hawza (965)
-
DuniaAyatullah Khaalisiy atoa onyo kali kuhusiana na muelekeo wa baadhi ya harakati za Iraq kuuelekea “mradi wa Marekani”
Hawza/ Ayatullah Sheikh Jawad Khaalisiy amezionya baadhi ya harakati za kisiasa za Iraq kujiunga na “mradi wa Marekani”, akisisitiza kuwa taasisi za kiusalama zinatawaliwa na watu wanaotumikia…
-
DuniaKuboresha na kuongeza uwezo wa kuhudumia mazuwari wa Ataba Tukufu
Hawza/ Kwa mujibu wa mipango mipya ya Ataba Tukufu ya Imam Hussein (a.s), eneo la Haram linapanuliwa kwa kuchukua eneo jirani na haram hiyo, hatua ambayo inalenga kuboresha huduma kwa mazuwari…
-
DuniaMaandamano dhidi ya Trump yafanyika maeneo yote ya Marekani
Hawza/ Maandamano makubwa yakiwa na kaulimbiu isemayo “Hapana kwa Ufalme!” yamefanyika katika miji mikubwa kadhaa ya Marekani, ambapo wananchi wameonyesha hasira na upinzani wao dhidi ya sera…
-
DuniaWafanyakazi na Wanafunzi Nchini Hispania wafanya Mgomo kwa ajili ya kuwakingia kifua Wapalestina
Hawza/ Wafanyakazi na wanafunzi wa Hispania walifanya maandamano makubwa ya kuiunga mkono Palestina tarehe 15 Oktoba, ambapo takriban maelfu ya watu walishiriki kutoka sehemu mbalimbali za Hispania.
-
Mwanazuoni wa Pakistan:
DuniaMarekani na Israel lazima watoe majibu kuhusiana na damu za mashahidi wa Ghaza
Hawza/ Hujjatul-Islam Maqsood Ali Domki alisema katika hotuba yake kwamba; Marekani na Israel lazima ziwajibike kuhusiana na damu za maelfu ya Wapelestina na kwamba ni watu wa Palestina pekee…
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyyah (51)
DiniMahdawiyyah katika Qur’ani (Sehemu ya Tatu)
Hawzah/ Baadhi ya aya katika Qur’ani Tukufu zinahusiana na ushindi wa wenyekudhoofishwa dhidi ya wenye nguvu, na zinabainisha kwamba hatimaye dunia itakuwa ya wale wanaostahiki — yaani wacha…
-
Mafunzo Katika Qur'an:
DiniKwa nini uaminifu ni muhimu zaidi kuliko swala ndefu?
Hawza/ “Msitazame mtu kwa urefu wa swala zake, bali tazameni uaminifu wake.” Kauli hii ya Imam Sadiq (as) inaonesha kwamba uaminifu ndicho kipimo cha msingi cha kumtambua mtu.
-
DuniaWaraka mpya wafichua njama ya kuuawa kwa Eduardo Agnelli — Ni vipi aliuliwa kishahidi
Hawza / Baada ya kupita miaka 25, hati mpya imechapishwa ambayo inaibua maswali mengi kuhusiana na simulizi rasmi ya kifo cha Eduardo Agnelli — mwana wa familia tajiri ya Agnelli aliyeingia katika…
-
Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Ja’fariyya Pakistan:
DuniaShahada ya kamanda wa Yemen ni fahari kwa Umma wa Kiislamu
Hawza / Sayyid Zawar Hussain Naqvi, Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Ja‘fariyya la Kashmir – Pakistan, ametuma slamu za rambirambi huku akielezea huzuni yake ya kina kufuatia kuuawa kishahidi kwa…
-
Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Madhehebu ya Ahlul-Bayt (a.s) Pakistan:
DuniaSauti ya Umma wa Kiislamu katika kuliunga mkono taifa la Palestina lazima isalie ikisikika kwa nguvu
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Hasnain Abbas Gardizi, Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni wa Madhehebu ya Ahlul-Bayt (a.s) nchini Pakistan, amesema kuwa mkataba wa hivi karibuni wa kusitisha mapigano…
-
DuniaPicha/ Tuzo ya Amani na Heshima kutoka Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) yawaangukia Mashia
Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania TIC Maulana Sheikh Hemedi Jalala Mwakindenge Ameshiriki katika Hafla ya Maulid ya Mtume Muhammad s.a.w.w iliyofanyika Jana Masjid Majmuatul Islamiya Kwa…
-
DuniaRais wa Colombia atenga dhahabu iliyokamatwa ili kuwsaidia watoto waliojeruhiwa Ghaza
Hawza/ Rais wa Colombia, Gustavo Petro, ametoa agizo kwamba dhahabu ya magendi iliyokamatwa ikihusishwa na “Jumuiya ya Mali Maalumu” itumike kutoa misaada ya kitabibu na kusaidia ujenzi upya…
-
Ayatullah A‘rafi katika mkutano wa wasaidizi wa utafiti wa Hawza:
HawzaTabliigh bila mchango wa utafiti haiwezi kufanikiwa/ Tusisahau umuhimu wa mtazamo wa ijtihaadi
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza, Ayatullah Alireza A‘rafi, amesisitiza kuwa kujitolea katika masuala ya utafiti ni sharti muhimu kwa mafanikio ya shughuli za kielimu na za tabligh (ulinganiaji), akibainish…
-
Ayatullah Jawad Marvii:
DuniaHakuna jukumu lolote linalopaswa kumtenga mwanafunzi wa Hawza na tabligh/ Tabligh ni risala ya kimungu, si ajira
Hawza/ Katibu wa pili wa Baraza Kuu la Hawza, Ayatullah Jawad Marvi, amesisitiza kwamba hakuna jukumu au cheo chochote kinachopaswa kumtenga mwanafunzi wa Hawza na kazi ya tabligh, akibainisha…
-
Mafunzo katika Sahifat Sajjadia:
DuniaDua inayowakuribisha vijana na wanafunzi kwenye kumuabudu Mwenyezi Mungu
Hawza/ Mwanadamu katika maisha yake anakutana na njia pamoja na chaguo tofauti, lakini ni ipi kati ya hizo inayoweza kumsaidia zaidi katika safari ya kuwa mja halisi wa Mwenyezi Mungu?
-
Ayatullah Saidii katika Swala ya Ijumaa Qom Iran:
DuniaMakubaliano na Marekani ni sawa na kukubali udhalili, fedheha na kujisalimisha bila masharti – Iran yenye nguvu inatimia kupitia uchumi thabiti
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom amesema: maana ya Marekani inaposema mazungumzo na makubaliano ya amani, si kitu kingine isipokuwa ni udhalili, fedheha na kujisalimisha bila masharti mbele ya…
-
Mjumbe katika Jumuiya ya Wabunge wa Muqawama:
DuniaUvamizi wa Israel dhidi ya Lebanon hautabadilisha kwa vyovyote mlingano wa ustahimilivu
Hawza/ Hasan ‘Izzuddin amesema kuwa: Adui wa Kizayuni katika siku za hivi karibuni amezisha mashambulizi yake dhidi ya Lebanon, kwa kuwa anaamini kwamba kupitia shinikizo la kisiasa na kiuchumi,…
-
DuniaMkuu wa Majeshi ya Yemen auawa shahidi
Hawza/ Jeshi la Yemen siku ya Alhamisi limetoa tamko rasmi likitangaza kuuawa kishahidi jenerali wa ngazi ya juu Mohammad Abdulkarim al-Ghamari, aliyekuwa Mkuu wa Majeshi ya Yemen, na kutoa salamu…
-
Ayatullah Al-Udhma Subhani katika ujumbe wake kwenye kongamano la “Mwanamke na Familia”:
DuniaWanawake ni wenye ushawishi na mchango mkubwa katika jamii/ Uislamu umechora njia iliyo wazi ya heshima na utu wa mwanamke
Hawza/ hafla ya kufunga kongamano la "Mwanamke na Familia" ilifanyika leo Alhamisi, tarehe 16 Oktoba katika ukumbi wa Kituo cha Malezi ya Watoto na Vijana kilichoko kwenye Barabara ya Shahid…
-
Ayatullah A‘rafi katika kikao cha walimu wa Taasisi ya Elimu ya Juu ya Fiqhi amezungumzia:
HawzaMisingi mitano ya maudhui katika ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi wa Iran kwa hawza / Wajibu wa kimataifa wa Hawza na maulama
Hawza/ Ayatullah Alireza A‘rafi amesisitiza kwamba “walengwa wa kwanza wa ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi katika kumbukumbu ya miaka mia moja ya kuasisiwa upya kwa Hawza ya kielimu ya Qum…
-
Mjumbe wa Hizbullah ya Lebanon:
DuniaUchaguzi ujao ni hatua muhimu ya kuhuisha imani kwa chaguo la muqawama
Hawza/ Hussein al-Nimr, kiongozi wa eneo la Biqā‘ ndani ya Hizbullah, amesema kuwa jamii ya muqawama katika kila uchaguzi imeonesha kuwa ni jamii imara, thabiti na isiyoshindwa, ambayo kamwe…
-
Mkuu wa kitengo cha utamaduni ya Iran mjini Quetta, Pakistan:
DuniaShahidi Sayyid Hassan Nasrallah alikuwa kiongozi mahiri na shule hai ya muqawama
Hawza/ Sayyid Abulhasan Miri, afisa wa kitamaduni na mkuu wa nyumba ya utamaduni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran huko Quetta, Pakistan, amemuelezea Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah kama kiongozi…
-
Rais wa Umoja wa Maimamu wa Ahlulbayt (a.s) nchini Uturuki:
DuniaKikao cha Sharm al-Sheikh hakiwezi kubadilisha njia ya muqawama
Hawza/ Rais wa Umoja wa Maimamu wa Ahlulbayt nchini Uturuki (Ehlader), Qadir Akaras, katika mahojiano na televisheni ya Shabake Khabar ya Iran, ametoa tathmini kuhusu kikao cha hivi karibuni…
-
DuniaSheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Ithnaasharia Tanzania (TIC) Ahudhuria Warasha Maalumu Mbezi Beach Daresalam
Hawza/ Sheikh Jalala Hemedi leo hii tareh 16 Oktoba, amehudhuria kwenye warsha maalumu ambayo ilikuwa ikielezea asili ya maendeleo na tamaduni za kimagharibi, iliyofanyika katika ukumbi wa Jaamiatul…
-
DuniaKuanza kwa sura mpya ya ushirikiano wa kitamaduni kati ya Iran na India baada kutiwa saini kwa mikataba miwili muhimu mjini Mumbai
Hawza/ Tukiwa tunakaribia maadhimisho ya miaka 70 tangia kuanzishwa kwa Nyumba ya Utamaduni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Mumbai, mikataba miwili muhimu ya ushirikiano wa kielimu na kiutamaduni…
-
Rais wa zamani wa Kitivo cha Sheriah katika Chuo Kikuu cha Qatar:
Dunia“Uzayuni wa kisiasa unatumia fikra ya ‘taifa teule’ kwa ajili ya maslahi yake binafsi”
Hawza/ Rais wa zamani wa Kitivo cha Sheriah na Masomo ya Kiislamu katika Chuo Kikuu cha Qatar, akizungumza katika kikao cha kielimu kilichobeba anuani isemayo “Maisha ya Kiakhlaqi katika Uislamu…
-
Kikao cha sayyid Ammar al-Hakim na balozi wa Iran mjini Baghdad:
DuniaMahojiano kuhusiana na uhusiano wa pande mbili na mabadiliko katika eneo
Hawza/ Sayyid Ammar al-Hakim, kiongozi wa harakati ya Hikmah al-Wataniyah ya Iraq, amekutana na Mohammad Kazem Al-Sadiq, balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Baghdad, ambapo pande hizo…
-
DuniaUchaguzi wa Iraq waingia katika “hatua ya umwagaji damu”; mgombea mmoja auawa na athari zake zinazotarajiwa
Hawza/ Iraq imeingia katika awamu mpya na hatari ya kampeni za uchaguzi baada ya kutokea mauaji ya mgombea wa ngazi ya juu, tukio ambalo kwa mara ya kwanza katika kipindi cha zaidi ya miaka kumi…
-
Ayatullah Araki akiwa pamoja na wasaidizi wa Tablegh wa Hawza ya Qum Iran
HawzaMkutano wa Sharm al-Sheikh Ulikuwa Uwanja wa Fedheha kwa Baadhi ya Viongozi wa nchi Mbele ya Trump
Hawza/ Ayatullah Mohsen Araki, mwanachama wa Baraza Kuu la Hawza na mjumbe wa Baraza la Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu, amesema kwamba mkutano wa kilele uliofanyika mjini Sharm al-Sheikh…
-
DuniaMwanasiasa Nguli Nchini Kenya Afariki Dunia Akiwa Nchini India
Hawza/ Mwanasiasa mashuhuri wa Kenya na kiongozi wa muda mrefu wa upinzani, Raila Amolo Odinga, amefariki dunia leo hii tareh 15 Oktoba 2025 akiwa nchini India ambako alikuwa akipokea matibabu.…