habari (335)
-
VideoVideo / Utetezi wa kishujaa wa Seneta wa Pakistan kwa Ayatollah al-Udhma Khamenei
Hawza / Kauli za Hujjatul-Islam wal-Muslimin Raja Nasir Jafari, Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan.
-
Mwenyekiti wa Baraza la Maulamaa wa Kishia wa Pakistan:
DuniaLugha ya matusi ya mabeberu dhidi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu italeta majibu makali
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika taarifa aliyoitoa, amelaani vikali matamshi ya matusi ya Rais wa Marekani kumhusu Ayatollah Khamenei, alisisitiza nafasi adhimu…
-
Mwanazuoni Mashuhuri wa Pakistan:
DuniaVita kati ya Iran na utawala wa Kizayuni ni makabiliano kati ya kambi ya Imani na kambi ya Ukafiri
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Abid al-Husayni, katika taarifa yake kuhusu vita baina ya Iran na utawala wa Kizayuni, ameieleza vita hiyo kuwa ni makabiliano baina ya kambi ya Uislamu na kambi…
-
DuniaMaulamaa wa Uturuki watangaza kumuunga Mkono Ayatollah al-Udhma Khamenei
Hawza/ Maulamaa wa Ahlul Bayt wa Uturuki wametangaza kwa kusema: Sisi Waislamu wenye ghera na waumini duniani, kamwe hatutakaa kimya mbele ya vitisho na dharau za Rais wa Marekani na utawala…
-
HawzaMaandamano ya kupinga utawala wa Kizayuni yafika hadi nchini Sweden
Hawza/ Mamia ya Waswidi walikusanyika mjini Stockholm, mji mkuu wa Sweden, ili kulaani jinai zinazifanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
DuniaMaelfu ya Wazayuni waandamana kulalamikia kushindwa kwa Netanyahu kuwaokoa mateka
Hawza/ Makumi ya maelfu ya Wazayuni waliandamana kupinga hali yao ya sasa na kushindwa kwa serikali yao kuwaokoa mateka walioko katika Ukanda wa Ghaza.
-
DuniaKushamiri kwa mashambulizi dhidi ya Waislamu baada ya ushindi wa Zahran Mamdani katika uchaguzi wa umeya New York
Hawza/ Ushindi wa Zahran Mamdani kama Meya Mwislamu wa jiji la New York katika uchaguzi, kumezua mashambulizi na chuki nyingi dhidi ya Waislamu huko New York na Marekani kwa ujumla, kiasi cha…
-
DuniaKupanuka kwa wigo wa maandamano dhidi ya kuvunjiwa heshima maombolezo ya Bwana wa Mashahidi (as) nchini Pakistan
Hawza/ Baadhi ya maafisa wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan, katika mkutano na wanahabari uliofanyika Lahore, Pakistan, walieleza wasiwasi wao kuhusu vikwazo vinavyowekwa dhidi ya alama…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 33
DiniMakazi ya Imam Mahdi (as) katika Kipindi cha Ghaiba Kubwa
Hawza/ Ikiwa katika mada ya "ghaiba", mambo kama mahali alipo Imam (as), chakula chake n.k. yasibainike wazi, hilo halileti shaka wala dhana yoyote; vivyo hivyo, kubainika kwa mambo hayo hakuhusiki…
-
Ayatollah al-Udhma Makarim Shirazi:
HawzaMtu yeyote au utawala wowote unaomtishia Kiongozi na marja'iyya hukumu yake ni sawa na muharib (Mtu mwenye kuupiga vita uislamu) / Ushirikiano kati ya serikali za Kiislamu na adui ni haramu
Hawza/ Ayatollah Makarim Shirazi amesema bayana kuwa: Mtu yeyote au utawala wowote unaonuia kuupiga uma wa Kiislamu na mamlaka yake kwa kuutishia uongozi na marja'iyya, au (Allah aepushe) kuuvunjia…
-
Ayatollah al-Udhma Nuri Hamedani:
HawzaAina yoyote ya shambulio au tishio dhidi ya Ayatollah Khamenei kutoka kwa mtu au serikali yoyote hukumu yake ni sawa na "muharib" (Mtu anae upiga vita uislamu)
Hawza/ Ayatollah Nuri Hamedani ametoa jibu kutokana na ombi la “kutoa hukumu na fatwa ya kihistoria dhidi ya kuwepo na maslahi yote ya Marekani inayofanya jinai na wazayuni wa kimataifa” kufuatia…
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (as) (Majm'a Jahanii):
DuniaMaombolezo ya Muharram yanapaswa kubadilika kuwa uwanja wa mapambano dhidi ya dhulma
Hawza/ Ustadh Ramadhanii amesema kuwa: Iwapo vikao vya Imam Hussein (as) havitahusisha matatizo ya leo ya Uislamu na masaibu ya Maimamu (as), basi havijatumika ipasavyo kwa uwezo wake kamili.
-
Jumuiya ya Ahladar ya Uturuki:
DuniaMapambano ya Ayatollah al-Udhma Khamenei dhidi ya ukafiri ni ulinzi kwa Waislamu wote duniani
Hawza / Jumuiya ya Ahladar nchini Uturuki imetangaza kuwa: Mapambano haya ambayo Kiongozi wetu mpendwa, Ayatollah Khamenei, ameanzisha kwa kaulimbiu “Mhimizo wa muqawama unapendelea kufa kishujaa…
-
DuniaHasira ya Trump kwa sababu ya Muislamu kugombea umeya katika jimbo la New York
Hawza/ Donald Trump alimtaja Zohran Mamdani, ambaye alikuwa mgombea wa umeya katika jimbo la New York, kuwa mmoja wa wafuasi wakuu wa Palestina nchini Marekani, jambo lililotokea huku idadi ya…
-
Kiongozi wa Ansarullah Yemen:
DuniaMakombora ya Iran ni sawa na jinamizi kwa Wazayuni
Hawza/ Sayyid Abdulmalik Badruddin al-Houthi, ametoa pongezi kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kutokana na ushindi wake katika vita vilivyoanzishwa kwa kulazimishwa na utawala dhalimu wa Kizayuni,…
-
Abu Alaa al-Wala'i:
DuniaIran imeivuka kwa nguvu njama za kimataifa na kufikia zama mpya za uimara
Hawza/ Katibu Mkuu wa Muqawama wa Kiislamu wa Kataib Sayyid al-Shuhada, amezungumzia ushindi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni na Marekani,…
-
Ayatollah al-‘Uzma Nouri Hamedani:
HawzaKuhudhuria mazishi ya mashahidi ni jawabu thabiti kwa porojo zinazotolewa na viongozi wenye kutakabari
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Nouri Hamedani, katika ujumbe wake kutokana ma mnasaba wa kuuawa kishahidi Sardar Luteni Jenerali Mujahid Ali Shadmani, alisisitiza kuwa: Kuhudhuria kwa wapendwa wote…
-
Ayatollah A‘raafi katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa mwezi wa Muharram:
HawzaMaombolezo ya Muharram ya mwaka huu yafanyike kwa namna ya adhama zaidi kuliko miaka iliyopita / Hawza na maulamaa daima wamesimama imara juu ya ahadi yao kwa raia
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza amesisitiza kuwa: Maombolezo ya mwezi wa Muharram mwaka huu yanapaswa kufanyika kwa namna ya adhama zaidi kuliko zamani kwa lengo la kuimarisha hamasa ya Ashura na…
-
DuniaRais Mwinyi azindua rasmi kamati ya kusimamia Madrasa Zanzibar
Hawaza/ Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameizindua rasmi Kamati ya Kitaifa ya Kusimamia Madrasa Zanzibar.
-
Raisi wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan:
DuniaImam Hussein (as) ni kielelezo cha uhuru na haki; maombolezo ni haki ya raia na urithi wa muqawama
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa kuwadia kwa mwezi mtukufu wa Muharram al-Haram, amesisitiza kuwa uendeshaji wa maombolezo…
-
DuniaWazayuni waomba fidia kutoka kwa Netanyahu
Hawza/ Televisheni ya Israel imeripoti kupokea maelfu ya maombi ya fidia kutoka kwa Wazayuni baada ya kumalizika kwa vita na Iran na kutokana na uharibifu mkubwa uliosalia katika maeneo ya kati…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 32
DiniMfumo wa Uimamu ni mfumo wa kimungu usiokatika
Hawza/ Mfumo wa Uimamu ni mfumo wa kimungu, usiokatika, na hauna kipindi cha mapumziko (fatra); upo katika kila zama na kila wakati. Kuanzia zama za Mtume Mtukufu Muhammad (saw) hadi leo umeanzishwa,…
-
DuniaMwanazuoni wa Kiislamu kutoka India: Iran imevunja kiburi cha Israel na Marekani
Hawza/ Hujjatul-Islām wal-Muslimīn Sayyid Ahmad Ali Abidi, kufuatia ushindi wa kihistoria wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya uvamizi wa utawala wa Kizayuni na Marekani, kwa kwenye ujume…
-
DuniaMwanazuoni wa Kidini kutoka Pakistan: Iran ni sauti ya wazi ya Karbala mbele ya ubeberu wa kimataifa
Hawza/ Kikao kilichoandaliwa kwa anuani ya "Ujumbe wa Karbala na sherehe ya ushindi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran" kimefanyika katika jimbo la Sindh, Pakistan.
-
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kisheria ya Mashia wa Jammu na Kashmir:
DuniaUshindi wa kujivunia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kielelezo cha heshima kwa Umma wa Kiislamu mbele ya ubeberu wa kimataifa
Hawza/ Hujjat-ul-Islām wal-Muslimīn Sayyid Hassan Mousavi, katika ujumbe wake, ameeleza kwamba: ushindi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya Marekani na utawala wa Kizayuni ni dhihirisho la…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu:
DuniaUtawala wa Kizayuni umeporomoka chini ya mapigo ya Jamhuri ya Kiislamu na kusagwasagwa / Hongera kwa taifa tukufu la Iran na vikosi vya kijeshi
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: Utawala wa Kizayuni, pamoja na makelele yote na madai yote, umeporomoka kabisa chini ya mapigo ya Jamhuri ya Kiislamu na umesagwasagwa.
-
Mwanamama Mwanasiasa wa Pakistan:
DuniaUshindi wa Mapinduzi ya Kiislamu mbele ya Marekani na Israel ni kofi kali usoni mwa wanafiki na wabeberu wa kimataifa
Hawza/ Mheshimiwa Saira Ibrahim, katika hotuba yake huku akiashiria ushindi wa hivi karibuni walioupata Mapinduzi ya Kiislamu dhidi ya Marekani na utawala wa Kizayuni, alisema: Hili ni tukio…
-
Imamu wa Ijumaa wa Georgia:
DuniaWatu wa Iran ni alama ya nguvu na heshima ya ulimwengu wa Kiislamu
Hawza/ Hujjatul-Islam Haj Rahid Karim, Imamu wa Ijumaa wa Msikiti wa Ahlul Bayt katika eneo la Soghanliq, mji wa Tbilisi, alisema: Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi anasema: "Sisi ni wenye kudhulumiwa,…
-
Mkurugenzi wa Hawza nchini Iran:
HawzaUjasiri na mshikamano wa watu katika kutetea Mapinduzi na Taifa ni sababu ya kujivunia
Hawza/ Ayatollah Arafi, kwa kuthamini kujitolea vikosi vya ulinzi na wananchi wa Iran, ameitaja hali ya uwepo wa watu kwa namna ya fahari na kwa uangalifu katika kutetea nchi kuwa ni sehemu muhimu…
-
Taarifa ya Baraza Kuu la Usalama wa Taifa kuhusu kusitishwa kwa mapigano:
DuniaMarekani na utawala wa Kizayuni wamelazimika kukubali kushindwa
Hawza/ Baraza Kuu la Usalama wa Taifa, katika taarifa yake kuhusu kulazimisha kusitishwa kwa mapigano kwa utawala wa Kizayuni, likiwahutubu wananchi wakubwa wa Iran, lilieleza kuwa: Kufuatia…