shirika la habari la hawza (930)
-
DuniaBAKWATA yafunga Jalada la Singida/ Kilichobakia sasa ni utendaji tu
Hawza/ Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) mkoa wa Singida limehitimisha rasmi mchakato wa uchaguzi wake mkuu, hatua iliyofunga rasmi jalada la uchaguzi katika mkoa huo baada ya kukamilika…
-
Msaidizi wa Kimataifa wa Hawza:
DuniaKile tulichokiona Lebanon ni Hizbullah imara, yenye mshikamano na muundo madhubuti wa kiuongozi
Hawza/ Msaidizi wa kimataifa wa hawza ameeleza shughuli za ujumbe wa kielimu uliotumwa kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kushiriki kwenye kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa kuuawa shahidi Sayyid…
-
HawzaMajukumu 14 ya kimkakati ya Hawza ya wanawake / Tofauti ya nafasi ya mwanamke katika Uislamu na Magharibi
Hawza/ Ayatollah A'rafi alieleza kuwa uongozi maalumu kwa wanawake nchini Iran na duniani ni jukumu mahsusi la Hawza ya wanawake na wanafunzi wa kike wa Hawza, na akasema: jukumu jingine ni katika…
-
Mshauri wa Mkurugenzi wa Hawza Iran, katika Masuala ya Madhehebu ya Kiislamu:
HawzaUislamu ndio dini pekee ya kimataifa yenye uwezo wa kujibu mahitaji ya binadamu katika zama zote
Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Zamani, katika hafla ya uzinduzi wa vitabu "Fiqhul-Hukūmah na Fiqhul-Mujtama‘ al-Urūbī", alisema: “Uislamu ndio dini pekee duniani yenye uwezo wa kujibu mahitaji…
-
DuniaMwaliko kwa Waumini Kuhusiana na Itikafu Katika Msikiti Mtukufu wa Kufa Iraq
Hawza/ Ghaith Auwad Muhammad Al-‘Adli, Mkuu wa Kitengo cha Masuala ya Dini katika Msikiti Mtukufu wa Kufa, amewaalika waumini wote kushiriki katika ibada ya itikafu katika kituo hicho cha kiroho,…
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti kusuhisana na Mahdawiyyah (50)
DiniMahdawiyyah katika Qur’ani (Sehemu ya Pili)
Hawzah/ “Kudhoofishwa” pekee si sababu ya ushindi dhidi ya maadui na utawala juu ya ardhi; bali kuwepo kwa imani na kujipatia sifa za ustahiki pia ni jambo la lazima. Wenye kunyongeshwa ulimwenguni…
-
Mafunzo katika Nahjul Balagha:
DiniUsijiuze kwa Chochote Kilicho Chini ya Pepo
Hawzah/ Ikiwa mtu atatambua thamani na hadhi ya juu ya utu wake, kamwe – na kwa hali yoyote ile – hatakubali kudhalilika wala kuwa mtumwa wa yeyote asiyekuwa Mungu.
-
Ayatullah A‘rafi katika mazungumzo na Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu Pakistan:
Hawza“Pakistan itekeleze jukumu la msingi katika mabadiliko yajayo kwenye ulimwengu wa Kiislamu”
Hawzah/ Mkurugenzi wa Vyuo vya Dini vya Kiislamu nchini Iran, Ayatullah Alireza A‘rafi, akizungumza kuhusu nafasi ya kimkakati ya Pakistan katika ulimwengu wa Kiislamu, alisema kuwa nchi hiyo…
-
DuniaHukumu za kunyongwa zaongezeka kupita kiasi katika Serekali ya Saudi Arabia/ Baba na watoto watatu wanyongwa bila huruma
Hawzah/ Katika kivuli cha mabadiliko ya kimataifa na vita vya Ghaza, utawala wa Aal Saud na Aal Khalifa umeongeza ukandamizaji wake dhidi ya raia Waislamu wa Kishia..
-
Katibu Mkuu wa Baraza la Umoja wa Waislamu Pakistan:
DuniaMarekani na Israeli wamepoteza katika vita vya Ghaza — ushindi ni wa Upande wa Muqawama
Hawzah/ Hujjatul Islam Sayyid Hasan Zafar Naqvi katika hotuba yake alisema kwamba: Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israeli wameshindwa katika vita hii, na ushindi wa mwisho utakuwa wa taifa…
-
DuniaKwa ajili ya mfumo wa Kiislamu tunahitaji “Fiqhi ya Usalama” / Zaidi ya aya 500 ndani ya Qur’ani zinahusiana na Amani
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimīn Ahmad Abidi, akirejelea tamko la Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi kuhusu “Hawza inayoongoza na bora”, amesisitiza ulazima wa kujikita katika “Fiqhi ya kimfumo (Fiqh…
-
DuniaShirika la Habari la Hawza lachaguliwa kuwa “Chombo Bora cha Habari” katika Mkutano wa 32 wa Kitaifa wa Swala
Katika Mkutano wa 32 wa Kitaifa wa Swala, Shirika la Habari la Hawza limechaguliwa kuwa mojawapo ya vyombo bora vya habari kutokana na mchango wake mkubwa na ubunifu katika kueneza elimu na utamaduni…
-
DuniaSheikh Mataka awasili Singida kwa lengo la kusimamia Uchaguzi Mkuu wa BAKWATA
Hawza/ Mji wa Singida leo umeshuhudia tukio muhimu kwa Waislamu wa mkoa huo, baada ya Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya BAKWATA Taifa, Alhaj Sheikh Khamis Mataka, kuwasili rasmi kwa ajili ya kusimamia…
-
DuniaSheik Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) ahudhuria hafla ya utangulizi wa maulidi mkoani Arusha
Hawza/ Jumamosi ya jana ambayo ni sawa na taeh 11 Oktoba, Sheik Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) alihudhuria hafla ya utangulizi wa maulidi iliyofanyika Mkoani Arusha.
-
Rais wa Kolombia:
DuniaTunataraji kushuhudia uundwaji wa taifa la Palestina
Hawza/ Rais wa Kolombia amepongeza makubaliano kati ya Israel na Hamas kuhusu awamu ya kwanza ya mpango wa amani katika Ukanda wa Ghaza, akieleza matumaini yake kwamba usitishaji huu wa mapigano…
-
DuniaMakala Maalum | Tuzo ya Amani ya Nobel Imegeuka Kuwa Maonesho ya Kichekesho
Hawza/ Tuzo ya Amani ya Nobel haitolewi tena kwa wale wanaosuluhisha baina ya mataifa au kuzima moto wa migogoro; sasa inatolewa kwa wale wanaopinga tawala ambazo hazilingani na misimamo ya serikali…
-
DuniaPapa Leo: Waandishi wa Habari wa Ghaza Wako Mstari wa Mbele wa Kuusambaza Ukweli
Hawza/ Papa Leo, katika hotuba yake ya Alhamisi, aliwaheshimu waandishi wa habari mashahidi Ghaza na kusema kwamba; wao wako mstari wa mbele katika kufikisha sauti ya ukweli kutoka maeneo ya…
-
DuniaUfaransa Yakosolewa vikali kutokana na Kuwazuia Wanawake Wachezaji Kuvaa Hijabu
Hawza/ Wanaotetea haki za binadamu wameitaka Ufaransa iondoe sheria inayokataza wanawake wanamichezo kuvaa hijabu, huku mjadala kuhusu suala hili ukizidi kushika kasi katika siku za hivi karibuni.
-
DuniaMatumaini ya Sheikh Zakzaky Kuhusiana na Kuenea Amani Duniani
Hawza/ Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, jana alikutana na kundi la machifu na viongozi wa makabila ya kaskazini mwa nchi hiyo na kufanya nao mazungumzo.
-
Imamu wa Ijumaa wa Najafu Ashraf:
DuniaMakubaliano ya Usitishaji Mapigano Ghaza ni Ushindi wa Muqawama Dhidi ya Kusalimu
Hawza / Hujjatul-Islam na Waislamu Sayyid Sadruddin Qabanchi alisema kuwa utawala wa Israeli, ukiungwa mkono kimataifa na silaha zenye nguvu zaidi za kivita ambazo hazijapata kutokea, hatimaye…
-
mamu wa Ijumaa wa Baghdad:
DuniaIsrael na Trump Wamesalimu Masharti ya Muqawama Ghaza
Hawza/ Ayatollah Sayyid Yasin Musavi, akirejelea usitishwaji mapigano hivi karibuni Ghaza, aliutaja kama ishara ya kusalimu Israel na Trump mbele ya masharti ya Muqawama wa Kiislamu, na kusema…
-
DuniaWatu mia moja wafuasi wa haki za binadamu wapo njiani kuelekea Ghaza.
Hawzah/ Ripoti zinaonyesha kwamba bado kuna boti chache zilizobaki kutoka katika meli ya Samoud ambazo zinajaribu kuvunja vikwazo dhidi ya watu wanyonge wa Ghaza.
-
Mwakilishi wa Bunge la Lebanon:
DuniaBaadhi ya wanasiasa wamekuwa chombo cha Marekani
Hawzah/ Ali Fayyadh amesema: Ni wazi kwamba baadhi ya watu walioko madarakani wanatekeleza kwa makusudi siasa ya kuingiza kila kipengele kinacholeta mvutano na uchochezi katika uwanja wa ndani.
-
Mjumbe Mwandamizi wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaUstahimilivu na kujitolea Wapalestina kumeidhihirisha sura halisi ya Wazayuni
Hawzah/ Hujjatul-Islam Sayyid Nazir Abbas Taqavi katika hotuba yake amesema: “Muqawama wa Kiislamu, kwa kusimama kidete na kustahimili, umeishinda serikali ya Kizayuni katika nyanja za kijeshi…
-
DuniaWanafunzi wa Chuo Kikuu cha Chile katika kumbukumbu ya mwaka wa pili wa shambulio la utawala wa Kizayuni, wametwaa jengo kuu la chuo hicho kwa ajili ya kuiunga mkono Palestina.
Hawzah/ Sambamba na kumbukumbu ya mwaka wa pili tangua mashambulizi ya kijeshi ya Israel dhidi ya wananchi wa Palestina, kundi la wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Chile walitwaa jengo kuu la chuo…
-
DuniaHispania Imeishtaki Israeli Katika Mahakama ya Kimataifa
Hawza/ Waziri wa Mambo ya Ndani wa Hispania, Fernando Grand Marsela, amefikisha malalamiko rasmi katika Mahakama ya Jinai ya Kimataifa dhidi ya Israeli kuhusiana na matukio yanayohusiana na ufuatiliaj…
-
DuniaMaandamano Makubwa yafanyika kila pembe ya Cuba kwa ajili ya Kuwaunga Mkono Watu wa Palestina na Kupinga Uhalifu Ghaza
Hawza/ Maelfu ya wananchi wa Cuba Jumatano waliandaa maandamano makubwa katika sehemu mbalimbali za nchi hiyo, wakionyesha uungaji wao mkono watu wa Palestina na kudai kusimamishwa mara moja…
-
Balozi wa Yemen Iran:
DuniaYemen Imezuia Bidhaa 560 Zinazohusiana na Kampuni za Kizayuni na Washirika Wake
Hawza/ Balozi wa Yemen Iran, akizingatia hatua za kuzuia bidhaa za Kizayuni, alisema kuwa: kama jibu kwa wito wa wananchi, serikali ya Yemen imezuia bidhaa 560 zinazohusiana na kampuni za Kizayuni…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi katika Ujumbe wake kwa ajili ya Mkutano wa 32 wa Kitaifa unaohusiana na Swala:
DuniaZitumike mbinu za kisasa na vitu vyenye ushawishi katika kufundisha na kueneza swala
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi, katika ujumbe wake kwenye Mkutano wa 32 wa Kitaifa unaohusiana na Swala, amesisitiza kuwa taasisi zinazoeneza dini, viongozi wa dini, na waumini wote, wanapaswa…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: Tafiti za Mahdawiyyah (49)
DiniMahdawiyyah katika Qur’ani (Sehemu ya Kwanza)
Hawza/ Qur’ani Tukufu imezungumzia kwa ujumla juu ya kudhihiri na kisimami cha Hujjat Imam Mahdi (aj), na imeonesha bishara ya kuundwa serikali yenye uadilifu kimataifa na ushindi kwa watu wema.…