Shirika la Habari la Hawza - Imamu Ali, amani iwe juu yake, amesema:
«كُنْ فِي الْفِتْنَةِ كَابْنِ اللَّبُونِ، لَا ظَهْرٌ فَيُرْكَبَ وَ لَا ضَرْعٌ فَيُحْلَبَ.»
Katika fitina kuwa kama mwana wa ngamia; Hana mgongo wa kupandwa wala chuku ili akamuliwe maziwa.
Nahj al-Balagha, Hekima no. 1
Maoni yako