-
Ayatollah A‘rafi katika kongamano la wanazuoni na wanafunzi wa Ardabil Nchini Iran:
HawzaKuhubiri dini (Tabligh) kumejengwa juu ya msingi wa elimu na hoja za kiakili
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchibi Iran amesema: Wale ambao ndani ya Hawza wanapinga mtazamo wa kisiasa, wao wenyewe wanafikiri kisiasa. Asili ya mfumo wa fikra wa Hawza na uongozi wa kidini ni…
-
Katika Mahojiano na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Qom limejadiliwa:
HawzaUenezaji wa Dini (Tabligh) Katika Zama za Akili Bandia (AI); Je, Mimbari ya Jadi Bado ina Ufanisi?
Hawzah/ Hujjatul Islam wal-Muslimin Sharifi amesema: Leo kuna programu ambazo zinawezesha "mazungumzo na hadithi" au "mazungumzo na tafsiri". Mhubiri anaweza kutumia mifumo hii kupata rasilimali…
-
Ayatullah A‘rafi katika kikao na wasomi wa Iraq:
HawzaMarehemu Naini alikuwa na mchango wenye athari kubwa katika uwanja wa siasa na jamii
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza alibainisha kuwa: “Ameonesha kwamba faqihi anaweza kufuatilia masuala ya kielimu na wakati huo huo awe na nafasi yenye athari katika uwanja wa kisiasa na kijamii.”
-
Ayatullah al-‘Udhma Subhānī:
HawzaIjitihaidishaji wlya ubunifu na juhudi za kielimu za Mirza Nāīnī ni kielelezo kwa wanafunzi na watafiti wa Hawza
Hawza/ Ayatullah Subhānī alisema: Marehemu Mirza Nāīnī, kwa kutumia mbinu bunifu za kielimu katika fiqhi, kama vile kugawa kadhia katika vigawanyo vya kihakika (ḥaqīqiyyah) na vya kihalisia (khārijiyy…
-
Kiongozi wa Mapinduzi Irani, katika kikao na waandaaji wa Mkutano wa Kimataifa wa Mirza Na’ini (ra) alifafanua:
HawzaUbunifu wa kielimu na fikra ya kisiasa ni sifa mbili mashuhuri za Allāmah Na’ini
Hawza/ Hotuba ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran, katika kikao na waandaaji wa Mkutano wa Kimataifa wa Allāmah Mirza Na’ini (r.a), huko Qom Iran, katika eneo la kufanyia mkutano huo.
-
Ayatullah A‘rafi katika Kongamano la Mirza Na’ini:
HawzaMirza Na’ini ni alama ya akili ya jihadi katika fikra ya Kiislamu / Kufufua kazi za wakubwa ni muongozo kwa hawza na chanzo cha msukumo kwa kizazi kijacho
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza alisisitiza kwamba; kufufua kazi za wakubwa ni mwongozo kwa hawza na chanzo cha ilhamu kwa vijana, akasema: Mirza Na’ini ni mfano wa akili ya kimujahidina na kiunganishi…
-
Ayatullah A‘rafiy amebainisha:
HawzaMisingi ya usimamizi na mikakati katika upangaji na usimamizi wa Hawza
Hawza/ Ayatullah Alireza A‘rafiy, akiweka bayana nafasi ya kihistoria na kitamaduni ya Hawza, amesisitiza juu ya nafasi ya maulamaa katika kufufua utajo wa Mwenyezi Mungu, kulea kizazi chenye…
-
Ayatullah A‘rafi katika kikao na wakuu wa taasisi za Jihad-e-Daneshgahi nchini Iran:
HawzaVipengele vitatu muhimu kwa ajili ya kazi ya kitamaduni / Tuwe tayari kufanya biashara na Mungu
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza Iran, Ayatullah Alireza A‘rafi, akifafanua kuhusu vipengele vitatu muhimu vya kazi ya kitamaduni, alisema: “Ikhlasi ni kipimo kinachoinua thamani ya kazi. Kufanya biashara…
-
Naibu wa Kimataifa wa Hawza nchini Irani, amesema:
HawzaMuungano wa Kidini Chini ya Uongozi wa Mtume wa Uislamu (s.a.w.w)
Hawza/ Naibu wa masuala ya kimataifa wa hawza amesema kuwa; maandalizi maalumu ya maadhimisho ya miaka 1500 tangu kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w) ni fursa adhimu kwa ajili ya kuikuza fikra…
-
Ayatullah A‘rafi katika mkutano wa wasaidizi wa utafiti wa Hawza:
HawzaTabliigh bila mchango wa utafiti haiwezi kufanikiwa/ Tusisahau umuhimu wa mtazamo wa ijtihaadi
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza, Ayatullah Alireza A‘rafi, amesisitiza kuwa kujitolea katika masuala ya utafiti ni sharti muhimu kwa mafanikio ya shughuli za kielimu na za tabligh (ulinganiaji), akibainish…
-
Ayatullah A‘rafi katika kikao cha walimu wa Taasisi ya Elimu ya Juu ya Fiqhi amezungumzia:
HawzaMisingi mitano ya maudhui katika ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi wa Iran kwa hawza / Wajibu wa kimataifa wa Hawza na maulama
Hawza/ Ayatullah Alireza A‘rafi amesisitiza kwamba “walengwa wa kwanza wa ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi katika kumbukumbu ya miaka mia moja ya kuasisiwa upya kwa Hawza ya kielimu ya Qum…
-
Ayatullah Araki akiwa pamoja na wasaidizi wa Tablegh wa Hawza ya Qum Iran
HawzaMkutano wa Sharm al-Sheikh Ulikuwa Uwanja wa Fedheha kwa Baadhi ya Viongozi wa nchi Mbele ya Trump
Hawza/ Ayatullah Mohsen Araki, mwanachama wa Baraza Kuu la Hawza na mjumbe wa Baraza la Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu, amesema kwamba mkutano wa kilele uliofanyika mjini Sharm al-Sheikh…
-
HawzaMajukumu 14 ya kimkakati ya Hawza ya wanawake / Tofauti ya nafasi ya mwanamke katika Uislamu na Magharibi
Hawza/ Ayatollah A'rafi alieleza kuwa uongozi maalumu kwa wanawake nchini Iran na duniani ni jukumu mahsusi la Hawza ya wanawake na wanafunzi wa kike wa Hawza, na akasema: jukumu jingine ni katika…
-
Mshauri wa Mkurugenzi wa Hawza Iran, katika Masuala ya Madhehebu ya Kiislamu:
HawzaUislamu ndio dini pekee ya kimataifa yenye uwezo wa kujibu mahitaji ya binadamu katika zama zote
Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Zamani, katika hafla ya uzinduzi wa vitabu "Fiqhul-Hukūmah na Fiqhul-Mujtama‘ al-Urūbī", alisema: “Uislamu ndio dini pekee duniani yenye uwezo wa kujibu mahitaji…
-
Ayatullah A‘rafi katika mazungumzo na Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu Pakistan:
Hawza“Pakistan itekeleze jukumu la msingi katika mabadiliko yajayo kwenye ulimwengu wa Kiislamu”
Hawzah/ Mkurugenzi wa Vyuo vya Dini vya Kiislamu nchini Iran, Ayatullah Alireza A‘rafi, akizungumza kuhusu nafasi ya kimkakati ya Pakistan katika ulimwengu wa Kiislamu, alisema kuwa nchi hiyo…
-
Radi amali ya Katibu Mkuu wa Kataib Sayyid al-Shuhada kuhusiana na kuingizwa kwenye orodha ya magaidi na Marekani:
HawzaKuingizwa jina la “Kataib Sayyid al-Shuhada” katika orodha ya magaidi na Marekani ni alama ya fahkari kwetu
Hawzah/ Abu Ala al-Wala’i, Katibu Mkuu wa Kataib Sayyid al-Shuhada, akijibu kuingizwa kwake na “Kataib Sayyid al-Shuhada” kwenye orodha ya magaidi na Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, ameona…
-
Ayatullah al-Udhma Subhani:
HawzaVitabu vya masomo ya Hawza viwe vinaendana na mahitaji ya zama hizi
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Subhani amesema: “Kwa muda wa miaka hamsini hadi sitini sasa tumefikia hitimisho kwamba ndani ya Hawza za kielimu, vitabu vya masomo vinapaswa kuwa vinaendana na mahitaji…
-
Mwakilishi wa Harakati ya Amal Nchini Iran:
HawzaSilaha za Muqawama wa Hizbullah ni Urithi wa Damu za Mashahidi
Hawza/ Salah Fahsi amesema: Marekani na baadhi ya nchi za Kiarabu bado wanataka kunyang'anywa silaha Jeshi la Hizbullah, lakini shambulizi la utawala wa Kizayuni dhidi ya Qatar liliwafanya wafuasi…
-
HawzaChuki Dhidi ya Uislamu Nchini Argentina; Changamoto Kubwa kwenye Jamii ya Kiislamu
Hawza/ Kuenea kwa chuki dhidi ya Uislamu nchini Argentina imegeuka kuwa tatizo pana linalowaathiri maelfu ya Waislamu wa nchi hiyo. Viongozi wa kidini na maafisa wa Kituo cha Kiislamu wanatahadharisha…
-
Ayatullah A‘rafi katika Hafla ya ufunguzi wa Mwaka wa Masomo kwa Wanafunzi wakike wa Hawza:
HawzaNahjul-Balagha ni Kitabu chenye Mageuzi na Mapinduzi / Wanafunzi wakike wa Hawza wana nafasi ya Kihistoria katika kuiongoza Dunia Mpya
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza Nchini Iran ameitaja Nahjul-Balagha kuwa ni kitabu cha mageuzi na mapinduzi, na kusisitiza: Hawza za wanawake zinapaswa kuanzisha sura maalum ya kuongeza maarifa kuhusu…
-
Ayatullah A‘rafii:
HawzaShambulizi dhidi ya Qatar ni onyo la tahadhari kwa serikali za Kiislamu/ Mazungumzo yamefichua kuwa nguvu za kigeni za kibeberu ni wavunjaji wa ahadi na madhalimu
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom amesema: Serikali za Kiislamu, amkeni! Ikiwa hamtasimama, hamtapinga na mkauvua silaha muqawama, nanyi pia mtaathirika; wao wanataka kutoka kwetu eidha kujisalimisha…
-
Ayatullah A‘rafi katika Kituo cha Tablighi:
HawzaKile kinachoifanya hawza kuwa mahsusi ni “ufikishaji ulio wazi” / Mjadala wa Mapinduzi ya Kiislamu ndiyo mjadala wa Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw)
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza za kielimu, katika sherehe ya ufunguzi wa mwaka mpya wa masomo ya kituo cha kielimu na utafiti cha tablighi alisema: tablighi ni “roho ya undani” ya shughuli zote.…
-
Ayatullah al-Udhma Subḥānī katika ufunguzi wa mwaka wa masomo wa Hawza:
Hawza“Kumpenda Mtume siyo bid‘a, bali ni miongoni mwa misingi ya Uislamu / Wanafunzi wa dini wanapaswa kufanya hijra (kuhama kwa ajili ya kutafuta elimu)
Hawza/ Ayatullah Subḥānī alibainisha: Ikiwa mtu ataishi kwa kuifuata Qur’ani na Sheri‘a, lakini moyoni mwake akawa na chuki dhidi ya Mtume (s.a.w), basi mtu huyo ni kafiri. Na hata asipokuwa…
-
Ayatullah A‘rafi katika hafla ya ufunguzi wa mwaka wa masomo wa Hawza:
HawzaUtambulisho wa urasimi wa kidini (ruhaniyat) una mizizi yake katika Unabii na Uimamu / Nukta 15 kuu katika ujumbe wa kimkakati wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi kwa Hawza
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza Iran, alisrma: Ujumbe wa juu, wa kufungua njia na wa kimkakati wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi kwa Hawza, ni mwongozo wa harakati zetu za leo na kesho, Ujumbe huu ni…
-
HawzaUjumbe wa rambirambi kutoka kwa Ayatollah A‘rafi kuwaelekea wananchi wa Afghanistan
Hawza/ Hawza za Kielimu za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kwa mujibu wa majukumu na risala zake za kidini na kibinadamu, ziko tayari kutoa kila aina ya msaada na ushirikiano kwenye kutatua matatizo…
-
Ayatullah A‘rafi:
HawzaUmuhimu wa kuimarisha mtazamo wa kimataifa wa Hawza / Hawza zinapaswa kuwa na nafasi yenye athari katika uwanja wa kimataifa
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, huku akisisitiza juu ya umuhimu wa uwepo wa kina na wa kivitendo wa Hawza katika uwanja wa kimataifa, amesema: uzalishaji wa kielimu unaolingana na lugha…
-
Ayatullah A‘rafi katika kikao na walimu pamoja na wanazuoni wafuasi wa Ahlul-Bayt nchini Malaysia:
HawzaMsimamo wa Jamhuri ya Kiislamu ni wa madhehebu tofauti na wenye kuzingatia umma wa Kiislamu
Hawza/ Ayatullah A‘rafi alibainisha kuwa msimamo wa Jamhuri ya Kiislamu katika miaka baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ni msimamo wa madhehebu tofauti na unaozingatia maslahi ya umma…
-
HawzaAyatullah A‘rafi akutana na Waziri Mkuu wa Malaysia / Sera ya Serikali na Watu wa Malaysia ni kuliunga mkono taifa la Palestina lililodhulumiwa hususan Gaza
Hawzah/ Mkurugenzi wa Hawzah nchini Iran pamoja na ujumbe alioambatana nao wakiwa na Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Malaysia walikutana na Mheshimiwa Anwar Ibrahim, Waziri Mkuu…
-
HawzaAyatollah Arafi Ashiriki katika Mkutano wa Kimataifa wa Viongozi wa Kidini nchini Malaysia + Picha
Hawza/ Mkutano wa pili wa Kimataifa wa Viongozi wa Kidini Duniani umeanza duru yake mjini Kuala Lumpur ukiwa na ushiriki wa Ayatollah Alireza Arafi, Mkurugenzi wa Hawza Iran, pamoja na zaidi…
-
HawzaWaziri wa Kilimo wa Pakistan, amepata bahati ya kuzuru haramu ya Bibi Fatima Masuma (a.s), iliyopo Qum Iran
Hawza/ “Rana Tanveer Hussain,” Waziri wa Kilimo na Usalama wa Chakula wa Pakistan, katika safari yake mjini Qom Iran, alipata bahati ya kuzuru haramu tukufu ya Bibi Fatima Masuma (a.s)