Imam Hussein (28)
-
Mkurugenzi wa Ataba Tukufu ya Imam Hussein (as):
DuniaHarakati ya Imam Hussein (as) ni mradi wa milele wa kupambana na dhulma
Hawza/ Hassan Rashid Jawad Al-Abayiji, amesisitiza kuwa; kadhia ya Palestina leo ndio dhihirisho hai la mwendelezo wa ujumbe wa Imam Hussein (as) wa kuwanusuru wanaodhulumiwa na kuutetea ukweli.
-
DuniaMatembezi ya Waombolezaji wa Imam Hussein (as) ya Kuikaribisha Arubaini nchini Nigeria
Hawza/ Kundi la Waislamu wa Kishia na wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria chini ya uongozi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, wamefanya matembezi ya kwanza ya Arubaini ya Imam Hussein (as) kwa…
-
Mwakilishi wa Ayatullah Sistani:
DuniaHeshima ya Kumhudumia Imam Hussein (as) Hukamilika kwa Kushikamana na Njia ya Ahlul-Bayt (as)
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Abdul Mahdi Karbalai amesisitiza kuwa; kumhudumia Imam Hussein (as) hakuishii katika kutekeleza majukumu ya kazi pekee, bali hukamilika kwa kushikamana…
-
DuniaKigali Yaomboleza Ashura kwa Huzuni Kubwa ; Mamia ya Waumini Wakusanyika Kumuenzi Imam Hussein (as) + Picha
Hawza/ Mamia ya waumini wa Ahlul-Bayt (as) nchini Rwanda wamekusanyika kwa wingi jijini Kigali kushiriki Majlisi kubwa ya maombolezo ya Siku ya Ashura 1448 H/2026, kwa lengo la kuhuisha kumbukumbu…
-
Raisi wa Baraza la Wanazuoni wa Imamiyya Bangladesh:
DuniaKarbala ni alama ya milele ya mapambano kati ya haki na batili na ya kusimama kwa mnyonge dhidi ya dhalimu
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Ibrahim Khalil Rizvi amesema katika hotuba yake kuwa: Harakati ya Imam Hussein (as) ni alama ya milele ya mapambano kati ya haki na batili, na imewafundisha Waislamu…
-
DuniaBujumbura Yaungana Kumuenzi Imam Hussein (as); Waumini Wafurika Majlisi ya Ashura Nchini Burundi + Picha
Hawza/ Waumini wa Ahlul-Bayt (as) nchini Burundi wamekusanyika kwa wingi katika mji mkuu wa Bujumbura kushiriki kikao kikubwa cha maombolezo ya Siku ya Ashura 1448 Hijria (2026), kwa lengo la…
-
Imam wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad:
DuniaAshura ni Mradi wa Kudumu wa Mageuzi
Hawza/ Ayatullah Sayyid Yasin Mousawi, Imam wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad, amesema kuwa; Ashura si tukio la kihistoria tu, bali ni "mradi wa kudumu wa mageuzi", na akasisitiza kwamba kupigania…
-
DuniaMatembezi ya Amani ya Kumuenzi Imam Hussein (as) Yafanyika Jijini Arusha + Picha
Hawza/ Waumini wa dhehebu la Shia jijini Arusha wamefanya matembezi ya amani kwa lengo la kuhuisha kumbukumbu ya shahada ya Imam Hussein (as), mjukuu wa Mtume Muhammad (saww), aliyeuawa kwa dhuluma…
-
DuniaMajlisi za Maombolezo ya Imam Hussein (as) za Kinamama Zaendelea Nchini Tanzania + Picha
Hawza/ Katika siku za maombolezo ya mwezi wa Muharram, zinazokumbusha tukio la kusikitisha la kuuawa kwa njia ya dhuluma Imam Hussein (as) na wafuasi wake katika ardhi ya Karbala, wanawake waumini…
-
DuniaMajlisi za Maombolezo ya Imam Hussein (as) Zaendelea kwa Huzuni Kubwa Jijini Arusha, Tanzania
Hawza/ Katika hali ya huzuni, majonzi na kumbukumbu zenye kuumiza nyoyo za waumini wa Ahlul-Bayt (as), Kituo cha Ahlul-Bayt jijini Arusha kimeendelea kuandaa majlisi za maombolezo ya msiba wa…
-
DuniaMajlisi ya Maombolezo ya Imam Hussein (as) Yafanyika Nchini Malawi Katika Mwezi Mtukufu wa Muharram
Hawza/ Katika mwendelezo wa maadhimisho ya mwezi mtukufu wa Muharram katika bara la Afrika, waumini nchini Malawi wameendelea kuhuisha kumbukumbu ya tukio la kusikitisha la Karbala kupitia majlisi…
-
Mwanazuoni wa Kisunni wa Lebanon:
DuniaMadrasah ya Karbala Imeufundisha Umma Jinsi ya Kusimama Imara Juu ya Haki
Hawza/ Sheikh Ahmad Al-Qattan amesisitiza kwamba; Madrasah ya Karbala imeufundisha Umma jinsi ya kusimama imara juu ya haki na jinsi ya kupambana na dhulma.
-
DuniaVikwazo na Hatua za Kikatili Dhidi ya Mashia wa Bahrain Vyaongezeka
Hawza/ Vikosi vya wanamgambo vimeongeza uwepo wao katika maeneo yanayozunguka Msikiti wa Imam Sadiq (as) kwa lengo la kuzuia maandamano ya wananchi yanayofanyika sambamba na siku za Muharram.
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaBaadhi ya Nchi za Ghuba Kuzuia Kufanyika Maombolezo ya Hussein ni Kurudia Sera za Utawala wa Baath
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanji amesema: Leo ni wajibu kwa maadui wa Imam Hussein (as) kuwa na hofu kwamba mwisho wao utakuwa kama mwisho wa utawala wa zamani wa Saddam.
-
DuniaMajlisi za Imam Hussein (as) Zaendelea kwa Hamasa Kubwa katika Nchi za Afrika Mashariki
Hawza/ Nchi mbalimbali za Afrika Mashariki zimeendelea kushuhudia majlisi na mikusanyiko mikubwa ya maombolezo ya Imam Hussein (as), mjukuu wa Mtume Muhammad (saww), katika kumbukumbu ya kuuawa…
-
DuniaBaraza la Wanazuoni wa Kishia Afghanistan Lasisitiza Umuhimu wa Kuhakikishwa Usalama Kwenye Maadhimisho ya Maombolezo ya Muharram Nchini Humo
Hawza/ Sambamba na kuwadia mwezi wa Muharram, Baraza la Wanazuoni wa Kishia Afghanistan limetoa taarifa likisisitiza umuhimu wa kuandaliwa kwa maadhimisho ya maombolezo kwa utukufu, utulivu na…
-
DuniaImamu wa Ijumaa Najafu Ashraf, Akosoa kuhusiana na kuenezwa baadhi ya upotovu wa kidini na kimaadili katika majlisi za Huseini
Hawza / Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qubanchi alisema: “Tunaamini kuwa Hashd al-Sha‘bi ni nukta ya nguvu ya Iraq na Hashd al-Sha‘bi ni alama ya heshima na fahari ya Iraq, kuvunjwa…
-
DuniaMar'asim iliyofana ya Siku ya Husseun (a.s) yafanyika katika Bunge la Victoria, Australia
Hawza/ Hafla ya pili ya Siku ya Hussein (a.s) ilifanyika kwa juhudi za mtandao wa Khayrul-ʿAmal katika Bunge la Jimbo la Victoria, Australia; hafla ambayo ilihudhuriwa na wawakilishi wa bunge,…
-
DuniaMshikamano kati ya Wanazuoni wa Kishia na Kisunni nchini Bangladeshi katika Kuiheshimu Arubaini ya Imam Husein (a.s.)
Hawza/ Kwa mara ya kwanza nchini Bangladeshi, wanazuoni wa Kishia na Kisunni wameungana kwa pamoja katika kugawa tabarruk za Imam Husein (a.s.) katika mji wa Khulna; hatua ambayo ni ishara ya…
-
DuniaMwanazuoni wa Kishia kutoka Kashmir: Turekebishe maisha yetu kwa kuufuata mwenendo wa Imam Husein (a.s.)
Hawzah/ Hujjat al-Islam Sayyid Hadi Musawi, katika kikao chake kwa ajili ya maombolezo, alisema: Bibi Zaynab (s.a.) kutokana khutuba zake aliuhifadhi utajo wa Karbala, na Imam Sajjad (a.s.) kwa…
-
Kwa kutegemea mfumo sahihi wa kuhesabu kielektroniki;
DuniaAtaba Tukufu ya Abulfadhil Abbasi (a.s) yatangaza idadi ya mazuwari waliohudhuria katika Ziara ya Arubaini mwaka huu
Hawza/ Ataba Tukufu ya Abulfadhil Abbasi (a.s) imetangaza uwepo wa zaidi ya mazuwari milioni 21 kwenye maadhimisho ya ziara ya Arubaini, taarifa hii imetolewa kwa kutumia mfumo sahihi wa kuhesabu…
-
HawzaHawza yatoa Shukrani za dhati kutokana na mahudhurio ya mamilioni ya watu kwenye Arubaini pamoja na Ukarimu wa Serikali na Taifa la Iraq
Hawza/ Kituo cha Usimamizi wa Hawza, sambamba na kuthamini uwepo wa mamilioni ya waty katika tukio hili kubwa la kimungu na kistaarabu la Arubaini, na pia kutoa shukrani zake kutokana na ukarimu…
-
Ayatullah Saidi katika khutba za Sala ya Ijumaa:
Dunia"Kumuitikia Imam Hussein ni sawa na kumuitikia Imam Mahdi / Mjumuiko mkubwa wa Arubaini ni fursa bora ya kubainisha na kutangaza Uislamu safi wa Muhammadi"
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom Irani, amesema: Arubaini ni harakati ya pamoja kuelekea kwa Imamu na Hujjat wa Mwenyezi Mungu, Arubaini ina uhusiano wa karibu mno na Mahdawiyya kiasi kwamba kusema…
-
Ayatollah Al-Udhma Makarim Shirazi:
DuniaArubaini ni hazina kubwa inayotokana na mapenzi, kujitolea na utu
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Makarim amesisitiza kuwa: Arubaini si matembezi tu; ni hazina kubwa inayotokana na mapenzi, kujitolea na ubinadamu ambayo haina mfano wowote duniani.
-
Ayatullah Al-Udhma Jawad Amuli:
Dunia Lengo Kuu la Sayyid al-Shuhadaa (a.s.) Lilikuwa ni Kufundisha na Kuwatakasha watu
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Al-Udhma Jawadi Amuli amesema: Ziara ya Arubaini humwondoa mwanadamu katika tabia ya kuwa na huzuni ya kupita kiasi, pupa na ubinafsi wa kuzuia mema, na lengo kuu la…
-
DuniaMaukibu (Hema) ya kupinga uzayuni katika njia ya kuelekea kwenye Arubaini ya Imam Husein (as); Maonyesho ya jinai zinazofanywa na Marekani kwenye nguzo ya 794
Hawza/ Kwenye njia ya matembezi ya Arubaini, karibu na nguzo ya 794, kumewekwa hema (Maukibu) tofauti yenye sura ya maonyesho ya kimataifa; mahali ambapo picha na vielelezo vya jinai za utawala…
-
DuniaMwakilishi wa Ayatollah Al-Udhma Sistani Ulaya: Arubaini ya Husseini; Ujumbe wa mwamko, uaminifu na kusimama imara mbele ya dhulma
Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sayyid Murtadha Kashmiri, mwakilishi wa Ayatollah Al-Udhma Sayyid Ali Sistani katika bara la Ulaya, katika ujumbe wake kwa mazuwari wa Arubaini amesisitiza…
-
DuniaMwisho wa Mkwe wa Saddam ambae Alivamia Haram ya Imam Hussein (as)
Hawza/ Hussein Kamel, kwa ushujaa na urongo, alivamia Haram ya Ab'a Abdillah (as) kwa amri ya Saddam Hussein mwaka 1370 Hijria Shamsiya, na kuelekeza mizinga ya vifaru kuelekea kwenye kuba tukufu,…