shirika la habari la hawza (943)
-
DuniaSheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Ithnaasharia Tanzania (TIC) Ahudhuria Warasha Maalumu Mbezi Beach Daresalam
Hawza/ Sheikh Jalala Hemedi leo hii tareh 16 Oktoba, amehudhuria kwenye warsha maalumu ambayo ilikuwa ikielezea asili ya maendeleo na tamaduni za kimagharibi, iliyofanyika katika ukumbi wa Jaamiatul…
-
DuniaKuanza kwa sura mpya ya ushirikiano wa kitamaduni kati ya Iran na India baada kutiwa saini kwa mikataba miwili muhimu mjini Mumbai
Hawza/ Tukiwa tunakaribia maadhimisho ya miaka 70 tangia kuanzishwa kwa Nyumba ya Utamaduni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Mumbai, mikataba miwili muhimu ya ushirikiano wa kielimu na kiutamaduni…
-
Rais wa zamani wa Kitivo cha Sheriah katika Chuo Kikuu cha Qatar:
Dunia“Uzayuni wa kisiasa unatumia fikra ya ‘taifa teule’ kwa ajili ya maslahi yake binafsi”
Hawza/ Rais wa zamani wa Kitivo cha Sheriah na Masomo ya Kiislamu katika Chuo Kikuu cha Qatar, akizungumza katika kikao cha kielimu kilichobeba anuani isemayo “Maisha ya Kiakhlaqi katika Uislamu…
-
Kikao cha sayyid Ammar al-Hakim na balozi wa Iran mjini Baghdad:
DuniaMahojiano kuhusiana na uhusiano wa pande mbili na mabadiliko katika eneo
Hawza/ Sayyid Ammar al-Hakim, kiongozi wa harakati ya Hikmah al-Wataniyah ya Iraq, amekutana na Mohammad Kazem Al-Sadiq, balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Baghdad, ambapo pande hizo…
-
DuniaUchaguzi wa Iraq waingia katika “hatua ya umwagaji damu”; mgombea mmoja auawa na athari zake zinazotarajiwa
Hawza/ Iraq imeingia katika awamu mpya na hatari ya kampeni za uchaguzi baada ya kutokea mauaji ya mgombea wa ngazi ya juu, tukio ambalo kwa mara ya kwanza katika kipindi cha zaidi ya miaka kumi…
-
Ayatullah Araki akiwa pamoja na wasaidizi wa Tablegh wa Hawza ya Qum Iran
DuniaMkutano wa Sharm al-Sheikh Ulikuwa Uwanja wa Fedheha kwa Baadhi ya Viongozi wa nchi Mbele ya Trump
Hawza/ Ayatullah Mohsen Araki, mwanachama wa Baraza Kuu la Hawza na mjumbe wa Baraza la Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu, amesema kwamba mkutano wa kilele uliofanyika mjini Sharm al-Sheikh…
-
DuniaMwanasiasa Nguli Nchini Kenya Afariki Dunia Akiwa Nchini India
Hawza/ Mwanasiasa mashuhuri wa Kenya na kiongozi wa muda mrefu wa upinzani, Raila Amolo Odinga, amefariki dunia leo hii tareh 15 Oktoba 2025 akiwa nchini India ambako alikuwa akipokea matibabu.…
-
DuniaIrani yaicharaza Tanzania Bakora 2 - 0 Bila ya Huruma
Hawza/ Mchezo wa kirafiki wa kimataifa kati ya timu ya taifa ya irani na tanzania umechezwa leo katika uwanja wa Rashid Stadium uliopo Mjini Dubai, falme za kiarabu (UAE), ambapo wenyeji Irani…
-
DuniaMaria Corina Machado ni nani?
Hawza/ Maria Corina Machado ni mwanasiasa wa mrengo wa kulia kutoka Venezuela na moja ya sura kuu za upinzani nchini humo. Hata hivyo, licha ya kuwasilishwa kama “mgombea wa amani”, ana historia…
-
DuniaUchambuzi wa athari za maandamano ya kimataifa kuhusu suala la Ghaza
Hawza/ Sote tumeshuhudia mlipuko wa ghadhabu na chuki dhidi ya Israel kutokana na vita na mauaji ya kimbari yanayoendelea Ghaza, hasa katika kipindi cha miaka miwili iliyopita. Tukio hili limechochea…
-
DuniaMaandamano makubwa yafanyika mjini London kwa ajili ya kuiunga mkono Palestina
Hawza/ Zaidi ya nusu milioni ya waandamanaji waliopinga mauaji ya kimbari yanayoendelea Ghaza waliingia mitaani mjini London, wakitoa wito wa kusitishwa kabisa kwa mapigano na kuanzishwa kwa…
-
DuniaMsikiti wa Preston wafungua milango yake kwa umma wote
Hawza/ Msikiti wa Saleheen uliopo Preston, nchini Uingereza, umefungua milango yake kwa ajili ya ziara ya wazi kwa umma, ili kutoa fursa bora kwa wale wanaopenda kujifunza kuhusu Uislamu na Waislamu.
-
Mwakilishi wa Kata’ib Sayyid al-Shuhada:
DuniaMarekani ina hofu na ushawishi walionao watu wa muqawama nchini Iraq
Hawza/ Mwakilishi wa kitengo cha utamaduni wa Kata’ib Sayyid al-Shuhada ya Iraq mjini Qom Iran, amesema kuwa harakati hiyo imewekwa katika orodha ya vikwazo na Marekani kutokana na umaarufu wake…
-
DuniaBAKWATA yafunga Jalada la Singida/ Kilichobakia sasa ni utendaji tu
Hawza/ Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) mkoa wa Singida limehitimisha rasmi mchakato wa uchaguzi wake mkuu, hatua iliyofunga rasmi jalada la uchaguzi katika mkoa huo baada ya kukamilika…
-
Msaidizi wa Kimataifa wa Hawza:
DuniaKile tulichokiona Lebanon ni Hizbullah imara, yenye mshikamano na muundo madhubuti wa kiuongozi
Hawza/ Msaidizi wa kimataifa wa hawza ameeleza shughuli za ujumbe wa kielimu uliotumwa kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kushiriki kwenye kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa kuuawa shahidi Sayyid…
-
HawzaMajukumu 14 ya kimkakati ya Hawza ya wanawake / Tofauti ya nafasi ya mwanamke katika Uislamu na Magharibi
Hawza/ Ayatollah A'rafi alieleza kuwa uongozi maalumu kwa wanawake nchini Iran na duniani ni jukumu mahsusi la Hawza ya wanawake na wanafunzi wa kike wa Hawza, na akasema: jukumu jingine ni katika…
-
Mshauri wa Mkurugenzi wa Hawza Iran, katika Masuala ya Madhehebu ya Kiislamu:
HawzaUislamu ndio dini pekee ya kimataifa yenye uwezo wa kujibu mahitaji ya binadamu katika zama zote
Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Zamani, katika hafla ya uzinduzi wa vitabu "Fiqhul-Hukūmah na Fiqhul-Mujtama‘ al-Urūbī", alisema: “Uislamu ndio dini pekee duniani yenye uwezo wa kujibu mahitaji…
-
DuniaMwaliko kwa Waumini Kuhusiana na Itikafu Katika Msikiti Mtukufu wa Kufa Iraq
Hawza/ Ghaith Auwad Muhammad Al-‘Adli, Mkuu wa Kitengo cha Masuala ya Dini katika Msikiti Mtukufu wa Kufa, amewaalika waumini wote kushiriki katika ibada ya itikafu katika kituo hicho cha kiroho,…
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti kusuhisana na Mahdawiyyah (50)
DiniMahdawiyyah katika Qur’ani (Sehemu ya Pili)
Hawzah/ “Kudhoofishwa” pekee si sababu ya ushindi dhidi ya maadui na utawala juu ya ardhi; bali kuwepo kwa imani na kujipatia sifa za ustahiki pia ni jambo la lazima. Wenye kunyongeshwa ulimwenguni…
-
Mafunzo katika Nahjul Balagha:
DiniUsijiuze kwa Chochote Kilicho Chini ya Pepo
Hawzah/ Ikiwa mtu atatambua thamani na hadhi ya juu ya utu wake, kamwe – na kwa hali yoyote ile – hatakubali kudhalilika wala kuwa mtumwa wa yeyote asiyekuwa Mungu.
-
Ayatullah A‘rafi katika mazungumzo na Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu Pakistan:
Hawza“Pakistan itekeleze jukumu la msingi katika mabadiliko yajayo kwenye ulimwengu wa Kiislamu”
Hawzah/ Mkurugenzi wa Vyuo vya Dini vya Kiislamu nchini Iran, Ayatullah Alireza A‘rafi, akizungumza kuhusu nafasi ya kimkakati ya Pakistan katika ulimwengu wa Kiislamu, alisema kuwa nchi hiyo…
-
DuniaHukumu za kunyongwa zaongezeka kupita kiasi katika Serekali ya Saudi Arabia/ Baba na watoto watatu wanyongwa bila huruma
Hawzah/ Katika kivuli cha mabadiliko ya kimataifa na vita vya Ghaza, utawala wa Aal Saud na Aal Khalifa umeongeza ukandamizaji wake dhidi ya raia Waislamu wa Kishia..
-
Katibu Mkuu wa Baraza la Umoja wa Waislamu Pakistan:
DuniaMarekani na Israeli wamepoteza katika vita vya Ghaza — ushindi ni wa Upande wa Muqawama
Hawzah/ Hujjatul Islam Sayyid Hasan Zafar Naqvi katika hotuba yake alisema kwamba: Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israeli wameshindwa katika vita hii, na ushindi wa mwisho utakuwa wa taifa…
-
DuniaKwa ajili ya mfumo wa Kiislamu tunahitaji “Fiqhi ya Usalama” / Zaidi ya aya 500 ndani ya Qur’ani zinahusiana na Amani
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimīn Ahmad Abidi, akirejelea tamko la Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi kuhusu “Hawza inayoongoza na bora”, amesisitiza ulazima wa kujikita katika “Fiqhi ya kimfumo (Fiqh…
-
DuniaShirika la Habari la Hawza lachaguliwa kuwa “Chombo Bora cha Habari” katika Mkutano wa 32 wa Kitaifa wa Swala
Katika Mkutano wa 32 wa Kitaifa wa Swala, Shirika la Habari la Hawza limechaguliwa kuwa mojawapo ya vyombo bora vya habari kutokana na mchango wake mkubwa na ubunifu katika kueneza elimu na utamaduni…
-
DuniaSheikh Mataka awasili Singida kwa lengo la kusimamia Uchaguzi Mkuu wa BAKWATA
Hawza/ Mji wa Singida leo umeshuhudia tukio muhimu kwa Waislamu wa mkoa huo, baada ya Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya BAKWATA Taifa, Alhaj Sheikh Khamis Mataka, kuwasili rasmi kwa ajili ya kusimamia…
-
DuniaSheik Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) ahudhuria hafla ya utangulizi wa maulidi mkoani Arusha
Hawza/ Jumamosi ya jana ambayo ni sawa na taeh 11 Oktoba, Sheik Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) alihudhuria hafla ya utangulizi wa maulidi iliyofanyika Mkoani Arusha.
-
Rais wa Kolombia:
DuniaTunataraji kushuhudia uundwaji wa taifa la Palestina
Hawza/ Rais wa Kolombia amepongeza makubaliano kati ya Israel na Hamas kuhusu awamu ya kwanza ya mpango wa amani katika Ukanda wa Ghaza, akieleza matumaini yake kwamba usitishaji huu wa mapigano…
-
DuniaMakala Maalum | Tuzo ya Amani ya Nobel Imegeuka Kuwa Maonesho ya Kichekesho
Hawza/ Tuzo ya Amani ya Nobel haitolewi tena kwa wale wanaosuluhisha baina ya mataifa au kuzima moto wa migogoro; sasa inatolewa kwa wale wanaopinga tawala ambazo hazilingani na misimamo ya serikali…
-
DuniaPapa Leo: Waandishi wa Habari wa Ghaza Wako Mstari wa Mbele wa Kuusambaza Ukweli
Hawza/ Papa Leo, katika hotuba yake ya Alhamisi, aliwaheshimu waandishi wa habari mashahidi Ghaza na kusema kwamba; wao wako mstari wa mbele katika kufikisha sauti ya ukweli kutoka maeneo ya…