-
HawzaAyatollah Arafi atuma ujumbe wa pongezi kwa Papa mpya / Asisitiza ushirikiano wa kielimu na kitamaduni kati ya hawza ya Iran na Vatikani
Hawza/ Mkurugenzi (Mudir) wa hawza nchini Iran ametuma ujumbe wa pongezi kwa kuchaguliwa Papa Leon wa kumi na nne kuwa kiongozi wa Katoliki duniani.
-
HawzaMwanafikra wa Kihindi: Hawza ya Qom ndio Mshika Bendera ya Ijtihadi Dhidi ya fikra mgando
Hawza/ Aqil Reza Turabi, mwanafikra wa Kihindi, katika tamko lake ameielezea Hawza ya Elimu ya Qom kuwa ni mfano wa mapinduzi hai, yenye mwanga, kiroho na kiakili.
-
HawzaTaarifa ya Hawza Kuhusiana na Kauli za dhihaka za Trump / Serikali za ukanda huu zisiingie katika mitego ya upuuzi Huo
Uongozi wa hawza, sambamba na kulaani upuuzi wa Rais mwenye dhalili wa Marekani — ambao umetolewa kwa nia ya kuiunga mkono serikali ya Kizayuni na kuchochea mifarakano baina ya nchi za Kiislamu…
-
HawzaAyatollahil-Udhma Jawadi Amuli: “Elimu, Akili na Malezi” ni nguzo tatu za ukombozi kwa Hawza na Vyuo Vikuu
Hawza/ Ayatollahil-Udhma Jawadi Amuli ametaja nguzo tatu za ukombozi, yaani “Elimu, Akili na Malezi”, kuwa ndio njia ya ustawi wa mtu binafsi na jamii katika hawza na vyuo vikuu katika ulimwengu…
-
HawzaAyatollah Yaqubi atoa salamu za rambirambi kufuatia kufariki kwa Ayatollah Sayyid Muhammad Baqir Musawi Kashmiri
Hawza/ Ayatollah Sheikh Muhammad Yaqubi, katika ujumbe wake, alitoa salamu za rambirambi kufuatia kufariki kwa mwanazuoni mchamungu Ayatollah Sayyid Muhammad Baqir Musawi Kashmiri, mmoja wa maulamaa…
-
Hukumu za Kisheria:
HawzaKujibu matusi
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi alijibu swali la kifiqhi kuhusiana na"kuwajibu wanaotoa matusi".
-
Ayatollah A'rafi asema kuwa:
HawzaHawza ya Qom imeenea katika nchi zaidi ya 100 duniani
Mkurugenzi (Mudir) wa Hawza nchini Irani alisema: Katika zaidi ya nchi 100 duniani, vijana wanaopenda maarifa ya kimungu wamejitokeza na kwa kunufaika na maarifa waliyojifunza katika Hawza ya…
-
HawzaAyatollah al-Udhma Subhani amtembelea Ayatollah al-Udhma Nuri Hamedani kwa ajili ya kumjulia hali yake
Ayatollah al-Udhma Subhani alifika katika makaazi ya Ayatollah al-Udhma Nuri Hamedani na kumtembelea Marja’ huyu wa taqlid kwa ajili ya kumjulia hali yame.
-
HawzaAyatollah al-Udhma Jawadi Amoli akutana na Ayatollah al-Udhma Sistani huko Najaf Ashraf
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli alifanikiwa kufika katika makazi ya Ayatollah al-Udhma Sistani katika mji mtukufu wa Najaf, na kukutana na yeye kwa ajili ya kufanya mazungumzo naye.
-
HawzaJe! Kwa nini Kiongozi wa Mapinduzi aliunganisha Hawza na Historia?
Kiongozi wa Mapinduzi katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa kutimia miaka mia moja tangu kuanzishwa upya kwa Hawza ya Qom, kwa kusisitiza nafasi kuu ya historia katika uelewa wa dini, alikumbushia…
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 13
HawzaUmri wa Imamu wa zama (a.s)
Hawza | Kwa mujibu wa itikadi ya wafuasi wa dini zote za mbinguni, vitu vyote ulimwenguni viko chini ya mamlaka ya Mwenyezi Mungu, na athari zitokanazo na vitu hivyo zinategemea matakwa Yake.…
-
HawzaRadi amali ya Hawza kutokana na Upuuzi wa Kubadili Jina la Ghuba ya Uajemi / Hawza ni Ngome Imara Dhidi ya Waharibifu wa Utambulisho wa Kitaifa wa Wairani
Hawza inapinga vikali aina yoyote ya uvamizi na upuuzi kuhusiana na kubadilisha jina la "Ghuba ya Daima ya Uajemi", na inasisitiza juu ya kutetea rasilimali za kitamaduni zilizopo eneo hili pamoja…
-
HawzaBarua ya Ayatollah Arafi kumuelekea Imam Khamenei / Ahadi na Kiaga cha Wanahawza kwa Ajili ya Kutekeleza Azimio la “Hawza Inayosonga mbele na Iliyopo Kileleni”
Mkurugenzi wa Hawza nchi Irani, ametoa shukrani na pongezi kutokana ujumbe wa kihistoria na muhimu ulio tolewa na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwenye kongamano la kumbukumbu ya miaka…
-
Ayatollah al-Udhma Makarem Shirazi katika wosia wake kwa wanafunzi waliovaa rasmi vazi la kidini:
HawzaJana yenu isifanane na leo yenu / Matarajio ya kudhihiri Imam wa zama (a.j.f) kwa wanafunzi yazingatiwe ipasavyo
Hadhrat Ayatollah Makarem Shirazi, ameelezea majukumu mapya yanayoambatana na kuvaa rasmi vazi rasmi la kidini kwa wanafunzi wa Hawza na akasisitiza kuwa: Kuanzia leo mmepata haiba mpya, na haifai…
-
Ayatollah A'arafi amesema:
HawzaUtekelezaji wa Mpango wa awamu ya pili ya Miaka Mitano ya Hawza kwa mujibu wa ujumbe wa kihistoria wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi
Mkurugenzi (Mudir) wa Hawza nchini Irani, huku akitoa shukrani kutokana na ujumbe wa kimkakati na wa kihistoria uliotelewa na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi, ametangaza kuwa mpango wa awamu ya pili…
-
HawzaUjumbe wa Ayatollah al-‘Udhma Nuri Hamedānī kwenye Kongamano la Karne Moja tangia Kuanzishwa Upya Hawza ya Qom
Hawza/ Ayatollah Nurī Hamedānī ametuma ujumbe kwa ajili ya kongamano la kimataifa la kuadhimisha miaka mia moja tangu kuanzishwa upya Hawza ya Qom.
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amuli:
HawzaKuendelezwa elimu za kiakili katika Hawza ni miongoni mwa masuala aliyoyapa umuhimu mkubwa marehemu Ayatollah al-Udhma Hairi / kuzamia katika bahari ya Qur'ani na Ahlul-Bayt ndiyo risala ya Hawza
Kiongozi wa juu wa kidini na mfasiri maarufu wa Qur’ani Tukufu, huku akisisitiza kuwa kuzama katika bahari kuu ya Qur’ani na Ahlul-Bayt ni risala ya Hawza, alisema: Marehemu Ayatollah al-Udhma…
-
Ayatollah al-Udhma Subhani:
HawzaMarehemu Ayatollah al-Udhma Ha’iri alikuwa mfano wa wazi wa "العالم بزمانه" (mwanazuoni katika zama zake), Hawza ya Qom ni muendelezo wa kihistoria wa Hawza ya Madina, Kufa na Khorasan
Mwanachuoni mkubwa katika ulimwengu ya Kishia, sambamba na kuelezea mchakato wa kihistoria wa kuundwa kwa Hawza za fiqhi na hadithi kutoka Madina tukufu hadi Qom, alisema: Marehemu Ayatollah…
-
Ayatollah Shab Zendedar:
HawzaJe! Endapo Hawza na maulamaa wasingekuwepo, katika Uislamu kingelibakia chochote?
Katika nukuu yake, Katibu wa Baraza Kuu la Hawza alisema: Katika kipindi chote cha harakati za Ma’imamu watoharifu (ʿalayhim al-salām), fursa kubwa ya kueneza maarifa ya Kiislamu haikupatikana.…
-
Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Kongamano la Maadhimisho ya Miaka Mia Moja Tangia Kuasisiwa upya Hawza ya Qum:
HawzaJukumu kuu zaidi la hawza ni "balāgh mubīn" (ufikishaji ulio bayana) na kuandaa mazingira ya ustaarabu mpya wa Kiislamu / Utekelezaji wa hawza yenye kujenga ustaarabu kupitia kulea “mujahid wa kitamaduni aliyejitakashasha kimaadili” na “mbunifu”
Ayatollah Ali Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika ujumbe wake kwa kongamano la “maadhimisho ya miaka mia moja tangu kuasisiwa upya kwa Hawza ya Kielimu ya Qum,” pamoja na kubainisha…
-
Mhubiri wa Kimataifa katika Mazungumzo na Mwandishi wa Habari wa Idara ya Hawza:
HawzaHawza ndio taasisi pekee inayojenga ustaarabu na kumjenga mwanadamu duniani
Suheil As'ad alisisitiza kuwa: Hawza, hasa Hawza ya Qum, ndio taasisi ya kidini duniani ambayo imeweza kuchukua nafasi muhimu katika mchakato wa kujenga ustaarabu mpya wa Kiislamu na kulea watu…
-
HawzaJe, mfumo wa Hawza ya Najaf ulikuwa ni wenye kujiepusha na siasa?
Kinyume na dhana iliyojengeka, maktaba ya Najaf hayajawahi kujitenga na siasa, bali katika historia yake imekuwa na nafasi muhimu katika mageuzi ya kisiasa. Kuanzia ushiriki wake katika harakati…
-
HawzaMwalimu wa Hawza: Hawza ya Qum Ipo Mstari wa Mbele katika Kuipanua Tawhidi na Kupambana na Tw'aghuti (Shet'ani)
Hujjatul Islam Abidiyan amesema: Kinyume na baadhi ya hawza ambazo zimefuata njia potofu ya kisekula na hazikuwa na uelewa sahihi wala basira (maono) ya kina kuhusu misheni asilia, Hawza ya Qum…
-
Mkurugenzi (Mud'ir) wa Jami'atu az-Zahra (s) Iran:
HawzaHarakati Pana za Hawza ya Wanawake ni Miongoni mwa Baraka za Hawza ya Qum ndani ya karne hii
Mkurugenzi wa Jami'atu az-Zahra (s) nchini Iran amesema: Miongoni mwa baraka za Hawza ya kielimu ya Qum katika karne hii ni harakati pana inayoyofanywa na hawza ya wanawake, Hawza ambayo imezaa…
-
HawzaJe! Ni kwa Nini Jamii Inamhitajia Mwanazuoni wa dini ya Kiislamu (Talabe)?
Wanazuoni wa dini, kama madaktari wa kiroho kwenye jamii, wana nafasi ya juu zaidi katika kutekeleza ibada za kidini. Kutokana na utaalamu wao katika elimu ya dini, wao hujibu mahitaji ya kimaanawi…
-
Ayatollah A'rafi katika mkutano na waandishi wa habari kuhusu kongamano la kuanzishwa kwa upya Hawza ya Qum:
HawzaHawza ya Qum ina mwendelezo wa kimataifa/ Hawza na maulamaa pasi na watu havina maana
Mkurugenzi wa Hawza Irani, katika mkutano na waandishi wa habari pamoja na wanahabari, alifafanua vipengele vya mabadiliko vilivyo leta athari katika Hawza ya Qum ndani ya kipindi cha miaka mia…
-
HawzaAyatollah Borujerdi na mbinu za uendeshaji wa Hawza
Kwa kuanza kwa Marjaiyya ya Ayatollah Borujerdi, Hawza ya Qom ambayo mnamo mwaka 1326 Hijria Shamsiyya ilikuwa na takriban wanafunzi 2,000, iliingia kwenye mageuzi ya kimfumo. Mageuzi haya yaliambatan…
-
HawzaHawza ya Qum; Muunganiko ulio na miaka takriban Elfu katika elimu ya kiislamu na ulimwengu wa zama hizi
Hawza ya Qum ikiwa ni urithi wa zaidi ya miaka 1200, siyo tu mojawapo ya vituo vikuu vya uzalishaji na usambazaji wa elimu ya Kiislamu, bali pia kwa kulea wanafunzi wa kimataifa na kuwaunganisha,…
-
Makamu wa Rais wa Baraza la Ulama wa kishia Pakistan:
HawzaUmoja na mshikamano ndiyo njia ya uokovu kwa umma wa kiislamu
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Arif Hussein Wahidi, katika mkutano wa kitaifa wa umoja, alitaja umoja wa umma wa kiislamu kuwa ndio njia pekee ya kukabiliana na maadui, na akataka ujumbe wa Qur’ani…
-
Mudiri wa Ofisi ya Fiqhi Mu'asir katika Hawza ya Qom:
HawzaTija za elimu zilizo zalishwa na wakubwa wa Hawza ni hazina yenye thamani kubwa kwa fiqhi ya zama hizi
Hujjatul Islam wal-Muslimin Ithnā‘asharī amesema: Bila shaka, tija za elimu zilizoachwa na Ayatollah Būrūjirdī (r.a), Imamu Khumaynī (r.a), Ayatollah Hā’irī (r.a), na wakubwa wengine, ni hazina…