Jumapili 27 Aprili 2025 - 17:39
Chunga (mazingira) asili

Itakapowadia Siku ya Kiyama na mmoja wenu akawa ana mche mkononi mwake, akiweza kuupanda kabla ya kusimama Kiyama, basi aupande.

 Shirika la Habari la HawzaMtume (s.a.w.w) amesema:

«إِنْ قَامَتِ اَلسَّاعَةُ وَ فِي يَدِ أَحَدِكُمُ اَلْفَسِيلَةُ فَإِنِ اِسْتَطَاعَ أَنْ لاَ تَقُومَ اَلسَّاعَةُ حَتَّى يَغْرِسَهَا فَلْيَغْرِسْهَا.»

Itakapowadia Siku ya Kiyama na mmoja wenu akawa ana mche mkononi mwake, akiweza kuupanda kabla ya kusimama Kiyama, basi aupande.

Mustadrak al-Wasail, jz 13, uk 460

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha