habari (1842)
-
Abu Hamraa:
DuniaVikosi vya Wanajeshi wa Yemen vimewaachilia huru wafungwa waliokaa zaidi ya miaka 8 katika magereza ya Saudi Arabia
Hawzah/ Mjumbe wa Kamati ya Kitaifa ya Masuala ya Wafungwa wa Yemen amesisitiza kwamba Vikosi vya Wanajeshi vya Yemen vimefanikiwa kuwaachilia huru baadhi ya wafungwa wa Yemen ambao walikuwa…
-
DuniaBahrain yaendelea kuwafunga wanazuoni wa Kishia kwa lengo la kuufuta Ushia nchini humo
Hawzah/ Mahakama ya Bahrain imemhukumu Sheikh Abdulnabi Al-Nashaba, mwanazuoni wa dini wa Kishia, kifungo cha mwaka mmoja.
-
DuniaSheikh Mkuu wa TIC Aungana na Viongozi wa Kiislamu katika Khitma ya Marehemu Maalim Hafidh Ameir Hassan
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, amehudhuria dua na kisomo cha khitma kwa ajili ya kumuombea marehemu Maalim Hafidh Ameir Hassan,…
-
Naibu Mkurugenzi wa Hawzah ya Qom:
DuniaKumlea “Mwanafunzi wa Hawzah Mwenye Uwezo Mpana” ni Miongoni mwa Masharti ya Kuifikisha Hawzah katika Nafasi ya Uongozi na Ubora
Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Malekii, huku akisisitiza umuhimu wa kujenga ari ya kielimu na kimaanawi katika madrasa za kielimu, amesema: “Hawzah inayoongoza na kuwa kielelezo” itatimia…
-
Mtaalamu wa Kijeshi wa Yemen:
DuniaOperesheni ya “Sharurah” lilikuwa ni shambulizi la kushtukiza la kimkakati; Kukata njia za ugavi wa adui ni ufunguo wa mabadiliko yajayo
Hawzah/ Meja Jenerali Khalid Gharab amesema kuwa kumalizika kwa vita vya pwani ya magharibi ndani ya siku saba, kudhibiti wilaya sita na kuvunja mikusanyiko ya majeshi ya adui wa Saudi Arabia,…
-
Mjumbe wa Baraza la Nineveh:
DuniaHashd al-Shaabi ni nguzo kuu ya usalama wa eneo
Hawzah/ Rabii Soran, mjumbe wa Baraza la Mkoa wa Nineveh kutoka katika jamii ya Wakristo, amesisitiza kwamba; silaha kuwa chini ya mamlaka ya serikali hakumaanishi kwa namna yoyote kuvunjwa au…
-
Siri ya makubaliano yafichuliwa:
DuniaMamluki 3,500 wa Syria watumwa Saudi Arabia na Yemen kwa kujificha kama “watalii”
Hawzah/ Chanzo kimoja chenye taarifa ndani ya Syria kimefichua siri ya mkutano wa ngazi ya juu na wa kiusalama uliofanyika kwa usiri, ambao ulisababisha makubaliano ya kuwafundisha na kuwahamisha…
-
Vikosi vya Hizbullah Iraq:
DuniaKukombolewa pwani ya magharibi ya Yemen ni kofi kubwa kwa miradi ya Kizayuni na Marekani
Hawzah/ Vikosi vya Hizbullah Iraq, vimeelezea kuwa ushindi wa kimkakati wa Vikosi vya Wanajeshi na watu huru wa Yemen katika mapambano ya kuwasafisha wavamizi katika maeneo ya pwani ya magharibi…
-
Hadithi ya Leo:
DiniKuizungumzia Neema Unayopewa na Mwenyezimungu
Hawzah/ Imam Musa al-Kadhim (as), katika riwaya, ameeleza kuwa kusimulia na kutaja neema za Mwenyezi Mungu ni ishara ya kumshukuru Yeye.
-
Imam wa Ijumaa wa Baghdad:
DuniaMpango wa Marekani na Uzayuni unalenga kuigawa tena kanda na kuyadhoofisha mataifa
Hawzah/ Ayatullah Sayyid Yasin al-Mousawi, Imam wa Ijumaa wa Baghdad, amesema kuwa mpango wa Marekani na Uzayuni unalenga kuigawa tena kanda na kuyadhoofisha mataifa, huku akisisitiza umuhimu…
-
Hadithi ya Leo:
DiniFadhila Zinazopatikana Katika Swala ya Jamaa
Hawzah/ Mtume Mtukufu wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) katika riwaya moja ameeleza kuhusu fadhila na ubora wa kuswali jamaa ikilinganishwa na kuswali mtu peke yake.
-
Ayatullah Mervi katika darsa ya Kha'riji:
DuniaUshindi wa wananchi wa Yemen wanaopinga dhuluma ni “Ushindi juu ya Ushindi”/ Alaani vikali shambulio dhidi ya Chuo cha Kiislamu cha Khatam al-Nabiyyin (s.a.w.w.) nchini Afghanistan
Hawzah/ Naibu Katibu wa Pili wa Baraza Kuu la Hawza nchini Iran, amesema ushindi wa wananchi waliodhulumiwa na wanaopinga dhuluma nchini Yemen ni “Ushindi juu ya Ushindi”, na akasisitiza: “Kwa…
-
Hukumu za Kisheria:
DiniKupokea Posho na Msaada wa Kifedha Pasi na Kuzingatia Ratiba ya Masomo
Hawzah/ Ayatullah Shahidi Sayyid Ali Khamenei amejibu swali la kisheria kuhusu “kupokea posho ya masomo na msaada wa kifedha pasi na kuzingatia ratiba ya masomo.”
-
Mwakilishi wa Ataba ya Alawiya Nchini Iraq:
DuniaUshirikiano wa Hawzah za Iran na Iraq Uimarishwe Katika Nyanja za Kielimu na Kiutamaduni
Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Naba Al-Hamami, akipongeza Maonesho ya 11 ya Kitaalamu ya Vitabu vya Hawzah na Maarifa ya Kiislamu, amesisitiza umuhimu wa kuimarisha uhusiano kati…
-
Imam wa Ijumaa wa Najaf:
DuniaTunataka Kusimama Dhidi ya Israel na Kukomesha Migogoro Katika Nchi za Kiarabu na Kiislamu
Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanji amezungumzia uwepo wa rais wa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu nchini Syria, katika umbali wa kilomita 35 kutoka Damascus.
-
DuniaSheikh Al-Khatib Atahadharisha Kuhusiana na Kunyang’anywa Silaha Muqawama Chini ya Kuvuli cha Wavamizi
Hawzah/ Naibu Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kiislamu la Mashia nchini Lebanon, Sheikh Ali Al-Khatib, ameeleza kuhusu mwaliko wa Rais wa Lebanon wa kuandaliwa mazungumzo mapana ya kitaifa yatakayowakutan…
-
Ayatullah A’rafi afafanua:
HawzaMikakati mikuu ya uongozi wa elimu na malezi / Kusisitiza kuhamasishwa uwezo na rasilimali zote kwa ajili ya ukuaji na ustawi wa elimu na malezi
Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran, amefafanua mikakati mikuu ya uongozi wa elimu na malezi, huku akisisitiza umuhimu wa kuhamasisha uwezo na rasilimali zote za wananchi na serikali kwa ajili ya…
-
Ayatullah Shabzandari:
Hawza“Kuulinda Mfumo na Mapinduzi” pamoja na “Kusoma” viwe vipaumbele viwili muhimu vya Hawzah; Mustakabali wa Mapinduzi ya Kiislamu uko mikononi mwa wanazuoni
Hawzah/ Katibu wa Baraza Kuu la Hawza nchini Iran, amesema kuwa; iwapo kuanzishwa kwa Mapinduzi ya Kiislamu kulifanywa na wanazuoni wa dini, basi kuendelea na kudumu kwake pia kunapaswa kuwa…
-
DuniaTIC Yafika Zanzibar; Sheikh Jalala Aongoza Ujumbe wa Pole kwa Rais Samia, Kufuatia Msiba wa Mumewe
Hawzah/ Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, siku ya jana amefanya ziara ya Zanzibar kuelekea Kizimkazi kwa lengo la kutoa mkono wa pole kwa…
-
DuniaWaislamu nchini Sweden wanajitahidi kukabiliana na kampeni za chuki dhidi ya Uislamu
Hawzah/ Kufuatia kuongezeka kwa shughuli za watu wenye misimamo mikali nchini Sweden, ambao wanauwasilisha Uislamu kuwa ni kinyume na maadili ya kijamii, Waislamu wa Sweden wameanza kuielewesha…
-
DuniaUjenzi wa makaburi ya Kiislamu nchini Scotland
Hawzah/ Taasisi moja ya hisani kwa kushirikiana na Waislamu wa Scotland, inapanga kujenga makaburi ya Kiislamu nchini humo.
-
DuniaMtafiti wa Indonesia: Bila ya mazungumzo, umoja hauwezekani
Hawzah/ Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Maulamaa wa Indonesia huko Java ya Kati, Profesa Dkt. Haj Abu Hafsin, mwenye shahada ya Uzamili na Udaktari wa Falsafa, amesisitiza kuwa; umoja baina ya…
-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa katika mji wa Skardu, Baltistan, Pakistan:
DuniaUmoja wa Waislamu ndio njia ya kukabiliana na njama za maadui
Hawzah/ Sheikh Muhammad Jawad Hafizi, amesisitiza umuhimu wa kulinda umoja wa Umma wa Kiislamu, akisema: Waislamu wanapaswa, kwa kuwa na tahadhari na uelewa mpana, kujiepusha na kuchochea mifarakano…
-
Imamu wa Ijumaa wa Mashhad:
DuniaMuqawa dhidi ya mashambulizi ya adui hauna muda maalumu
Hawzah/ Ayatullah Sayyid Ahmad Alam al-Huda, huku akisisitiza kwamba muqawama wa wananchi wa Iran dhidi ya mashambulizi ya adui hauna muda maalumu, amesema kuwa wapiganaji wa Iran, kwa kutegemea…
-
DuniaTaifa la Iran Limeonesha Uwezo na Nguvu Zake Mbele ya Marekani
Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Abutorabi Fard amesisitiza: “Taifa lenye nguvu la Iran, mataifa ya eneo na Mhimili wa Muqawama wameuona uwezo na nguvu zao katika mashambulizi ya kijeshi ya…
-
Ayatullah Husseini Bushehri katika Swala ya Ijumaa ya Qom Iran:
DuniaWanaopigia Debe Mazungumzo na Marekani Waone Ukiukaji wa Ahadi na Uhalifu Wake/ Mlango wa Hormuz ni Hatari Zaidi kwa Adui Kuliko Bomu la Atomiki
Hawzah/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Qom amesema kuwa; baadhi ya watu ndani ya nchi walikuwa na matumaini kwamba iwapo wangefanya mazungumzo na Marekani wangefikia matokeo fulani, lakini Marekani…
-
DiniHadithi ya Leo | Thwawabu Anazozipata Mja Kutokana na Kuacha Dhambi kwa Ajili ya Mwenyezi Mungu
Hawzah/ Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) katika riwaya anaelezea kuhusu malipo ya kuacha dhambi kwa sababu ya kumwogopa Mwenyezi Mungu.
-
Vikosi vya Mapinduzi ya Bahrain:
DuniaWatawala wa Bahrain wameamua kuanzisha vita vya kuwafukuza Mashia
Hawzah/ Vikosi vya Mapinduzi ya Bahrain, katika taarifa ya pamoja, vimelaani mashauri yasiyo ya haki dhidi ya maulama wakuu wa dini pamoja na tuhuma za kubuniwa zinazowakabili.
-
DuniaJumuiya ya Al-Wefaq ya Bahrain yalaani hila mpya za mtawala wa Bahrain za kuwakandamiza Mashia
Hawzah/ Jumuiya ya Kitaifa ya Kiislamu ya Al-Wefaq ya Bahrain imelaani uamuzi wa Wizara ya Sheria unaohusiana na kupanga upya vibali vya kutoa mawaidha, kuongoza dini, kutoa hotuba na kusoma…
-
Viongozi wa Mapinduzi ya Kitaifa ya Bahrain:
DuniaKuwafunga maulama kwa kesi za maonesho ni dhuluma ya wazi dhidi yao, dini na nchi
Hawzah/ Maulama wa dini na viongozi wa Mapinduzi ya Kitaifa ya Bahrain wamesisitiza kwamba: Maulama wenye heshima na waumini nchini Bahrain hawajafanya kosa lolote, isipokuwa kusema: “Mola wetu…