Jumamosi 23 Agosti 2025

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Waziri wa Kilimo wa Pakistan, amepata bahati ya kuzuru haramu ya Bibi Fatima Masuma (a.s), iliyopo Qum Iran

    HawzaWaziri wa Kilimo wa Pakistan, amepata bahati ya kuzuru haramu ya Bibi Fatima Masuma (a.s), iliyopo Qum Iran

    Hawza/ “Rana Tanveer Hussain,” Waziri wa Kilimo na Usalama wa Chakula wa Pakistan, katika safari yake mjini Qom Iran, alipata bahati ya kuzuru haramu tukufu ya Bibi Fatima Masuma (a.s)

    2025-08-21 15:57
  • Shia ni wajuzi wa Uislamu wa kweli

    Ayatullah al-Udhma Jawadi Amuli:

    HawzaShia ni wajuzi wa Uislamu wa kweli

    Hawza/ Mtukufu Ayatullah Jawadi Amuli amesisitiza juu ya umuhimu wa nafasi ya Hawza katika kukuza elimu na maarifa kwenye jamii, na akabainisha kuwa: Vitabu kama “Maktab al-Tashayyu’” vinapaswa…

    2025-08-21 15:45
  • Hawza yatoa Shukrani za dhati kutokana na mahudhurio ya mamilioni ya watu kwenye Arubaini pamoja na Ukarimu wa Serikali na Taifa la Iraq

    HawzaHawza yatoa Shukrani za dhati kutokana na mahudhurio ya mamilioni ya watu kwenye Arubaini pamoja na Ukarimu wa Serikali na Taifa la Iraq

    Hawza/ Kituo cha Usimamizi wa Hawza, sambamba na kuthamini uwepo wa mamilioni ya waty katika tukio hili kubwa la kimungu na kistaarabu la Arubaini, na pia kutoa shukrani zake kutokana na ukarimu…

    2025-08-17 14:22
  • Wanazuoni wa Kiislamu na mashirika ya kimataifa wazuie uvamizi wa Ghaza

    Ayatollah A‘rafi:

    HawzaWanazuoni wa Kiislamu na mashirika ya kimataifa wazuie uvamizi wa Ghaza

    Hawza/ Ayatollah A‘rafi, katika tamko lake, sambamba na kulaani uvamizi wa kikamilifu wa Ghaza, amesema: Tunazitaka serikali zote, mataifa yote, wanazuoni, wasomi, taasisi za kisheria na mashirika…

    2025-08-13 09:32
  • Mipango ya uvamizi na uharibifu inayofanywa na utawala wa Kizayuni itashindwa na kusukumwa nyuma.

    Ayatollah A’rafi katika Mkutano wa Mtandaoni wa Kimataifa kuhusu Ghaza na Wanazuoni wa Umma:

    HawzaMipango ya uvamizi na uharibifu inayofanywa na utawala wa Kizayuni itashindwa na kusukumwa nyuma.

    Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza Irani alisema: Tuna imani ya hakika kwamba mipango ya uvamizi na uharibifu inayofanywa na utawala huu, kwa baraka ya uelewa wa umma wa Kiislamu, hatua za serikali huru…

    2025-08-10 11:15
  • Wana Lebanon Wasidanganywe na Ahadi Tamu Zenye Sumu za Marekani

    Ayatollah A'rafi kwenye Swala ya Ijumaa Qom:

    HawzaWana Lebanon Wasidanganywe na Ahadi Tamu Zenye Sumu za Marekani

    Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qom amesema: Leo hii, serikali ya Lebanon imo kwenye nafasi ya kihistoria mbele ya ulimwengu wa Kiislamu; kamwe isidanganywe na ahadi tamu zenye sumu za Marekani,…

    2025-08-09 01:47
  • Lengo la Shambulio la Moja kwa Moja Dhidi ya Iran Lilikuwa Kutekeleza Mradi wa “Kufutwa Ustaarabu”

    Ayatollah Kaabi:

    HawzaLengo la Shambulio la Moja kwa Moja Dhidi ya Iran Lilikuwa Kutekeleza Mradi wa “Kufutwa Ustaarabu”

    Hawza/ Ayatollah Kaabi alisema: Mpango wa kusitisha vita ni dhaifu, Ikiwa utawala wa Kizayuni na Marekani wakichukua hatua tena, taifa la Iran litajibu kwa nguvu zaidi kuliko hapo awali.

    2025-08-01 23:56
  • Ujumbe wa Rambirambi wa Ayatollah Arafi kufuatia kifo cha mwandishi wa habari wa shirika la habari la Hawzah

    HawzaUjumbe wa Rambirambi wa Ayatollah Arafi kufuatia kifo cha mwandishi wa habari wa shirika la habari la Hawzah

    Hawzah/ Ayatollah Arafi ametoa ujumbe wa rambirambi kufuatia kifo cha mwandishi wa habari wa shirika la habari la Hawzah

    2025-07-31 12:19
  • Mwanachama wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom: Ukimya unaofanywa na nchi za kiislamu mbele ya mauaji ya kimbari ya watu wa Ghaza ni aibu

    HawzaMwanachama wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom: Ukimya unaofanywa na nchi za kiislamu mbele ya mauaji ya kimbari ya watu wa Ghaza ni aibu

    Hawza/ Ayatullah Tabasi amesema: Hii leo ukimya mbele ya jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni muuaji wa watoto ni usaliti, ukimya unaofanywa na baadhi ya nchi za Kiislamu mbele ya mauaji…

    2025-07-28 07:15
  • Shahidi Nasrallah ni shule ya kifikra na ya kimapinduzi yenye athari ya kiistratejia / “Umanau al-Rusul”; hatua ya kuwafahamisha vijana urithi wa kihistoria

    Ayatollah Arafi katika uzinduzi wa bango la kongamano la Sayyid al-Shuhada wa Muqawama:

    HawzaShahidi Nasrallah ni shule ya kifikra na ya kimapinduzi yenye athari ya kiistratejia / “Umanau al-Rusul”; hatua ya kuwafahamisha vijana urithi wa kihistoria

    Hawza/ Ayatollah Arafi, akisisitiza nafasi maalumu ya Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah (r.a.), amemtaja si tu kama kamanda na kiongozi mashuhuri wa muqawama, bali pia kama mmiliki wa shule ya…

    2025-07-27 11:59
  • Leo ni wajibu kwa maulamaa wa umma kupaza sauti kwa ajili ya kuwaokoa watu wa Palestina

    Barua ya wazi ya Jumuiya ya Walimu wa Hawza (J'amiatul-Mudrrisin) kwa Maulamaa wa Ulimwengu wa Kiislamu:

    HawzaLeo ni wajibu kwa maulamaa wa umma kupaza sauti kwa ajili ya kuwaokoa watu wa Palestina

    Hawza/ Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom: Leo ni wajibu na jukumu juu ya maulamaa wa umma kuvunja ukimya dhidi ya jinai hii ya wazi na ukimya wa madola ya kisiasa ya nchi za Kiislamu, pamoja…

    2025-07-25 23:14
  • Mheshimiwa Papa; Je, ikiwa Nabii Isa (as) angelikuwepo, angeweza kustahimili hali ya kutisha ya Ghaza na jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni?

    Ayatollah al-Udhma Nouri Hamedani:

    HawzaMheshimiwa Papa; Je, ikiwa Nabii Isa (as) angelikuwepo, angeweza kustahimili hali ya kutisha ya Ghaza na jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni?

    Hawza/ Mtukufu Ayatollah Nouri Hamedani katika barua yake kwa Papa amesema: Katika hali hii ya kutisha ya Ghaza, je, ikiwa Manabii wa Mwenyezi Mungu kama Nabii Isa (as) na Nabii Muhammad (saw)…

    2025-07-24 22:59
  • Watu wote waaminifu katika Ulimwengu wa Kiislamu watimize wajibu wao wa Kiislamu na kibinadamu kwa ajili ya watu wa Ghaza / Mwamko wa Umma wa Kiislamu unahitaji kilio cha kudai haki na hatua ya pamoja

    Ayatollah al-Udhma Nouri Hamedani katika tamko lake rasmi amebainisha kuwa:

    HawzaWatu wote waaminifu katika Ulimwengu wa Kiislamu watimize wajibu wao wa Kiislamu na kibinadamu kwa ajili ya watu wa Ghaza / Mwamko wa Umma wa Kiislamu unahitaji kilio cha kudai haki na hatua ya pamoja

    Hawza/ Ayatollah Nouri Hamedani amesisitiza kuwa: Sasa ni wakati ambapo watu wote waaminifu wa ulimwengu wa Kiislamu—wakiwemo wanazuoni, wasomi na viongozi wa serikali—waweke kando tofauti za…

    2025-07-24 22:58
  • Katika kati ya moto na njaa, tumaini la Ghaza limeelekezwa kuuelekea Umma wa Kiislamu / Hatua ya haraka kwa Umma wa Kiislamu na taasisi za kimataifa kuvunja kuzingirwa na kufikishwa misaada ya dharura

    Ayatollah A’rafi katika barua yake kuwaelekea maulamaa wakubwa wa nchi za Kiislamu:

    HawzaKatika kati ya moto na njaa, tumaini la Ghaza limeelekezwa kuuelekea Umma wa Kiislamu / Hatua ya haraka kwa Umma wa Kiislamu na taasisi za kimataifa kuvunja kuzingirwa na kufikishwa misaada ya dharura

    Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Irani, katika barua mbalimbali amewaomba maulamaa wa ulimwengu wa Kiislamu wamkabili twaghuti wa dhulma, walie njaa ya wanyonge, wapaze sauti zao dhidi ya tawala…

    2025-07-23 00:23
  • Taifa la Iran halitaachana na heshima na akili

    Ayatollah al-Udhma Jawadi Amuli:

    HawzaTaifa la Iran halitaachana na heshima na akili

    Hawza/ Hazrat Ayatollah Jawadi Amuli katika kikao na wanajumuiya wa kundi la Mu’talifeye Islami alisisitiza kwamba: Sisi ni warithi wa utamaduni na fikra ambazo si tu kwamba zilikuwa ni zenye…

    2025-07-23 00:21
  • Hakuna mtu yeyote mwenye haki ya kuzungumza kwa mtazamo dhaifu ndani ya Jamhuri ya Kiislamu

    Ayatollah al-Udhma Nouri Hamedani:

    HawzaHakuna mtu yeyote mwenye haki ya kuzungumza kwa mtazamo dhaifu ndani ya Jamhuri ya Kiislamu

    Hazrat Ayatollah Nouri Hamedani alisisitiza kuwa: Hakuna mtu yeyote mwenye haki ya kuzungumza kwa mtazamo dhaifu ndani Jamhuri ya Kiislamu na kudhoofisha heshima ya watu, kisha licha ya usaliti…

    2025-07-23 00:20
  • Aina yoyote ya hujuma dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ni sawa na kuyaangamiza maslahi ya Marekani na washirika wake duniani kote

    Ayatollah Mohsen Araki amesema:

    HawzaAina yoyote ya hujuma dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ni sawa na kuyaangamiza maslahi ya Marekani na washirika wake duniani kote

    Hawza/ Mjumbe wa Bodi ya Uongozi ya Baraza la Wataalamu wa Uongozi (Majlisi ya Khobregān-e Rahbari) amesema: Aina yoyote ya hujuma dhidi ya nafsi takatifu ya Kiongozi wa Mapinduzi itaondoa kabisa…

    2025-07-18 08:31
  • Zaidi ya mafakihi na walimu 400 wa Hawza ya Qom waiunga mkono kikamilifu fatwa ya kihistoria ya maraaji’ wa taqlid

    HawzaZaidi ya mafakihi na walimu 400 wa Hawza ya Qom waiunga mkono kikamilifu fatwa ya kihistoria ya maraaji’ wa taqlid

    Hawza/ Zaidi ya watu 400 miongoni mwao ni mafakihi na walimu wanachama wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom "J'amiat Mudarisin" wametangaza uungaji mkono wao wa wazi na wa dhati kwa fatwa ya…

    2025-07-13 23:06
  • Lengo la juu kabisa la kuwa faqihi katika dini ni kuwaonya watu / Uhusiano wa kina kati ya muqawama wa taifa la Iran na harakati ya damu ya Ashura

    Ayatollah A'rafi:

    HawzaLengo la juu kabisa la kuwa faqihi katika dini ni kuwaonya watu / Uhusiano wa kina kati ya muqawama wa taifa la Iran na harakati ya damu ya Ashura

    Hawza/ Mkurugenzi wa vyuo vya kidini (hawza) Irani amebainisha kuwa: Katika hali ya hatari ya sasa ambapo maadui wameushambulia kwa nguvu zote na kila upande mfumo mtukufu wa Jamhuri ya Kiislamu…

    2025-07-13 23:04
  • Kukubali mazungumzo na adui ni kutokuamini ahadi za Mwenyezi Mungu

    Ayatollah Rajabiy asema:

    HawzaKukubali mazungumzo na adui ni kutokuamini ahadi za Mwenyezi Mungu

    Hawza/ Rais wa Taasisi ya Imam Khomeini (rah) amesema: Kukubali kufanya mazungumzo na adui ni ushahidi wa wazi wa kutokuamini ahadi ya nusura ya Mwenyezi Mungu na kutokujua kwa hakika njama za…

    2025-07-12 00:23
  • Taasis za kimataifa zilaani mauaji ya maulamaa wa Kishia nchini Syria / Wahalifu na waungaji mkono wa jinai hii katika kanda hii wanapaswa kuhojiwa

    Ayatollah A’rafi katika kulaani mauaji ya Maulamaa wa Kishia nchini Syria:

    HawzaTaasis za kimataifa zilaani mauaji ya maulamaa wa Kishia nchini Syria / Wahalifu na waungaji mkono wa jinai hii katika kanda hii wanapaswa kuhojiwa

    Hawza/ Mkurugenzi wa hawza Iran amesema kwa kusisitiza: Mimi binafsi naziomba taasisi zote za kimataifa, hasa Umoja wa Mataifa, Baraza la Haki za Binadamu, Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu,…

    2025-07-12 00:20
  • Haki za binadamu zinazodaiwa na Magharibi maana yake ni jinai na kuua maelfu ya wanawake na watoto

    Ayatollah al-Udhma Makarim Shirazi:

    HawzaHaki za binadamu zinazodaiwa na Magharibi maana yake ni jinai na kuua maelfu ya wanawake na watoto

    Hawaza/ Mtukufu Ayatollah Makarim Shirazi amesisitiza kuwa: Haki za binadamu zinazodaiwa na Magharibi ni dhana isiyo na maana wala maudhui ya kweli, wao hawana imani na heshima ya mwanadamu wala…

    2025-07-10 20:29
  • Umuhimu wa kutambua nyakati kwa mtazamo wa Sheikh Ibrahim Zakzaky

    HawzaUmuhimu wa kutambua nyakati kwa mtazamo wa Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Hawzah/ Ayatollah Sheikh Ibrahim Zakzaky amesema: “Hata kama chaguo la mwisho katika njia ya muqawama ni kufa kishahidi, bado hiyo ni furaha kubwa zaidi, kama alivyochagua Imam Hussein (as) katika…

    2025-07-09 21:31
  • Taarifa ya Walimu 102 wa Masomo ya wazi na Masomo ya Kiwango cha Juu wa Hawza ya Qom, kwa ajili ya kumuunga mkono Imam Khamenei

    HawzaTaarifa ya Walimu 102 wa Masomo ya wazi na Masomo ya Kiwango cha Juu wa Hawza ya Qom, kwa ajili ya kumuunga mkono Imam Khamenei

    Hawza/ Kundi la walimu wa masomo ya wazi na ngazi za juu katika Hawza ya Qom wametangaza kwamba: Kwa kufuata na kuiga Marjaa wakubwa wa Taqlid na walimu wetu mashuhuri, tunatangaza kuwa tutalijibu…

    2025-07-08 21:56
  • Maandamano ya kupinga utawala wa Kizayuni yafika hadi nchini Sweden

    HawzaMaandamano ya kupinga utawala wa Kizayuni yafika hadi nchini Sweden

    Hawza/ Mamia ya Waswidi walikusanyika mjini Stockholm, mji mkuu wa Sweden, ili kulaani jinai zinazifanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.

    2025-07-01 23:41
  • Mtu yeyote au utawala wowote unaomtishia Kiongozi na marja'iyya hukumu yake ni sawa na muharib (Mtu mwenye kuupiga vita uislamu) / Ushirikiano kati ya serikali za Kiislamu na adui ni haramu

    Ayatollah al-Udhma Makarim Shirazi:

    HawzaMtu yeyote au utawala wowote unaomtishia Kiongozi na marja'iyya hukumu yake ni sawa na muharib (Mtu mwenye kuupiga vita uislamu) / Ushirikiano kati ya serikali za Kiislamu na adui ni haramu

    Hawza/ Ayatollah Makarim Shirazi amesema bayana kuwa: Mtu yeyote au utawala wowote unaonuia kuupiga uma wa Kiislamu na mamlaka yake kwa kuutishia uongozi na marja'iyya, au (Allah aepushe) kuuvunjia…

    2025-07-01 00:17
  • Aina yoyote ya shambulio au tishio dhidi ya Ayatollah Khamenei kutoka kwa mtu au serikali yoyote hukumu yake ni sawa na "muharib" (Mtu anae upiga vita uislamu)

    Ayatollah al-Udhma Nuri Hamedani:

    HawzaAina yoyote ya shambulio au tishio dhidi ya Ayatollah Khamenei kutoka kwa mtu au serikali yoyote hukumu yake ni sawa na "muharib" (Mtu anae upiga vita uislamu)

    Hawza/ Ayatollah Nuri Hamedani ametoa jibu kutokana na ombi la “kutoa hukumu na fatwa ya kihistoria dhidi ya kuwepo na maslahi yote ya Marekani inayofanya jinai na wazayuni wa kimataifa” kufuatia…

    2025-07-01 00:16
  • Kuhudhuria mazishi ya mashahidi ni jawabu thabiti kwa porojo zinazotolewa na viongozi wenye kutakabari

    Ayatollah al-‘Uzma Nouri Hamedani:

    HawzaKuhudhuria mazishi ya mashahidi ni jawabu thabiti kwa porojo zinazotolewa na viongozi wenye kutakabari

    Hawza/ Hadhrat Ayatollah Nouri Hamedani, katika ujumbe wake kutokana ma mnasaba wa kuuawa kishahidi Sardar Luteni Jenerali Mujahid Ali Shadmani, alisisitiza kuwa: Kuhudhuria kwa wapendwa wote…

    2025-06-28 13:43
  • Maombolezo ya Muharram ya mwaka huu yafanyike kwa namna ya adhama zaidi kuliko miaka iliyopita / Hawza na maulamaa daima wamesimama imara juu ya ahadi yao kwa raia

    Ayatollah A‘raafi katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa mwezi wa Muharram:

    HawzaMaombolezo ya Muharram ya mwaka huu yafanyike kwa namna ya adhama zaidi kuliko miaka iliyopita / Hawza na maulamaa daima wamesimama imara juu ya ahadi yao kwa raia

    Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza amesisitiza kuwa: Maombolezo ya mwezi wa Muharram mwaka huu yanapaswa kufanyika kwa namna ya adhama zaidi kuliko zamani kwa lengo la kuimarisha hamasa ya Ashura na…

    2025-06-28 13:42
  • Ujasiri na mshikamano wa watu katika kutetea Mapinduzi na Taifa ni sababu ya kujivunia

    Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran:

    HawzaUjasiri na mshikamano wa watu katika kutetea Mapinduzi na Taifa ni sababu ya kujivunia

    Hawza/ Ayatollah Arafi, kwa kuthamini kujitolea vikosi vya ulinzi na wananchi wa Iran, ameitaja hali ya uwepo wa watu kwa namna ya fahari na kwa uangalifu katika kutetea nchi kuwa ni sehemu muhimu…

    2025-06-26 08:31
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • Next

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom