imam khamenei (66)
-
DiniHukmu za Kisheria | Kuungana na Imamu wa Swala ya Jamaa kupitia wanawake
Hawza / Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu istiftaa kuhusu hukmu ya kisheria ya namna ya kuungana na imamu wa swala ya jamaa kupitia wanawake
-
DiniHukumu za Kisheria | Ndoa katika Miezi ya Muharram na Safar
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Khamenei amejibu istift'a kuhusiana na hukumu ya kisheria ya kufunga ndoa katika miezi ya Muharram na Safar.
-
DuniaKhatibu wa Swala ya Ijumaa India: Kumtukana Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ni kuutukana Umma wote wa Kiislamu/ Vyombo vya habari vya India viwaombe msamaha Waislamu
Hawza/ Hujjat al-Islam Sayyid Naqi Mahdi Zaidi, katika khutba ya Swala ya Ijumaa, huku akielezea nafasi ya kipekee na yenye ushawishi ya Ayatollah al-Udhma Sayyid Ali Khamenei (Mola amuhifadhi),…
-
DuniaRais wa Jumuiya ya Kisheria ya Waislamu wa Kishia wa Jammu na Kashmir amelaani vikali kitendo cha kudhalilisha kilichofanywa na chombo cha habari cha Kihindi dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Hawzah/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Hassan Mousavi, kupitia tamko rasmi, amelaani vikali taarifa ya udhalilishaji na uchochezi iliyotolewa na kituo cha televisheni cha “India TV” dhidi…
-
Kiongozi wa Mapinduzi katika hafla ya kumbukumbu ya mashahidi wa vita vya kulazimishwa vya hivi karibuni:
DuniaJamhuri ya Kiislamu imeuonyesha ulimwengu uimara usio na kifani wa misingi ya mfumo na nchi
Hawza/ Kwa mnasaba wa siku ya arobaini ya mashahidi wa vita vya kulazimishwa vya siku 12 vya utawala wa Kizayuni dhidi ya taifa la Iran, leo hii hafla ya kumbukumbu ya mashahidi hao imeandaliwa…
-
DuniaLebeika; Hawza na Wanazuoni tunaitikia Amri ya Kiongozi wa Waislamu / Tupo tayari kutekeleza wadhifa kwa kuzitoa nafsi zetu
Hawza/ Wanazuoni na wanafunzi wa Hawza wenye ghera (wivu) na dini na mapinduzi, sambamba na kufanya upya kiapo na ahadi yao kwa Kiongozi wa Waislamu wa ulimwengu, wameupa thamani utekelezaji…
-
Ofisi ya Ayatollah Al-Udhma Sistani:
DuniaJumapili ni Siku ya Kwanza ya Mwezi wa Safar 1447
Hawza/ Ofisi ya Ayatollah Al-Udhma Sistani huko Najaf Ashraf imetangaza kwamba Jumapili tarehe 5 Mordad, itakuwa ndio siku ya kwanza ya mwezi wa Safar mwaka 1447 Hijria Qamaria.
-
DuniaUjumbe wa Kiongozi wa Mpinduzi kwa mnasaba wa maadhimisho ya siku ya kupata shahada kundi miongoni mwa wananchi wa Irani, makamanda wa kijeshi na wanasayansi wa nyuklia
Hawza/ Kwa mnasaba wa siku ya arubaini tangia kupata shahada kundi la wananchi, makamanda wa jeshi waliobobea na wanasayansi mashuhuri wa nyuklia wa nchi hii kwa mikono ya utawala muovu na mhalifu…
-
DiniHukumu za Kisheria | Kusikia Aya ya Sajda ya wajibu katika Swala
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Khamenei amejibu swali la kifiqhi kuhusu wajibu wa mwenyekuswali pindi anaposikia aya ya sajda ya wajib katika swala za faradhi na zile za sunnah.
-
Hukumu za kisheria:
DiniHukumu ya mvuke na kioevu kinachotokana na najisi ni ipi?
Hawza / Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu swali kuhusiana na hukumu ya mvuke wa najisi na kioevu kinachotokana na najisi hiyo.
