Jumapili 6 Julai 2025

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Imamu Kadhim (a.s): Kuwa jirani mzuri

    Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Imam Kadhim (a.s):

    DiniImamu Kadhim (a.s): Kuwa jirani mzuri

    Kuwa jirani mzuri hakuna maana ya kutomuudhi jirani, bali ujirani mwema (mzuri) ni subira yako kwa maudhi ya jirani.

    2025-06-16 11:02
  • Daima kuwa mtu huru

    Hadithi ya leo:

    DiniDaima kuwa mtu huru

    Usiwe mtumwa wa mwingine, ilihali Mwenyezi Mungu amekuumba ukiwa huru.

    2025-06-04 18:12
  • Kuwa katika orodha ya waja wema kabisa wa Mwenyezi Mungu

    Hadithi ya leo:

    DiniKuwa katika orodha ya waja wema kabisa wa Mwenyezi Mungu

    Ni wale ambao wanapofanya jema hufurahi, watendapo (jambo) baya huomba maghufira, wakipewa kitu hushukuru, na wakifikwa na majaribu (mtihani) huonyesha subira na wanapokasirika husamehe.

    2025-06-03 13:07
  • Kuwa hivi katika maingiliano na watu

    Hadithi ya leo:

    DiniKuwa hivi katika maingiliano na watu

    Ingilianeni na watu kwa namna ambayo mkifa wakulilieni, na mkiwa hai (na ikawa hawajakuoneni kwa muda) wawe na shauku ya kukuoneni.

    2025-05-30 13:36
  • Ifundishe familia yako maamrisho na makatazo ya Mwenyezi Mungu

    Hadithi ya leo:

    DiniIfundishe familia yako maamrisho na makatazo ya Mwenyezi Mungu

    Katika kauli yake Mwenyezi Mungu ulotukuka utajo wake "ziokoeni nafsi zenu na familia zenu na moto" wakauliza: Vipi tutaokoa (tutazikinga) familia zetu? akasema: Mnawaamrisha (yale ayapendayo…

    2025-05-26 10:25
  • Acha matamanio ambayo yanakusababishia udhalili

    Hadithi ya leo:

    DiniAcha matamanio ambayo yanakusababishia udhalili

    Ni ubaya na uchafu ulioje kwa Muumini kufuata matamanio ambayo yanamsababishia udhalili.

    2025-05-22 10:51
  • Jipambe kwa tabia njema

    Hadithi ya leo:

    DiniJipambe kwa tabia njema

    Tabia njema ni; Kumsamehe aliyekudhulumu, kuunga udugu aliyekukatia (udugu), kumpa aliyekunyima na kusema haki hata kama ni kwa madhara yako.

    2025-05-21 07:54
  • Kuwa mwenye kutafuta riziki ya halali

    Hadithi ya leo:

    DiniKuwa mwenye kutafuta riziki ya halali

    Usiache kutafuta riziki kwa njia ya halali; kwani ni auni (msaada) kwa ajili yako katika dini.

    2025-05-20 06:39
  • Usichokipenda (kufanyiwa) wewe, usipende pia wafanyiwe wengine

    Hadithi ya leo:

    DiniUsichokipenda (kufanyiwa) wewe, usipende pia wafanyiwe wengine

    Muadilifu zaidi miongoni mwa watu ni mwenye kuwapendelea watu yale anayoyapenda kwa ajili ya nafsi yake, na mwenye kuchukia (yasiwafike) watu yale anayochukia kwa ajili ya nafsi yake.

    2025-05-18 11:39
  • Amejidharau mwenyewe yule mwenye kuwa na tamaa

    Hadithi ya leo:

    DiniAmejidharau mwenyewe yule mwenye kuwa na tamaa

    Amejidharau mwenyewe yule mwenye kuwa na tamaa, na atakuwa ameridhika na udhalili mwenye kufichua matatizo yake, na ambaye anauacha ulimi wake kuitawala roho yake ameishusha hadhi nafsi yake.

    2025-05-16 12:01
  • Kuwa hivyo katika fitina

    Hadithi ya leo:

    DiniKuwa hivyo katika fitina

    Katika fitina kuwa kama mwana wa ngamia; Hana mgongo wa kupandwa wala chuku ili akamuliwe maziwa.

    2025-05-15 16:50
  • Kwa kumfurahisha mwanao, mfurahishe pia Mwenyezi Mungu

    Hadithi ya leo:

    DiniKwa kumfurahisha mwanao, mfurahishe pia Mwenyezi Mungu

    Mwenye kumfundisha mtoto wake Qur'an, basi mtoto huyo ataitwa [Siku ya Kiyama] pamoja na wazazi wake na kuwavisha mavazi mawili ambapo nyuso za watu wa peponi zitang'aa kutokana na nuru yao.

    2025-05-14 16:19
  • Weka mambo yako katika mkondo wa haki

    Hadithi ya leo:

    DiniWeka mambo yako katika mkondo wa haki

    Hakuacha haki mwenye izza (heshima) isipokuwa alidhalilishwa, na dhalili hakuchukua haki isipokuwa alipata izza (heshima).

    2025-05-13 10:33
  • Imamu Hussein (a.s): Acha maisha ya kidhalili

    Hadithi ya leo:

    DiniImamu Hussein (a.s): Acha maisha ya kidhalili

    Kifo cha heshima ni bora kuliko maisha ya kidhalili. Mauti ni bora kuliko kuhusishwa na udhalili, na udhalili ni bora kuliko kuingia Motoni.

    2025-05-11 11:37
  • Lipe uzito suala la heshima na ridhaa ya mwenza

    Hadithi ya leo:

    DiniLipe uzito suala la heshima na ridhaa ya mwenza

    Hakika aliye mbora zaidi miongoni mwenu mbele ya Mwenyezi Mungu ni yule ambaye anamheshimu zaidi mwenza wake.

    2025-05-10 11:28
  • Sema haki, kwani kuokoka kwako kuko katika hilo

    Hadithi ya leo:

    DiniSema haki, kwani kuokoka kwako kuko katika hilo

    Mche (muogope) Mwenyezi Mungu na sema haki hata kama utaangamia, kwani (kwa hakika) kuokoka kwako kuko katika hilo. Mche Mwenyezi Mungu na acha batili hata kama kuokoka kwako kuko katika hilo,…

    2025-05-07 09:37
  • Katu usifanye khiana katika amana

    Hadithi ya leo:

    DiniKatu usifanye khiana katika amana

    Mcheni Mwenyezi Mungu na rudisheni amana kwa yule aliyekuaminini.

    2025-05-06 10:58
  • Kuwa hivi kwa watu

    Hadithi ya leo:

    DiniKuwa hivi kwa watu

    Kuwa mlaini kwa watu, kuwa na maneno mazuri na kutana na ndugu yako kwa bashasha na tabasamu.

    2025-05-02 17:43
  • Kuwa mtu wa utani (mzaha), lakini chunga mpaka wake

    Hadithi ya leo:

    DiniKuwa mtu wa utani (mzaha), lakini chunga mpaka wake

    Mwenyezi Mungu anampenda afanyae mzaha katika mkusanyiko, kwa sharti asitukane na kutoa maneno machafu.

    2025-05-01 10:30
  • Usicheleweshe kulipa ujira wa kibarua

    Hadithi ya leo:

    DiniUsicheleweshe kulipa ujira wa kibarua

    Mlipe kibarua kabla jasho lake halijakauka.

    2025-04-30 13:05
  • Kuwa hivi katika biashara

    Hadithi ya leo:

    DiniKuwa hivi katika biashara

    Yeyote anayefanya biashara (anauza na kununua) lazima aepuke vitu vitano, kinyume na hivyo asinunue au kuuza kabisa: Riba, kuapa, kuficha ubovu (wa bidhaa), kusifu bidhaa anazouza, na kukashifu…

    2025-04-29 12:44
  • Chunga (mazingira) asili

    Hadithi ya leo:

    DiniChunga (mazingira) asili

    Itakapowadia Siku ya Kiyama na mmoja wenu akawa ana mche mkononi mwake, akiweza kuupanda kabla ya kusimama Kiyama, basi aupande.

    2025-04-27 17:39
  • Ni wajibu kwako kuchunga haki za kila mtu (awe Muislamu au sio Muislamu)

    Hadithi ya leo:

    DiniNi wajibu kwako kuchunga haki za kila mtu (awe Muislamu au sio Muislamu)

    Kuna makundi mawili ya watu: Ama ni ndugu yako katika dini, au anayefanana na wewe katika uumbaji; kwa hali yoyote, unapaswa kuheshimu haki zao.

    2025-04-26 09:03
  • Chunga vitendo vyako

    Hadithi ya leo:

    DiniChunga vitendo vyako

    Tambua kwamba, hautasalimika katu na jicho la Allah, basi tazama jinsi unavyotenda.

    2025-04-25 10:06
  • Weka kando tabia ya kujiona

    Hadithi ya leo:

    DiniWeka kando tabia ya kujiona

    Kujiona (kujikweza) kunamkwaza mtu kutafuta elimu na kunaleta udhalili na ujahil.

    2025-04-24 06:09
  • Ogopa kilio na laana ya aliyedhulumiwa

    Hadithi ya leo:

    DiniOgopa kilio na laana ya aliyedhulumiwa

    Ogopa kilio na laana ya aliyedhulumiwa (madhulumu), hata akiwa kafiri, kwa sababu hakuna kizuizi dhidi ya laana ya aliyedhulumiwa.

    2025-04-23 10:42
  • Chunga haki za wanyama

    Hadithi ya leo:

    DiniChunga haki za wanyama

    Kila unapowakabidhi wanyama kwa mtu mwaminifu, muagizie asitengananishe kati ya ngamia na mtoto wake, na asikamue maziwa yake kiasi cha kumdhuru mtoto... .

    2025-04-22 10:51
  • Usipuuze sauti ya wengine ya kuomba msaada

    Hadithi ya leo:

    DiniUsipuuze sauti ya wengine ya kuomba msaada

    Mwenye kusikia sauti ya mwenye kuomba msaada na asiende kumsaidia, huyo sio Muislamu.

    2025-04-21 10:10
  • Tanguliza utakasifu (kujiheshimu) katika kuamiliana na asiyekuwa maharimu

    Hadithi ya leo:

    DiniTanguliza utakasifu (kujiheshimu) katika kuamiliana na asiyekuwa maharimu

    Kuweni na utakasifu (jiheshimuni) kwa wanawake wa watu, ili wanawake wenu wafanyiwe utakasifu (waheshimiwe).

    2025-04-20 08:29
  • Tambua haki za watu na uzitekeleze

    Hadithi ya leo:

    DiniTambua haki za watu na uzitekeleze

    Daraja (cheo) ya juu mbele ya Mwenyezi Mungu ni ya mtu anayetambua haki za watu na akafanya juhudi zote kutimiza haki zao.

    2025-04-19 09:54
  • Previous
  • 1
  • 2
  • Next

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom