-
Ayatullah A'rafi:
HawzaShirika la Habari la Hawza Linapaswa Kuwa Rejea ya Kuaminika ya Vyombo vya Habari katika Nyanja za Utamaduni, Imani na Maadili Katika Dunia ya Sasa
Hawza/ Ni lazima Shirika la Habari la Hawza, kama dhihirisho la kimedia la Hawza na wanazuoni wake, kwa kufuata urithi huu mkubwa na wa thamani, liwe ni chombo kinachoakisi maadili yote, huduma…
-
HawzaAyatullah A'rafi Apongeza Tukio la Kihistoria la Mazishi ya Mwili Mtukufu wa Imam Shahidi Nchini Iraq
Yaliyotokea nchini Iraq na katika miji ya Najaf na Karbala wakati wa kuusindikiza mwili mtukufu wa Kiongozi Shahidi na Kiongozi wa Umma, Imam Khamenei (ra), yanaonesha kina cha imani, ikhlasi,…
-
HawzaAyatullah A'rafi Awataka Wananchi Kukamilisha Jihadi Yao kwa Kushiriki kwa Wingi katika Mazishi ya Kiongozi Shahidi
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran ametoa wito kwa wanaume na wanawake wenye uthubutu na ushujaa, wasomi wa vyuo vikuu, vijana wapendwa, wanazuoni wa dini na wananchi wote wa Jamhuri ya Kiislamu…
-
HawzaWanazuoni wa Kishia na Kisunni wa Kashmir Washirikiana Kulinda Umoja wa Kiislamu
Hawza/ Katika kipindi kinachokaribia kuingia mwezi wa Muharram al-Haram, Kamati ya Uratibu ya Kishia na Kisunni ya Majlis Muttahid Ulama Kashmir ilifanya mkutano mjini Srinagar kwa ushiriki wa…
-
HawzaAyatullah Kaabi Aeleza Masharti Yanayopaswa Kuzingatiwa kwa Ajili ya Kumaliza Vita vya Kulazimishwa
Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom amesema: Mfumo Mtakatifu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kamwe hautavuka mistari myekundu inayohusiana na haki za taifa la Iran, na…
-
Ayatullah A'rafi:
HawzaOngezeni Utukufu wa Uwepo wa Wananchi na Vijana wa Iran Mitaani, na Imarisheni Zaidi Utamaduni wa Kishujaa na Roho ya Muqawama/ Taifa la Iran Limeandika Ukurasa wa Dhahabu Katika Historia ya Nchi Hii kwa Zaidi ya Siku Mia Moja
Hawza/ Taifa tukufu na lenye heshima la Iran, hususan vijana wapendwa, kwa uwepo wao kwa zaidi ya siku mia moja katika viwanja na maeneo mbalimbali, wameandika ukurasa wa dhahabu katika historia…
-
Ayatullah A'rafi Afafanua:
HawzaMikakati 6 Muhimu ya Utoaji Huduma kwa Wanaharakati wa Hawza/ Hawza ni Mtumishi wa Watu Wapendwa
Hawza/ Mkuu wa Hawza nchini Iran alisisitiza kuwa: Bila shaka, Hawza katika historia yake daima hazikuwa taasisi za elimu na ufundishaji pekee, bali sambamba na kubainisha maarifa ya Mwenyezi…
-
HawzaMkutano wa kielimu/ “Ghadir; Nukta ya Pamoja katika Umma wa Kiislamu” wafanyika Tanzania
Hawza/ Mkutano wa kielimu na kitamaduni wenye anuani isemayo “Ghadir; Nukta ya Pamoja katika Umma wa Kiislamu”, uliokuwa na lengo la kuchunguza tukio la Ghadir kwa mtazamo wa Shia na Ahlu Sunna,…
-
HawzaBaraza Kuu la Hawza za latuma Ujumbe wa Rambirambi kufuatia kufariki Ayatullah al-Udhma Fayyadh
Hawza/ Baraza Kuu la Hawza limetoa ujumbe wa rambirambi kufuatia kufariki kwa Mtukufu Ayatullah Muhammad Ishaq Fayyadh, mmoja wa Marajii wa Taqlid wa Najaf Ashraf.
-
Ayatullah A'rafi katika ujumbe wa rambirambi:
HawzaUbunifu wa kielimu, kifiqhi na huduma za kidini pamoja na tablighi vilimfanya Ayatullah al-Udhma Fayyadh kuwa shakhsia mashuhuri
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran amesema: Ubunifu wa kielimu na kifiqhi sambamba na huduma za kidini na tablighi za Ayatullah al-Udhma Fayyadh, hasa mchango wake usiosahaulika katika kufufua…
-
Ayatullah A'raafi katika ujumbe wa uchambuzi na kimkakati amefafanua:
HawzaSifa kuu 9 za kimkakati za harakati kubwa ya taifa la Iran / Kwa nini tarehe 15 Khordad bendera ilipeperushwa juu ya paa la Iran?
Hawza/ Mwezi wa Khordad katika historia ya Mapinduzi matukufu ya Kiislamu ni mwezi uliojaa matukio yenye kuamua hatima, yaliyochanganyika na siri nyingi zenye mafunzo na mafunzo ya kudumu. Miongoni…
-
HawzaAyatullah al-Udhma Subhani amthamini muuguzi aliyeyaokoa maisha ya watoto wachanga nchini Iran
Hawza/ Hadhrat Ayatullah Subhani, huku akitoa shukrani kwa juhudi za jamii ya sekta ya afya, alisema: Niliona picha za kujitolea mhanga kwa muuguzi aliyekuwa akiwaokoa watoto wachanga; aliumba…
-
Ayatullah Alireza Arafi:
HawzaMikusanyiko ya wananchi katika nyanja za uwanjani ndiyo fursa bora zaidi ya kuinua kiwango cha dini kwa watu na kuvutia hawza
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza nchini Iran, amesisitiza umuhimu wa kuendelea, kupanua na kuimarisha uwepo wa wananchi wapendwa na vijana waungwana katika nyanja na barabara, na ametaka kutumiwa kwa…
-
HawzaTaarifa ya uchambuzi na mikakati ya Alireza Arafi mwanzoni mwa wiki ya kumi na mbili ya vita vya tatu vya kulazimishwa/ Kurudi nyuma kutoka Mlango wa Hormuz maana yake ni kumpa adui ufunguo wa uchumi na usalama wa Iran
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, katika taarifa yake ya uchambuzi mikakati mwanzoni mwa wiki ya kumi na mbili ya vita vya tatu vya kulazimishwa, huku akirejelea majukumu ya viongozi, wanazuoni…
-
Naibu wa Masuala ya Kimataifa wa Hawza nchini Iran:
HawzaDunia imeingia katika mfumo mpya baada ya Vita vya Ramadhani / Tumefikia hatua ya kuamua mambo baada ya kuwa katika hatua ya kujihami
Hawza/ Hujjatul Islam wal-Muslimin Hussein Kouhsari, akisisitiza kwamba; hawza ndio mstari wa mbele wa medani ya mapambano dhidi ya mfumo wa ubeberu, alisema: Dunia imeingia katika mfumo mpya…
-
Naibu Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran:
HawzaKusimama imara ni sababu ya heshima na nguvu/ Muqawama una mizizi katika fitra ya Mwenyezi Mungu ndani ya mwanadamu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Hamid Malikii katika kikao cha “Maadili ya Muqawama” mjini Qom Iran, akisisitiza kwamba; Muqawama una mizizi katika fitra ya Mwenyezi Mungu ndani ya mwanadamu…
-
Ayatullah Arafi katika hotuba za Swala ya Ijumaa alifafanua:
HawzaMakosa 14 ya kimahesabu aliyoyafanya adui katika vita vya kulazimishwa vya Ramadhani
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa wa Qum alielezea makosa 14 ya kimahesabu yaliyofanywa na adui katika vita vya Ramadhani, na kusisitiza kwamba; makosa hayo yamewaweka katika mashinikizo makubwa…
-
Ayatullah A‘rafi katika ujumbe wake:
HawzaUjumbe wa kihistoria na wa kistaarabu wa “Hawza Inayoongoza na Bora” ni kiini cha fikra za Kiongozi Shahidi/ Mambo matano muhimu ya Mkuu wa Hawza
Hawza/ Msiba wenye kuunguza moyo na shahada ya dhulma ya Imam na Kiongozi Shahidi Ayatullah al-Udhma Khamenei (q.s), ulizalisha mwamko wa kushangaza na mapinduzi makubwa yaliyoenea nchini Iran,…
-
Ayatollah A‘rafi katika kikao na wakurugenzi wa mikoa wa Hawza:
HawzaKubeba bendera na kuwepo uwanjani ni kipaumbele cha kwanza cha Hawza na wanazuoni/ Kurudi nyuma na kulegeza msimamo ni sawa na kurudi nyuma karne moja
Hawza/ Mkuu wa Hawza za elimu ya dini, kwa kubainisha majukumu makuu ya Hawza katika hali nyeti ya sasa, alisema kuwa, kubeba bendera na uwepo uwanjani ni kipaumbele cha kwanza cha Hawza na wanazuoni,…
-
Ayatullah al-‘Udhma Subhani:
HawzaUshirikiano wa moyo na udugu ni rasilimali muhimu zaidi kwa umoja wa umma wa Kiislamu
Hawza/ Mmoja wa Mara'ji' wakuu wa Taqlid katika ujumbe wake ulio na anuani isemayo “Umoja wa Umma wa Kiislamu” ameeleza kwamba; mshikamano wa moyo na udugu ndio rasilimali muhimu zaidi kwa umoja…
-
Ayatullah A‘rafi:
HawzaWanazuoni wa dini wawe macho na hawza pamoja na taifa la Iran viendeleze kwa uthabiti zaidi njia ya miezi miwili iliyopita
Hawza/ Wanazuoni wa dini wawe macho na hawza za elimu ya dini waendelea kuwa katikati ya uwanja na mitaani pamoja na watu, wakiwa watumishi wa taifa na wapiganaji katika njia ya Mwenyezi Mungu,…
-
HawzaRaddi amali ya Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qum kuhusu maneno ya kipuuzi ya rais mwenye dhana potofu wa Marekani
Hawza/ Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Kielimu ya Qum, kwa kuashiria umoja uliopo kati ya mihimili mitatu ya dola ya Iran, vikosi vya kijeshi na wananchi, imewataka watu wote kuwa macho mbele ya…
-
Ayatullah A‘rafi:
HawzaWatu wote duniani wajue kuwa watu na viongozi wa Iran wakiwa wameungana na wameshikamana wako tayari kukabiliana na adui
Hawza/ Watu wote duniani wajue kwamba sasa nyoyo, hatua na safu za taifa la Iran na muqawama pamoja na taasisi zote, viongozi, vyombo na mikondo ya Iran ya Kiislamu na muqawama, zimeungana zaidi…
-
Hotuba ya Ayatollah A‘rafi kwa wanazuoni na wanye kuutakia wema Uislamu:
HawzaLazima tuzuie ardhi za Kiislamu kubadilishwa kuwa uwanja wa vita vinavyofuatana/ Yanayotokea leo si tu mgongano wa kijeshi
Hawza/ Yanayotokea leo si tu mgongano wa kijeshi; bali ni tukio ambalo linaweza kuathiri mustakabali wa ulimwengu wa Kiislamu na hata msingi wa kimaadili wa mahusiano baina ya mataifa. Ikiwa…
-
Ayatollah Arafi katika barua yake ya kumshukuru Papa wa kumi na nne:
HawzaKiongozi mtukufu wa Kanisa Katoliki duniani; sisi wana hawza tunathamini misimamo hii ya kimaadili na kibinadamu mliyoionesha, na tunaamini hivyo, umeendelea kubaki mwaminifu kwa ujumbe wa kweli wa Ukristo
Hawza/ Katika zama ambazo ukimya mbele ya dhulma umegeuka kuwa lugha ya kawaida ya wenye nguvu na wale wanaodai haki za binadamu, na viongozi wengi duniani wamenyamaza au katika mizunguko ya…
-
Ayatullah A‘rafi abainisha kwamba:
HawzaVita ya tatu ya kulazimishwa, ni utetezi wa Mapinduzi na watu wa Iran pamoja na wapiganaji wa Uislamu/ Kipaumbele cha leo ni harakati za wanahawza
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza nchini Iran, akirejelea shughuli za ziada na zenye thamani za madrasa za kidini na vituo vya usimamizi vya mikoa katika Vita ya Ramadhani, alisisitiza: Shughuli za…
-
HawzaUjumbe muhimu wa Ayatullah A'rafi kwa wananchi makini na shujaa wa Jamhuri ya Kiislamu Iran, na Umma wa Kiislamu
Hawza/ Ayatullah A'rafi ametoa ujumbe muhimu uliowasilishwa kwa wananchi makini na jasiri wa Jamhuri ya Kiislamu na Umma wa Kiislamu.
-
Msaidizi wa Masuala ya Kimataifa wa Hawza Nchini Iran, Amesema:
HawzaAyatullah A'rafi amewataka wanazuoni katika ulimwengu wa Kiislamu kuonesha mshikamano dhahiri, wa wanazuoni wa Kiislamu na dini mbalimbali katika kipindi hiki cha kihistoria
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Husayni Kuhsari, huku akirejea barua za shukrani na pongezi kutoka kwa Mkurugenzi wa hawza Iran, kwa ajili ya uungaji mkono na msimamo wa wanazuoni wenye ushawishi…
-
HawzaJumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qum Irani, Yakosoa vikali Msimamo wa Al-Azhar ya Misri/ Kuitetea Marekani na Madikteta Waliopo kwa Niaba ya Shetani Mkubwa ni jambo la Kusikitisha
Hawza/ Jumuiya ya Walimu wa hawza ya Qum imelaani msimamo wa Al-Azhar ya Misri katika kuilinda kwa nguvu zote Marekani na watawala walio manaibu wa Shetani Mkubwa, huku ikisisitiza kuwa; majibu…
-
Ayatollah A’rafi katika kuijibu Al-Azhar:
HawzaKwa nini nchi inayojitetea ya Iran, mnaiita mvamizi?/ Je, kupuuza uhalifu wa Marekani na Israel ni uadilifu?
Hawza/ Ayatollah Alireza A’rafi, mkurugenzi wa vyuo vya elimu ya dini nchini Iran (Hawza), katika barua aliyomwandikia Sheikh wa Al-Azhar, Dkt. Ahmad al-Tayyib, pamoja na kuomba kupitiwa upya…