Shirika la Habari la Hawza - Imamu Swadiq (a.s) amesema:
«مَن اَكَلَ مِن مالِ اَخیهِ ظُلماً وَ لَم یَرُدَّهُ اِلَیهِ اَكَلَ جَذوَةً مِنَ النّارِ یَومَالِقیامَةِ.»
Mwenye kula mali ya nduguye kwa dhulma na asimrudishie mwenyewe, basi chakula chake Siku ya Kiyama ni miali ya moto.
Wasail al-Shiah, Jz 16, uk 53
Maoni yako