Ayatollah Al-Udhma Sistani (12)
-
Mwakilishi wa Ayatullah Sistani:
DuniaHeshima ya Kumhudumia Imam Hussein (as) Hukamilika kwa Kushikamana na Njia ya Ahlul-Bayt (as)
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Abdul Mahdi Karbalai amesisitiza kuwa; kumhudumia Imam Hussein (as) hakuishii katika kutekeleza majukumu ya kazi pekee, bali hukamilika kwa kushikamana…
-
Mwakilishi wa Ayatullah al-Udhma Sistani:
DuniaMadrasah ya Imam Hussein (as) Ni Sababu ya Kuvuruga Mipango ya Maadui
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Ahmad Safi amesisitiza kwamba; shughuli za tablighi ni jukumu linalobebwa na kila mtu, na zina athari kubwa katika ujenzi wa jamii.
-
DuniaMwakilishi wa Ayatollah Sayyid Ali al-Sistani katika Haram ya Imam Hussein amesisitiza/ Uhusiano wa karibu zaidi baina ya Hawza ya Iran na Iraq
Hawza/ Sheikh Abdulrazzaq amesisitiza juu ya umuhimu wa kuimarishwa zaidi kwa ushirikiano kati ya Hawza ya Iran na Hawza ya Iraq.
-
Mtafiti wa Italia:
DuniaDiplomasia ya Papa Francis ilikuwa na kipaumbele dhahiri kuelekea mazungumzo na ulimwengu wa Kiislamu
Hawza/ Dkt. Chiara Ferro, mwanachama wa kitivo cha sayansi ya siasa katika Chuo Kikuu cha Naples nchini Italia, katika kongamano la pili la kielimu lililokuwa na anuani isemayo “Daraja kati ya…
-
DuniaOfisi ya Ayatollah Sayyid al-Sistani: Jumamosi ndio Siku ya Kwanza ya Mwezi Shawal na Sikukuu ya Eid al-Fitr
Hwaza/ Ofisi ya Marji' Mkuu Ayatollah Sayyid al-Sistani mjini Najaf, Iraq, imetangaza kupitia tamko rasmi kuwa; Jumamosi itakuwa ni siku ya kwanza ya Mwezi Shawal na Sikukuu ya Eid al-Fitr kwa…
-
DuniaMapendekezo Kutoka Kwa Ayatollah Al-Udhma Sistani Kuhusisna na Kudumisha Uadilifu Kwenye Jamii Baada ya Uchaguzi wa Iraq
Hawza / Baada ya kufanyika uchaguzi wa bunge la Iraq, mwanasiasa huru, Abdulhadi Al-Hakim, ametangaza juu ya kukutana kwake na Ayatollah Al-Udhma Sayyid Ali Sistani.
-
DuniaOfisi ya Ayatullah al-Udhma Sistani yatangaza mwanzo wa mwezi wa Jumada al-Ula
Hawza/ Ofisi ya Ayatullah Sistani mjini Najaf Ashraf imetangaza kwamba lo ni siku ya mwisho ya mwezi wa Rabi‘ al-Thani, na kesho Ijumaa itakuwa mwanzo wa mwezi wa Jumada al-Ula.
-
DuniaUjumbe wa rambirambi wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi Iran, kwa Ayatollah al-Uzma Sistani
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Khamenei katika ujumbe wake ametoa rambirambi kufuatia kufariki kwa mke mtukufu wa Ayatollah Sistani.
-
DuniaAyatullah Sistani aomboleza msiba
Hawzah / Mke mtukufu wa Marja mkuu wa Kishia, Mtukufu Ayatollah Sistani, baada ya kustahimili kipindi kirefu cha maradhi, ameitika wito wa haki huko Najaf Ashraf.
-
DuniaUjumbe wa rambirambi wa Ayatullah al-Udhma Sistani kutokana na mnasaba wa kufariki Hujjat al-Islam wal-Muslimin Elahi Khorasani
Hawza/ Marja’ mkubwa, Mtukufu Ayatullah Sistani, katika ujumbe wake ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha mwanazuoni mashuhuri Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sheikh Ali Akbar Elahi Khorasani.
-
DiniMtazamo wa Mar'aji‘ taql'id Kuhusiana na Sherehe ya mwezi Tisa Rabi‘u al-Awwal na Kutoheshimu wanavyo vitukuza Ahlus-Sunna
Hawzah/ Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu na Maraji‘ wakubwa wa taql'id, kupitia tamko na fatwa zao, wanazingatia kwamba; kutusi matakatifu ya madhehebu ya Kiislamu, ni kitendo haramu, chenye…
-
DuniaMwakilishi wa Ayatollah Al-Udhma Sistani Ulaya: Arubaini ya Husseini; Ujumbe wa mwamko, uaminifu na kusimama imara mbele ya dhulma
Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sayyid Murtadha Kashmiri, mwakilishi wa Ayatollah Al-Udhma Sayyid Ali Sistani katika bara la Ulaya, katika ujumbe wake kwa mazuwari wa Arubaini amesisitiza…