imam khamenei (83)
-
DuniaDondoo za Shughuli za Kuaga na Mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi Zaainishwa
Hawza/ Kamati ya Maadhimisho ya Kupaa Damu ya Imam Mujahid Shahidi, Ayatullah al-Udhma Khamenei, katika taarifa yake ya tatu, imetangaza maelezo ya sherehe za kuaga na mazishi ya Imam Shahidi…
-
Darsa la Akhlaq | Kiongozi shahidi wa Mapinduzi:
DiniKukumbuka kuwa dunia inaisha humwacha mwanadamu huru kutokana na kushikamana nayo kupita kiasi
Hawza/ Kiongozi shahidi wa Mapinduzi akirejelea hadithi: «لِدْ لِلْمَوْتِ وَاجْمَعْ لِلْفَنَاءِ وَابْنِ لِلْخَرَابِ», alisisitiza kwamba; kila kitu ambacho mwanadamu hukikusanya duniani hatimaye…
-
Kuielekea kwenye jamii bora; Tafiti za Mahdawiyya (65)
DiniNafasi na mchango wa wanawake katika kudhihiri na dola ya Imam Mahdi (a.f) – Sehemu ya Pili
Hawza / Kuhusu nafasi ya mwanamke katika jamii ya Kiislamu na utekelezaji wa malengo ya Mwenyezi Mungu, Qur’ani Tukufu imeorodhesha majukumu ya jumla kama vile kumcha Mwenyezi Mungu, kuamrisha…
-
DiniUfafanuzi wa Hadithi ya Akhlaq | Subira katika mitihani, utiifu na kuacha maasi kwa mujibu wa simulizi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi
Hawza/ Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi, akirejelea hadithi: «فَإِنِ اسْتَطَعْتَ أَنْ تَعْمَلَ بِالصَّبْرِ مَعَ الْیَقِینِ فَافْعَل», alifafanua maana ya subira katika nyanja tatu: mitihani, utiifu…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi:
DuniaKhomeini Mkuu na shahidi Khamenei walihuisha utayari wa taifa
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Sayyid Mujtaba Husseini Khamenei amesema: Khomeini Mkuu na shahidi Khamenei waligundua na kuhuisha utayari wa taifa.
-
Ayatullah A'raafi katika ujumbe wa uchambuzi na kimkakati amefafanua:
HawzaSifa kuu 9 za kimkakati za harakati kubwa ya taifa la Iran / Kwa nini tarehe 15 Khordad bendera ilipeperushwa juu ya paa la Iran?
Hawza/ Mwezi wa Khordad katika historia ya Mapinduzi matukufu ya Kiislamu ni mwezi uliojaa matukio yenye kuamua hatima, yaliyochanganyika na siri nyingi zenye mafunzo na mafunzo ya kudumu. Miongoni…
-
DiniGhadir kwa mujibu wa Kauli za Imam Shahidi
Hawza/ Kwa mtazamo wa Imam na Kiongozi wetu Shahidi, Ghadir ni miongoni mwa masuala ambayo yanapita mipaka ya mtazamo wa kihistoria na huhesabiwa kuwa mojawapo ya misingi muhimu zaidi ya itikadi…
-
DuniaSimulizi ya Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Qom Iran, kuhusu usiku wa kuchaguliwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi/ Kutii na kutekeleza amri za kiongozi ni wajibu wa kisheria
Hawza/ Khatibu wa swala ya Ijumaa mjini Qom alisema: Baraza la Wataalamu wa Uongozi lilikutana usiku wa tarehe 19 Ramadhani, mmoja wa wajumbe wa ofisi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu…
-
Tusome Qur’ani:
DiniJe, Inawezekana Kuingia Katika Ngome ya Wilaya ya Ali (as) Bila Kuielewa Qur’ani?
Hawza/ Wilaya ya Ali bin Abi Talib ina maana ya kuwa mfuasi wa Ali katika fikra na matendo yako, na kuwa na uhusiano naye madhubuti, wenye nguvu na usiovunjika, kama Hadithi isemavyo: “Wilaya…
-
Katika ripoti ya uchambuzi ya Shirika la Habari la Hawza imefafanuliwa:
DuniaMwenendo na Miongozo ya Imam Shahidi; Kufufua matumaini na Kujiamini kwa Taifa
Hawza/ Moja ya sifa muhimu zaidi za kipindi cha uongozi wa Imam Khamenei Shahidi ni juhudi zake za pande zote katika kubadilisha elimu kuwa nguvu ya taifa, na jambo hili lenyewe ni miongoni mwa…
-
DiniDarasa la Akhla'q | Watu wenye akili zaidi kwa mtazamo wa Mtume Muhammad (saww)
Hawza/ Ayatollah Sayyid Ali Khamenei katika ufafanuzi wa Hadithi kutoka kwa Mtume Mtukufu (s.a.w.w.) mwanzoni mwa darsa ya Bahthul-Kharij ya Fiqhi, aliashiria umuhimu wa kuamiliana kwa upole…
-
DiniTusome Qur’ani | Katika jamii isiyo ya Kiislamu unatamani kuwa mwema, lakini huwezi
Hawza/ Katika jamii isiyo ya Kiislamu, mwanadamu licha ya kuwa na hamu ya mwema na mwenye dini, kutokana na shinikizo la mazingira hawezi kuwa mwenye kushikamana na dini, na sababu zote humweka…
-
DiniHukumu za Kisheria | Mapato yatokanayo na michezo ya kompyuta na PlayStation
Hawza/ Ayatollah Sayyid Ali Khamenei amejibu istiftaai kuhusu “kupata mapato kutokana na michezo ya kompyuta na PlayStation”.
-
DiniTusome Qur’ani | Kwa nini baadhi ya watu hushindwa na kujisalimisha kwa adui katika nyakati za migogoro?
Hawza/ Katika nyakati za migogoro, pale ambapo mwanadamu anakosa kabisa njia na zana zote za dhahiri, huwa na njia chache mbele yake: ima kujisalimisha kwa adui, au kujisalimisha kwa mkondo wa…
-
DiniHukumu za Kisheria | Wajibu wa maamuma iwapo Imam atasoma vibaya Qur'an
Hawza/ Ayatullah Shahidi Sayyid Ali Khamenei amejibu istiftaai kuhusu “Wajibu wa maamuma iwapo Imam atasoma vibaya Qur'an”.
-
DuniaWanafunzi kutoka vyuo vikuu mbalimbali nchini Tanzania wamepokea nakala ya wasifu wa Shahidi Ayatollah Sayyid Ali Khamenei (ra)
Hawza/ katika hatua inayolenga kukuza uelewa wa kihistoria na kielimu kuhusu maisha ya viongozi wa Kiislamu waliotoa mchango mkubwa katika harakati za kisiasa na kijamii, wanafunzi kutoka vyuo…
-
DuniaUjumbe wa Ayatullah Ali Akbar Seifi Mazandarani kutokana na mnasaba wa siku ya arobaini ya shahada ya kiongozi wa Umma
Hawza/ Mwalimu wa ngazi za juu wa Hawza kutokana na mnasaba wa siku ya arobaini tangia shahada ya Kiongozi wa Waislamu wa dunia, Mtukufu Ayatullah Sayyid Ali Husseini Khamenei (ra), ametoa ujumbe.
-
Hujjatul-Islaam walmuslimina Farkh Fa'l:
DuniaMwenyezi Mungu ambae miaka 8 aliulinda ushindi wa Irani, leo hii pia yupo/ Manufaa yote ya Marekani katika ukanda tumeyaunguza
Hawza/ Kiongozi wa shura ya juu ya Hawza huku akisisitiza kwamba, Mungu ambae aliyalinda Mapinduzi ya Irani kwa miaka nane, leo hii pia anatusaidia, alisema: Nchi jirani ni lazima zipige mahesabu…
-
DuniaUjumbe wa rambirambi kutoka kwa Katibu Mkuu wa Hizbullah, kutokana na kupata Shahada Kiongozi wa Mapinduzi ya Iran
Hawza/ Katibu Mkuu wa Hizbullah, katika ujumbe wake kutokana na kupata Shahada Ayatullah Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Iran, ametuma salamu za rambirambi na kusisitiza kuendelezwa muqawama…
-
DiniHukumu za kisheria | Kiwango cha kawaida cha matumizi ya mke (nafaqah)
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amejibu istiftaa (swali la kifiqhi) kuhusu “kiasi cha matumizi ya mke na khumsi yake”.
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi Iran, Katika Kikao na Waandaaji wa Kongamano la Kitaifa la Kuadhimisha Mashahidi wa Mkoa wa Alborz Nchini Humo:
DuniaNi lazima Thamani na Motisha za Mashahidi Zihamishiwe kizazi kijacho/ Umuhimu wa Kufafanua kwa Ubunifu wa Kisanaa Maadili ya Ulinzi Mtakatifu
Hawzah/ Ayatollah Sayyid Ali Khamenei amesisitiza: kuhamisha thamani na motisha za kipindi cha Ulinzi Mtakatifu kukielekea kizazi kipya kunahitaji kazi ya kisanaa na ufuatiliaji usiokatika.
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Iran, Katika Mkutano na Waimbaji wa Mashairi ya Ahlul-Bayt (a.s.):
DuniaUlazima wa Kubadili Mpangilio wa Ufikishaji wa Kimtandao na Kimaarifa Mbele ya Juhudi Anazozifanya Adui Ili Kuvutia Nyoyo na Akili
Hawza/ Kiongozi wa Mapinduzi alibainisha kuwa; kusimama imara dhidi ya vita vya ufikishaji wa kimtandao vinavyoongozwa na Magharibi ni jambo gumu lakini linawezekana kabisa. Alisema: Katika njia…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi Irani, Katika Kikao na Maelfu ya Wanawake na Mabinti:
DuniaMwanamke Ndiye Msimamizi wa Nyumba, si Mtumishi/ Jamhuri ya Kiislamu imebatilisha Mantiki Potofu ya Magharibi Kuhusu Mwanamke
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Khamenei, mbee za maelfu ya wanawake na mabinti, alielezea “kuepuka kumbebesha mwanamke mzigo wa kazi za nyumbani”, “mume kumsaidia mke katika changamoto za uzazi” na…
-
Kiongozi wa Mapinduzi Irani, katika kikao na waandaaji wa Mkutano wa Kimataifa wa Mirza Na’ini (ra) alifafanua:
HawzaUbunifu wa kielimu na fikra ya kisiasa ni sifa mbili mashuhuri za Allāmah Na’ini
Hawza/ Hotuba ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran, katika kikao na waandaaji wa Mkutano wa Kimataifa wa Allāmah Mirza Na’ini (r.a), huko Qom Iran, katika eneo la kufanyia mkutano huo.
-
Hukumu za Kisheria:
DiniJe! Mlinzi wa eneo fulani, atawajibika kulipa mali za wakazi wa eneo hilo, iwapo wizi utatokea?
Hawza/ Mtukufu Ayatullah al-Udhma Khamenei amejibu swali la kifiqhi (istifataa) kuhusiana na hukumu ya kisheria, pale ambapo wizi utatokea katika makazi ya watu na ilihali kuna walinzi katika…
-
DuniaKiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Irani, akimsemesha Rais wa Marekani: “Wewe ni nani Hasa?!”
Hawza/ Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, kwa kurejelea maneno ya Rais wa Marekani ambaye kwa kujigamba alisema kwamba ameibomoa sekta ya nyuklia ya Iran, alisemaa: “Hakuna tatizo, endelea kuamini…
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi katika Ujumbe wake kwa ajili ya Mkutano wa 32 wa Kitaifa unaohusiana na Swala:
DuniaZitumike mbinu za kisasa na vitu vyenye ushawishi katika kufundisha na kueneza swala
Hawza/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi, katika ujumbe wake kwenye Mkutano wa 32 wa Kitaifa unaohusiana na Swala, amesisitiza kuwa taasisi zinazoeneza dini, viongozi wa dini, na waumini wote, wanapaswa…
-
DuniaUjumbe wa rambirambi wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi Iran, kwa Ayatollah al-Uzma Sistani
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Khamenei katika ujumbe wake ametoa rambirambi kufuatia kufariki kwa mke mtukufu wa Ayatollah Sistani.
-
DiniHukumu za Kisheria | Je, kuingia kwenye shamba la mtu mwingine bpasi na idhini ya mmiliki kunajuzu?
Hawza/ Mtukufu Ayatullah Khamenei amejibu istiftaa kuhusiana na mada ya “Kuingia kwenye shamba la mtu mwingine bila idhini ya mmiliki.”
-
Kiongozi wa Mapinduzi Irani:
DuniaMazungumzo na Marekani hayana faida yeyote kwa Taifa la Irani
Hawza/ Kutokana na mnasaba wa tarehe 1 Mehr na kuanza kwa mwaka wa masomo, Kiongozi wa Taifa la Irani amelihutubia taifa hilo hutuba ambayo ililenga vipengele vitatu muhimu zaidi.