Jumatatu 21 Aprili 2025 - 10:10
Usipuuze sauti ya wengine ya kuomba msaada

Mwenye kusikia sauti ya mwenye kuomba msaada na asiende kumsaidia, huyo sio Muislamu.

Shirika la Habari la Hawza | Mtume (s.a.w.w) amesema:

«مَنْ سَمِعَ رَجُلاً يُنادى يا لَلْمُسْلِمينَ فَلَمْ يُجِبْهُ فَلَيْسَ بِمُسْلِمٍ.»

Mwenye kusikia sauti ya mwenye kuomba msaada na asiende kumsaidia, huyo sio Muislamu.

Wasail al-Shia, jz 15, uk 141

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha