-
HawzaAyatullah A’rafi Abainisha Mambo 10 ya Kimkakati Kuelekea Mwaka Mpya wa Masomo ya Hawza/ Tuchukue Kiaga Cha Kulingania kwa Mwenyezi Mungu
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amesema kuwa Hawza zinapaswa kutekeleza ipasavyo jukumu lake la kihistoria kwa kutambua kwa usahihi mazingira ya zama, mahitaji ya jamii na mabadiliko…
-
Ayatullah Arafi:
HawzaUhalifu wa Marekani katika Sherehe ya Harusi ya Sirik ni “Uhalifu wa Kivita”; Majibu Makali yaendelee Hadi Kuzuia Kabisa Uchokozi wa Adui
Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amelaani vikali shambulio la anga la Marekani dhidi ya maeneo ya makazi na sherehe ya harusi katika eneo la Sirik, mkoani Hormozgan, akilitaja tukio hilo kuwa…
-
Ayatullah Arafi katika Mkutano wa Umoja Ameelezea:
HawzaNguzo Tano Muhimu za Nadharia ya Umoja katika Fikra za Mapinduzi ya Kiislamu / Umoja Haumaanishi Kupuuza Tofauti na Kufuta Utambulisho wa Kimadhehebu
Ayatullah Alireza Arafi amesisitiza kwamba, kwa mtazamo wa mfumo wa fikra wa Mapinduzi ya Kiislamu na fikra za Imam Khomeini, Imam aliyeondoka na Imam Shahidi, umoja wa Kiislamu haumaanishi kukataa…
-
Ayatullah Arafi:
HawzaJumuiya ya Madaktari ni Hazina Adimu ya Elimu, Ujuzi na Maadili ya Kitaaluma
Hawzah/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran amesema kuwa; jumuiya ya wasomi wa udaktari ni hazina adimu ya elimu, ujuzi na maadili ya kitaaluma, ambayo jukumu lake ni kulinda uhai na afya ya binadamu.
-
Ayatullah A’rafi katika kumbukizi ya siku ya 40 ya mazishi ya Imam Shahidi:
HawzaImam Shahidi alikuwa mbunifu wa kuzalisha nguvu kwa ajili ya Iran/ Taifa limesimama kulipiza damu ya kiongozi wake shahidi
Ayatullah A’rafi, huku akisisitiza kwamba kisasi, kulipiza kisasi na kudai kisasi kwa ajili ya Imam Shahidi na mashahidi wapendwa si jambo la mtu binafsi wala la kihisia, amesema: “Taifa letu…
-
HawzaAyatullah Arafi katika barua kumuelekea Patriaki wa Kanisa la Kiorthodoksi la Romania asisitiza mambo ya pamoja ya kidini na umuhimu wa ushirikiano
Hawza/ Mkuu wa Hawza za Iran, katika barua aliyomwandikia Patriaki wa Kanisa la Kiorthodoksi la Romania, huku akisisitiza mambo ya pamoja ya kiitikadi, kimaadili na kiirfani kati ya Uislamu wa…
-
HawzaAyatollah Arafi Asisitiza Umuhimu wa Umoja wa Kiislamu katika Barua aliyomuandikia Mufti Mkuu wa Romania
Hawza/ Ayatollah Alireza Arafi, Mkurugenzi wa hawza nchini Iran, katika barua aliyomwandikia Mufti Mkuu wa Romania, amesisitiza umuhimu wa umoja wa Kiislamu na kujiepusha na mgawanyiko, huku…
-
Ayatullah Arafi:
HawzaWaandishi wa habari wawe wasimulizi wa kwanza wa matukio kwa silaha ya “maadili ya kitaaluma” na “uchambuzi unaokuza uelewa”
Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amewataka waandishi wa habari na askari wa Jihadi ya Ufafanuzi kuwa, katika uwanja huu wa mapambano, watumie silaha mbili za “maadili ya kitaaluma” na “uchambuzi…
-
Ayatullah Arafi:
HawzaUwepo wa Hawza katika soko la uzalishaji na usambazaji wa elimu duniani ni mkakati wa msingi
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amesisitiza kwamba; kuwakilisha Hawza na mafanikio yake katika soko la elimu duniani, pamoja na kwenye vituo vya vyuo vikuu na jumuiya za wasomi na wataalamu…
-
Ayatullah A'rafi:
HawzaShirika la Habari la Hawza Linapaswa Kuwa Rejea ya Kuaminika ya Vyombo vya Habari katika Nyanja za Utamaduni, Imani na Maadili Katika Dunia ya Sasa
