Jumanne 24 Juni 2025 - 07:56
Shambulizi la Iran dhidi ya Kituo cha Kijeshi cha Marekani huko Qatar

Iran imeishambulia kituo cha kijeshi cha Marekani kilichopo nchini Qatar kama jibu kutokana na uvamizi uliofanywa na Marekani dhidi ya mitambo ya kuzalisha nyuklia ya Iran.

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha