habari (1321)
-
Ayatullah A‘raafi katika kikao na viongozi wa utafiti wa Hawza alifafanua:
DuniaMtazamo wa kimataifa wa utafiti katika Hawza/ Mahitaji ya uwepo wenye tija katika mjadala wa kielimu duniani
Hawza/ Ayatullah A‘raafi, akirejelea nafasi ya msingi ya utafiti katika Hawza za elimu ya dini, alisisitiza kuwa: utafiti unaopaswa kufuatwa ni utafiti wa kistaarabu, wa fikra ya ijtihadi, wenye…
-
DuniaJumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qum Iran, yaunga mkono Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi (IRGC)/ Utambulisho wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ni mapambano ya kudumu dhidi ya dhulma na ukafiri wa kimataifa
Hawza/ Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qum, kwa kutoa tamko rasmi, imetangaza uungaji mkono wake thabiti kwa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, na kueleza kuwa: hatua isiyo halali na yenye…
-
DuniaWaziri wa Mambo ya Nje wa Ireland: Mgogoro wa njaa huko Ghaza unatisha
Hawza/ Katika wakati ambao dunia nzima imeshughulishwa na habari za vita vya kimtandao na vya kwenye vyombo vya habari, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ireland ametahadharisha kwa uzito juu ya kuzorota…
-
Rais wa Jumuiya ya Imamiya Baltistan, Pakistan:
Dunia“Mpango wa Amani wa Ghaza ni usaliti dhidi ya Palestina na Umma wa Kiislamu”
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Baqir al-Husayni, Rais wa Jumuiya ya Imamiya ya Baltistan nchini Pakistan, katika hotuba yake aliuelezea mpango unaoitwa “Mpango wa Amani wa Ghaza” kuwa…
-
DuniaMuislamu anayeiunga mkono Palestina yupo katika hatari ya kifo
Hawza/ Muhammad Khalid, mmoja wa wafungwa walioko gerezani nchini Uingereza kwa kosa la kuiunga mkono Palestina, alikuwa ameanza mgomo wa kula akiwa gerezani. Hata hivyo, mamlaka za nchi hiyo…
-
DuniaMkusanyiko mkubwa wa kuipinga Marekani na kuiunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wafanyika huko Istanbul
Hawza/ Mamia ya raia wa Uturuki na wanaharakati wa kitamaduni wamekusanyika jioni ya Jumapili mbele ya Ubalozi Mdogo wa Marekani mjini Istanbul, kwa dhamira ya kutangaza kuiunga mkono Jamhuri…
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika mkutano na wananchi mbalimbali:
DuniaMarekani ijue kwamba ikianzisha vita, safari hii vita vitakuwa vya kikanda/ Fitna ya hivi karibuni ilikuwa na sura ya mapinduzi ya kijeshi
Hawza/ Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza: Taifa la Iran litampiga ngumi nzito yeyote atakayelishambulia au kulidhuru.
-
DuniaJumuiya ya Umoja wa Wanaharakati wa Kidini wa Ankara watahadharisha kuhusiana na harakati za Marekani na Israel katika ukanda
Hawza/ Jumuiya ya Umoja wa Wanaharakati wa Kidini mjini Ankara, kupitia tamko lake, imeonya kuhusu kile ilichokitaja kuwa ni “maandalizi ya Marekani na Israel ya kuizingira na kuishambulia Iran…
-
DuniaTamko la Wanazuoni na Maulama wa Georgia katika kumuunga mkono Ayatollah Khamenei
Hawza/ Kundi la wanazuoni na maulama wa Kishia wa Georgia, katika tamko lao, huku wakilaani vikali kauli chafu za Rais wa Marekani, walieleza kuwa: historia imeonesha kwamba; viongozi wa Mwenyezi…
-
DuniaWanazuoni na Maulama wa Afghanistan watangaza kufuata miongozo ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Hawza/ Kundi la wanazuoni, masheikh na tabaka mbalimbali za wananchi wa Afghanistan, kupitia tamko walilolitoa kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Mtukufu Ayatollah Mkuu Imam Khamenei…
-
Ayatollah Saeedi:
DuniaVitisho vya Trump dhidi ya Iran ni dalili ya kukwama kwake kimkakati
Hawza/ Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya mji wa Qom Iran, amesema: vitisho vya Trump dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, zaidi ya kuashiria nia ya kuchukua hatua, ni ishara ya wazi ya kufungwa…
-
Rais wa Jumuiya ya N'adhimiya katika mji wa Lucknow, India:
DuniaDaima tutabakia pamoja na Ayatollah Khamenei
Hawza/ Ayatollah Sayyid Hamidul-Hasan Taqvi, katika kauli zake akitangaza uungaji wake mkono thabiti kwa Mtukufu Ayatollah Sayyid Ali Khamenei (Mwenyezi Mungu amlinde), Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi…
-
Imam wa Ijumaa wa Najaf:
DuniaVita dhidi ya Iran ni vita vya ukafiri dhidi ya utawala wa Kiislamu/ Jamhuri ya Kiislamu itasalia imara hadi iikabidhi bendera kwa Imam Mahdi (as)
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanji, huku akisisitiza kuwa makabiliano ya sasa dhidi ya Iran kimsingi ni makabiliano kati ya ukafiri na utawala wa Kiislamu, amesema kuwa…
-
DuniaWananchi wa Bangladesh watangaza kumuunga mkono Ayatollah Khamenei
Hawza/ Wanazuoni na wananchi wa Bangladesh, kwa kuandaa mkusanyiko na msuru wa watu katika mji wa Khulna, walitangaza mshikamano wao na Iran pamoja na Mtukufu Ayatollah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi…
-
Ayatollah A‘rafi katika hafla ya kufunga mashindano ya kielimu ya wanafunzi wa Hawza:
HawzaUtambulisho na falsafa ya uwepo wa Hawza upo katika kuunganishwa kwa kina na Mahdawiyya
Hawza/ Ayatollah A‘rafi, Mkurugenzi wa Hawza za Elimu ya Kiislamu nchini Iran, huku akisisitiza kwamba utambulisho na falsafa ya uwepo wa Hawza ya Elimu ya Kiislamu upo katika muunganiko wa kina…
-
DuniaKiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Iran, ahudhuria katika Haram Tukufu ya Imam Khomeini (ra) + Picha
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, leo hii amehudhuria katika Haram Tukufu ya Imam Khomeini (ra) na kufanya dua maalum.
-
Ayatollah Subhani katika darsa ya maadili:
HawzaKuwatendea wema wazazi hakuishii katika kipindi cha uhai wao pekee
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Subhani amesisitiza kuwa: Mwenyezi Mungu Mtukufu katika aya za Qur’ani Tukufu, anapowszungumzia wazazi, anawaelekeza watoto kwamba hawana haki hata ya kuwatamkia neno…
-
Rais wa Jumuiya ya Kisheria ya Mashia wa Jammu na Kashmir:
DuniaKiongozi Mkuu wa Mapinduzi ni nembo ya kusimamia misingi thabiti mbele ya ubeberu wa kimataifa
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Hasan Mousavi, katika tamko lake, amemuelezea Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran kuwa ni mfano wa kivitendo wa uimara wa kiroho, kimaadili…
-
Maulamaa wa Iraq waitetea Wilaya ya Ayatollah Khamenei:
DuniaJamhuri ya Kiislamu ni “ngome ya mwisho” na kiongozi wake ni “Hussein wa zama”
Hawza/ Katika kujibu njama za maadui, Baraza la Maulamaa wa Najaf Ashraf limetoa tamko na sambamba na kuitambulisha Jamhuri ya Kiislamu kama “ngome ya mwisho”, limesisitiza kuiunga mkono kikamilifu…
-
Rais wa Jumuiya ya Masufi nchini Sri Lanka:
DuniaIkiwa Iran itapata madhara, ulimwengu wa Kiislamu utapata madhara makubwa zaidi
Hawza/ Maulawi Ibrahim Abdullah, Rais wa Jumuiya ya Sufi nchini Sri Lanka, katika kikao chake na mshauri wa masuala ya kitamaduni wa Iran nchini Sri Lanka, alisema: Tunaamini kuwa katika ulimwengu…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia wa Afghanistan:
DuniaMirza al-Na’ini ana mchango mkubwa na haki kubwa juu ya hawza za kielimu
Hawza/ Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia nchini Afghanistan amesema kuwa; marehemu Ayatullah al-‘Udhmaa Mirza al-Na’ini ana haki kubwa juu ya wanazuoni na hawza za kielimu, na akaeleza kuwa,…
-
DuniaWanazuoni wa Pakistan walaani vikali vitisho vya Donald Trump dhidi ya Ayatullah al-‘Udhmaa Sayyid Ali Khamenei
Hawza/ Wanazuoni wa Kishia wa Pakistan, katika mkutano na waandishi wa habari, wamelaani vikali kauli za matusi na vitisho vya Donald Trump, Rais wa Marekani, dhidi ya Ayatullah al-‘Udhmaa Sayyid…
-
Kiongozi wa Mashia wa Bahrain:
DuniaMamilioni ya watu wako tayari kujitoa muhanga kwa ajili ya Ayatullah Khamenei
Hawza/ Kiongozi wa Mashia wa Bahrain, katika taarifa aliyotoa, amesisitiza kuwa Ayatullah Khamenei ni shakhsia iliyofikia kilele cha juu kabisa kielimu, kiroho na kisiasa; ni kiongozi ambaye…
-
DuniaAjenda ya Marekani na Wazayuni dhidi ya waandishi wa habari wa Lebanon; kuanzia kuitwa mahakamani wakurugenzi wa vyombo vya habari vinavyounga mkono Muqawama hadi kuuawa waandishi wa habari
Hawza/ Wanahabari na waandishi wa habari wa Lebanon wanaounga mkono Muqawama katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita wamekuwa chini ya shinikizo la kisiasa, kufuatiliwa kisheria bila sababu halali,…
-
DuniaMradi wa Marekani na Israel ni kuondoa uhuru na muqawama katika eneo/ Vita vyovyote dhidi ya Iran vitahusisha eneo zima
Hawza/ Sheikh Naim Qassem, Katibu Mkuu wa Hezbollah ya Lebanon, katika mkusanyiko wa mshikamano wa Walebanon na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, alisisitiza kuwa Marekani na utawala wa Kizayuni…
-
DuniaViongozi wa dini wa Lebanon wawaunga mkono wananchi na Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Hawza/ Kikao cha mshikamano na maelewano kati viongozi wa dini wa Lebanon kilichokuwa na kaulimbiu isemayo “Taifa la Iran litavunja fitina na waanzilishi wake na kuzima malengo ya uvamizi” kilifanyika…
-
DuniaAl-Walai: Imamu Khamenei ni kielelezo cha imani katika kukabiliana na tw'aghuti
Hawza/ Katibu Mkuu wa Kata’ib Sayyid al-Shuhadaa ya Iraq, akirejelea maendeleo ya kikanda na mipangilio ya kisiasa na usalama, alizungumza kuhusu harakati hii kuiunga Jamhuri ya Kiislamu ya Iran…
-
DuniaHarakati ya Kata’ib Hizbullah ya Iraq yatoa Wito wa kujiandaa kwa “vita vya pande zote” kwa ajili ya kuiunga mkono Iran; mauti ya kutisha yanawasubiri wavamizi
Hawza/ Harakati ya Kata’ib Hizbullah ya Iraq, katika tamko kali, imewataka “wapiganaji wote wa jihadi Mashariki na Magharibi ya dunia” kujiandaa kwa “vita vya jumla” kwa ajili ya kuiunga mkono…
-
Ayatollah A‘arafi katika kikao cha Kamati ya Maendeleo ya Utamaduni wa Mahdawiyya na Kusubiri:
HawzaFikra ya Mahdawiyya na kusubiri imejengeka ndani ya roho ya Mapinduzi ya Kiislamu
Hawza/ Mwenyekiti wa Kamati ya Maendeleo ya Utamaduni wa Mahdawiyya na Kungoja amesisitiza kwamba: Mahdawiyya na kungoja ni fikra yenye nyanja nyingi iliyojikita ndani ya roho ya Mapinduzi ya…
-
Ayatullah Khatami katika mkusanyiko mkubwa wa wanazuoni wa Hawza:
DuniaGhasia za hivi karibuni zilikuwa mapinduzi ya kijeshi dhidi ya dini na watu / Viongozi wa ghasia wanahesabiwa kifiqhi kuwa ni “maharibu”
Hawza/ Mjumbe wa mafaqihi wa Baraza la viongozi alisisitiza: Imam Khomeini (rehma za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) katika kitabu chake cha "Tahrir al-Wasilah" anaeleza wazi kwamba mtu yeyote…