Hawza/ Ni lazima Shirika la Habari la Hawza, kama dhihirisho la kimedia la Hawza na wanazuoni wake, kwa kufuata urithi huu mkubwa na wa thamani, liwe ni chombo kinachoakisi maadili yote, huduma…
-
HawzaAyatullah A'rafi Apongeza Tukio la Kihistoria la Mazishi ya Mwili Mtukufu wa Imam Shahidi Nchini Iraq
Yaliyotokea nchini Iraq na katika miji ya Najaf na Karbala wakati wa kuusindikiza mwili mtukufu wa Kiongozi Shahidi na Kiongozi wa Umma, Imam Khamenei (ra), yanaonesha kina cha imani, ikhlasi,…
-
HawzaAyatullah A'rafi Awataka Wananchi Kukamilisha Jihadi Yao kwa Kushiriki kwa Wingi katika Mazishi ya Kiongozi Shahidi
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran ametoa wito kwa wanaume na wanawake wenye uthubutu na ushujaa, wasomi wa vyuo vikuu, vijana wapendwa, wanazuoni wa dini na wananchi wote wa Jamhuri ya Kiislamu…
-
HawzaWanazuoni wa Kishia na Kisunni wa Kashmir Washirikiana Kulinda Umoja wa Kiislamu
Hawza/ Katika kipindi kinachokaribia kuingia mwezi wa Muharram al-Haram, Kamati ya Uratibu ya Kishia na Kisunni ya Majlis Muttahid Ulama Kashmir ilifanya mkutano mjini Srinagar kwa ushiriki wa…
-
HawzaAyatullah Kaabi Aeleza Masharti Yanayopaswa Kuzingatiwa kwa Ajili ya Kumaliza Vita vya Kulazimishwa
Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom amesema: Mfumo Mtakatifu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kamwe hautavuka mistari myekundu inayohusiana na haki za taifa la Iran, na…
-
Ayatullah A'rafi:
HawzaOngezeni Utukufu wa Uwepo wa Wananchi na Vijana wa Iran Mitaani, na Imarisheni Zaidi Utamaduni wa Kishujaa na Roho ya Muqawama/ Taifa la Iran Limeandika Ukurasa wa Dhahabu Katika Historia ya Nchi Hii kwa Zaidi ya Siku Mia Moja
Hawza/ Taifa tukufu na lenye heshima la Iran, hususan vijana wapendwa, kwa uwepo wao kwa zaidi ya siku mia moja katika viwanja na maeneo mbalimbali, wameandika ukurasa wa dhahabu katika historia…
-
Ayatullah A'rafi Afafanua:
HawzaMikakati 6 Muhimu ya Utoaji Huduma kwa Wanaharakati wa Hawza/ Hawza ni Mtumishi wa Watu Wapendwa
Hawza/ Mkuu wa Hawza nchini Iran alisisitiza kuwa: Bila shaka, Hawza katika historia yake daima hazikuwa taasisi za elimu na ufundishaji pekee, bali sambamba na kubainisha maarifa ya Mwenyezi…
-
HawzaMkutano wa kielimu/ “Ghadir; Nukta ya Pamoja katika Umma wa Kiislamu” wafanyika Tanzania
Hawza/ Mkutano wa kielimu na kitamaduni wenye anuani isemayo “Ghadir; Nukta ya Pamoja katika Umma wa Kiislamu”, uliokuwa na lengo la kuchunguza tukio la Ghadir kwa mtazamo wa Shia na Ahlu Sunna,…
-
HawzaBaraza Kuu la Hawza za latuma Ujumbe wa Rambirambi kufuatia kufariki Ayatullah al-Udhma Fayyadh
Hawza/ Baraza Kuu la Hawza limetoa ujumbe wa rambirambi kufuatia kufariki kwa Mtukufu Ayatullah Muhammad Ishaq Fayyadh, mmoja wa Marajii wa Taqlid wa Najaf Ashraf.
-
Ayatullah A'rafi katika ujumbe wa rambirambi:
HawzaUbunifu wa kielimu, kifiqhi na huduma za kidini pamoja na tablighi vilimfanya Ayatullah al-Udhma Fayyadh kuwa shakhsia mashuhuri
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran amesema: Ubunifu wa kielimu na kifiqhi sambamba na huduma za kidini na tablighi za Ayatullah al-Udhma Fayyadh, hasa mchango wake usiosahaulika katika kufufua…
-
Ayatullah A'raafi katika ujumbe wa uchambuzi na kimkakati amefafanua:
HawzaSifa kuu 9 za kimkakati za harakati kubwa ya taifa la Iran / Kwa nini tarehe 15 Khordad bendera ilipeperushwa juu ya paa la Iran?
