Jumanne 20 Mei 2025

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Wasiliana nasi
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Siri ya kutokuwa bayana wakati wa kudhihiri Imamu wa Zama (as)

    "Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 17

    DiniSiri ya kutokuwa bayana wakati wa kudhihiri Imamu wa Zama (as)

    Hawza | Bila shaka yoyote, subira yenye tija ambayo ni miongoni mwa sababu kuu za harakati na uhai inajitokeza tu katika kivuli cha kufichika wakati wa kudhihiri Imam (as).

    2025-05-20 11:50
  • Kubainisha Wakati kwa ajili ya Kudhihiri

    "Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 16

    DiniKubainisha Wakati kwa ajili ya Kudhihiri

    Hawza/ Daima wamekuwepo watu walioainisha wakati wa kudhihiri kwa kutumia nia za kishetani, na watu wa aina hiyo wataendelea kuwepo hata katika siku zijazo. Hivyo basi, viongozi maasumu (as)…

    2025-05-18 14:54
  • Alama za Kudhihiri Imamu Mahdi (A.S.)

    "Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 15

    DiniAlama za Kudhihiri Imamu Mahdi (A.S.)

    Hawza/ Kwa kuwa alama na ishara za kudhihiri Imamu Mahdi (a.s.) ni bishara ya faraja ya Mahdi ahli wa Mtume Muhammad (s.a.w), kutokea kwa kila mojawapo kati ya alama hizo huifanya nuru ya matumaini…

    2025-05-16 11:12
  • Masharti na Mazingira ya Kudhihiri kwa Imam Mahdi (as)

    "Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 14

    DiniMasharti na Mazingira ya Kudhihiri kwa Imam Mahdi (as)

    Hawzah/ Kila tukio katika ulimwengu huu linatokea pale masharti na mazingira yake yanapotimia, na bila kutimia kwa mazingira hayo, hakuna kitu chochote kinachoweza kuwepo.

    2025-05-13 18:20
  • Jua Nyuma ya Wingu

    "Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 12

    DiniJua Nyuma ya Wingu

    Masuala ya ghaiba hayapingani na falsafa ya ulazima wa kuwepo kwa Imamu Maasumu (as); kwani Imamu Maasumu, hata katika hali ya ghaiba, yupo, na manufaa yake yanawafikia wengine. Ni sehemu tu…

    2025-05-09 00:13
  • Faida za Imamu Aliye Mafichoni

    "Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 11

    DiniFaida za Imamu Aliye Mafichoni

    Je, nafasi ya Imamu katika mfumo wa kuwepo kwa viumbe ni ipi? Je, athari zote za uwepo wake zinategemea kudhihiri kwake? Je, yeye yupo tu kwa ajili ya kuwaongoza watu au uwepo wake ni chanzo…

    2025-05-06 12:51
  • Aina za Ghaiba ya Imam Mahdi (a.s.)

    "Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 10

    DiniAina za Ghaiba ya Imam Mahdi (a.s.)

    Kuwasiliana na Mawakili wanne wa kipekee (Nuwwāb Arbaʿa) pamoja na kufanikiwa kwa baadhi ya Mashia kufika mbele ya Imam wao katika kipindi cha Ghaiba ndogo, kulikuwa na athari kubwa katika kuthibitish…

    2025-05-05 09:55
  • Falsafa ya Ghaiba (kutoweka) kwa Imam Mahdi (a.s)

    "Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 9

    DiniFalsafa ya Ghaiba (kutoweka) kwa Imam Mahdi (a.s)

    Kwa hakika, ni kwa nini Imam yupo katika pazia la ghaiba, na ni sababu ipi iliyopelekea watu kunyimwa baraka za kudhihiri kwake?

    2025-05-02 17:39
  • Dhana na historia ya Ghaiba (kutoweka)

    "Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 8

    DiniDhana na historia ya Ghaiba (kutoweka)

    Ghaiba au maisha ya kifichoni si jambo jipya lililotokea kwa mara ya kwanza tu kuhusu hujjah wa mwisho wa Mola Mlezi, bali kutokana na riwaya nyingi inaonekana kwamba baadhi ya Manabii wakubwa…

    2025-04-29 20:45
  • Imam Mahdi (a.f) kwa Mtazamo wa Haraka

    "Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 7

    DiniImam Mahdi (a.f) kwa Mtazamo wa Haraka

    Baada ya kipindi cha ghaiba kupita, kwa mapenzi ya Mola wa ulimwengu, Imam wa Kumi na Mbili (a.s) atadhihiri na kuja kuijaza dunia wema na uzuri. Hakuna anayejua wakati wa kudhihiri kwake, na…

    2025-04-27 17:31
  • Ni Mwenyezi Mungu pekee tu ndie mwenye haki ya kumchagua Imaam

    "Kuielekea jamii iliyo bora" (mfululizo wa utafiti kuhusu Imamu al-Mahdi (a.s) - 6

    DiniNi Mwenyezi Mungu pekee tu ndie mwenye haki ya kumchagua Imaam

    Mwenye mamlaka ya juu kabisa juu ya kila kitu ni Mwenye Mungu, na wote wanapaswa kumtii Yeye peke yake. Kwa hivyo ni wazi kabisa kwamba mamlaka hii inaweza kutolewa na Allah kwa yeyote yule kulingana…

    2025-04-26 08:28
  • Sifa za Imam: "Kuisimamia jamii na Kupambika katika maadili yaliyo kamilika"

    Kuielekea Jamii iliyo Bora | Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s) - 5

    DiniSifa za Imam: "Kuisimamia jamii na Kupambika katika maadili yaliyo kamilika"

    Imam, ambaye ni kiongozi na muongozaji wa jamii, ni lazima ajiepushe na maovu yote pamoja na tabia potofu kimaadili, na badala yake awe ni mwenye sifa zote bora na maadili ya kiwango cha juu…

    2025-04-22 17:46
  • Njia Nane za Kudhibiti muda wa michezo kwa watoto kwenye Simu zao za Mkononi

    DiniNjia Nane za Kudhibiti muda wa michezo kwa watoto kwenye Simu zao za Mkononi

    Ili kuwasaidia watoto kutumia michezo ya simu kwa njia bora, muda wa kucheza unaweza kupunguzwa na michezo ifaayo kuchaguliwa. Wazazi wanapaswa kupendekeza shughuli mbadala kama vile michezo…

    2025-04-19 18:02
  • Sifa za Imam; Mwenye elimu kubwa zaidi na uelewa mpana zaidi miongoni mwa watu

    “Kuielekea Jamii Bora” (mfululizo wa utafiti kuhusu Imam Mahdi, amani iwe juu yake) - 3

    DiniSifa za Imam; Mwenye elimu kubwa zaidi na uelewa mpana zaidi miongoni mwa watu

    Hawzah/ Imam ambaye anachukua nafasi ya uongozi na uwatawala kwa watu, ni lazima aijue dini kwenye nyanja zake zote na awe na uelewa kamili wa sheria zake, vilevile aweze kujibu maswali yote…

    2025-04-19 17:54
  • Udharura wa kuwepo kwa Imam ni upi?

    Kuelekea Jamii Bora (mfululizo wa utafiti kuhusu Imam Mahdi - amani iwe juu yake) - 2

    DiniUdharura wa kuwepo kwa Imam ni upi?

    Mashia wanaamini kuwa njia ya uongofu kwa waja wa Mwenyezi Mungu baada ya mitume wa Mwenyezi Mungu, na hasa Mtume Muhammad - rehma za Mungu ziwe juu yao wote - inaendelea kupitia “uimamu wa Maimamu…

    2025-04-19 07:17
  • Wote wanamngoja Mkombozi

    "Kuelekea Jamii bora" (mfululizo wa utafiti kuhusu Imamu Mahdi - amani iwe juu yake) - 1

    DiniWote wanamngoja Mkombozi

    Ahadi ya kuja kwa mkombozi inaweza kuonekana katika mafundisho ya dini zote, tofauti ni kwamba kwa mujibu wa imani ya Mashia, mkombozi wa ulimwengu wa wanadamu sasa hivi anaishi miongoni mwa…

    2025-04-18 09:58
  • Changamoto za Matumizi ya Akili Mnemba (AI) katika Kuchakata Aya za Qur'ani

    DiniChangamoto za Matumizi ya Akili Mnemba (AI) katika Kuchakata Aya za Qur'ani

    Akili Mnemba (AI) ni moja ya maendeleo makubwa ya kiteknolojia katika zama za kisasa na inatumiwa katika maeneo mengi, ikiwemo kuchakata maandiko ya kidini.

    2025-03-20 11:59
  • "IMAM AL-MAHDI" Kimeandikwa na Sayyid Muhammad Rizvi

    Utangulizi wa kitabu:

    Dini"IMAM AL-MAHDI" Kimeandikwa na Sayyid Muhammad Rizvi

    Ghaibu ya Imam ni wakati wa mtihani kwa Waumini. Lakini imani kwa Imam al-Mahdi ni wa lazima sana kwa ukombozi.

    2025-02-12 11:20

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Wasiliana nasi
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom