-
DiniHukumu za Kisheria | Mapato yatokanayo na michezo ya kompyuta na PlayStation
Hawza/ Ayatollah Sayyid Ali Khamenei amejibu istiftaai kuhusu “kupata mapato kutokana na michezo ya kompyuta na PlayStation”.
-
DiniHukumu za Kisheria | Wajibu wa maamuma iwapo Imam atasoma vibaya Qur'an
Hawza/ Ayatullah Shahidi Sayyid Ali Khamenei amejibu istiftaai kuhusu “Wajibu wa maamuma iwapo Imam atasoma vibaya Qur'an”.
-
DiniMtazamo ya Ayatullah al-‘Udhma Makarim Shirazi kuhusu kwenda Hijja mwaka huu
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Makarim Shirazi alijibu swali la kifiqhi (istifta) kuhusu kufika katika Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu (Baytullah al-Haram) na safari ya Hijja kwa kuzingatia hali za…
-
DiniHukumu za Ramadhani | Kuendelea nia ni sharti muhimu la kusihi funga
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Muhammad Taqi Muhammadi, miongoni mwa wataalamu wa hukumu za kisheria, alijibu maswali kuhusu “kuendelea nia”.
-
Hukumu za Kisheria
DiniJe! Ukisahau nia ya kufunga, funga yako itakuwa sahihi?
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amejibu istifta (swali la kisheria) kuhusiana na mwenye “kusahau nia ya kufunga.”
-
DiniUfafanuzi wa ziada kutoka katika Ofisi ya Ayatollah al-Udhma Ja'far Subhani kuhusu hukumu ya kuendesha Pikipiki kwa wanawake
Hawza/ Kufuatia kuchapishwa kwa istiftaa (swali la kifiqhi) kutoka kwa Mtukufu Ayatollah al-Udhma Ja‘far Subhani kuhusu uendeshaji wa baiskeli na pikipiki kwa wanawake, ofisi ya Marjaa huyo imetoa…
-
DiniHukumu za kisheria | Kiwango cha kawaida cha matumizi ya mke (nafaqah)
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amejibu istiftaa (swali la kifiqhi) kuhusu “kiasi cha matumizi ya mke na khumsi yake”.
-
Hukumu za Kisheria:
DiniJe, kuvaa nguo nyeusi katika siku za Fatimiyya ni makruh?
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu swali kuhusiana na hukumu ya kisheria ya kuvaa nguo nyeusi katika siku za Fatimiyya, (Siku ambazo watu wanaadhimisha kumbukizi ya kuuwawa kishahidi Bibi…
-
Hukmu za Kisheria:
DiniJe, damu inayobakia kwa mnyama baada ya kuchinjwa ni najisi?
Hawza/ Ayatullah Ali Khamenei amejibu istiftaa kuhusiana na hukmu ya damu inayobakia kwa mnyama baada ya kuchinjwa.
-
DiniHukumu za Kisheria | Kuegemea gari la mtu mwingine pasi na idhini
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu istiftaa kuhusiana na hukumu ya kisheria ya kuegemea gari la mtu mwingine pasi na idhini.
-
DiniHukumu za Kisheria | Kuwatazama wanawake wenye ulemavu wa akili wasiokuwa na hijabu ya kutosha
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu istiftaa kuhusiana na hukumu ya kuwatazama wanawake wenye ulemavu wa akili ambao hawana mavazi ya kutosha na kamili.
-
DiniMada ya Utafiti wa Kisheria | Je, kutawadha na kuoga janaba huku kukiwa na tatoo ni sahihi?
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu swali la kifiqhi lililoulizwa kuhusiana na hukumu ya kutawadha na kuoga janaba kwa mtu mwenye tatoo.
-
DiniHukumu za Kisheria | Wajibu wa Kisheria katika kukabiliana na mali isiyojulikana mmiliki
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Khamenei amejibu swali la kidini kuhusu hukumu ya kisheria na namna ya kuchukua hatua katika kukabiliana na mali isiyojulikana mwenyewe (مجهولالمالك).
-
DiniMtazamo wa Mar'aji‘ taql'id Kuhusiana na Sherehe ya mwezi Tisa Rabi‘u al-Awwal na Kutoheshimu wanavyo vitukuza Ahlus-Sunna
Hawzah/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu na Maraji‘ wakubwa wa taql'id, kupitia tamko na fatwa zao, wanazingatia kwamba; kutusi matakatifu ya madhehebu ya Kiislamu, ni kitendo haramu, chenye…
-
DiniHukmu za Kisheria | Kuungana na Imamu wa Swala ya Jamaa kupitia wanawake
Hawza / Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu istiftaa kuhusu hukmu ya kisheria ya namna ya kuungana na imamu wa swala ya jamaa kupitia wanawake
-
DiniHukumu za Kisharia | Kumfuata Imamu wa Jamaa Asiyefahamika Katika Mikusanyiko ya Umma
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu swali la kifiqhi kuhusiana na hukumu ya kisheria ya kumfuata Imamu wa jamaa asiyefahamika katika mikusanyiko ya umma.
-
DiniHukumu za Kisheria | Ndoa katika Miezi ya Muharram na Safar
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Khamenei amejibu istift'a kuhusiana na hukumu ya kisheria ya kufunga ndoa katika miezi ya Muharram na Safar.
-
DiniHukumu za Kisheria | Kupinga Matokeo ya Istikhara
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Sayyid Ali Husaini Sistani amejibu swali la istiftaa kuhusu kupinga matokeo ya istikhara na njia za kujiepusha na majuto baada ya kuifanya.
-
DiniHukumu za Kisheria | Kusikia Aya ya Sajda ya wajibu katika Swala
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Khamenei amejibu swali la kifiqhi kuhusu wajibu wa mwenyekuswali pindi anaposikia aya ya sajda ya wajib katika swala za faradhi na zile za sunnah.
-
Hukumu za kisheria:
DiniHukumu ya mvuke na kioevu kinachotokana na najisi ni ipi?
Hawza / Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu swali kuhusiana na hukumu ya mvuke wa najisi na kioevu kinachotokana na najisi hiyo.