-
Ayatollah Mohsen Araki amesema:
HawzaAina yoyote ya hujuma dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ni sawa na kuyaangamiza maslahi ya Marekani na washirika wake duniani kote
Hawza/ Mjumbe wa Bodi ya Uongozi ya Baraza la Wataalamu wa Uongozi (Majlisi ya Khobregān-e Rahbari) amesema: Aina yoyote ya hujuma dhidi ya nafsi takatifu ya Kiongozi wa Mapinduzi itaondoa kabisa…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran:
DuniaMarafiki na maadui wafahamu kwamba, taifa la Iran halito shiriki kwenye uwanja wowote huku likiwa liaonesha upande dhaifu / Shingo ya mhalifu haipaswi kuachwa
Hawza/ Kiongozi wa Mapinduzi amesisitiza kwamba, marafiki na maadui wote wafahamu kuwa taifa la Iran halito shiriki kwenye uwanja huku likiwa liaonesha upande dhaifu, kisha akaongeza kwa kusema:…
-
Raisi wa Baraza la Maulamaa wa Imamiyya Bangladesh:
DuniaNjama za kijinga za Uzayuni wa Kimataifa ni dalili ya udhaifu na kukata tamaa kwao
Hawza/ Raisi wa Baraza la Maulamaa wa Imamiyya Bangladesh amesema: Njama za kijinga za Uzayuni wa kimataifa si tu ni ishara ya udhaifu na kukata tamaa, bali pia ni dalili ya athari ya kina ya…
-
Maulamaa wakubwa na mamufti wa nchi za kiislamu watoa wito:
DuniaMahakama ya kimataifa iwahukumu Trump na Netanyahu kama wanaoupiga vita uislamu na waharibifu duniani / Mwamko wa kumuunga mkono kiongozi Ayatollah al-udhma Imam Khamenei
Hawzah/ Maulamaa wakubwa, mumuft, wanazuoni na viongozi wa nchi za Kiislamu, huku wakitegemea aya za wazi za Qur’ani Tukufu, Sunna za Mtume Mtukufu (saw), misingi thabiti ya fiqhi ya Kiislamu…
-
DuniaWaislamu wa Georgia wakiwa wamebeba picha za Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi, wametangaza mshikamano wao na Taifa la Iran
Hawza/ Imamu wa jamaa wa Msikiti wa Imam Ali (as) wa Marneuli, katika maandamano ya siku ya Tasu'a na Ashur'a ya Husein (as) ya Waislamu wa Kishia wa Georgia alisisitiza kuwa: Waislamu wa nchi…
-
DuniaRaisi wa Muungano wa Umoja wa India: Imam Khamenei si kiongozi wa Iran pekee, bali ni kiongozi wa Waislamu wote duniani
Hawza/ Salman Nadwi amesema: Imam Khamenei si Kiongozi Mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran pekee, bali ulimwengu mzima wa Kiislamu na mataifa yote ya Kiislamu yameamua kwamba yeye ni kiongozi…
-
HawzaTaarifa ya Walimu 102 wa Masomo ya wazi na Masomo ya Kiwango cha Juu wa Hawza ya Qom, kwa ajili ya kumuunga mkono Imam Khamenei
Hawza/ Kundi la walimu wa masomo ya wazi na ngazi za juu katika Hawza ya Qom wametangaza kwamba: Kwa kufuata na kuiga Marjaa wakubwa wa Taqlid na walimu wetu mashuhuri, tunatangaza kuwa tutalijibu…
-
DuniaHafla ya maombolezo ya usiku wa Ashura ya Husseini (as) katika Husainia ya Imam Khomeini huku ikihudhuriwa na Kiongozi wa Mapinduzi
Hawza/ Wakati huo huo na usiku wa Ashura ya Husseini (as), hafla ya maombolezo ilifanyika katika Huseinia ya Imam Khomeini (ra) huku ikihudhuriwa na Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Mtukufu…
-
DuniaMsimamizi wa Masuala ya Kimataifa wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan: Kutetea Marjaa ni Wajibu wa Kidini na wa Kila Mtu
Hawza/ Hujjatul-Islam Shafqat Hussein Shirazi, katika kujibu matamshi ya matusi ya Rais wa Marekani dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Mtukufu Ayatollah al-Udhma Khamenei (Mola…
-
Ayatollah Sheikh Issa Q'asim:
DuniaKutishwa Ayatollah Khamenei ni sawa na kuudhalilisha Umma mzima wa Kiislamu
Hawza/ Kiongozi wa Waislamu wa Kishia nchini Bahrain amelaani vikali matusi na vitisho vya "Donald Trump", Rais wa Marekani, dhidi ya Ayatollah al-‘Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi…
-
VideoVideo / Utetezi wa kishujaa wa Seneta wa Pakistan kwa Ayatollah al-Udhma Khamenei
Hawza / Kauli za Hujjatul-Islam wal-Muslimin Raja Nasir Jafari, Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan.
