Mtume (22)
-
DuniaKuonyeshwa Filamu ya “Mtume wa Rehema 571” iliyoandaliwa na Shirika la Dini la Uturuki
Hawza / Filamu ya katuni ya “Mtume wa Rehema 571,” ambayo imeandaliwa na Shirika la Dini la Uturuki kwa heshima ya mwaka wa elfu moja mia tano tangu kuzaliwa Mtume Muhammad (swww), hivi karibuni…
-
DuniaPicha/ Maulidi ya Kitaifa yafanywa na Jumuiya ya Shia ithnaasharia Tanzania (TIC)
Hawza/ Jumuiya ya Shia ithnaasharia Tanzania (TIC), ikishirikiana na Hawza ya Imaam Sw'adiq (as), chini ya usimamizi wa Samaht Sheikh Jalala Hemedi Mwakindenge, usiku wa kuamkia leo zimeadhimisha…
-
DuniaUmoja wa Kiislamu ni Wajibu wa Kisheria na Silaha ya Muqawama, ni Rasilimali ya Uislamu Wote
Hawza/ Katibu Mkuu wa Harakati ya Ummah ya Lebanon, akisisitiza kuwa umoja wa Kiislamu si chaguo la hiari bali ni jukumu la kisheria, alisema: “Silaha ya muqawama huko Palestina, Lebanon na Yemen…
-
DuniaMatembezi ya kuadhimisha kuzaliwa Mtume (s.a.w.w) huko Jammu na Kashmir: yamebeba taswira ya mshikamano na umoja wa Waislamu
Hawza / Matembezi ya kuadhimisha kuzaliwa kwa Mtume wa rehema (s.a.w.w) yamefanyika Jammu na Kashmir huku kukiwa na ushiriki mkubwa wa wafuasi wa madhehebu mbalimbali, ambapo yalibeba ujumbe…
-
DuniaSherehe za Wiki ya Umoja nchini Nigeria
Hawza / Sherehe na hotuba zenye maudhui ya kuadhimisha Wiki ya Umoja na kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu Muhammad (swww) pamoja na Imam Ja‘far al-Sadiq (as) zinafanyika kote nchini Nigeria…
-
DuniaSherehe ya kumbukumbu ya kuzaliwa Mtume wa Uislamu (saww) yafanyika Tbilisi
Hawza/ Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuzaliwa Mtume wa Uislamu (saww), sherehe tukufu ilifanyika mjini Tbilisi, mji mkuu wa Georgia. Katika sherehe hii iliyoandaliwa kwa ubunifu wa Idara ya Waislamu…
-
Duniapicha/ Hafla ya Maulidi ya kuzaliwa Mtume (saw) yafanyika katika kituo cha J'amiatul-Mustafa nchini Tanzania
Hawza/ Kituo cha J'amiatul-Mustafa nchini Tanzania chini ya usimamizi wa Dkt. Aly Taqawi, Raisi na mwakilishi wa J'amiatul-Mustafa nchini Tanzania, kimefanya maadhimisho ya hafla ya Maulidi ya…
-
DuniaWasomaji wa Qur'ani wa Kiirani wang'ara katika Kongamano la Arobaini na Mbili la Kimataifa la Maulidi ya Mtume (S.A.W) huko Lahore, Pakistan
Hawza/ Kongamank la 42 la Kimataifa la Maulidi ya Mtume (saw) limefanyika katika ukumbi wa Iqbal mjini Lahore, Pakistan, kwa ushiriki mkubwa wa wanazuoni, wasomi na wapenzi wa Mtume wa Rehema,…
-
Ayatullah al-Udhma Subḥānī katika ufunguzi wa mwaka wa masomo wa Hawza:
Hawza“Kumpenda Mtume siyo bid‘a, bali ni miongoni mwa misingi ya Uislamu / Wanafunzi wa dini wanapaswa kufanya hijra (kuhama kwa ajili ya kutafuta elimu)
Hawza/ Ayatullah Subḥānī alibainisha: Ikiwa mtu ataishi kwa kuifuata Qur’ani na Sheri‘a, lakini moyoni mwake akawa na chuki dhidi ya Mtume (s.a.w), basi mtu huyo ni kafiri. Na hata asipokuwa…
-
DuniaMkutano wa Kwanza wa Maandalizi ya Kongamano la Kimataifa la Tabligh Mpya ya Dini umefanyika nchini Georgia
Hawza/ Mkutano wa kwanza wa maandalizi ya kongamano la kimataifa la “Tablegh Mpya ya Dini” umefanyika nchini Georgia kwa kuzingatia mada kuu ya nafasi ya ulinganizi huu katika “kulinda na kuimarisha…
-
DuniaMsomi Mashuhuri nchi India: Umoja ndio njia pekee ya kuondokana na changamoto katika ulimwengu wa Kiislamu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Muhammad Hassan Jafari, katika ujumbe wake kwa Umma wa Kiislamu amesisitiza kwamba njia pekee ya kutoka kwenye changamoto na njama za kimataifa ni umoja,…
-
DuniaRais wa Baraza la Maimamu wa Kishia Pakistan: Mafundisho ya Mtume Mtukufu (s.a.w.w) ndiyo funguo ya umoja na suluhisho la Umma wa Kiislamu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika hotuba zake, amesisitiza kwamba njia pekee ya kueoukana na machafuko na kuifikia jamii yenye umoja na yenye mafanikio ni kushikamana…
-
DuniaPicha/ Hafla ya Maulidi Kitaifa yafanyika Mkoani Tanga, Mashia waonesha umoja na mshikamano usio na kifani
Hawza/ Sherehe ya Maulidi ya Kitaifa nchini Tanzania imefanyika usikubwa kuamkia leo Mkoani Tanga katika Wilaya ya Korogwe, huku viongozi Mashuhiri wakihudhuria katika hafla hiyo, na wafuasi…
-
DuniaTanzania Ithnaasharia Community (TIC) yatangaza Maulidi ya Mtume Muhammad (saw) ya Mwaka huu
Hawza/ Tanzania Ithnaasharia Community ikishirikiana na Hawza ya Imaam Sw'adiq (as) wametoa tangazo rasmi la Maulidi ya Mtume Muhammad (saw) mwaka huu wa 2025
-
DuniaMajlisi ya mwisho katika mwezi wa Safar yafanyika kwenye Markazi ya Fiqhi Aimmat At-hār huko London
Hawza / Hafla ya maombolezo ya kumbukumbu ya kufariki kwa Mtume wa Uislamu (saw) na pia kumbukumbu ya kuuwawa kishahidi Imam Hasan al-Mujtaba (as) na Imam Ridha (as) zimefanyika katika ofisi…
-
DuniaPicha/ Matembezi ya amani yaliyofanyika Zanzibar
Hawza/ Hawza ya Imam Ally (as) iliyopo Zanzibar nayo pia ilifanya Majlisi na baada ya majlisi hiyo wakafanya matembezi ya amani kwa ajili ya kuadhimisha kifo cha Mtume Muhammad (saw)
-
Ayatollah A‘rafi katika maadhimisho ya Siku ya Madaktari:
DuniaMtume Mtukufu (s.a.w.) ni kielelezo kamili cha maadili, elimu na uimara / Shukrani kwa huduma za mfumo wa afya wa taifa
Hawza/ Mkurugenzi wa hawza nchini Irani, Ayatollah Alireza A‘rafi, akizungumza kuhusu mwenendo wa kina wa Mtume Mtukufu (s.a.w.) alisema: Mtume wa Mwenyezi Mungu pamoja na elimu na jihadi katika…
-
DuniaPicha/ Matembezi ya Amani ya kuadhimisha kifo cha Mtume Muhammad (saw) yaliyofanyika katika wilaya ya Kondoa mkoa wa Dodoma nchini Tanzania
Hawza/ Waumini wa Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma nao hawakuwa nyuma katika kumuenzi Mtukufu wa Daraja, Mtume Muhammad (saw) kwa kufanya matembezi yaliyofana, chini ya usimamizi wa Sheikh Abdulatif…
-
DuniaMtafiti kutoka India: Sira ya Mtume na Imam Ali ni Mwongozo wa Kudumu kwa Viongozi na Wanasiasa wa Leo
Hawzah/ Hujjatul-Islam Zainul Abidin, katika kusisitiza nafasi ya sira ya Mtume Muhammad (saw) na Imam Hasan al-Mujtaba (as), amesema sira hii imejaa mafundisho ya uongozi na siasa na inaweza…
-
DuniaPicha / matembezi ya amani ya kumbukumbu ya kifo cha Mtume Muhammad (saw) yafanyika nchini Tanzania
Hawza/ Hawza ya Imaam Swadiq (as) chini ya usimamizi wa Samahat Sheikh Jalala iliandaa matembezi ya amani yaliyo husiana na kumbukumbu ya kifo cha Mtume Muhammad (saw) kwa ajili ya kuadhimisha…
-
Hadithi ya leo:
DiniUsicheleweshe kulipa ujira wa kibarua
Mlipe kibarua kabla jasho lake halijakauka.
-
Hadithi ya leo:
DiniChunga (mazingira) asili
Itakapowadia Siku ya Kiyama na mmoja wenu akawa ana mche mkononi mwake, akiweza kuupanda kabla ya kusimama Kiyama, basi aupande.