hawza (1031)
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyat (54)
DiniImamu Mahdi katika Vyanzo vya Ahlus-Sunna
Hawzah/ Kwa kupitia kwa muhtasari vitabu vya riwaya vya Ahlus-Sunna, inadhihirika wazi kuwa suala la Imamu Mahdi (a.s.) limetajwa kwa wingi katika vyanzo vyao. Mbali na hadithi nyingi zilizomo…
-
Ayatullah A‘rafi:
HawzaJanga la Sudan ni Mfano wa Wazi wa Miradi Mibaya ya Maadui wa Umma wa Kiislamu/ Jumuiya za kimataifa zichukue misimamo thabiti
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza, huku akilaani jinai ya kikatili dhidi ya watu wanyonge wa Sudan, alisisitiza kwamba: Tunatarajia jumuiya za kimataifa, Shirika la Ushirikiano wa Kiislamu, na taasisi…
-
DuniaMsaada Kamiki wa Jumuiya ya Maulama wa Kiislamu Lebanon Kuuelekea Muqawama ya Kiislamu
Hawza/ Jumuiya ya Maulama wa Kiislamu wa Lebanon, katika tamko walilo litoa ilisema: Uvamizi wa maafisa wa Marekani kwenye eneo hilo, wakidai kuwa wanatafuta suluhu, unalenga kuandaa mazingira…
-
DuniaKampeni ya Kimataifa ya Kususia Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) Yazinduliwa
Hawza/ Baada ya kuongezeka kwa tuhuma kuhusu kuhusika kwa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) katika kuviunga mkono vikosi vya “Al-Da‘am al-Sari‘” (الدعم السريع) vinavyotuhumiwa kutenda uhalifu wa…
-
DuniaJuhudi za ukombozi za Roland Lumumba Zaheshimiwa nchini Kongo
Hawza/ Mkutano wa kielimu uliopewa jina “Madhara ya Ukoloni Barani Afrika” umefanyika katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Kongo (UNICO) kwa ushirikiano na Ubalozi wa Jamhuri…
-
DuniaHarakati za Ukombozi wa Amerika ya Kusini ni kielelezo cha jitihada za wananchi katika kupambana na ukoloni
Hawza/ Mjumbe wa kitivo cha kundi la Dini katika Taasisi ya Imam Khomeini (r.a) nchini Iran, amesema: Harakati za ukombozi wa Amerika ya Kusini ni miongoni mwa juhudi muhimu zaidi za wananchi…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Iran katika mkutano na maelfu ya wanafunzi na wa vyuo vikuu:
DuniaTofauti kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Marekani ni ya kimsingi, si ya kimkakati / Tatizo letu na Marekani lilianza tarehe 28 Mordad 1332 (1953)
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu Irani, alibainisha kuwa tofauti kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Marekani ni tofauti ya kimsingi na ni mgongano wa maslahi ya mikondo miwili, na kwamba…
-
DiniBibi Fatima Asema/ Mimi ni binti wa yule Mtume
Hawza/ Kutikana na mnasaba wa siku za Fatimiyya; Bibi Fatima Zahra (a.s) alikuwa na moyo uleule wa huruma, upendo na uchungu aliokuwa nao Mtume (s.a.w.w). Aliumia sana kutokana na mateso, upotovu…
-
Ayatullah al-‘Udhma Nuri Hamadani:
DuniaJamii ya Leo Inayahitajia Sulhu Zaidi Kuliko wlKakati Mwingine Wowote
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Nuri Hamadani amebainisha kuwa: leo jamii ya Kiislamu inayahitaji sulhu kwa kiwango cha juu zaidi kuliko wakati mwingine wowote kwani mashetani na maadui hutafuta njia…
-
DuniaKikao cha “Mkataba wa Amani wa Palestina; Ukiukaji na Wajibu wa Umma wa Kiislamu” chafanyika nchini Pakistan
Hawza, kikao kilichopewa jina “Mkataba wa Amani wa Palestina; Ukiukaji na Wajibu wa Umma wa Kiislamu” kiliandaliwa huku kundi la wanazuoni likishiriki, viongozi mashuhuri wa kidini na kijamii,…
-
Ayatullah Ka‘bī katika hafla ya uzinduzi wa kitabu “Fiqhu al-Khabar”:
DuniaJihadi ya vyombo vya habari ni wajibu wa kisharia/ Somo la fiqhu ya vyombo vya habari lifundishwe hawza
Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza katika hafla ya uzinduzi wa kitabu Fiqhu al-Khabar, ameeleza kuwa fiqhi ya vyombo vya habari ni uwanja wa kimkakati kwa ajili ya kuelekeza…
-
Ujumbe wa wazi wa watu wa Yemen kwa Wazayuni:
DuniaMpaka mwisho wa uhai tutailinda Palestina / Tuko tayari kwa aina yoyote ya mapigano
Hawza/ Mandhari za uwanja katika mikoa ya Amran, Rima, Hajjah, Ma’rib, al-Mahwit, Ta‘iz na al-Bayda zinaonesha kuendelea kwa harakati za umma za Yemen, zinadhihirisha uaminifu kwa mashahidi na…
-
Uchaguzi Mkuu Zanzibar
DuniaRais mwinyi Aapishwa Rasmi Ili Kuanza Awamu ya Pili ya Uongozi wake
Hawza/ Rais Mteule wa Zanzibar, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameapishwa rasmi kuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, na kuanza kipindi chake cha pili cha Awamu ya Nane ya…
-
DiniKwa nini Imam Mahdi (a.t.f.) anaitwa “Shariki al-Qur’an” (Mshirika wa Qur’ani)?
Hawza/ Maana ya kina ya neno “Sharik al-Qur’an” (mshirika wa Qur’ani) inaashiria uhusiano wa kudumu kati ya Imam Mahdi (aj) na Qur’ani Tukufu katika kuendeleza uongofu, kuifufua dini, na kulinda…
-
Mafunzo Katika Sahifat Sajjadiya:
DiniDaima ujihesabu kuwa ni mwenye kukosea
Hawza/ Kuyakuza matendo yako mema na kudharau dhambi au makosa yako, kunaweza kuwa kizuizi kikubwa katika njia ya uchamungu wa kweli. Ndiyo maana mafundisho ya Maimamu watoharifu (as) katika…
-
Ayatollah A‘rafi katika kongamano la wanazuoni na wanafunzi wa Ardabil Nchini Iran:
HawzaKuhubiri dini (Tabligh) kumejengwa juu ya msingi wa elimu na hoja za kiakili
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchibi Iran amesema: Wale ambao ndani ya Hawza wanapinga mtazamo wa kisiasa, wao wenyewe wanafikiri kisiasa. Asili ya mfumo wa fikra wa Hawza na uongozi wa kidini ni…
-
DuniaUjumbe kutoka Haram ya Imam Husayn (a.s.) watembelea kanisa la kihistoria nchini Pakistan
Hawza/ Ujumbe kutoka katika Haram Tukufu ya Imam Husayn (as), kwa lengo la kuimarisha maelewano na mazungumzo ya kidini, umetembelea kanisa la kihistoria lililoko katika mji wa Rawalpindi, na…
-
Khatibu mashuhuri kutoka India:
Dunia“Mpango wa kusitisha vita vya Ghaza” ni mchezo wa Trump katika ardhi ya Netanyahu
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Sadiqi Husayni katika hotuba yake alisema: Trump kwa kuwasilisha mpango wa utata kuhusu mgogoro wa Ghaza, amefanya kazi kwa manufaa ya Netanyahu, na watu wa Ghaza…
-
Uchaguzi Zanzibar:
DuniaMwinyi Arejea Ikulu Kwa Kishindo, Masoud Apatwa na Butwaa + Picha
Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi Mhe. Dkt Hussein Ali Mwinyi amechaguliwa tena kuwa Rais wa Zanzibar kufuatia Ushindi alioupata katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika…
-
afunzo katika Nahjulbalagha:
DiniMKwa nini tamaa humfanya mwanadamu awe duni?
Hawzah/ Neno “tamaa” linamaanisha kutaka zaidi ya haki yako na kujaribu kupata neema za maisha kupitia mikono ya wengine. Ni dhahiri kuwa mtu mwenye tamaa hulazimika kujishusha, kuomba kwa kila…
-
DuniaUfunguzi wa Kituo Kikubwa Zaidi cha Kitamaduni na Kidini cha Ahlul-Bayt (as) Barani Ulaya
Hawzah/ Sherehe ya ufunguzi wa Msikiti na Kituo cha Kitamaduni cha Zainabiyya, ambacho ni kituo kikubwa zaidi cha kitamaduni na kidini cha Ahlul-Bayt (as) nchini Uturuki na barani Ulaya, imefanyika…
-
DuniaMsisitizo kwa ajili ya Kuimarisha Mahusiano ya Kiutamaduni na Kidini Kati ya Iran na Urusi Katika Mkutano wa Chamran na Mufti wa Urusi
Hawza/ Roshan Abbasov, Mufti wa Urusi, katika Msikiti Mkuu wa Moscow, aliwakaribisha wajumbe wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wakiongozwa na Rais wa Baraza la Jiji la Tehran, Bw. Mehdi Chamran.
-
Siku Nzito Kwa Watu wa Ghaza na Quds Inayokaliwa Kwa Mabavu Chini ya Kivuli Cha Usitishwaji wa Mapigano Dhaifu:
DuniaMiundombinu ya Msikiti wa Al-Aqsa iko katika hali ya kuporomoka
Hawzah / Hivi karibuni, manispaa ya Kiislamu ya Quds imeonya kuwa kutokana na kuongezeka kwa uchimbaji wa Mahandaki chini ya mji wa kale na chini ya Msikiti wa Al-Aqsa, hatari ya kuporomoka kwa…
-
Ayatullah Al-Udhma Subhani Katika Darsa la Akhlaq:
DiniElimu Ambayo Haiwahudumii Watu ni Sawa na Ujinga/ Mashindano ya Silaha ni Alama ya Ujinga
Hawza/ Pamoja na kutetea elimu, jihadharini; elimu inayopaswa kuenea ni ile ambayo itaiokoa jamii na kuipeleka kwenye daraja la ubinadamu. Lakini elimu inayosababisha binadamu kuwaua binadamu…
-
DuniaKundi la wanafunzi wa Kiafrika Wakuta na Sheikh Ibrahim Zakzaky + Picha
Hawza/ Kundi la wanafunzi wa kiume na wa kike kutoka hawza za Iran, Iraq na Lebanon walimtembelea Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, katika makazi yake na kufanya …
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amuli:
DiniWito wa kuonana na Malakuti ni heshima ya juu kabisa kwa mwanadamu/ kufunguliwa njia ya kuwa arif.
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Jawadi Amuli amesisitiza: Qur’ani ni kitabu cha adabu na kinaonesha heshima kamili kwa mwanadamu. Mwenyezi Mungu anasema: (وَمَا جَعَلَ عَلَیكم فِی ٱلدِّینِ من حَرَجࣲۚ…
-
Katika Mahojiano na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Qom limejadiliwa:
HawzaUenezaji wa Dini (Tabligh) Katika Zama za Akili Bandia (AI); Je, Mimbari ya Jadi Bado ina Ufanisi?
Hawzah/ Hujjatul Islam wal-Muslimin Sharifi amesema: Leo kuna programu ambazo zinawezesha "mazungumzo na hadithi" au "mazungumzo na tafsiri". Mhubiri anaweza kutumia mifumo hii kupata rasilimali…
-
DuniaMahakama ya mwisho ya Palestina ilihitimishwa kwa kukumbushia miaka mingi ya mateso waliyo pitia watu waliodhulumiwa
Hawzah/ Falk, mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika mahakama ya mwisho ya Palestina huko Istanbul alisema: “Janga la watu wa Ghaza lilianza karne moja iliyopita na linaendelea.”
-
DuniaKongamano la Kielimu Likiwa na Kaulimbiu Isemayo “Fikra Mashuhuri za Viongozi wa Kidini wa Kishia” Lafanyika Nchini Myanmar
Hawza/ Kongamano la kielimu likiwa na kaulimbiu isemayo “Fikra Mashuhuri za viongozi wa Kidini wa Kishia” Lafanyika Nchini Myanmar kutokana na juhudi za Kituo cha Utafiti na Elimu ya Mashia cha…
-
Mtazamo juu ya programu za kujitegemea na kuwawezesha wanawake nchini Yemen:
DuniaKutoka mafunzo ya biashara hadi utoaji wa mikopo midogo kwa wanawake wasio na waume
Hawza/ Runinga ya Al-Masirah imeonesha uzoefu wa Taasisi ya Maendeleo Khayrat al-‘Atā’, ambayo imegeuka kutoka mpango wa kujitolea wa wanawake wachache hadi kuwa taasisi inayoongoza katika uzalishaji,…