Alhamisi 8 Januari 2026
  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
    • Hadithi
    • Kitabu na Makala
    • Sheria za Kiislamu
    • Maswali na Majibu
    • Maadili ya Kiislamu
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi
filterHabari za leo
  • Katibu Mkuu wa Kamati ya Haki Binafsi za Mashia wa India alaani vikali propaganda za vyombo vya habari vya Kizayuni dhidi ya Iran na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu

    DuniaKatibu Mkuu wa Kamati ya Haki Binafsi za Mashia wa India alaani vikali propaganda za vyombo vya habari vya Kizayuni dhidi ya Iran na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Hawza/ Yasub Abbas, katika tamko lake, huku kulaani vikali uvumi na kauli za matusi za baadhi ya vyombo vya habari vya kielektroniki na vya kuchapishwa dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya…

    2026-01-07 22:30
  • Matusi ya chombo cha habari cha Kizayuni dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ni shambulio dhidi ya muqawama na mwamko wa Kiislamu

    Spika wa Bunge la Umoja wa Waislamu wa Pakistan:

    DuniaMatusi ya chombo cha habari cha Kizayuni dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ni shambulio dhidi ya muqawama na mwamko wa Kiislamu

    Hawza/ Seneta Raja Nasir Abbas Jaafari, Spika wa Bunge la Umoja wa Waislamu wa Pakistan, katika ujumbe wake huku akilaani habari za uongo za mwandishi mmoja wa Kizayuni, alisisitiza kuwa; baadhi…

    2026-01-07 21:30
  • Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Amal: Jeshi, taifa na muqawama bado ni nguzo muhimu na ya lazima

    DuniaKiongozi mwandamizi wa Harakati ya Amal: Jeshi, taifa na muqawama bado ni nguzo muhimu na ya lazima

    Hawza/ Khalil Hamdan alisisitiza kuwa eneo hili lipo juu ya moto; mahali ambapo misiba na changamoto zinaonekana kila upande—kuanzia Sudan hadi Yemen kuna migogoro ya ndani, na kuanzia Ghaza…

    2026-01-07 21:00
  • Najaf na Karbala zaandaa kongamano la urithi wa “Sayyid Mujahid”/ uzinduzi wa ensaiklopidia mbili

    DuniaNajaf na Karbala zaandaa kongamano la urithi wa “Sayyid Mujahid”/ uzinduzi wa ensaiklopidia mbili

    Hawza/ Kongamano la kimataifa la kielimu lenye anuani “Sayyid Mujahid na urithi wake wa kielimu” linafanyika kwa mwenyeji wa miji ya Najaf na Karbala, sambamba na uzinduzi wa ensaiklopidia mbili.

    2026-01-07 20:33

Ufikaji wa haraka

  • Nyumbani
  • Habari zote
  • Hawza
  • Dunia
  • Dini
  • Picha
  • Video
  • Kuhusu sisi

Chagua lugha

  • Kiswahili
  • فارسی
  • English
  • العربیة
  • اردو
  • Français
  • हिन्दी
  • বাংলা
  • Türkçe
  • Русский
  • Español
  • Azərbaycan

Mitandao ya kijamii

Haki zote za tovuti hii zimehifadhiwa kwa ajili ya shirika la habari la Hawza.

Kueneza yaliyomo katika shirika la habari la Hawza kwenye mashirika ya habari mengine inafaa pasi na kipingamizi.

sw.hawzahnews.com. All rights reserved

Nastooh Saba Newsroom