shirika la habari la hawza (1416)
-
Ayatullah Khatami katika mkusanyiko mkubwa wa wanazuoni wa Hawza:
DuniaGhasia za hivi karibuni zilikuwa mapinduzi ya kijeshi dhidi ya dini na watu / Viongozi wa ghasia wanahesabiwa kifiqhi kuwa ni “maharibu”
Hawza/ Mjumbe wa mafaqihi wa Baraza la viongozi alisisitiza: Imam Khomeini (rehma za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) katika kitabu chake cha "Tahrir al-Wasilah" anaeleza wazi kwamba mtu yeyote…
-
Mkuu wa Ofisi ya Kueneza Mafundisho ya Kiislamu afafanua:
DuniaUchambuzi wa hali ya dunia: Mashariki ya Kati na nafasi ya mhimili ya Israel kwa Magharibi/ Iran yenye nguvu, kikwazo kikuu cha mamlaka ya Magharibi na mkakati wa kuivunja
Hawza/ Mkuu wa Ofisi ya kueneza Mafundisho ya Kiislamu ya Hawza ya Qom amesema: Tatizo la dunia ya ubeberu na Magharibi—yaani Marekani na Ulaya—na Iran ni tatizo la jiografia ya kisiasa (geopolitics)…
-
Ayatullah al-‘Udhma Nouri Hamadani:
DuniaKuharibu Mazingira kwa makusudi ni “haramu”
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Nouri Hamedani amesisitiza: Uharibifu wa makusudi wa mazingira ya umma husababisha kupotezwa kwa haki za binadamu, kuwadhuru wengine, kusaliti amana ya umma, kukufuru…
-
DuniaBalozi wa Vatican: Mazungumzo ya viongozi wa dini yanaweza kufungua njia mpya kuelekea amani na kuishi kwa pamoja
Hawza/ Mehdi Zare‘-Bi‘Ayb, mshauri wa masuala ya kitamaduni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Thailand, alipotembelea Ubalozi wa Vatican mjini Bangkok alikutana na Askofu Peter B. Wells,…
-
Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt wa Uturuki yatoa onyo kwa mabeberu:
DuniaJaribio lolote la kuivamia heshima ya Wilaya litajibiwa kwa tufani ya hasira ya Umma wa Kiislamu
Hawza/ Jumuiya ya Wanazuoni wa Ahlul-Bayt wa Uturuki, huku ikitoa onyo kwa Marekani na Israel, imesisitiza: Jaribio lolote la kuvunja au kuvamia heshima ya Wilaya na Uongozi ni mstari mwekundu…
-
Katika mazungumzo na kiongozi wa Kituo cha Basij cha Wahadhiri, Mameneja na Wataalamu wa Hawza ya Qom, ilijadiliwa:
DuniaChanzo cha uhasama wa Marekani dhidi ya taifa la Iran
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Hussein Akbari alieleza kuwa uhasama wa Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni wa asili na una mizizi ya kina, unaotokana na upinzani wake…
-
DuniaWananchi wa Pakistan wahuisha kiaga chao cha utii kwa Ayatullah Imam Khamenei
Hawza/ Kongamano tukufu la “Safari ya Imam Hussein (a.s.) na Kuhuishwa Ahadi ya Uaminifu” lilifanyika kwa fahari kubwa katika mji wa Karachi, Pakistan, kwa ushiriki wa wanazuoni wa dini, wasomi…
-
Ayatollah A’raafi katika mkutano na wajumbe wa Taasisi ya Fikra ya Hawza:
HawzaKuitambua dunia mpya na mikondo mipya inayoibuka ni jukumu letu kuu / Hawza ni kiongozi wa fikra na mawazo ya Uislamu katika zama za sasa
Hawza/ Ayatollah A’raafi, akibainisha kuwa taasisi ya dini ina majukumu mazito sana juu yake, alisisitiza akisema: jukumu letu la kwanza na la msingi kabisa ni kuitambua dunia mpya na mikondo…
-
Katibu wa Baraza Kuu la Hawza:
DuniaKumtukana Kiongozi wa Mapinduzi ni dalili ya ukosefu wa uchambuzi na uelewa pungufu wa adui/ Watekelezaji, wahusika wa moja kwa moja na wachochezi wa ghasia ni muharibi na waasi
Hawza/ Ayatollah Shab-Zendadar, huku akisisitiza kuwa kumtukana Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ni dalili ya ukosefu wa uchambuzi sahihi na uelewa pungufu wa maadui, alisema: Katika fiqhi ya Kiislamu,…
-
Ayatullah udhma Jawadi Amoli katika somo la juu la fiqhi:
HawzaMarekani na utawala wa Kizayuni hawana uwezo wa kuidhuru Iran
Hawza/ Ayatullah Jawadi Amoli, huku akiongoza dua kwa ajili ya kulindwa mfumo wa Kiislamu, alisisitiza kuwa: Marekani na utawala wa Kizayuni hawana uwezo wa kuidhuru njia hii, na kwa idhini ya…
-
HawzaMwamko na msimamo mkali wa wanazuoni wa Hawza kote nchini wakilaani kudhihakiwa Qur’ani Tukufu na vitakatifu vya Kiislamu
Hawza/ Kufuatia kudhihakiwa na kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu na vitakatifu vya Kiislamu kulikofanywa na magaidi wa Marekani na Kizayuni katika ghasia za hivi karibuni, na pia kwa ajili ya…
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyya (62)
DiniMagharibi na Mahdawiyya (Sehemu ya Pili)
Hawza/ Vyombo vya habari ni miongoni mwa nyenzo zenye ushawishi mkubwa zaidi katika dunia ya leo; kwani mbali na kazi zao za moja kwa moja za kuwaathiri watu binafsi, pia vina uwezo wa kuathiri…
-
Katibu wa Kongamano la Kimataifa la Umanā’u r-Rusul amefanunua:
DuniaKuanzia Karbala hadi Beirut; makongamano matatu ya kielimu kwa ajili ya kuhuisha urithi wa fikra wa wanazuoni wakubwa
Hawza/ Katika kikao cha Kamati ya Kielimu ya Kongamano la Kimataifa la Umanā’u r-Rusul, dhamira ya kielimu na kimkakati ya mihimili mitatu ya mkusanyiko wa makongamano ya Umanā’u r-Rusul ilifafanuliwa…
-
Radi amali ya Ayatullah Marvi kuhusiana na uchokozi wa Trump mwenye matatizo ya akili dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi
DuniaWenye akili timamu Marekani wamfahamishwe kuwa Iran si Venezuela
Hawza/ Ayatullah Haj Sheikh Jawad Marvi, Katibu wa Pili wa Baraza Kuu la Hawza za Elimu ya Kiislamu, katika hitimisho la darsa yake ya juu (Dars Kharij) ya fiqhi, sambamba na kutoa maelezo kuhusu…
-
Katibu wa Tamasha la Ammar:
DuniaLeo kauli mbiu ya “Kifo kwa Marekani” imekuwa ya kimataifa
Hawza/ Katibu wa Tamasha la Kumi na Sita la Filamu za Wananchi la Ammar, huku akisisitiza kuenea kimataifa kwa kauli mbiu isemayo “Kifo kwa Marekani”, amesema: leo hata ndani ya Marekani yenyewe…
-
Kutokana na mnasaba wa maadhimisho ya siku ya kuzaliwa kwa Qamar Bani Hashim (a.s.):
DiniMtukufu Abul-Fadhl al-Abbas (a.s.) na fadhila ya kufufuliwa pamoja na Malaika
Hawza/ Fadhila ya kufufuliwa pamoja na malaika, ambayo hakuna ladha iliyo juu yake, imetajwa katika riwaya pia kwa mja mwema wa Mwenyezi Mungu, Mtukufu Abul-Fadhl al-Abbas (a.s.). Malipo ya aina…
-
Kuielekea Jamii Bora (Jamii ya Kimaadili): Tafiti za Mahdawiya (61)
DiniMagharibi na Mahdawiya (Sehemu ya Kwanza)
Hawza/ Uhusiano uliopo kati ya kudhihiri kwa mwokozi na sifa kama vile kuenea kwa haki, kupinga dhuluma, na kadhalika, umesababisha wanadamu wa dini na itikadi zote daima kuwa na hamu na shauku…
-
DuniaRais Dkt. Mwinyi aitaka misikiti iwe kitovu cha utatuzi wa changamoto za jamii
Hawza/ Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewataka Waumini wa Dini ya Kiislamu kuitumia misikiti kama vituo muhimu vya majadiliano, mshikamano…
-
Ayatollah Sa‘idi:
DuniaMpango wa Marekani kwa Iran katika matukio ya hivi karibuni ulikuwa na muundo unaofanana na Venezuela
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum alisema: Katika matukio ya hivi karibuni, mpango mkuu wa Marekani ulikuwa na mfano unaofanana na ule wa Venezuela. Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iliwafikishia…
-
DuniaWaziri wa Ulinzi wa Pakistan: Katika hali yeyote tutasimama imara upande wa Iran
Hawza/ Khawaja Muhammad Asif, Waziri wa Ulinzi wa Pakistan, katika kikao chake na Reza Amiri Moghaddam, Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran huko Islamabad, walijadili na kubadilishana mawazo…
-
Harakati ya Amali ya Kiislamu:
DuniaKutishia kumuua Ayatollah udhma Khamenei ni njama ya kishetani; makelele ya Trump hayadumu na hatima yake ni pipa la taka la historia
Hawza/ Harakati ya Amali ya Kiislamu ya Lebanon, kwa kulaani vikali vitisho vya Donald Trump dhidi ya Ayatollah Khamenei, ilisema hatua hiyo kuwa ni njama ya kishetani na uonevu wa Kimarekani-Kizayuni…
-
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Nchi ya Iran katika Kituo cha Vita Mseto:
DuniaMfumo wa Mahakama wa nchi ya Iran hauathiriwi na mashinikizo ya nje/ Jeuri ya hivi karibuni ya Trump ni sawa na tangazo la vita kamili
Hawza/ Mwendesha Mashtaka Mkuu wa nchi ya Iran, huku akisisitiza kuwa mfumo wa mahakama kwa vyovyote vile hauathiriwi na mashinikizo ya kigeni, alisema wazi kwamba: jeuri na matusi ya hivi karibuni…
-
Tamko la Wawakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi wa Iran kotoka mikoa mbalimbali ya nchi hiyo
DuniaKila aina ya dharau au kuvunjiwa heshima Imamu wa Umma wa Kiislamu kutaangamiza uwepo wa utawala wa Kizayuni
Hawza/ Wawakilishi wa Walii Faqih kutoka mikoa tofauti ya Iran, mwishoni mwa kikao cha mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Iran na baadhi ya viongozi wa nchi hiyo, walisema kuwa: aina yoyote ya…
-
DuniaWanazuoni wa Jamhuri ya Azerbaijan walaani chuki na uhalifu wa Wazayuni nchini Iran; wasisitiza juu ya kuchukuliwa hatua kali dhidi ya vibaraka wa Kizayuni–Marekani
Hawza/ Wanazuoni wa dini na wanafunzi wa elimu ya Kiislamu wa Jamhuri ya Azerbaijan, wakieleza chuki na hasira kali dhidi ya matukio ya kigaidi ya hivi karibuni nchini Iran, wameeleza kuwa vitendo…
-
Spika wa Bunge la Umoja wa Waislamu wa Pakistan:
DuniaSerikali ya Pakistan ichukue msimamo wa wazi dhidi ya vitisho vya Marekani dhidi ya Iran
Hawza/ Seneta Raja Nasir Abbas Jafari, katika hotuba yake, alikosoa msimamo wa tahadhari wa serikali ya Pakistan mbele ya vitisho vya Donald Trump, Rais wa Marekani, dhidi ya Iran, na akataka…
-
DuniaTaasisi ya kisheria ya “Hind Rajab” inafuatilia kuwawajibisha wahalifu wa mauaji ya kimbari huko Ghaza
Hawza/ Taasisi ya "Hind Rajab" kwa zaidi ya miaka miwili imekuwa ikifanya ufuatiliaji wa kisheria na kikatiba duniani kote kwa lengo la kuwakamata na kuwafikisha mahakamani wahalifu wa mauaji…
-
Ayatullah Jawadi Amoli:
DuniaKusimama dhidi ya haki husababisha mtu na jamii kuangamia/ Msisitizo juu ya kuutibu moyo uliochoka kwa hekima na dhikri
Hawza/ Mtukifu Ayatullah Jawadi Amoli amesisitiza: Yeyote anayesimama dhidi ya haki, bila shaka atashindwa; hata hivyo, kila mwanadamu katika mfumo huu wa uhai ana wajibu wa kutekeleza jukumu…
-
Mtazamo wa Ayatullah al-‘Udhmaa Makarem Shirazi kuhusu matukio ya hivi karibuni nchini Iran
DuniaUtetezi thabiti wa Maraji juu ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Iran
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Makarem Shirazi amesisitiza: Kila mtu au utawala wowote utakaomtishia Kiongozi wa Mapinduzi na marjaiya (uongozi wa kidini), au—Mungu apishe mbali—ukajaribu kuwadhuru,…
-
Ayatullah al-‘Udhmaa Nouri Hamedani katika mkutano na maimamu wa misikiti ya Tehran Iran:
DuniaAina yoyote ya kumshambulia au kumdhuru Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ina hukumu ya “muharib” / Sielewi watu mashuhuri wanaonyamazia wanafikiria nini
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Nouri Hamedani alisisitiza: Rais wa Marekani ajue kwamba yeyote atakayethubutu kumshambulia au kumdhuru Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ni “muharib” (mtu anae upiga vita uislamu).…
-
DiniJe, umesoma Munajat “Sha‘baniyah”? Isome!
Hawza/ Imam Khomeini (r.a), ambaye yeye mwenyewe alikuwa mfano wa maarifa kamili ya kiroho, na aliyeitoa nafsi yake kutoka kwenye hatari za dunia, katika vipindi mbalimbali, akikutana na makundi…