Imam Hussein (37)
-
DuniaMar'asim iliyofana ya Siku ya Husseun (a.s) yafanyika katika Bunge la Victoria, Australia
Hawza/ Hafla ya pili ya Siku ya Hussein (a.s) ilifanyika kwa juhudi za mtandao wa Khayrul-ʿAmal katika Bunge la Jimbo la Victoria, Australia; hafla ambayo ilihudhuriwa na wawakilishi wa bunge,…
-
DuniaMshikamano kati ya Wanazuoni wa Kishia na Kisunni nchini Bangladeshi katika Kuiheshimu Arubaini ya Imam Husein (a.s.)
Hawza/ Kwa mara ya kwanza nchini Bangladeshi, wanazuoni wa Kishia na Kisunni wameungana kwa pamoja katika kugawa tabarruk za Imam Husein (a.s.) katika mji wa Khulna; hatua ambayo ni ishara ya…
-
DuniaMwanazuoni wa Kishia kutoka Kashmir: Turekebishe maisha yetu kwa kuufuata mwenendo wa Imam Husein (a.s.)
Hawzah/ Hujjat al-Islam Sayyid Hadi Musawi, katika kikao chake kwa ajili ya maombolezo, alisema: Bibi Zaynab (s.a.) kutokana khutuba zake aliuhifadhi utajo wa Karbala, na Imam Sajjad (a.s.) kwa…
-
Kwa kutegemea mfumo sahihi wa kuhesabu kielektroniki;
DuniaAtaba Tukufu ya Abulfadhil Abbasi (a.s) yatangaza idadi ya mazuwari waliohudhuria katika Ziara ya Arubaini mwaka huu
Hawza/ Ataba Tukufu ya Abulfadhil Abbasi (a.s) imetangaza uwepo wa zaidi ya mazuwari milioni 21 kwenye maadhimisho ya ziara ya Arubaini, taarifa hii imetolewa kwa kutumia mfumo sahihi wa kuhesabu…
-
HawzaHawza yatoa Shukrani za dhati kutokana na mahudhurio ya mamilioni ya watu kwenye Arubaini pamoja na Ukarimu wa Serikali na Taifa la Iraq
Hawza/ Kituo cha Usimamizi wa Hawza, sambamba na kuthamini uwepo wa mamilioni ya waty katika tukio hili kubwa la kimungu na kistaarabu la Arubaini, na pia kutoa shukrani zake kutokana na ukarimu…
-
Ayatullah Saidi katika khutba za Sala ya Ijumaa:
Dunia"Kumuitikia Imam Hussein ni sawa na kumuitikia Imam Mahdi / Mjumuiko mkubwa wa Arubaini ni fursa bora ya kubainisha na kutangaza Uislamu safi wa Muhammadi"
Hawza/ Khatibu wa Ijumaa wa Qom Irani, amesema: Arubaini ni harakati ya pamoja kuelekea kwa Imamu na Hujjat wa Mwenyezi Mungu, Arubaini ina uhusiano wa karibu mno na Mahdawiyya kiasi kwamba kusema…
-
Ayatollah Al-Udhma Makarim Shirazi:
DuniaArubaini ni hazina kubwa inayotokana na mapenzi, kujitolea na utu
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Makarim amesisitiza kuwa: Arubaini si matembezi tu; ni hazina kubwa inayotokana na mapenzi, kujitolea na ubinadamu ambayo haina mfano wowote duniani.
-
Ayatullah Al-Udhma Jawad Amuli:
Dunia Lengo Kuu la Sayyid al-Shuhadaa (a.s.) Lilikuwa ni Kufundisha na Kuwatakasha watu
Hawza/ Hadhrat Ayatollah Al-Udhma Jawadi Amuli amesema: Ziara ya Arubaini humwondoa mwanadamu katika tabia ya kuwa na huzuni ya kupita kiasi, pupa na ubinafsi wa kuzuia mema, na lengo kuu la…
-
DuniaMaukibu (Hema) ya kupinga uzayuni katika njia ya kuelekea kwenye Arubaini ya Imam Husein (as); Maonyesho ya jinai zinazofanywa na Marekani kwenye nguzo ya 794
Hawza/ Kwenye njia ya matembezi ya Arubaini, karibu na nguzo ya 794, kumewekwa hema (Maukibu) tofauti yenye sura ya maonyesho ya kimataifa; mahali ambapo picha na vielelezo vya jinai za utawala…
-
DuniaMwakilishi wa Ayatollah Al-Udhma Sistani Ulaya: Arubaini ya Husseini; Ujumbe wa mwamko, uaminifu na kusimama imara mbele ya dhulma
Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sayyid Murtadha Kashmiri, mwakilishi wa Ayatollah Al-Udhma Sayyid Ali Sistani katika bara la Ulaya, katika ujumbe wake kwa mazuwari wa Arubaini amesisitiza…
-
DuniaMwisho wa Mkwe wa Saddam ambae Alivamia Haram ya Imam Hussein (as)
Hawza/ Hussein Kamel, kwa ushujaa na urongo, alivamia Haram ya Ab'a Abdillah (as) kwa amri ya Saddam Hussein mwaka 1370 Hijria Shamsiya, na kuelekeza mizinga ya vifaru kuelekea kwenye kuba tukufu,…
-
DuniaSheikh Zakzaky awapokea mazuwari wa Kinigeria kabla ya kuondoka kuelekea matembezi ya Arubaini ya Husein (as)
Hawza/ Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Ibrahim Zakzaky, amewapokea mahujaji wote wa Nigeria wanaokusudia kuelekea Karbala katika siku za Arubaini ya Husein, kabla ya kuondoka kwao…
-
DuniaMtafiti wa Bangladeshi: Arubaini ya Husseini; Ni harakati ya Ulimwengu ya Kudai haki na Kusimama dhidi ya dhulma
Hawza/ Hujjat al-Islam Sayyid Husayn Khurshid Abidi amesema: Arubaini ni harakati kubwa inayofikisha ujumbe wa Imam Hussein (as) zaidi ya mipaka ya dini na nchi, na inawaalika wanadamu wote kushikaman…
-
DuniaArubaini ya Husseini ni Alama ya Mshikamano na Umoja wa Watu Duniani
Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Isma’ili, alieleza kuwa Arubaini ya Husseini ni alama ya mshikamano na umoja wa watu wa duniani, na akasema: "Kuuawa kishahidi Imam Hussein (as) huko Karbala…
-
DuniaSheikh Abdurazak Amiri: “Hakuna Mwenye Mamlaka ya Kumtoa au Kumuingiza Mtu Kwenye Uislamu Isipokuwa Mwenyezi Mungu”
Hawza/ Sheikh Abdurazak Amiri amesema kuwa; “Hakuna Mwenye Mamlaka ya Kumtoa au Kumuingiza Mtu Kwenye Uislamu Isipokuwa Mwenyezi Mungu pekee”
-
Ayatollah al-Udhma Jawadi Amuli:
HawzaTaifa la Iran halitaachana na heshima na akili
Hawza/ Hazrat Ayatollah Jawadi Amuli katika kikao na wanajumuiya wa kundi la Mu’talifeye Islami alisisitiza kwamba: Sisi ni warithi wa utamaduni na fikra ambazo si tu kwamba zilikuwa ni zenye…
-
Ayatollah Ghuraifi:
DuniaUjumbe wa Ashura utaendelea muda wa kuwa kuna dhulma, udikteta na ufisadi
Hawza / Ayatollah Sayyid Abdullah Ghuraifi, mmoja wa maulamaa mashuhuri wa Bahrain, amesisitiza kuwa ujumbe wa Ashura ni kukataa ufisadi, dhulma, uovu, upotovu, batili na utumwa.
-
Mwanazuoni Mashuhuri wa India:
DuniaKumtaja Imam Husein (as) ni nuru ya muongozo wa maisha na ni andao bora kabisa kwa ajili ya Akhera
Hawza/ Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sayyid Ahmad Ali Abidi, katika hotuba zake alisisitiza juu ya thamani ya kiroho ya majlisi za maombolezo na kumbukumbu ya Imam Husein (as), na akasema kwamba…
-
Mtafiti wa Kiislamu kutoka Pakistan amebainisha:
DuniaKumlaani Yazid kwa mujibu wa mtazamo wa wanazuoni wa Ahl al-Sunnah
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Dhia al-Hasan Najafi katika khutba za Sala ya Ijumaa alisema kuwa: Kumlaani Yazid kwa mtazamo wa Ahl al-Sunnah pia kunajuzu, na kumsafisha Yazid ni kupotosha historia…
-
DuniaMaadhimisho ya Siku ya Husein (as) yafanyika na kufana katika Chuo Kikuu cha Karachi
Hawza/ Hafla iliyofana ya "Siku ya Husein (as)" ilifanyika katika Chuo Kikuu cha Shirikisho cha Karachi huku wahadhiri, wahariri, wanafunzi, na wanazuoni wa Kishia na Kisunni wakishiriki kwa…
-
DiniKumbukumbu | Mwanamke aliyeteuliwa kwa ajili ya siku ngumu
Hawza / Ni kweli kuwa binadamu ameumbwa kwa taabu; lakini baadhi ya watu ni kama kioo cha dhahiri cha uvumilivu wa Mwenyezi Mungu duniani, na bibi Zainabu (sa) alikuwa wa aina hiyo.
-
DuniaMwanazuoni wa Ahlu-Sunnah wa Lebanon: Tunaposema tuna mafungamano na kisimamo cha Imamu Hussain (a.s), tunajihisi Heshima
Hawza / Sheikh Ahmed Al-Qattan alisisitiza kuwa sisi Lebanon, muda wa kuwa viongozi thabiti kama Sheikh Naeem Qasim na Nabih Berri wapo, hatuogopi.
-
DuniaDesturi njema nchini Pakistan ikiambatana na Mwezi wa Muharram
Hawza/ Hujjatul-Islam Sayyid Nusrat Abbas Bukhari, katika hafla ya kugawa miche ya miti iliyopewa jina la "Sabil Ashjar" katika siku za Muharram, alieleza kuwa ubunifu huu ni jibu la kishujaa…
-
Makamu wa Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu Pakistan:
DuniaKesi za dhulma dhidi ya waombolezaji wa Muharram zinapaswa kufutwa mara moja
Hawza/ Hujjat al-Islam Sayyid Ahmad Iqbal Rizvi, katika taarifa yake, amelaani vikali kufunguliwa kwa kesi zisizo na msingi dhidi ya waombolezaji wa Muharram, na ametoa wito wa kufutwa mara moja…
-
Msomi wa Dini kutoka India:
DuniaKarbala ni ufunuo wa milele wa ukweli katika kioo cha fasihi na utu
Hawza/ Hujjat al-Islam Sayyid Abbas B'aqeri, katika hotuba yake, akiwa amesisitiza nafasi isiyoweza kulinganishwa ya Ashura katika dhamiri ya kibinadamu na historia ya fasihi, amesema kuwa Karbala…
-
Mkurugenzi wa Ofisi ya Ayatollah al-‘Uzma Hafidh Bashir Najafi:
DuniaKuhuisha alama za Husseini ni jukumu la kidini na njia ya kuelekea kwenye kujikurubisha na Mwenyezi Mungu
Hawza/ Hujjat al-Islam wal-Muslimin Sheikh Ali Najafi, katika hotuba yake huku akisisitiza upande wa islah (urekebishaji) wa harakati ya Imam Husayn (as), amekitambua kisimamo hicho kuwa ni mfano…
-
Ayatollah A'rafi:
HawzaLengo la juu kabisa la kuwa faqihi katika dini ni kuwaonya watu / Uhusiano wa kina kati ya muqawama wa taifa la Iran na harakati ya damu ya Ashura
Hawza/ Mkurugenzi wa vyuo vya kidini (hawza) Irani amebainisha kuwa: Katika hali ya hatari ya sasa ambapo maadui wameushambulia kwa nguvu zote na kila upande mfumo mtukufu wa Jamhuri ya Kiislamu…
-
DuniaKiongozi wa Harakati ya Minhaj-ul-Qur’an ya Pakistan: Mapenzi kwa Ahlul-Bayt (as) ni sehemu isiyoepukika ya imani kwa mujibu wa Mtume Mtukufu (saw)
Hawza/ Katika kipindi cha kukaribia siku za maombolezo ya Muharram, mkutano wa “Ujumbe wa Imam Hussein (as) na Umoja wa Umma” ulifanyika katika mji wa Lahore, Pakistan kwa ushiriki mkubwa wa…
-
HawzaUmuhimu wa kutambua nyakati kwa mtazamo wa Sheikh Ibrahim Zakzaky
Hawzah/ Ayatollah Sheikh Ibrahim Zakzaky amesema: “Hata kama chaguo la mwisho katika njia ya muqawama ni kufa kishahidi, bado hiyo ni furaha kubwa zaidi, kama alivyochagua Imam Hussein (as) katika…
-
DuniaWaislamu wa Georgia wakiwa wamebeba picha za Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi, wametangaza mshikamano wao na Taifa la Iran
Hawza/ Imamu wa jamaa wa Msikiti wa Imam Ali (as) wa Marneuli, katika maandamano ya siku ya Tasu'a na Ashur'a ya Husein (as) ya Waislamu wa Kishia wa Georgia alisisitiza kuwa: Waislamu wa nchi…