tanzania (30)
-
Dunia“Kutoka Ghadir hadi Minab” Maonesho maalum ya picha pamoja na kumbukumbu yaliyounganisha historia, imani na ubinadamu kupitia picha zenye kuonesha haki, kujitoa na uthabiti
Hawza/ Kituo cha Utamaduni cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Tanzania kiliandaa maonesho maalumu ya picha na kumbukumbu yaliyopewa anuani ya “Kutoka Ghadir hadi Minab”, yakilenga kuunganisha…
-
DuniaTaasisi ya Furqan Yaadhimisha Hafla ya Ghadeer Sambamba na Kumbukumbu ya Kufariki Imam Khomeini (r.a)
Hawza/ Katika mazingira yaliyojaa hisia za kiroho, elimu na mapenzi kwa Ahlul-Bayt (a.s), Taasisi ya Furqan nchini Tanzania imeadhimisha hafla maalumu ya Sikukuu ya Ghadeer sambamba na mnasaba…
-
HawzaMkutano wa kielimu/ “Ghadir; Nukta ya Pamoja katika Umma wa Kiislamu” wafanyika Tanzania
Hawza/ Mkutano wa kielimu na kitamaduni wenye anuani isemayo “Ghadir; Nukta ya Pamoja katika Umma wa Kiislamu”, uliokuwa na lengo la kuchunguza tukio la Ghadir kwa mtazamo wa Shia na Ahlu Sunna,…
-
DuniaMaonesho Makubwa ya Sanaa Yakiwa na Ujumbe wa Ubinadamu na Umoja Yafanyika Dar es Salaam Tanzania
Hawza/ Katika siku iliyogubikwa na ubunifu, mafunzo, utamaduni na ujumbe wenye kugusa hisia za kibinadamu, maonesho ya sanaa yenye kaulimbiu “Ubinadamu na Umoja” yameacha alama ya kipekee katika…
-
DuniaWanafunzi wa Chuo Kikuu cha Zanzibar Watembelea Kituo cha Utamaduni cha Iran Kilichopo Dar es Salaam
Hawza/ Kituo cha Utamaduni cha Iran kilichopo nchini Tanzania kimepokea ugeni maalumu wa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Zanzibar waliowasili katika kituo hicho kwa lengo la kuendeleza mahusiano…
-
Sheikh Mkuu wa Mashia Tanzania:
DuniaAmani, Umoja na Mshikamano wa Taifa ni Nguzo Kuu Inayopaswa Kuenziwa
Hawza/ Sheikh Mkuu wa Mashia Tanzania amewaomba wananchi na waumini wote nchini kuendelea kuilinda amani ya taifa, kudumisha umoja wa wananchi pamoja na kuimarisha mshikamano wa kijamii kama…
-
DuniaMaonesho Makubwa ya Sanaa Kufanyika Dar es Salaam Yakiwa na Ujumbe wa Ubinadamu na Umoja
Hawza/ Kituo cha Utamaduni cha Iran Tanzania kwa kushirikiana na Idara ya Sanaa Bunifu ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kimeazimia kufanya maonesho maalumu ya sanaa yatakayowakutanisha wanafunzi,…
-
DuniaKongamano la 31 la Kimataifa la Qur’ani Tukufu lafanyika jijini Dar es Salaam, Tanzania
Hawza/ Chuo Kikuu cha Jaamiatul Mustafa kilichopo nchini Tanzania kiliadhimisha Kongamano la 31 la Kimataifa la Qur’ani Tukufu, likiwa ni tukio kubwa, adhimu na la kihistoria lililolenga kukuza…
-
DuniaKongamano la 31 la kimataifa la Qura'n Tukufu kufanyika Daresalaam Tanzania
Hawza/ Chuo Kikuu cha Jaamiatul Mustafa kilichopo nchini Tanzania kinatarajiwa kuandaa Kongamano la 31 la Kimataifa la Qur’ani Tukufu, likiwa ni tukio kubwa na la kihistoria linalolenga kukuza…
-
DuniaWanafunzi kutoka vyuo vikuu mbalimbali nchini Tanzania wamepokea nakala ya wasifu wa Shahidi Ayatollah Sayyid Ali Khamenei (ra)
Hawza/ katika hatua inayolenga kukuza uelewa wa kihistoria na kielimu kuhusu maisha ya viongozi wa Kiislamu waliotoa mchango mkubwa katika harakati za kisiasa na kijamii, wanafunzi kutoka vyuo…
-
DuniaTanzania yaandaa Semina maalumu kwa ajili ya kukumbuka fikra zenye ushawishi za Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Iran
Hawza/ Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Tanzania, kimeandaa Semina maalumu ya mtandaoni ambayo inalengo la kukumbuka fikra pevu na zenye ushawishi za Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Iran.
-
DuniaTanzania yaandaa Shindano maalumu la kuchora kwa watoto kwa ajili ya kuwakumbuka watoto 168 waliouliwa kidhalim Iran
Hawza/ Kituo cha Utamaduni cha Iran, Jijini Dar es Salaam Tanzania, kimeandaa program maalumu ya shindano la uchoraji kwa watoto likiwa na lengo la kuwakumbuka wototo waliouliwa kidhamu na utawala…
-
DuniaSheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC) Atembelea Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kigoma Tanzania
Hawza/ Tareh, 02 Oktoba 2025 — Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Samaahat Sheikh Hemedi Jalala Mwakindenge, akiendelea na ziara yake ya mkoani Kigoma, leo ametembelea Ofisi ya Mkuu…
-
DuniaUchaguzi Mkuu wa BAKWATA Wilaya, Singida: Wilaya zote zapata viongozi wapya
Hawza/ Siku ya Jumatatu sawa na tareh 29.9.2025 – Uchaguzi mkuu wa BAKWATA mkoa wa Singida umefanikiwa kufanyika katika wilaya zote saba, ambapo wenyeviti wapya wamechaguliwa kushika nafasi za…
-
DuniaOfisi ya Jumuiya ya Shia Ithnaasharia (TIC), Mkoa wa Mwanza yafunguliwa Rasmi
Hawza/ Hatimae jana tareh 28 Mwezi wa tisa Mkoa wa Mwanza ulifanya uzinduzi rasmi wa Ofisi ya Jumuiya ya Shia Inthaasharia (TIC), baada ya kufunguliwa na Sheikh Mkuu wa Jumuiya hiyo.
-
DuniaSemina ya uchinjaji wanyama na ndege yahitimishwa leo Daresalam Tanzania
Hawza/ Semina elekezi sheria za kiislamu kuhusiana na uchinjaji wa wanyama na ndege leo hii imefungwa rasmi na Katibu wa BAKWATA mkoa wa Daresalam.
-
DuniaMtafiti kutoka nchini Tanzania: Umma wa Kiislamu ni umma wa rehema na umoja
Hawza/ Mtafiti kutoka nchi ya Tanzania, akisisitiza juu ya rehema ya umma wa Kiislamu, alisisitiza pia juu ya ulazima wa kuwasaidia wananchi wa Palestina.
-
Duniapicha/ Hafla ya Maulidi ya kuzaliwa Mtume (saw) yafanyika katika kituo cha J'amiatul-Mustafa nchini Tanzania
Hawza/ Kituo cha J'amiatul-Mustafa nchini Tanzania chini ya usimamizi wa Dkt. Aly Taqawi, Raisi na mwakilishi wa J'amiatul-Mustafa nchini Tanzania, kimefanya maadhimisho ya hafla ya Maulidi ya…
-
DuniaMaulidi ya kinamama yafanyika nchini Tanzania
Hawza/ Jumuiya ya Shiya Ithnaasharia Tanzania (TIC) ikishirikiana na Hawza ya Imaam Sw'adiq (as), ambayo makazi yake makuu yapo Kigogo Post jijini Daresalam, jana iliadhimisha hafla kubwa ya…
-
DuniaPicha/ Hafla ya Maulidi Kitaifa yafanyika Mkoani Tanga, Mashia waonesha umoja na mshikamano usio na kifani
Hawza/ Sherehe ya Maulidi ya Kitaifa nchini Tanzania imefanyika usikubwa kuamkia leo Mkoani Tanga katika Wilaya ya Korogwe, huku viongozi Mashuhiri wakihudhuria katika hafla hiyo, na wafuasi…
-
DuniaTanzania Ithnaasharia Community (TIC) yatangaza Maulidi ya Mtume Muhammad (saw) ya Mwaka huu
Hawza/ Tanzania Ithnaasharia Community ikishirikiana na Hawza ya Imaam Sw'adiq (as) wametoa tangazo rasmi la Maulidi ya Mtume Muhammad (saw) mwaka huu wa 2025
-
DuniaPicha/ Matembezi ya Amani ya kuadhimisha kifo cha Mtume Muhammad (saw) yaliyofanyika katika wilaya ya Kondoa mkoa wa Dodoma nchini Tanzania
Hawza/ Waumini wa Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma nao hawakuwa nyuma katika kumuenzi Mtukufu wa Daraja, Mtume Muhammad (saw) kwa kufanya matembezi yaliyofana, chini ya usimamizi wa Sheikh Abdulatif…
-
DuniaPicha / matembezi ya amani ya kumbukumbu ya kifo cha Mtume Muhammad (saw) yafanyika nchini Tanzania
Hawza/ Hawza ya Imaam Swadiq (as) chini ya usimamizi wa Samahat Sheikh Jalala iliandaa matembezi ya amani yaliyo husiana na kumbukumbu ya kifo cha Mtume Muhammad (saw) kwa ajili ya kuadhimisha…
-
DuniaHujjatul Asr Society Of Tanzania yaadhimisha Arubaini ya Imam Husein (as)
Hawza/ Taasisi ya Hujjatul Asr Society Of Tanzania iliyopo chini ya usimamisi wa Sayyid A'rif Naqawi imeadhimisha Arubaini ya Imam Husein (as) kwa mwaka huu wa 2025 sawa na 1446 Hijria
-
DuniaKikao maalumu na wanafunzi wa Tanzania, Malawi na Burundi chafanyika Qum Irani, kikiwa na maudhui ya kumkuza mwanafunzi katika ngazi ya kutumia fani mbali mbali za kisasa
Hawza/ Wanafunzi wa Tanzania, Malawi na Burundi wakutana na wakili wa Jaamiatul-Mustafa pamoja na Raisi wa Taasisi ya Bayani ili kujadili jinsi ya kuweza kumkuza mwanafunzi hasa hasa katika kutumia…
-
DuniaTaasisi za kidini zaratibu matibabu ya macho nchini Tanzania
Hawza/ Jumuiya ya Shia ya Khoja kwa kushirikiana na Taasisi ya Almustafa pamoja na baadahi ya Taasisi za kidini nchini Tanzania, imeratibu matibabu ya macho kwa wananchi, huku mwitikio wa wananchi…
-
DuniaSheikh Abdurazak Amiri: “Hakuna Mwenye Mamlaka ya Kumtoa au Kumuingiza Mtu Kwenye Uislamu Isipokuwa Mwenyezi Mungu”
Hawza/ Sheikh Abdurazak Amiri amesema kuwa; “Hakuna Mwenye Mamlaka ya Kumtoa au Kumuingiza Mtu Kwenye Uislamu Isipokuwa Mwenyezi Mungu pekee”
-
DuniaMatembezi ya Ashura mwaka huu Arusha yavunja rekodi
Hawza/ Jiji la Arusha yamefanyika matembezi yaliyo fana mwaka huu, matembezi ambayo hayajawahi tokea katika miaka iliyopita.
-
DuniaHivi ndivyo walivyo adhimisha matembezi ya Ashura mwaka huu mkoani Singida Tanzania
Hawza/ Mamia ya wafuasi wa madhehemu ya Ahlulbayt wamemiminika barabarani kwa ajili ya kuadhimisha maombolezo ya kuwawa Imam Husein (as) mkoani Singida Tanzania
-
DuniaRais Mwinyi azindua rasmi kamati ya kusimamia Madrasa Zanzibar
Hawaza/ Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameizindua rasmi Kamati ya Kitaifa ya Kusimamia Madrasa Zanzibar.