-
DiniHadithi ya Leo | Athari za Kujitosheleza na Mwenyezi Mungu
Hawzah/ Imam Ali (as), katika riwaya, anaeleza kuhusu athari za mwanadamu aliejitosheleza na Mwenyezi Mungu kwa kumfanya yeye kuwa tegemeo lake pekee.
-
DiniHadithi ya Leo | Ubora wa Mtume Mtukufu (saww) Juu ya Mitume Wote na Malaika
Hawzah/ Mtume Mtukufu (saww), katika riwaya anaeleza kuhusiana na nafasi yake tukufu na daraja lake la juu miongoni mwa manabii na mitume wote wa Mwenyezi Mungu.
-
DiniHadithi ya Leo | Madhara Yanayopatikana Kutokana na Kuipenda Dunia
Hawza/ Imam Musa Al-Kadhim (as), katika riwaya, anaeleza kuhusu kutotosheka mwanadamu katika kuifuata dunia, pamoja na umuhimu wa kujiepusha na kushikamana nayo kupita kiasi.
-
DiniHadithi ya Leo | Malipo Tele Kutokana na Amali Ndogo
Hawza/ Imam Jaafar Swa'diq (as) katika riwaya moja ameashiria fadhila na malipo makubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu kumuelekea mja wake ambae anafanya amali ndogo kwa ikhlasi.
-
DiniHadithi ya Leo | Kuwatimizia Watoto Ahadi Mnazo Waahidi
Hawzah/ Imam Musa al-Kadhim (as), katika riwaya moja, anasisitiza umuhimu wa kutimiza ahadi pamoja na kuzingatia kwa namna ya kipekee haki za watoto.
-
DiniHadithi ya Leo | Jawabu Bora Zaidi Mbele ya Mjinga
Hawza/ Amirul-Muuminina Ali (as), katika riwaya moja, anaeleza kuhusu thamani ya kunyamaza mbele ya maneno ya watu wajinga.
-
DiniHadithi ya Leo | Ubora na Thamani ya Mtoto wa Kike
Hawzah/ Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) katika hadithi moja ameeleza kuhusu nafasi yenye thamani juu ya mabinti wanao jistiri na kujihifadhi pamoja na thawabu ya kuwa nao.
-
DiniHadithi ya Leo | Kumtii Mwenyezi Mungu
Hawza/ Imam Ha'di (as) katika riwaya moja anaashiria umuhimu wa kumtii Mwenyezi Mungu na kutokujali ghadhabu za watu katika njia ya kupata ridhaa ya Mwenyezi Mungu.
-
DiniHadithi ya Leo| Je! Ni wakina nani wanaopenda kueneza aibu za watu?
Hawza/ Amirul-Muuminina, Imam Ali (as), katika riwaya amebainisha chanzo cha tabia ya kutafuta kasoro za watu na kuzieneza kwa wengine.
-
DiniHadithi ya Leo | Katazo la Kuwadharau Watu na Kuwadunisha
Hawza/ Mtume Mtukufu (saww) katika riwaya amekataza kuwadharau na kuwadunisha.
-
DiniHaya Ndiyo Matendo Yanayo Mpendeza Mwenyezi Mungu
Hawza/ Mwenyezi Mungu kama vile ambavyo amemuumba mwanadamu, kuna matendo ambayo anapenda kuyaona yakifanywa na mja wake na yale ambayo huchukia kuyaona yakifanywa na mja wake huyo.