-
DiniHaya Ndiyo Matendo Yanayo Mpendeza Mwenyezi Mungu
Hawza/ Mwenyezi Mungu kama vile ambavyo amemuumba mwanadamu, kuna matendo ambayo anapenda kuyaona yakifanywa na mja wake na yale ambayo huchukia kuyaona yakifanywa na mja wake huyo.
-
Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Imam Kadhim (a.s):
DiniImamu Kadhim (a.s): Kuwa jirani mzuri
Kuwa jirani mzuri hakuna maana ya kutomuudhi jirani, bali ujirani mwema (mzuri) ni subira yako kwa maudhi ya jirani.