Janga la Njaa Ghaza (73)
-
DuniaUchambuzi wa athari za maandamano ya kimataifa kuhusu suala la Ghaza
Hawza/ Sote tumeshuhudia mlipuko wa ghadhabu na chuki dhidi ya Israel kutokana na vita na mauaji ya kimbari yanayoendelea Ghaza, hasa katika kipindi cha miaka miwili iliyopita. Tukio hili limechochea…
-
Mjumbe Mwandamizi wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia Pakistan:
DuniaUstahimilivu na kujitolea Wapalestina kumeidhihirisha sura halisi ya Wazayuni
Hawzah/ Hujjatul-Islam Sayyid Nazir Abbas Taqavi katika hotuba yake amesema: “Muqawama wa Kiislamu, kwa kusimama kidete na kustahimili, umeishinda serikali ya Kizayuni katika nyanja za kijeshi…
-
DuniaHispania Imeishtaki Israeli Katika Mahakama ya Kimataifa
Hawza/ Waziri wa Mambo ya Ndani wa Hispania, Fernando Grand Marsela, amefikisha malalamiko rasmi katika Mahakama ya Jinai ya Kimataifa dhidi ya Israeli kuhusiana na matukio yanayohusiana na ufuatiliaj…
-
DuniaMaandamano Makubwa yafanyika kila pembe ya Cuba kwa ajili ya Kuwaunga Mkono Watu wa Palestina na Kupinga Uhalifu Ghaza
Hawza/ Maelfu ya wananchi wa Cuba Jumatano waliandaa maandamano makubwa katika sehemu mbalimbali za nchi hiyo, wakionyesha uungaji wao mkono watu wa Palestina na kudai kusimamishwa mara moja…
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Kishia wa Pakistan:
DuniaHakuna nguvu ya kibeberu yenye haki ya kuamua hatima ya Palestina
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sajid Ali Naqvi, katika ujumbe wake amesisitiza kuwa damu ya mashahidi wa Palestina imeuamsha dhamiri ya dunia na kuzielekeza fikra za umma kwenye haki…
-
DuniaMashabiki wa Timu za Hispania, Bilbao na Mallorca wawaunga mkono Wapalestina
Mashabiki wa Timu za Hispania, Bilbao na Mallorca waonesha mshikamano wao na Wapalestina katika ligi ya La Liga.
-
DuniaTaarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje kuhusu mpango wa kusitisha mapigano huko Ghaza
Hawza/ Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi ya Iran imesisitiza kuwa daima imekuwa ikiunga mkono kila juhudi na mpango unaolenga kusitisha mauaji ya kikabila, uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya…
-
DuniaWataliano wataka mechi kati yao dhidi ya Israel Ifutwe
Hawza/ waandamanaji siku ya Ijumaa waliingia kwenye mazoezi ya timu ya taifa ya kandanda ya Italia, na baada ya kukaribia lango na uwanja, walitangaza kuwa wanataka mchezo wa timu yao dhidi ya…
-
Mwanachuoni wa Kidini wa Pakistan:
DuniaKujitolea kwa Harakati ya Muqāwama ya Palestina Hatimaye Kutausambaratisha Utawala wa Israel
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Nāzir Abbas Taqvī, katika hotuba yake, huku akisisitiza uimara wa Muqāwama wa Palestina alisema: “Kujitolea kwa wananchi na wapiganaji wa Palestina hatimaye kutausambarati…
-
Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi Asghariyya Pakistan:
DuniaKukandamizwa kwa Sauti za Wanaotetea Haki Kumeufichua Uso wa Kweli wa Utawala wa Kizayuni
Hawza/ Thaqalain Ali Jafari, katika taarifa yake iliyo laani vikali shambulio la utawala wa Kizayuni dhidi ya “Flotilla ya Kimataifa ya Ṣumūd”, alisisitiza kuwa mwenendo wa Israel dhidi ya wanaharaka…
-
DuniaMsaada wa Kina wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Nikaragua kwa Taifa Lenye Kudhulumiwa la Palestina
Hawza / Waziri wa mambo ya nje wa Nikaragua amevitaja vikwazo na hatua za upande mmoja za Marekani dhidi ya Cuba na Venezuela kuwa ni “uhalifu dhidi ya ubinadamu” na akatangaza kuunga mkono mapambano…
-
DuniaFikra ya Kichambuzi Kutoka Havana Hadi Ghaza / Mwitikio wa Maneno ya Fidel Castro katika Masuala ya Palestina
Hawza / Miaka 65 baada ya hotuba ya kihistoria ya Fidel Castro katika Umoja wa Mataifa, ambapo alitoa wito wa kuangamizwa kwa “falsafa ya uporaji” ili kukomesha “falsafa ya vita”, wengi wanaamini…
-
DuniaRais wa Chile: Netanyahu ashtakiwe kwa kosa la mauaji ya kimbari
Hawzah / Rais wa Chile amesisitiza kwamba hataki Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, auawe katika shambulio, bali inapaswa ashtakiwe mbele ya mahakama ya kimataifa kwa kosa la mauaji ya…
-
DuniaRadi amali kali kutoka Chama cha Refah-e Melli Afghanistan dhidi ya hotuba ya Trump katika Umoja wa Mataifa
Hawza/ Chama cha Refah-e Melli Afghanistan kimekosoa vikali maneno ya hivi karibuni ya Donald Trump katika Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Mataifa kuhusu amani na kusitishwa kwa mapigano…
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan:
DuniaGhaza imekuwa makaburi ya ubinadamu na dhamiri ya ulimwengu
Hawza/ Ishaq Dar, katika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, alionya kwamba Ghaza imegeuka kuwa makaburi ya ubinadamu na dhamiri ya ulimwengu, kutokana na vifo vingi na hali mbaya…
-
DuniaUhispania yaionya Israel kuhusu kuzilenga meli zinazobeba misaada kwa ajili ya watu wa Ghaza
Hawza/ Waziri wa Mambo ya Nje wa Uhispania, José Manuel Albares, katika tamko lake la hivi karibuni aliionya Israel kuwa shambulio lolote dhidi ya meli Samoud Fololita ambayo inabeba misaada…
-
DuniaUlaya yaungana kwa ajili ya kuiunga mkono Ghaza
Hawza/ Mashindano, tamasha na mikusanyiko mbalimbali barani Ulaya vinaonesha ongezeko la chuki ya umma dhidi ya Israel muhalifu, Mabango na bendera zinazoashiria upinzani kwa wachezaji wa timu…
-
DuniaMgomo mfululizo nchini Italia kwa ajili ya kuiunga mkono Ghaza
Hawza/ Vyama vya wafanyakazi na vikundi vya haki za binadamu nchini Italia vimezindua mradi wa kuandaa mgomo mfululizo kwa ajili ya kuiunga mkono Ghaza, chini ya kauli mbiu: “Chagua umesimama…
-
DuniaMaandamano makubwa yakibeba kaulimbiu isemayo “Watoto wa Ghaza” yamefanyika katika mji wa Karachi, Pakistan
Hawza / Maandamano makubwa yaliyobeba kaulimbiu isemayo “Watoto wa Ghaza” yamefanyika mjini Karachi, Pakistan; mamilioni ya watoto, wanafunzi wa shule na wanafunzi wa vyuo walishiriki kwa wingi…
-
DuniaImamu wa Ijumaa Baghdad ataka msimamo mmoja wa Kiislamu na Kiarabu kuhusiana na Ghaza
Hawzah/ Ayatullah Sayyid Yasin Musawi, huku akikosoa ukimya na kutofanya lolote kwa baadhi ya nchi za Kiislamu na Kiarabu mbele ya mauaji ya Wapalestina, amesisitiza juu ya ulazima wa kuchukua…
-
Raisi wa Baraza la Waislamu wa Kishia nchini Pakistan:
DuniaMauaji ya Kimbari ya Wapalestina ni Matokeo ya Utendaji wa Ukoloni Duniani
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Seyyed Sajid Ali Naqvi, Raisi wa Baraza la Waislamu wa Kishia nchini Pakistan, katika tamko lake alieleza kwamba; Israel ni zana tu ya ukoloni wa dunia, na…
-
DuniaWakazi wa New York na New Zealand wameandamana kudai vita vya Ghaza vifikie hatam
Hawza/ Watu wa New York na New Zealand katika maandamano makubwa wameitaka Israel isimamishiwe kikamilifu na kwa upana wote kuhusiana na mauzo ya silaha.
-
Chaneli 13 ya Israeli:
DuniaIsrael inakabiliwa na “tsunami ya kisiasa” na upweke wetu baada ya kushindwa kwa shambulizi letu dhidi ya Qatar unaongezeka
Hawza/ Chaneli 13 ya Israeli imefichua kuhusu mgogoro mkubwa wa kisiasa na kidiplomasia unaoikumba Israel baada ya kushindwa kwa shambulizi dhidi ya Qatar na kuongezeka kwa upweke wa kimataifa.
-
DuniaUhispania yachukua kwa Hatua Kubwa ajili ya Kuuwekea Vikwazo Utawala wa Kizayuni
Hawza/ Bwana Sánchez katika hotuba yake ya hivi karibuni, sambamba na kutangaza mipango yake ya baadaye kwa ajili ya nchi ya Uhispania, pia alitangaza kuwa nchi hii inalaani jinai zinazofanywa…
-
DuniaMashabiki wa Timu ya Italia Wapinga Wimbo wa Israel
Hawza/ Mashabiki wa timu ya mpira wa miguu ya Italia, wakati unaimbwa wimbo wa utawala wa Kizayuni, katika hatua ya ishara ya kupinga jinai za kikatili zinazofanywa na utawala huo, waliupa mgongo…
-
DuniaShambulio la droni lililofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya moja ya meli za msafara wa “Sumud”
Shambulio la droni la utawala wa Kizayuni dhidi ya moja ya meli za msafara wa “Sumud” ambayo ilikuwa imebeba watu kutoka nchi 44 duniani limezidisha wasiwasi kuhusiana na hali ya Ghaza.
-
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Palestina katika ufunguzi wa Mkutano wa Umoja:
DuniaIwapo Ghaza itaanguka, hakuna nchi ya Kiislamu itakayokuwa salama
Hawza/ Sheikh Hassan Muhammad Qasim akiwahutubia Waislamu alisema: Ingieni mkono Palestina, kwani iwapo Ghaza itaanguka, hakika nyinyi pia mtaanguka.
-
DuniaBarua muhimu ya Hujjatul-Islam Raji kwa msafara wa Uhuru wa Ghaza – Sumud
Hawza/ Ninyi ni wafuasi wa Nuhu, Ibrahim na Musa; mkiwa mmepanda mejahazi, katikati ya moto, bahari mtaipasua ili kufika pwani ya Ghaza na kuondosha vizuizi.
-
Kiongozi wa Mapinduzi Irani:
DuniaUtawala wa kizayuni ni Utawala uliotengwa na unaochukiwa na watu ulimwenguni
Hawza/ Kiongozi mkuu wa Mapinduzi alibainisha kwamba, Utawala wa Wazayuni ni Utawala ambao umetengwa katika hii duni na asilimia kubwa ya watu wanauchukia.
-
Barua ya Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Walimu wa Hawza Tukufu ya Qum kwa Wanazuoni wa Al-Azhar:
DuniaWanazuoni wa Kiislamu wawasaidie wanyonge wa Ghaza
Hawza/ Watu wasio na hatia na wanaokabiliwa na njaa huko Ghaza wanachinjwa hadharani mbele ya macho ya dunia, hata wakiwa wamesimama kwenye foleni za chakula, ni wajibu na ni jambo zuri kwamba…