kiswahili (92)
-
Hadithi ya leo:
DiniAmejidharau mwenyewe yule mwenye kuwa na tamaa
Amejidharau mwenyewe yule mwenye kuwa na tamaa, na atakuwa ameridhika na udhalili mwenye kufichua matatizo yake, na ambaye anauacha ulimi wake kuitawala roho yake ameishusha hadhi nafsi yake.
-
Hadithi ya leo:
DiniKuwa hivyo katika fitina
Katika fitina kuwa kama mwana wa ngamia; Hana mgongo wa kupandwa wala chuku ili akamuliwe maziwa.
-
Maadili ya kiislamu:
DiniElimu isiyo ambatana na ufikiriaji, haina faida
Kuujaza ubongo wa mtu kanuni za kisayansi, mantiki na falsafa, au elimu yoyote kutakuwa na athari ndogo sana hadi hapo kutakapokuwa na misingi ya fikra sahihi, mtazamo wazi ulimwenguni na kuitambua…
-
Hadithi ya leo:
DiniSema haki, kwani kuokoka kwako kuko katika hilo
Mche (muogope) Mwenyezi Mungu na sema haki hata kama utaangamia, kwani (kwa hakika) kuokoka kwako kuko katika hilo. Mche Mwenyezi Mungu na acha batili hata kama kuokoka kwako kuko katika hilo,…
-
Video:
VideoMwanamke mwenye Miaka 70 Nchini Ujerumani akamatwa kwa kosa la kuwaunga mkono wapalestina
Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 70 alikamatwa kwa nguvu na polisi wakati wa maandamano ya kuwaunga mkono wapalestina huko Berlin, tukio hilo lilitokea baada ya kunyanyua juu ya kichwa chake…
-
Hadithi ya leo:
DiniUsicheleweshe kulipa ujira wa kibarua
Mlipe kibarua kabla jasho lake halijakauka.
-
Kuielekea Jamii iliyo Bora | Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s) - 5
DiniSifa za Imam: "Kuisimamia jamii na Kupambika katika maadili yaliyo kamilika"
Imam, ambaye ni kiongozi na muongozaji wa jamii, ni lazima ajiepushe na maovu yote pamoja na tabia potofu kimaadili, na badala yake awe ni mwenye sifa zote bora na maadili ya kiwango cha juu…
-
DuniaPapa Fransisko Aaga Dunia
Vatikani imetangaza kuwa: Papa Fransisko, kiongozi wa Wakatoliki duniani, amefariki dunia tarehe 21 Aprili 2025, sawa na tarehe 1 Shahrivar 1404, akiwa na umri wa miaka 88 mjini Roma.
-
DuniaWazayuni wanapaswa kusubiri adhabu ya Mwenyezi Mungu
Chapisho jipya katika akaunti ya Kiongozi wa Mapinduzi kwenye mtandao wa X.
-
HawzaPingamizi la kihistoria kutoka dini tofauti nchini India dhidi ya uharibifu wa Makaburi ya Baqi: Hatutatulia Hadi Makaburi ya Wana wa Mtume yarekebishwe
Hawza: Katika matembezi makubwa yaliyoandaliwa mjini Mumbai, wafuasi wa dini na madhehebu tofauti walisimama bega kwa bega na kupaza sauti moja huku wakisema: "Hatutakaa kimya hadi makaburi ya…
-
DiniWosia wa Ayatollah al-Udhma Bahjat kwa ajili ya kuutakasha moyo dhidi ya Riaa
Je, unateseka kutokana na ria na majivuno? Kuna dhikri rahisi lakini yenye nguvu inayoweza kukuokoa dhidi ya sifa hizi mbaya.
-
DuniaWaislamu wa Kishia wa Hyderabad Pakistan, wakusanyika kupinga uharibifu wa Pakistan , katika mnasaba wa kumbukizi ya Kubomolewa makaburi hayo
Katika kumbukumbu ya siku ya kubomolewa kwa makaburi matukufu ya Jannatul Baqi', Waislamu wa madhehebu ya Shia mjini Hyderabad, Pakistan walifanya maandamano ya kuonesha upingaji wao dhidi ya…
-
Hukumu za Kisheria:
DiniMasharti ya Kufidia Hasara katika mkataba wa Mudharaba
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei, amejibu swali kuhusu "sharti la kufidia hasara katika mkataba wa mudh'araba".
-
DuniaKongamano la kuwaunga mkono Palestina lafanyika Karachi, Pakistan
Kutokana na uvamizi unaofanywa mara kwa mara na Marekani wakishirikiana na utawala wa Kizayuni dhidi ya taifa la Palestina, {kongamano la kuwaunga mkono Palestina} limefanyika katika jiji la…
-
HawzaTamko la Ja'miat Mudarsin, Hawza ya Qum kwa mnasaba ya kuharibiwa Makaburi ya Maimamu wa Baqi (a.s)
Hawza/ Ja'miat Mudarisin Qum, inatoa salamu za rambirambi kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya tukio la kuhuzunisha na la kusikitisha la uvunjiwaji heshima maeneo matukufu ya Maimamu watukufu…
-
DuniaMus’haf wa karne nne wavutia umma Kaskazini mwa Iraq
Katika kijiji kidogo cha Gelezerde, pembezoni mwa mji wa Sulaymaniyah, kaskazini mwa Iraq, kuna nakala ya Qur’ani Tukufu (Mus’haf) ambayo haiwezi kupuuzwa – sio tu kwa uzuri wake wa kale, bali…
-
Makao makuu ya Hawza:
HawzaFikra ya Kigaidi ambayo ilitumika kuharibu Makaburi ya Baqii, leo hii ndiyo ambayo inatumika kumwaga damu za watoto na wanawake wa Ghaza
Kituo kinacho simamia na kuongoza Hawza katika taarifa yake kutokana na mnasaba wa kumbukumbu ya kubomolewa makaburi matukufu ya Maimamu wa Baqii (a.s), kimewataka wanazuoni na wasomi wa ulimwengu…
-
DuniaHafla ya kumtambulisha mwakilishi mpya wa kiongozi Mkuu wa mapinduzi Iran nchini India, imefanyika
Katika hafla ya iliyo fana ilifanyika katika kituo cha utamaduni cha Jamhuri ya kiislamu ya Iran jijini New Delhi, mchango wa miaka kumi na mitano wa huduma za dhati na zenye mafanikio ulio tolewa…
-
HawzaMjadala uliojiri kati ya Marehemu Ayatollah al-Udhma Fazel Lankarani na Imamu wa kipindi hicho wa Msikiti wa Haram
Safari moja nikiwa Makka, nilikutana na mzee mmoja ambaye alisema kuwa alikuwa Imamu wa msikiti mtakatifu wa Haram kwa kipindi cha miaka kumi. Umri wake haukuruhusu tena kuendelea kuwa imamu.…
-
HawzaTukio la kubomolewa makaburi ya maimamu wa Baqii (a.s) halina mbadala
Marehemu Ayatollah Safi Golpayegani katika chapisho alilo liandika kuhusiana na mnasaba wa kumbukizi ya kubomolewa kwa makaburi ya Maimamu wa Baqii (a.s), alieleza wazi kuwa: Lengo ovu la maadui…
-
DuniaWafanyakazi wa Microsoft wavuruga sherehe, wasema AI ya shirika imechangia mauaji ya kimbari Gaza
Wafanyakazi wa shirika la Microsoft la Marekani wameandamana wakati wa tukio la sherehe ya miaka 50 ya kuanzisha kampuni hiyo, wakitangaza upinzani wao dhidi ya kutumiwa teknolojia ya Akili Mnemba…
-
Ayatollah Udhma Jawadi Amoli:
DiniJe! ni dhikri ipi iliyo na athari zaidi kuliko dhikri nyingine zote?
Hadhrat Ayatollah Jawadi Amoli aliweka wazi kwa kusema: Mnaweza kuwa mmewahi kusikia mara kwa mara kwamba kuna baadhi ya watu wanatafuta dhikri huku wakijiuliza: " Je! Ni dhikri ipi tuisome ili…
-
Mjumbe wa Baraza la wataalamu wa uongozi:
DuniaKunyamaza nchi za kiarabu na kiislamu mbele ya jinai zinazofanywa na utawala wa kizayuni ni aibu kubwa zaidi kuwahi kutokea katika historia
Raisi wa ofisi ya kiongozi mkuu wa mapinduzi ya kiislamu nchini Iran, akiwa mjini Qom (Iran), alizungumzia ukimya na kutojali unaofanywa na baadhi ya nchi za kiarabu na kiislamu kuhusu uhalifu…
-
DuniaKuzuiwa wanafunzi wanaounga mkono Palestina katika vyuo vikuu vya Uingereza
Maria Ali na Antonia Listert, ni wanafunzi wawili kutoka chuo kikuu cha Birmingham Uingereza, walikutana na mashitaka ya nidhamu kwa sababu ya kuunga mkono watu wa Ghaza na kulaani vitendo vinavyo…
-
DuniaHamas: Takriban watoto 19,000 wameuawa shahidi huko Ghaza
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imetangaza kuwa, takriban watoto 19,000 wameshauawa shahidi huko Ghaza na takriban watoto 39,000 wamepoteza kwa uchache mzazi mmoja au wote…
-
DuniaWanazuoni wa Kiislamu Watoa Fatwa ya Jihad Dhidi ya Israel
Kamati ya Ijtihad na Fatwa ya taasisi moja ya kimataifa ya wanazuoni Kiislamu imesisitiza kuwa kuanzisha Jihad dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Isarel unaoendeleza mauaji ya kimbari dhidi ya watu…
-
Rais wa umoja wa wanazuoni wa Muqawama:
DuniaKurejesha uhusiano wa kawaida ni mradi ulioshindwa, na msimamo wa muqawama utashinda
Sheikh Maher Hammoud amesema: Dalili za kurejeshwa kwa uhusiano wa kawaida na ushawishi wa Wazayuni zimefikia kikomo.
-
Ayatollah Al-Udhma Nouri Hamedani:
HawzaMifarakano ni mibaya zaidi kuliko vikwazo na vita vya adui
Hadhrat Ayatollah Nouri Hamedani alisisitiza: “Katika hali inayo tukabili hivi sasa, upande wa mabeberu umeungana, lengo letu kuu linapaswa kuwa ni kuleta umoja na mshikamano, mifarakano ni mibaya…
-
Ayatollah Arafi katika Swala ya Ijumaa mjini Qom (Iran):
HawzaUchumi imara ni ule unaojengwa pamoja na ushirikiano wa wananchi
Khatibu wa Swala ya Ijumaa katika mji wa Qom (Iran) amesema: Uzalishaji ni msingi na mhimili wa uchumi salama, na akaongeza kwamba uchumi imara ni ule unao simamamia ushiriki wa wananchi, uchumi…
-
Katuni:
DuniaMauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza kwa msaada kamili wa Magharibi
Mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza kwa msaada kamili wa Magharibi