Wapalestina (56)
-
DuniaKuitambua Rasmi Palestina; Udanganyifu Mpya wa Magharibi na Wazayuni
Hawza/ Kuitambua dola ya Palestina na baadhi ya nchi za Magharibi na Kiarabu, si zaidi ya msaada wa kweli, bali ni maonesho ya kisiasa kwa ajili ya kupunguza shinikizo la mitazamo ya umma na…
-
HawzaMwanachama wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom: Ukimya unaofanywa na nchi za kiislamu mbele ya mauaji ya kimbari ya watu wa Ghaza ni aibu
Hawza/ Ayatullah Tabasi amesema: Hii leo ukimya mbele ya jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni muuaji wa watoto ni usaliti, ukimya unaofanywa na baadhi ya nchi za Kiislamu mbele ya mauaji…
-
Jumuiya ya Wawakilishi wa Wanafunzi na Wanazuoni wa Hawza ya Qom:
DuniaEnyi watawala dhaifu na walioshikwa na tamaa ya madaraka, hamuoni njaa zinazo wakabili watoto wa Ghaza?
Hawza/ Enyi watawala dhaifu na walioshikwa na tamaa ya madaraka! Msiziingize nafsi zenu kuwa vinyago vya Mayahudi wa Kizayuni, na jueni kwamba uzembe huu umeifanya ardhi ya Ghaza kuwa mahali…
-
DuniaAyatollah Al-Udhma Sistani azitaka Nchi za Kiarabu na Kiislamu Kukomesha Janga la Ghaza
Hawza/ Katika kilele cha janga la kibinadamu linalozidi kuenea huko Ghaza, ambapo watoto na raia wasio na hatia wanahiliki kutokana na janga la njaa, Ofisi ya Ayatollah Al-Udhma Sayyid Ali Sistani…
-
Barua ya wazi ya Jumuiya ya Walimu wa Hawza (J'amiatul-Mudrrisin) kwa Maulamaa wa Ulimwengu wa Kiislamu:
HawzaLeo ni wajibu kwa maulamaa wa umma kupaza sauti kwa ajili ya kuwaokoa watu wa Palestina
Hawza/ Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom: Leo ni wajibu na jukumu juu ya maulamaa wa umma kuvunja ukimya dhidi ya jinai hii ya wazi na ukimya wa madola ya kisiasa ya nchi za Kiislamu, pamoja…
-
Ayatollah al-Udhma Nouri Hamedani:
HawzaMheshimiwa Papa; Je, ikiwa Nabii Isa (as) angelikuwepo, angeweza kustahimili hali ya kutisha ya Ghaza na jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni?
Hawza/ Mtukufu Ayatollah Nouri Hamedani katika barua yake kwa Papa amesema: Katika hali hii ya kutisha ya Ghaza, je, ikiwa Manabii wa Mwenyezi Mungu kama Nabii Isa (as) na Nabii Muhammad (saw)…
-
Ayatollah al-Udhma Nouri Hamedani katika tamko lake rasmi amebainisha kuwa:
HawzaWatu wote waaminifu katika Ulimwengu wa Kiislamu watimize wajibu wao wa Kiislamu na kibinadamu kwa ajili ya watu wa Ghaza / Mwamko wa Umma wa Kiislamu unahitaji kilio cha kudai haki na hatua ya pamoja
Hawza/ Ayatollah Nouri Hamedani amesisitiza kuwa: Sasa ni wakati ambapo watu wote waaminifu wa ulimwengu wa Kiislamu—wakiwemo wanazuoni, wasomi na viongozi wa serikali—waweke kando tofauti za…
-
DuniaAyatollah Yaqubi atoa wito kwa ajili ya kutoa msaada wa haraka wa chakula na dawa huko Ghaza
Hawza/ Ayatollah Sheikh Muhammad Yaqubi ametoa wito na kuchukuliwa hatua za haraka ili kuwaokoa watu wa Ghaza dhidi ya njaa inayowakabili na kifo, na akazitaka serikali ya Iraq na nchi za Kiislamu…
-
DuniaMaulamaa mashuhuri wa Bahrain: Umma wa Kiislamu na Umoja wa Kimataifa wana wajibu wa kimaadili na kisheria kuondosha vizuizi na Klkuwasaidia watu wa Ghaza
Hawza/ Maulamaa mashuhuri wa Bahrain wamelaani vikali kuzingirwa Ghaza na kuwaacha wakiwa na njaa wakazi wake, kitendo ambacho kinafanywa na utawala wa Kizayuni, na pia wamekosoa hali ya baadhi…
-
DuniaJe, Brazil kujiunga na safu ya waungaji mkono Palestina ni hatua ya mabadiliko?
Hawza/ Katika hatua yenye mvumo mkubwa wa kidiplomasia, nchi ya Brazil imeungana na wanaounga mkono kuishtaki Israel, mashtaka ambayo yaliwasilishwa hivi karibuni katika Mahakama ya Kimataifa…
-
DuniaHali ya janga la Njaa Ghaza
Hawza/ Ukanda wa Ghaza, chini ya kuzingirwa vikali na utawala wa Kizayuni pamoja na Misri, unakabiliwa na janga kubwa la kibinadamu, ambapo jambo kuu kabisa ni njaa ya kiwango cha juu na uhaba…
-
Ayatollah A’rafi katika barua yake kuwaelekea maulamaa wakubwa wa nchi za Kiislamu:
HawzaKatika kati ya moto na njaa, tumaini la Ghaza limeelekezwa kuuelekea Umma wa Kiislamu / Hatua ya haraka kwa Umma wa Kiislamu na taasisi za kimataifa kuvunja kuzingirwa na kufikishwa misaada ya dharura
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza nchini Irani, katika barua mbalimbali amewaomba maulamaa wa ulimwengu wa Kiislamu wamkabili twaghuti wa dhulma, walie njaa ya wanyonge, wapaze sauti zao dhidi ya tawala…
-
DuniaPapa ataka kukomeshwa unyama unaofanywa na utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza
Hawza/ Papa Leo wa kumi na nne, huku akielezea masikitiko yake juu ya shambulio la anga lililofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya kanisa la Kikatoliki katika Ukanda wa Ghaza, ametoa wito wa…
-
DuniaMaandamano ya kupinga Uzayuni yameendelea nchini Jordan
Hawza/ Mitaa ya maeneo kadhaa ya Jordan tangia jana imeshuhudia maandamano ya wananchi dhidi ya mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel huko Ghaza, wananchi wa Jordan, licha ya hatua kali za…
-
DuniaRadi amali ya Al-Azhar kuhusu safari ya “Maimamu wa jamaa katika misikiti ya Ulaya” kwenda Israel
Hawza/ Al-Azhar ya Misri imelitaja kundi la watu waliokwenda hivi karibuni Israel na kujieleza kuwa “Maimamu wa jamaa katika misikiti ya Ulaya” kuwa ni “kundi lililopotoka,” na kuilaani vikali…
-
DuniaRais wa Brazil aitaka Jumuiya ya kimataifa iiunge mkono Palestina
Hawzah/ Rais wa Brazil, Luiz Inácio Lula da Silva, ametoa wito kwa serikali duniani kuchukua hatua madhubuti na ya pamoja dhidi ya Israel, akisema kuwa dunia haiwezi kukaa kimya mbele ya mauaji…
-
DuniaNyota wa Soka wa Tunisia wajiunga na safu ya wanao ikingia kifua Ghaza
Hawza/ Nyota wa soka wa Tunisia pia wamejiunga na kampeni ya kulaani utawala wa Kizayuni wa Israel na kuwatetea watu wa Ghaza wanaodhulumiwa.
-
Vyombo vya habari vya Kiebrania vimeripoti:
DuniaSoko haramu la tiketi za ndege kwa ajili ya kuikimbia Israel
Hawza/ Idadi ya Wazayuni wanaojaribu kukimbia kutoka Palestina iliyokaliwa kwa mabavu imeongezeka kwa kiwango kikubwa. Hata hivyo, kutokana na mashambulizi ya makombora kutoka Yemen, mashirika…
-
DuniaWatu wa Italia Wamiminika Barabarani kwa ajilia ya Kuiunga Mkono Palestina
Hawza/ Maelfu ya waandamanaji waliandamana katika mitaa ya mji mkuu wa Italia, Roma, kupinga vita vya Ghaza, Maandamano haya yaliandaliwa na vyama vikuu vya upinzani nchini Italia ambavyo vimeishutumu…
-
Pendekezo la Mwenyekiti wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan kuhusu Siku ya Kimataifa ya Wazazi:
DuniaDunia haisikii sauti ya wazazi waliopoteza watoto wao huko Ghaza
Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake kutokana na mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya Wazazi, amependekeza siku hii ipewe jina la wazazi wa watoto walio dhulumiwa…
-
DuniaMtafiti wa Uingereza: Kadhia ya Palestina Imeonesha Kuwa Kanuni za Kimataifa Hazina Ufanisi!
Hawza/ Kwa mujibu wa Salman Sayyid kutoka Chuo Kikuu cha Leeds, Uingereza, kadhia ya Palestina ni mada inayohusu madai ya haki duniani kote leo hii.
-
DuniaMaulamaa wa Pakistan watoa ombi la Kuzingatiwa kwa viongozi wa Saudia
Hawza/ Maulamaa mashuhuri wa Pakistan, katika khutba za Ijumaa, wameomba kwamba mwaka huu, viongozi wa Hija wa Saudi Arabia wafikishe ujumbe wa kuikomboa Baytul-Maqdis na mwamko wa Umma wa Kiislamu…
-
DuniaBenedict Cumberbatch aungana na waandamanaji dhidi ya mauzo ya silaha kwa Israel
Hawza/ Zaidi ya wasanii 300, madaktari, na wanajumuiya wa chuo kikuu nchini Uingereza, wametia saini barua ambayo inamtaka Waziri Mkuu wa Uingereza kuchukua hatua za haraka kuhusiana na vita…
-
DuniaPapa Leo wa Kumi na Nne Atoa Wito wa Kusitishwa Mapigano Mara Moja huko Ghaza
Hawza/ Papa Leo wa Kumi na Nne, katika hotuba yake ya hivi karibuni, kwa mara nyingine ametoa wito wa kusitishwa mapigano mara moja huko Ghaza na kuachiliwa huru kwa wafungwa wote.
-
DuniaYemen yafunga njia za baharini na angani kwa Israeli; Bei za bidhaa zapanda
Hawza/ Vyombo vya habari vya Israeli vimeripoti juu ya ongezeko kubwa la bei za vyakula katika miji iliyokaliwa kimabavu, huku wachumi wakithibitisha jambo hili.
-
DuniaUingereza kinyume na kauli zake bado inaendelea kuwauzia Israeli Silaha!
Hawza/ Maelfu ya waandamanaji wa Uingereza katika matembezi makubwa, waliitaka serikali kuacha kueneza kauli zisizo na vitendo na kusitisha mauzo ya silaha kwa Israel, hasa vipuri vya ndege ya…
-
DuniaViongozi na Taasisi za Kiislamu Uingereza Wamemtaka Waziri Mkuu Kusitisha Mazungumzo ya Kibiashara na Israel
Hawzah/ Viongozi na taasisi za Kiislamu nchini Uingereza wametaka kusitishwa kwa mazungumzo ya kibiashara kati ya Uingereza na Israel, na katika barua ya pamoja kwa Waziri Mkuu, wameelezea hali…
-
DuniaMitaa ya Lahaia yazingirwa na wapinzani dhidi ya vita
Hawza/ Waandamanaji waliovaa mavazi mekundu waliandamana siku ya Jumapili katika mji mkuu wa Uholanzi kwa lengo la kuitaka serikali yao kusitisha utekelezaji wa mikataba ya kibiashara na utawala…
-
HawzaMaandamano makubwa yafanyika: Takriban Nusu Milioni ya watu Jijini London waandamana kwa Ajili ya Kuiunga Mkono Palestina
Hawzah/ zaidi ya watu nusu milioni walijitokeza mitaani jijini London kuonesha kuwa wanaitaka serikali yao kusitisha kushiriki katika mauaji ya kimbari dhidi ya watu wasio na ulinzi huko Ghaza.
-
DuniaZakariya al-Sinwar, ndugu wa Shahidi Yahya al-Sinwar, auwawa kishahidi katika kambi ya al-Nusairat.
Hawza/ Zakariya al-Sinwar, ndugu yake Yahya al-Sinwar, ameuawa kishahidi pamoja na wanawe watatu katika shambulio lililo fanywa na utawala wa Kizayuni kwenye kambi ya al-Nusairat katikati mwa…