hadithi (10)
-
Hadithi ya Leo:
DuniaFadhila Zinazopatikana Katika Swala ya Jamaa
Hawzah/ Mtume Mtukufu wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) katika riwaya moja ameeleza kuhusu fadhila na ubora wa kuswali jamaa ikilinganishwa na kuswali mtu peke yake.
-
DiniHadithi ya Leo | Thwawabu Anazozipata Mja Kutokana na Kuacha Dhambi kwa Ajili ya Mwenyezi Mungu
Hawzah/ Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) katika riwaya anaelezea kuhusu malipo ya kuacha dhambi kwa sababu ya kumwogopa Mwenyezi Mungu.
-
HawzaHadithi ya Leo | Faida Zinazopatikana Kutokana na Kufikiri
Hawza/ Imam Hasan al-Mujtaba (a.s.) katika Riwaya moja ameeleza umuhimu wa uchamungu na kuendelea kutafakari, pamoja na nafasi yake katika kuifikia kheri.
-
DiniHadithi ya Leo | Athari za Kujitosheleza na Mwenyezi Mungu
Hawzah/ Imam Ali (as), katika riwaya, anaeleza kuhusu athari za mwanadamu aliejitosheleza na Mwenyezi Mungu kwa kumfanya yeye kuwa tegemeo lake pekee.
-
DiniHadithi ya Leo | Ubora wa Mtume Mtukufu (saww) Juu ya Mitume Wote na Malaika
Hawzah/ Mtume Mtukufu (saww), katika riwaya anaeleza kuhusiana na nafasi yake tukufu na daraja lake la juu miongoni mwa manabii na mitume wote wa Mwenyezi Mungu.
-
DiniHadithi ya Leo | Madhara Yanayopatikana Kutokana na Kuipenda Dunia
Hawza/ Imam Musa Al-Kadhim (as), katika riwaya, anaeleza kuhusu kutotosheka mwanadamu katika kuifuata dunia, pamoja na umuhimu wa kujiepusha na kushikamana nayo kupita kiasi.
-
DiniHadithi ya Leo | Malipo Tele Kutokana na Amali Ndogo
Hawza/ Imam Jaafar Swa'diq (as) katika riwaya moja ameashiria fadhila na malipo makubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu kumuelekea mja wake ambae anafanya amali ndogo kwa ikhlasi.
-
DiniHadithi ya Leo | Kuwatimizia Watoto Ahadi Mnazo Waahidi
Hawzah/ Imam Musa al-Kadhim (as), katika riwaya moja, anasisitiza umuhimu wa kutimiza ahadi pamoja na kuzingatia kwa namna ya kipekee haki za watoto.
-
DiniHadithi ya Leo | Ubora na Thamani ya Mtoto wa Kike
Hawzah/ Mtume wa Mwenyezi Mungu (saww) katika hadithi moja ameeleza kuhusu nafasi yenye thamani juu ya mabinti wanao jistiri na kujihifadhi pamoja na thawabu ya kuwa nao.
-
DiniHadithi ya Leo | Katazo la Kuwadharau Watu na Kuwadunisha
Hawza/ Mtume Mtukufu (saww) katika riwaya amekataza kuwadharau na kuwadunisha.