Hawza/ Mwezi wa Khordad katika historia ya Mapinduzi matukufu ya Kiislamu ni mwezi uliojaa matukio yenye kuamua hatima, yaliyochanganyika na siri nyingi zenye mafunzo na mafunzo ya kudumu. Miongoni…
-
HawzaAyatullah al-Udhma Subhani amthamini muuguzi aliyeyaokoa maisha ya watoto wachanga nchini Iran
Hawza/ Hadhrat Ayatullah Subhani, huku akitoa shukrani kwa juhudi za jamii ya sekta ya afya, alisema: Niliona picha za kujitolea mhanga kwa muuguzi aliyekuwa akiwaokoa watoto wachanga; aliumba…
-
Ayatullah Alireza Arafi:
HawzaMikusanyiko ya wananchi katika nyanja za uwanjani ndiyo fursa bora zaidi ya kuinua kiwango cha dini kwa watu na kuvutia hawza
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza nchini Iran, amesisitiza umuhimu wa kuendelea, kupanua na kuimarisha uwepo wa wananchi wapendwa na vijana waungwana katika nyanja na barabara, na ametaka kutumiwa kwa…
-
HawzaTaarifa ya uchambuzi na mikakati ya Alireza Arafi mwanzoni mwa wiki ya kumi na mbili ya vita vya tatu vya kulazimishwa/ Kurudi nyuma kutoka Mlango wa Hormuz maana yake ni kumpa adui ufunguo wa uchumi na usalama wa Iran
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, katika taarifa yake ya uchambuzi mikakati mwanzoni mwa wiki ya kumi na mbili ya vita vya tatu vya kulazimishwa, huku akirejelea majukumu ya viongozi, wanazuoni…
-
Naibu wa Masuala ya Kimataifa wa Hawza nchini Iran:
HawzaDunia imeingia katika mfumo mpya baada ya Vita vya Ramadhani / Tumefikia hatua ya kuamua mambo baada ya kuwa katika hatua ya kujihami
Hawza/ Hujjatul Islam wal-Muslimin Hussein Kouhsari, akisisitiza kwamba; hawza ndio mstari wa mbele wa medani ya mapambano dhidi ya mfumo wa ubeberu, alisema: Dunia imeingia katika mfumo mpya…
-
Naibu Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran:
HawzaKusimama imara ni sababu ya heshima na nguvu/ Muqawama una mizizi katika fitra ya Mwenyezi Mungu ndani ya mwanadamu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Hamid Malikii katika kikao cha “Maadili ya Muqawama” mjini Qom Iran, akisisitiza kwamba; Muqawama una mizizi katika fitra ya Mwenyezi Mungu ndani ya mwanadamu…
-
Ayatullah Arafi katika hotuba za Swala ya Ijumaa alifafanua:
HawzaMakosa 14 ya kimahesabu aliyoyafanya adui katika vita vya kulazimishwa vya Ramadhani
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa wa Qum alielezea makosa 14 ya kimahesabu yaliyofanywa na adui katika vita vya Ramadhani, na kusisitiza kwamba; makosa hayo yamewaweka katika mashinikizo makubwa…
-
Ayatullah A‘rafi katika ujumbe wake:
HawzaUjumbe wa kihistoria na wa kistaarabu wa “Hawza Inayoongoza na Bora” ni kiini cha fikra za Kiongozi Shahidi/ Mambo matano muhimu ya Mkuu wa Hawza
Hawza/ Msiba wenye kuunguza moyo na shahada ya dhulma ya Imam na Kiongozi Shahidi Ayatullah al-Udhma Khamenei (q.s), ulizalisha mwamko wa kushangaza na mapinduzi makubwa yaliyoenea nchini Iran,…
-
Ayatollah A‘rafi katika kikao na wakurugenzi wa mikoa wa Hawza:
HawzaKubeba bendera na kuwepo uwanjani ni kipaumbele cha kwanza cha Hawza na wanazuoni/ Kurudi nyuma na kulegeza msimamo ni sawa na kurudi nyuma karne moja
Hawza/ Mkuu wa Hawza za elimu ya dini, kwa kubainisha majukumu makuu ya Hawza katika hali nyeti ya sasa, alisema kuwa, kubeba bendera na uwepo uwanjani ni kipaumbele cha kwanza cha Hawza na wanazuoni,…
-
Ayatullah al-‘Udhma Subhani:
HawzaUshirikiano wa moyo na udugu ni rasilimali muhimu zaidi kwa umoja wa umma wa Kiislamu
Hawza/ Mmoja wa Mara'ji' wakuu wa Taqlid katika ujumbe wake ulio na anuani isemayo “Umoja wa Umma wa Kiislamu” ameeleza kwamba; mshikamano wa moyo na udugu ndio rasilimali muhimu zaidi kwa umoja…
-
Ayatullah A‘rafi:
HawzaWanazuoni wa dini wawe macho na hawza pamoja na taifa la Iran viendeleze kwa uthabiti zaidi njia ya miezi miwili iliyopita
Hawza/ Wanazuoni wa dini wawe macho na hawza za elimu ya dini waendelea kuwa katikati ya uwanja na mitaani pamoja na watu, wakiwa watumishi wa taifa na wapiganaji katika njia ya Mwenyezi Mungu,…