Ayatollah Al-Udhma Sistani (8)
-
DuniaMwakilishi wa Ayatollah Al-Udhma Sistani Ulaya: Arubaini ya Husseini; Ujumbe wa mwamko, uaminifu na kusimama imara mbele ya dhulma
Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sayyid Murtadha Kashmiri, mwakilishi wa Ayatollah Al-Udhma Sayyid Ali Sistani katika bara la Ulaya, katika ujumbe wake kwa mazuwari wa Arubaini amesisitiza…
-
DuniaAyatollah Al-Udhma Sistani azitaka Nchi za Kiarabu na Kiislamu Kukomesha Janga la Ghaza
Hawza/ Katika kilele cha janga la kibinadamu linalozidi kuenea huko Ghaza, ambapo watoto na raia wasio na hatia wanahiliki kutokana na janga la njaa, Ofisi ya Ayatollah Al-Udhma Sayyid Ali Sistani…
-
Ofisi ya Ayatollah Al-Udhma Sistani:
DuniaJumapili ni Siku ya Kwanza ya Mwezi wa Safar 1447
Hawza/ Ofisi ya Ayatollah Al-Udhma Sistani huko Najaf Ashraf imetangaza kwamba Jumapili tarehe 5 Mordad, itakuwa ndio siku ya kwanza ya mwezi wa Safar mwaka 1447 Hijria Qamaria.
-
DuniaAyatollah al-Udhma Sistani atoa pole kufuatia tukio la moto wa kutisha katika mji wa Kut, Iraq
Hawza/ Ofisi ya Hadhrat Ayatollah Sayyid Ali Husseini Sistani imetoa salamu za rambirambi kufuatia kufariki kwa wahanga wa tukio la moto uliotokea katika kituo kimoja cha kibiashara katika mji…
-
HawzaBayana kali alio itoa Ayatollah Sistani dhidi ya utawala wa Wazayuni, na vitisho vyote dhidi ya Kiongozi muadhamu wa mapinduzi
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Udhma Sistani ametoa bayana yenye maneno makali dhidi ya uvamizi wa Wazayuni nchini, na kila aina ya vitisho dhidi ya Kiongozi wa mapinduzi ya kiislamu ya Irani
-
HawzaUjumbe kutoka katika Ofisi ya Ayatollah al-Udhma Sistani wenye kulaani vikali uvamizi wa Israel dhidi ya Iran
Hawza/ Ofisi ya Hadhrat Ayatollah Sistani, katika ujumbe wake, imelaani vikali uvamizi uliofanywa na Israel dhidi ya Iran na kuwaua kishahidi kundi la wanazuoni, makamanda, na raia wasio na hatia.
-
HawzaAyatollah al-Udhma Jawadi Amoli akutana na Ayatollah al-Udhma Sistani huko Najaf Ashraf
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amoli alifanikiwa kufika katika makazi ya Ayatollah al-Udhma Sistani katika mji mtukufu wa Najaf, na kukutana na yeye kwa ajili ya kufanya mazungumzo naye.
-
Ujumbe wa rambirambi kutoka Ofisi ya Ayatollah Al-Udhma Sistani kufuatia kufariki Kiongozi wa kanisa katoliki duniani:
HawzaPapa alitekeleza jukumu mashuhuri katika kuhudumia amani, kuvumiliana na kuleta mshikamano kwa wanyonge
Kufuatia kifo cha Papa Francis, kiongozi wa kanisa katoliki wa duniani, ofisi ya Hadhrqt Ayatollah Sistani imetoa ujumbe wa rambirambi.