shirika la habari la hawza (1524)
-
DuniaBaraza la Maulamaa wa Kishia Afghanistan lataka wahusika wa shambulio la msikiti wa Mashia Islamabad waadhibiwe
Baraza la Maulamaa wa Kishia Afghanistan, kupitia taarifa rasmi, huku likijibu shambulio la kigaidi dhidi ya Msikiti wa “Khadijat al-Kubra” huko Islamabad, Pakistan, lililaani vikali tukio hilo…
-
Mchambuzi wa masuala ya usalama wa Iraq:
DuniaGhala la makombora la Iran linavunja utawala wa Marekani
Hawza/ Abdulkarim Khalaf alisisitiza kuwa ghala la makombora la Iran sasa limekuwa kizuizi halisi kwa kambi na meli za kivita za Marekani zilizopo katika eneo hilo.
-
DuniaWafungwa wengi wa Kipalestina hawajasajiliwa katika magereza ya Israel
Hawza/ Suala la mauaji ya kimbari ya utawala wa Israel dhidi ya Palestina limeonesha pengo kubwa la kimaadili kati ya kauli za kibinadamu na utekelezaji wake. Kwa zaidi ya miaka miwili, idadi…
-
Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Lebanon:
DuniaJamhuri ya Kiislamu haitaafikiana juu ya haki yake ya kupata na kutumia teknolojia ya nyuklia ya amani
Hawza/ Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Lebanon alisema: katika njia ya maendeleo, Jamhuri ya Kiislamu kamwe haitapuuzia haki yake halali na isiyoweza kujadiliwa ya kupata na kutumia…
-
Mkondo wa Kiislamu wa Muqawama nchini Lebanon:
DuniaIran inatekeleza nafasi ya unabii katika kukabiliana na Firauni wa zama hizi, yaani Uzayuni-Marekani
Hawza/ Mkondo wa Kiislamu wa Muqawama nchini Lebanon ulitoa pongezi kwa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika maadhimisho ya miaka arobaini na saba ya ushindi wake, huku ukipongeza uongozi wake…
-
DuniaWanazuoni wa Kiislamu na wasomi ulimwenguni watoa wito wa kuitikia kauli ya Kiongozi wa Waislamu duniani
Hawza/ Baadhi ya shakhsia mashuhuri za kielimu na kifikra katika ulimwengu wa Kiislamu, wakijibu kauli ya Kiongozi wa Mapinduzi, kwa kutuma ujumbe wa pamoja wa video, wameitaja tarehe 22 Bahman…
-
DuniaRipoti kuhusiana na hamasa isiyo na mfano iliyo oneshwa na taifa la Iran; 22 Bahman 1404; siku iliyozinduliwa ngome kubwa zaidi katika Taifa la Iran
Hawza/ Wananchi wa Qum wakiwa sambamba na watu wa maeneo yote ya Iran walithibitisha kwamba ngome muhimu zaidi ya nchi ya Iran na silaha yenye athari kubwa zaidi ya ulinzi ni uwepo huu mpana…
-
DuniaSherehe ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu imefanyika katika makazi ya ubalozi wa Vatican
Hawza/ Sherehe ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu imefanyika katika makazi ya ubalozi wa Vatican, huku baadhi ya maafisa wa Vatican na mabalozi kadhaa pamoja na wakuu wa uwakilishi wa nchi mbalimbali…
-
DuniaUmoja wa Ulaya walaani mpango wa kuongeza nguvu ya Israel katika Ukingo wa Magharibi
Hawza/ Umoja wa Ulaya siku ya Jumatatu ulitangaza kulaani uamuzi wa hivi karibuni wa utawala wa Israel wa kuimarisha udhibiti katika Ukingo wa Magharibi.
-
DuniaSherehe ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yafanyika nchini Armenia
Hawza/ Sherehe ya Mapinduzi kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 47 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu imefanyika katika mji wa Kapan nchini Armenia kwa ushiriki wa Wairani na Waarmenia wenye…
-
DuniaWananchi wa Australia wameghadhibika kutokana na ziara ya maafisa wa Israel nchini mwao
Hawza/ Maelfu ya wananchi wa Australia katika maandamano makubwa walilaani vikali ziara ya Isaac Herzog, rais wa utawala wa Kizayuni, nchini mwao. Herzog anatuhumiwa kwa kuchochea na kuihamasisha…
-
Rais wa Baraza la Wadhamini wa Muungano wa Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon:
DuniaJamhuri ya Kiislamu ya Iran ni mapinduzi kwa Umma mzima wa Kiislamu
Hawza/ Sheikh Ghazi Hanina, Rais wa Baraza la Wadhamini wa Muungano wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon, huku akisisitiza juu ya asili ya Kiislamu na malengo ya kimataifa ya Mapinduzi ya Iran,…
-
DuniaMatangazo ya kufunguliwa kivuko cha Rafah ni habari za upotoshaji kutoka Israel
Hawza/ Israel imetangaza kuwa imefungua kivuko cha Rafah kwa ajili ya Wapalestina kusafiri, lakini licha ya maombi ya baadhi ya wananchi, uwezekano wa kuvuka haupo, na ni watu 180 tu walioweza…
-
HawzaAyatullah A‘rafi ashiriki katika matembezi ya kuzivunja nguvu za adui ya 22 Bahman
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, ameshiriki sambamba na wananchi wa kimapinduzi na wachamungu katika matembezi ya kishujaa na ya kuzivunja nguvu za adui ya tarehe 22 Bahman mjini Qum.
-
Ayatullah Shab Zende-dar katika maandamano ya 22 Bahman:
DuniaWananchi wameonesha kuwa wamesimama pamoja na Mapinduzi na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi
Hawza/ Katibu wa Baraza Kuu la Hawza za Elimu za Kiislamu, akirejelea ushiriki mkubwa na wa kishujaa wa wananchi watiifu kwa uongozi wa Wilaya na wa kimapinduzi katika maandamano ya 22 Bahman,…
-
Sheikh Ali Al-Khatib:
DuniaUshia kamwe haukuwa na misimamo ya ushabiki, bali umekuwa mlinzi wa Uislamu/ Kukabiliana na adui “Muisraeli” si suala la kimadhehebu bali ni wajibu wa kitaifa na Kiislamu
Hawza/ Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon amesisitiza kuwa; Ushia kamwe haukuwa wa ushabiki, bali umeulinda Uislamu, jamii ya Kiislamu na umma wa Kiislamu kwa…
-
Baraza la Wanazuoni wa Palestina nchini Lebanon:
DuniaKuiunga mkono Iran ni kuuhami Umma wote
Hawza/ Baraza la Wanazuoni wa Palestina nchini Lebanon na nje ya nchi hiyo, huku likisisitiza kwamba “Iran leo ndiyo ipo mstari wa mbele katika kulinda heshima ya Umma na mustakabali wa eneo…
-
DuniaHaram ya Hadhrat Abbas (a.s.) yaonesha vipande vya kale vya haram hii tukufu
Hawza/ Makumbusho ya Haram ya Hadhrat Abbas (a.s) yameonesha vipande vya kale na vya kihistoria vya haram ya Qamar Bani Hashim ambavyo viliharibiwa katika tukio la mwaka 1370 (H).
-
DuniaNajaf yajitaarisha kupokea wanazuoni; mwanzo wa milenia ya Hawza kwenye kongamano la “Urithi wa Sheikh Tusi”
Hawza/ Najaf Ashraf itakuwa mwenyeji wa tukio la kwanza la kielimu la maadhimisho ya milenia ya Hawza. Kongamano lenye anuani isemayo “Urithi wa kielimu wa Sheikh Tusi”, kwa ushiriki wa wasomi…
-
DuniaMaelfu ya watu mjini Kargil, India, waandamana kwa jili ya kupinga ugaidi na vurugu
Hawza/ Maelfu ya watu wa Kargil, India, walishiriki katika maandamano makubwa na ya amani huku wakilaani shambulio la kigaidi dhidi ya Msikiti wa “Khadija al-Kubra (ra)” wa Mashia mjini Islamabad,…
-
DuniaWaislamu wa Kanada waupokea mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa kuwasha taa na kuweka mapambo mitaani
Hawza/ Mwezi wa Ramadhani, ambao ndani ya British Columbia unajulikana kama Sherehe ya Ramadhani, mwaka huu unaangukia mwishoni mwa Februari na mwanzoni mwa mwezi Machi. Katika mji wa Surrey,…
-
DuniaVyombo vya habari ndivyo vinavyojenga na kuitambulisha jamii/ Jihadi ya ubainishaji ni ulazima usiopingika katika zama za vyombo vya habari
Hawza/ Mjumbe wa Baraza la Utambuzi wa Maslahi ya Mfumo (Majmaʿ Tashkhis-e Maslahat-e Nezam) akisisitiza nafasi ya vyombo vya habari katika kujenga utambulisho wa kijamii, alisema: Iwapo mafundisho…
-
Kutokana na mnasaba wa sikukuu za mwezi wa Shaaban na kumbukumbu ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, yafuatayo yalifanyika:
DuniaKiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ameafiki kutolewa msamaha, kupunguza au kubadilisha adhabu kwa zaidi ya watu elfu mbili waliotiwa hatiani
Hawza/ Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amekubali ombi la Mkuu wa Idara ya Mahakama kuhusu kutoa msamaha, kupunguza au kubadilisha adhabu kwa watu elfu mbili mia moja na nane (2108) waliotiwa…
-
Katibu wa Baraza Kuu la Hawza:
HawzaWananchi kushiriki katika tarehe 22 Bahman ni tangazo la kusimama imara pamoja na Mapinduzi na sababu ya kuwakatisha tamaa maadui
Hawza/ Ayatullah Shabzendeh-Dar, huku akisisitiza umuhimu maradufu wa maandamano ya Yawmullah (Siku ya Mwenyezi Mungu) ya tarehe 22 Bahman katika mazingira ya sasa, alieleza kuwa ushiriki mpana…
-
Ayatullah Al-udhma Nouri Hamedani:
DuniaWananchi kwa kushiriki katika matembezi ya tarehe 22 Bahman watawakatisha tamaa zaidi maadui
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Nouri Hamedani amewataka wananchi wote wa Mapinduzi na waumini wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kushiriki katika matembezi ya siku ya 22 Bahman.
-
HawzaWito wa Ayatullah A‘rafi kwa wananchi kushiriki katika matembezi ya tarehe 22 Bahman/ Dunia itaona adhama ya Iran
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran amesema: Kesho itakuwa ni uwanja wa kudhihirika adhama ya Iran na fahari ya taifa, na siku ya ushiriki wa pamoja watu wote katika matembezi ya kihistoria…
-
Ayatullah A’rafi:
DuniaLeo dini inahitaji mwanazuoni mpiganaji/ Tabligh ni jukumu kuu la hawza katika hali nyeti ya sasa
Hawza/ Ayatullah Alireza A’rafi, Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amesisitiza kwamba: Leo dini inahitajia mwanazuoni mwenye sifa ya kuipigania na kusimama kidete, huku akielezea kuwa tabligh…
-
DuniaWananchi wa Paris waandamana kupinga vita na ubaguzi wa rangi
Hawza/ Mamia ya wananchi wa Ufaransa usiku wa Jumapili walikusanyika katika uwanja unaojulikana kama Uwanja wa Taifa (Place de la Nation) na kufanya maandamano kwa bia ya kuunga mkono amani duniani…
-
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Maleki:
DuniaMapinduzi ya Kiislamu yaliwatoa Wairani kwenye ukandamizaji wa utawala wa Twa'ghuti na kuwafikisha kwenye “uhuru”
Hawza/ Naibu Mkurugenzi wa Hawza ya Ilimu ya Dini ya Qom, huku akisisitiza nafasi muhimu ya Mapinduzi ya Kiislamu katika kuiokoa Iran kutoka katika ukandamizaji wa kitamaduni na kidini wa enzi…
-
DuniaZaidi ya bandari 20 za Mediterania zagoma kwa ajili ya kuonesha mshikamano na Palestina
Hawza/ Wafanyakazi katika gati za Bahari ya Mediterania walianzisha mgomo mkubwa, na kusimamisha shughuli katika zaidi ya bandari 20 kupinga mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina yanayofanywa…