Ayatollah Al-Udhma Sistani (15)
-
DuniaMwakilishi wa Ayatollah Sayyid Ali al-Sistani katika Haram ya Imam Hussein amesisitiza/ Uhusiano wa karibu zaidi baina ya Hawza ya Iran na Iraq
Hawza/ Sheikh Abdulrazzaq amesisitiza juu ya umuhimu wa kuimarishwa zaidi kwa ushirikiano kati ya Hawza ya Iran na Hawza ya Iraq.
-
Mtafiti wa Italia:
DuniaDiplomasia ya Papa Francis ilikuwa na kipaumbele dhahiri kuelekea mazungumzo na ulimwengu wa Kiislamu
Hawza/ Dkt. Chiara Ferro, mwanachama wa kitivo cha sayansi ya siasa katika Chuo Kikuu cha Naples nchini Italia, katika kongamano la pili la kielimu lililokuwa na anuani isemayo “Daraja kati ya…
-
DuniaOfisi ya Ayatollah Sayyid al-Sistani: Jumamosi ndio Siku ya Kwanza ya Mwezi Shawal na Sikukuu ya Eid al-Fitr
Hwaza/ Ofisi ya Marji' Mkuu Ayatollah Sayyid al-Sistani mjini Najaf, Iraq, imetangaza kupitia tamko rasmi kuwa; Jumamosi itakuwa ni siku ya kwanza ya Mwezi Shawal na Sikukuu ya Eid al-Fitr kwa…
-
DuniaMapendekezo Kutoka Kwa Ayatollah Al-Udhma Sistani Kuhusisna na Kudumisha Uadilifu Kwenye Jamii Baada ya Uchaguzi wa Iraq
Hawza / Baada ya kufanyika uchaguzi wa bunge la Iraq, mwanasiasa huru, Abdulhadi Al-Hakim, ametangaza juu ya kukutana kwake na Ayatollah Al-Udhma Sayyid Ali Sistani.
-
DuniaOfisi ya Ayatullah al-Udhma Sistani yatangaza mwanzo wa mwezi wa Jumada al-Ula
Hawza/ Ofisi ya Ayatullah Sistani mjini Najaf Ashraf imetangaza kwamba lo ni siku ya mwisho ya mwezi wa Rabi‘ al-Thani, na kesho Ijumaa itakuwa mwanzo wa mwezi wa Jumada al-Ula.
-
DuniaUjumbe wa rambirambi wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi Iran, kwa Ayatollah al-Uzma Sistani
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Khamenei katika ujumbe wake ametoa rambirambi kufuatia kufariki kwa mke mtukufu wa Ayatollah Sistani.
-
DuniaAyatullah Sistani aomboleza msiba
Hawzah / Mke mtukufu wa Marja mkuu wa Kishia, Mtukufu Ayatollah Sistani, baada ya kustahimili kipindi kirefu cha maradhi, ameitika wito wa haki huko Najaf Ashraf.
-
DuniaUjumbe wa rambirambi wa Ayatullah al-Udhma Sistani kutokana na mnasaba wa kufariki Hujjat al-Islam wal-Muslimin Elahi Khorasani
Hawza/ Marja’ mkubwa, Mtukufu Ayatullah Sistani, katika ujumbe wake ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha mwanazuoni mashuhuri Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sheikh Ali Akbar Elahi Khorasani.
-
DiniMtazamo wa Mar'aji‘ taql'id Kuhusiana na Sherehe ya mwezi Tisa Rabi‘u al-Awwal na Kutoheshimu wanavyo vitukuza Ahlus-Sunna
Hawzah/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu na Maraji‘ wakubwa wa taql'id, kupitia tamko na fatwa zao, wanazingatia kwamba; kutusi matakatifu ya madhehebu ya Kiislamu, ni kitendo haramu, chenye…
-
DuniaMwakilishi wa Ayatollah Al-Udhma Sistani Ulaya: Arubaini ya Husseini; Ujumbe wa mwamko, uaminifu na kusimama imara mbele ya dhulma
Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sayyid Murtadha Kashmiri, mwakilishi wa Ayatollah Al-Udhma Sayyid Ali Sistani katika bara la Ulaya, katika ujumbe wake kwa mazuwari wa Arubaini amesisitiza…
-
DuniaAyatollah Al-Udhma Sistani azitaka Nchi za Kiarabu na Kiislamu Kukomesha Janga la Ghaza
Hawza/ Katika kilele cha janga la kibinadamu linalozidi kuenea huko Ghaza, ambapo watoto na raia wasio na hatia wanahiliki kutokana na janga la njaa, Ofisi ya Ayatollah Al-Udhma Sayyid Ali Sistani…
-
Ofisi ya Ayatollah Al-Udhma Sistani:
DuniaJumapili ni Siku ya Kwanza ya Mwezi wa Safar 1447
Hawza/ Ofisi ya Ayatollah Al-Udhma Sistani huko Najaf Ashraf imetangaza kwamba Jumapili tarehe 5 Mordad, itakuwa ndio siku ya kwanza ya mwezi wa Safar mwaka 1447 Hijria Qamaria.
-
DuniaAyatollah al-Udhma Sistani atoa pole kufuatia tukio la moto wa kutisha katika mji wa Kut, Iraq
Hawza/ Ofisi ya Hadhrat Ayatollah Sayyid Ali Husseini Sistani imetoa salamu za rambirambi kufuatia kufariki kwa wahanga wa tukio la moto uliotokea katika kituo kimoja cha kibiashara katika mji…
-
HawzaBayana kali alio itoa Ayatollah Sistani dhidi ya utawala wa Wazayuni, na vitisho vyote dhidi ya Kiongozi muadhamu wa mapinduzi
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Udhma Sistani ametoa bayana yenye maneno makali dhidi ya uvamizi wa Wazayuni nchini, na kila aina ya vitisho dhidi ya Kiongozi wa mapinduzi ya kiislamu ya Irani
-
HawzaUjumbe kutoka katika Ofisi ya Ayatollah al-Udhma Sistani wenye kulaani vikali uvamizi wa Israel dhidi ya Iran
Hawza/ Ofisi ya Hadhrat Ayatollah Sistani, katika ujumbe wake, imelaani vikali uvamizi uliofanywa na Israel dhidi ya Iran na kuwaua kishahidi kundi la wanazuoni, makamanda, na raia wasio na hatia.