shirika la habari la hawza (1782)
-
DuniaTaasisi ya Furqan Yaadhimisha Hafla ya Ghadeer Sambamba na Kumbukumbu ya Kufariki Imam Khomeini (r.a)
Hawza/ Katika mazingira yaliyojaa hisia za kiroho, elimu na mapenzi kwa Ahlul-Bayt (a.s), Taasisi ya Furqan nchini Tanzania imeadhimisha hafla maalumu ya Sikukuu ya Ghadeer sambamba na mnasaba…
-
Ayatullah Gharawi katika mahojiano na Shirika la Habari la Hawza:
DuniaAdui kupitia vita vya kisaikolojia anapima kiwango cha ustahimilivu wetu/ Majukumu ya wabebaji wa ujumbe wa dini katika kuvuka changamoto za vita mseto
Hawza/ Mjumbe wa Baraza Kuu la Hawza, huku akisisitiza nafasi ya wanafunzi wa Hawza na wanazuoni katika kusimamia uwanja wa ufafanuzi wa mambo, amewataka wawahimize watu kuwa na “ustahimilivu”…
-
DuniaJumuiya ya Shia Ithnaasharia (TIC) Mkoani Mwanza Tanzania, Yaadhimisha Hafla ya Ghadeer kwa Hamasa Kubwa + Picha
Hawza/ Katika mazingira yaliyojaa furaha, mapenzi na mshikamano wa Kiislamu, Jumuiya ya Shia Ithnaasharia (TIC) Mkoani Mwanza, Tanzania, imefanya hafla kubwa ya kuadhimisha Sikukuu ya Ghadeer,…
-
Darsa la Akhlaq | Kiongozi shahidi wa Mapinduzi:
DiniKukumbuka kuwa dunia inaisha humwacha mwanadamu huru kutokana na kushikamana nayo kupita kiasi
Hawza/ Kiongozi shahidi wa Mapinduzi akirejelea hadithi: «لِدْ لِلْمَوْتِ وَاجْمَعْ لِلْفَنَاءِ وَابْنِ لِلْخَرَابِ», alisisitiza kwamba; kila kitu ambacho mwanadamu hukikusanya duniani hatimaye…
-
DuniaMwimbaji Mmarekani awasilisha shairi la kiirfani la Imam Khomeini katika sherehe za Ghadir huko Jakarta
Hawza/ Sambamba na kufanyika hafla ya kumbukumbu ya miaka thelathini na saba ya kufariki kwa Mtukufu Imam Khomeini (ra) pamoja na sherehe kubwa ya Idi Tukufu ya Ghadir Khum huko Jakarta, Mustafa…
-
HawzaMkutano wa kielimu/ “Ghadir; Nukta ya Pamoja katika Umma wa Kiislamu” wafanyika Tanzania
Hawza/ Mkutano wa kielimu na kitamaduni wenye anuani isemayo “Ghadir; Nukta ya Pamoja katika Umma wa Kiislamu”, uliokuwa na lengo la kuchunguza tukio la Ghadir kwa mtazamo wa Shia na Ahlu Sunna,…
-
DuniaWataliano walaani mauaji ya watoto yanayofanywa na Israel
Hawza/ Mamia ya watu walikusanyika mjini Milan nchini Italia ili kuenzi majina na kumbukumbu za watoto wa Palestina waliouawa, ambapo walionesha katikati ya jiji bango kubwa lililokuwa na majina…
-
Sheikh al-Khatib:
DuniaTaarifa ya mazungumzo ya Washington inafungua milango ya fitna ambayo adui ananuia kuizalisha
Hawza/ Makamu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon amesema: Kukubali kwa serekali ya Lebanon kupitia wanadiplomasia wake maudhui ya taarifa ya Washington na kukubali…
-
HawzaBaraza Kuu la Hawza za latuma Ujumbe wa Rambirambi kufuatia kufariki Ayatullah al-Udhma Fayyadh
Hawza/ Baraza Kuu la Hawza limetoa ujumbe wa rambirambi kufuatia kufariki kwa Mtukufu Ayatullah Muhammad Ishaq Fayyadh, mmoja wa Marajii wa Taqlid wa Najaf Ashraf.
-
DuniaBahrain yaongeza hatua zake kali dhidi ya Mashia
Hawza/ Nchini Bahrain, wimbi la hivi karibuni la kukamatwa, kuvuliwa uraia na kufuatiliwa kwa misingi ya kisiasa na kidini limezua mijadala mikubwa kuhusu hali ambayo nchi hiyo inaipitia.
-
Kuielekea kwenye jamii bora; Tafiti za Mahdawiyya (65)
DiniNafasi na mchango wa wanawake katika kudhihiri na dola ya Imam Mahdi (a.f) – Sehemu ya Pili
Hawza / Kuhusu nafasi ya mwanamke katika jamii ya Kiislamu na utekelezaji wa malengo ya Mwenyezi Mungu, Qur’ani Tukufu imeorodhesha majukumu ya jumla kama vile kumcha Mwenyezi Mungu, kuamrisha…
-
DiniUfafanuzi wa Hadithi ya Akhlaq | Subira katika mitihani, utiifu na kuacha maasi kwa mujibu wa simulizi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi
Hawza/ Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi, akirejelea hadithi: «فَإِنِ اسْتَطَعْتَ أَنْ تَعْمَلَ بِالصَّبْرِ مَعَ الْیَقِینِ فَافْعَل», alifafanua maana ya subira katika nyanja tatu: mitihani, utiifu…
-
DuniaHotuba ya afisa wa Israel katika mkutano wa kimataifa ilisimamishwa kabla ya kukamilika kutokana na upinzani wa kumpinga
Hawza / Wakati wa kikao cha Mkutano wa 114 wa Kimataifa wa Kazi mjini Geneva, hotuba ya mwanadiplomasia wa Israel ilisitishwa kutokana na upinzani mkubwa wa wawakilishi wa nchi mbalimbali na…
-
Mwanazuoni wa Ahlu Sunna wa Misri:
DuniaKuisaidia Iran dhidi ya uvamizi ni wajibu wa kisheria
Hawza/ Sheikh Salama Abdulqawi, mwanazuoni wa Ahlu Sunna kutoka Misri na mmoja wa maafisa wa zamani wa Wizara ya Wakfu ya Misri, akisisitiza kwamba; Iran ni nchi ya Kiislamu, ameeleza kuwa kuiunga…
-
DuniaMtangazaji wa televisheni wa Kuwait ahukumiwa kifungo cha miaka mitatu kwa tuhuma za kuiunga mkono Iran
Hawza / Mamlaka ya mahakama ya Kuwait imethibitisha hukumu iliyotolewa dhidi ya Zainab Dashti, mtangazaji wa televisheni rasmi ya Kuwait.
-
Hizbullah:
DuniaJinai inayofanywa na adui dhidi ya jeshi la taifa imekuwa ni matokeo ya kawaida na ya kupuuzwa kwa mamlaka ya nchi
Hawza / Hizbullah katika taarifa yake imesema: Shambulio la kijinai na la woga ambalo adui Mzayuni amelifanya dhidi ya jeshi letu la taifa ni jinai ya kweli na ya makusudi.
-
DuniaMkusanyiko wa Wanazuoni wa Jabal Amil umesisitiza kushikamana na uchaguzi wa kusimama imara, Muqawama na kuimarisha umoja wa Lebanon
Hawza/ Mkusanyiko wa Wanazuoni wa Jabal Amil nchini Lebanon katika ujumbe wake kwa mnasaba wa “Eidul Ghadir” umesisitiza kwamba; Lebanon chini ya mwendelezo wa mashambulizi na vitisho vya Israel,…
-
DuniaSheikh Qabalan amwambia Aoun: Kama kusingekuwa na Muqawama, adui Muisraeli angefika hadi Ikulu ya Rais
Hawza / Mwanazuoni mashuhuri wa Lebanon, katika ujumbe wake kwa Rais wa Lebanon, amesema: Yeyote anayehimiza Muqawama kujiondoa kusini mwa mto huku wakati huohuo asidai kuondoka kwa jeshi la…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia wa Pakistan:
DuniaImam Khomeini (r.a), alikuwa nembo ya mwamko na mapambano dhidi ya ubeberu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi katika ujumbe wake amesema: Imam Khomeini (r.a) kupitia ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliwasilisha mfano wenye mafanikio wa serikali…
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyyah (64)
DiniNafasi na wajibu wa wanawake katika kudhihiri na serikali ya Imam Mahdi (aj) – Sehemu ya kwanza
Hawza/ Wanawake pia, kama ilivyo kwa wanaume katika jamii, wanapaswa kutumia juhudi zao zote katika kutekeleza nafasi zao kwa ajili ya kufanikisha malengo ya Mwenyezi Mungu, bila mchango wao,…
-
Ayatullah Makarim Shirazi:
DuniaBaraka za Ayatullah Fayyadh ndani ya Hawza ya Najaf hazitasahaulika
Hawza/ Ayatullah Makarim Shirazi ametuma salamu za rambirambi kufuatia kufariki kwa Ayatullah Hajj Sheikh Ishaq Fayyadh, mmoja wa Mar'ajii wakubwa wa Taqlid wa Najaf.
-
Mtawa wa Kanisa la Orthodox:
DuniaNilizuiwa kutoa hotuba makanisani kwa sababu ya kufichua ukweli kuhusu Palestina
Hawza/ Agapia Stefanopoulos, mtawa wa Kanisa la Orthodox wa Marekani mwenye asili ya Kigiriki ambaye ameishi kwa miaka mingi mjini Quds, amesema kwamba: Kutokana na kueleza alichokishuhudia kuhusu…
-
Kiongozi wa Ansarullah Yemen:
DuniaAmirul-Muuminina Ali (as), ni kipimo cha imani
Hawza/ Abdul-Malik Badruddin al-Houthi, kiongozi wa Ansarullah ya Yemen, alizungumzia kwa kina suala la kutangazwa kwa “haki ya Wilayah” kwa Imam Ali (as) na amri ya Mwenyezi Mungu kwa Mtume…
-
Hizbullah ya Lebanon:
DuniaAyatullah al-Udhma Fayyadh alikuwa nguzo ya Marjaiyya na mtumishi wa Uislamu
Hawza/ Hizbullah ya Lebanon imetoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Ayatullah al-Udhma Sheikh Is'haq Fayyadh na kusisitiza kwamba; alikuwa miongoni mwa nguzo za Marjaiyya ya kidini ndani…
-
DuniaWapinzani wa Palestina wapinga meli iliyobeba watalii wa Israeli nchini Ugiriki
Hawza/ Makundi yanayoiunga mkono Palestina pamoja na vyama vya wafanyakazi katika bandari ya Piraeus nchini Ugiriki yamefanya mkusanyiko wa maandamano, yakipinga kuingia kwa meli ya kitalii iitwayo…
-
Ayatullah Saidii katika Swala ya Ijumaa ya Qum alisema:
DuniaNjia sita za kukabiliana na vita mchanganyiko vya adui katika ujumbe wa mwisho wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qum alisema: Adui ameielekeza nguvu yake katika maeneo mawili nyeti na ya kimkakati, na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ametoa njia sita za kukabiliana nayo ambazo…
-
DuniaAyatullah al-Udhma Nouri Hamadani atoa salamu za rambirambi kuielekea Hawza ya Najaf
Hawza/ Ayatullah al-Udhma Nouri Hamedani ametuma salamu za rambirambi kufuatia kufariki kwa Ayatullah al-Udhma Fayyadh (ra), mmoja wa Maraji' wakubwa wa taqlid wa Najaf.
-
Ayatullah A'rafi katika ujumbe wa rambirambi:
HawzaUbunifu wa kielimu, kifiqhi na huduma za kidini pamoja na tablighi vilimfanya Ayatullah al-Udhma Fayyadh kuwa shakhsia mashuhuri
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran amesema: Ubunifu wa kielimu na kifiqhi sambamba na huduma za kidini na tablighi za Ayatullah al-Udhma Fayyadh, hasa mchango wake usiosahaulika katika kufufua…
-
Sheikh Ibrahim Zakzaky:
DuniaUlimwengu leo hii unahitajia kurejea fikra za Imaam Khomein (ra)
Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema kuwa dunia ya leo inahitaji kurejea katika fikra za Imam (r.a.)
-
Mwanauchumi mkuu wa taasisi ya Moody's atoa tahadhari:
DuniaMarekani imebakiwa na wiki moja tu kabla ya kuingia katika mdororo wa uchumi
Hawza/ Mark Zandi, mwanauchumi mkuu wa taasisi ya Moody's Analytics, ameonya kwamba; iwapo juhudi za kidiplomasia na Iran hazitafanikiwa katika siku zijazo, kuongezeka kwa bei ya mafuta na nishati…