-
Kuielekea kwenye jamii bora; Tafiti za Mahdawiyya (65)
DiniNafasi na mchango wa wanawake katika kudhihiri na dola ya Imam Mahdi (a.f) – Sehemu ya Pili
Hawza / Kuhusu nafasi ya mwanamke katika jamii ya Kiislamu na utekelezaji wa malengo ya Mwenyezi Mungu, Qur’ani Tukufu imeorodhesha majukumu ya jumla kama vile kumcha Mwenyezi Mungu, kuamrisha…
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyyah (64)
DiniNafasi na wajibu wa wanawake katika kudhihiri na serikali ya Imam Mahdi (aj) – Sehemu ya kwanza
Hawza/ Wanawake pia, kama ilivyo kwa wanaume katika jamii, wanapaswa kutumia juhudi zao zote katika kutekeleza nafasi zao kwa ajili ya kufanikisha malengo ya Mwenyezi Mungu, bila mchango wao,…
-
DiniGhadir kwa mujibu wa Kauli za Imam Shahidi
Hawza/ Kwa mtazamo wa Imam na Kiongozi wetu Shahidi, Ghadir ni miongoni mwa masuala ambayo yanapita mipaka ya mtazamo wa kihistoria na huhesabiwa kuwa mojawapo ya misingi muhimu zaidi ya itikadi…
-
Tusome Qur’ani:
DiniJe, Inawezekana Kuingia Katika Ngome ya Wilaya ya Ali (as) Bila Kuielewa Qur’ani?
Hawza/ Wilaya ya Ali bin Abi Talib ina maana ya kuwa mfuasi wa Ali katika fikra na matendo yako, na kuwa na uhusiano naye madhubuti, wenye nguvu na usiovunjika, kama Hadithi isemavyo: “Wilaya…
-
DiniTusome Qur’ani | Katika jamii isiyo ya Kiislamu unatamani kuwa mwema, lakini huwezi
Hawza/ Katika jamii isiyo ya Kiislamu, mwanadamu licha ya kuwa na hamu ya mwema na mwenye dini, kutokana na shinikizo la mazingira hawezi kuwa mwenye kushikamana na dini, na sababu zote humweka…
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyya (63)
DiniMagharibi na Mahdawiyya (Sehemu ya Mwisho)
Hawza/ Kuonesha sura ya ukatili na ya kutisha kuhusu mwokozi wa mwisho wa zama katika Uislamu mbele ya watu wa dunia ni jukumu la pamoja linaloonekana katika kazi nyingi za Kimagharibi, zikiwemo…
-
DiniTusome Qur’ani | Kwa nini baadhi ya watu hushindwa na kujisalimisha kwa adui katika nyakati za migogoro?
Hawza/ Katika nyakati za migogoro, pale ambapo mwanadamu anakosa kabisa njia na zana zote za dhahiri, huwa na njia chache mbele yake: ima kujisalimisha kwa adui, au kujisalimisha kwa mkondo wa…
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli:
DiniMwenyezi Mungu ameamrisha “jihad maalum” dhidi ya wanafiki
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Jawadi Amoli amesisitiza kuwa; Mwenyezi Mungu anakosoa vikali mwenendo wa jamii ya wanafiki na ametoa amri ya “jihad maalum” dhidi yao.
-
DiniSifa kuu za wafungaji wa kweli katika maneno ya Ali ibn Husayn Zayn al-Abidin (a.s.)
Hawza/ Imamu Sajjad (a.s.) anautambulisha mwezi wa Ramadhani kuwa ni njia ya kufikia wema na ihsani ya Mwenyezi Mungu. Mashia wa kweli hutambuliwa kwa athari za ibada zao: matumbo yaliyodhoofika…
-
Nasaha ya Imamu Khomein (r.a):
DiniNi vipi utaingia katika Mwezi wa Ramadhani ukiwa na nafsi iliyotakasika
Hawza/ Mwanadamu anapaswa kuyaona matendo yake kuwa yako mbele ya Mwenyezi Mungu, ajiepushe na kusengenya na kutuhumu, aingie katika Mwezi wa Ramadhani akiwa na moyo safi, adiriki makosa ya zamani…
-
DiniChemli ya Ramadhani | Mafunzo Muhimu ya Haki za Wanawake katika Surat An-Nisaa
Hawza/ Juzuu ya nne ya Qur’ani Tukufu inajumuisha Surat Aal-Imran (kuanzia aya ya 93 hadi mwisho) na Sura An-Nisaa (aya ya 1–24). Surat An-Nisaa ina aya 176, imeteremshwa Madina, na inasisitiza…
-
DiniChemli ya Ramadhani | Surat Aal-Imran; toleo la Qur’ani katika kukabiliana na mashambulizi ya kitamaduni na kijeshi
Hawza/ Juzuu ya tatu ya Qur’ani Tukufu inajumuisha Surat Al-Baqara kuanzia aya ya 253 hadi mwisho wa sura, na Sura Aal-Imran hadi aya ya 93. Sura Aal-Imran, kwa kusisitiza umoja wa neno (tawhidi…
-
DiniKiongozi Mkuu wa Mapinduzi atoa tahadhari kuhusiana na kulinganisha alama za kudhihiri
Hawza/ Kwa masikitiko, mojawapo ya changamoto kubwa katika suala la Mahdawiyya ni kuenea ulinganisho wa alama za kudhihiri kwa mtazamo wa kijuujuu na usio na msingi wa kielimu; mtazamo wa upotofu…
-
Ayatullah al-‘Udhmaa Jawadi Amoli:
DiniUsiku wa nusu ya Sha‘ban ni “Laylatul Qadr”
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Jawadi Amoli wamesema: Imam al-Baqir (a.s.) amesema kuwa usiku wenye fadhila kubwa zaidi baada ya Laylatul Qadr ni usiku wa nusu ya Sha‘ban, usiku ambao Mwenyezi Mungu…
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyya (62)
DiniMagharibi na Mahdawiyya (Sehemu ya Pili)
Hawza/ Vyombo vya habari ni miongoni mwa nyenzo zenye ushawishi mkubwa zaidi katika dunia ya leo; kwani mbali na kazi zao za moja kwa moja za kuwaathiri watu binafsi, pia vina uwezo wa kuathiri…
-
Kutokana na mnasaba wa maadhimisho ya siku ya kuzaliwa kwa Qamar Bani Hashim (a.s.):
DiniMtukufu Abul-Fadhl al-Abbas (a.s.) na fadhila ya kufufuliwa pamoja na Malaika
Hawza/ Fadhila ya kufufuliwa pamoja na malaika, ambayo hakuna ladha iliyo juu yake, imetajwa katika riwaya pia kwa mja mwema wa Mwenyezi Mungu, Mtukufu Abul-Fadhl al-Abbas (a.s.). Malipo ya aina…
-
Kuielekea Jamii Bora (Jamii ya Kimaadili): Tafiti za Mahdawiya (61)
DiniMagharibi na Mahdawiya (Sehemu ya Kwanza)
Hawza/ Uhusiano uliopo kati ya kudhihiri kwa mwokozi na sifa kama vile kuenea kwa haki, kupinga dhuluma, na kadhalika, umesababisha wanadamu wa dini na itikadi zote daima kuwa na hamu na shauku…
-
DiniJe, umesoma Munajat “Sha‘baniyah”? Isome!
Hawza/ Imam Khomeini (r.a), ambaye yeye mwenyewe alikuwa mfano wa maarifa kamili ya kiroho, na aliyeitoa nafsi yake kutoka kwenye hatari za dunia, katika vipindi mbalimbali, akikutana na makundi…
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyya (60)
DiniAthari za Mikondo Potofu na Jinsi ya Kukabiliana Nayo
Hawza/ Licha ya uadui mwingi unaokabili mafundisho ya dini, kuzingatiwa kwa itikadi ya Mahdawiyya kunazidi kuongezeka siku baada ya siku. Kuongezeka hamu na hisia ya haja katika nyanja za kiakili…
-
Mafunzo katika Qur'ani
DiniKumsahau Mwenyezi Mungu ndio mwanzo wa mwanadamu kuanguka
Hawza/ Kumsahau Mwenyezi Mungu ni mwanzo wa kuanguka kiroho kwa mwanadamu, jambo linaloishia katika kujisahau nafsi yake mwenyewe. Kwa mujibu wa Aya ya 19 ya Suratul Hashr, mwanadamu anayemsahau…
-
Kuielekea Jamii bora: Tafiti zaa Mahdawiyya (59)
DiniWanaodai Uongo Kwamba ni Manaibu wa Imamu
Hawza/ Bila shaka, kila itikadi inayokaribia zaidi ukweli na kupenya kwenye nyoyo za watu, hupelekea zaidi watu wenye tamaa kujitokeza wakitafuta manufaa machafu kupitia itikadi hiyo. Mafundisho…
-
Mafunzo Katika Sahifat Sajjadia:
DiniJe! Ni Vipi Tutasalia Katika Njia ya Kuridhiwa na Mwenyezi Mungu
Hawza/ Imam Zaynu al-Abidin (a.s) ndani ya Sahifa Sajadiya katika dua yenye maana ya kina, anamuomba Mungu ampe uwezo wa kuchagua njia inayomridhisha Mwenyezi Mungu, anapokutana na mitihani ya…
-
Mafunzo Katika Qur'an:
DiniIli Waislamu Wawe Bora, Qur'an Imetoa Sharti Hili
Hawza/ Ufunguo wa heshima na ushindi kwa Waislamu upo katika imani thabiti, kusimama imara katika njia ya haki, na kushikamana na maadili ya Mwenyezi Mungu. Mwenyezi Mungu anasema katika Qur’ani…
-
Ayatollah Al-Udhma Jawadi Amoli:
DiniVijana na Mabinti Wawe ni Wenye Shukrani Kutokana na Jitihada Walizo Zifanya Wazazi Wao Kwao
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Jawadi Amoli aliwashauri wasichana na wavulana kuwa wenye shukrani kwa juhudi zilizofanywa na baba na mama kuwaelekea wao.
-
DiniKioo cha Unabii: Wakati Binti wa Mtume Alipokuwa Katika Daraja la Unabii
Hawza/ Bibi Fatima Zahra (amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake) aliishi siku sabini na tano baada ya Mtume, na katika kipindi hiki Jibril Amin alikuwa akiteremka mara kwa mara juu yake na kueleza…
-
Kuielekea Jamii Bora: Tafiti za Mahdawiyya (58)
DiniMapinduzi kabla ya kudhihiri Imam Mahdi (a.s.)
Hawza/ Baadhi ya watu, wakitegemea baadhi ya riwaya, wamefikia hatua ya kudhania kwamba aina yoyote ya harakati dhidi ya watawala madhalimu kabla ya kudhihiri kwa Imam wa Zama (a.s.) ni haramu;…
-
Mafunzo Katika Sahifat Sajjadia:
DiniJinsi ya Kujiepusha na Majivuno Wakati wa Mafanikio Makubwa
Hawza/ Wakati wa kufikia daraja za kidunia au kiakhera, hatari ya majivuno hutukabili; Imam Zaynul Abidin (a.s.) anatupa mwongozo wa kujilinda na hatari hii.
-
Mafunzo Katika Nahjul Balagha:
DiniJe! Ni kwa Sababu Ipi Wino wa Wanazuoni Unepewa Uzito Mkubwa Kuliko Damu ya Mashahidi?
Hawza/ Amirul-Mu’minin Ali (a.s.) anaiona elimu kuwa ni urithi wenye thamani kubwa mno; na kwa hakika, urithi huu hauwezi kulinganishwa na jambo jingine lolote katika Uislamu.
-
DiniJe, Hazrat Ummul-Banin (s.a.) alifariki kiasili au aliuawa shahidi?
Hawza/ Pamoja na kwamba vyanzo vya kale vimekaa kimya kuhusiana na namna ya kufariki kwa Hazrat Ummul-Banin (s.a.), ripoti za baadaye zimewawekea watafiti simulizi mbili tofauti: kundi moja linaamini…
-
Mafunzo Katika Qur'an:
DiniIli Kuokoka na Majuto ya Siku ya Kiyama Tufanye Nini?
Hawza/ Kila wakati unaopita bila kumkumbuka Mwenyezi Mungu, huacha majuto marefu; na kumbukumbu hii si kwa ulimi pekee, bali lazima ionekane na idhihirike pia katika vitendo.