Jumatatu 7 Aprili 2025 - 10:03
Kuwa mwenye kutafuta riziki ya halali

Usiache kutafuta riziki kwa njia ya halali; kwani ni auni (msaada) kwa ajili yako katika dini.

Shirika la Habari la HawzaImamu Swadiq (a.s) amesema:

«لاَ تَدَعْ طَلَبَ اَلرِّزْقِ مِنْ حِلِّهِ فَإِنَّهُ عَوْنٌ لَكَ عَلَى دِينِكَ.»

"Usiache kutafuta riziki kwa njia ya halali; kwani ni auni (msaada) kwa ajili yako katika dini."

Wasail al-Shiah, Jz 17, uk 34

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha