habari (1846)
-
DuniaMalaysia Yatangaza Kuwafukuza Raia wa Israel
Hawza/ Waziri Mkuu wa Malaysia ametangaza kwamba endapo raia wa Israel watabainika kuwepo nchini humo, watafukuzwa mara moja, kwa kuwa Malaysia haiutambui rasmi utawala wa Israel.
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaTuko Pamoja na Jamhuri ya Kiislamu; Tuna Hatima Moja na Maisha Bila Wao Hayana Kheri Wala Maslahi
Hawza/ Hujjatul Islam wal Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanchi amesema: "Tunaitaka Serikali ya eneo la Kurdistan isiruhusu makundi ya wapinzani wa mapinduzi kufanya uvamizi na mashambulizi dhidi…
-
DuniaKiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu Alishukuru Taifa la Iraq kwa Heshima Yake Katika Mazishi ya Imam Shahidi
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe wa kulishukuru taifa la Iraq kwa heshima ya tukio kubwa la mazishi ya Imam Muja'hid Shahidi.
-
Ayatullah Husseini Bushehri:
DuniaRadi Amali ya Ayatullah Husseini Bushehri Katika Baadhi ya Propaganda Kuhusu Mikoa ya Kusini/ Kuwaamini Maadui Wanaovunja Ahadi ni Kosa la Kimkakati
Hawza/ Mwenyekiti wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom amesema: "Baadhi ya hatua na propaganda zinazoenezwa hazitokani na huruma kwa wananchi, bali zinalenga kuzusha mifarakano, kuigawa jamii…
-
Imam Sayyid Mujtaba Khamenei:
DuniaTaifa la Iran Lina Mafunzo Yasiyosahaulika kwa Adui wa Marekani
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: "Uvunjaji wa makubaliano kwa mara nyingine umethibitisha kutokuwa na thamani na kutokuwa na uhalali wa saini ya Rais wa Marekani."
-
Msimamizi wa Chuo cha Elimu ya Dini cha Ahlul-Bayt (as) katika mji wa Sheberghan, Mkoa wa Jawzjan, Afghanistan:
DuniaKuwaamini madhalimu kunapingana na mafundisho ya Uislamu/ Marekani ndio chanzo cha utawala wa mabavu na uporaji wa mataifa
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Mir Hussein Ziai amesema kuwa; kuwaamini madhalimu kunapingana na mafundisho ya Uislamu, ameitaja Marekani kuwa ndiyo chanzo cha utawala wa mabavu na uporaji…
-
Husseiniyyah za Bahrain:
DuniaAlama zetu za Hussein haziko chini ya utawala wa yeyote na si jambo la kufanyiwa mazungumzo!
Hawza/ Marufuku na waraka mbalimbali zinazotolewa na Idara ya Wakfu wa Ja'fari nchini Bahrain hazimdanganyi tena hata Muislamu mmoja wa Kishia wa nchi hiyo.
-
DuniaHadithi ya Leo | Jinsi Amirul-Muuminin Ali (as) Anavyoipenda Shahada
Hawza/ Amirul-Muuminin Imam Ali (as), katika riwaya moja, amesisitiza kuwa yuko juu ya haki na kuelezea mapenzi yake ya kina juu ya shahada.
-
DuniaRipoti Yaibua Hofu: Wanazuoni wa Kishia Bahrain Wadaiwa Kudhalilishwa na Kulazimishwa Kukiri Makosa ya Uongo
Hawza/ Jumuiya ya Al-Wefaq Al-Watani Al-Islamiyyah imefichua kuwa imepata "taarifa hatari na sahihi" kuhusu mazingira ya kuwazuia wanazuoni wa Kishia nchini Bahrain.
-
Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Ansarullah:
DuniaIran ndiyo nchi pekee iliyosimama pamoja na Yemen kwa kutegemea wajibu wake wa Kiislamu na kibinadamu
Hawza/ Ali Al-Emad amesisitiza kuwa; mapambano ya kuvunja mzingiro dhidi ya Yemen ni wajibu wa kitaifa na jukumu lisiloweza kuachwa, wala si hatua ya kisiasa au chombo cha shinikizo la kijeshi.
-
Ayatullah Saidii:
DuniaBaadhi wanapaswa kujinasua kutoka katika dhana potofu ya kushikamana na mazungumzo yasiyo na manufaa na yenye madhara
Hawza/ Imamu wa Swala ya Ijumaa wa mji wa Qum amesema: Baadhi wanapaswa kujinasua kutoka katika dhana potofu ya kushikamana na mazungumzo yasiyo na manufaa na yenye madhara, kwa kuwa kufanya…
-
DuniaHarakati ya Kusini mwa Yemen Yalaani Shambulio la Kihalifu la Saudi Arabia dhidi ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sana'a
Hawza/ Mmoja wa viongozi wa Harakati ya Kusini mwa Yemen (Al-Harak al-Janubi) amelaani shambulio la Saudi Arabia dhidi ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sana'a, akilitaja kuwa ni uhalifu kamili…
-
DuniaKilichojificha Nyuma ya Kulengwa Uwanja wa Ndege wa Abha na Kupigwa Marufuku ya Safari za Ndege katika Anga ya Saudi Arabia
Hawza/ Tangazo la Jeshi la Yemen kuhusu kulenga Uwanja wa Ndege wa Abha nchini Saudi Arabia kwa makombora ya balestiki limeibua wimbi kubwa la mijadala na maoni katika mitandao ya kijamii.
-
DuniaMchambuzi wa Kijeshi wa Yemen: Kushambuliwa kwa Uwanja wa Ndege wa Sana'a Kumemaliza Hatua ya Kupunguza Mvutano na Kurudisha Mzozo Katika Hatua ya Mwanzo
Hawza/ Mchambuzi wa masuala ya kijeshi wa Yemen, Meja Jenerali Khalid Ghurab, amesema kuwa kulengwa kwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sana'a ni maendeleo hatari katika mwenendo wa matukio,…
-
Rais wa Brazil:
DuniaMarekani Haina Haki ya Kutoza Ushuru Meli Zinazopita katika Mlango-Bahari wa Hormuz
Hawza/ Rais wa Brazil amekosoa uamuzi wa Donald Trump wa kutoza ushuru meli zinazopita katika Mlango-Bahari wa Hormuz, akisema kuwa hatua hiyo haina uhalali, na kwamba serikali ya Marekani inajaribu…
-
DuniaPolisi wa Hispania Wamkamata Mtu Aliyetukana Uislamu na Kusambaza Chuki Dhidi ya Waislamu
Hawza/ Mtu mwenye umri wa miaka 55 aliyekuwa akitumia rangi za kupulizia kuandika maneno ya chuki dhidi ya Uislamu, vitisho na matusi kwenye ukuta wa msikiti mmoja nchini Uhispania amekamatwa…
-
DuniaKiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria Katika Mkutano na Wanafunzi wa Hawza ya Karbala: Asisitiza Kuendelezwa Njia ya Mashahidi na Nafasi ya Wanafunzi Katika Kueneza Mafundisho ya Ahlul-Bayt (as)
Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky, katika mkutano wake na kundi la wanafunzi wa harakati hiyo wanaosoma katika Hawza ya Karbala Tukufu, alisisitiza kuwa;…
-
DuniaMjapani Asilimu Baada ya Kusoma Qur'ani Tukufu
Hawza/ Bw. Kazuki Suleiman Kanehara, raia wa Japan mwenye umri wa miaka 31, ameukumbatia Uislamu kwa moyo mkunjufu baada ya kusoma Qur'ani Tukufu.
-
DuniaMahakama ya Bahrain na Kuwakusudia Waislamu wa Madhehebu ya Shia
Hawza/ Haijalishi utawala wa Bahrain utajaribu kwa kiasi gani kuficha kufungwa kwa makumi ya wanazuoni na maulamaa wa Kishia kwa kuwabandika tuhuma za "uhaini" ili kuharibu heshima na hadhi yao,…
-
DuniaKubeba Vifaa vya Kidini Kwapigwa Marufuku Katika Magereza ya Bahrain
Hawza/ Kwa mtazamo wa kila anayefuatilia masuala ya Bahrain, imekuwa wazi kuwa utawala wa Aal Khalifa umejengwa juu ya msingi wa ubaguzi na mateso ya kidini. Serikali hiyo hutoa madai yasiyoendana…
-
Imamu wa Ijumaa wa Beirut:
DuniaMashia Hawatakuwa Chombo cha Fitna; Lebanon Haina Njia ya Wokovu Isipokuwa Umoja wa Kitaifa
Hawza/ Hujjatul Islam Sayyid Ali Fadlullah, Imamu wa Ijumaa wa Beirut, amesema kuwa, Mashia hawatakuwa chombo cha kuchochea fitna, akisisitiza kwamba Lebanon haina njia nyingine ya kuokoka isipokuwa…
-
DuniaMkutano Mkubwa wa Wanazuoni wa Lebanon, Wafanyika kwa Kumuenzi Imam Shahidi Sayyid Ali Khamenei
Hawza/ Nchini Lebanon, hafla kubwa na ya kitaifa iliyoandaliwa kwa ushiriki wa wanazuoni wa dini kutoka madhehebu na makundi mbalimbali imefanyika kwa ajili ya kumuenzi na kutoa rambirambi kufuatia…
-
DuniaHafla ya "Imamu wa Mashahidi" Yafanyika huko Al-Hermel, Lebanon kwa Kumuenzi Imam Khamenei
Hawza / Harakati ya Hizbullah ya Lebanon pamoja na Jumuiya ya Vituo vya Utamaduni vya Imam Khomeini (qs) zimeandaa hafla iliyopewa jina la "Imamu wa Mashahidi" kwa ajili ya kumuenzi Kiongozi…
-
DuniaMuislamu Mwoga; Kiraka Kisichofaa Katika Mwili wa Umma wa Kiislamu
Hawza/ Muislamu mwoga na dhaifu si tu kwamba hana nafasi katika mantiki ya wahyi, bali kwa kupuuza 'amali njema ya msingi kabisa—ambayo ni kuikasirisha safu ya ukafiri—kwa hakika huwa ameanza…
-
Tamko la Uchambuzi la Ayatullah A'rafi Kuhusu Ujumbe wa Mazishi ya Mamilioni ya Watu ya Imam Shahidi;
DuniaKulipiza kisasi na kudai damu ya Imam Shahidi hakuhusiani na kubadilishana serikali au watu wanaohusika/ Makubaliano yamekwisha; mazungumzo yasiendelezwe/ Taifa la Iran halitatoa hongo kwa adui
Kwa mujibu wa ujumbe wa hivi karibuni wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, madai ya kulipiza kisasi na kudai damu ya Imam Shahidi pamoja na mashahidi wengine wa vita viwili vya karibuni…
-
Ayatullah Jawadi Amuli:
DuniaWananchi Kuwepo Uwanjani ni Miongoni mwa Vielelezo vya Nusura ya Mwenyezi Mungu/ Marekani na Israel Wamedhalilika Mbele ya Iran
Hawza/ Ayatullah Jawadi Amuli amesema kuwa; hakuna aliyedhani kwamba kwa miezi kadhaa wanawake na wanaume wangekuwa na uwepo mkubwa kiasi hicho katika maeneo mbalimbali na kuwa watetezi wa Mapinduzi…
-
DuniaVikosi vya Mapinduzi vya Bahrain: Utawala wa Bahrain Unacheza na Moto
Hawza/ Vikosi vya Mapinduzi vya Bahrain vimelaani kuendelea kwa vitendo vya uchokozi na uhalifu wa kimadhehebu vinavyotekelezwa na utawala unaoitawala Bahrain.
-
Jumuiya ya Haki za Binadamu Bahrain:
DuniaUkiukaji Mkubwa wa Sheria katika Kesi ya Wanazuoni 19 wa Dini; Kanuni ya Kutokuwa na Hatia na Mahakama ya Uadilifu Vimekiukwa
Hawza/ Jumuiya ya Haki za Binadamu ya Bahrain imezituhumu mamlaka za nchi hiyo kwa kufanya ukiukaji mkubwa wa sheria na haki za binadamu katika kesi ya wanazuoni 19 wa dini wanaoshtakiwa.
-
Mchambuzi wa Masuala ya Kisiasa:
DuniaMarekani na Utawala wa Kizayuni Hawana Dhamira ya Kufanikisha Usitishaji Vita wa Kudumu
Hawza/ Mchambuzi wa masuala ya kisiasa amesema kuwa, utawala wa Kizayuni umeonesha tena kwamba hauheshimu makubaliano wala maazimio yoyote. Alisisitiza kuwa kuendelea kwa uvamizi na uharibifu…
-
Sheikh Zakzaky:
DuniaUmoja na Kushikamana na Njia ya Imam Shahidi Ndio Dhamana ya Mustakabali Mwema wa Muqawama
Hawza/ Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, alasiri ya Jumatatu, 28 Muharram 1448 Hijria Qamaria, sawia na 13 Julai 2026, alihudhuria kongamano lililopewa anuani…