-
Kituo cha Usimamizi wa Hawza nchini Iran:
HawzaChapisho la Uongozi wa wanazuoni ni ramani ya njia ya Hawza inayolingana na Mapinduzi ya Kiislamu
Hawza/ Chapisho la Uongozi wa wanazuoni ni ramani ya njia ya Hawza inayolingana na Mapinduzi ya Kiislamu; Hawza ambayo haiangukii katika ukakasi na mgando wa fikra (tahajjur), wala haitegwi na…
-
HawzaMji wa Qum, nchini Iran haujawahi kuachana na dini
Hawza/ Akizungumzia umuhimu wa nafasi ya Qum katika historia ya elimu na dini, alisema kuwa Qom tangu zamani imejulikana kama kituo cha kielimu na kidini. Mji huu kwa zaidi ya miaka 1200 umekuwa…
-
Ayatullah A‘rafi katika Swala ya Ijumaa ya Qom alifafanua:
HawzaSababu za ushindi na kushindwa kwa mataifa katika nyakati nyeti na ngumu za kihistoria/ Sifa 10 maalumu za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom alisema: Leo vita vya kiutambuzi na kimtazamo vimetawala akili na dhamiri ya Iran, Uislamu na mhimili wa Muqawama. Ikiwa mtu ataingia katika vita hivi na akafanya…
-
HawzaKuwepo kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ni ngome dhidi ya mgawanyiko nchini na heshima ya Ushia
Hawza/ Ayatollah Ashrafi Shahroudi, akirejea nafasi ya kipekee ya uongozi katika kulinda mfumo wa Kiislamu, alisisitiza kuwa, maadui daima wamekuwa wakijaribu kuuangamiza utawala wa kidini, lakini…
-
HawzaMapendekezo ya Jumuiya ya Waalimu kwa Wahubiri katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani/ wafafanulieni vijana vipengele vya mapinduzi ya Marekani na Wazayuni
Hawza/ Jumuiya ya Waalimu wa Hawza ya Qum, imewataka wahubiri katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuwafafanulia watu, hususan vijana balehe na vijana kwa ujumla, vipengele vya fitna ya Kimarekani–Wazayu…
-
Ayatullah A’rafi alifafanua:
HawzaMihimili sita muhimu ya kuingia teknolojia mahiri katika uwanja wa elimu za Kiislamu/ Mwalimu aliyekuwa kielelezo cha jihadi na nidhamu ya kielimu
Ayatullah A’rafi alisema katika hafla ya uzinduzi wa bidhaa mahiri na zenye msingi wa elimu katika taaluma za Kiislamu: Moja ya maeneo muhimu yanayohitaji kupewa kipaumbele maalumu ni mabadiliko…
-
HawzaPendekezo la Ayatollah al-Udhma Javadi Amoli kwa Walinganiaji (Moballeghena); Hakikisheni Mnaendesha Somo la Tafsiri
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Javadi Amoli akiwahutubia walinganiaji alisisitiza kuwa: Ninyi waheshimiwa mnaokwenda kwa ajili ya tablighi (ulinganiaji), hakikisheni mnaendesha somo la tafsiri.
-
Ayatollah Alireza Arafi katika mkutano na viongozi wa idara ya wakfu na rasilimali endelevu za Hawza:
HawzaDunia inaelewa siku baada ya siku kwamba sisi hatuna nia ya vita, bali ni wabebaji wa ujumbe wa Nahjul-Balagha na Sahifa Sajjadiyya
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, huku akirejea mabadiliko makubwa baada ya Mapinduzi ya Kiislamu, alisisitiza: Leo hali imebadilika kabisa, na dunia — kutokana na kuwepo kwa mitandao ya…
-
Ayatollah A‘rafi katika mkutano mkuu wa wasimamizi wa taasisi za hawza:
HawzaWanazuoni wa dini wamesimama mstari wa mbele katika “mapambano makubwa ya ustaarabu na Magharibi”/ Umuhimu wa kuisoma upya historia ya kisasa kwa ushahidi kwa ajili ya kizazi cha vijana
Hawza/ Mkuu wa hawza ya nchini Iran, Ayatollah Alireza Arafi, huju akirejelea “mapambano makubwa ya ustaarabu” kati ya Mapinduzi ya Kiislamu na ustaarabu wa kisasa wa Magharibi, alisema: Wanazuoni…
-
HawzaUjumbe wa Ayatollah al-Udhma Javadi Amoli katika Kongamano la Kitabu Bora cha Hawza/ Vitabu vyenye baraka na kina cha kielimu ni alama ya mafanikio ya Hawza
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Javadi Amoli katika ujumbe wake wa video kwenye Kongamano la Ishirini na Saba la Kitabu Bora cha Hawza, alisisitiza kuwa: Hawza, kwa fadhila za Mwenyezi Mungu, imefanikiwa…
-
Hotuba ya Ayatollah Alireza Arafi katika Kongamano la Kitabu Bora cha Hawza:
HawzaTugeuze Kongamano la Kitabu Bora cha Hawza kuwa chombo cha kimkakati cha kuongoza tafiti za Hawza
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza za nchini Iran, alisisitiza nafasi ya kimkakati ya Hawza katika kujenga ustaarabu mpya wa Kiislamu, huku akisema: tunapaswa kufanya Kongamano la Kitabu Bora cha Hawza…
-
Ayatullah A‘rafi atoa shukrani kwa taifa tukufu la Iran:
HawzaUwepo unaoleta umoja na sherehe kubwa ya Wairani unaongeza mara dufu na kuufanya kuwa mzito sana wajibu wetu na wa viongozi
Hawza/ Mkuu wa Hawza za Elimu ya Dini amesema: Ujumbe wa wazi wa taifa ni kusimama imara juu ya malengo ya Uislamu, Mapinduzi na mashahidi watukufu, kufuata uongozi wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi…
-
HawzaAyatullah A‘rafi ashiriki katika matembezi ya kuzivunja nguvu za adui ya 22 Bahman
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, ameshiriki sambamba na wananchi wa kimapinduzi na wachamungu katika matembezi ya kishujaa na ya kuzivunja nguvu za adui ya tarehe 22 Bahman mjini Qum.
