imam khamenei (83)
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi katika Ujumbe wake kwa ajili ya Mkutano wa 32 wa Kitaifa unaohusiana na Swala:
DuniaZitumike mbinu za kisasa na vitu vyenye ushawishi katika kufundisha na kueneza swala
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi, katika ujumbe wake kwenye Mkutano wa 32 wa Kitaifa unaohusiana na Swala, amesisitiza kuwa taasisi zinazoeneza dini, viongozi wa dini, na waumini wote, wanapaswa…
-
DuniaUjumbe wa rambirambi wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi Iran, kwa Ayatollah al-Uzma Sistani
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Khamenei katika ujumbe wake ametoa rambirambi kufuatia kufariki kwa mke mtukufu wa Ayatollah Sistani.
-
DiniHukumu za Kisheria | Je, kuingia kwenye shamba la mtu mwingine bpasi na idhini ya mmiliki kunajuzu?
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu istiftaa kuhusiana na mada ya “Kuingia kwenye shamba la mtu mwingine bila idhini ya mmiliki.”
-
Kiongozi wa Mapinduzi Irani:
DuniaMazungumzo na Marekani hayana faida yeyote kwa Taifa la Irani
Hawza/ Kutokana na mnasaba wa tarehe 1 Mehr na kuanza kwa mwaka wa masomo, Kiongozi wa Taifa la Irani amelihutubia taifa hilo hutuba ambayo ililenga vipengele vitatu muhimu zaidi.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran atoa pengezi kutokana na Ubingwa wa Dunia wa Timu ya Taifa ya Mieleka ya Farangi:
DuniaMmelifurahisha Taifa na Kuiinua Heshima ya Nchi
Hawzah/ Mtukufu Ayatullah Khamenei, katika ujumbe wake wa pongezi kwa Timu ya Taifa ya Mieleka ya Farangi kutokana na ushindi wao wa ubingwa wa dunia, aliwashukuru wanamichezo, makocha na viongozi…
-
DiniHukumu za Kisheria | Kuegemea gari la mtu mwingine pasi na idhini
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu istiftaa kuhusiana na hukumu ya kisheria ya kuegemea gari la mtu mwingine pasi na idhini.
-
DuniaUjumbe kutokana na mnasaba wa kupata ubingwa timu ya taifa ya mieleka ya Iran katika mashindano ya dunia
Hawza/ Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Iarani, ametuma ujumbe maalumu ukiilenga timu ya taifa ya Mieleka ya Irani baada ya kubeba ubigwa wa duni.
-
DiniHukumu za Kisheria | Kuwatazama wanawake wenye ulemavu wa akili wasiokuwa na hijabu ya kutosha
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu istiftaa kuhusiana na hukumu ya kuwatazama wanawake wenye ulemavu wa akili ambao hawana mavazi ya kutosha na kamili.
-
DuniaMatembezi ya kuadhimisha kuzaliwa Mtume (s.a.w.w) huko Jammu na Kashmir: yamebeba taswira ya mshikamano na umoja wa Waislamu
Hawza / Matembezi ya kuadhimisha kuzaliwa kwa Mtume wa rehema (s.a.w.w) yamefanyika Jammu na Kashmir huku kukiwa na ushiriki mkubwa wa wafuasi wa madhehebu mbalimbali, ambapo yalibeba ujumbe…
-
Kiongozi wa Mapinduzi Irani:
DuniaUtawala wa kizayuni ni Utawala uliotengwa na unaochukiwa na watu ulimwenguni
Hawza/ Kiongozi mkuu wa Mapinduzi alibainisha kwamba, Utawala wa Wazayuni ni Utawala ambao umetengwa katika hii duni na asilimia kubwa ya watu wanauchukia.
-
DiniMada ya Utafiti wa Kisheria | Je, kutawadha na kuoga janaba huku kukiwa na tatoo ni sahihi?
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu swali la kifiqhi lililoulizwa kuhusiana na hukumu ya kutawadha na kuoga janaba kwa mtu mwenye tatoo.
-
DuniaSentensi ambayo Ahlus-Sunna nchini India wameiandika kuhusiana na Ayatullah al-Udhma Khamenei
Hawza/ Ahlus-Sunna wa mji wa Lucknow nchini India katika siku ya 12 Rabiul-Awwal, kwa kuweka picha za Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, walionesha ujumbe unaolenga umoja wa Waislamu ulimwenguni.
-
DiniHukumu za Kisheria | Wajibu wa Kisheria katika kukabiliana na mali isiyojulikana mmiliki
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Khamenei amejibu swali la kidini kuhusu hukumu ya kisheria na namna ya kuchukua hatua katika kukabiliana na mali isiyojulikana mwenyewe (مجهولالمالك).
-
DiniMtazamo wa Mar'aji‘ taql'id Kuhusiana na Sherehe ya mwezi Tisa Rabi‘u al-Awwal na Kutoheshimu wanavyo vitukuza Ahlus-Sunna
Hawzah/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu na Maraji‘ wakubwa wa taql'id, kupitia tamko na fatwa zao, wanazingatia kwamba; kutusi matakatifu ya madhehebu ya Kiislamu, ni kitendo haramu, chenye…
-
Rais wa Chuo Kikuu cha Lahore – Pakistan:
DuniaMtazamo wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, ndio mfumo bora zaidi wa kusongesha mbele umoja katika ulimwengu wa Kiislamu
Hawzah/ Zaidi alisema: Ayatullahul-Udhma Khamenei, mara kwa mara wamesisitiza kwamba kutukana vitakatifu vya madhehebu ya Kiislamu ni haramu, na mtazamo huu ndio mfumo bora zaidi wa kusongesha…
-
DuniaUmoja wa Waafrika Qum Irani, wakutana na Mwakilishi wa Kwanza wa Kiongozi wa Mapinduzi katika Bara la Afrika
Hawza/ Raisi wa Umoja wa Waafrika waliopo Qum nchini Irani, leo hii siku Alkhamisi akiongozana na ujumbe wake maalumu, wamekutana na Hujatul Islam sheikh Mahdawi Puur, Mwakilishi wa kwanza wa…
-
Kiongozi wa Mapinduzi:
DuniaNgao ya chuma ya umoja wa wananchi, viongozi na vikosi vya ulinzi isidhurike / Taifa la Iran linasimama imara mbele ya madai ya Marekani
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu leo asubuhi katika hafla ya maombolezo ya kumbukumbu ya Shahada ya Imam Ridha (a.s) akiwa pamoja na makundi mbalimbali ya wananchi, alisisitiza kuwa:…
-
DiniHukmu za Kisheria | Kuungana na Imamu wa Swala ya Jamaa kupitia wanawake
Hawza / Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu istiftaa kuhusu hukmu ya kisheria ya namna ya kuungana na imamu wa swala ya jamaa kupitia wanawake
-
DiniHukumu za Kisheria | Ndoa katika Miezi ya Muharram na Safar
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Khamenei amejibu istift'a kuhusiana na hukumu ya kisheria ya kufunga ndoa katika miezi ya Muharram na Safar.
-
DuniaKhatibu wa Swala ya Ijumaa India: Kumtukana Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ni kuutukana Umma wote wa Kiislamu/ Vyombo vya habari vya India viwaombe msamaha Waislamu
Hawza/ Hujjat al-Islam Sayyid Naqi Mahdi Zaidi, katika khutba ya Swala ya Ijumaa, huku akielezea nafasi ya kipekee na yenye ushawishi ya Ayatollah al-Udhma Sayyid Ali Khamenei (Mola amuhifadhi),…
-
DuniaRais wa Jumuiya ya Kisheria ya Waislamu wa Kishia wa Jammu na Kashmir amelaani vikali kitendo cha kudhalilisha kilichofanywa na chombo cha habari cha Kihindi dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Hassan Mousavi, kupitia tamko rasmi, amelaani vikali taarifa ya udhalilishaji na uchochezi iliyotolewa na kituo cha televisheni cha “India TV” dhidi…
-
Kiongozi wa Mapinduzi katika hafla ya kumbukumbu ya mashahidi wa vita vya kulazimishwa vya hivi karibuni:
DuniaJamhuri ya Kiislamu imeuonyesha ulimwengu uimara usio na kifani wa misingi ya mfumo na nchi
Hawza/ Kwa mnasaba wa siku ya arobaini ya mashahidi wa vita vya kulazimishwa vya siku 12 vya utawala wa Kizayuni dhidi ya taifa la Iran, leo hii hafla ya kumbukumbu ya mashahidi hao imeandaliwa…
-
DuniaLebeika; Hawza na Wanazuoni tunaitikia Amri ya Kiongozi wa Waislamu / Tupo tayari kutekeleza wadhifa kwa kuzitoa nafsi zetu
Hawza/ Wanazuoni na wanafunzi wa Hawza wenye ghera (wivu) na dini na mapinduzi, sambamba na kufanya upya kiapo na ahadi yao kwa Kiongozi wa Waislamu wa ulimwengu, wameupa thamani utekelezaji…
-
Ofisi ya Ayatollah Al-Udhma Sistani:
DuniaJumapili ni Siku ya Kwanza ya Mwezi wa Safar 1447
Hawza/ Ofisi ya Ayatollah Al-Udhma Sistani huko Najaf Ashraf imetangaza kwamba Jumapili tarehe 5 Mordad, itakuwa ndio siku ya kwanza ya mwezi wa Safar mwaka 1447 Hijria Qamaria.
-
DuniaUjumbe wa Kiongozi wa Mpinduzi kwa mnasaba wa maadhimisho ya siku ya kupata shahada kundi miongoni mwa wananchi wa Irani, makamanda wa kijeshi na wanasayansi wa nyuklia
Hawza/ Kwa mnasaba wa siku ya arubaini tangia kupata shahada kundi la wananchi, makamanda wa jeshi waliobobea na wanasayansi mashuhuri wa nyuklia wa nchi hii kwa mikono ya utawala muovu na mhalifu…
-
DiniHukumu za Kisheria | Kusikia Aya ya Sajda ya wajibu katika Swala
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Khamenei amejibu swali la kifiqhi kuhusu wajibu wa mwenyekuswali pindi anaposikia aya ya sajda ya wajib katika swala za faradhi na zile za sunnah.
-
Hukumu za kisheria:
DiniHukumu ya mvuke na kioevu kinachotokana na najisi ni ipi?
Hawza / Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu swali kuhusiana na hukumu ya mvuke wa najisi na kioevu kinachotokana na najisi hiyo.
-
Ayatollah Mohsen Araki amesema:
HawzaAina yoyote ya hujuma dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ni sawa na kuyaangamiza maslahi ya Marekani na washirika wake duniani kote
Hawza/ Mjumbe wa Bodi ya Uongozi ya Baraza la Wataalamu wa Uongozi (Majlisi ya Khobregān-e Rahbari) amesema: Aina yoyote ya hujuma dhidi ya nafsi takatifu ya Kiongozi wa Mapinduzi itaondoa kabisa…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran:
DuniaMarafiki na maadui wafahamu kwamba, taifa la Iran halito shiriki kwenye uwanja wowote huku likiwa liaonesha upande dhaifu / Shingo ya mhalifu haipaswi kuachwa
Hawza/ Kiongozi wa Mapinduzi amesisitiza kwamba, marafiki na maadui wote wafahamu kuwa taifa la Iran halito shiriki kwenye uwanja huku likiwa liaonesha upande dhaifu, kisha akaongeza kwa kusema:…
-
Raisi wa Baraza la Maulamaa wa Imamiyya Bangladesh:
DuniaNjama za kijinga za Uzayuni wa Kimataifa ni dalili ya udhaifu na kukata tamaa kwao
Hawza/ Raisi wa Baraza la Maulamaa wa Imamiyya Bangladesh amesema: Njama za kijinga za Uzayuni wa kimataifa si tu ni ishara ya udhaifu na kukata tamaa, bali pia ni dalili ya athari ya kina ya…