imam khamenei (18)
-
DuniaKiongozi Mkuu wa Mapinduzi: Kusimama Imara Mbele ya Madhalimu Ndio Sababu ya Uadui Wao Dhidi Yetu
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: Tatizo kuu la mabeberu wa Magharibi ni kuwa Jamhuri ya Kiislamu inakataa utamaduni wao batili.
-
Hukumu za Kisheria:
HawzaKujibu matusi
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi alijibu swali la kifiqhi kuhusiana na"kuwajibu wanaotoa matusi".
-
HawzaJe! Kwa nini Kiongozi wa Mapinduzi aliunganisha Hawza na Historia?
Kiongozi wa Mapinduzi katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa kutimia miaka mia moja tangu kuanzishwa upya kwa Hawza ya Qom, kwa kusisitiza nafasi kuu ya historia katika uelewa wa dini, alikumbushia…
-
HawzaBarua ya Ayatollah Arafi kumuelekea Imam Khamenei / Ahadi na Kiaga cha Wanahawza kwa Ajili ya Kutekeleza Azimio la “Hawza Inayosonga mbele na Iliyopo Kileleni”
Mkurugenzi wa Hawza nchi Irani, ametoa shukrani na pongezi kutokana ujumbe wa kihistoria na muhimu ulio tolewa na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwenye kongamano la kumbukumbu ya miaka…
-
Ayatollah A'arafi amesema:
HawzaUtekelezaji wa Mpango wa awamu ya pili ya Miaka Mitano ya Hawza kwa mujibu wa ujumbe wa kihistoria wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi
Mkurugenzi (Mudir) wa Hawza nchini Irani, huku akitoa shukrani kutokana na ujumbe wa kimkakati na wa kihistoria uliotelewa na Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi, ametangaza kuwa mpango wa awamu ya pili…
-
Katika mkutano na maelfu ya wafanyakazi kutoka maeneo mbalimbali ya nchi imesemwa hivi:
DuniaMsaada kamili wa Kiongozi wa Mapinduzi kwa wafanyakazi / Kadhia ya Palestina haipaswi kusahaulika; Marekani na Uingereza ni waungaji mkono jinai zinazofanywa na Wazayuni
Maelfu ya wafanyakazi kutoka maeneo mbalimbali ya nchi ya Irani walikutana asubuhi ya leo Jumamosi na Ayatullah Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Kongamano la Maadhimisho ya Miaka Mia Moja Tangia Kuasisiwa upya Hawza ya Qum:
HawzaJukumu kuu zaidi la hawza ni "balāgh mubīn" (ufikishaji ulio bayana) na kuandaa mazingira ya ustaarabu mpya wa Kiislamu / Utekelezaji wa hawza yenye kujenga ustaarabu kupitia kulea “mujahid wa kitamaduni aliyejitakashasha kimaadili” na “mbunifu”
Ayatollah Ali Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika ujumbe wake kwa kongamano la “maadhimisho ya miaka mia moja tangu kuasisiwa upya kwa Hawza ya Kielimu ya Qum,” pamoja na kubainisha…
-
Kiongozi wa Mapinduzi katika kikao na waandaaji wa Hija na kundi la mahujaji wa nyumba tukufu ya Mwenyezi Mungu:
DuniaHakuna manufaa yoyote kwa Umma wa Kiislamu yaliyo juu zaidi kuliko umoja
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika kikao na waandaaji wa Hija pampja na kundi la mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu, alisema kuwa lengo la Mola kwenye ibada ya Hija ni kuwasilisha…
-
Hukumu za Kisheria
DiniHukumu ya Mwanafunzi wa Dini Aliyevaa Vazi Rasmi (kilemba) Kumfuataa Mwanafunzi Asiyevaa Kilemba
Hadhrat Ayatullah al-‘Uẓmā Makarim Shirazi amejibu swali la kifiqhi kuhusu “hukumu ya mwanafunzi wa dini aliyevaa kilemba kumfuata mwanafunzi wa dini asiyevaa kilemba.”
-
Hukumu za Kisheria:
DiniKile kilichosalia katika wosia wa mali ya maiti
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi amejibu swali la kifiqhi kuhusu "kile kilichosalia katika wosia wa mali ya maiti."
-
HawzaUjumbe wa mfalme wa Saudi Arabia wawasilishwa kwa kiongozi mkuu wa Mapinduzi ya kiislamu
Waziri wa ulinzi wa Saudi Arabia, alasiri ya leo, katika mazungumzo yake na kiongozi mkuu wa mapinduzi ya kiislamu, aliwasilisha ujumbe wa mfalme wa nchi hiyo kwa Hadhrat Ayatullah Khamenei.
-
Kiongozi wa Mapinduzi katika kikao na makamanda waandamizi wa jeshi la ulinzi:
HawzaAdui amechanganyikiwa na kuwa na hasira kwa sababu ya maendeleo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Kiongozi mkuu wa mapinduzi ya kiislamu, leo adhuhuri, katika kikao na kundi la makamanda na maafisa wa jeshi la ulinzi kwa mnasaba wa mwaka mpya, amelitaja jeshi la ulinzi kuwa ni ngao ya nchi…
-
DuniaMfumo wa Tawala iliyopo kwa niaba ya Marekani
Kuna nguvu moja tu iliyopo kwa niaba katika Dunia hii, na hiyo ni utawala haram wa Kizayuni
-
DiniNi wakati gani kiongozi wa mapinduzi ya Iran anaenda kufanya ziara katika Msikiti wa Jamkaran?
Wakati njia zote zinapofungwa, Kiongozi wa Mapinduzi huenda wapi? Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah anasimulia kuwa: Katika nyakati ngumu mno, sehem peke ya kiiimani kwa Kiongozi huyo ni Jamkaran,…
-
Kiongozi wa mapinduzi katika mkutano wake na pamoja maafisa wa serikali na mabalozi wa nchi za kiislamu alisisitiza kuwa:
DuniaUmoja katika ulimwengu wa kiislamu ndiyo njia pekee ya kusimama dhidi ya uonevu unaofanywa na dola kubwa
Kwa mujibu wa shirika la habari la Hawza, kiongozi mkuu wa mapinduzi ya kiislamu, asubuhi ya leo hii, alipokutana na maafisa wa serikali, pamoja mabalozi wa nchi za kiislamu na wakiwepo na baadhi…
-
Kiongozi wa Mapinduzi katika hotuba ya swala ya Eid:
DuniaIkiwa Marekani na utawala wa Kizayuni watafanya uovu, hakika watapokea pigo kali/ kama wanataka kuzusha fitna ndani ya nchi, jibu kali litafuata
Hawza: Swala ya Eid al-Fitr leo asubuhi imeswaliwa kwa hali ya kipekee na kwa hamasa kubwa katika maeneo yote ya nchi, ambapo waumini wa Kiislamu walikusanyika kwa wingi kuadhimisha siku hii…
-
Kiongozi wa Mapinduzi katika ujumbe wa televisheni alisisitiza kuwa:
DuniaMatembezi ya mwaka huu ni miongoni mwa matembezi bora zaidi, yaliyo na heshima na utukufu zaidi kuliko matembezi mengine yaliyowahi kufanyika katika Siku ya Quds
Hawaza: Kiongozi wa Mapinduzi ya kiislamu, Hadhrat Ayatollah Khamenei, alisisitiza katika ujumbe wake wa televisheni usiku huu kuwa, matembezi ya mwaka huu ya Siku ya Quds ni muhimu zaidi kuliko…
-
DuniaAyatullah Khamenei: Ikiwa Marekani itafanya ukhabithi dhidi ya taifa la Iran, itazabwa kofi kali
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameionya Marekani dhidi ya kutumia lugha ya vitisho dhidi ya Iran.