Janga la Njaa Ghaza (45)
-
Kiongozi wa Mapinduzi Irani:
DuniaUtawala wa kizayuni ni Utawala uliotengwa na unaochukiwa na watu ulimwengini
Hawza/ Kiongozi mkuu wa Mapinduzi alibainisha kwamba, Utawala wa Wazayuni ni Utawala ambao umetengwa katika hii duni na asilimia kubwa ya watu wanauchukia.
-
Barua ya Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza Tukufu ya Qum kwa Wanazuoni wa Al-Azhar:
DuniaWanazuoni wa Kiislamu wawasaidie wanyonge wa Ghaza
Hawza/ Watu wasio na hatia na wanaokabiliwa na njaa huko Ghaza wanachinjwa hadharani mbele ya macho ya dunia, hata wakiwa wamesimama kwenye foleni za chakula, ni wajibu na ni jambo zuri kwamba…
-
DuniaAyatullah Issa Q'asim: Kutengeneza uhusiano na utawala wa Kizayuni ni kujisalimisha kwenye mradi wa “Israili Kubwa”
Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Bahrain ameelezea kwamba kufanya uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni ni kujisalimisha kwenye mradi wa “Israili Kubwa”.
-
DuniaMsafara wa majini wa "Samud" wenye zaidi ya abiria 300 kutoka nchi 44 waja kuwaokoa watu wa Ghaza
Hawza / Ukurasa rasmi wa msafara wa majini wa "Samud" umetangaza kuwa kutokana na kusimama kwa muda huko Barcelona, safari imeahirishwa hadi tarehe 7 Septemba (Jumapili, 16 Shahrivar). Katika…
-
DuniaUshahidi unaonesha kwamba mauaji ya kimbari yanayofanyika huko Ghaza yanaongozwa na Marekani
Hawzah/ Moja ya vikundi vya ukombozi wa Palestina vinaamini kuwa Marekani ikiongozwa na Trump ndiye mhusika mkuu na wa moja kwa moja katika jinai zinazofanywa na Israel; kwa hakika ni Washington…
-
DuniaZaidi ya Waandishi wa habari 250 na Mashirika ya habari wamechapisha kurasa nyeusi kwa ajili ya kupinga mauaji ya waandishi wa habari huko Ghaza
Hawzah/ Kupitia hatua ya pamoja na isiyo na mfano, zaidi ya waandishi wa habari na Mashirika ya habari 250, kwa uratibu wa kikundi kiitwacho Waandishi Vijana (RSF), kutoka nchi 70 duniani, walichukua…
-
DuniaRadi amali ya Wabahrain kutokana na uteuzi wa balozi mpya wa utawala wa Kizayuni
Hawza/ Maandamano ya wananchi kwa ajili ya kupinga mapokezi ya balozi mpya wa utawala wa Kizayuni yamefanyika katika maeneo kadhaa Bahrain.
-
Mwanazuoni wa Kisunni:
DuniaKunyamaza wanaodai haki za binadamu mbele ya mauaji ya halaiki ya Wapalestina ni jambo la aibu
Hawza/ Asadullah Bahto, katika hotuba yake, alilieleza juu ya kunyamaza wanaodai haki za binadamu mbele ya mauaji ya halaiki ya Wapalestina kuwa ni jambo la aibu, na akasisitiza juu ya kushindwa…
-
DuniaMkusanyiko wa kikundi cha waendesha pikipiki wanaoiunga mkono Palestina mbele ya Mahakama ya The Hague
Hawza/ Mamia ya waendesha pikipiki waliandamana mbele ya Mahakama ya The Hague kwa ajili ya kuwaunga mkono watu wa Palestina
-
DuniaVijana wengi nchini Marekani, Wanaikingia kifua Palestina
Hawza/ Utafiti mpya na wa kina unaonyesha kwamba idadi kubwa ya rika la vijana, maarufu kama Kizazi cha vijana, nchini Marekani ni wafuasi madhubuti wa Palestina na Ghaza
-
DuniaMkutano Unao wakilisha na Nchi 45 Nchini Tunisia kwa Ajili ya Harakati ya Baharini Kuelekea Ghaza, Pamoja na kuwepo Tishio la Moja kwa Moja lililotolewa na Utawala wa Kizayuni
Hawza/ Wawakilishi kutoka nchi 45 dunianj walikusanyika siku ya Jumapili nchini Tunisia kwa ajili ya kuanza harakati ya baharini kuelekea Ukanda wa Ghaza ili kuondosha mzingiro wa eneo hili,…
-
DuniaMaimamu wa Kiislamu duniani wametaka kuundwa umoja wa Kiislamu kwa ajili ya kuwaunga mkono watu wa Ghaza
Hawza/ Mkutano wa “Wajibu wa Kiislamu na Kibinadamu; Ghaza” kwa ushirikiano wa Jumuiya ya Kimataifa ya Wanazuoni wa Kiislamu na Taasisi ya Wanazuoni wa Kiislamu ya Uturuki na kwa kuhudhuriwa…
-
Ayatollah Araki katika mkutano na baraza la kampeni ya “Sauti ya Ghaza”:
DuniaKuwasaidia watu wanyonge wa Ghaza ni jukumu la kisheria, la dharura na la lazima
Hawza/ Mjumbe wa Baraza Kuu la Hawza katika mkutano na Baraza la wananchi la kampeni ya “Sauti ya Ghaza” alisisitiza kuwa: Kuwasaidia watu wanyonge wa Ghaza ni jukumu la kisheria la dharura na…
-
DuniaNaibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Maulamaa wa Kiislamu Pakistan: Kuiharibu Ghaza kamwe hakutaifanikisha ndoto ya kibabe ya kujenga minara
Hawza/ Maulavi Amjad Khan katika hotuba yake alisema: Kuiharibu Ghaza na kujenga minara mirefu kamwe hakutazaa matunda, na ushujaa na uimara wa watu wa eneo hili umezikwamisha njama zote za adui
-
DuniaTaarifa ya Jumuiya ya Walimu wa Hawza ya Qom Irani [J'amiatul Mudarris'in] Kuhusiana na Kulaani Mpango wa Kuzuia na Kuuteka Kikamilifu Ukanda wa Ghaza / Aibu iliyowapata waongo wanaodai haki za Binadamu
Hawza/ Mpango dhalimu na kinyume cha ubinadamu wa kuiteka Ghaza kwa hakika utashindwa, na mapambano ya Kiislamu huko Ghaza, kwa idhini na msaada wa Mwenyezi Mungu, yatapats ushindi wa mwisho…
-
Ayatollah A‘rafi:
HawzaWanazuoni wa Kiislamu na mashirika ya kimataifa wazuie uvamizi wa Ghaza
Hawza/ Ayatollah A‘rafi, katika tamko lake, sambamba na kulaani uvamizi wa kikamilifu wa Ghaza, amesema: Tunazitaka serikali zote, mataifa yote, wanazuoni, wasomi, taasisi za kisheria na mashirika…
-
DiniJe, Viongozi wa Israel Wana “Heshima ya Kibinadamu”?
Hawza/ Heshima ya mwanadamu katika Uislamu ni neema ya Mwenyezi Mungu, lakini heshima hii hubakia pale ambapo mtu ataidumisha kutokana na mienendo yake, wahalifu wanaomwaga damu ya wasio na hatia…
-
DuniaMaandamano makubwa na yenye haiba ya kipekee, yafanyika kwa ajili ya kuiunga mkono Ghaza na kulaani jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni huko Kargil
Hawza/ Kufuatia kuendelea kwa jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni, kufukuzwa kwa lazima na kuzingirwa watu wa Ghaza, Taasisi ya Kumbukumbu ya Imam Khomeini (r.a) huko Kargil, India, iliandaa…
-
DuniaRais wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Pakistan: Kuikalia Ghaza kimabavu, ni doa lenye kufedhehesha katika dunia inayodai ustaarabu
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika tamko lake, amelaani vikali mpango wa utawala wa Kizayuni wa kuikalia Ghaza na kulieleza tendo hili kuwa ni kofi kali usoni mwa…
-
Ayatollah A’rafi katika Mkutano wa Mtandaoni wa Kimataifa kuhusu Ghaza na Wanazuoni wa Umma:
HawzaMipango ya uvamizi na uharibifu inayofanywa na utawala wa Kizayuni itashindwa na kusukumwa nyuma.
Hawza/ Mkurugenzi wa Hawza Irani alisema: Tuna imani ya hakika kwamba mipango ya uvamizi na uharibifu inayofanywa na utawala huu, kwa baraka ya uelewa wa umma wa Kiislamu, hatua za serikali huru…
-
DuniaJamii ya Afya na Tiba Nchini Morocco Yaingia Kwenye Mgomo wa Kula kwa Ajili ya Kuiunga Mkono Ghaza!
Hawza/ Jumuiya ya madaktari na wahudumu wa afya nchini Morocco wameamua kuingia kwenye mgomo wa kula ili kuonyesha mshikamano na wenzao walioko Ghaza pamoja na watoto na raia wasio na hatia waliokumbw…
-
DuniaMwandishi wa Hawza: Ukimya wa watawala wa Kiislamu mbele ya njaa inayo wakabili watu wa Ghaza haufahamiki
Hawza/ Mtafiti wa kielimu wa Hawza ametaja kimya cha sasa cha jumuiya za Kiislamu na wanaharakati wa kiraia, kuwa ni miongoni mwa majibu ya kusikitisha zaidi ya Waislamu dhidi ya maadui katili…
-
DuniaIsraeli Yakiri Kwamba: “Watu Wote Wanaikhtalifiana na Sisi”
Hawza/ Katika kukiri kusiko na kifani, maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje wa utawala wa Kizayuni wametangaza kupungua kwa kiwango kikubwa cha wafuasi wa utawala huo katika uwanja wa kimataifa,…
-
DuniaSheikh al-Qattan: Watoto wa Ghaza wanakufa huku wakitamani kipande cha mkate
Hawza/ Sheikh Ahmad al-Qattan amesema kuwa: “Yale ambayo watu wetu wa Ghaza wanayapitia ni jukumu la Umma mzima, maulamaa, masultani, watawala, wakuu wa kifalme, wafalme na marais.”
-
DuniaMufti wa Sur na Jabal Amel: Kinachotokea Gaza ni uhalifu unaopewa uhalali wa kimataifa, na ni doa la aibu katika historia ya ubinadamu
Hawza/ Hujjat al-Islam Qadhi Sheikh Hassan Abdullah ameelezea kuwa: Mateso wanayo yapitia watu wa Palestina katika Ukanda wa Ghaza, ni sawa na uhalifu unaopewa uhalali wa kimataifa na doa la…
-
DuniaUNICEF: Watoto wa Gaza wanapumua pumzi za mwisho
Hawza/ Shirika la Afya Duniani limewaomba watu dunianj kuchukua hatua za haraka kwa ajili ya Ghaza, kwani Ghaza kwa sasa ni mahali ambapo watoto wanakufa kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa…
-
DuniaJe, Kuona Picha za Njaa huko Ghaza Kunaathiri Fikra za watu nchini Israel?
Hawza/ Kwa mara ya kwanza tangia kuanza kwa vita vya sasa vya Ghaza, Kituo cha Televisheni cha Channel 12 cha utawala wa Kizayuni kimeonyesha video yenye picha na filamu za watoto waliokonda…
-
DuniaUholanzi yampiga marufuku Ben Gvir kuingia nchini humo
Hawza/ Vyombo vya habari vya Uholanzi vimetangaza kuwa serikali ya nchi hiyo imeamua, katika muktadha wa kuongeza shinikizo kwa utawala wa Israel ili iachane na vikwazo vya chakula na maji huko…
-
DuniaAnsarullah: Msaada wa baadhi ya nchi za Kiislamu na Kiarabu kutokana na kuzingirwa Ghaza ni aibu kubwa!
Hawza/ Mmoja wa wajumbe wa kisiasa wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amekosoa vikali baadhi ya serikali za Kiarabu na Kiislamu kwa kushirikiana na utawala wa Kizayuni wenye damu mikononi mwake…
-
DuniaZaidi ya Walimu 2000 wa hawza ya Qom, Waunga Mkono Uongozi, Marjaa na Watu wa Ghaza/ Damu na Mali za Trump, Muuaji na Mhalifu, ni Halali
Hawza/ Zaidi ya mafaqihi na walimu 2000 wa ngazi za juu na za wa hawza Qom, kwa kuunga mkono hadhi ya juu ya marjaa na uongozi wa Uislamu duniani na watu wanyonge wa Gaza, wametaka Netanyahu,…