Jumapili 24 Agosti 2025 - 10:48
Picha/ Matembezi ya Amani ya kuadhimisha kifo cha Mtume Muhammad (saw) yaliyofanyika katika wilaya ya Kondoa mkoa wa Dodoma nchini Tanzania

Hawza/ Waumini wa Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma nao hawakuwa nyuma katika kumuenzi Mtukufu wa Daraja, Mtume Muhammad (saw) kwa kufanya matembezi yaliyofana, chini ya usimamizi wa Sheikh Abdulatif Swaaleh

Kwa mujibu wa  Shirika la Habari la Hawza, sheikh Abdulatifu Swaleh kwenye ujumbe wake ambao aliutoa katika matembezi hayo alianza na aya ya Mwenyezi Mungu isemayo:

{وَمَا أَرۡسَلنـٰك إِلَّا رَحمة للعَـٰلَمِینَ}

Nasi hatukukutuma ila uwe ni Rehema kwa walimwengu wote.
[Surah Al-Anbiyāʾ: 107]


Katika kuielezea aya hiyo alisema kwamba: Mtume Muhammad (saw) ni Rehma, rehma maana yake ni huruma, upole, na amanai. Katika muendelezo wa mazungumzo yake akasema: Na sisi kwa pamoja tumetoka ili kudhihirisha huruma yetu pamoja na watu wote walio nyongeshwa katika ulimwengu huu, kama vile ambavyo Mtume alisifika kwa amani basi nasi tumefanya matembezi haya ya amani kwa ajili ya kukumbuka kifo chake.

Picha za matembezi hayo ni kama ifuatavyo:

Picha/ Matembezi ya Amani ya kuadhimisha kifo cha Mtume Muhammad (saw) yaliyofanyika katika wilaya ya Kondoa mkoa wa Dodoma nchini Tanzania

Picha/ Matembezi ya Amani ya kuadhimisha kifo cha Mtume Muhammad (saw) yaliyofanyika katika wilaya ya Kondoa mkoa wa Dodoma nchini Tanzania

Picha/ Matembezi ya Amani ya kuadhimisha kifo cha Mtume Muhammad (saw) yaliyofanyika katika wilaya ya Kondoa mkoa wa Dodoma nchini Tanzania

Lebo

Maoni yako

You are replying to: .
captcha