Alhamisi 15 Mei 2025 - 16:50
Kuwa hivyo katika fitina

Katika fitina kuwa kama mwana wa ngamia; Hana mgongo wa kupandwa wala chuku ili akamuliwe maziwa.

 Shirika la Habari la Hawza - Imamu Ali, amani iwe juu yake, amesema:

«كُنْ فِي الْفِتْنَةِ كَابْنِ اللَّبُونِ، لَا ظَهْرٌ فَيُرْكَبَ وَ لَا ضَرْعٌ فَيُحْلَبَ.»

Katika fitina kuwa kama mwana wa ngamia; Hana mgongo wa kupandwa wala chuku ili akamuliwe maziwa.

Nahj al-Balagha, Hekima no. 1

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha