Jumatatu 31 Machi 2025 - 10:06
Lipe uzito suala la haki za watu

Mwenye kula mali ya nduguye kwa dhulma na asimrudishie mwenyewe, basi chakula chake Siku ya Kiyama ni miali ya moto.

Shirika la Habari la Hawza - Imamu Swadiq (a.s) amesema:

«مَن اَكَلَ مِن مالِ اَخیهِ ظُلماً وَ لَم یَرُدَّهُ اِلَیهِ اَكَلَ جَذوَةً مِنَ النّارِ یَومَ‌الِقیامَةِ.»

Mwenye kula mali ya nduguye kwa dhulma na asimrudishie mwenyewe, basi chakula chake Siku ya Kiyama ni miali ya moto.

Wasail al-Shiah, Jz 16, uk 53

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha