Jumatano 10 Juni 2026
  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Mkutano wa kielimu/ “Ghadir; Nukta ya Pamoja katika Umma wa Kiislamu” wafanyika Tanzania

    HawzaMkutano wa kielimu/ “Ghadir; Nukta ya Pamoja katika Umma wa Kiislamu” wafanyika Tanzania

    Hawza/ Mkutano wa kielimu na kitamaduni wenye anuani isemayo “Ghadir; Nukta ya Pamoja katika Umma wa Kiislamu”, uliokuwa na lengo la kuchunguza tukio la Ghadir kwa mtazamo wa Shia na Ahlu Sunna,…

    2026-06-09 10:59
  • Baraza Kuu la Hawza za latuma Ujumbe wa Rambirambi kufuatia kufariki Ayatullah al-Udhma Fayyadh

    HawzaBaraza Kuu la Hawza za latuma Ujumbe wa Rambirambi kufuatia kufariki Ayatullah al-Udhma Fayyadh

    Hawza/ Baraza Kuu la Hawza limetoa ujumbe wa rambirambi kufuatia kufariki kwa Mtukufu Ayatullah Muhammad Ishaq Fayyadh, mmoja wa Marajii wa Taqlid wa Najaf Ashraf.

    2026-06-09 02:40
  • Ubunifu wa kielimu, kifiqhi na huduma za kidini pamoja na tablighi vilimfanya Ayatullah al-Udhma Fayyadh kuwa shakhsia mashuhuri

    Ayatullah A'rafi katika ujumbe wa rambirambi:

    HawzaUbunifu wa kielimu, kifiqhi na huduma za kidini pamoja na tablighi vilimfanya Ayatullah al-Udhma Fayyadh kuwa shakhsia mashuhuri

    Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran amesema: Ubunifu wa kielimu na kifiqhi sambamba na huduma za kidini na tablighi za Ayatullah al-Udhma Fayyadh, hasa mchango wake usiosahaulika katika kufufua…

    2026-06-05 23:55
  • Sifa kuu 9 za kimkakati za harakati kubwa ya taifa la Iran / Kwa nini tarehe 15 Khordad bendera ilipeperushwa juu ya paa la Iran?

    Ayatullah A'raafi katika ujumbe wa uchambuzi na kimkakati amefafanua:

    HawzaSifa kuu 9 za kimkakati za harakati kubwa ya taifa la Iran / Kwa nini tarehe 15 Khordad bendera ilipeperushwa juu ya paa la Iran?

    Hawza/ Mwezi wa Khordad katika historia ya Mapinduzi matukufu ya Kiislamu ni mwezi uliojaa matukio yenye kuamua hatima, yaliyochanganyika na siri nyingi zenye mafunzo na mafunzo ya kudumu. Miongoni…

    2026-06-04 11:06
  • Ayatullah al-Udhma Subhani amthamini muuguzi aliyeyaokoa maisha ya watoto wachanga nchini Iran

    HawzaAyatullah al-Udhma Subhani amthamini muuguzi aliyeyaokoa maisha ya watoto wachanga nchini Iran

    Hawza/ Hadhrat Ayatullah Subhani, huku akitoa shukrani kwa juhudi za jamii ya sekta ya afya, alisema: Niliona picha za kujitolea mhanga kwa muuguzi aliyekuwa akiwaokoa watoto wachanga; aliumba…

    2026-05-16 14:00
  • Mikusanyiko ya wananchi katika nyanja za uwanjani ndiyo fursa bora zaidi ya kuinua kiwango cha dini kwa watu na kuvutia hawza

    Ayatullah Alireza Arafi:

    HawzaMikusanyiko ya wananchi katika nyanja za uwanjani ndiyo fursa bora zaidi ya kuinua kiwango cha dini kwa watu na kuvutia hawza

    Hawza/ Mkurugenzi wa hawza nchini Iran, amesisitiza umuhimu wa kuendelea, kupanua na kuimarisha uwepo wa wananchi wapendwa na vijana waungwana katika nyanja na barabara, na ametaka kutumiwa kwa…

    2026-05-15 15:03
  • Taarifa ya uchambuzi na mikakati ya Alireza Arafi mwanzoni mwa wiki ya kumi na mbili ya vita vya tatu vya kulazimishwa/ Kurudi nyuma kutoka Mlango wa Hormuz maana yake ni kumpa adui ufunguo wa uchumi na usalama wa Iran

    HawzaTaarifa ya uchambuzi na mikakati ya Alireza Arafi mwanzoni mwa wiki ya kumi na mbili ya vita vya tatu vya kulazimishwa/ Kurudi nyuma kutoka Mlango wa Hormuz maana yake ni kumpa adui ufunguo wa uchumi na usalama wa Iran

    Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, katika taarifa yake ya uchambuzi mikakati mwanzoni mwa wiki ya kumi na mbili ya vita vya tatu vya kulazimishwa, huku akirejelea majukumu ya viongozi, wanazuoni…

    2026-05-14 01:09
  • Dunia imeingia katika mfumo mpya baada ya Vita vya Ramadhani / Tumefikia hatua ya kuamua mambo baada ya kuwa katika hatua ya kujihami

    Naibu wa Masuala ya Kimataifa wa Hawza nchini Iran:

    HawzaDunia imeingia katika mfumo mpya baada ya Vita vya Ramadhani / Tumefikia hatua ya kuamua mambo baada ya kuwa katika hatua ya kujihami

    Hawza/ Hujjatul Islam wal-Muslimin Hussein Kouhsari, akisisitiza kwamba; hawza ndio mstari wa mbele wa medani ya mapambano dhidi ya mfumo wa ubeberu, alisema: Dunia imeingia katika mfumo mpya…

    2026-05-10 19:30
  • Kusimama imara ni sababu ya heshima na nguvu/ Muqawama una mizizi katika fitra ya Mwenyezi Mungu ndani ya mwanadamu

    Naibu Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran:

    HawzaKusimama imara ni sababu ya heshima na nguvu/ Muqawama una mizizi katika fitra ya Mwenyezi Mungu ndani ya mwanadamu

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Hamid Malikii katika kikao cha “Maadili ya Muqawama” mjini Qom Iran, akisisitiza kwamba; Muqawama una mizizi katika fitra ya Mwenyezi Mungu ndani ya mwanadamu…

    2026-05-09 15:40
  • Makosa 14 ya kimahesabu aliyoyafanya adui katika vita vya kulazimishwa vya Ramadhani

    Ayatullah Arafi katika hotuba za Swala ya Ijumaa alifafanua:

    HawzaMakosa 14 ya kimahesabu aliyoyafanya adui katika vita vya kulazimishwa vya Ramadhani

    Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa wa Qum alielezea makosa 14 ya kimahesabu yaliyofanywa na adui katika vita vya Ramadhani, na kusisitiza kwamba; makosa hayo yamewaweka katika mashinikizo makubwa…

    2026-05-09 14:40
  • Ujumbe wa kihistoria na wa kistaarabu wa “Hawza Inayoongoza na Bora” ni kiini cha fikra za Kiongozi Shahidi/ Mambo matano muhimu ya Mkuu wa Hawza

    Ayatullah A‘rafi katika ujumbe wake:

    HawzaUjumbe wa kihistoria na wa kistaarabu wa “Hawza Inayoongoza na Bora” ni kiini cha fikra za Kiongozi Shahidi/ Mambo matano muhimu ya Mkuu wa Hawza

    Hawza/ Msiba wenye kuunguza moyo na shahada ya dhulma ya Imam na Kiongozi Shahidi Ayatullah al-Udhma Khamenei (q.s), ulizalisha mwamko wa kushangaza na mapinduzi makubwa yaliyoenea nchini Iran,…

    2026-05-08 01:06
  • Kubeba bendera na kuwepo uwanjani ni kipaumbele cha kwanza cha Hawza na wanazuoni/ Kurudi nyuma na kulegeza msimamo ni sawa na kurudi nyuma karne moja

    Ayatollah A‘rafi katika kikao na wakurugenzi wa mikoa wa Hawza:

    HawzaKubeba bendera na kuwepo uwanjani ni kipaumbele cha kwanza cha Hawza na wanazuoni/ Kurudi nyuma na kulegeza msimamo ni sawa na kurudi nyuma karne moja

    Hawza/ Mkuu wa Hawza za elimu ya dini, kwa kubainisha majukumu makuu ya Hawza katika hali nyeti ya sasa, alisema kuwa, kubeba bendera na uwepo uwanjani ni kipaumbele cha kwanza cha Hawza na wanazuoni,…

    2026-05-03 23:53
  • Ushirikiano wa moyo na udugu ni rasilimali muhimu zaidi kwa umoja wa umma wa Kiislamu

    Ayatullah al-‘Udhma Subhani:

    HawzaUshirikiano wa moyo na udugu ni rasilimali muhimu zaidi kwa umoja wa umma wa Kiislamu

    Hawza/ Mmoja wa Mara'ji' wakuu wa Taqlid katika ujumbe wake ulio na anuani isemayo “Umoja wa Umma wa Kiislamu” ameeleza kwamba; mshikamano wa moyo na udugu ndio rasilimali muhimu zaidi kwa umoja…

    2026-05-02 11:22
  • Wanazuoni wa dini wawe macho na hawza pamoja na taifa la Iran viendeleze kwa uthabiti zaidi njia ya miezi miwili iliyopita

    Ayatullah A‘rafi:

    HawzaWanazuoni wa dini wawe macho na hawza pamoja na taifa la Iran viendeleze kwa uthabiti zaidi njia ya miezi miwili iliyopita

    Hawza/ Wanazuoni wa dini wawe macho na hawza za elimu ya dini waendelea kuwa katikati ya uwanja na mitaani pamoja na watu, wakiwa watumishi wa taifa na wapiganaji katika njia ya Mwenyezi Mungu,…

    2026-05-01 23:20
  • Raddi amali ya Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qum kuhusu maneno ya kipuuzi ya rais mwenye dhana potofu wa Marekani

    HawzaRaddi amali ya Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qum kuhusu maneno ya kipuuzi ya rais mwenye dhana potofu wa Marekani

    Hawza/ Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Kielimu ya Qum, kwa kuashiria umoja uliopo kati ya mihimili mitatu ya dola ya Iran, vikosi vya kijeshi na wananchi, imewataka watu wote kuwa macho mbele ya…

    2026-04-25 21:33
  • Watu wote duniani wajue kuwa watu na viongozi wa Iran wakiwa wameungana na wameshikamana wako tayari kukabiliana na adui

    Ayatullah A‘rafi:

    HawzaWatu wote duniani wajue kuwa watu na viongozi wa Iran wakiwa wameungana na wameshikamana wako tayari kukabiliana na adui

    Hawza/ Watu wote duniani wajue kwamba sasa nyoyo, hatua na safu za taifa la Iran na muqawama pamoja na taasisi zote, viongozi, vyombo na mikondo ya Iran ya Kiislamu na muqawama, zimeungana zaidi…

    2026-04-25 14:28
  • Lazima tuzuie ardhi za Kiislamu kubadilishwa kuwa uwanja wa vita vinavyofuatana/ Yanayotokea leo si tu mgongano wa kijeshi

    Hotuba ya Ayatollah A‘rafi kwa wanazuoni na wanye kuutakia wema Uislamu:

    HawzaLazima tuzuie ardhi za Kiislamu kubadilishwa kuwa uwanja wa vita vinavyofuatana/ Yanayotokea leo si tu mgongano wa kijeshi

    Hawza/ Yanayotokea leo si tu mgongano wa kijeshi; bali ni tukio ambalo linaweza kuathiri mustakabali wa ulimwengu wa Kiislamu na hata msingi wa kimaadili wa mahusiano baina ya mataifa. Ikiwa…

    2026-04-22 15:36
  • Kiongozi mtukufu wa Kanisa Katoliki duniani; sisi wana hawza tunathamini misimamo hii ya kimaadili na kibinadamu mliyoionesha, na tunaamini hivyo, umeendelea kubaki mwaminifu kwa ujumbe wa kweli wa Ukristo

    Ayatollah Arafi katika barua yake ya kumshukuru Papa wa kumi na nne:  

    HawzaKiongozi mtukufu wa Kanisa Katoliki duniani; sisi wana hawza tunathamini misimamo hii ya kimaadili na kibinadamu mliyoionesha, na tunaamini hivyo, umeendelea kubaki mwaminifu kwa ujumbe wa kweli wa Ukristo

    Hawza/ Katika zama ambazo ukimya mbele ya dhulma umegeuka kuwa lugha ya kawaida ya wenye nguvu na wale wanaodai haki za binadamu, na viongozi wengi duniani wamenyamaza au katika mizunguko ya…

