imam khamenei (48)
-
VideoVideo / Utetezi wa kishujaa wa Seneta wa Pakistan kwa Ayatollah al-Udhma Khamenei
Hawza / Kauli za Hujjatul-Islam wal-Muslimin Raja Nasir Jafari, Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan.
-
Mwenyekiti wa Baraza la Maulamaa wa Kishia wa Pakistan:
DuniaLugha ya matusi ya mabeberu dhidi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu italeta majibu makali
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika taarifa aliyoitoa, amelaani vikali matamshi ya matusi ya Rais wa Marekani kumhusu Ayatollah Khamenei, alisisitiza nafasi adhimu…
-
DuniaMaulamaa wa Uturuki watangaza kumuunga Mkono Ayatollah al-Udhma Khamenei
Hawza/ Maulamaa wa Ahlul Bayt wa Uturuki wametangaza kwa kusema: Sisi Waislamu wenye ghera na waumini duniani, kamwe hatutakaa kimya mbele ya vitisho na dharau za Rais wa Marekani na utawala…
-
Jumuiya ya Ahladar ya Uturuki:
DuniaMapambano ya Ayatollah al-Udhma Khamenei dhidi ya ukafiri ni ulinzi kwa Waislamu wote duniani
Hawza / Jumuiya ya Ahladar nchini Uturuki imetangaza kuwa: Mapambano haya ambayo Kiongozi wetu mpendwa, Ayatollah Khamenei, ameanzisha kwa kaulimbiu “Mhimizo wa muqawama unapendelea kufa kishujaa…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu:
DuniaUtawala wa Kizayuni umeporomoka chini ya mapigo ya Jamhuri ya Kiislamu na kusagwasagwa / Hongera kwa taifa tukufu la Iran na vikosi vya kijeshi
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: Utawala wa Kizayuni, pamoja na makelele yote na madai yote, umeporomoka kabisa chini ya mapigo ya Jamhuri ya Kiislamu na umesagwasagwa.
-
Imamu wa Ijumaa wa Georgia:
DuniaWatu wa Iran ni alama ya nguvu na heshima ya ulimwengu wa Kiislamu
Hawza/ Hujjatul-Islam Haj Rahid Karim, Imamu wa Ijumaa wa Msikiti wa Ahlul Bayt katika eneo la Soghanliq, mji wa Tbilisi, alisema: Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi anasema: "Sisi ni wenye kudhulumiwa,…
-
Imamu wa Ijumaa Baghdad:
DuniaWaislamu wote wanapaswa kuwa pamoja na Imam Khamenei
Hawza/ Ayatollah Sayyed Yasin Mousavi, Imam wa Ijumaa Baghdad, ametoa taarifa kali baada ya kauli ya kukera ya Trump mwenye kutenda jinai.
-
DuniaWanafunzi na Wanazuoni wa Jamhuri ya Azerbaijan Wamekanusha wazi wazi Vitisho vilivyo tolewa Dhidi ya Imam Khamenei
Hawza/ Wanafunzi wa Azerbaijan walio katika hawza ya Qom, wameikanusha kwa nguvu zote mashambulizi ya hivi karibuni ya serikali ya ghasbu ya Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, pamoja…
-
DuniaTaarifa ya Baraza la Maulamaa wa Kishia wa Afghanistan kuhusu kuiunga mkono Iran
Hawza / Baraza la Maulamaa wa Kishia wa Afghanistan limetangaza kuwa: Kutoa vitisho dhidi ya kiongozi wa kidini na kiroho wa dini na taifa fulani ni kinyume na mila zote za kimataifa na sheria…
-
HawzaHimaya Thabiti kutoka katika Kundi la Maulamaa, Wataalamu, na Walimu wa hawza ya Qum, kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Hawza/ Maulamaa, wataalamu na walimu arobaini wa hawza ya Qum, wakilaani mashambulizi ya kikatili yaliyofanywa na utawala dhalimu wa Kizayuni na kuonyesha uungaji mkono wa dhati kwa Kiongozi…
-
HawzaHatua za Kisheria zachukuliwa na Jumuiya na Taasisi za Kielimu, na Tume ya Haki za Binadamu dhidi ya Vitisho vya Trump
Hawza/ Jumuiya na taasisi za kisayansi pamoja na Tume ya Haki za Binadamu za Hawza wametoa tamko kali la kulaani matamshi yasiyo na uwajibikaji, batili, na kinyume na misingi yote ya kimataifa…
-
Balozi wa Iran Vatican:
DuniaTishio la Trump la Kutaka Kumuua Kiongozi wa Mapinduzi Ni Ukiukaji wa Sheria za Kimataifa
Hawza: Hujjatul-Islam wal-Muslimin Muhammad Hussein Mokhtari, balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Vatican, wakati akilaani mashambulizi yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran, amesema…
-
Taasisi ya juu ya hawza yamtahadharisha Trump:
HawzaKuivunjia heshima Marjiat na nafasi kiongozi wa mapinduzi ni sawa na kutangaza vita na uma wote wa Kiislamu
Hawza/ Katika maelezo ya Pamoja yaliyo tolewa na Jaamiat Mudarisn, shura ya juu na markazi ya uongozi wa hawza yanasema kwamba; Aina yeyote ile ya vitisho na kuivunjia heshima nafasi ya Marjiat…
-
DuniaOnyo Kali kutoka kwa Rais wa Jumuiya ya Kishia ya Jammu na Kashmir kumuelekea Trump
Hawza: Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Hassan Mousawi Safawi, kupitia ujumbe wake, amesema kuwa Ayatollah al-Udhma Sayyid Ali Khamenei ni kiongozi mkuu na marjaa wa zaidi ya wafuasi milioni…
-
HawzaBayana kali alio itoa Ayatollah Sistani dhidi ya utawala wa Wazayuni, na vitisho vyote dhidi ya Kiongozi muadhamu wa mapinduzi
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Udhma Sistani ametoa bayana yenye maneno makali dhidi ya uvamizi wa Wazayuni nchini, na kila aina ya vitisho dhidi ya Kiongozi wa mapinduzi ya kiislamu ya Irani
-
Ayatollah Javad Amoli:
HawzaTunatumai ya kwamba, kiongozi muadhamu wa mapinduzi ambae ni nguzo iliyo imara atahifadhiwa na Mwenyezimungu
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Udhma Javad Amoli, katika ujumbe wake ameiombea dua nchi ya Irani, watu wote, wasomi, viongozi wa kijeshi, wanasiasa pamoja na kiongozi wa mapinduzi ya Irani, na kusema…
-
Ayatollahul - udhma Subhanii:
HawzaKuifedhehesha Jamhuri ya Kiislamu ya Irani pamoja na Kiongozi muadhamu wa Mapinduzi ni alama ya udhaifu wa adui
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Subh'ani, katika kuelezea vitisho vya Tramp dhidi ya Kiongozi wa mapinduzi Sayyid Ali Khamenei amesema: Aina yeyote ya Kuifedhehesha Jamhuri ya Kiislamu ya Irani pamoja…
-
Ayatollah Makarrim Shirazi:
HawzaMuislamu yeyote mzima na alie huru hakubaliani na vitisho vilivyo tolewa dhidi ya kiongozi wa mapinduzi ya kiislamu
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Makarrim Shirazi ameweka wazi kuwa; Kupatikana kiongozi adhimu wa mapinduzi, kwa anuani ya kwamba ni mwenye kuhifadhi nembo ya ushia bali uma wa kiislamu, ni nukta muhimu…
-
Ayatollah arafi atoa tahadhari kwa mabeberu na Wazayuni wanaofuata njia ya Hitla:
HawzaKuwavunjia heshima marajii kutasababisha hasira kwa umma wa kiisalamu
Hawza/ Mudiir wa hawza Qum ameeleza kuwa; Katika masiku ya karibuni viongozi wa mabeberu ulimwenguni na Mazayuni wamwaga damu, wameleta taharuki na hasira kwa waislamu baada ya kuwavunjia heshima…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi:
DuniaTaifa la Iran haliwezi kujisalimisha/ Uingiliaji wa kijeshi wa Marekani utakuwa na madhara yasiyorekebishika / Adui wa Kizayuni yupo katika hali ya kuadhibiwa
Hawza: Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kwamba aina yoyote ya uingiliaji wa kijeshi wa Marekani bila shaka utasababisha madhara makubwa yasiyoweza kufidiwa.
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi katika ujumbe wake wa televisheni akilizungumzia taifa la Iran:
DuniaMaafisa wa kijeshi wataufanya utawala wa kizayuni wenye najisi, kuwa katika hali ya tabu / Wananchi waamini kwamba, hakutakuwa na uzembe wowote katika suala hili
Hawza/ Ayatollah Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, usiku huu katika ujumbe wa televisheni aliouelekeza kwa taifa la Iran amesisitiza kuwa: "Utawala mchafu na muovu wa Kizayuni…
-
Ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu kulielekea taifa kubwa la Iran:
DuniaMkono wenye nguvu wa jeshi la Iran hautaiacha Israeli / Utawala wa Kizayuni umejiandalia hatima chungu na ya maumivu
Hawza/ Kufuatia jinai ya alfajiri ya leo iliyofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya nchi yetu pendwa, Hadhrat Ayatollah Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, ametoa ujumbe kwa taifa…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Ujumbe wake kwa Mahujaji wa Nyumba ya Mwenyezi Mungu amesema:
DuniaUlimwengu wa Kiislamu unahitaji kutumia mafundisho ya Hija ili kukomesha maafa huko Ghaza
Hawza/ Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika ujumbe wake kwa Mahujaji wa Nyumba ya Mwenyezi Mungu amesisitiza umuhimu wa kutumia mafundisho ya Hija na Ulimwengu wa Kiislamu kwa ajili ya kukomesha…
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika Maadhimisho ya Miaka 36 ya Kufariki Imam Khomeini (ra) Amefafanua:
DuniaMaendeleo, Usalama na Ustawi ni kwa Kuendeleza Njia ya kiakili ya Imam Khomeini (ra)
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, asubuhi ya leo, mbele ya umati mkubwa na wenye hamasa katika Haram takatifu ya Imam Khomeini (ra), akizungumza kuhusu athari dhahiri za…
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika kikao na Waziri wa mambo ya ndani pamoja na Magavana:
DuniaNendeni kwa wananchi, wasikilizeni mahitaji yao, na toeni maelezo muhimu pia
Hawza/ Kufuatana na sheria ya dini, kuepuka mambo yaliyoharamishwa na Mwenyezi Mungu, kushikamana na mila za kidini, kujitahidi kutekeleza kaulimbiu ya mwaka, na kupambana kwa dhati na kwa pamoja…
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Katika Kikao na Waziri Mkuu wa Pakistan Amesisitiza:
DuniaUlazima wa Kuchukua Hatua zenye Athari kwa ajili ya Kukomesha Jinai huko Ghaza
Hawza:/ Bw. "Shahbaz Sharif", Waziri Mkuu wa Pakistan, pamoja na ujumbe wake, jioni ya Jumatatu, wamekutana na Ayatullah Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Hukumu za Kisheria za Kiislamu:
DiniUongo katika Mzaha
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi amejibu swali lililo angazia kuhusiana na “uongo wa mzaha”.
-
Kiongozi wa Mapinduzi katika kikao na familia ya Shahidi Raisi pamoja na mashahidi wengine:
DuniaHuduma za Shahidi Raisi zilikuwa chanzo cha heshima ya kitaifa, izza ya taifa, na itibari ya wananchi wa Iran / Wamarekani waache upayukaji; Iran haitasubiri ruhusa ya mtu yeyote kwa ajili ya urutubishaji wa nyuklia
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, asubuhi ya jana, katika kikao na familia ya Shahidi Raisi na mashahidi wengine, pamoja na familia za mashahidi waliokuwa na nyadhifa za juu katika…
-
DuniaKiongozi Mkuu wa Mapinduzi: Kusimama Imara Mbele ya Madhalimu Ndio Sababu ya Uadui Wao Dhidi Yetu
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: Tatizo kuu la mabeberu wa Magharibi ni kuwa Jamhuri ya Kiislamu inakataa utamaduni wao batili.
-
Hukumu za Kisheria:
HawzaKujibu matusi
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi alijibu swali la kifiqhi kuhusiana na"kuwajibu wanaotoa matusi".