Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Hawza, matini ya ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran, ni kama ifuatavyo:
Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu
Mtukufu Ayatollah Sayyid Ali Sistani (Allah adumishe baraka zake),
Ninatoa mkono wa rambirambi kufuatia kufariki kwa mke wake mtukufu, na ninamuombea kwa Mwenyezi Mungu rehema na msamaha.
Sayyid Ali Khamenei
29 September 2025
Maoni yako