Imam Hussein (16)
-
Mkurugenzi wa Ataba Tukufu ya Imam Hussein (as):
DuniaHarakati ya Imam Hussein (as) ni mradi wa milele wa kupambana na dhulma
Hawza/ Hassan Rashid Jawad Al-Abayiji, amesisitiza kuwa; kadhia ya Palestina leo ndio dhihirisho hai la mwendelezo wa ujumbe wa Imam Hussein (as) wa kuwanusuru wanaodhulumiwa na kuutetea ukweli.
-
DuniaMatembezi ya Waombolezaji wa Imam Hussein (as) ya Kuikaribisha Arubaini nchini Nigeria
Hawza/ Kundi la Waislamu wa Kishia na wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria chini ya uongozi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, wamefanya matembezi ya kwanza ya Arubaini ya Imam Hussein (as) kwa…
-
Mwakilishi wa Ayatullah Sistani:
DuniaHeshima ya Kumhudumia Imam Hussein (as) Hukamilika kwa Kushikamana na Njia ya Ahlul-Bayt (as)
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Abdul Mahdi Karbalai amesisitiza kuwa; kumhudumia Imam Hussein (as) hakuishii katika kutekeleza majukumu ya kazi pekee, bali hukamilika kwa kushikamana…
-
DuniaKigali Yaomboleza Ashura kwa Huzuni Kubwa ; Mamia ya Waumini Wakusanyika Kumuenzi Imam Hussein (as) + Picha
Hawza/ Mamia ya waumini wa Ahlul-Bayt (as) nchini Rwanda wamekusanyika kwa wingi jijini Kigali kushiriki Majlisi kubwa ya maombolezo ya Siku ya Ashura 1448 H/2026, kwa lengo la kuhuisha kumbukumbu…
-
Raisi wa Baraza la Wanazuoni wa Imamiyya Bangladesh:
DuniaKarbala ni alama ya milele ya mapambano kati ya haki na batili na ya kusimama kwa mnyonge dhidi ya dhalimu
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Ibrahim Khalil Rizvi amesema katika hotuba yake kuwa: Harakati ya Imam Hussein (as) ni alama ya milele ya mapambano kati ya haki na batili, na imewafundisha Waislamu…
-
DuniaBujumbura Yaungana Kumuenzi Imam Hussein (as); Waumini Wafurika Majlisi ya Ashura Nchini Burundi + Picha
Hawza/ Waumini wa Ahlul-Bayt (as) nchini Burundi wamekusanyika kwa wingi katika mji mkuu wa Bujumbura kushiriki kikao kikubwa cha maombolezo ya Siku ya Ashura 1448 Hijria (2026), kwa lengo la…
-
Imam wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad:
DuniaAshura ni Mradi wa Kudumu wa Mageuzi
Hawza/ Ayatullah Sayyid Yasin Mousawi, Imam wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad, amesema kuwa; Ashura si tukio la kihistoria tu, bali ni "mradi wa kudumu wa mageuzi", na akasisitiza kwamba kupigania…
-
DuniaMatembezi ya Amani ya Kumuenzi Imam Hussein (as) Yafanyika Jijini Arusha + Picha
Hawza/ Waumini wa dhehebu la Shia jijini Arusha wamefanya matembezi ya amani kwa lengo la kuhuisha kumbukumbu ya shahada ya Imam Hussein (as), mjukuu wa Mtume Muhammad (saww), aliyeuawa kwa dhuluma…
-
DuniaMajlisi za Maombolezo ya Imam Hussein (as) za Kinamama Zaendelea Nchini Tanzania + Picha
Hawza/ Katika siku za maombolezo ya mwezi wa Muharram, zinazokumbusha tukio la kusikitisha la kuuawa kwa njia ya dhuluma Imam Hussein (as) na wafuasi wake katika ardhi ya Karbala, wanawake waumini…
-
DuniaMajlisi za Maombolezo ya Imam Hussein (as) Zaendelea kwa Huzuni Kubwa Jijini Arusha, Tanzania
Hawza/ Katika hali ya huzuni, majonzi na kumbukumbu zenye kuumiza nyoyo za waumini wa Ahlul-Bayt (as), Kituo cha Ahlul-Bayt jijini Arusha kimeendelea kuandaa majlisi za maombolezo ya msiba wa…
-
DuniaMajlisi ya Maombolezo ya Imam Hussein (as) Yafanyika Nchini Malawi Katika Mwezi Mtukufu wa Muharram
Hawza/ Katika mwendelezo wa maadhimisho ya mwezi mtukufu wa Muharram katika bara la Afrika, waumini nchini Malawi wameendelea kuhuisha kumbukumbu ya tukio la kusikitisha la Karbala kupitia majlisi…
-
Mwanazuoni wa Kisunni wa Lebanon:
DuniaMadrasah ya Karbala Imeufundisha Umma Jinsi ya Kusimama Imara Juu ya Haki
Hawza/ Sheikh Ahmad Al-Qattan amesisitiza kwamba; Madrasah ya Karbala imeufundisha Umma jinsi ya kusimama imara juu ya haki na jinsi ya kupambana na dhulma.
-
DuniaVikwazo na Hatua za Kikatili Dhidi ya Mashia wa Bahrain Vyaongezeka
Hawza/ Vikosi vya wanamgambo vimeongeza uwepo wao katika maeneo yanayozunguka Msikiti wa Imam Sadiq (as) kwa lengo la kuzuia maandamano ya wananchi yanayofanyika sambamba na siku za Muharram.
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Najaf Ashraf:
DuniaBaadhi ya Nchi za Ghuba Kuzuia Kufanyika Maombolezo ya Hussein ni Kurudia Sera za Utawala wa Baath
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Sadruddin Qabanji amesema: Leo ni wajibu kwa maadui wa Imam Hussein (as) kuwa na hofu kwamba mwisho wao utakuwa kama mwisho wa utawala wa zamani wa Saddam.
-
DuniaMajlisi za Imam Hussein (as) Zaendelea kwa Hamasa Kubwa katika Nchi za Afrika Mashariki
Hawza/ Nchi mbalimbali za Afrika Mashariki zimeendelea kushuhudia majlisi na mikusanyiko mikubwa ya maombolezo ya Imam Hussein (as), mjukuu wa Mtume Muhammad (saww), katika kumbukumbu ya kuuawa…
-
DuniaBaraza la Wanazuoni wa Kishia Afghanistan Lasisitiza Umuhimu wa Kuhakikishwa Usalama Kwenye Maadhimisho ya Maombolezo ya Muharram Nchini Humo
Hawza/ Sambamba na kuwadia mwezi wa Muharram, Baraza la Wanazuoni wa Kishia Afghanistan limetoa taarifa likisisitiza umuhimu wa kuandaliwa kwa maadhimisho ya maombolezo kwa utukufu, utulivu na…