Jumatano 9 Septemba 2026
  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Hukumu za Kisheria: Mazungumzo Kabla ya Ndoa na Faragha

    DiniHukumu za Kisheria: Mazungumzo Kabla ya Ndoa na Faragha

    Hawza/ Ayatullah Sayyid Ali Sistani amejibu swali la kisheria (istiftaa) kuhusu “mazungumzo kabla ya ndoa na faragha.”

    2026-09-03 18:13
  • Hukumu za Kisheria | Mapato yatokanayo na michezo ya kompyuta na PlayStation

    DiniHukumu za Kisheria | Mapato yatokanayo na michezo ya kompyuta na PlayStation

    Hawza/ Ayatollah Sayyid Ali Khamenei amejibu istiftaai kuhusu “kupata mapato kutokana na michezo ya kompyuta na PlayStation”.

    2026-05-12 21:30
  • Hukumu za Kisheria | Wajibu wa maamuma iwapo Imam atasoma vibaya Qur'an

    DiniHukumu za Kisheria | Wajibu wa maamuma iwapo Imam atasoma vibaya Qur'an

    Hawza/ Ayatullah Shahidi Sayyid Ali Khamenei amejibu istiftaai kuhusu “Wajibu wa maamuma iwapo Imam atasoma vibaya Qur'an”.

    2026-05-08 13:15
  • Mtazamo ya Ayatullah al-‘Udhma Makarim Shirazi kuhusu kwenda Hijja mwaka huu

    DiniMtazamo ya Ayatullah al-‘Udhma Makarim Shirazi kuhusu kwenda Hijja mwaka huu

    Hawza/ Mtukufu Ayatullah Makarim Shirazi alijibu swali la kifiqhi (istifta) kuhusu kufika katika Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu (Baytullah al-Haram) na safari ya Hijja kwa kuzingatia hali za…

    2026-04-25 16:30
  • Hukumu za Ramadhani | Kuendelea nia ni sharti muhimu la kusihi funga

    DiniHukumu za Ramadhani | Kuendelea nia ni sharti muhimu la kusihi funga

    Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Muhammad Taqi Muhammadi, miongoni mwa wataalamu wa hukumu za kisheria, alijibu maswali kuhusu “kuendelea nia”.

    2026-02-23 14:40
  • Je! Ukisahau nia ya kufunga, funga yako itakuwa sahihi?

    Hukumu za Kisheria

    DiniJe! Ukisahau nia ya kufunga, funga yako itakuwa sahihi?

    Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amejibu istifta (swali la kisheria) kuhusiana na mwenye “kusahau nia ya kufunga.”

    2026-02-19 17:24
  • Ufafanuzi wa ziada kutoka katika Ofisi ya Ayatollah al-Udhma Ja'far Subhani kuhusu hukumu ya kuendesha Pikipiki kwa wanawake

    DiniUfafanuzi wa ziada kutoka katika Ofisi ya Ayatollah al-Udhma Ja'far Subhani kuhusu hukumu ya kuendesha Pikipiki kwa wanawake

    Hawza/ Kufuatia kuchapishwa kwa istiftaa (swali la kifiqhi) kutoka kwa Mtukufu Ayatollah al-Udhma Ja‘far Subhani kuhusu uendeshaji wa baiskeli na pikipiki kwa wanawake, ofisi ya Marjaa huyo imetoa…

    2026-02-14 21:30
  • Hukumu za kisheria | Kiwango cha kawaida cha matumizi ya mke (nafaqah)

    DiniHukumu za kisheria | Kiwango cha kawaida cha matumizi ya mke (nafaqah)

    Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amejibu istiftaa (swali la kifiqhi) kuhusu “kiasi cha matumizi ya mke na khumsi yake”.

    2026-02-07 12:00
  • Je, kuvaa nguo nyeusi katika siku za Fatimiyya ni makruh?

    Hukumu za Kisheria:

    DiniJe, kuvaa nguo nyeusi katika siku za Fatimiyya ni makruh?

    Hawza/ Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu swali kuhusiana na hukumu ya kisheria ya kuvaa nguo nyeusi katika siku za Fatimiyya, (Siku ambazo watu wanaadhimisha kumbukizi ya kuuwawa kishahidi Bibi…

    2025-11-23 23:20
  • Je, damu inayobakia kwa mnyama baada ya kuchinjwa ni najisi?

    Hukmu za Kisheria:

    DiniJe, damu inayobakia kwa mnyama baada ya kuchinjwa ni najisi?

    Hawza/ Ayatullah Ali Khamenei amejibu istiftaa kuhusiana na hukmu ya damu inayobakia kwa mnyama baada ya kuchinjwa.

    2025-11-07 10:38
  • Hukumu za Kisheria | Kuegemea gari la mtu mwingine pasi na idhini

    DiniHukumu za Kisheria | Kuegemea gari la mtu mwingine pasi na idhini

    Hawza/ Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu istiftaa kuhusiana na hukumu ya kisheria ya kuegemea gari la mtu mwingine pasi na idhini.

    2025-09-18 18:13
  • Hukumu za Kisheria | Kuwatazama wanawake wenye ulemavu wa akili wasiokuwa na hijabu ya kutosha

    DiniHukumu za Kisheria | Kuwatazama wanawake wenye ulemavu wa akili wasiokuwa na hijabu ya kutosha

    Hawza/ Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu istiftaa kuhusiana na hukumu ya kuwatazama wanawake wenye ulemavu wa akili ambao hawana mavazi ya kutosha na kamili.

    2025-09-15 00:16

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan
  • Italiano
  • Hausa
  • indonesia
  • 中文

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom