kudhihiri imam (19)
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 36
DiniKuuongoza umma katika Kipindi cha Ghayba Kubra (kubwa)
Hawza/ Baada ya ghaiba ya Imam wa kumi na mbili (as), ni nani mwenye dhamana ya uongozi na uimamu juu ya umma? Je, mtu mmoja au watu fulani wana mamlaka juu ya umma? Ikiwa kuna mamlaka, mipaka…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 35
DiniNamna ya Ghaiba ya Imam Mahdi (as)
Hawzah/ Je, ghaiba ya Bwana wa Amri as iko vipi? Je, mwili wake mtukufu umefichika machoni mwa watu? Au kwamba mwili wake huonekana lakini hakuna anayemjua?
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 34
DiniUwezekano wa kufuzu kuonana na kuhudhuria mbele ya Imam wa zama (aj)
Hawza/ Kufuzu baadhi ya watu kuweza kuonana na Imam huyo mtukufu ni jambo lililothibiti, na uwongo na batili ya madai ya wale wanaodai uwakala na uwakilishi maalumu baina ya Imam huyo na watu…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 31
DiniHadhi na Vyeo vya Imamu Mahdi (aj) katika Dua
Hawzah/ Kuzingatia vyeo na nafasi za Imamu wa zama (aj) katika ulimwengu kunaweza kuwa sababu ya kumkaribisha zaidi mja kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu.
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 28
DiniWadai uongo wa Mahdawiyya
Hawza / Kila Mshia mwenye ufahamu anawajibika kuwakadhibisha wale wanaodai kuwa na uhusiano au uwakilishi maalum (niyaba maaluma) na Imamu, na kufunga njia ya kupenyeza na kujinufaisha kwa watu…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 27
DiniKurudi kwa Mitume, Maimamu na Waumini wa kweli
Hawza/ Kwa mujibu wa hadithi, Mitume, Maimamu watoharifu (as), na waumini wa kweli – katika zama za "raj‘a" – watarudi tena duniani.
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 26
DiniBaadhi ya Sifa za Kurejea Duniani (raj'a)
Hawza/ Kwa waumini wote na wanaosubiri kwa dhati kudhihiri kwa Imam Mahdi (as), ambao wamefariki kabla ya kudhihiri kwake, kuna uwezekano wa kurudi duniani na kumsaidia Imam huyo.
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 24
DiniRaj‘a: Moja ya Imani Thabiti za Kishia
Hawza/ Ingawa mahali halisi pa malipo na adhabu za wanadamu ni ulimwengu wa Akhera, lakini Mwenyezi Mungu ameazimia kutekeleza sehemu ya malipo na adhabu hizo hapa hapa duniani.
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 23
DiniKukubalika na umma Imam Mahdi (a.s.) pamoja na Serikali yake
Hawza/ Miongoni mwa sifa za msingi za serikali ya Imam Mahdi (a.s.) ni kuwa serikali hiyo itakubalika na watu wote na jamii zote za kibinadamu. Si tu watu wote wa ardhini, bali hata wakaazi wa…
-
Kuielekea Jamii ya Bora: (Mfululizo wa utafiti Kuhusiana na Imam Mahdi (a.s.)) - 22
DiniMwenendo wa Kiserikali wa Imam Mahdi (as)
Hawza/ Mwenendo wa Imam Mahdi (as) ni ule ule wa Mtume Muhammad (saw), na jinsi ambavyo Mtume (saw) katika zama zake alipambana na ujahili kwa kila sura yake, na akausimamisha Uislamu Safi –…
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 20
DiniMuda wa kuutawala ulimwengu Imam Mahdi (a.s)
Hawza/ Mfumo wa haki na uadilifu ambao Imam Mahdi (a.s) atauanzisha utakuwa ni serikali ambayo baada yake hakutakuwa na serikali nyingine yoyote. Kwa hakika, historia mpya ya maisha ya mwanadamu…
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 19
DiniMafanikio ya Dola ya Imam Mahdi (a.s)
Hawza | Mafanikio ya serikali ya Imam Mahdi (a.s) ni ya kuvutia sana na yenye umuhimu mkubwa. Kwa kifupi, tunaweza kusema kuwa mafanikio haya yatakidhi mahitaji yote ya kiroho na kimwili ya mwanadamu…
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 18
DiniMalengo ya Dola ya Imamu Mahdi (as)
Hawza/ Mwanadamu ameumbwa kutokana na vipengele viwili: mwili na roho, na mahitaji yake pia yamegawanyika katika sehemu mbili: ya kimada na ya kiroho. Kwa hivyo, ili afikie ukamilifu, ni lazima…
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 17
DiniSiri ya kutokuwa bayana wakati wa kudhihiri Imamu wa Zama (as)
Hawza | Bila shaka yoyote, subira yenye tija ambayo ni miongoni mwa sababu kuu za harakati na uhai inajitokeza tu katika kivuli cha kufichika wakati wa kudhihiri Imam (as).
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 16
DiniKubainisha Wakati kwa ajili ya Kudhihiri
Hawza/ Daima wamekuwepo watu walioainisha wakati wa kudhihiri kwa kutumia nia za kishetani, na watu wa aina hiyo wataendelea kuwepo hata katika siku zijazo. Hivyo basi, viongozi maasumu (as)…
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 15
DiniAlama za Kudhihiri Imamu Mahdi (A.S.)
Hawza/ Kwa kuwa alama na ishara za kudhihiri Imamu Mahdi (a.s.) ni bishara ya faraja ya Mahdi ahli wa Mtume Muhammad (s.a.w), kutokea kwa kila mojawapo kati ya alama hizo huifanya nuru ya matumaini…
-
"Kuielekea Jamii iliyo Bora": (Mfululizo wa utafiti kuhusiana na Imaam Mahdi (a.s)) - 14
DiniMasharti na Mazingira ya Kudhihiri kwa Imam Mahdi (as)
Hawzah/ Kila tukio katika ulimwengu huu linatokea pale masharti na mazingira yake yanapotimia, na bila kutimia kwa mazingira hayo, hakuna kitu chochote kinachoweza kuwepo.
-
Kuelekea Jamii Bora (mfululizo wa utafiti kuhusu Imam Mahdi - amani iwe juu yake) - 2
DiniUdharura wa kuwepo kwa Imam ni upi?
Mashia wanaamini kuwa njia ya uongofu kwa waja wa Mwenyezi Mungu baada ya mitume wa Mwenyezi Mungu, na hasa Mtume Muhammad - rehma za Mungu ziwe juu yao wote - inaendelea kupitia “uimamu wa Maimamu…