Hawza/ Amirul-Muuminina, Imam Ali (as), katika riwaya amebainisha chanzo cha tabia ya kutafuta kasoro za watu na kuzieneza kwa wengine.
Hawza/ Mtume Mtukufu (saww) katika riwaya amekataza kuwadharau na kuwadunisha.
Hawza/ Mwenyezi Mungu kama vile ambavyo amemuumba mwanadamu, kuna matendo ambayo anapenda kuyaona yakifanywa na mja wake na yale ambayo huchukia kuyaona yakifanywa na mja wake huyo.