-
Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Lebanon:
DuniaJamhuri ya Kiislamu haitaafikiana juu ya haki yake ya kupata na kutumia teknolojia ya nyuklia ya amani
Hawza/ Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Lebanon alisema: katika njia ya maendeleo, Jamhuri ya Kiislamu kamwe haitapuuzia haki yake halali na isiyoweza kujadiliwa ya kupata na kutumia…
-
Mkondo wa Kiislamu wa Muqawama nchini Lebanon:
DuniaIran inatekeleza nafasi ya unabii katika kukabiliana na Firauni wa zama hizi, yaani Uzayuni-Marekani
Hawza/ Mkondo wa Kiislamu wa Muqawama nchini Lebanon ulitoa pongezi kwa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika maadhimisho ya miaka arobaini na saba ya ushindi wake, huku ukipongeza uongozi wake…
-
DuniaWanazuoni wa Kiislamu na wasomi ulimwenguni watoa wito wa kuitikia kauli ya Kiongozi wa Waislamu duniani
Hawza/ Baadhi ya shakhsia mashuhuri za kielimu na kifikra katika ulimwengu wa Kiislamu, wakijibu kauli ya Kiongozi wa Mapinduzi, kwa kutuma ujumbe wa pamoja wa video, wameitaja tarehe 22 Bahman…
-
DuniaRipoti kuhusiana na hamasa isiyo na mfano iliyo oneshwa na taifa la Iran; 22 Bahman 1404; siku iliyozinduliwa ngome kubwa zaidi katika Taifa la Iran
Hawza/ Wananchi wa Qum wakiwa sambamba na watu wa maeneo yote ya Iran walithibitisha kwamba ngome muhimu zaidi ya nchi ya Iran na silaha yenye athari kubwa zaidi ya ulinzi ni uwepo huu mpana…
-
DuniaSherehe ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu imefanyika katika makazi ya ubalozi wa Vatican
Hawza/ Sherehe ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu imefanyika katika makazi ya ubalozi wa Vatican, huku baadhi ya maafisa wa Vatican na mabalozi kadhaa pamoja na wakuu wa uwakilishi wa nchi mbalimbali…
-
DuniaUmoja wa Ulaya walaani mpango wa kuongeza nguvu ya Israel katika Ukingo wa Magharibi
Hawza/ Umoja wa Ulaya siku ya Jumatatu ulitangaza kulaani uamuzi wa hivi karibuni wa utawala wa Israel wa kuimarisha udhibiti katika Ukingo wa Magharibi.
-
DuniaSherehe ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yafanyika nchini Armenia
Hawza/ Sherehe ya Mapinduzi kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 47 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu imefanyika katika mji wa Kapan nchini Armenia kwa ushiriki wa Wairani na Waarmenia wenye…
-
DuniaWananchi wa Australia wameghadhibika kutokana na ziara ya maafisa wa Israel nchini mwao
Hawza/ Maelfu ya wananchi wa Australia katika maandamano makubwa walilaani vikali ziara ya Isaac Herzog, rais wa utawala wa Kizayuni, nchini mwao. Herzog anatuhumiwa kwa kuchochea na kuihamasisha…