shirika la habari la hawza (1832)
-
HawzaHadithi ya Leo | Faida Zinazopatikana Kutokana na Kufikiri
Hawza/ Imam Hasan al-Mujtaba (a.s.) katika Riwaya moja ameeleza umuhimu wa uchamungu na kuendelea kutafakari, pamoja na nafasi yake katika kuifikia kheri.
-
DuniaTIC Yamuenzi Sheikh Abdallah Seifu: Sheikh Mkuu Aongoza Hauli na Dua Lindi
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, jana Jumatano ameongoza zoezi la kisomo cha Khitma na dua maalumu kwa ajili ya kumuombea marehemu…
-
DiniHukumu za Kisheria | Kuficha Kasoro ya Bidhaa Wakati wa Kuuza
Hawzah/ Ayatullah Sayyid Ali Sistani amejibu swali la kifiqhi (istiftaa) kuhusu “kuficha kasoro ya bidhaa wakati wa kuiuza.”
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaMalezi ya Kielimu na Kidini kwa Kizazi cha Vijana ni Jambo Lisiloweza Kupuuzwa
Hawzah/ Hujjatul-Islamu wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqavi amesisitiza umuhimu wa malezi ya kielimu na kidini kwa kizazi cha vijana, na kusema: “Ushindani wenye afya ya kielimu baina ya shule…
-
Ayatullah Huseini Bushehri:
DuniaLeo Tunawahitajia Watu Kama Sheikh Ansa'ri Wanaoendana na Mahitaji ya Zama/ Asisitiza Jihadi ya Kielimu Sambamba na Jihadi ya Ulinzi
Hawzah/ Mwenyekiti wa Jumuiya ya Walimu wa Hawzah ya Qom, huku akisisitiza umuhimu wa kuendelea na jihadi ya kielimu sambamba na jihadi ya ulinzi, amesema: Sheikh Ansari (ra) katika zama zake…
-
DuniaUrusi Yaandaa Mkutano wa Kimataifa wa Viongozi wa Dini: Iran Yawaalika Wanazuoni Waungana Dhidi ya Dhuluma na Uchokozi
Hawzah/ Mkutano wa pili wa kimataifa wa viongozi wa dini umefanyika katika jiji la Saint Petersburg, nchini Urusi. Kazem Jalali, Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Urusi, na Hujjatul-Islamu…
-
DiniHadithi ya Leo | Athari za Kujitosheleza na Mwenyezi Mungu
Hawzah/ Imam Ali (as), katika riwaya, anaeleza kuhusu athari za mwanadamu aliejitosheleza na Mwenyezi Mungu kwa kumfanya yeye kuwa tegemeo lake pekee.
-
DuniaWakati Uvamizi Dhidi ya Taifa Unapolenga Heshima ya Kibinadamu
Hawza/ Katika siku hizi ambazo dunia inashuhudia tena matumizi makubwa ya nguvu za kijeshi katika eneo hili, picha mbili kutoka kusini mwa Iran hazipaswi kufutika katika kumbukumbu ya fikra na…
-
DuniaMtawa Mkristo Azungumzia Miaka 30 Aliyoishi na Waislamu
Hawza/ Bwana Madj, baada ya kutumikishwa kwa muda wa miaka 30 na Vatican nchini Turkmenistan, amesema: “Utamaduni wa Uislamu na Ukristo unakaribiana sana, na sasa nimefikia hitimisho kwamba mawasilian…
-
DuniaSimulizi ya Bahrain kuhusu Kushtakiwa Mashia kwa Msingi wa Itikadi Yao
Hawza/ Ripoti za hivi karibuni kutoka Bahrain zinaonesha kwamba hatua za kisheria na kiusalama dhidi ya wanazuoni wa dini, makhatibu na taasisi za kidini zimevuka hatua ya kushughulikia kesi…
-
Ayatullah al-Udhma Jawadi Amuli:
DuniaElimu Iliyopitwa na Wakati na Kuchakaa Haifai kwa Hawza na Vyuo Vikuu/ Bila Imani, Elimu Haiwezi Kujengwa
Hawza/ Ayatullah Jawadi Amuli, huku akisisitiza umuhimu wa kufikia elimu mpya na yenye afya, ameeleza kwa msisitizo: Elimu ambayo imepitwa na wakati na kuchakaa, haiwezi kuipeleka Hawza katika…
-
Naibu wa Masuala ya Kimataifa wa Hawza Nchini Iran:
DuniaKuweka Mambo ya Kimataifa katika Nguzo Zote za Hawza ni Miongoni mwa Ajenda/ Matumizi Mapana ya Teknolojia za Kisasa na Akili Mnemba
Hujjatul-Islamu wal-Muslimina Husseini-Kouhsari amebainisha kuwa, mipango ya mabadiliko ya Naibu wa Masuala ya Kimataifa wa Hawza imeandaliwa kwa lengo la kuweka mwelekeo wa kimataifa katika…
-
DiniHadithi ya Leo | Ubora wa Mtume Mtukufu (saww) Juu ya Mitume Wote na Malaika
Hawzah/ Mtume Mtukufu (saww), katika riwaya anaeleza kuhusiana na nafasi yake tukufu na daraja lake la juu miongoni mwa manabii na mitume wote wa Mwenyezi Mungu.
-
DuniaUbalozi wa Iran Vatican Wawataka Viongozi wa Dini Kuvunja Ukimya
Hawza/ Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Vatican, kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa kigaidi wa Marekani kusini mwa Iran, katika eneo la Sirik, umewataka wanazuoni,…
-
DuniaIdara ya Elimu na Malezi ya Texas Yaandika Upya Vitabu vya Masomo ya Kijamii kwa Mtazamo wa Kuupinga Uislamu
Hawza/ Licha ya juhudi za Waislamu za kuhakikisha kwamba Waislamu wenye ushawishi na wenye heshima wanapewa nafasi inayostahili katika masomo, Idara ya Elimu na Malezi ya Texas bado inaendelea…
-
Sheikh Ahmad Qabalan:
DuniaKusini Mwa Lebanon ni Nguzo Muhimu Zaidi ya Muundo wa Mfumo wa Utawala;Serikali Isiyoilinda Imeiuza Nchi
Hawza/ Sheikh Ahmad Qabalan, Mufti Mashuhuri wa Jaafari, akimuelekea Rais wa Lebanon amesema: “Uwezekano wa mgawanyiko wa ndani umefikia kiwango cha juu kabisa, na wewe una wajibu wa kuzuia kusambarat…
-
Imam wa Ijumaa wa Baghdad:
DuniaIraq Inahitaji Serikali Itakayowaokoa Wananchi na Kulinda Utawala wa Nchi
Hawza/ Ayatullah Sayyid Yasin Al-Mousawi, Imam wa Ijumaa wa Baghdad, amekosoa sera za kiuchumi na utendaji wa kisiasa wa baadhi ya viongozi, huku akisisitiza umuhimu wa kuundwa serikali ya wananchi,…
-
DiniHadithi ya Leo | Madhara Yanayopatikana Kutokana na Kuipenda Dunia
Hawza/ Imam Musa Al-Kadhim (as), katika riwaya, anaeleza kuhusu kutotosheka mwanadamu katika kuifuata dunia, pamoja na umuhimu wa kujiepusha na kushikamana nayo kupita kiasi.
-
DuniaSheikh Jalala Afanya Ziyara Maalumu kwa Mlezi wa Jumuiya ya Shia TIC Mwanza, Apongeza Juhudi za Kuitumikia Jamii
Hawzah/ Tarehe 05 Septemba 2026, Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, amefanya ziyara maalumu kwa Mlezi wa Jumuiya ya Shia TIC Mwanza na Mwenyekiti…
-
DuniaLondon Yaandaa Maonesho ya Kihistoria ya Sanaa Yanayohusu Historia ya Waislamu wa Ulaya
Hawza/ Maonesho ya sanaa ya Shahid Salim yanaonesha mapazia yenye rangi mbalimbali yanayoakisi nyakati muhimu za kihistoria kwa Waislamu wa Uingereza na Ulaya.
-
Naibu Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kiislamu Afrika Kusini:
DuniaMapinduzi ya Kiislamu ya Iran Yalikuwa Chanzo cha Hamasa kwa Wananchi wa Afrika Kusini
Hawza/ Naibu Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kiislamu la Afrika Kusini, huku akisisitiza kwamba Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yalikuwa chanzo cha hamasa kwa harakati za kupigania uhuru nchini…
-
HawzaAyatullah A’rafi Abainisha Mambo 10 ya Kimkakati Kuelekea Mwaka Mpya wa Masomo ya Hawza/ Tuchukue Kiaga Cha Kulingania kwa Mwenyezi Mungu
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amesema kuwa Hawza zinapaswa kutekeleza ipasavyo jukumu lake la kihistoria kwa kutambua kwa usahihi mazingira ya zama, mahitaji ya jamii na mabadiliko…
-
DuniaHawzah ya Ayatullah Ka'dhimi Yafunguliwa Mjini Ka'dhimain; Hatua Mpya katika Kukuza Elimu za Hawza
Hawza/ Jiji takatifu la Ka'dhimain Iraq, limeshuhudia hafla ya uzinduzi wa “Hawza ya Ayatullah Sheikh Muhammad Hussein Ka'dhimi” kwa ajili ya masomo ya elimu za Hawza, iliyofanyika jirani na…
-
DiniHadithi ya Leo | Malipo Tele Kutokana na Amali Ndogo
Hawza/ Imam Jaafar Swa'diq (as) katika riwaya moja ameashiria fadhila na malipo makubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu kumuelekea mja wake ambae anafanya amali ndogo kwa ikhlasi.
-
DuniaMaulana Sheikh Jalala Ahimiza Waislamu Kuendeleza Vikao vya Maulidi, Dua na Dhikri
Hawza/ Tarehe 04 Septemba 2026, Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, amehudhuria hafla ya Maulidi iliyofanyika jijini Mwanza, katika mwendelezo…
-
Rais wa Jumuiya ya Wifaq ya Madrsa za Kishia Pakistan:
DuniaMarjaiya, Maombolezo ya Ashura na Wilaya ni Nguzo Tatu Imara za Ushia Dhidi ya Ukoloni
Hawza/ Ayatullah Hafiz Riyadh Hussein Najafi, Mkuu wa Shirikisho la Madrasa za Kishia Pakistan (Wifaq al-Madaris al-Shia Pakistan), amesisitiza kwamba Marjaiya, maombolezo ya Ashura na Wilaya…
-
Jumuiya ya Al-Wifaq Bahrain:
DuniaAmri Mpya ya Kifalme Yaendeleza Mfumo wa Kiusalama na Kipolisi Nchini Humo
Hawza/ Kwa kutolewa kwa amri mpya ya Mfalme wa Bahrain, kwa mara nyingine tena kivuli cha sera za kipolisi kimezidi kutanda katika muundo wa kiutawala wa nchi hiyo. Jumuiya ya Al-Wifaq katika…
-
Mwaka wa Tano wa Mgomo wa Chakula:
DuniaMashirika ya Kimataifa Yataka Dkt. Abduljalil al-Singace Aachiwe Mara Moja kutoka Gerezani Bahrain
Hawza/ Shirika la “Scholars at Risk” (Wasomi Walio Hatarini) limewataka viongozi wa Bahrain kumwachilia mara moja na bila masharti mwanataaluma aliyefungwa, Dkt. Abduljalil al-Singace.
-
DuniaRipoti ya Shirika la Salaam, Kuielekea Kamati ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binadamu Kuhusu Ukiukaji Mkubwa wa Haki za Mashia Unaofanywa na Serikali ya Bahrain
Hawza/ Shirika la “Salaam” la Demokrasia na Haki za Binadamu limewasilisha malalamiko kwa Kamati ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa, likieleza kuwa Serekali ya Bahrain kwa sasa imekuwa ikikeuka…
-
DuniaSafari ya Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kishia la Lebanon Nchini Iraq na Kukutana na Viongozi wa Iraq
Hawza/ Sheikh Ali Al-Khatib, Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Kishia, amekutana na Viongozi kadhaa wa Iraq ili kuwafahamisha kuhusu maendeleo ya hali nchini Lebanon.