-
Mwenyekiti wa Baraza la Maulamaa wa Kishia wa Pakistan:
DuniaLugha ya matusi ya mabeberu dhidi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu italeta majibu makali
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika taarifa aliyoitoa, amelaani vikali matamshi ya matusi ya Rais wa Marekani kumhusu Ayatollah Khamenei, alisisitiza nafasi adhimu…
-
DuniaMaulamaa wa Uturuki watangaza kumuunga Mkono Ayatollah al-Udhma Khamenei
Hawza/ Maulamaa wa Ahlul Bayt wa Uturuki wametangaza kwa kusema: Sisi Waislamu wenye ghera na waumini duniani, kamwe hatutakaa kimya mbele ya vitisho na dharau za Rais wa Marekani na utawala…
-
Jumuiya ya Ahladar ya Uturuki:
DuniaMapambano ya Ayatollah al-Udhma Khamenei dhidi ya ukafiri ni ulinzi kwa Waislamu wote duniani
Hawza / Jumuiya ya Ahladar nchini Uturuki imetangaza kuwa: Mapambano haya ambayo Kiongozi wetu mpendwa, Ayatollah Khamenei, ameanzisha kwa kaulimbiu “Mhimizo wa muqawama unapendelea kufa kishujaa…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu:
DuniaUtawala wa Kizayuni umeporomoka chini ya mapigo ya Jamhuri ya Kiislamu na kusagwasagwa / Hongera kwa taifa tukufu la Iran na vikosi vya kijeshi
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: Utawala wa Kizayuni, pamoja na makelele yote na madai yote, umeporomoka kabisa chini ya mapigo ya Jamhuri ya Kiislamu na umesagwasagwa.
-
Imamu wa Ijumaa wa Georgia:
DuniaWatu wa Iran ni alama ya nguvu na heshima ya ulimwengu wa Kiislamu
Hawza/ Hujjatul-Islam Haj Rahid Karim, Imamu wa Ijumaa wa Msikiti wa Ahlul Bayt katika eneo la Soghanliq, mji wa Tbilisi, alisema: Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi anasema: "Sisi ni wenye kudhulumiwa,…
-
Imamu wa Ijumaa Baghdad:
DuniaWaislamu wote wanapaswa kuwa pamoja na Imam Khamenei
Hawza/ Ayatollah Sayyed Yasin Mousavi, Imam wa Ijumaa Baghdad, ametoa taarifa kali baada ya kauli ya kukera ya Trump mwenye kutenda jinai.
-
DuniaWanafunzi na Wanazuoni wa Jamhuri ya Azerbaijan Wamekanusha wazi wazi Vitisho vilivyo tolewa Dhidi ya Imam Khamenei
Hawza/ Wanafunzi wa Azerbaijan walio katika hawza ya Qom, wameikanusha kwa nguvu zote mashambulizi ya hivi karibuni ya serikali ya ghasbu ya Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, pamoja…
-
DuniaTaarifa ya Baraza la Maulamaa wa Kishia wa Afghanistan kuhusu kuiunga mkono Iran
Hawza / Baraza la Maulamaa wa Kishia wa Afghanistan limetangaza kuwa: Kutoa vitisho dhidi ya kiongozi wa kidini na kiroho wa dini na taifa fulani ni kinyume na mila zote za kimataifa na sheria…
-
HawzaHimaya Thabiti kutoka katika Kundi la Maulamaa, Wataalamu, na Walimu wa hawza ya Qum, kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Hawza/ Maulamaa, wataalamu na walimu arobaini wa hawza ya Qum, wakilaani mashambulizi ya kikatili yaliyofanywa na utawala dhalimu wa Kizayuni na kuonyesha uungaji mkono wa dhati kwa Kiongozi…