-
Katibu wa Baraza Kuu la Hawza:
HawzaWananchi kushiriki katika tarehe 22 Bahman ni tangazo la kusimama imara pamoja na Mapinduzi na sababu ya kuwakatisha tamaa maadui
Hawza/ Ayatullah Shabzendeh-Dar, huku akisisitiza umuhimu maradufu wa maandamano ya Yawmullah (Siku ya Mwenyezi Mungu) ya tarehe 22 Bahman katika mazingira ya sasa, alieleza kuwa ushiriki mpana…
-
HawzaWito wa Ayatullah A‘rafi kwa wananchi kushiriki katika matembezi ya tarehe 22 Bahman/ Dunia itaona adhama ya Iran
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran amesema: Kesho itakuwa ni uwanja wa kudhihirika adhama ya Iran na fahari ya taifa, na siku ya ushiriki wa pamoja watu wote katika matembezi ya kihistoria…
-
Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran amesema:
HawzaWanao unga mkono Mapinduzi ya Kiislamu waongezeka duniani/ Mahitaji mapya yamejitokeza katika uwanja wa dini na tablighi
Hawza/ Ayatullah A‘rafi amesisitiza kuwa; watu duniani katika nchi mbalimbali wameonesha uungaji mkono na huruma isiyokuwa na mfano kwa fikra ya Mapinduzi ya Kiislamu na mitazamo ya kidini.
-
Ayatullah A‘rafi katika mkutano na Rais wa Chuo Kikuu cha Walimu:
HawzaMifumo na mbinu za sasa za malezi na utamaduni hazijitoshelezi kukabiliana na changamoto na hali za kizazi kipya
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza nchini Iran, alikitaja Chuo Kikuu cha Walimu kuwa moja ya taasisi muhimu zaidi za kimkakati za nchi katika nyanja ya utamaduni, elimu na malezi, na akasisitiza umuhimu…
-
Ayatullah A‘rafi mbele ya walimu wa taaluma ya tablighi (da‘wa):
HawzaFani za kielimu Hawza zimeongezeka kutoka 10–15 hadi zaidi ya fani 100 za utekelezaji/ Kubuni ramani ya njia (roadmap) na hati 100 za kimkakati za Hawza
Hawza/ Ayatullah A‘rafi alirejelea uandaaji wa “hati mia (100) za kimkakati za Hawza za kielimu” kama mojawapo ya programu za msingi, na akasema: miaka miwili iliyopita huko Mashhad Iran, katika…
-
HawzaKwa unyenyekevu tumwombe Mwenyezi Mungu atujalie taufiki ya kuuthamini na kuutumia vyema Mwezi wa Sha‘ban
Hawza/ Mwezi huu ni fursa ya kipekee ya kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu, na kughafilika ndani ya mwezi huu husababisha majuto makubwa. Katika Dua za Sha‘ban (Mun'ajat Sha‘baniyya) pia zimeashiriwa…
-
Ayatullah Shab Zendeh-Dar katika darsa ya juu ya fiqhi (Dars-e Kharij):
HawzaWanaoliita Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi kundi la kigaidi, wao wenyewe ndio magaidi
Hawza/ Katibu wa Baraza Kuu la Hawza za Kielimu, mwanzoni mwa darsa yake ya juu ya fiqhi, alisema: Watu waovu wanaoliita Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi (Sepah) kundi la kigaidi, wao wenyewe ni…
-
Ayatullah A‘raafi katika kikao na viongozi wa utafiti wa Hawza alifafanua:
HawzaMtazamo wa kimataifa wa utafiti katika Hawza/ Mahitaji ya uwepo wenye tija katika mjadala wa kielimu duniani
Hawza/ Ayatullah A‘raafi, akirejelea nafasi ya msingi ya utafiti katika Hawza za elimu ya dini, alisisitiza kuwa: utafiti unaopaswa kufuatwa ni utafiti wa kistaarabu, wa fikra ya ijtihadi, wenye…
-
Ayatollah A‘rafi katika hafla ya kufunga mashindano ya kielimu ya wanafunzi wa Hawza:
HawzaUtambulisho na falsafa ya uwepo wa Hawza upo katika kuunganishwa kwa kina na Mahdawiyya
Hawza/ Ayatollah A‘rafi, Mkurugenzi wa Hawza za Elimu ya Kiislamu nchini Iran, huku akisisitiza kwamba utambulisho na falsafa ya uwepo wa Hawza ya Elimu ya Kiislamu upo katika muunganiko wa kina…
-
Ayatollah Subhani katika darsa ya maadili:
HawzaKuwatendea wema wazazi hakuishii katika kipindi cha uhai wao pekee
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Subhani amesisitiza kuwa: Mwenyezi Mungu Mtukufu katika aya za Qur’ani Tukufu, anapowszungumzia wazazi, anawaelekeza watoto kwamba hawana haki hata ya kuwatamkia neno…
-
Ayatollah A‘arafi katika kikao cha Kamati ya Maendeleo ya Utamaduni wa Mahdawiyya na Kusubiri:
HawzaFikra ya Mahdawiyya na kusubiri imejengeka ndani ya roho ya Mapinduzi ya Kiislamu
Hawza/ Mwenyekiti wa Kamati ya Maendeleo ya Utamaduni wa Mahdawiyya na Kungoja amesisitiza kwamba: Mahdawiyya na kungoja ni fikra yenye nyanja nyingi iliyojikita ndani ya roho ya Mapinduzi ya…
-
Ayatollah A’raafi katika mkutano na wajumbe wa Taasisi ya Fikra ya Hawza:
HawzaKuitambua dunia mpya na mikondo mipya inayoibuka ni jukumu letu kuu / Hawza ni kiongozi wa fikra na mawazo ya Uislamu katika zama za sasa
Hawza/ Ayatollah A’raafi, akibainisha kuwa taasisi ya dini ina majukumu mazito sana juu yake, alisisitiza akisema: jukumu letu la kwanza na la msingi kabisa ni kuitambua dunia mpya na mikondo…
-
Ayatullah udhma Jawadi Amoli katika somo la juu la fiqhi:
HawzaMarekani na utawala wa Kizayuni hawana uwezo wa kuidhuru Iran
Hawza/ Ayatullah Jawadi Amoli, huku akiongoza dua kwa ajili ya kulindwa mfumo wa Kiislamu, alisisitiza kuwa: Marekani na utawala wa Kizayuni hawana uwezo wa kuidhuru njia hii, na kwa idhini ya…
-
HawzaMwamko na msimamo mkali wa wanazuoni wa Hawza kote nchini wakilaani kudhihakiwa Qur’ani Tukufu na vitakatifu vya Kiislamu
Hawza/ Kufuatia kudhihakiwa na kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu na vitakatifu vya Kiislamu kulikofanywa na magaidi wa Marekani na Kizayuni katika ghasia za hivi karibuni, na pia kwa ajili ya…
-
Ayatollah A’raafi katika kikao chake na Makamanda wa Vikosi vya Polisi:
HawzaNchi za Magharibi zinataka, ima ujisalimishe kama ng’ombe akamuliwaye na utegemee kila kitu, au uangamizwe kabisa
Hawza/ Ayatollah A’raafi, akitoa pongezi kwa uwepo wa kishujaa wa wananchi na ulinzi thabiti wa vikosi vya polisi, ujasusi na usalama, alisema: Wananchi waliingia uwanjani kwa kujitolea muhanga,…
-
Ayatullah A‘rafi katika hafla ya kufunga Tamasha la Qur’ani na Hadithi la chuo cha Al-Mustafa (saww):
HawzaTrump afahamu kwamba Mapinduzi ya Kiislamu hayawezi kulinganishwa na serikali au kundi lolote duniani/ Mamilioni ya watu wamesimama hadi tone la mwisho la damu zao kwenye kumlinda Kiongozi
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran alisisitiza kwamba: Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu ana wanajeshi wengi wa jihadi na wa kujitolea ulimwenguni kote, na aina yoyote ya tishio au kuidhalili…
-
Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qum Iran:
HawzaUmma wa Kiislamu umesimama imara kwa kujitoa mhanga hadi uhai wao kwa ahadi na mapatano yao na Imam Khamenei
Hawza/ Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Kielimu ya Qum, katika kuitikia kauli za puo na zisizo na maana za Rais wa Marekani mwenye dhana potofu, imesisitiza kwamba: Umma wa Kiislamu, kama wafuasi…