya Dini vya Kiislamu nchini Iran, Ayatullah Alireza A‘rafi, akizungumza kuhusu nafasi ya kimkakati ya Pakistan katika ulimwengu wa Kiislamu, alisema kuwa nchi hiyo…