    2026-04-14 20:02
  • Vita ya tatu ya kulazimishwa, ni utetezi wa Mapinduzi na watu wa Iran pamoja na wapiganaji wa Uislamu/ Kipaumbele cha leo ni harakati za wanahawza

    Ayatullah A‘rafi abainisha kwamba:

    HawzaVita ya tatu ya kulazimishwa, ni utetezi wa Mapinduzi na watu wa Iran pamoja na wapiganaji wa Uislamu/ Kipaumbele cha leo ni harakati za wanahawza

    Hawza/ Mkurugenzi wa hawza nchini Iran, akirejelea shughuli za ziada na zenye thamani za madrasa za kidini na vituo vya usimamizi vya mikoa katika Vita ya Ramadhani, alisisitiza: Shughuli za…

    2026-04-14 08:25
  • Ujumbe muhimu wa Ayatullah A'rafi kwa wananchi makini na shujaa wa Jamhuri ya Kiislamu Iran, na Umma wa Kiislamu

    HawzaUjumbe muhimu wa Ayatullah A'rafi kwa wananchi makini na shujaa wa Jamhuri ya Kiislamu Iran, na Umma wa Kiislamu

    Hawza/ Ayatullah A'rafi ametoa ujumbe muhimu uliowasilishwa kwa wananchi makini na jasiri wa Jamhuri ya Kiislamu na Umma wa Kiislamu.

    2026-03-29 18:00
  • Ayatullah A'rafi amewataka wanazuoni katika ulimwengu wa Kiislamu kuonesha mshikamano dhahiri, wa wanazuoni wa Kiislamu na dini mbalimbali katika kipindi hiki cha kihistoria

    Msaidizi wa Masuala ya Kimataifa wa Hawza Nchini Iran, Amesema:

    HawzaAyatullah A'rafi amewataka wanazuoni katika ulimwengu wa Kiislamu kuonesha mshikamano dhahiri, wa wanazuoni wa Kiislamu na dini mbalimbali katika kipindi hiki cha kihistoria

    Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Husayni Kuhsari, huku akirejea barua za shukrani na pongezi kutoka kwa Mkurugenzi wa hawza Iran, kwa ajili ya uungaji mkono na msimamo wa wanazuoni wenye ushawishi…

    2026-03-29 15:54
  • Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qum Irani, Yakosoa vikali Msimamo wa Al-Azhar ya Misri/ Kuitetea Marekani na Madikteta Waliopo kwa Niaba ya Shetani Mkubwa ni jambo la Kusikitisha

    HawzaJumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qum Irani, Yakosoa vikali Msimamo wa Al-Azhar ya Misri/ Kuitetea Marekani na Madikteta Waliopo kwa Niaba ya Shetani Mkubwa ni jambo la Kusikitisha

    Hawza/ Jumuiya ya Walimu wa hawza ya Qum imelaani msimamo wa Al-Azhar ya Misri katika kuilinda kwa nguvu zote Marekani na watawala walio manaibu wa Shetani Mkubwa, huku ikisisitiza kuwa; majibu…

    2026-03-23 23:42
  • Kwa nini nchi inayojitetea ya Iran, mnaiita mvamizi?/ Je, kupuuza uhalifu wa Marekani na Israel ni uadilifu?

    Ayatollah A’rafi katika kuijibu Al-Azhar:

    HawzaKwa nini nchi inayojitetea ya Iran, mnaiita mvamizi?/ Je, kupuuza uhalifu wa Marekani na Israel ni uadilifu?

    Hawza/ Ayatollah Alireza A’rafi, mkurugenzi wa vyuo vya elimu ya dini nchini Iran (Hawza), katika barua aliyomwandikia Sheikh wa Al-Azhar, Dkt. Ahmad al-Tayyib, pamoja na kuomba kupitiwa upya…

    2026-03-22 15:55
  • Barua Muhimu ya Ayatollah A'rafi kwa Wanafunzi wa Hawza Nchini Iran/ Msisitizo juu ya Kujenga Mnyororo wa Shughuli zote za Kitamaduni na Kuunganisha Rasilimali za Ulinganiaji (Tableegh)

    HawzaBarua Muhimu ya Ayatollah A'rafi kwa Wanafunzi wa Hawza Nchini Iran/ Msisitizo juu ya Kujenga Mnyororo wa Shughuli zote za Kitamaduni na Kuunganisha Rasilimali za Ulinganiaji (Tableegh)

    Hawza/ Mkurugenzi wa hawza nchini Iran, katika barua muhimu aliyoituma kwa Wanafunzi wa hawza nchini Iran, amesisitiza kuwa; masuala ya vita viwe mbele, na katika jiahidi ya kubainisha na kutoa…

    2026-03-21 13:00
  • Ayatullah A‘rafi awashukuru wananchi kwa ushujaa walio uonesha katika Siku ya Quds/ Asisitiza kulipiza kisasi kwa damu ya mashahidi watukufu na Imam Shahidi (ra)

    HawzaAyatullah A‘rafi awashukuru wananchi kwa ushujaa walio uonesha katika Siku ya Quds/ Asisitiza kulipiza kisasi kwa damu ya mashahidi watukufu na Imam Shahidi (ra)

    Hawaza/ Mkurugenzi wa Hawza za elimu ya dini nchini Iran, ametoa shukrani na pongezi kwa ushiriki wa kishujaa wa wananchi chini ya mashambulizi ya adui wa Marekani na Wazayuni katika matembezi…

    2026-03-15 16:10
  • Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, atuma ujumbe wa pongezi kwa kuchaguliwa Ayatullah Sayyid Mujtaba Khamenei

    HawzaMkurugenzi wa Hawza nchini Iran, atuma ujumbe wa pongezi kwa kuchaguliwa Ayatullah Sayyid Mujtaba Khamenei

    Hawza/ Ni matumaini yangu Taifa tukufu la Irani litachukua kiaga na kumtii Walii Faqih, kama ilivyo kuwa zama za Imaam Khomein (ra) na Imaam Shahidi radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake, na…

    2026-03-09 16:16
  • Chapisho la Uongozi wa wanazuoni ni ramani ya njia ya Hawza inayolingana na Mapinduzi ya Kiislamu

    Kituo cha Usimamizi wa Hawza nchini Iran:

    HawzaChapisho la Uongozi wa wanazuoni ni ramani ya njia ya Hawza inayolingana na Mapinduzi ya Kiislamu

    Hawza/ Chapisho la Uongozi wa wanazuoni ni ramani ya njia ya Hawza inayolingana na Mapinduzi ya Kiislamu; Hawza ambayo haiangukii katika ukakasi na mgando wa fikra (tahajjur), wala haitegwi na…

    2026-02-22 15:40
  • Mji wa Qum, nchini Iran haujawahi kuachana na dini

    HawzaMji wa Qum, nchini Iran haujawahi kuachana na dini

    Hawza/ Akizungumzia umuhimu wa nafasi ya Qum katika historia ya elimu na dini, alisema kuwa Qom tangu zamani imejulikana kama kituo cha kielimu na kidini. Mji huu kwa zaidi ya miaka 1200 umekuwa…

    2026-02-22 10:36
  • Sababu za ushindi na kushindwa kwa mataifa katika nyakati nyeti na ngumu za kihistoria/ Sifa 10 maalumu za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani

    Ayatullah A‘rafi katika Swala ya Ijumaa ya Qom alifafanua:

    HawzaSababu za ushindi na kushindwa kwa mataifa katika nyakati nyeti na ngumu za kihistoria/ Sifa 10 maalumu za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani

    Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom alisema: Leo vita vya kiutambuzi na kimtazamo vimetawala akili na dhamiri ya Iran, Uislamu na mhimili wa Muqawama. Ikiwa mtu ataingia katika vita hivi na akafanya…

    2026-02-21 17:18
  • Kuwepo kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ni ngome dhidi ya mgawanyiko nchini na heshima ya Ushia

    HawzaKuwepo kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ni ngome dhidi ya mgawanyiko nchini na heshima ya Ushia

    Hawza/ Ayatollah Ashrafi Shahroudi, akirejea nafasi ya kipekee ya uongozi katika kulinda mfumo wa Kiislamu, alisisitiza kuwa, maadui daima wamekuwa wakijaribu kuuangamiza utawala wa kidini, lakini…

    2026-02-21 11:17
  • Kabla
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • Baada

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan
  • Italiano
  • Hausa
  • indonesia
  • 中文

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom