Dini
لیستی صفحه سرویس
-
Ayatullah Arafi:
Jumuiya ya Madaktari ni Hazina Adimu ya Elimu, Ujuzi na Maadili ya Kitaaluma
Hawzah/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran amesema kuwa; jumuiya ya wasomi wa udaktari ni hazina adimu ya elimu, ujuzi na maadili ya kitaaluma, ambayo jukumu lake ni kulinda uhai na afya ya binadamu.
-
Ayatullah A’rafi katika kumbukizi ya siku ya 40 ya mazishi ya Imam Shahidi:
Imam Shahidi alikuwa mbunifu wa kuzalisha nguvu kwa ajili ya Iran/ Taifa limesimama kulipiza damu ya kiongozi wake shahidi
Ayatullah A’rafi, huku akisisitiza kwamba kisasi, kulipiza kisasi na kudai kisasi kwa ajili ya Imam Shahidi na mashahidi wapendwa si jambo la mtu binafsi wala la kihisia, amesema: “Taifa letu…
-
Ayatullah Arafi katika barua kumuelekea Patriaki wa Kanisa la Kiorthodoksi la Romania asisitiza mambo ya pamoja ya kidini na umuhimu wa ushirikiano
Hawza/ Mkuu wa Hawza za Iran, katika barua aliyomwandikia Patriaki wa Kanisa la Kiorthodoksi la Romania, huku akisisitiza mambo ya pamoja ya kiitikadi, kimaadili na kiirfani kati ya Uislamu wa…
-
Ayatollah Arafi Asisitiza Umuhimu wa Umoja wa Kiislamu katika Barua aliyomuandikia Mufti Mkuu wa Romania
Hawza/ Ayatollah Alireza Arafi, Mkurugenzi wa hawza nchini Iran, katika barua aliyomwandikia Mufti Mkuu wa Romania, amesisitiza umuhimu wa umoja wa Kiislamu na kujiepusha na mgawanyiko, huku…
-
Ayatullah Arafi:
Waandishi wa habari wawe wasimulizi wa kwanza wa matukio kwa silaha ya “maadili ya kitaaluma” na “uchambuzi unaokuza uelewa”
Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amewataka waandishi wa habari na askari wa Jihadi ya Ufafanuzi kuwa, katika uwanja huu wa mapambano, watumie silaha mbili za “maadili ya kitaaluma” na “uchambuzi…
-
Ayatullah Arafi:
Uwepo wa Hawza katika soko la uzalishaji na usambazaji wa elimu duniani ni mkakati wa msingi
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amesisitiza kwamba; kuwakilisha Hawza na mafanikio yake katika soko la elimu duniani, pamoja na kwenye vituo vya vyuo vikuu na jumuiya za wasomi na wataalamu…
-
Ayatullah A'rafi:
Shirika la Habari la Hawza Linapaswa Kuwa Rejea ya Kuaminika ya Vyombo vya Habari katika Nyanja za Utamaduni, Imani na Maadili Katika Dunia ya Sasa
Hawza/ Ni lazima Shirika la Habari la Hawza, kama dhihirisho la kimedia la Hawza na wanazuoni wake, kwa kufuata urithi huu mkubwa na wa thamani, liwe ni chombo kinachoakisi maadili yote, huduma…
-
Ayatullah A'rafi Apongeza Tukio la Kihistoria la Mazishi ya Mwili Mtukufu wa Imam Shahidi Nchini Iraq
Yaliyotokea nchini Iraq na katika miji ya Najaf na Karbala wakati wa kuusindikiza mwili mtukufu wa Kiongozi Shahidi na Kiongozi wa Umma, Imam Khamenei (ra), yanaonesha kina cha imani, ikhlasi,…
-
Ayatullah A'rafi Awataka Wananchi Kukamilisha Jihadi Yao kwa Kushiriki kwa Wingi katika Mazishi ya Kiongozi Shahidi
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran ametoa wito kwa wanaume na wanawake wenye uthubutu na ushujaa, wasomi wa vyuo vikuu, vijana wapendwa, wanazuoni wa dini na wananchi wote wa Jamhuri ya Kiislamu…
-
Wanazuoni wa Kishia na Kisunni wa Kashmir Washirikiana Kulinda Umoja wa Kiislamu
Hawza/ Katika kipindi kinachokaribia kuingia mwezi wa Muharram al-Haram, Kamati ya Uratibu ya Kishia na Kisunni ya Majlis Muttahid Ulama Kashmir ilifanya mkutano mjini Srinagar kwa ushiriki wa…
-
Ayatullah Kaabi Aeleza Masharti Yanayopaswa Kuzingatiwa kwa Ajili ya Kumaliza Vita vya Kulazimishwa
Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom amesema: Mfumo Mtakatifu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kamwe hautavuka mistari myekundu inayohusiana na haki za taifa la Iran, na…
-
Ayatullah A'rafi:
Ongezeni Utukufu wa Uwepo wa Wananchi na Vijana wa Iran Mitaani, na Imarisheni Zaidi Utamaduni wa Kishujaa na Roho ya Muqawama/ Taifa la Iran Limeandika Ukurasa wa Dhahabu Katika Historia ya Nchi Hii kwa Zaidi ya Siku Mia Moja
Hawza/ Taifa tukufu na lenye heshima la Iran, hususan vijana wapendwa, kwa uwepo wao kwa zaidi ya siku mia moja katika viwanja na maeneo mbalimbali, wameandika ukurasa wa dhahabu katika historia…

